Simulizi: Lisa

Simulizi: Lisa

Sura ya: 701


Mmoja wa wamiliki wa duka akamwambia, “Kwa nini usiangalie kwenye maduka ya ndani ndani huko? Kuna maduka mengine huko. Labda mtu huyo bado hajaenda huko.”
Lisa aliitikia kwa kichwa. Bado alikuwa anaifahamu Dar. Watu hawakuingia kwenye uchochoro huo mara nyingi. Kulikuwa na wazee wachache tu waliokuwa wakiendesha biashara zao katika maduka yaliyochakaa.
Hakuwa ameenda mbali sana mle ndani alipomuona mwanaume mmoja aliyevalia fulana nyeusi akiwa amezungukwa na wahuni kadhaa.
“Haya, mtoto. Wewe ni wa kishua sana. Niliona umenunua mashada yote katika eneo hili. Lazima uwe na pesa nyingi, eh?" Yule kiongozi wa wahuni aliguna na kuuzungusha popo mikononi mwake. "Acha saa na pochi yako na tutakuacha uende."
"Saa hii nilipewa na baba yangu. Ni ghali. Siwezi kukupa.” Mwanaume huyo alikataa. Alikuwa na lafudhi ngumu, na matamshi yake hayakuwa sahihi.
Lisa aliinua uso wake. Mara moja aliweza kutambua kwa sauti ya mtu huyo kwamba alikuwa mdogo sana. Labda alikuwa amemaliza chuo tu. Lazima alikulia nje ya nchi, kwa hiyo hakuwa akifahamu sana Kiswahili.
Labda wazazi wake walikuwa kutoka Dar na walikuwa hawajarudi kwa muda mrefu, kwa hiyo alitaka kutembelea makaburi ya mababu zao na kutoa heshima.
Alikuwa mdogo sana, lakini alinunua mashada yote ya maua yaliyopatikana kwa ajili ya wazee wake waliokufa. Lazima awe na matumaini kwamba wangeishi vyema katika maisha ya baada ya kifo.
Lisa alikuwa na hisia nzuri kwa kijana huyo. "Haha, unafikiri una chaguo?" Yule mhuni alikoroma. “Wewe mpumbavu, fanya haraka na kukabidhi vitu. Vinginevyo, itabidi utambae ili kuondoka.”
"Kumnyang'anya mtu mchana kweupe. Nadhani nyie lazima mna wazimu. ” Lisa alienda huku akiwa na tabasamu hafifu.
Siku hiyo, alivalia suruali ya jeans iliyochanika, fulana nyeupe, na koti la denim lililofifia. Jozi ya miwani ya jua ilining'inia kutoka kwenye daraja la pua yake, na kumfanya aonekane kama yuko katika umri wa miaka 2o kwa mtazamo wa kwanza.
Ingawa sifa zake zilifichwa na miwani, ilionekana wazi kuwa uso wake ulikuwa mzuri na daraja lake la pua na midomo minene ya wastani. Hata akiwa na lipstick ya kivuli cha maple, alionekana kung'aa na kustaajabisha hivi kwamba kila mtu alishtuka.
Matthew Tshombe alimtazama kwa moyo mdundo. Kwa sababu fulani, alihisi kwamba mwanamke huyu alimpa hisia alizozifahamu. Alikuwa ameona picha za Sheryl Jones alipokuwa mdogo na alifikiri kwamba mama yake ndiye mwanamke mrembo zaidi, lakini alipomwona mwanadada huyu mbele yake, ghafla aligundua kuwa sura yake haikuwa duni kuliko ya mama yake. Ingawa hakuweza kuyaona macho yake, alihisi kwamba macho yake lazima yatakuwa mazuri sana.
Lina pia alikuwa mrembo. Hata hivyo, ukilinganisha na mwanamke aliyekuwa mbele yake, sura ya uso wa Lina ilikuwa imefunikwa kabisa.
Lisa naye alimtazama kijana aliyekuwa mbele yake. Aliganda. Kijana huyo alikuwa na urefu wa futi 6'2. Nywele zake fupi zilifanya sura ya uso wake uliochanganyika ufafanuliwe zaidi, na akatoa hali ya kiburi na ukaidi. Macho yake yalikuwa meusi ya kushtua na yalionekana kuwa mazuri sana. Yaliweza kuwaroga wengine.Kwa sura kama hiyo, angekuwa mtu mzuri zaidi bila kujali alienda wapi. Ilionekana kana kwamba alikuwa mdogo kwa miaka mitatu au minne kwake.
“Woah, hiki kifaranga cha moto kimetoka wapi? kimejileta mpaka mlangoni kwetu.” Jicho moja la yule kiongoi la genge la vibaka liliangaza baada ya kumuona Lisa. “Baby, kwa nini usiondoke nami nyumbani? Sitamuibia basi.”
“Binti mrembo, fanya haraka uondoke. Nitawazuia.” Matthew aliinua mkono wake na kumkinga nyuma yake.
Pembe za mdomo wa Lisa zilitetemeka. Nini? Msichana mzuri? Jamaa huyu alimdharau eeh?
“Inatosha. Mnajaribu kumuibia mgeni mchana kweupe? Msiiaibishe nchi yetu.”
Lisa aliusukuma mkono wa Matthew na kuusogelea taratibu, akinyakua mbao zilizokuwa mikononi mwa wale vibaka na kuzipiga teke kwa mbali. Harakati hizo kali zilimfanya Matthew kupigwa na butwaa. Alikuwa tayari mrembo na mrefu, lakini alipopigana, alitoa sura ya kishujaa. Ingawa alikuwa akipigana, tukio lilionekana zaidi kama ni aina ya sanaa ya kuthaminiwa.
 
Kwa macho makali ya Matthew, ilikuwa rahisi kwake kusema kwamba ustadi wake ulikuwa wa kupendeza na usio wa kawaida, ni kama mtu mwenye mafunzo maalumu. Kilichomfanya ashangae zaidi ni kwamba kweli mwanamke huyo alivunja mikono ya wale wahuni. Mbinu zake zilikuwa safi na kali.
“Watu kama wewe wataendelea kufanya wizi baada ya kukamatwa na kufungiwa kwa siku moja. Ni bora kuvunja mikono yako na kukuacha upone kwa miezi michache. Hebu tuone jinsi utakavyoendelea kuwaibia wengine. Scram! ”
Sauti ya Lisa ilikuwa nyepesi, lakini wale vibaka waliogopa walipomtazama uso wake mzuri na mara moja wakainuka kabla ya kukimbia.
“Huyu nii njagu wazee, tusepeni…”
"Asante. ” Matthew alimsogelea baada ya wale wahuni kukimbia. Alikuwa na nywele nyeusi, na sura ya busara ikaangaza katika macho yake meusi. “Shujaa, asante kwa kuniokoa. Vinginevyo, bila shaka ningeibiwa."

Shujaa...? wLisa nusura asonge na mate yake mwenyewe. "Dogo, kuwa makini unapokuwa kwenye miji ya wenyewe!"
Matthew alipigwa na butwaa. Ilikuwa ni mara ya kwanza mtu kumuita hivyo. Ikiwa wangekuwa Lubumbashi, watu wangegeuka kumtazama Lisa kwa hofu. Baada ya yote, lazima awe mtu wa kwanza kuthubutu kumwita ‘dogo’ mwana mfalme wa familia ya Tshombe.
“Uliniita nani?” Matthew aliongea kwa kutokuamini kidogo. Lafudhi yake ilifanya sauti yake isikike zaidi tulivu na ya kupendeza.
"Unaonekana kama una miaka 20 tu, we ni dogo kwangu." Lisa alimpa saizi.
"Ndio, nina umri wa miaka 21 mwaka huu." Matthew aliutazama uso wake wa ujana na alishangaa. "Wewe ni mkubwa kuliko mimi?"
"Mimi ni mkubwa kwako kwa miaka michache, kwa hivyo wewe ni dogo tu kwangu."
Lisa aliutazama ule mfuko wa plastiki uliokuwa mkononi mwake ambao ulikuwa umebeba mashada kadhaa ya maua. Mtu aliyenunua mashada yote lazima awe yeye. Ilikuwa wazi katika mtazamo kwa kuangalia saa juu ya mkono wake na kishaufu kilichoning'inia shingoni mwake vyote vilikuwa na thamani kubwa, kwa hiyo haikuwa ajabu kwamba alilengwa na wahuni. Alionekana kama tajiri mpumbavu aliyerudi kutoka nje ya nchi.
“Huu ni mtaa wa zamani ambapo kila aina ya wahuni huzunguka. Hupaswi kukawia kuzunguka maeneo haya huku ukiwa umevalia hivyo. Fanya haraka uondoke.” Alisema na kuondoka.
Kwa kuwa asingeweza kununua mashada ya maua zaidi, angetoa tu maua aliyopata.
"Shujaa, omba uambie jina lako?" Matthew alichukua hatua kubwa kumfikia akiongea kiswahili chake kibovu.
Lisa alijikwaa na karibu kuanguka. Alikuwa kati ya kicheko na machozi. “Omba uambie jina lako? Unajifunza kiswahili?"
“Ahem. Ninajifunza kwa kusoma vitabu vilivyoandikwa kiswahili. Hivyo ndivyo watu walivyokuwa wakizungumza,” Matthew alieleza kwa aibu, “Nilifikiri... nilikuja nchini jana, kwa hivyo sijui mengi kuhusu utamaduni wa hapa.”
“Umekwisha sema kwamba wewe ni mgeni. Hii ni bongo. Fanya tu kulingana na jinsi ungefanya katika nchi yako," Lisa alielezea kwa burudani.
“Oh.” Matthew akaitikia kwa kichwa. "Katika hali hiyo, mwanamke mrembo, naweza kukuuliza jina lako?"

"... Jina langu ni Heroin." Lisa alitabasamu kwa ujanja na kuondoka. Matthew alipigwa na butwaa kwa sekunde kadhaa. Heroin! Shujaa?

Sura ya: 702
 
jamani hii story ni ndefu kama kweli ni novel afu mwandishi ameitafsiri tuu aisee kajitahidi sana[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] mpaka sasa tunasubiri kitabu cha 25(1200-1250) yani ni huzuni kwakwelii mimi na ndugu yangu [mention]mireille [/mention] tunateseka sana[emoji29][emoji29]
 
jamani hii story ni ndefu kama kweli ni novel afu mwandishi ameitafsiri tuu aisee kajitahidi sana[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] mpaka sasa tunasubiri kitabu cha 25(1200-1250) yani ni huzuni kwakwelii mimi na ndugu yangu [mention]mireille [/mention] tunateseka sana[emoji29][emoji29]
[emoji1787]usinikumbushe machungu [emoji24]
 
jamani hii story ni ndefu kama kweli ni novel afu mwandishi ameitafsiri tuu aisee kajitahidi sana[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] mpaka sasa tunasubiri kitabu cha 25(1200-1250) yani ni huzuni kwakwelii mimi na ndugu yangu [mention]mireille [/mention] tunateseka sana[emoji29][emoji29]
Ipo vizuri endelea kutuletea
 
Kwa macho makali ya Matthew, ilikuwa rahisi kwake kusema kwamba ustadi wake ulikuwa wa kupendeza na usio wa kawaida, ni kama mtu mwenye mafunzo maalumu. Kilichomfanya ashangae zaidi ni kwamba kweli mwanamke huyo alivunja mikono ya wale wahuni. Mbinu zake zilikuwa safi na kali.
“Watu kama wewe wataendelea kufanya wizi baada ya kukamatwa na kufungiwa kwa siku moja. Ni bora kuvunja mikono yako na kukuacha upone kwa miezi michache. Hebu tuone jinsi utakavyoendelea kuwaibia wengine. Scram! ”
Sauti ya Lisa ilikuwa nyepesi, lakini wale vibaka waliogopa walipomtazama uso wake mzuri na mara moja wakainuka kabla ya kukimbia.
“Huyu nii njagu wazee, tusepeni…”
"Asante. ” Matthew alimsogelea baada ya wale wahuni kukimbia. Alikuwa na nywele nyeusi, na sura ya busara ikaangaza katika macho yake meusi. “Shujaa, asante kwa kuniokoa. Vinginevyo, bila shaka ningeibiwa."

Shujaa...? wLisa nusura asonge na mate yake mwenyewe. "Dogo, kuwa makini unapokuwa kwenye miji ya wenyewe!"
Matthew alipigwa na butwaa. Ilikuwa ni mara ya kwanza mtu kumuita hivyo. Ikiwa wangekuwa Lubumbashi, watu wangegeuka kumtazama Lisa kwa hofu. Baada ya yote, lazima awe mtu wa kwanza kuthubutu kumwita ‘dogo’ mwana mfalme wa familia ya Tshombe.
“Uliniita nani?” Matthew aliongea kwa kutokuamini kidogo. Lafudhi yake ilifanya sauti yake isikike zaidi tulivu na ya kupendeza.
"Unaonekana kama una miaka 20 tu, we ni dogo kwangu." Lisa alimpa saizi.
"Ndio, nina umri wa miaka 21 mwaka huu." Matthew aliutazama uso wake wa ujana na alishangaa. "Wewe ni mkubwa kuliko mimi?"
"Mimi ni mkubwa kwako kwa miaka michache, kwa hivyo wewe ni dogo tu kwangu."
Lisa aliutazama ule mfuko wa plastiki uliokuwa mkononi mwake ambao ulikuwa umebeba mashada kadhaa ya maua. Mtu aliyenunua mashada yote lazima awe yeye. Ilikuwa wazi katika mtazamo kwa kuangalia saa juu ya mkono wake na kishaufu kilichoning'inia shingoni mwake vyote vilikuwa na thamani kubwa, kwa hiyo haikuwa ajabu kwamba alilengwa na wahuni. Alionekana kama tajiri mpumbavu aliyerudi kutoka nje ya nchi.
“Huu ni mtaa wa zamani ambapo kila aina ya wahuni huzunguka. Hupaswi kukawia kuzunguka maeneo haya huku ukiwa umevalia hivyo. Fanya haraka uondoke.” Alisema na kuondoka.
Kwa kuwa asingeweza kununua mashada ya maua zaidi, angetoa tu maua aliyopata.
"Shujaa, omba uambie jina lako?" Matthew alichukua hatua kubwa kumfikia akiongea kiswahili chake kibovu.
Lisa alijikwaa na karibu kuanguka. Alikuwa kati ya kicheko na machozi. “Omba uambie jina lako? Unajifunza kiswahili?"
“Ahem. Ninajifunza kwa kusoma vitabu vilivyoandikwa kiswahili. Hivyo ndivyo watu walivyokuwa wakizungumza,” Matthew alieleza kwa aibu, “Nilifikiri... nilikuja nchini jana, kwa hivyo sijui mengi kuhusu utamaduni wa hapa.”
“Umekwisha sema kwamba wewe ni mgeni. Hii ni bongo. Fanya tu kulingana na jinsi ungefanya katika nchi yako," Lisa alielezea kwa burudani.
“Oh.” Matthew akaitikia kwa kichwa. "Katika hali hiyo, mwanamke mrembo, naweza kukuuliza jina lako?"

"... Jina langu ni Heroin." Lisa alitabasamu kwa ujanja na kuondoka. Matthew alipigwa na butwaa kwa sekunde kadhaa. Heroin! Shujaa?

Sura ya: 702
Nimeweka kambi hapa lete muendelezo madam
 
mpaka sasa tunasubiri kitabu cha 25(1200-1250) yani ni huzuni kwakwelii mimi na ndugu yangu [mention]mireille [/mention] tunateseka sana
emoji29.png
emoji29.png
Tuleteeni basi mpaka hapo mlipofikia, tunawategemea sana
 
Matthew aliondoka mahali hapo akiwa na miguu yake mirefu. Baada ya kuingia kwenye gari, alipokea simu kutoka kwa Sheryl. "Wewe mtoto mdogo, ulikimbilia Tanzania kwa siri?"
"Mama, nilifika Dar jana usiku." Matthew alicheka. “Si nilikutajia kuwa nataka kutembelea mji wako? Nikimaliza kufanya mipango, wewe na baba mnaweza kuja pia. Nilienda kuwaona Mjomba na Shangazi asubuhi ya leo na kuwauliza kuhusu makaburi ya babu na bibi. Ninapanga kwenda kutoa heshima zangu baadaye.”
Sheryl aliposikia maneno yake, alisahau kumpa mhadhara na aliuliza tu baada ya kimya cha muda, "Je, mjomba na shangazi yako wako vizuri?"
“Si kweli. Wamefungwa gerezani kwa miaka michache na inaonekana wamezeeka, lakini Mjomba anafanana na wewe.” Matthew alisema, “Ikiwezekana, pia niliuliza karibu na makazi ya familia ya mzee Jones. Kulikuwa na familia ya Jones pale, nao walikuwa na binti anayeitwa Sheryl Jones. Hata hivyo, alipata ajali karibu na ziwa huko Kigoma miaka 2o iliyopita. John Jones pia alikuwa na binti wawili, Lisa na Lina Jones. Lisa alilelewa nao tangu alipokuwa mtoto, lakini Lina aliibwa alipokuwa mtoto. Walimpata akiwa binti mkubwa baada ya hapo.”
“Unashuku kwamba alichosema Lina kilikuwa cha uwongo?” Sheryl alikunja uso. "Ulifanya mtihani wa DNA. Hakika ni mtoto wangu.”
"Najua, nilikuwa nikitafuta tu kuwa na uhakika," Matthew alisema, "Mama, haishangazi kwamba wanawake warembo kama wewe wanaweza kupatikana huku Dar. Haikupita hata siku moja tangu nifike lakini tayari nilikutana na mrembo ambaye sura yake inafanana na yako ulipokuwa mdogo. Yeye ndiye mwanamke mzuri zaidi ambaye nimemwona zaidi yako. Ingawa wewe pia ni mrembo, wewe si kijana tena—”
“Mtoto wewe. Unasemaje mama yako si mrembo? Unataka kufa?" Kishindo cha Tito kilisikika ghafla.
Mkono wa Matthew ulitetemeka, kwani hakutarajia baba yake angesikiliza. Baada ya yote, Tito alikuwa mwendawazimu wa kulinda mkewe.
“Nilikosea baba. Mwanamke huyo ni duni kidogo kuliko Mama. Ninahisi kama... nimempenda mara ya kwanza.”
“Pfft...” Sheryl, aliyekuwa akinywa maji, aliyamwaga maji hayo kwa mshtuko na kukohoa kwa nguvu.
“Mpenzi, uko sawa?” Titus alimpapasa Sheryl mgongoni kwa haraka na kupiga kelele kwenye simu, “Matthew Tshombe, unataka kufa? Ulienda Tanzania bila kuaga na ukathubutu kumpenda mwanamke huko? Umesahau mambo ya mama yako?”
“Sikusahau, Baba. Nilikutana na mwanamke huyo kwa bahati mbaya tu. Aliniokoa pia.” Matthew alitabasamu. “Nadhani hii ndiyo hisia ya mara moja maishani uliyoniambia ulikuwa nayo ulipokutana na Mama kwa mara ya kwanza. Lakini yeye ni mkubwa kwa miaka michache kuliko mimi. Hutajali, sawa?"
“Wewe mpumbavu, ukithubutu kupata mwanamke mkubwa kuliko wewe, nitavunja mifupa yako,” Tito alimuonya. “Utambulisho wako si wa kawaida, kwa hiyo mtu utakayefunga naye ndoa katika siku zijazo lazima awe mtu wa kipekee. Kuna baadhi ya vitu hupaswi hata kufikiria kuvitaka.”
“Sawa, nilikuwa nasema tu. Sijui hata jina wala namba yake.” Matthew alipiga kelele.
“Acha fujo. Wafahamishe shangazi na mjomba wako mengi kuhusu sisi, mambo yakiwa sawa tutakuja kuwaona.”
•••
Huko makaburini, Lisa alimaliza kutoa heshima zake kwenye makaburi ya babu na bibi yake, kisha akaenda kwenye kwenye kaburi la Sheryl
“Mama samahani. Hata baada ya miaka mingi, nimeshindwa kumpata muuaji wako. ” Lisa alihema na kuondoka baada ya kutoa heshima zake.
Takriban nusu saa baada ya kuondoka, Matthew alifika. Aliona maua yameachwa kwenye kaburi na kuganda. Haikuwa Siku ya Marehemu Wote. Kwanini mtu alikuwa amewatembelea wale wazee wawili? Je, familia ya Jones ilikuwa na jamaa wengine? Ilikuwa Lisa Jones?
Hata hivyo, si yeye aliyemuua Bibi Jones Masawe? Anathubutuje kutoa heshima kwa mwanamke huyo? Kwa hakika, ikiwa mtu alikuwa mkatili vya kutosha, asingeweza kuogopa chochote.
Baada ya kutoa heshima zake, alizunguka na kukuta kaburi la Sheryl karibu na wale wazee wawili. Picha kwenye jiwe la kaburi ilikuwa moja ya wakati mama yake alipokuwa mdogo. Ilionekana kama vile Lina alisema ni kweli.
 
Jina halisi la mama yake lilikuwa Sheryl Jones. Lakini, kwa kuwa hakuwa amekufa, hakukuwa na haja ya kaburi hilo kuwepo. Matthew alipata wazo la kutafuta mtu wa kubomoa kaburi la Sheryl, isije ikaleta bahati mbaya.
•••
Saa kumi za jioni, Lisa alikwenda kwenye makazi ya familia ya Masanja huko Oysterbay ya Masaki. Familia ya Masanja ilikaa karibu na Pamela, na hakuna mtu aliyemsikiliza Rodney.
“Lisa, sijakuona muda mrefu sana. Umekuwa mrembo zaidi kuliko hapo awali." Mama Pamela alimshika Lisa na kusema, “Asante kwa kumtunza Pamela mlipokuwa Marekani. ”
“Usiseme hivyo. Pia alinitunza sana.” Lisa alitabasamu kwa unyonge.
"Ni aibu.” Mama Pamela alicheka ghafla. “Kama hukuwa na Ethan wakati huo, ningetaka kukufanya kuwa binti-mkwe wangu.”
Masikio ya Rodney yakasisimka alipoyasikia. Je, Alvin angekuwa na mpinzani mwingine wa mapenzi?
Pamela akatoa macho yake. "Sahau. Ninashangaa sana ikiwa kaka yangu ana mzio wa wanawake."
“Usiongee ujinga.” Forrest Masanja alitazama saa yake.
Mama Pamela akahema. "Sio kosa la Pamela kusema hivyo. Tazama, nimepanga ndoa nyingi sana na washirika kwa ajili yake lakini hajachukua yeyote kati yao. Nina wasiwasi sana kwamba labda hajatimia.”
Lisa alitabasamu na kumfariji, “Shangazi, usiruhusu mawazo yako yaende ovyo. Labda ubavu wake wa kushoto bado haujaonekana.”
"Labda." Mama Pamela alikuwa amemaliza kutikisa kichwa wakati mlinzi wa getini alipoingia ndani.

“Aunty, watu wawili wa familia ya Jackson walikuja na wanasubiri nje. Walisema lazima wakuone faragha."
Mama Pamela alinyamaza, lakini Pamela alijibu haraka. “Pengine ni wazazi wa Patrick. Walishindwa kunipata huko Nairobi, kwa hiyo wamekuja nyumbani kwetu huku Dar.”
"Mh, mtoto wao alikuumiza sana lakini bado wana ujasiri wa kuja hapa." Bwana Masanja aligonga meza kwa hasira.
"Labda wanataka kumwokoa Patrick." Pamela alisita na kumtazama Rodney. "Nilisikia kutoka kwa Godfather kwamba Patrick atakaa gerezani maisha yake yote."
"Kwa maisha?" Bwana na Bi Masanja walipigwa na butwaa.

Ingawa walimchukia Patrick, walifikiri kwamba familia ya Shangwe ingeharibu tu Jackson & Sons Company. Hawakutarajia Patrick angefungwa maisha. Kwa hali hiyo, hakukuwa na matumaini tena kwa Patrick. Haishangazi wazazi wake walikuwa na wasiwasi sana.
Rodney aliutazama umati, akasita kwa muda, na kusema, “Lazima uelewe madhara ya vitendo vya Patrick wakati huu. Ba’mdogo wangu amebakiza hatua moja tu kuwa Rais, lakini Patrick alimchafua bila kujali. Iwe alitenda kwa makusudi ama bahati mbaya, hakuna anayeweza kuchokoza mamlaka ya Rais wa baadaye. Ba’mdogo wangu amekasirika sana wakati huu."
Familia ya Masanja ilishtuka. Nathan Shangwe alikuwa sawa na nusu mfalme. Watu wa kawaida wangewezaje kustahimili ghadhabu yake?
"Wacha waingie," Pamela alisema baada ya muda mrefu.
Sura ya: 703
 
Punde, Bw. na Bi. Jackson wakaingia. Walipoona kwamba Pamela na Rodney walikuwapo, walionekana kana kwamba wamewaona waokozi wao.
"Pamela, Bwana Mdogo Shangwe.” Bwana Jackson aliuma meno. Bila kujali kitu kingine, alipiga magoti mbele ya Pamela na Rodney kwa kishindo. “Mwanangu alikuwa mjinga. Naomba nyinyi wawili mwache aende zake. Tunaweza kutoa mali zote za familia ya Jackson kwa familia ya Shangwe, lakini nina mtoto mmoja tu wa kiume. Pamela, nakuomba.”
“Ndiyo,” Bi. Jackson pia alikariri na kusema, “Hatukujua angefanya jambo la kipuuzi namna hiyo. Lazima alikuwa amerukwa na akili. Pamela, kwa kweli, Patrick amekuwa akifikiria juu yako kila wakati - ”
Uso wa Rodney ulipinda huku akiwakatisha bila fahamu, “Je, watu walio karibu na Patrick wanapenda kupiga magoti sana? Mtapiga magoti mpaka tukubaliane? Oh, je, mnarekodi hii pia? Mnapotoka nje, mtawaambia wengine kwamba familia ya Shangwe inawaonea?”
"Hapana, hapana kabisa." Nyuso za Bwana na Bibi Jackson ziligeuka kuwa nyekundu. "Sisi sio Linda."
“Bwana Jackson, sisi ni rika moja. Inuka,” Bwana Masanja alisema kwa haraka.
Bibi Jackson alitokwa na machozi na hakutaka kuinuka. Mwishowe, Bwana Jackson alipumua na kumvuta juu.
“Bwana Masanja, kusema ukweli, kwa kweli sikujua kuhusu jambo hili. Ikiwa ningejua kuwa Patrick angefanya kitu kama hiki, bila shaka ningemzuia. Maendeleo ya Jackson & Sons Company yamekuwa yakienda vizuri miaka hii, kwa hiyo nilimruhusu aende Kenya ili ajipanue, lakini sikutarajia... najua kuwa alichanganyikiwa na watu wasio sahihi wakati huu, na kwa hakika haiwezekani kwake kufanya biashara tena huko Kenya. Nitatoa mali zote za familia ili kumrudisha...”
"Wewe si mjinga," Bwana Masanja alichukua chai na kusema kwa sauti nyepesi.
“Kwa bahati mbaya nilijifungua mtoto wa kiume mpumbavu. Alikadiria uwezo wake kupita kiasi.” Bw. Jackson alisema kwa uaminifu, “Lakini siwezi kufanya lolote kuhusu hilo sasa. Nina mtoto wa kiume mmoja tu. Pamela, Patrick hataweza kufidia kile unachomdai, lakini sio kosa lake tu. Ikiwa tungetambua kwamba Linda alimpenda wakati huo, tusingemruhusu Linda kufanya kazi pamoja naye. Kwa kuwa unamchukia Linda, tutahakikisha hatawasiliana naye tena...”
“Mjomba, unafikiri kweli nina neno katika jambo hili?” Pamela alimkatisha, "Patrick ni bosi wa kawaida wa kampuni, lakini mtu kama yeye alijaribu kuchukua hatua dhidi ya Rais wa baadaye. Ikiwa hatashughulikiwa kwa ukali, jambo hilo hilo litatokea katika siku zijazo kwa watu wengine. Kuna baadhi ya mambo ambayo kizazi kipya kama sisi hatuwezi kuyaingilia.”
Bwana na Bibi Jackson waliganda kwa wakati mmoja. "Unamaanisha nini?"
"Namaanisha kwamba ikiwa bado unataka kufurahia uzee wako kwa amani, acha kuzunguka na kumtetea Patrick."
Rodney alizungumza, "Hatukukusudia kufanya jambo kubwa kutoka kwake. Ikibidi umlaumu mtu, mlaumu mwanao kwa kumfurahisha Linda na kumruhusu kusababisha tukio. Lazima alifikiri kwamba Nairobi ilikuwa sawa na Dar es Salaam. Kwa kulia tu na kufanya fujo, kila mtu angemuhurumia. Lakini ulimwengu wa kisiasa sio mahali pa kuchezea. Unapoingia, hakikisha unashinda au maisha yako yanafikia mwisho. Umeelewa?”
Bwana Jackson alirudi nyuma kwa maumivu. Baada ya kimya cha dakika chache, alionekana kuwa na umri wa miaka kadhaa.
"Naelewa. Tutaondoka sasa hivi.” Bwana Jackson alimsaidia Bibi Jackson kuinuka.
"Unamaanisha nini?" Bibi Jackson alitokwa na machozi. “Mwokoe mtoto wetu?”
“Nimwokoe?” Bwana Jackson alitabasamu kwa huzuni. “Tunawezaje kumwokoa? Kata tamaa. Ikiwa tutaendelea kuwasumbua, hatutaweza hata kuishi maisha yetu yote kwa amani.”
 
Bibi Jackson alivutwa na Bw. Jackson na wakaondoka kwenye makazi ya familia ya Masanja katika hali iya kukata tamaa.
Bibi Jackson aliangua kilio. “Ole wangu, kama ningejua kwamba hilo lingetokea, nisingekuwa karibu sana na familia ya Shebi wakati huo. Sikupaswa kumwambia Patrick kuwa Linda afanye kazi katika kampuni yetu.
"Haina maana kusema yote sasa. Tumechagua njia zetu wenyewe. Huenda hujui hili bado, lakini familia ya Karama tayari imeanguka. Waziri Karama na Nathan Shangwe walikuwa washindani wa uchaguzi, lakini familia ya Karama ilianguka siku mbili tu baada ya tukio hilo.
"Nilisikia kwamba viongozi kadhaa ambao walikuwa wameunda ushirikiano hapo awali na familia ya Karama walikamatwa kwa sababu fulani. Nathan ameanza kupigana. Wakati huu, hajapanga kuruhusu mtu yeyote ambaye alimuudhi. Tuna bahati kwamba Patrick ndiye pekee aliyemchukua kutoka kwa familia yetu.
Bibi Jackson alipigwa na butwaa. Bado hakuweza kujua ni nani aliyempa Patrick ujasiri wa kwenda kinyume na familia ya Shangwe.
"Tunahitaji kukubali hatima." Bwana Jackson akahema.
•••
Usiku ulikuwa wa baridi. Saa mbili usiku katika makazi ya familia ya Masanja, Bw. Masanja alifanya mipango. “Pamela nenda chumbani kwako ukapumzike kama umechoka. Bwana Shangwe, unaweza kulala ghorofani usiku wa leo katika chumba cha kwanza cha wageni upande wa kushoto.”
Rodney alipigwa na butwaa kwa sekunde chache kabla ya kusafisha koo lake na kusema, “Baba, mimi na Pamela tayari ni mume na mke...”
"Pamela alituambia kwamba ulifunga ndoa pekee ili kutatua mzozo wa familia ya Shangwe. Sio ndoa ya kweli, kwa hivyo hakuna haja ya wewe kushiriki chumba kimoja,” Forrest alimkatisha kwa ubaridi. Maana yake ni kwamba haikuwezekana kwa Rodney kuchukua fursa ya dada yake mdogo wakati wa kukaa kwao hapo.
"Mnaweza kupata talaka katika miaka michache. ” Bwana Masanja aliitikia kwa kichwa. "Si lazima uniite 'Baba' pia. ”
Rodney alikosa la kusema. Wazazi wengi hawakutaka watoto wao wapate talaka baada ya kuoana. “Baba, ndoa ni ndoa. Hakuna ndoa za kweli au za uwongo, na chetu chetu cha ndoa kiko halali. Sina nia yoyote ya talaka baada ya ndoa. Kama nilivyosema, nilifanya mambo mengi mabaya hapo awali, lakini nitampa Pamela na mtoto makazi kamili. Si vizuri kwa mwanamke kuachwa pia—”
“Kuna ubaya gani? Familia ya Masanja haijali sifa yetu na tunaweza kumudu kumtunza binti yetu. Hata tukizeeka, bado ana kaka wa kumtunza.” Bwana Masanja alikoroma.
Rodney alikuwa na huzuni. "Lakini Forrest pia ataoa na kupata watoto katika siku zijazo ..."
Forrest alimsahihisha, “Sina mpango wa kuwa pamoja na mwanamke ambaye hawezi kukubali dada yangu mdogo kuishi nasi.”
Rodney, aliguna kwa mshangao. Familia ya Masanja ilijitolea kweli kweli kumlinda binti yao.
"Baba, kaka, nakupenda." Pamela alitokwa na machozi.
"Msichana mzuri, nenda kupumzika." Forrest alimbembeleza.
“Lisa, tulale pamoja usiku huu. ” Pamela alimvuta Lisa hadi juu.
Lisa alipoingia chumbani, alimuona Rodney akiwa chini huku kichwa chake kikiwa kimeinamishwa chini. Alionekana kama mtu aliyeachwa. Baada ya kufunga mlango, alisema kwa kijicho, “Tangu nilipokuwa mdogo, siku zote nimekuwa nikiionea wivu familia yako. Wazazi wako wanapendana, na una kaka mkubwa wa ajabu na mzuri ambaye anakudekeza.”
"Wewe pia hauko vibaya sasa. Una jozi ya mapacha na mwendawazimu ambaye anampenda mke wake.” Pamela alicheka. “Haya, unataka kwenda mahali ambapo tulikuwa tukila chakula cha jioni? Hatujafika huko kwa miaka mingi.”
"Kweli, twende baada ya kuoga."
Baada ya kuoga, ilikuwa karibu saa tatu. Lisa na Pamela walishuka chini kwa siri. Baada ya kufungua gari na kujiandaa kuondoka, ghafla wakasikia sauti ya Rodney nyuma yao.
“Mnaenda wapi katikati ya usiku?”

Sura ya: 704
 
Pengine pia alikuwa amemaliza kuoga. Alivaa suruali ya pamba ya kijivu na fulana nyeupe. Nywele zake nyeusi zilikuwa zimekatwa kwa umaridadi kwenye kichwa chake. Midomo yake myekundu na meno meupe yalimfanya awe na sura ya kumroga.
"Si kazi yako," Pamela alisema kwa sauti isiyofurahisha. "Nenda kalale. Nitatoka na Lisa.”
“Sina wasiwasi na wewe. Nina wasiwasi na mtoto.” Rodney alikoroma. “Msifikiri kwamba sijui kwamba nyinyi wawili lazima mtakuwa mkitoroka kwa ajili ya chakula cha jioni.”
"Ulijuaje?" Macho mazuri ya Pamela yalitoka kwa mshangao.
Rodney alitabasamu. “Alvin alinikumbusha kuwa niwaangalie nyie wawili usiku kwa sababu mko wote walafi.”
Lisa na Pamela waliona haya. Rodney aliona nyuso zao na alijua kwamba alikuwa amekisia kwa usahihi. Akachukua funguo za gari mikononi mwa Lisa.
“Sitapinga kula chakula cha jioni mara moja moja, lakini itabidi niende na nyie. Kwani nyie wawili ni warembo, kwa hiyo angalau nitaweza kuwalinda ikiwa kuna kitu kitatokea.”
Hakuna mwanamke ambaye asingependa kusifiwa kwa uzuri wake. Pamela akamtazama. "Basi tutakupa nafasi."
Rodney aliendesha gari, na mara wakafika kwenye barabara yenye migahawa.
Gari ilisimama kwenye mlango wa mgahawa ambao Lisa na Pamela mara nyingi walienda.
Ingawa hawakuja kwa miaka kadhaa, bado mmiliki wa mkahawa huo angeweza kuwatambua mara moja. "Lo, ninyi wawili hamjaja hapa kwa miaka mingi."
"Tulienda nje ya nchi." Lisa alitabasamu. "Biashara yako inazidi kuwa bora na bora."
"Ndio, hata nilikodisha duka jirani ili kupanua biashara." Bosi alimtazama Rodney na kumtania Lisa. “Huyu ni mpenzi wako?”
Kisha, akamgeukia Pamela. “Kwanini hukumleta mpenzi wako?”
Lisa na Pamela walionekana kuwa na aibu kwa wakati mmoja. Rodney aliyatafakari maneno yale na alionekana kuelewa kitu. Kisha kwa makusudi alimwonyesha Pamela kwa uso wa giza. “Mimi ni mume wake.”
Wakati huu, bosi ndiye aliyepata aibu. "Ni samehe, ni kumbukumbu zangu mbaya. Nilisahau kwamba imekuwa miaka kadhaa. Mumeo ni mzuri zaidi kuliko yule jamaa.”
“Ni sawa.” Pamela alitabasamu.
"Keti chini. Nitawaletea menyu." Bosi akawaambia wakae.
Lisa alitazama huku na kule na kuwaza kuwa ndani kulikuwa na watu wengi, wakaamua kukaa mezani nje.
"Umewahi kuja na takataka hiyo Patrick hapo awali?" Rodney aliuliza kwa mguno wa baridi.
"Ndio, ilikuwa muda mrefu uliopita. Sijafika hapa tangu tulipoachana miaka michache iliyopita,” Pamela alisema.
Lisa aliongeza, “Chakula cha hapa ni kizuri sana. Pamela na mimi tulikuwa tukija hapa wakati wote tulipokuwa chuo kikuu. Wakati mwingine, tulikuja pia na... "
“Na nani? Patrick?” Rodney aliwaona wale wanawake wawili wakikunja uso ghafla na kuacha kuzungumza, hivyo hakuweza kujizuia kuuliza.
“Hapana, unamfahamu pia. Ni Cindy,” Pamela alisema kwa huzuni. “Hapo zamani, mimi na Lisa, Cindy, tulikuja hapa mara nyingi. Kila mara tuliagiza chupa chache za bia kila tulipokuja.”
Rodney aliganda. Alijua kuwa Cindy aliwahi kuwa karibu nao sana. Katika miaka mitatu iliyopita, alikuwa akimsikia Cindy kila mara akisema kwamba Lisa na Pamela walijifanya kama watoto wa kishua na kumdharau yeye ambaye alitoka katika hali ya kawaida. Bila shaka, alijua kuwaamini Pamela na Lisa sasa. Pia alijua kwamba alikuwa amewaelewa vibaya sana hapo awali.
"Hey, Heroine, ni bahati mbaya gani? Sikufikiria kwamba tungekutana tena.” Ghafla, mtu mrefu akasogea hadi kwenye meza. Uso wake mzuri ulijawa na furaha alipomuona Lisa.
Lisa alitazama juu. Alikuwa ni kijana ambaye alikuwa amemwokoa kutoka mikononi mwa vibaka asubuhi ya siku hiyo. Wakati huo, Matthew alikuwa amevaa shati jeusi la mikono mifupi. Alikuwa na kope nene na macho ya kung’aa ambayo yalikuwa ya kupendeza kama nyota. Isitoshe, alikuwa na shingo nzuri yenye koromeo la kiume. Ingawa alikuwa na umri wa miaka 21 tu, alitoa sura ambayo iliwafanya wanawake kuwa wajinga.
 
Back
Top Bottom