Salma abdul
New Member
- Apr 1, 2023
- 1
- 0
DuuhView attachment 2548552
Jamani mwendelezo utakua mgumu mana mwandishi mefungia copying en forwading kama mnavoona hapo kwenye picha[emoji3064][emoji3064] ko sijui tufanyaje wakuu?? leteni mawazo
uuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhView attachment 2548552
Jamani mwendelezo utakua mgumu mana mwandishi mefungia copying en forwading kama mnavoona hapo kwenye picha[emoji3064][emoji3064] ko sijui tufanyaje wakuu?? leteni mawazo
Possibly aisee..dah story nzuriHuyo mwamba alonunua jumba la Kimaro atakuwa Mike tikisa nashuku tu
Anazingua sana, naomba tu Chubbylady aongee naye auze kupitia kwake.
Sawampigie cm ukiona hajibu txt hata mimi huwa ananifanyia hivo hivoo unakuta unamtumia txt leo anajibu keshokutwaa[emoji35][emoji35]
Hata kama ni za kiarabu, kwetu ni burudani tosha.Kimsingi hizi novel za kichina watu wana translate tu na kubadilisha baadhi ya vitu
Hata kama ni za kiarabu, kwetu ni burudani tosha.
Jaman nikitaka kununua nafanyaje[emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa yani
Pongezi nyingi kwa mtunzi wa hii story, actually you are so amazing. Story kama hizi ndio zilinifanya niwe addicted na drama za kichina, hasa kwenye hii genre ya; business, romance, family. Mara ya kwanza nilikuwa napenda sana chinese historical drama, lakini nilikuja kugundua chinese modern drama ni bab kubwa, hasa ukimkuta xu kai kama male lead na apate Li yitong, zhao liying au Bai lu kama female lead, lazima drama ihit sana. kwa story kama hii ikitolewa drama, trust me! itavunja record ya africa kama drama kali kuwahi kutokea. na ikipata actor na actress wazuri inaweza kutikisa soko la dunia. lakini sidhani kama tutaweza bajeti yake. ila unaweza kuhiuza china. keep it up!
Mie nitaigiza kama Mike Tikisa 😂trust me! itavunja record ya africa kama drama kali kuwahi kutokea. na ikipata actor na actress wazuri inaweza kutikisa soko la dunia.
Hii ni Novel ya Australia mkuu na Kuna series inafanana na hivi kila kitu. Nikikumbuka jina nitaliweka hapa.Kimsingi hizi novel za kichina watu wana translate tu na kubadilisha baadhi ya vitu
Mkuu mpaka sasa kwa ulivyoisoma hujagundua kuwa hii ni TRANSLATED?Pongezi nyingi kwa mtunzi wa hii story, actually you are so amazing. Story kama hizi ndio zilinifanya niwe addicted na drama za kichina, hasa kwenye hii genre ya; business, romance, family. Mara ya kwanza nilikuwa napenda sana chinese historical drama, lakini nilikuja kugundua chinese modern drama ni bab kubwa, hasa ukimkuta xu kai kama male lead na apate Li yitong, zhao liying au Bai lu kama female lead, lazima drama ihit sana. kwa story kama hii ikitolewa drama, trust me! itavunja record ya africa kama drama kali kuwahi kutokea. na ikipata actor na actress wazuri inaweza kutikisa soko la dunia. lakini sidhani kama tutaweza bajeti yake. ila unaweza kuhiuza china. keep it up!
Endeleza tu na umalizie ilipokomea ikiwa uliwahi kuisoma yote hiyo novelHii ni Novel ya Australia mkuu na Kuna series inafanana na hivi kila kitu. Nikikumbuka jina nitaliweka hapa.
Ndiyo ni translate ipo wazi, ila ni kiburudisho toshaMkuu mpaka sasa kwa ulivyoisoma hujagundua kuwa hii ni TRANSLATED?
Yes ni kiburudisho tosha mkuuNdiyo ni translate ipo wazi, ila ni kiburudisho tosha
Mkuu hebu tupe jina la movie husika tupambane nayoYes ni kiburudisho tosha mkuu
Niliangalia series yake ambayo imetengenezwa kutoka kwenye hiyo Novel mkuu, ni kitambo. Naitafuta na nikiipata nitaiweka hapa mkuuEndeleza tu na umalizie ilipokomea ikiwa uliwahi kuisoma yote hiyo novel
Utafanya la maana ukiiweka hapa maana translator mtangulizi anazingua Sana.Niliangalia series yake ambayo imetengenezwa kutoka kwenye hiyo Novel mkuu, ni kitambo. Naitafuta na nikiipata nitaiweka hapa mkuu