Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,,,,,,you 👍View attachment 3211129
Hii ni thread maalum ya simulizi mbalimbali pamoja na visa, mikasa na vitimbi vya wasanii wa zamani wa bongo fleva.
Stay tuned....
We dogo this time wakikutwanga hatugombelezei, uchezee kichapo nidhamu iwepo.Alafu mkuu wewe nishakufaham....
Ndo wewe walikua wanakutaja kwenye taarabu wanakuita faza mauji...
Mauji mauji... Mauji anachana nyuzi
Ni yupi kati ya hao kwenye picha?View attachment 3211330
Wimbo wa Tutakukumbuka unatoka mwaka 2001, King Crazy GK amemshirikisha TID.
Ni wimbo maalum kwa mshikaji wake anaitwa D Rob aka Zomba.
Mwana FA kwenye ngoma yake ya Ingekuwa Vipi anatuuliza, Ingekuwa Vipi angekuwa hai D Rob?
Huyu D Rob ni nani?
Marehemu D Rob aka Zomba ambaye jina lake halisi ni Robert alikuwa moja ya rappers wakali kabisa wakati huo, akiwa member wa Kwanza Unit (Mimi namuweka kwenye top ten ya rapaz wakali bongo wa muda wote). Ni moja ya marapa waliokuwa wanakubalika sana mtaani haswa kwenye concert za wakati huo.
Watu wanasema ni time traveller sababu alitabiri kifo cha kwenye wimbo wa Msafiri, classic song ya Kwanza Unit.
Mimi ni naupenda wimbo wa Lady JayDee unaoitwa Nakupenda sababu ya verse ya D Rob.
M.A.P Zomba!
Eazy B, D Rob, Chief Rhymson, Fresh G, na mwanangu mwenyewe Y-Thang.View attachment 3211330
Wimbo wa Tutakukumbuka unatoka mwaka 2001, King Crazy GK amemshirikisha TID.
Ni wimbo maalum kwa mshikaji wake anaitwa D Rob aka Zomba.
Mwana FA kwenye ngoma yake ya Ingekuwa Vipi anatuuliza, Ingekuwa Vipi angekuwa hai D Rob?
Huyu D Rob ni nani?
Marehemu D Rob aka Zomba ambaye jina lake halisi ni Robert alikuwa moja ya rappers wakali kabisa wakati huo, akiwa member wa Kwanza Unit (Mimi namuweka kwenye top ten ya rapaz wakali bongo wa muda wote). Ni moja ya marapa waliokuwa wanakubalika sana mtaani haswa kwenye concert za wakati huo.
Watu wanasema ni time traveller sababu alitabiri kifo cha kwenye wimbo wa Msafiri, classic song ya Kwanza Unit.
Mimi ni naupenda wimbo wa Lady JayDee unaoitwa Nakupenda sababu ya verse ya D Rob.
M.A.P Zomba!
D Rob alijywa pia mtoto wa kishua mara waseme alkuwa na ngoma sijui sijuiView attachment 3211330
Wimbo wa Tutakukumbuka unatoka mwaka 2001, King Crazy GK amemshirikisha TID.
Ni wimbo maalum kwa mshikaji wake anaitwa D Rob aka Zomba.
Mwana FA kwenye ngoma yake ya Ingekuwa Vipi anatuuliza, Ingekuwa Vipi angekuwa hai D Rob?
Huyu D Rob ni nani?
Marehemu D Rob aka Zomba ambaye jina lake halisi ni Robert alikuwa moja ya rappers wakali kabisa wakati huo, akiwa member wa Kwanza Unit (Mimi namuweka kwenye top ten ya rapaz wakali bongo wa muda wote). Ni moja ya marapa waliokuwa wanakubalika sana mtaani haswa kwenye concert za wakati huo.
Watu wanasema ni time traveller sababu alitabiri kifo cha kwenye wimbo wa Msafiri, classic song ya Kwanza Unit.
Mimi ni naupenda wimbo wa Lady JayDee unaoitwa Nakupenda sababu ya verse ya D Rob.
M.A.P Zomba!
Fresh G nilimkubali sanaEazy B, D Rob, Chief Rhymson, Fresh G, na mwanangu mwenyewe Y-Thang.
Kwanza Unit.