Simulizi, Mikasa, Vitimbi na Visa vya wasanii wa zamani wa bongo fleva - A special thread

Alafu mkuu wewe nishakufaham....

Ndo wewe walikua wanakutaja kwenye taarabu wanakuita faza mauji...

Mauji mauji... Mauji anachana nyuzi
Hao kama Sio jahazi modern basi ni tot na Khadija khopa "mimi nilikuaga napiga remix mauji mauji🤣mauji Yanachapa chupi
 
Una uhakika Richard makala bado yupo hai🤔
 
Na ndiyo maana siku moja anahojiwa "ni kitu gani unajutia katika maisha yako ua muziki" Chuma kilijibu "sina cha kujutia maana kila kitu nimekwishafanya" Kifupi mwamba hana cha kupoteza👀
 
Chief hapa umeshinda sana uko full details kongole sana. Mwamba huo ugonjwa wa usingizi ulimpelesha sana
 
Hao kama Sio jahazi modern basi ni tot na Khadija khopa "mimi nilikuaga napiga remix mauji mauji🤣mauji Yanachapa chupi
Ndo huyu jamaa ndo mauji mwenyewe alafu anajifanya kama hajui kitu hivi ahahahha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…