THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
Nikutakie usiku mwema nakuombea kwa mola janga lolote lisikukute katika kuandaa simulizi yako. Akuepushe na matumizi ya vileo ili akuongezee umakini katika utunzi wako tuseme🤔 alhamdulillah.Ooh jamani ndugu zangu, sijawasahau. But bear with me, naukamilisha msimu pili but it will take time. Inachukua mda kupangilia kila kitu kiwe in order so mtanivumilia. Lakini haitakawia mno. Tuko pamoja
Mkuu shukrani sana kwa story nzurii, leo siku ya tatu nalalamikiwa siko sensitive na ninachoambiwa 🙌🙌🙌Ooh jamani ndugu zangu, sijawasahau. But bear with me, naukamilisha msimu pili but it will take time. Inachukua mda kupangilia kila kitu kiwe in order so mtanivumilia. Lakini haitakawia mno. Tuko pamoja
Asante sana ndgNikutakie usiku mwema nakuombea kwa mola janga lolote lisikukute katika kuandaa simulizi yako. Akuepushe na matumizi ya vileo ili akuongezee umakini katika utunzi wako tuseme🤔 alhamdulillah.
🤨Story iko mbioni hiyoooo muipe tu muda kidogo 😁
Wengine likizo yetu inatuishia mkuuStory iko mbioni hiyoooo muipe tu muda kidogo 😁
Tukajua umenyakuliwa na wasiojulikana. Kila la heriThe story will be completed in over two weeks. Pray for your wiriter nimalize salama