Hujaelewa tatizo, sasa mambo ya nikatoka hapa nikatembea polepole mara nikajikwaa sijui nikapita uchochoroni mara nikanywa bia nikainyanyua chupa hivi na vile, acha kuzunguka mbuyu nenda kwenye point, unapoteza maudhui ya simulizi yakoInaitwa build-up. Maelezo unayoona hayana maana yanaweza kuja kuwa crucial baadaye kwa njia kubwa. Inaonekana we ndo wale wanaopenda mambo ya pika boom boom kwenye episode za kwanza tu. Siharakishagi mamb mzee, ukiwa humu tambua hilo. Peace
Eti nikajikuna kidogo nikakaa, nikaenda weeeHujaelewa tatizo, sasa mambo ya nikatoka hapa nikatembea polepole mara nikajikwaa sijui nikapita uchochoroni mara nikanywa bia nikainyanyua chupa hivi na vile, acha kuzunguka mbuyu nenda kwenye point, unapoteza maudhui ya simulizi yako
Hahahaha, nikatembea weeee mara nikachokaEti nikajikuna kidogo nikakaa, nikaenda weee
ila kweliJamani tuongezee kidogo basi tumalizie weekend
Macho yenye matege 😂Kwa hiyo leo umetupa JC ameamka tu hata mchana haujafika,Hiki kijamaa bwana.
Yaan ameamka akafapiga mswaki then…….. ITAENDELEA
Sawa honey inakujaJamani tuongezee kidogo basi tumalizie weekend
[emoji8][emoji8][emoji8]santeeeeeeSawa honey inakuja
Huyo mrembo hapo juu inabidi awe anakuja mara kwa mara kukuita maana akiita yeye unaitika!Sawa honey inakuja
Ametugomea jaman sijui nmpe niniHuyo mrembo hapo juu inabidi awe anakuja mara kwa mara kukuita maana akiita yeye unaitika!
Big up sana Tony you are the best
Acha nae tuu akinisikia sawa,ataweka.Ametugomea jaman sijui nmpe nini
Nimekuja darling. Usingizi ulinipitia kidogo 😉Ametugomea jaman sijui nmpe nini