manndungu
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 501
- 483
Hujaelewa tatizo, sasa mambo ya nikatoka hapa nikatembea polepole mara nikajikwaa sijui nikapita uchochoroni mara nikanywa bia nikainyanyua chupa hivi na vile, acha kuzunguka mbuyu nenda kwenye point, unapoteza maudhui ya simulizi yakoInaitwa build-up. Maelezo unayoona hayana maana yanaweza kuja kuwa crucial baadaye kwa njia kubwa. Inaonekana we ndo wale wanaopenda mambo ya pika boom boom kwenye episode za kwanza tu. Siharakishagi mamb mzee, ukiwa humu tambua hilo. Peace