Simulizi: Mimi na Mimi

Simulizi: Mimi na Mimi

Returning main characters for Season 3: JC, Miryam, Tesha, Mariam, Ankia, Bobo, Bi Zawadi, Bi Jamila, Adeline, Leah, Jasmine, Stella, Beatha, and Festo!

Wataongezeka na character wengine muhimu kama Simba rafiki yake JC, na Evelyn, binti ya JC. Fanyeni utabiri 😁
Tunaomba title ya thread zako nyingine ambazo zimeisha hapa JAmii Forum
 
Returning main characters for Season 3: JC, Miryam, Tesha, Mariam, Ankia, Bobo, Bi Zawadi, Bi Jamila, Adeline, Leah, Jasmine, Stella, Beatha, and Festo!

Wataongezeka na character wengine muhimu kama Simba rafiki yake JC, na Evelyn, binti ya JC. Fanyeni utabiri 😁
Mkuu wewe ni Mtu Mbad story yako hata siwezi tabiri nipo kusubiri tu 😂😂😂
 
Kwahiyo JC baada ya kumshenyenta dada Yako hasira unahamishia kwetu? Tuonee huduma basi ndg yetu
 
Kwa story hii mkuu mi nimekuvulia kofia,
Kuna bibi tumebwagana kiroho safi nimemwambia aende tu mi nasoma hadithi.
Nikimuhitaji atakuja,wako kina ankia,betha ye kwanza nae anaitwa hivyo.
Soraya,Miriam,wote wapo ila bertha kisoronyoko km mwenzie unamsimulia hapa.~
Ila ana shape na sura km
ulimsoma yule miss bantu alifia ufaransa. aliyefia Ufaransa.
Huyu atakua alikua mamaake.
 
Back
Top Bottom