Simulizi: Mimi na Mimi

Simulizi: Mimi na Mimi

"Mwana nimesugua meno na huu ulimi mpaka cheche zimetoka, lakini nahisi harufu ya pombe haijakata. Sa' itakuwaje?" akaniambia hivyo.

Ahahahahahahaha!
Huyu Tesha ni mwehu sana.
Huyu .wamba hana mfano🤣🤣🤣🤣
 
Hatimaye nimemaliza dah sio poa, kwa hiyo ndo kusema kumtafuna kote kule miryam mpaka mifupa awe dada ako hapo haiwezakani kabisa tumekataa ndoa tunayo na tunatamba nayo.
Ninawaza tu baba yao Miryam na Joshua asije akawa mzee Frank Mayanza🤣🤣 kama nawaona Jasmin na JC wanavyorudi kwao Mbagala na Miryam na Joshua kuhamia Gobaaa😆
Ukikuta mzee manyanza ni babaake Tesha na jamila mke wa zamani wa mshua ndo utajua hujui
 
"Ikiwa alikuwa jini, basi moyo wangu ulikuwa umependa jini la maana sana!"
Jini Miryam. Aah niue tu .😀😀
 
Story inasubiri miezi mitatu kuendelezwa. Haya ni maajabu
 
Back
Top Bottom