babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huyu .wamba hana mfano🤣🤣🤣🤣"Mwana nimesugua meno na huu ulimi mpaka cheche zimetoka, lakini nahisi harufu ya pombe haijakata. Sa' itakuwaje?" akaniambia hivyo.
Ahahahahahahaha!
Huyu Tesha ni mwehu sana.