Simulizi: Mimi na Mimi

"Mwana nimesugua meno na huu ulimi mpaka cheche zimetoka, lakini nahisi harufu ya pombe haijakata. Sa' itakuwaje?" akaniambia hivyo.

Ahahahahahahaha!
Huyu Tesha ni mwehu sana.
Huyu .wamba hana mfano🤣🤣🤣🤣
 
Ukikuta mzee manyanza ni babaake Tesha na jamila mke wa zamani wa mshua ndo utajua hujui
 
"Ikiwa alikuwa jini, basi moyo wangu ulikuwa umependa jini la maana sana!"
Jini Miryam. Aah niue tu .😀😀
 
Story inasubiri miezi mitatu kuendelezwa. Haya ni maajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…