Patience my friend. Ni kam unavyongojea bonge moja la movieMwandishi ameingia nyasi π€π€ ama tuwe na subira!
Amu hiya!!!
Mkuu fanya ivyo basiAmu hiya!!!
Mamb mengi kaka, window ndogo. Usijali lakin nimerejea. TartiiibuWe jamaa umejua kutuweka hadi Mimi atakuwa amekaukwa machozi sasa
Ukorofi mwingiππ
Mama ake JC alikuwa Bado anatafakari
Kikao ndio kimeisha Jana
Kwahyo tutegemee Elton Tonny kuja na mwendelezi kabamnbe
Tuliishia pale JC kampeleka Mimi nyumbani kwako na wakapata zengwe kwa kuambiwa wao ni mtu na mdogo wake yaan wameshea Baba, so Mimi akaanza kulia ndo hapo tuliishia analiaNilishasahau nilipoishiaga.