Simulizi: Mimi na Mimi

Simulizi: Mimi na Mimi

Mama yake jc. Na mama yake mkubwa wa mimi ,, huko nyuma walishawahi ibiana mabwana ,, jambo ambalo lilipelekea ugomvi mkubwa sana baina yao,,, hivyo jc na mimi ndiyo wanaenda kuwapatanisha sasa ..
 
MIMI NA MIMI 2

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Tamaa, Hila, Usaliti, Siri, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA AROBAINI NA TATU

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★


Baada ya kufika kwa Ankia, nikaenda kujimwagia upesi na kurudi ndani tena, bado nikiwa nahisi raha sana moyoni. Ankia hakuwepo, na nilijua lazima angekuwa na Bobo kujivinjari mahali fulani kwa kuwa nilimpa jamaa gari ili wakatembee. Kwa hiyo nikaamua kumcheki Bobo ili nijue wako pande zipi, kwa sababu nilikuwa na mipango mipya kwa wakati huu. Nilipompata, akaniambia kwamba walikuwa maeneo ya Rangi tatu huko, akiwa amempeleka Ankia kupata burudani sehemu nzuri ya Dar Live, naye akauliza ikiwa nilihitaji gari ili alirudishe huku.

Nilitaka kutumia muda pamoja Miryam, yaani nimtoe out kwa usiku ili tujiburudishe baada ya mama mkubwa wake kuwa amelegeza vyuma, na kwa sehemu niliyofikiria kumpeleka ni kweli nilihitaji gari. Lakini isingekuwa na shida maana ndiyo nilikuwa nimetoka tu kumletea bibie gari jipya, hivyo nikamwambia Bobo haikuwa na haja ya yeye kulileta gari kwa kuwa ningetumia "usafiri" mwingine kwenda nilipotaka, kwa hiyo asingehitaji kukatisha wakati wake mzuri na mpenziwe. Ikaeleweka, na baada ya hapo ndiyo nikaamua kumpigia mama yangu ili kumjulisha kuhusiana na matembezi niliyotaka tufanye kesho nyumbani huko.

Mama yangu akiwa mpenda wageni awaye yeye, akafurahi sana kujua kuwa angemwona Miryam tena kesho, na angefurahia hata zaidi kukutana na ndugu zake wengine. Nikamuuliza kama hilo lingekuwa sawa kabisa kwa mzee, maana nilihitaji na yeye pia awepo sasa sikujua ratiba yake kwa kesho, lakini akaniambia nisijali kuhusu hilo, yeye angepanga kila kitu hapo ili siye tufike, na jioni ya saa mbili ndiyo ungekuwa muda mzuri. Nikamshukuru sana kwa utayari wake, nikimwambia tungeongea zaidi kuhusiana na ishu ya Stella na mwanangu pia, kisha baada ya hapo tukaagana vyema. Hiyo ikatiki, nami sasa nikampigia bibie wangu ili nianze kumshawishi tufanye safari fupi ya kwenda kujivinjari usiku huu.

Alipopokea, nikamweleza kuhusu wazo langu, na mwanzoni alihisi namfanyia tu masihara maana kwake wakati huu ungekuwa siyo mzuri sana kuondoka nyumbani, lakini nikamwambia sitanii. Nilitaka kumtoa, tukale dinner mahali pazuri kabisa, kisha tungerejea tu. Nikamshawishi kwa kusema hata hivyo alihitaji kujaribu gari lake jipya, aanze na kulizoea. Baada ya kujifikiria kwingi kama ilivyo kawaida yake, akawa amekubali, akiniambia atajiandaa upesi ili tutoke hiyo hiyo saa mbili, na kufikia saa tano tuwe tumerudi. Hakujua nilipokuwa napanga kumpeleka, yeye alidhani itakuwa karibu, hivyo nikamkubalia tu ili asije kupinga wazo langu.

Haikuchukua muda mrefu kwangu kusikia gari lake Miryam lilipoingia hapo kwake baada ya kumaliza kuongea naye, ikiwa wazi kuwa Tesha aliwarejesha ndugu zake hatimaye. Saa mbili ilikuwa imeshaingia, na mie hapa nilikuwa nimefanya maandalizi ya mlo wangu na bibie kwa njia ya simu, nikinunua meza moja kwa ajili yetu ili tukifika nilipoweka hiyo oda, basi tufike kama wateja maalumu na kufurahia wakati wetu pamoja bila bughudhi. Nikamcheki bibie tena kumwambia mimi ndiyo nilikuwa nimeanza kuvaa, naye akajibu kuwa ametoka kuoga na angemaliza kuvaa muda si mrefu pia, lakini nikamwambia atumie muda wote aliohitaji kujipendezesha bila papara.

Kwa hiyo kweli nikaanza kuvaa, nikivaa lile shati kali la waturuki nililochukua ile siku ya send-off yake Doris, pamoja na kardet-jeans nyeusi, na miguuni nikitia vile viatu vyeusi rasmi vya siku ile ile. Nilihakikisha mwonekano wangu unaenda kuua baadhi ya macho huko tuendako. Nikamaliza kila kitu na kumtumia ujumbe bibie, nikimwambia ndiyo ninatoka, na nitatembea taratibu kupitia barabara ya Masai mpaka huko lami, hivyo yeye akitoka tu na kuanza kuja na gari lake ataniona. Baada ya hapo ndiyo nikatoka kweli na kufunga nyumba, huyoo nikaingia barabani na mwonekano wangu utadhani naenda kufanya ufisadi.

Ni muda mfupi tu hata kabla sijaipita Masai na bibie akanitumia ujumbe akiwa anasema ameshatoa gari nje, na alikuwa akija. Alishangaa mwanzoni kwa nini niliamua kuanza kuondoka kwa miguu wakati tungeweza ondoka pamoja, lakini nikamwambia nilipenda tu kufanya hivyo. Kihalisi, sikutaka tena niende hapo kwao, tuzungushane wee, hamna. Nilitaka atoke, tuondoke. Na tayari ilikuwa inaelekea kuingia saa tatu. Wakati nikiwa nimeipita tu Masai ndiyo nikageuka na kuona kwamba kweli gari jipya la bibie wangu lilikuwa likija, na waliokuwa hapo nje ya Masai walinitazama mno.

Gari la mpenzi wangu likanifikia hatimaye, nami nikafungua tu mlango wa siti ya pembeni na usukani na kuingia. Tayari gari lilikuwa limeshaanza kunukia harufu yake bibie, na yeye alikuwa ameketi kidereva hapo huku akiniangalia kwa njia ya kuhukumu kutokana na jinsi nilivyovaa. Nilipendezwa pia na uvaaji wake, akiwa ametia gauni laini lenye rangi mbalimbali lililoonekana kufikia magoti yake, huku kwa juu akifunika kifua na mikono kwa kikoti cheupe cha kike ili kujikinga na baridi la usiku. Aliziachia nywele zake na kuzilaza upande mmoja wa bega lake.

Nikamsifia kuwa amependeza, na alipouliza tunaelekea wapi, nikamwambia aendeshe gari kuelekea Kongowe. Akaendelea kuendesha huku nikimjulisha kuwa tayari niliongea na mama kuhusu kwenda nyumbani kesho pamoja na mama wakubwa, na alifurahi sana kwa utayari wote kuwapokea wanafamilia wa Miryam. Bibie akaonekana kupata amani zaidi baada ya kujua hilo, na safari ikaendelea huku nikimwelezea jinsi ambavyo sipati picha siku yetu ya harusi ikifika mambo yatakuwa vipi. Yaani ndiyo tulikuwa tunaelekea kufika huko kabisa, ilikuwa kama ndoto, lakini sasa ingeenda kutimia. Kama masihara vile!

★★

Basi, mwendo wa dakika chache na tayari tukawa tumeifikia Kongowe. Miryam alifikiri kwamba nimeamua kumpeleka sehemu fulani ya haya maeneo ili tuipate hiyo 'dinner,' hivyo akauliza tunaingia wapi. Nikamwambia tubadilishane siti ili mimi niendeshe kuelekea huko, naye akakubali hilo. Nilipoingia kwenye usukani, nikaanza kutembeza gari kwenye barabara ya kuelekea Toangoma, tukapapita, na bado nikaendelea kusonga mbele. Mh? Miryam akashtukia dili na kuuliza 'wewe tunaenda wapi,' lakini sikumpa jibu. Si muda mrefu baada ya hapo ndiyo bibie akawa ametambua kwamba nilimuuza, hatukwenda sehemu ya karibu, bali mbali. Akaniuliza ikiwa hali ndiyo iko hivyo, nami nikamtikisia kichwa kukubali.

Hakuonekana kuudhika sana, maana ile hali ya kunizoea na ma-surprise yangu tayari alikuwa nayo, hivyo akauliza tu tungekwenda wapi kihususa. Nikamwambia tulikuwa tunaenda Kivukoni, kuelekea huko bandarini, naye akashangaa. Akaniambia huko ni mbali, tuvuke maji, twende, tule, turudi tena, itakuwa ni saa ngapi? Akaniasa nigeuze tu na tungetafuta sehemu nyingine nzuri ya kupata mlo, lakini nikamwambia nilikuwa nimeshafanya malipo. Hapo ndiyo akaonekana kukerwa zaidi sasa. Hakunisemesha tena, ila tukawa tunaangaliana na yeye kunikata macho ya hasira, lakini hakuwa na namna ila kukubali tu nimpeleke.

Kununa, asinune, mipango ilikuwa mahala pake, na najua ange-enjoy. Tukafika kwenye uvushwaji, tukavushwa na gari letu mpaka upande wa pili, nami nikaendeleza safari. Muda ulikuwa unaenda, mpaka inafika saa nne bado tulikuwa barabara ya Kivukoni kuelekea huko nilikotaka, na bibie alionekana kuudhika bado. Alikuwa hadi amewasiliana na wa nyumbani kujua hali na nini, nami nikaendelea kubunda tu kama vile sipo. Alikuwa anataka nimbembeleze, ila hilo nililitunza kwa ajili ya baadaye. Nilikuwa nikifuata ramani ya GPS kwenye simu yangu, nikiiweka usawa wa redio ya gari kufuata uelekeo wa eneo nililopanga kumpeleka huyu, na hatimaye tukafika.

Yaani, nilipokuwa naliingiza gari kuelekea eneo pana la sehemu hiyo niliyomleta bibie, alikuwa akiniangalia mara kwa mara, kwa njia tulivu tu, lakini najua hakutegemea. Na mimi nikabaki kimya tu, mpaka nikapita ulinzi vizuri kabisa, kisha nikapeleka gari maegeshoni ambako kulikuwa na magari mengi ya kifahari, na kulikuwa na mtu aliyetuongoza kwa nje kulipeleka gari hadi sehemu iliyo wazi kwa ajili ya kuegesha. Nikazima gari baada ya kuegesha hapo, nami nikamtazama Miryam usoni. Yeye pia alikuwa ananiangalia kwa njia makini, eti akisubiri nianze kuelezea, lakini nikafungua tu mlango na kutoka, nikizunguka mpaka upande wake yeye na kumfungulia ili ashuke.

Miryam akashuka, na alikuwa amevaa simple za silver miguuni, simple tu, nami nikafunga mlango wa gari nikiwa kwa ukaribu pamoja naye.

"Twende."

Nilimwambia hivyo bila kumtazama wala nini, halafu nikaanza kuondoka hapo. Nilikuwa nimejifanya nimekaza, na nilipogeuka nyuma, nikakuta Miryam akiwa bado amebaki kusimama pale pale huku akiniangalia kwa njia makini, kama kuonyesha amekwazika sana kwa namna ambavyo namtendea, nami nikashindwa kujizuia kutabasamu ns hatimaye kumrudia huku nikikimbia taratibu. Nikamfikia na kumkumbatia huku nikicheka kwa pumzi, yeye akiwa kama vile ameganda, nami nikamwachia mgongo na kuendelea kumshika kiunoni.

"Ahahah... I'm sorry. Nilitaka kuona reaction yako," nikamwambia hivyo kwa hisia.

Akaonekana kukosa amani bado.

"Heeey, usiwe hivyo. Nilikuwa natania tu. Na... nilijua usingekubali mie kukuleta huku kote, ila ndiyo tayari nikawa nimeshalipia. Na ni gharama," nikamwambia hivyo.

Akaniangalia machoni na kuniambia, "Kwa nini umenileta huku sasa? Mbona kuna sehemu zingine nzuri tu?"

"Siyo kama hapa. I mean... hebu paangalie kwa mara ya pili. Nipe opinion yako. Honestly kabisa," nikamwambia hivyo huku nikimtazamisha sehemu niliyokuwa nimemleta.

Hapa ilikuwa ni kwenye moja ya hoteli kubwa zaidi jijini, nikisema kubwa ni kubwa haswa. Ilikwenda kwa jina la Hyatt Regency "The Kilimanjaro," ambayo ilikuwa na majengo makubwa ya maghorofa, eneo pana sana la maegesho, bustani maridadi, na huduma za gharama ya hali ya juu. Eight star kabisa huko. Yaani hii hoteli, niliipenda sana, nilikuwa nimewaza nimelete Miryam hapa angalau nimwonyeshe ni namna gani nilifikiria mengi mazuri kumwelekea, na kwangu mimi ilikuwa ni mara ya kwanza kufika hapa kwa kugharamia mwanamke kama hivi. Kipindi cha nyuma nililetwa tu na mtu fulani kushangaa-shangaa.

Nikamuuliza, "Ulishawahi kufika hapa?"

Miryam akatikisa kichwa kukanusha.

"What do you think?"

Akaniangalia machoni na kusema, "Ni pazuri. Lakini Jayden..."

"A-a-aah... reservation iko mahali pake Mimi. Usisuse now, nitachekwa mitaani," nikamwambia hivyo kiutani.

Akashusha pumzi kwa njia ya kusema 'kazi ipo.'

"Hahah... come on baby. Twende," nikamwambia hivyo.

Akanikazia macho yake kama kuonyesha ameudhika.

"Ooh, sorry... hahah... sitakiwi kukuita baby, haya twende basi mama. Twende," nikamwambia hivyo na kumshika kiganja, nikimvuta kwa ushawishi.

Miryam akalegeza, nasi tukaanza kuelekea huko mjengoni pamoja kama wapendano tulio siye.

Hoteli ikiwa ni kubwa mno, ingekuwa rahisi kujiuliza ni wapi tulipopaswa kwenda kwanza, labda mapokezi, lakini mimi na bibie wangu tukafatwa na mmoja wa wahudumu wa sehemu hiyo aliyetuona tunaelekea hapo. Walikuwepo wakaribishaji yaani. Nikamjulisha kwamba nilikuwa nimeshanunua meza moja maalumu ya chakula cha jioni kwa ajili ya wapendanao, naye akatuongoza kuelekea mpaka eneo lililokuwa na kaunta pana la mapokezi. Akaniambia nizungumze na msaidizi hapo, nami nikamshukuru na yeye kuondoka.

Baada ya kumwambia msaidizi kuhusu ishu yangu, akaangalia kwenye kompyuta yake, naye ndiyo akanionyesha tabasamu mwanana la kunikaribisha baada ya kuona nilinunua meza ya gharama. Nadhani akafikiri nina pesa sana, na kwa mwonekano wangu na Miryam pia, akatukaribisha kwa maneno mazuri na kusema meza yetu ilikuwa imetengwa huko juu walikopaita "level 8," kisha akatuma ujumbe kwa mmoja wa wahudumu maalumu hapo ili atuongoze huko. Wakati tukisubiri, niliona Miryam akiwa ametulia tu kuangalia pembeni, nikiona baadhi ya wanaume waliokuwepo wakimtazama sana, wazungu-wazungu wengi wakiwa wanaingia na kutoka, nami nikapitisha mkono wangu kiunoni kwake na kumpa tabasamu. Hatimaye akawa amerudisha tabasamu pia.

Basi, mhudumu maalumu akawa amefika, mwanaume aliyevalia rasmi kikazi, naye akatuongoza kuelekea lifti huku akiniita mimi "sir" na Miryam "madam." Alikuwa mtanzania lakini aliongea kiingereza tupu, na sisi hatukuwa nyuma ingawa hatukumsemesha sana. Tukafika huko juu hatimaye, jamaa akatuongoza kupita korido hili na kona ile, nasi tukafikia eneo lililokuwa kama chumba, lakini kwa nje, kukiwa na mapambo ya majani mafupi kama kiwanja ardhini, maua, na sehemu yenye meza na viti vya watu wawili; meza iliyofunikwa kwa kitambaa-satini safi cha kijani. Jamaa akatukaribisha tukae hapo, akisema oda zetu zingekuja muda si mrefu, naye akaosha.

Nikamsaidia Miryam aketi vizuri kitini, kisha nami nikaenda kukaa kwenye changu. Tulikuwa tunaangaliana sawia, ingawa meza ilikuwa na upana uliotuachanisha kiasi, na bibie wangu aliniangalia kwa njia fulani iliyoonyesha hisia nzuri. Nikawa namtikisia nyusi kama kumuuliza 'vipi,' naye akatabasamu kiasi na kuitoa simu yake. Alikuwa akiangalia saa, na ikiwa ni saa nne bado, akanionyeshea muda na kuniwekea uso wa kuuliza ikiwa kweli tungewahi kutoka huku, nami nikamwambia atulie tu, asiwaze mengi ili tufurahie muda huu kwanza na mengine yangefuata. Akaridhia.

Muda si mrefu, wakaanza kuja wahudumu wengine watano hapo, tena pamoja na mzungu mmoja aliyevaa suti, na hao wahudumu walibeba sahani pana lililofunikwa, humo kukiwa na vyakula bila shaka, na wengine walibeba chupa mbili za wine nyekundu, chupa za maji ya kunywa, glasi za vioo, vyombo vya kulia, na tishu. Wakaipamba meza vizuri kabisa, huku huyo mzungu akiongea na sisi kwa njia ya kirafiki kutukaribisha vyema na kutupongeza kuchagua sehemu nzuri ya kuonyeshana upendo wetu, na ndiyo baada ya hapo wakatuonyesha sehemu ya kunawia mikono iliyokuwa ukutani pembeni, kisha wahudumu na mzungu wakaondoka huku tukiambiwa "enjoy."

Kila kitu kilipangiliwa vizuri sana. Hapo tuliwekewa chakula kwa njia fulani kama kisinia, yaani hilo sahani pana ndiyo lilikuwa na vyakula mbalimbali vitamu vilivyopangwa kwa njia mbili, yangu na yake bibie, na siye tungejichagulia chochote kile kwa kuweka kwenye sahani zetu na kula. Nilikuwa nimeweka ile oda spesho, yaani tuwe sisi pekee upande huu, nami nikanyanyuka na kumshika mkono bibie, yeye pia akinyanyuka, kisha tukaenda kusafisha mikono na kurudi kuketi tena.

Nilitenda kama kwa staha fulani za wazungu, taratibu yaani, tukajiwekea vyakula, nikafungua chupa ya wine na kummiminia bibie glasini, nami nikajimiminia, halafu nikagongesha naye cheers ili kuanzisha mlo rasmi. Nikawa nakula kwa kutumia uma na kisu, eti nakatakata nyama halafu nakula kwa njia fulani ya makusudi kama vile sina muda yaani... hela ipo sana!

Miryam akashindwa kujizuia kucheka kidogo, naye akasema, "Una makusudi Jayden!"

"Ahahah... tuko uzunguni, lazima tuwe wazungu bwana," nikamwambia.

"Ah, me nakula kwa kawaida yangu kama mwanaMbagala. Uzungu fanya wewe..."

"Kwa nini sasa? Hujui kwamba ukienda Roma unatakiwa uishi kama Waroma wanavyoishi?"

"Sawa, lakini me hapa bado ni wa Bongo. Nitakula na kuvaa kibongo, hata kama nitaenda wapi," akasema hivyo.

"Mmm... bado unaniandama kwa sababu sikukwambia tunakuja huku eh?"

"Ah, wala. Kwanza... hhh... nimepapenda. Ni sehemu nzuri, pametulia huku, chakula kitamu, na... tuko private zaidi," akaniambia hivyo huku akinywa wine yake.

"Sasa je! Huwa nakosea kwani?" nikamwambia hivyo kiutani.

Akatabasamu na kuendelea kula.

"Unajua hii hoteli ishawahi ku-pay homage kwa Michael Jackson na mzee Mandela?" nikamwambia hivyo.

"Eti eh?"

"Mmm. MJ alipokujaga huku mpaka pua yake ikayeyuka, ndiyo alilalaga hapa, kesho yake akakimbia..."

"Ahahahah... we' ni mwongo sana..."

"Ih, unafikiri nakutania? Uje u-google uone," nikamwambia hivyo na kuendelea kula pia.

Kutokea hapo, maongezi yakaendelea kuwa yenye kufurahisha baina yangu na bibie, dakika zikiendelea kukatika tunafurahia mlo na kinywaji cha kutuchangamsha taratibu, naye akawa amepigiwa simu. Akanionyeshea kwamba ni Bi Zawadi ndiyo alikuwa akimpigia, naye akapokea na kuanza kuzungumza naye. Nikaendelea kumwangalia na kumsikiliza aliposema angechelewa kidogo kurejea nyumbani, hivyo hapo kwao wangepaswa wafunge tu geti mapema na wakati ambao angefika, basi angepiga simu. Ikaonekana kueleweka, naye ndiyo akashusha simu na kuendelea kula taratibu.

Nikawa namwangalia kwa hisia makini sana, nikiwa namtathmini yaani, dah! Kuwa naye hapa, hivi, yaani sijui nielezeeje. Nilijihisi kuridhika sana. Yeye akiwa anaendelea kula taratibu, akaona nimebaki kumtazama tu, naye akakunja uso kimaswali huku akitabasamu kiasi.

"Vipi, umeshiba?" akaniuliza.

Nikatikisa kichwa kukanusha.

"Kula. Msosi mtamu. Sijawahi hata kula hawa lobster, waliniogopesha mno zamani, ila leo ndiyo nitashukuru Mungu kunikutanisha na wewe. Inaonekana nitakuwa nafaidi sana haya madude maana we' unapenda mno mavitu ya kifahari," akaniambia hivyo.

Nikacheka kidogo huku nikiwa nimefumba mdomo, na yeye akaendelea kula huku akitabasamu. Lakini aliponiangalia usoni tena, akakuta bado nimemtazama tu, hivyo akajisawazisha na kuniangalia kiudadisi.

"Nini wewe? Si ule?" akaniambia hivyo na kasauti kake.

Nikatabasamu kiasi na kuangalia mezani.

"Una shida gani?" akaniuliza.

"Mm? Hamna. Hamna shida. Nakula," nikamwambia.

"Kwa nini ulikuwa unaniangalia hivyo?" akauliza kwa sauti ya chini.

"Ah, nothing... nisamehe kama...."

"No, niambie. Najua kuna kitu unawaza," akanikatisha.

"Sidhani sana kama uta...."

"Just tell me. Si ndiyo maana tuko wawili hapa? Niambie chochote unachowaza," akasema hivyo.

Nikatulia kidogo, kisha nikamwambia, "Nawaza kwamba nakupenda sana. Hivyo."

Akatabasamu kwa mbali na kuendelea kuniangalia kwa hisia.

"Na nime-miss," nikasema hivyo huku nikitazama mezani.

"Ume-miss nini?" akauliza.

Nikamwangalia usoni, naye akapandisha nyusi yake kusisitiza nimpe jibu, lakini nikaona nimpe jibu kwa vitendo. Nikaweka uma chini na kunywa maji kidogo, nami nikasogeza kiti changu nyuma na kuanza kushuka chini. Yaani nikashuka na kuuingiza mwili wangu chini ya meza, ikinifunika na kitambaa chake, na najua nilimwacha akiwa anashangaa hapo alipokuwa.

Akasikika akisema, "Jayden... wewe..."

"Tulia hivyo hivyo," nikamwambia nikiwa huku "under."

Kwa hapa chini, nilikuwa nikiitazama miguu yake myeupe, ambayo aliiweka kwa njia ya kuikunja pamoja na kuyabana mapaja yake, nami nikatambaa mpaka nilipoikaribia na kuugusa mmoja gotini.

"Jayden, acha! Hebu toka huko chini! Unafanya nini?" akasikika akisema hivyo kwa sauti ya chini.

Mwenzake hapa nilikuwa nimeshapotezwa na uzuri wa hiyo miguu yake, nikianza kutembeza vidole juu-chini kuupapasa mmoja, kisha nikafanya jitihada ya kuiachanisha ili nimpe jibu la nini nilikuwa nimekikosa. Lakini akaikaza, na akafunua kitambaa kilichoifunika meza ili aniangalie kwa chini, nami nikamwona sehemu ya kifua chake tu, uso ulifichwa.

"Jayden, hii sehemu ni formal, tunaweza tukafukuzwa. Kumbuka kuna utaratibu hapa..."

"Tutafukuzwa usipoacha mapepe, Mimi..."

"Nini? Me nina mapepe?"

"Ndo' utulie sasa..."

"Lakini Jayden..."

Nikaishika miguu yake na kuiachanisha, huku nikianza kukipeleka kiganja changu pajani kwake, naye akapitisha mkono wake mmoja kwa chini na kujaribu kunizuia.

"Jayden, achaa..."

Nikakishika kiganja chake na kukitoa kwa nguvu hapo chini, nami nikawa napandisha gauni lake hadi mapaja yake yakawa wazi zaidi. Niliweza kuona sasa chupi nyekundu aliyokuwa amevaa kwa ndani, ikinizuia kukiona kile nilichokuwa nime-miss. Nikawa nayatomasa mapaja yake kwa kutumia msuguo wenye nguvu kiasi, nami nikahisi hilo lilikuwa limeanza kumwamshia mwanamke wangu hisia nzuri. Akatelezesha mgongo wake kwenye kiti kuja chini, ili kiuno chake kisogee mbele ya uso wangu zaidi, na hiyo ingeficha uwazi ambao ulionyesha mapaja yake kwa juu endapo kama mhudumu angefika hapo.

"Jayden... eh... we' kaka..."

Nikamsikia akinong'ona hivyo, nami sasa nikawa nikipitisha kidole changu juu ya kitoweo chake kilichofichwa na kukikuna-kuna kwa juu. Aliniacha tu niendelee, nadhani kwa huko juu akijifanya kama ametulia tu, lakini raha ilikuwa imeanza kumwingia. Nikaishika chupi yake na kujaribu kuisogeza kwa pembeni, lakini kutokana na jinsi alivyokaa na mapaja yake manono kutoachia njia pana, haikuwa rahisi kuisogeza chupi kwa kiganja kimoja, mpaka vyote. Akataka kunizuia nisifanye hivyo kwa kuushika tena mkono wangu huku chini, lakini nikaukamata na kuushikisha kwenye chupi yake, nikimlazimisha aivute yeye mwenyewe.

"Hhh... Jayden... we should stop this. Kumbuka tunahitaji kuwahi... oohh...."

Mguno huo ulimtoka baada ya mimi kupitisha kidole changu kitoweoni kwake kwa kiganja kingine, nikitumia huo mkono kupanua zaidi mguu wake, naye akawa anaachia njia. Sikuhitaji tena msaada wa mkono wake, sasa nikaivuta chupi pembeni na kukifichua hicho kimrembo, ambacho kilikuwa kimelowana ute wake laini tayari, nami moja kwa moja nikakichokoza kwa kukipa salamu ya ulimi kwa kushtua kama nyoka. Miryam akaendelea kutulia, huku nikivuta taswira ni namna gani ambavyo sura yake ingekuwa imeanza kukunjamana kwa hapo juu, nami nikaanza kukinyonya kwa hamu zaidi kumwonyesha ni namna gani nilikuwa nimekikosa hata ingawa ilikuwa kwa siku chache tu.

Alianza kunyonga kiuno chake taratibu, na niliweza kusikia miguno yake ya pumzi kwa mbali, lakini akaiziba kwa kiganja nadhani. Nikaendelea kukinyonya, huku nikimpiga vimakofi laini kwenye paja lake, na ndipo hata dakika mbili hazijaisha nikasikia kama hatua zikija upande wetu. Na Miryam kweli akajisawazisha upesi na kurudisha nguo yake ifunike mapaja, huku mimi nikitulia kwa ukimya chini ya meza. Sijui ilikuwa ni nani!

"Hello madam..."

Ilisikika sauti hiyo ya yule mhudumu mwanaume kijana, naye Miryam akasema, "Hi..."

"Is everything okay here? Are you enjoying the comfort of our services, or do you want to add something more to?"

"Yeah, no, I mean... everything is... good. Thank you," Miryam akajibu hivyo upesi, akiwa amerejea kuibana miguu yake kwa chini.

"Where is your consort?" mhudumu akamuuliza.

"He... went to find... the bathroom," Miryam akamjibu.

"I see. Well, we are near if you need anything. Enjoy your meal," mhudumu akasema hivyo kirafiki.

"Thank you very much," Miryam akamshukuru.

Inaonekana jamaa akawa amesepa, nami nikasema kutokea hapo hapo chini, "Pako clear?"

"Eeh, ameondoka," Miryam akajibu.

Nikatoka chini ya meza na kukaa kitini tena huku nikicheka, lakini Miryam akawa ameweka uso makini tu.

Nikasema, "Hiyo ilikuwa noma. Kama movie fulani, eti?"

Miryam akaniangalia machoni kwa uso ulioonyesha kutatizika.

"Jamaa anapiga English ili apewe tip, sijui? Utaniambia wote wanaohudumu hapa ni wazungu-weusi... halafu ulikuwa hujamwelewa. Huduma aliyotaka uchangamkie fursa ni massage, kalikuwa kanataka kukupeleka huko ukapotezwe eti," nikamwambia hivyo kiutani.

Akaacha kuniangalia na kutazama pembeni tu.

Nikiwa namwangalia kwa utulivu sasa, nikamwambia, "That was amazing. Hata kama ni kwa dakika moja, ila... it was sweet. Ndiyo nilikuwa nakupa jibu. Nili-miss huo utamu."

Nilimwambia hivyo na kumtikisia nyusi kimchezo, lakini akaonekana kukosa raha zaidi.

"Mimi... vipi? I mean, come on... hiyo ilikuwa exciting. Hau-enjoy hiyo thrill kama hivyo... ya kujua tunaweza kukutwa? Halafu tumekutwa kweli, ila hatujaonwa. Inanipa stimu ile mbaya yaani, natamani tungeendelea tu, lakini ndiyo hivyo..."

Jitihada yangu ya kuongeza utani ikawa inagonga mwamba. Miryam alionekana kukosa raha kabisa, mpaka nikaingiwa na hisi za kujali.

"Mimi... uko sawa?" nikamuuliza.

Akaniangalia machoni tu.

"Unawaza nyumbani au? Tuharakishe kumaliza kula basi, twende... si eti?" nikamsemesha kwa upole.

Akaangalia pembeni kama amekwazika.

Nikatoka kitini na kumsogelea upande wake, nami nikachuchumaa usawa wa miguu yake na kumtazama machoni kwa utulivu, kisha nikamuuliza, "Mbona umekuwa hivi? Tatizo ni mimi kufanya hiki nilichofanya chini ya meza?"

Akaangalia chini na kutikisa kichwa kukataa.

"Mbona sa' umekasirika?"

"Sijakasirika," akajibu hivyo upesi.

"Ila?" nikamuuliza kiumakini.

Akaniangalia machoni kama vile ameishiwa raha, na akaonekana kutaka kutoa jibu lakini akaacha na kujiangalia miguuni kwa njia ya manung'uniko.

Nikaanza kumtazama kwa njia ya uelewa, nami nikamuuliza, "Nimekuacha pabaya?"

Akatikisa kichwa mara moja kukubali bila kuniangalia.

Nikatabasamu kiasi, nami nikasema, "Dah! Sa' tunafanyaje?"

Akaangalia pembeni kwanza na kunitazama tena, nikielewa zaidi sasa kwamba macho yake hayakuwa ya kutatizwa na kitendo changu, bali yaliyojaa hamu nzito kwelikweli. Hamu ambayo hakutaka iishie njiani. Nikawaza sijui tu tumalize kula halafu tuondoke, kisha ningepita naye sehemu na kuegesha gari, nimpe dozi humo wee, kisha ndiyo tutimkie nyumbani. Ila hamna, hiyo isingekuwa busara. Hii hamu aliyokuwa nayo, nilimpandishia, na ninaona alihitaji niimalize japo kwa wakati huu. Lakini muda sasa.

Nikarudi kitini tena na kukaa, nikiangalia saa mkononi, na ilikuwa inaelekea saa sita. Hivi kweli, hapa tulikuwa tunarudi Mbagala? Hamna. Nikamwangalia Miryam machoni na kukuta amekitazama chakula chake kinyonge, sote tukiwa kwenye hatua za mwisho kumaliza kula, nami nikaona nichukue maamuzi mbadala. Nikavuta simu yangu na kuingia kwenye ukurasa wa hii hoteli, nikalipia chumba kwa ajili ya usiku ili mimi na bibie tulale hapa leo. Ah, maisha raha sana kahela kakiwepo. Miamala fasta tu, nami nikawa nimefanikisha hilo. Nikamwangalia bibie kukuta ananitazama kwa hisia, nami nikaweka simu yangu mfukoni.

"Twende," nikamwambia hivyo.

"Tunaondoka?" akaniuliza hivyo.

"Yeah, let's go," nikamwambia hivyo huku nikisimama.

Akabaki akiniangalia tu kwa utulivu, kisha akasimama pia, akajirekebisha vyema, nasi kwa pamoja tukaenda kujisafisha mikono, halafu tukaondoka sehemu hiyo kuielekea lifti. Sikumwambia lolote kabisa kuhusu nilichokifanya, yaani tukarudi huko chini, halafu nikaenda naye hadi kwenye kaunta la mapokezi, nami nikamwonyesha msaidizi muamala niliokuwa nimefanya kwenye simu. Akanipa shukrani na kunirudishia simu pamoja na kunipa kadi yenye namba ya chumba nilichochukua, huku akimpigia mhudumu wa kutusindikiza ili tupelekwe huko, lakini nikamwambia hakuna haja, tungefika tu wenyewe. Nikamshukuru na kumshika bibie mkono tena kuirudia lifti.

Tayari Miryam alikuwa akiniangalia kwa kushangaa kiasi, kimaswali yaani, lakini hakuuliza chochote hadi tulipofika ghorofa la saba na kuanza kukata korido kuelekea kwenye chumba nilichojua ningepaswa kufungua. Akaniuliza nimefanya nini, lakini nisingempa jibu kwa maneno, ningempa jibu kwa vitendo. Tukafikia hicho chumba, nami nikapitisha kadi hapo, mlango ukafunguka, kisha tukaingia humo bila ya mimi kukiachia kiganja cha bibie. Ni baada ya kuhakikisha yeye amenitangulia ili niufunge mlango ndiyo nikakiachia kiganja chake sasa.

Taa zilijiwasha baada tu ya siye kuingia. Chumba kilikuwa kikubwa, kipana sana. Mwanzoni ilikuwa kama sebule ndogo maridadi, kukiwa na masofa mawili na meza, halafu kwa mbele kulikuwa na bonge la kitanda lenye godoro nene haswa lililofunikwa kwa mashuka meupe na kuwekewa mito mitatu, kukiwa na kabati kubwa la nguo, sofa moja dogo pembeni ya kitanda na viti vilivyozunguka meza fupi ya kioo, vifaa vya AC juu, na flat screen kubwa ukutani. Kulikuwa na bafu zuri humo pia, yale yenye milango ya vioo na jacuzzi la kuogea, hata shelfu ndogo ya kutunzia viatu na vifaa vingine ilikuwepo.

Miryam akanigeukia baada ya mie kuufunga mlango, akinitazama kwa kutonielewa kabisa, naye akauliza, "Jayden, umefanya nini hii?"

Nikaanza tu kumsogelea taratibu huku nikimtazama kwa njia makini.

Akawa anarudi nyuma taratibu pia, huku akiniangalia na kusema, "Umelipia chumba hiki, si ndiyo? Yaani... ahh... sasa hivi ni saa sita, unalipia chumba, halafu turudi nyumbani saa ngapi?"

Sikutoa neno lolote na kuendelea tu kumfata, naye akasimama alipofikia usawa wa kabati.

"Nijibu Jayden," akaniambia hivyo.

Nikasimama karibu zaidi na uso wake, yeye akiniangalia kwa njia ya kuudhika eti, nami nikauelekea mdomo wake ili nimbusu, lakini akakwepesha uso wake na kuangalia pembeni.

"Wakati mwingine mambo unayofanya yananikwaza, sasa ndiyo nini hivi? Tulitakiwa tule, turudi, bado sijatuma taarif...."

Nikamshika kiunoni huku bado nikimwangalia kwa njia yenye hisia.

"Sijatuma... ahh... a-ah, hebu niachie..."

Akasema hivyo na kuutoa mkono wangu kiunoni, naye akajaribu kutoka karibu nami, lakini nikaushika mwili wake kwa nguvu pande za mikono na kumkandamiza hapo kabatini.

Akaniangalia machoni, na akiwa anajaribu kuniepuka, akasema, "Niachie Jayden... sina mood tena na...."

Nikanyamazisha maneno yake kwa kumfata mdomoni na kuanza kumbusu, lakini akawa anaipinga. Akageuza kichwa chake pembeni kama kuonyesha hataki, nami nikaendelea kumbusu shingoni na kuanza kuinyonya, halafu nikakishika kiganja chake kimoja na kukinyanyua ili niukandamize mkono wake hapo kwenye kabati, halafu nikaendelea kumnyonya shingoni kwa njia ya lazima kiasi. Yaani, nilikuwa nataka nimpatie penzi kwa njia ya kulazimisha, na najua sehemu fulani ndani yake ilipenda sana hii kitu, hivyo nilihitaji aendelee kuweka pingamizi.

Akawa anajitahidi kuonyesha kwamba hapendi nachofanya, lakini nilihisi namna ambavyo alikuwa ameanza kupumua kwa njia iliyoonyesha msisimko. Nikaachana na shingo yake na kuuinua mkono wake mwingine, nikiukandamiza juu ya kabati kwa njia fulani kama vile nimeipigilia mikono yake misumari hapo, naye sasa akawa ananiangalia usoni, vile vile kama hataki bado. Nilikuwa nimeweka uso makini, ile njia ya kumwonyesha nataka kumpa show ya kibabe, nami nikaufata mdomo wake na kuanza kuunyonya kwa hamu nzito sana. Nikiwa nimekandamiza mikono yake, ilikuwa ni kama nimemzuia asifurukute, na yeye akawa anarudisha denda yangu kuendana na moto niliokuwa namwingizia.

Nikaendelea kumbusu namna hiyo na kushuka mpaka shingoni tena, akiwa ameanza kupumua kwa uzito zaidi, na nilipoiachia mikono yake tu, akaileta moja kwa moja kwenye shati langu na kuanza kujaribu kulipandisha juu, mzuka ukiwa umemwingia. Nikaushika uso wake kwa viganja vyote na kuanza kumdendesha tena, mzuka wa kutaka mahaba matamu ukituvaa pamoja na kutupatia kasi kwenye wonyesho huu wa mapenzi, naye akaanza kuvifungua vifungo vya shati langu bila kuacha kunibusu mdomoni. Nikakatisha busu na kulishika koti lake pia, nikimvulisha kwa nguvu, na lilipomtoka yeye pia akaanza kushughulika na suruali yangu huku tukirudiana midomoni.

Umeona? Alikuwa ana hamu na mimi huyu sema ndiyo hivyo, alizoea tu kulalamika. Muda mwingine sikuhitaji maneno ili kumnyamazisha, ni vitendo tu ndiyo vingemfanya aonyeshe alichokitaka kweli, kwa sababu tayari nilikuwa nimeshakiona. Hapa angesahau kurudi nyumbani. Kwa hiyo, akawa amefanikiwa kuifungua suruali yangu, nami nikalivuta gauni lake kutokea chini na kumvulisha, akibaki na sidiria nyeupe na chupi yake nyekundu. Akamalizia kulifungua shati langu, nami nikaliondoa mwilini na kuitoa suruali yote miguuni, nikibaki na boksa pekee iliyotuna vibaya mno hapo mbele.

Nikaifuata shingo yake tena na kuanza kuinyonya, yeye akinipapasa mgongoni, nami nikayakamata mapaja yake na kumnyanyua, yaani nikampakata mikononi huku nikiendelea kumbusu shingoni. Akiwa kwa juu, akaushika uso wangu na kuanza kunibusu mdomoni tena, nami nikatembea nikiwa nimembeba hadi nilipomfikisha kitandani na kujiangusha hapo pamoja naye, na busu zikaendelea. Kidogo tu, nikaanza kushuka, shingoni, kifuani, nikayafunua matiti yake na kuanza kuyanyonya kwa zamu, huku nikitumia kiganja changu kusugua kitoweo chake kilichofunikwa kwa chupi.

Alikuwa ameshalowa, naye akiwa amepagawa zaidi akaanza kunitolea boksa ili aiweke huru mashine yangu, hivyo nikajinyanyua na kupiga magoti kitandani, nikiiondoa boksa yote, na yeye akajinyanyua na kukaa. Yaani alinyanyuka upesi sana na moja kwa moja kuishika mashine yangu, akaitumbukiza mdomoni na kuanza kuinyonya kwa hamu kubwa kama vile alikuwa na njaa. Ah! Alininyonya kwa upendo mwingi sana, hapo mimi nikiifungua sidiria yake na kuitoa yote, halafu nikamsukuma kwa nguvu kitandani tena ili alale chali. Nikaishika chupi yake na kuivuta upesi, yaani namaanisha nikairarua kabisa, halafu nikayatanua mapaja yake na kuendeleza kunyonya ule utamu niliomwanzishia kule juu nikiwa chini ya meza.

Kulikuwa na papara katika njia yetu ya kupeana mapenzi kwa usiku huu, ikiwa wazi kwamba sote tulikosana sana. Hasa Miryam. Sikuwahi kudhani angekuja kunionyesha mhemko wa kimahaba kwa njia hii, ila hapa ndiyo angeniruhusu nimpe mahaba ya nguvu zaidi. Nikanyonya hilo toweo na kucheza na kisimi chake kwa dakika mbili kabisa, na nilitaka kuendelea lakini Miryam akawa ananivuta, yaani nimfate mdomoni ili mashine iingie mahali pake. Nikatii. Nikajipandisha hapo bwana, kitu yangu ikiwa imekaza ile mbaya, nami nikaanza kumwingia taratibu.

Akayafinya matiti yake kwa nguvu huku macho yake yakiwa meupe kwa mlegeo, na akatoa sauti ya kukwaruza kooni akiwa kama anashusha pumzi ya mridhiko, naye akaanza kuzungusha kiuno chake taratibu. Kwa sababu fulani, hamu nadhani, mashine yangu ilikuwa imevimba zaidi, na yeye kitoweo chake kilibana hata zaidi, kwa hiyo mwanzoni tulikuwa tunapokeana kama wageni. Si unajua Miryam pia alikuwa ameambiwa anatakiwa kufanya hii kitu mara kwa mara ili asije kupata maumivu tena? Kwa hiyo naona bado kito kilikuwa kwenye zile hatua za kuzoea hali.

Hivyo nikamwachia kwanza aendeshe kiuno hapo mpaka alipoonekana kuzoea na kutaka zaidi, ndiyo akayavuta mapaja yangu ili nimpe dozi yenyewe. Nakatishaga tamaa sasa? Nilianza kistaarabu, halafu ndiyo nikaenda kibabe zaidi. Nilimsugua na kumsugua, akiwa ametanua miguu yake hewani, na mimi nikikomaa tu kula matiti, shingo na mdomo wake ili kuukoleza utamu. Aliguna kwa raha zote, na akataka nimwongezee tu utamu. Mimi mwenyewe nilikuwa nimeshamhamu kweli tokea hapo juzi Shadya alipotukuta na kutuzingua, kwa hiyo hapa, aheh... hapa ingekuwa ni mahaba ya kutokuja kusahau.

Piga, piga, piga, piga, piga, mwanamke akapasua la kwanza. Kwa mkao huo ningemwaga haraka, hivyo nikaamua nimnyanyue. Yaani nikambeba na kumpakata mikononi, halafu akaiingiza mashine kitoweoni mwake ili nimkune kwa mtindo huo. Alikuwa na nyama laini huyu mwanamke, na ule uzito na ulaini wa kalio lake niliupenda maana nililikamata na kulikandamiza kwa nguvu, huku nikimshusha na kumpandisha taratibu ili nihisi jinsi ambavyo kito chake kiliikanda vyema mashine yangu. Aliguna kwa raha, akiniangalia kwa macho yaliyojaa furaha ya kimahaba, na mimi nilipochoka kumbeba nikamshusha na kumgeuza, huku tukiwa tumesimama pamoja.

Nikawa nimeikaba shingo yake kutokea nyuma, uso wangu ukiwa karibu na shavu lake huku nikiling'ata sikio lake, nami nikawa nalichapa makofi kalio lake huku nikimuuliza, "Unataka kwenda nyumbani?"

"A-aah..." akajibu kwa njia ya deko.

Kofi, swali, "Unataka kurudi nyumbani?"

"Hamnaa..." akajibu kimideko.

Yaani, raa!

Nikaanza kuzivuta chuchu zake kwa nguvu na vidole vyangu huku nikimwambia, "Hautoki hapa leo. Umenielewa?"

"Sss... aahhh..."

Nikapiga kofi titi lake na kumuuliza, "Umeelewa?"

"Sss... ehhh... nimeelewa..."

Nilikuwa nampa mapenzi ya mateso eti!

Nikaachia titi lake na kuushuka mkono mpaka kati ya mapaja yake, nikianza kukichokonoa kisimi chake kwa vidole, huku bado nikimnyonya sikio, naye akawa anayumba huku na huku kama hajiwezi yaani, lakini nikaendelea kuikaba shingo yake kwa mkono mwingine na kumkandamizia mwilini mwangu. Alikuwa anapumua kwa mideko, macho yakielekea juu bila lenzi kuonekana, nami nikaishika mashine yangu na kuipitisha chini ya kalio lake, nikiiingiza ndani ya kitoweo chake kwa nyuma na kuanza kumsugua kwa mara nyingine.

Alikuwa amenyanyua viganja vyake hewani kiasi, akivilegeza yaani kama hajiwezi, nami nikaiachia shingo yake na kuusukuma mgongo wake ili ainame na ashike kitanda. Sasa akawa amepinda mugongo, kapteni hapa nikalikamata kalio lake na kuendelea kumpa dawa yake tamu, na miguno haikuacha kumtoka. Nilipiga haswa, nikazikamata na nywele zake kwa nguvu, ute mwingi kama maziwa ukiijaza mashine yangu, na kila mara juisi zilipomtoka ikawa kama vile anaiosha. Alilia! Alitetemeka! Sitasahau hii, yaani nilikula hapo kwa dakika nyingi mpaka Miryam akaishiwa nguvu miguuni.

Akajilaza kitandani, nikamfata. Piga, piga, piga... alilia kwa raha mpaka uso ukawa mwekundu. Kila akiniambia niache, imetosha, nampumzisha; kidogo tu, naanzisha. Sikuona faida nyingine ya hiki chumba isipokuwa kumpa mahaba ya maana mpenzi wangu usiku kucha, na nilijitahidi kuendeleza mchezo hata nilipomwaga vitu vyangu mara mbili kabisa, yeye hapo nikiwa nimemtetemesha mara nyingi mno. Katikati ya mahaba yetu alikuwa ameweza kuongea na Tesha baada ya kijana huyo kumpigia. Na isingekuwa kwamba alipiga wakati nimepumzika kidogo, basi ndiyo simu yake isingepokelewa.

Kwa hiyo Miryam akamwambia Tesha awaambie mama zake kwamba asingerudi leo mpaka kesho, akiwatakia usiku mwema, na baada ya hapo, nikamvuta tena bibie. Mwili wake ulihitaji sana mahaba yaani, kila mara alidengua kidogo lakini mwishowe angekubali nimpe penzi, na yeye kunipa show tamu kuliko mwanzo. Tukapiga mitindo mingi kitandani hapo. Tukaenda na bafuni, piga. Tukarudi usawa wa kabati, piga. Yaani mpaka imeingia saa tisa usiku, ikabidi Miryam anikataze nisiendelee maana alihisi ningeifanya itere!

Nilijikuta nacheka tu, na kweli bibie alichoka mno. Mimi mwenzake nilikuwa natunza nishati shauri ya kupiga tu-push up na chuma kidogo, kwa hiyo nguvu ya kumridhisha mpaka achoke namna hiyo ilikuwemo nyingi sana. Hatimaye tukalala pamoja baada ya kupeana mapenzi murua sote tuliyokuwa na hamu nayo. Siku ikawa imeisha vyema sana kwangu na mpenzi wangu.


★★★


Nimekuja kushtushwa asubuhi kutoka usingizini baada ya Miryam kuniamsha kwa kuutikisa mwili wangu kiasi huku akiita jina langu. Bado nilikuwa na wenge zito la usingizi, jumuisha na wine niliyokunywa jana, nami nikamwangalia Miryam na kukuta bado tupo kitandani pamoja. Lakini mimi tu ndiyo nilikuwa nimejilaza, huku yeye akikaa kwa kuegamia mto, na akiufunika mwili wake kwa shuka hadi kifuani. Akanisemesha, akiniambia mlango unagongwa hapo, nami nikajitahidi kunyanyuka hivyo hivyo huku nikiwa ndani ya boksa pekee, kisha nikafungua kabati na kutoa taulo moja humo ambayo nikaifunga kutokea kiunoni kwangu.

Nadhani ilikuwa ni mhudumu wa hoteli ndiye aliyekuwa akigonga mlango, nami nikaanza kuelekea huko mlangoni huku Miryam akibaki kukaa kitandani. Kwa sababu fulani, niliona kwamba bibie alikuwa "fresh," kama vile tayari aliunawisha uso wake na kuziondolea nywele zake mvurugo. Nikaufikia mlango na kufungua, kukuta kweli ni mfanyakazi mmoja wa hapo hotelini. Alikuwa ni mwanamke mtu mzima kiasi, aliyevalia suti ya kike ya kikazi, na mimi kutoka nikiwa kifua wazi kukamfanya aniombe samahani kwa kunilazimisha nitoke katika hali hiyo, akiona wazi kwamba ndiyo nilikuwa nimeamka. Nikamwambia haina shida, naye akasema amekuja kunieleza kuhusu utaratibu wa hapo kwa mteja.

Nikamwambia asiwe na hofu, nilijua vizuri kwamba kufikia saa sita kamili mchana ningepaswa kuwa nimeondoka, na ingawa sikujua muda huu ni saa ngapi, nilielewa bado ni asubuhi, hivyo muda wa kutoka haukuwa umefika. Ndiyo akasema pamoja na hilo, alikuwa amekuja kunitaarifu kuwa kwa mteja wa aina yangu, yaani kwa uchaguzi wa chumba kama hiki nilichochukua, kulikuwa na faida zingine ambazo hoteli ilitoa kabla ya mimi kuondoka, kama vile mlo bure wa asubuhi. Yaani, breakfast ya bure, na hapo akanipatia kadi ambayo ningeweza kutumia kwenye moja ya mgahawa wa hoteli hiyo kubwa ili kuipata hiyo breakfast kabla ya saa sita kufika. Ahaa, kumbe?

Nikaipokea na kumshukuru, naye akaniaga vizuri na kusonga kwenye shughuli zake zingine, huku mimi nikirudi ndani tena mpaka kitandani kwa mpenzi wangu. Nikafika hapo na kujitupia kitandani, nikilala karibu zaidi na mwili wa Miryam huku nikimkumbatia kiunoni, naye akaichukua kadi ambayo yule mwanamke alinipatia. Akiwa anaiangalia, mimi nilikuwa nimefumba macho tu huku napumulia tumboni kwa bibie, naye akauliza maana ya kadi hiyo. Nikamwelezea kwa ufupi, huku nikianza kupitisha mkono wangu usawa wa ubavu wake ili nilishushe shuka lake kidogo na kuuingiza mkono kwa ndani nilichezee titi lake.

Akauliza, "Kwani, hawatoi hii ofa kwa wateja wote hapa?"

"Sijajua sana. Amesema ni special kwa mtu aliyechagua chumba kama hiki, so... labda hii ni deluxe room. Me niliiona kuwa standard," nikamwambia.

"Ulikuwa umelipia chumba shi'ngapi?" akauliza.

"Dola 200," nikamjibu hivyo huku nikiwa navuta shuka lake.

"Za kimarekani?"

"Yeah."

"Umezitoa wapi?"

"Nalipa kwa simu tu, wana site yao, nalipia kwa akaunti ya benki," nikasema hivyo.

Miryam akatulia. Kwa kuwa mimi nilikuwa usawa wa tumbo lake sikumwona usoni, kwa hiyo nikaendelea kujitahidi kuingiza kiganja kifuani kwake mpaka nikafanikiwa. Nikalishika titi lake na kuanza kuliminya taratibu, nikiifinya na chuchu yake kidogo, naye akatoa mguno, lakini siyo wa kimahaba, bali kama kushangaa.

Ndiyo nikamwangalia kukuta ameshika simu yake, naye akanitazama usoni na kusema, "Laki tano na nusu."

"Nini?" nikamuuliza.

"Gharama ya usiku mmoja kulala kwenye hiki chumba," akasema.

"Ogh, Miryam usianze...."

"Na hapo bado hatujahesabu gharama ya maandalizi yote ya chakula jana," akaniambia hivyo.

Nikamkazia macho.

"Mhm... haya. We' chezea tu hela," akaniambia hivyo.

"Utajiju," nikamwambia hivyo na kulishika tena titi lake.

"Hebu acha, nenda kaoge tuondoke," akaniambia hivyo na kuitoa mikono yangu kwake, akifunika tena kifua chake.

"Haraka ya nini?" nikamuuliza.

Akanionyesha saa kwenye simu yake, nami nikatoa macho baada ya kukuta ni saa nne ya saa tano.

"Kumbe tumelala?" nikaongea huku nikimtekenya kichokozi.

"Na fujo zako zote jana, ulitegemea nini? Halafu umeichana undie yangu, naenda nimevaa nini kwa ndani?"

Nikabana tabasamu huku nikimwangalia kimchezo, na yeye akapiga ulimi kama kusikitika.

"Nyanyuka ukaoge," akaniambia.

"Ahahah... fujo zilikupagawisha jana, usijifanye kununa kisa nimechana pichu. Ulikuwa high mwenyewe!" nikamtania.

Akatabasamu kiasi na kuanza kujitoa kitandani.

"Njoo bwana... nitaongeza na masaa, money is here," nikamtania huku nikilivuta shuka lake.

"Wewe, hebu kaoge, tunatakiwa tuondoke. Umesahau kuhusu kwenda kwenu leo?" akaniambia hivyo.

"Eh! Kweli," nikasema hivyo na kukurupuka.

Upesi nikakimbilia bafuni, maana wazo la kwenda nyumbani kwa wazazi kweli lilikuwa limenitoka. Hapa hatungeweza kucheza mechi kidogo tena hata ingawa nilikuwa nimeshapandisha mzuka, na Miryam alikuwa ameshaoga. Yaani, kumbe yeye aliamka kabla yangu, akajisafisha, kisha akarudi kukaa kitandani pamoja nami mpaka yule mhudumu wa hoteli alipoanza kugonga mlango. Kwa hiyo nikamaliza kuoga, bibie akiwa ameshaanza kuvaa, nami nikajiunga naye mpaka tulipokamilisha mionekano yetu mizuri, tukapiga na picha za kiutundu pamoja chumbani hapo, kisha tukaondoka pamoja; ikiwa imeshaingia saa tano tayari.

★★

Hakukuwa na mizunguko mingi, yaani tukaenda kupata chai tamu na vitafunwa bomba bure kabisa kwa hisani ya kadi, na baada ya hapo ndiyo tukaiaga Hyatt Regency "The Kilimanjaro." Napenda hilo jina! Tukaingia barabani kuiacha Kivukoni, mie ndiyo nikiendesha kwa msisitizo wake bibie maana alikuwa amechoka, na tayari aliwasiliana na mama zake wakubwa kuwajulisha angeingia nyumbani muda si mrefu. Mwendo wa kurudi ukawa kama jana, isipokuwa tu wakati huu baada ya kuwa tumevushwa maji, nikiwa eneo la hapo Kigamboni nikaamua kulipitisha gari lake bibie kwenye moja ya maduka makubwa ya simu, nami nikaenda huko ndani nikimwacha ananisubiri.

Sikumwambia hata naenda kufanya nini, na dakika chache tu baada ya hapo nikarejea garini, nikiwa nimeshika mfuko wenye bidhaa, nami nikampatia bibie. Akaufunua kukuta ni boksi jipya la simu aina ya Samsung Galaxy, naye akaniangalia machoni kimaswali kiasi.

"Umenunua simu?" akauliza.

"Yeah."

"Kwa ajili gani sasa? Hiyo uliyonayo imekuchosha au?" akauliza kiutani.

"Hamna, siyo kwa ajili yangu," nikamwambia hivyo.

"Ni ya nani?"

"Mamu," nikamwambia.

Akaniangalia kwa njia makini kwa kutotarajia hilo.

"It's high time na ye' awe na simu. Itarahisisha mawasiliano pamoja nasi wote, ili hata we' ukiwa mbali, usiwaze sana kumhusu, maana utakuwa unaweza tu kumpigia," nikamwambia hivyo.

Akaangalia pembeni, nikiona anaukusanya ule utayari wake wa kutaka kupinga hili suala, nami nikaangalia mbele tu kusubiria hilo huku nikiwasha gari.

"Jayden, I thought we talked about this," akaniambia hivyo kwa sauti tulivu.

"Najua, ulisema nisiwe nawanunulia vitu, sawa, lakini... siyo vibaya kwa hili. Mimi... sasa hivi sisi ni kitu kimoja, na ninaweza kufanya kitu kama hiki kwa sababu napenda, usihisi unanikomba wala..." nikamwambia hivyo kiutani.

Akaniangalia usoni kwa utulivu makini.

"Ahahah... natania tu. Na... siyo lazima Mariam ajue me ndo' nimenunua. Hii ni zawadi yake kutoka kwako," nikamwambia hivyo na kumkonyeza.

Miryam akatikisa kichwa kiasi kama kusema dah!

Nikachukulia hiyo kuwa imeenda, yaani nilikuwa namkubalisha kwa mambo mengi sana hata kama hakutaka, na mengi zaidi yalikuwa yanakuja. Ah, safari ikaendelea, tukaivuka Toangoma, Kongowe, mpaka tukaingia Mzinga ikiwa imeshaingia saa nane mchana. Nikalipeleka gari hadi kwa bibie, na kiuhakika sote tukaliona gari langu hapo nje, likiegeshwa pembeni ya nyumba yake Ankia, kuonyesha kwamba Bobo alikuwa aidha ameliacha baada ya kurudi na Ankia, ama alikuwepo ndani pamoja naye wakati huu. Kwa hiyo tukafanya utaratibu wa kuingiza gari la Miryam getini kwake, Tesha ndiyo akiwa ametufungulia, kisha tukashuka na salamu kuanza.

Miryam hakuongea mengi na mdogo wake zaidi tu ya kuuliza ikiwa wengine walikuwa ndani, na baada ya kujibiwa ndiyo, akatuacha hapo nje. Tesha akaninyooshea kidole eti kwamba ananionya kuhusu mimi kumzururisha sana dada yake, nami nikacheka tu na kwa pamoja tukaenda ndani pia. Familia nzima ilikuwepo, wote wakinikaribisha vizuri tu, na nilikuta Miryam akiwa ameshampatia Mariam boksi la simu yake mpya. Ah, binti alifurahi nyie! Alimkumbatia dada yake, aliruka, yaani mpaka akalia! Alitamani kweli kuwa na simu, eti wazo la kwanza kwake ni kuanza kuweka ma-game kama ambayo yalikuwa kwenye simu ya Tesha, na furaha yake ikajaza sehemu hiyo shangwe kubwa.

Hakukuonekana kuwa na tatizo lolote baina yake Miryam na Mariam, wala mwanadada huyo hakuonyesha hisia zozote za kinyongo kuelekea mahusiano yangu na dada yake. Nilifarijika sana kuona hilo. Kwa hiyo tukakaa hapo, mama wakubwa na Shadya wakitaka ubuyu kuhusiana na sehemu tuliyokwenda na kulala jana, naye Miryam akazimisha hiyo mada na kuanza kuzungumzia kuhusu siye kwenda nyumbani ili kuwatembelea wazazi wangu. Hakutaka nianze kuongea kuhusu ishu yetu jana, maana alijua vizuri sana akili yangu!

Kwa hiyo akawaambia mama wakubwa wake kwamba tungeondoka kwenye mida ya saa kumi na moja, ili tufike huko Goba kwenye saa moja au mbili kama nilivyokuwa nimemwambia, nao wakaridhia. Shadya akaongelea kuhusu kutamani kupaona kwetu pia, nami nikaingiwa na wazo zuri. Nikasema kwamba wote wangeweza kuja pamoja nasi ikiwa ingefaa kwao. Mwanzoni, Miryam kama kawaida alinikata jicho la kunishangaa, na wengine kama Tesha na Mariam walikuwa wameshapandisha mzuka wa kutaka kuja ndiyo, lakini wakamtazama dada yao ili kungoja kusikia kama angekubali.

Miryam alikuwa anahisi ni kama vile nataka kumkomoa, maana maamuzi mengi niliyofanya tokea jana yalizidi kumshangaza tu, hakutegemea, na kila mara ilionekana kama hana njia ya kunipinga na kukubali tu. Shadya na Mariam wakafurahi kweli baada ya Miryam kusema sawa, wangeweza kuja pamoja nasi huko kwetu, lakini bibie akanikata jicho kali kweli lililofanya niamue kuwaaga kwa sasa ili kwenda kupumzika kidogo, halafu baadaye ndiyo tungekuja kupitiana. Nikawaacha na kuelekea kwa Ankia, nikiwa na furaha iliyopita kifani moyoni mwangu.

★★

Nimepumzika kwa muda wa saa moja tu hapo kwa Ankia, katika maana ya kulala kabisa kwa kuwa kulikuwepo kausingizi kalikoyavuta macho yangu bado, na nilipoamka ikawa imeshaingia saa kumi. Wakati nimefika hapa, nilimtumia mama ujumbe kumwambia kwamba leo ningekuja na Tesha na Mariam pia, pamoja na shangazi yao mmoja, na muda huu nilioamka ndiyo nikakuta jibu lake kwamba haikuwa na tatizo; ingefaa akiwajua wengi wa ndugu za binti-mkwe wake mtarajiwa, na alitaka kumwona Mariam tena. Mambo yalikuwa yanaenda upesi, lakini ndiyo nilipenda sana. Amani kubwa ilikuwa ikija mbele ya maisha yangu, niliitazamia kwa hamu sana.

Kwa hiyo bila kujivuta tena, nikaanza kujifanyia usafi ili kujiandaa kuondoka. Ankia hakuwepo, na hiyo ni kwa sababu alikuwa amekwenda na mama Chande huko wapi sijui kufatilia ishu fulani, akiwa amenijulisha hilo baada ya mimi kumcheki kabla sijalala ili kuuliza funguo za gari langu zilikuwa wapi, na yeye akaniambia aliziweka kwenye begi langu dogo la nguo. Hivyo sasa nilipomaliza kujiandaa, nikamjulisha Miryam kwamba niko tayari, na yeye huko pamoja na wapendwa wetu wakiwa tayari basi aniite ili tuondoke. Ni muda mfupi tu kutokea hapo na Tesha akawa amekuja hapa kwa Ankia kuangalia ikiwa tayari nilikuwa tayari, na yeye alionekana kuwa tayari tayari. Alitokelezea.

Mwonekano wake Tesha ukiongea yote kwamba alikuja kunifata ili tuondoke, nikasema poa, kisha nikafunga nyumba ya Ankia na kuelekea hapo kwao pamoja naye. Kulikuwa na ile hali ya mishangao kutoka kwa majirani, ambao waliona magari mawili hapo nje, Mazda nyeusi na Mark X nyeupe, bwana harusi na bibi harusi, na bibie wangu pamoja na familia yake walikuwa wameshajiandaa vyema kabisa na kupendeza haswa, tayari kuondoka. Watu na wapita njia walituangalia kweli tulipotoka ndani hapo, Fatuma hata akatufata ili ale umbea kidogo wa ni wapi tunaenda, naye Mariam akamwambia tunaenda kula bata.

Nilimtazama Miryam wangu kwa upendo mwingi sana, yeye pia akiwa ananitazama kwa hisia, nami nikamtolea ishara kumwonyesha jinsi nilivyokuwa nimemkaba usiku wa jana na kumtandika vibao. Akaninyooshea kidole huku akijifanya kuudhika, na hilo likanipa raha sana moyoni na kunifanya nicheke kwa furaha. Wengine walituangalia sana pia na kuona namna ambavyo tulikuwa tumezoeana mno, hakuna ambaye angepinga tena kuwa mimi na Miryam tulipendana sana. Na hapa tulikuwa tukienda kupiga hatua kubwa zaidi katika kuonyesha hilo.

Kwa hiyo tukajigawa sasa, mimi nikiendesha Mazda yangu nikiwa pamoja na Miryam, Bi Zawadi na Mariam, huku Tesha akimwendesha Shadya na Bi Jamila kwenye Mark X ya bibie. Vumbi likatimka, safari ikaanza.

★★

Mwendo kuelekea Goba ulituchukua muda wa saa zima na nusu hivi, shauri hasa ya hitilafu za barabarani zinazokawiza, nami nikiwa nimelitangulia gari aliloendesha Tesha nikawa nimewafikisha wote Goba Center na kuelekea mitaani kwetu moja kwa moja. Mariam alikuwa ameshaanza kutumia simu yake mpya, yaani ikiwa ndiyo hatua za mwanzo kuizoea alipitia vitu vingi na kujaribu mengi, akimwonyesha Bi Zawadi furaha yake, na akiwa na hamu ya kumwonyesha mdogo wangu Nuru pia tukifika kwetu. Kukiwa na hii hali ya wazi ya furaha kutoka kwa binti, Miryam akakishika kiganja changu kwa ufupi na kuniambia 'asante,' kwa kufanya vitu vingi vyenye kumpa amani, nami nikatabasamu kwa hisia na kumtikisia kichwa kukubali shukrani yake.

Tukawa tumefika nyumbani kwa wazazi hatimaye, nami nikaongoza kupeleka gari langu mpaka maegesho na Tesha akifuata nyuma tulipowapita walinzi vizuri. Saa moja ilikuwa kwenye nusu sasa, na baada ya kuegesha gari, tukashuka pamoja na bibie wangu, Bi Zawadi, na Mariam, huku Tesha akiwa ameshashuka pia na Shadya pamoja na Bi Jamila kufuata. Niliona ni namna gani ambavyo wageni wapya kufika hapa walivutiwa na mazingira yaliyozunguka nyumba yote, Shadya hata akiachama kana kwamba haamini ikiwa hapo ndiyo kwetu. Bi Zawadi akasema kweli Tesha hakuwa akitania alipoisifia sana nyumba ya wazazi wangu, akiwa amependezwa pia na uzuri wa nyumba.

Wote tukiwa tumesimama kama kikundi hapo hapo usawa wa magari, nikawaambia, "Karibuni jamani. Tuelekee ndani sasa."

"Sawa," Bi Zawadi akasema hivyo.

"Mbona kama hamna watu?" Shadya akauliza.

"Wapo shangazi. Wanatusubiria ndani, huwa wanakaribisha wageni wakiwa ndani kabisa," Mariam akamwambia.

"Kumbe?" Shadya akauliza.

"Eeh, we' umeshazoea mpaka kumfata mgeni nje, wengine hawaishi kwa hizo style," Tesha akamwambia.

"Hata me naona. Wanajua tunakuja, kwa hiyo ni sisi kwenda tu, au siyo?" Shadya akaongea kiutani.

Sote tukatabasamu pamoja, isipokuwa Bi Jamila, ambaye alikuwa akiniangalia kwa umakini tu.

Miryam akamsogelea na kuingiza kiwiko chake kwenye mkono wake Bi Jamila, naye akasema, "Twende mama."

Bi Jamila akatikisa kichwa kukubali, kiupole, nasi kwa pamoja tukaanza kuelekea huko malangoni.

Nilikuwa nahisi furaha sana moyoni, yaani ni kama vile tayari nilikuwa nimeshamwoa Miryam na sasa ikawa ni kuileta familia yake kutembelea ya kwangu. Haya yote yalinipa hamu kubwa zaidi katika nia yangu ya kupiga hatua upesi ili nimwoe mwanamke niliyempenda, na najua baada ya hapa maisha yangu yangebadilika sana. Ningekuwa mwanaume mwenye furaha isiyopimika yaani kumfanya Miryam awe mke wangu halali. Yaani nilihisi kupagawa kwa raha zilizokuwa zikifurukuta ndani yangu.

Kuifikia milango hapo, Mariam akabonyeza kengele na sisi wote kusubiri, na mlango ukawa umefunguliwa. Aliyeufungua alikuwa ni Imelda, na baada ya kutuona, akatabasamu na kutupa salamu mmoja baada ya mwingine, akitoa salamu kwa heshima zaidi kuwaelekea wakubwa. Tukaingia pamoja, Shadya akiwa hawezi kujizuia kuongeleshana na Bi Zawadi kwa sauti ya chini kumwambia ni namna gani ambavyo Miryam alikuwa amebahatika eti kupata mchumba kama mimi, nami nikawa nikitazamana na Miryam na kupeana naye tabasamu kwa hisia.

Hapo sebuleni kwenye masofa aliketi mzee wangu, na alikuwa ameshatuona hivyo akanyanyuka na kuanza kutembea taratibu ili akutane nasi kabla hatujayafikia masofa. Imelda akapitiliza kuelekea huko mbele jikoni nadhani, na kutokea ngazini, nikamwona Nuru akiwa anashuka pamoja na mwanadada mwingine rika kama la kwake, mweupe na mwembamba, akionekana kuwa rafiki yake, lakini sikumfahamu. Inawezekana alimwalika aje kukaa hapa kwa muda fulani.

Nikawa nimekutana na mzee hapo mbele na kupeana naye mkono, kisha nikamwambia, "Shikamoo?"

"Marahaba. Karibuni sana," akasema hivyo kuwaelekea wengine pia.

Wote wakawa wamesema asante, Miryam, Tesha, na Mariam wakimwamkia mzee pia, naye akawaitikia vizuri na kuwapa salamu za heshima mama wakubwa.

Bi Zawadi akasema, "Marahaba baba," huku akishikana mkono na mzee.

Bi Jamila naye akaitikia, "Marahaba," huku akionekana kusita kumpa mkono mzee wangu, na mzee akaniangalia usoni kwa kutoelewa kidogo, lakini akapotezea. Naona bado Bi Jamila alikuwa anasua, ila haikuwa shida kubwa sana.

Nuru na rafiki yake wakawa wamefika hapo pia na kuwasalimu mama wakubwa, Miryam, na Shadya kwa heshima, nao wakawaitikia vizuri, halafu Nuru akamsogelea Mariam na kushikana naye huku wakipeana tabasamu kwa furaha.

"Warembo wangu... huyu ndiyo mzee wangu," nikamtambulisha kwa mama wakubwa.

Bi Zawadi akatabasamu na kusema, "Sawa sawa. Nimefurahi kukufahamu baba. Mimi ni mama...."

Kabla Bi Zawadi hajamaliza kuongea, sote tukamwona mama yangu akiwa anatokea kule upande wa jikoni huku akifuatwa na Imelda na msaidizi mwingine pia. Alikuwa anakuja kwa uharakishi, kama vile kuonyesha Imelda alikuwa ameenda kumshtua huko kwamba wageni wameingia, nami nikatabasamu kiasi.

"Jamani, karibuni. Karibuni sana," mama akawa akisema hivyo.

Wengine wakaanza kusema asante, naye mama alipokuwa ametufikia, nikakutana naye na kumkumbatia kwanza huku nikisema, "Mwamba ndiyo nimefika."

Akacheka kidogo na kuniachia huku akisema, "Na me naona. Nilikuwa jikoni nasaidia kupika, he! Wageni mmeingia. Miryam..."

Mama akasema hivyo na kunyoosha mikono yake kumwelekea bibie, naye Miryam akatabasamu na kumsogelea pia, kisha wakakumbatiana na kusalimiana. Nikawatazama wengine na kukuta wananiangalia kimaswali, nami nikatabasamu kwa kuwa naelewa hawakutarajia kwamba mama angekuwa anamfahamu Miryam tayari.

"Umependeza! Hizi nywele zako jamani..." mama akasikika akisema hivyo huku bado amemkumbatia Miryam.

"Ahah... asante. Hata wewe umependeza," Miryam akamwambia hivyo huku akimwachia.

"Nilikuwa nakaanga vitu huko, sikusikia mlipoingia, jamani... karibuni sana. Tesha... Mariam!" mama akasema hivyo na kusogea upande wa wengine.

Mariam akatabasamu kwa hisia na kumsogelea pia, nao wakakumbatiana kwa furaha, huku Tesha akimwamkia mama na yeye kuitikiwa vizuri.

Hali ilikuwa imeshaanza kusisimua sana, nikijua hapo ingekuwa pindi yenye kuburudisha kwa kiwango chake, lakini jambo fulani likazuka. Mama, akiwa amemkumbatia Mariam bado, aliangalia upande wangu kunipita, na tabasamu alilokuwa nalo usoni likaanza kufifia na uso wake kukunjamana kiasi. Akawa ameweka sura makini zaidi, akianza kumwachia Mariam taratibu, nami nikaangalia nyuma kukuta ni Bi Jamila ndiye aliyekuwa akiangaliwa hivyo. Yeye pia alionekana kumtazama mama yangu kwa hisia makini, nami nikamtazama mama tena.

Miryam akamsemesha kwa kusema, "Mama... hawa ni mama zangu wakubwa, Bi Zawadi, na Bi Jamila. Na yule ni shangazi yangu, anaitwa Shadya."

Mama akamtazama Miryam kwa ufupi, halafu akawaangalia mama wakubwa tena kwa umakini.

Bi Zawadi akasogea mbele zaidi kumwelekea mama na kumshika kiganjani, naye akamwambia, "Tumefurahi sana kuja hapa leo. Nilikuwa nimedhani ingekuwa mara ya kwanza kwa Mimi kukuona, lakini kumbe tayari mnafahamiana! JC anajua sana kutu-surprise... ahah..."

Mwanamke huyo aliongea kwa shauku ya mzazi, lakini mama yangu hakutoa itikio lolote zuri na kubaki ameangalia pembeni tu kwa uso makini. Sikupendezwa na hali hii.

Mzee akasema, "Karibuni tukae jamani, siyo vizuri wapendwa kubaki mmesimama."

"Ndiyo, ni kweli, karibuni mkae," Nuru akasema hivyo.

"Asante," Shadya akamwambia na kuanza kuelekea upande wa masofa.

Lakini mama, na sisi wengine tukabaki kusimama hapo hapo, nikimwangalia yeye na Bi Jamila kwa njia ya utambuzi kuwa kuna jambo fulani baina yao lilikuwa likiendelea hapa. Mzee akawa ameona hilo, hata Miryam, nasi tukatazamana machoni kwa njia ya sintofahamu.

Mzee akamshika mama begani na kumuuliza kwa sauti ya chini, "Kuna tatizo?"

Mama akabaki kumtazama tu Bi Jamila, na hata sisi tukamwangalia mwanamke huyo.

Bi Jamila akaanza kutembea taratibu kumwelekea mama, akinyanyua viganja vyake na kuviunganisha kama mtu ambaye anaomba msamaha au anatoa shukrani, sikujua, naye akasimama pembeni yake Bi Zawadi na kusema, "Leah... mwanangu, ninakuomba unisamehe."

Sote tulishangazwa sana na jambo hilo, nikimtazama mwanamke huyo kwa umakini sana, kisha nikamwangalia mama na kukuta amemkazia macho Bi Jamila kwa njia iliyoonyesha huzuni. Kumbe ni kweli walikuwa wanafahamiana! Lakini kivipi? Na kwa nini Bi Jamila alimwomba mama msamaha? Labda hii ndiyo sababu alikuwa akiogopa sana kukubali mahusiano yetu na Miryam, huenda alihofia kwamba mama angechukia uhusiano wetu kwa sababu ya mapito yao ambayo hayakuonekana kuwa mazuri.

Miryam akaniangalia machoni kimaswali, akiwa haelewi pia, nami nikamuuliza mama, "Unafahamiana na Bi Jamila?"

Mama akaniangalia tu usoni na kuanza kupumua kwa njia iliyoonyesha presha inamvizia.

"Mama..." Miryam akamsogelea karibu zaidi Bi Jamila baada ya kumwita hivyo.

"Leah... what's going on?" Mzee akamuuliza mama hivyo.

Wengine walikuwa wamebaki kimya, wakitazama jambo hili kwa umakini na kwa kutoelewa.

Bi Jamila, akiwa bado ameunganisha viganja vyake, akasema, "Mwanangu, kwa yale yaliyopita naomba unisamehe. Naomba uisamehe familia yangu yote kwa yale waliyokufanyia. Hayakuwa mazuri, na mimi nilikaa kimya, sikupaswa kufanya hivyo, hiyo ndiyo dhambi yangu. Tafadhali nisamehe mwanangu. Niko chini ya miguu yako..."

"Bi Jamila, usiongee hivyo tafadh... mama... nini... a-anaongelea nini?" nikaongea kwa kubabaika kiasi.

"Jamila?" Bi Zawadi akamwita.

"Leah, nakuomba sana. Kwa ajili ya watoto wetu," Bi Jamila akamwambia hivyo mama yangu.

Mama akashusha pumzi kwa kasi na kufumba macho, akionekana kuumizwa mno na jambo fulani, naye akafunika mdomo wake kwa kiganja.

"Shangazi, nini kinaendelea? Hatuelewi jamani... mnajuana? Tuko kwa wageni, ndiyo tumefika tu tayari tushaanza kutengeneza scene..." Shadya akasema hivyo.

"Shadya..." Tesha akamwita kama kumzuia.

Bi Jamila akasema, "Hapana Tesha, Shadya yuko sahihi. Haya ni makosa yangu. Baba..."

Alikuwa alimsemesha mzee, naye akaitika, "Naam mama..."

"Nakuomba samahani sana kwa jambo hili. Mimi... mimi na mkeo tunajuana. Ni miaka mingi iliyopita, nili... nilimtendea vibaya, mimi pamoja na familia yetu yaani... tulimfanyia vibaya. Nafikiri hii ni mipango ya Mungu kutukutanisha kwa sababu nilihitaji sana kumwomba msamaha... kwa yote ya kipindi kile..." Bi Jamila akaongea kwa huzuni.

Nikamtazama mama na kukuta bado amefunika tu mdomo wake, na machozi yakimvizia.

"Mama, unamaanisha nini?" Miryam akamuuliza Bi Jamila.

Bi Jamila akasema, "Tuli... tulikuwa na... yaani, Leah... mama JC alipendwa na mdogo wangu enzi hizo, lakini familia yetu... wazazi wetu wakawa hawamtaki, wakawaachanisha. Na mdogo wangu alikuwa anampenda sana Leah, lakini wakaachanishwa na ndugu, wakatenganishwa yaani... baba yako hakuwa na namna ila kumwacha tu kwa sababu wazazi wetu walipinga sana uhusiano wao, ndiyo akamwoa mama yenu badala...."

Nikamwona mama anaachia mdomo wake na kumwangalia Bi Jamila kwa mkazo, halafu akasema, "Nini?!"

Wote wakamtazama kwa umakini.

"Unapomwongelea baba yake Miryam... unamaanisha Tino?" mama akamuuliza Bi Jamila hivyo.

Bi Jamila akabaki kimya kwanza, huku na sisi wengine tukimwangalia kwa umakini. Bado jambo hilo lilichanganya.

"Tino ndiyo nani?" Miryam akauliza.

"Baba yetu siyo Tino... baba yetu anaitwa Constantine. Na ameshakufa," Tesha akasema.

"Hapana, Tesha. Constantine ni jina lake lote, ila tulipokuwa Mwanza zamani alijulikana zaidi kama Tino. Alilifupisha. Ni kweli Leah. Tino ndiyo baba yao na wakina Tesha," Bi Jamila akasema hivyo.

Mama akaniangalia usoni na kuanza kupumua kwa njia iliyoonyesha taharuki, nami nikawa nikimtazama kwa kutoelewa tatizo lake.

"Leah, nakuomba, hayo ni mapito. Me mwenyewe niliogopa tu mwanzoni tu mama, lakini sasa hivi... kwa ajili ya watoto wetu hawa, nimeona...."

Mama akamkatisha Bi Jamila kwa kuanza kulia kwa zile pumzi zenye kushtua kwa nguvu, nami nikamshika mkononi sambamba na mzee pia.

"Leah..." mzee akamwita hivyo kwa kujali.

"Mama, nini?" nikamuuliza.

Miryam pia akasogea karibu nasi na kujaribu kumgusa mama, lakini mama akajirudisha nyuma na kunyanyua kiganja chake kumzuia.

Nilishangaa!

Nikamtazama Miryam usoni, naye akaniangalia kwa wasiwasi.

"Mama... ongea. Nini kinakufanya uwe hivi?" nikamshurutisha mama aseme.

"Jayden, hebu tulia. Leah... jamani... nawaomba twende tukakae ili tuongee vizuri. Njooni tukae," mzee akaongea kwa ustaarabu.

"Hapana Frank..." mama akasema hivyo hatimaye.

Wote tukabaki kumtazama.

Akajitoa mikononi mwake mzee na kunisogelea, naye akasema, "Jayden..."

Nikapandisha nyusi moja huku nikimtazama kwa njia yenye subira, na mapigo yangu ya moyo yakianza kudunda kwa nguvu.

"Jayden... hhh.... Jayden, Miryam ni dada yako!" mama akasema hivyo.

Nilihisi pigo zito sana likidunda moyoni mwangu, nami nikaganda hapo hapo huku nikimwangalia mama yangu kama vile sijamwelewa.

"Miryam... wewe na Jayden ni ndugu!" mama akasema hivyo na kuanza kulia kwa sauti.

Nilihisi kama vile mwili wote umekufa ganzi. Mama akainama huku akilia, mzee akimshikilia kwa nguvu na akiniangalia kwa mshangao makini, nami nikageuka nyuma kumtazama Miryam. Nilikuta "bibie wangu" akiwa ameweka kiganja chake mdomoni, machozi yakiwa yanaanza kumtoka kwa wingi, na akiniangalia kwa huzuni kuu sana. Machozi yakajaa machoni mwangu nikiwa nahisi vibaya sana moyoni, nikiona namna ambavyo wengine walituangalia kwa kushangaa na kuchanganywa kwa wakati huo huo.

Bi Jamila akasema, "Nini? Ina maana... subiri... Leah... sikumaanisha...."

"Tino ndiyo baba yake Jayden!" mama akaongea kwa sauti ya juu.

Bado nikawa nikimtazama Miryam usoni kwa mkazo.

"Mlimrubuni aniache... hhh... na akaniacha tayari nikiwa nimezaa watoto wawili... hhh... Jayden ni mtoto wake pia!" mama akaongea kwa huzuni sana.

Sikuamini! Yaani... sikuamini!

Tesha akamuuliza Bi Jamila, "JC ni kaka yetu wa damu ma' mkubwa? Ulikuwa unajua?"

"Hapana... siku... sikufikiria hivyo... nilidhani JC ni mtoto tu wa Leah kwa mwanaume mwingi.... a... siku... Mimi... ngoja kwanza, Leah una...." Bi Jamila akawa anaongea kwa presha.

"Ninajua ninachokisema. Nina uhakika," mama akasema hivyo.

Sehemu hii ikageuka kuwa ya majonzi badala ya furaha niliyokuwa nimeitazamia!

Nilikuwa bado namwangalia Miryam, yeye pia akiniangalia machoni kwa huzuni kuu, halafu akaanza kupiga hatua kurudi nyuma, taratibu, akiondoka kwa njia kama vile mtu aliyechoka, na aliniangalia huku machozi mengi sana yakimtoka. Nikaanza kupiga hatua kumfata pia, naye akaninyooshea kiganja kunizuia nisimfate. Nikasimama huku machozi yakianza kunitoka kwa wingi, kukiwa na kitu kikali sana ndani yangu kilichonitia huzuni na maumivu ya hali ya juu moyoni. Shadya akajaribu kumshika Miryam, lakini akautoa mkono wake kwa nguvu na kukatisha hatua zake, huku akiendelea kulia kwa hisia sana.

Wote wakabaki kututazama, nikiwa bado najaribu kupiga hatua ili nimkaribie Miryam wangu, lakini akawa anatikisa kichwa kunikatalia. Iliumiza sana yaani. Yaani sijui ningeweza vipi kuielezea hii hali. Miryam akaanza kushuka chini huku akilia, nami nikashuka chini pia na kupiga magoti huku nikilia kwa uchungu mwingi moyoni. Tukabaki chini hapo, tukilia kwa maumivu makali sana, kwa sababu sasa kulikuwa kumetokea uwazi baina yetu ambao haungekuwa rahisi kuuondoa ili tukutane tena, na ungetulazimu kuachana tu. Hakuna kitu ambacho tuliona kingeweza kututenganisha, lakini wakati huu kikawa kimetokea. Ni kwa nini hili lilikuwa limenipata mimi na Mimi wangu?







END OF SEASON 2
 
MIMI NA MIMI 2

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Tamaa, Hila, Usaliti, Siri, Mambo Yasiyotazamiwa

R-rated 18+

Enjoy!


★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA AROBAINI NA TATU

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★


Baada ya kufika kwa Ankia, nikaenda kujimwagia upesi na kurudi ndani tena, bado nikiwa nahisi raha sana moyoni. Ankia hakuwepo, na nilijua lazima angekuwa na Bobo kujivinjari mahali fulani kwa kuwa nilimpa jamaa gari ili wakatembee. Kwa hiyo nikaamua kumcheki Bobo ili nijue wako pande zipi, kwa sababu nilikuwa na mipango mipya kwa wakati huu. Nilipompata, akaniambia kwamba walikuwa maeneo ya Rangi tatu huko, akiwa amempeleka Ankia kupata burudani sehemu nzuri ya Dar Live, naye akauliza ikiwa nilihitaji gari ili alirudishe huku.

Nilitaka kutumia muda pamoja Miryam, yaani nimtoe out kwa usiku ili tujiburudishe baada ya mama mkubwa wake kuwa amelegeza vyuma, na kwa sehemu niliyofikiria kumpeleka ni kweli nilihitaji gari. Lakini isingekuwa na shida maana ndiyo nilikuwa nimetoka tu kumletea bibie gari jipya, hivyo nikamwambia Bobo haikuwa na haja ya yeye kulileta gari kwa kuwa ningetumia "usafiri" mwingine kwenda nilipotaka, kwa hiyo asingehitaji kukatisha wakati wake mzuri na mpenziwe. Ikaeleweka, na baada ya hapo ndiyo nikaamua kumpigia mama yangu ili kumjulisha kuhusiana na matembezi niliyotaka tufanye kesho nyumbani huko.

Mama yangu akiwa mpenda wageni awaye yeye, akafurahi sana kujua kuwa angemwona Miryam tena kesho, na angefurahia hata zaidi kukutana na ndugu zake wengine. Nikamuuliza kama hilo lingekuwa sawa kabisa kwa mzee, maana nilihitaji na yeye pia awepo sasa sikujua ratiba yake kwa kesho, lakini akaniambia nisijali kuhusu hilo, yeye angepanga kila kitu hapo ili siye tufike, na jioni ya saa mbili ndiyo ungekuwa muda mzuri. Nikamshukuru sana kwa utayari wake, nikimwambia tungeongea zaidi kuhusiana na ishu ya Stella na mwanangu pia, kisha baada ya hapo tukaagana vyema. Hiyo ikatiki, nami sasa nikampigia bibie wangu ili nianze kumshawishi tufanye safari fupi ya kwenda kujivinjari usiku huu.

Alipopokea, nikamweleza kuhusu wazo langu, na mwanzoni alihisi namfanyia tu masihara maana kwake wakati huu ungekuwa siyo mzuri sana kuondoka nyumbani, lakini nikamwambia sitanii. Nilitaka kumtoa, tukale dinner mahali pazuri kabisa, kisha tungerejea tu. Nikamshawishi kwa kusema hata hivyo alihitaji kujaribu gari lake jipya, aanze na kulizoea. Baada ya kujifikiria kwingi kama ilivyo kawaida yake, akawa amekubali, akiniambia atajiandaa upesi ili tutoke hiyo hiyo saa mbili, na kufikia saa tano tuwe tumerudi. Hakujua nilipokuwa napanga kumpeleka, yeye alidhani itakuwa karibu, hivyo nikamkubalia tu ili asije kupinga wazo langu.

Haikuchukua muda mrefu kwangu kusikia gari lake Miryam lilipoingia hapo kwake baada ya kumaliza kuongea naye, ikiwa wazi kuwa Tesha aliwarejesha ndugu zake hatimaye. Saa mbili ilikuwa imeshaingia, na mie hapa nilikuwa nimefanya maandalizi ya mlo wangu na bibie kwa njia ya simu, nikinunua meza moja kwa ajili yetu ili tukifika nilipoweka hiyo oda, basi tufike kama wateja maalumu na kufurahia wakati wetu pamoja bila bughudhi. Nikamcheki bibie tena kumwambia mimi ndiyo nilikuwa nimeanza kuvaa, naye akajibu kuwa ametoka kuoga na angemaliza kuvaa muda si mrefu pia, lakini nikamwambia atumie muda wote aliohitaji kujipendezesha bila papara.

Kwa hiyo kweli nikaanza kuvaa, nikivaa lile shati kali la waturuki nililochukua ile siku ya send-off yake Doris, pamoja na kardet-jeans nyeusi, na miguuni nikitia vile viatu vyeusi rasmi vya siku ile ile. Nilihakikisha mwonekano wangu unaenda kuua baadhi ya macho huko tuendako. Nikamaliza kila kitu na kumtumia ujumbe bibie, nikimwambia ndiyo ninatoka, na nitatembea taratibu kupitia barabara ya Masai mpaka huko lami, hivyo yeye akitoka tu na kuanza kuja na gari lake ataniona. Baada ya hapo ndiyo nikatoka kweli na kufunga nyumba, huyoo nikaingia barabani na mwonekano wangu utadhani naenda kufanya ufisadi.

Ni muda mfupi tu hata kabla sijaipita Masai na bibie akanitumia ujumbe akiwa anasema ameshatoa gari nje, na alikuwa akija. Alishangaa mwanzoni kwa nini niliamua kuanza kuondoka kwa miguu wakati tungeweza ondoka pamoja, lakini nikamwambia nilipenda tu kufanya hivyo. Kihalisi, sikutaka tena niende hapo kwao, tuzungushane wee, hamna. Nilitaka atoke, tuondoke. Na tayari ilikuwa inaelekea kuingia saa tatu. Wakati nikiwa nimeipita tu Masai ndiyo nikageuka na kuona kwamba kweli gari jipya la bibie wangu lilikuwa likija, na waliokuwa hapo nje ya Masai walinitazama mno.

Gari la mpenzi wangu likanifikia hatimaye, nami nikafungua tu mlango wa siti ya pembeni na usukani na kuingia. Tayari gari lilikuwa limeshaanza kunukia harufu yake bibie, na yeye alikuwa ameketi kidereva hapo huku akiniangalia kwa njia ya kuhukumu kutokana na jinsi nilivyovaa. Nilipendezwa pia na uvaaji wake, akiwa ametia gauni laini lenye rangi mbalimbali lililoonekana kufikia magoti yake, huku kwa juu akifunika kifua na mikono kwa kikoti cheupe cha kike ili kujikinga na baridi la usiku. Aliziachia nywele zake na kuzilaza upande mmoja wa bega lake.

Nikamsifia kuwa amependeza, na alipouliza tunaelekea wapi, nikamwambia aendeshe gari kuelekea Kongowe. Akaendelea kuendesha huku nikimjulisha kuwa tayari niliongea na mama kuhusu kwenda nyumbani kesho pamoja na mama wakubwa, na alifurahi sana kwa utayari wote kuwapokea wanafamilia wa Miryam. Bibie akaonekana kupata amani zaidi baada ya kujua hilo, na safari ikaendelea huku nikimwelezea jinsi ambavyo sipati picha siku yetu ya harusi ikifika mambo yatakuwa vipi. Yaani ndiyo tulikuwa tunaelekea kufika huko kabisa, ilikuwa kama ndoto, lakini sasa ingeenda kutimia. Kama masihara vile!

★★

Basi, mwendo wa dakika chache na tayari tukawa tumeifikia Kongowe. Miryam alifikiri kwamba nimeamua kumpeleka sehemu fulani ya haya maeneo ili tuipate hiyo 'dinner,' hivyo akauliza tunaingia wapi. Nikamwambia tubadilishane siti ili mimi niendeshe kuelekea huko, naye akakubali hilo. Nilipoingia kwenye usukani, nikaanza kutembeza gari kwenye barabara ya kuelekea Toangoma, tukapapita, na bado nikaendelea kusonga mbele. Mh? Miryam akashtukia dili na kuuliza 'wewe tunaenda wapi,' lakini sikumpa jibu. Si muda mrefu baada ya hapo ndiyo bibie akawa ametambua kwamba nilimuuza, hatukwenda sehemu ya karibu, bali mbali. Akaniuliza ikiwa hali ndiyo iko hivyo, nami nikamtikisia kichwa kukubali.

Hakuonekana kuudhika sana, maana ile hali ya kunizoea na ma-surprise yangu tayari alikuwa nayo, hivyo akauliza tu tungekwenda wapi kihususa. Nikamwambia tulikuwa tunaenda Kivukoni, kuelekea huko bandarini, naye akashangaa. Akaniambia huko ni mbali, tuvuke maji, twende, tule, turudi tena, itakuwa ni saa ngapi? Akaniasa nigeuze tu na tungetafuta sehemu nyingine nzuri ya kupata mlo, lakini nikamwambia nilikuwa nimeshafanya malipo. Hapo ndiyo akaonekana kukerwa zaidi sasa. Hakunisemesha tena, ila tukawa tunaangaliana na yeye kunikata macho ya hasira, lakini hakuwa na namna ila kukubali tu nimpeleke.

Kununa, asinune, mipango ilikuwa mahala pake, na najua ange-enjoy. Tukafika kwenye uvushwaji, tukavushwa na gari letu mpaka upande wa pili, nami nikaendeleza safari. Muda ulikuwa unaenda, mpaka inafika saa nne bado tulikuwa barabara ya Kivukoni kuelekea huko nilikotaka, na bibie alionekana kuudhika bado. Alikuwa hadi amewasiliana na wa nyumbani kujua hali na nini, nami nikaendelea kubunda tu kama vile sipo. Alikuwa anataka nimbembeleze, ila hilo nililitunza kwa ajili ya baadaye. Nilikuwa nikifuata ramani ya GPS kwenye simu yangu, nikiiweka usawa wa redio ya gari kufuata uelekeo wa eneo nililopanga kumpeleka huyu, na hatimaye tukafika.

Yaani, nilipokuwa naliingiza gari kuelekea eneo pana la sehemu hiyo niliyomleta bibie, alikuwa akiniangalia mara kwa mara, kwa njia tulivu tu, lakini najua hakutegemea. Na mimi nikabaki kimya tu, mpaka nikapita ulinzi vizuri kabisa, kisha nikapeleka gari maegeshoni ambako kulikuwa na magari mengi ya kifahari, na kulikuwa na mtu aliyetuongoza kwa nje kulipeleka gari hadi sehemu iliyo wazi kwa ajili ya kuegesha. Nikazima gari baada ya kuegesha hapo, nami nikamtazama Miryam usoni. Yeye pia alikuwa ananiangalia kwa njia makini, eti akisubiri nianze kuelezea, lakini nikafungua tu mlango na kutoka, nikizunguka mpaka upande wake yeye na kumfungulia ili ashuke.

Miryam akashuka, na alikuwa amevaa simple za silver miguuni, simple tu, nami nikafunga mlango wa gari nikiwa kwa ukaribu pamoja naye.

"Twende."

Nilimwambia hivyo bila kumtazama wala nini, halafu nikaanza kuondoka hapo. Nilikuwa nimejifanya nimekaza, na nilipogeuka nyuma, nikakuta Miryam akiwa bado amebaki kusimama pale pale huku akiniangalia kwa njia makini, kama kuonyesha amekwazika sana kwa namna ambavyo namtendea, nami nikashindwa kujizuia kutabasamu ns hatimaye kumrudia huku nikikimbia taratibu. Nikamfikia na kumkumbatia huku nikicheka kwa pumzi, yeye akiwa kama vile ameganda, nami nikamwachia mgongo na kuendelea kumshika kiunoni.

"Ahahah... I'm sorry. Nilitaka kuona reaction yako," nikamwambia hivyo kwa hisia.

Akaonekana kukosa amani bado.

"Heeey, usiwe hivyo. Nilikuwa natania tu. Na... nilijua usingekubali mie kukuleta huku kote, ila ndiyo tayari nikawa nimeshalipia. Na ni gharama," nikamwambia hivyo.

Akaniangalia machoni na kuniambia, "Kwa nini umenileta huku sasa? Mbona kuna sehemu zingine nzuri tu?"

"Siyo kama hapa. I mean... hebu paangalie kwa mara ya pili. Nipe opinion yako. Honestly kabisa," nikamwambia hivyo huku nikimtazamisha sehemu niliyokuwa nimemleta.

Hapa ilikuwa ni kwenye moja ya hoteli kubwa zaidi jijini, nikisema kubwa ni kubwa haswa. Ilikwenda kwa jina la Hyatt Regency "The Kilimanjaro," ambayo ilikuwa na majengo makubwa ya maghorofa, eneo pana sana la maegesho, bustani maridadi, na huduma za gharama ya hali ya juu. Eight star kabisa huko. Yaani hii hoteli, niliipenda sana, nilikuwa nimewaza nimelete Miryam hapa angalau nimwonyeshe ni namna gani nilifikiria mengi mazuri kumwelekea, na kwangu mimi ilikuwa ni mara ya kwanza kufika hapa kwa kugharamia mwanamke kama hivi. Kipindi cha nyuma nililetwa tu na mtu fulani kushangaa-shangaa.

Nikamuuliza, "Ulishawahi kufika hapa?"

Miryam akatikisa kichwa kukanusha.

"What do you think?"

Akaniangalia machoni na kusema, "Ni pazuri. Lakini Jayden..."

"A-a-aah... reservation iko mahali pake Mimi. Usisuse now, nitachekwa mitaani," nikamwambia hivyo kiutani.

Akashusha pumzi kwa njia ya kusema 'kazi ipo.'

"Hahah... come on baby. Twende," nikamwambia hivyo.

Akanikazia macho yake kama kuonyesha ameudhika.

"Ooh, sorry... hahah... sitakiwi kukuita baby, haya twende basi mama. Twende," nikamwambia hivyo na kumshika kiganja, nikimvuta kwa ushawishi.

Miryam akalegeza, nasi tukaanza kuelekea huko mjengoni pamoja kama wapendano tulio siye.

Hoteli ikiwa ni kubwa mno, ingekuwa rahisi kujiuliza ni wapi tulipopaswa kwenda kwanza, labda mapokezi, lakini mimi na bibie wangu tukafatwa na mmoja wa wahudumu wa sehemu hiyo aliyetuona tunaelekea hapo. Walikuwepo wakaribishaji yaani. Nikamjulisha kwamba nilikuwa nimeshanunua meza moja maalumu ya chakula cha jioni kwa ajili ya wapendanao, naye akatuongoza kuelekea mpaka eneo lililokuwa na kaunta pana la mapokezi. Akaniambia nizungumze na msaidizi hapo, nami nikamshukuru na yeye kuondoka.

Baada ya kumwambia msaidizi kuhusu ishu yangu, akaangalia kwenye kompyuta yake, naye ndiyo akanionyesha tabasamu mwanana la kunikaribisha baada ya kuona nilinunua meza ya gharama. Nadhani akafikiri nina pesa sana, na kwa mwonekano wangu na Miryam pia, akatukaribisha kwa maneno mazuri na kusema meza yetu ilikuwa imetengwa huko juu walikopaita "level 8," kisha akatuma ujumbe kwa mmoja wa wahudumu maalumu hapo ili atuongoze huko. Wakati tukisubiri, niliona Miryam akiwa ametulia tu kuangalia pembeni, nikiona baadhi ya wanaume waliokuwepo wakimtazama sana, wazungu-wazungu wengi wakiwa wanaingia na kutoka, nami nikapitisha mkono wangu kiunoni kwake na kumpa tabasamu. Hatimaye akawa amerudisha tabasamu pia.

Basi, mhudumu maalumu akawa amefika, mwanaume aliyevalia rasmi kikazi, naye akatuongoza kuelekea lifti huku akiniita mimi "sir" na Miryam "madam." Alikuwa mtanzania lakini aliongea kiingereza tupu, na sisi hatukuwa nyuma ingawa hatukumsemesha sana. Tukafika huko juu hatimaye, jamaa akatuongoza kupita korido hili na kona ile, nasi tukafikia eneo lililokuwa kama chumba, lakini kwa nje, kukiwa na mapambo ya majani mafupi kama kiwanja ardhini, maua, na sehemu yenye meza na viti vya watu wawili; meza iliyofunikwa kwa kitambaa-satini safi cha kijani. Jamaa akatukaribisha tukae hapo, akisema oda zetu zingekuja muda si mrefu, naye akaosha.

Nikamsaidia Miryam aketi vizuri kitini, kisha nami nikaenda kukaa kwenye changu. Tulikuwa tunaangaliana sawia, ingawa meza ilikuwa na upana uliotuachanisha kiasi, na bibie wangu aliniangalia kwa njia fulani iliyoonyesha hisia nzuri. Nikawa namtikisia nyusi kama kumuuliza 'vipi,' naye akatabasamu kiasi na kuitoa simu yake. Alikuwa akiangalia saa, na ikiwa ni saa nne bado, akanionyeshea muda na kuniwekea uso wa kuuliza ikiwa kweli tungewahi kutoka huku, nami nikamwambia atulie tu, asiwaze mengi ili tufurahie muda huu kwanza na mengine yangefuata. Akaridhia.

Muda si mrefu, wakaanza kuja wahudumu wengine watano hapo, tena pamoja na mzungu mmoja aliyevaa suti, na hao wahudumu walibeba sahani pana lililofunikwa, humo kukiwa na vyakula bila shaka, na wengine walibeba chupa mbili za wine nyekundu, chupa za maji ya kunywa, glasi za vioo, vyombo vya kulia, na tishu. Wakaipamba meza vizuri kabisa, huku huyo mzungu akiongea na sisi kwa njia ya kirafiki kutukaribisha vyema na kutupongeza kuchagua sehemu nzuri ya kuonyeshana upendo wetu, na ndiyo baada ya hapo wakatuonyesha sehemu ya kunawia mikono iliyokuwa ukutani pembeni, kisha wahudumu na mzungu wakaondoka huku tukiambiwa "enjoy."

Kila kitu kilipangiliwa vizuri sana. Hapo tuliwekewa chakula kwa njia fulani kama kisinia, yaani hilo sahani pana ndiyo lilikuwa na vyakula mbalimbali vitamu vilivyopangwa kwa njia mbili, yangu na yake bibie, na siye tungejichagulia chochote kile kwa kuweka kwenye sahani zetu na kula. Nilikuwa nimeweka ile oda spesho, yaani tuwe sisi pekee upande huu, nami nikanyanyuka na kumshika mkono bibie, yeye pia akinyanyuka, kisha tukaenda kusafisha mikono na kurudi kuketi tena.

Nilitenda kama kwa staha fulani za wazungu, taratibu yaani, tukajiwekea vyakula, nikafungua chupa ya wine na kummiminia bibie glasini, nami nikajimiminia, halafu nikagongesha naye cheers ili kuanzisha mlo rasmi. Nikawa nakula kwa kutumia uma na kisu, eti nakatakata nyama halafu nakula kwa njia fulani ya makusudi kama vile sina muda yaani... hela ipo sana!

Miryam akashindwa kujizuia kucheka kidogo, naye akasema, "Una makusudi Jayden!"

"Ahahah... tuko uzunguni, lazima tuwe wazungu bwana," nikamwambia.

"Ah, me nakula kwa kawaida yangu kama mwanaMbagala. Uzungu fanya wewe..."

"Kwa nini sasa? Hujui kwamba ukienda Roma unatakiwa uishi kama Waroma wanavyoishi?"

"Sawa, lakini me hapa bado ni wa Bongo. Nitakula na kuvaa kibongo, hata kama nitaenda wapi," akasema hivyo.

"Mmm... bado unaniandama kwa sababu sikukwambia tunakuja huku eh?"

"Ah, wala. Kwanza... hhh... nimepapenda. Ni sehemu nzuri, pametulia huku, chakula kitamu, na... tuko private zaidi," akaniambia hivyo huku akinywa wine yake.

"Sasa je! Huwa nakosea kwani?" nikamwambia hivyo kiutani.

Akatabasamu na kuendelea kula.

"Unajua hii hoteli ishawahi ku-pay homage kwa Michael Jackson na mzee Mandela?" nikamwambia hivyo.

"Eti eh?"

"Mmm. MJ alipokujaga huku mpaka pua yake ikayeyuka, ndiyo alilalaga hapa, kesho yake akakimbia..."

"Ahahahah... we' ni mwongo sana..."

"Ih, unafikiri nakutania? Uje u-google uone," nikamwambia hivyo na kuendelea kula pia.

Kutokea hapo, maongezi yakaendelea kuwa yenye kufurahisha baina yangu na bibie, dakika zikiendelea kukatika tunafurahia mlo na kinywaji cha kutuchangamsha taratibu, naye akawa amepigiwa simu. Akanionyeshea kwamba ni Bi Zawadi ndiyo alikuwa akimpigia, naye akapokea na kuanza kuzungumza naye. Nikaendelea kumwangalia na kumsikiliza aliposema angechelewa kidogo kurejea nyumbani, hivyo hapo kwao wangepaswa wafunge tu geti mapema na wakati ambao angefika, basi angepiga simu. Ikaonekana kueleweka, naye ndiyo akashusha simu na kuendelea kula taratibu.

Nikawa namwangalia kwa hisia makini sana, nikiwa namtathmini yaani, dah! Kuwa naye hapa, hivi, yaani sijui nielezeeje. Nilijihisi kuridhika sana. Yeye akiwa anaendelea kula taratibu, akaona nimebaki kumtazama tu, naye akakunja uso kimaswali huku akitabasamu kiasi.

"Vipi, umeshiba?" akaniuliza.

Nikatikisa kichwa kukanusha.

"Kula. Msosi mtamu. Sijawahi hata kula hawa lobster, waliniogopesha mno zamani, ila leo ndiyo nitashukuru Mungu kunikutanisha na wewe. Inaonekana nitakuwa nafaidi sana haya madude maana we' unapenda mno mavitu ya kifahari," akaniambia hivyo.

Nikacheka kidogo huku nikiwa nimefumba mdomo, na yeye akaendelea kula huku akitabasamu. Lakini aliponiangalia usoni tena, akakuta bado nimemtazama tu, hivyo akajisawazisha na kuniangalia kiudadisi.

"Nini wewe? Si ule?" akaniambia hivyo na kasauti kake.

Nikatabasamu kiasi na kuangalia mezani.

"Una shida gani?" akaniuliza.

"Mm? Hamna. Hamna shida. Nakula," nikamwambia.

"Kwa nini ulikuwa unaniangalia hivyo?" akauliza kwa sauti ya chini.

"Ah, nothing... nisamehe kama...."

"No, niambie. Najua kuna kitu unawaza," akanikatisha.

"Sidhani sana kama uta...."

"Just tell me. Si ndiyo maana tuko wawili hapa? Niambie chochote unachowaza," akasema hivyo.

Nikatulia kidogo, kisha nikamwambia, "Nawaza kwamba nakupenda sana. Hivyo."

Akatabasamu kwa mbali na kuendelea kuniangalia kwa hisia.

"Na nime-miss," nikasema hivyo huku nikitazama mezani.

"Ume-miss nini?" akauliza.

Nikamwangalia usoni, naye akapandisha nyusi yake kusisitiza nimpe jibu, lakini nikaona nimpe jibu kwa vitendo. Nikaweka uma chini na kunywa maji kidogo, nami nikasogeza kiti changu nyuma na kuanza kushuka chini. Yaani nikashuka na kuuingiza mwili wangu chini ya meza, ikinifunika na kitambaa chake, na najua nilimwacha akiwa anashangaa hapo alipokuwa.

Akasikika akisema, "Jayden... wewe..."

"Tulia hivyo hivyo," nikamwambia nikiwa huku "under."

Kwa hapa chini, nilikuwa nikiitazama miguu yake myeupe, ambayo aliiweka kwa njia ya kuikunja pamoja na kuyabana mapaja yake, nami nikatambaa mpaka nilipoikaribia na kuugusa mmoja gotini.

"Jayden, acha! Hebu toka huko chini! Unafanya nini?" akasikika akisema hivyo kwa sauti ya chini.

Mwenzake hapa nilikuwa nimeshapotezwa na uzuri wa hiyo miguu yake, nikianza kutembeza vidole juu-chini kuupapasa mmoja, kisha nikafanya jitihada ya kuiachanisha ili nimpe jibu la nini nilikuwa nimekikosa. Lakini akaikaza, na akafunua kitambaa kilichoifunika meza ili aniangalie kwa chini, nami nikamwona sehemu ya kifua chake tu, uso ulifichwa.

"Jayden, hii sehemu ni formal, tunaweza tukafukuzwa. Kumbuka kuna utaratibu hapa..."

"Tutafukuzwa usipoacha mapepe, Mimi..."

"Nini? Me nina mapepe?"

"Ndo' utulie sasa..."

"Lakini Jayden..."

Nikaishika miguu yake na kuiachanisha, huku nikianza kukipeleka kiganja changu pajani kwake, naye akapitisha mkono wake mmoja kwa chini na kujaribu kunizuia.

"Jayden, achaa..."

Nikakishika kiganja chake na kukitoa kwa nguvu hapo chini, nami nikawa napandisha gauni lake hadi mapaja yake yakawa wazi zaidi. Niliweza kuona sasa chupi nyekundu aliyokuwa amevaa kwa ndani, ikinizuia kukiona kile nilichokuwa nime-miss. Nikawa nayatomasa mapaja yake kwa kutumia msuguo wenye nguvu kiasi, nami nikahisi hilo lilikuwa limeanza kumwamshia mwanamke wangu hisia nzuri. Akatelezesha mgongo wake kwenye kiti kuja chini, ili kiuno chake kisogee mbele ya uso wangu zaidi, na hiyo ingeficha uwazi ambao ulionyesha mapaja yake kwa juu endapo kama mhudumu angefika hapo.

"Jayden... eh... we' kaka..."

Nikamsikia akinong'ona hivyo, nami sasa nikawa nikipitisha kidole changu juu ya kitoweo chake kilichofichwa na kukikuna-kuna kwa juu. Aliniacha tu niendelee, nadhani kwa huko juu akijifanya kama ametulia tu, lakini raha ilikuwa imeanza kumwingia. Nikaishika chupi yake na kujaribu kuisogeza kwa pembeni, lakini kutokana na jinsi alivyokaa na mapaja yake manono kutoachia njia pana, haikuwa rahisi kuisogeza chupi kwa kiganja kimoja, mpaka vyote. Akataka kunizuia nisifanye hivyo kwa kuushika tena mkono wangu huku chini, lakini nikaukamata na kuushikisha kwenye chupi yake, nikimlazimisha aivute yeye mwenyewe.

"Hhh... Jayden... we should stop this. Kumbuka tunahitaji kuwahi... oohh...."

Mguno huo ulimtoka baada ya mimi kupitisha kidole changu kitoweoni kwake kwa kiganja kingine, nikitumia huo mkono kupanua zaidi mguu wake, naye akawa anaachia njia. Sikuhitaji tena msaada wa mkono wake, sasa nikaivuta chupi pembeni na kukifichua hicho kimrembo, ambacho kilikuwa kimelowana ute wake laini tayari, nami moja kwa moja nikakichokoza kwa kukipa salamu ya ulimi kwa kushtua kama nyoka. Miryam akaendelea kutulia, huku nikivuta taswira ni namna gani ambavyo sura yake ingekuwa imeanza kukunjamana kwa hapo juu, nami nikaanza kukinyonya kwa hamu zaidi kumwonyesha ni namna gani nilikuwa nimekikosa hata ingawa ilikuwa kwa siku chache tu.

Alianza kunyonga kiuno chake taratibu, na niliweza kusikia miguno yake ya pumzi kwa mbali, lakini akaiziba kwa kiganja nadhani. Nikaendelea kukinyonya, huku nikimpiga vimakofi laini kwenye paja lake, na ndipo hata dakika mbili hazijaisha nikasikia kama hatua zikija upande wetu. Na Miryam kweli akajisawazisha upesi na kurudisha nguo yake ifunike mapaja, huku mimi nikitulia kwa ukimya chini ya meza. Sijui ilikuwa ni nani!

"Hello madam..."

Ilisikika sauti hiyo ya yule mhudumu mwanaume kijana, naye Miryam akasema, "Hi..."

"Is everything okay here? Are you enjoying the comfort of our services, or do you want to add something more to?"

"Yeah, no, I mean... everything is... good. Thank you," Miryam akajibu hivyo upesi, akiwa amerejea kuibana miguu yake kwa chini.

"Where is your consort?" mhudumu akamuuliza.

"He... went to find... the bathroom," Miryam akamjibu.

"I see. Well, we are near if you need anything. Enjoy your meal," mhudumu akasema hivyo kirafiki.

"Thank you very much," Miryam akamshukuru.

Inaonekana jamaa akawa amesepa, nami nikasema kutokea hapo hapo chini, "Pako clear?"

"Eeh, ameondoka," Miryam akajibu.

Nikatoka chini ya meza na kukaa kitini tena huku nikicheka, lakini Miryam akawa ameweka uso makini tu.

Nikasema, "Hiyo ilikuwa noma. Kama movie fulani, eti?"

Miryam akaniangalia machoni kwa uso ulioonyesha kutatizika.

"Jamaa anapiga English ili apewe tip, sijui? Utaniambia wote wanaohudumu hapa ni wazungu-weusi... halafu ulikuwa hujamwelewa. Huduma aliyotaka uchangamkie fursa ni massage, kalikuwa kanataka kukupeleka huko ukapotezwe eti," nikamwambia hivyo kiutani.

Akaacha kuniangalia na kutazama pembeni tu.

Nikiwa namwangalia kwa utulivu sasa, nikamwambia, "That was amazing. Hata kama ni kwa dakika moja, ila... it was sweet. Ndiyo nilikuwa nakupa jibu. Nili-miss huo utamu."

Nilimwambia hivyo na kumtikisia nyusi kimchezo, lakini akaonekana kukosa raha zaidi.

"Mimi... vipi? I mean, come on... hiyo ilikuwa exciting. Hau-enjoy hiyo thrill kama hivyo... ya kujua tunaweza kukutwa? Halafu tumekutwa kweli, ila hatujaonwa. Inanipa stimu ile mbaya yaani, natamani tungeendelea tu, lakini ndiyo hivyo..."

Jitihada yangu ya kuongeza utani ikawa inagonga mwamba. Miryam alionekana kukosa raha kabisa, mpaka nikaingiwa na hisi za kujali.

"Mimi... uko sawa?" nikamuuliza.

Akaniangalia machoni tu.

"Unawaza nyumbani au? Tuharakishe kumaliza kula basi, twende... si eti?" nikamsemesha kwa upole.

Akaangalia pembeni kama amekwazika.

Nikatoka kitini na kumsogelea upande wake, nami nikachuchumaa usawa wa miguu yake na kumtazama machoni kwa utulivu, kisha nikamuuliza, "Mbona umekuwa hivi? Tatizo ni mimi kufanya hiki nilichofanya chini ya meza?"

Akaangalia chini na kutikisa kichwa kukataa.

"Mbona sa' umekasirika?"

"Sijakasirika," akajibu hivyo upesi.

"Ila?" nikamuuliza kiumakini.

Akaniangalia machoni kama vile ameishiwa raha, na akaonekana kutaka kutoa jibu lakini akaacha na kujiangalia miguuni kwa njia ya manung'uniko.

Nikaanza kumtazama kwa njia ya uelewa, nami nikamuuliza, "Nimekuacha pabaya?"

Akatikisa kichwa mara moja kukubali bila kuniangalia.

Nikatabasamu kiasi, nami nikasema, "Dah! Sa' tunafanyaje?"

Akaangalia pembeni kwanza na kunitazama tena, nikielewa zaidi sasa kwamba macho yake hayakuwa ya kutatizwa na kitendo changu, bali yaliyojaa hamu nzito kwelikweli. Hamu ambayo hakutaka iishie njiani. Nikawaza sijui tu tumalize kula halafu tuondoke, kisha ningepita naye sehemu na kuegesha gari, nimpe dozi humo wee, kisha ndiyo tutimkie nyumbani. Ila hamna, hiyo isingekuwa busara. Hii hamu aliyokuwa nayo, nilimpandishia, na ninaona alihitaji niimalize japo kwa wakati huu. Lakini muda sasa.

Nikarudi kitini tena na kukaa, nikiangalia saa mkononi, na ilikuwa inaelekea saa sita. Hivi kweli, hapa tulikuwa tunarudi Mbagala? Hamna. Nikamwangalia Miryam machoni na kukuta amekitazama chakula chake kinyonge, sote tukiwa kwenye hatua za mwisho kumaliza kula, nami nikaona nichukue maamuzi mbadala. Nikavuta simu yangu na kuingia kwenye ukurasa wa hii hoteli, nikalipia chumba kwa ajili ya usiku ili mimi na bibie tulale hapa leo. Ah, maisha raha sana kahela kakiwepo. Miamala fasta tu, nami nikawa nimefanikisha hilo. Nikamwangalia bibie kukuta ananitazama kwa hisia, nami nikaweka simu yangu mfukoni.

"Twende," nikamwambia hivyo.

"Tunaondoka?" akaniuliza hivyo.

"Yeah, let's go," nikamwambia hivyo huku nikisimama.

Akabaki akiniangalia tu kwa utulivu, kisha akasimama pia, akajirekebisha vyema, nasi kwa pamoja tukaenda kujisafisha mikono, halafu tukaondoka sehemu hiyo kuielekea lifti. Sikumwambia lolote kabisa kuhusu nilichokifanya, yaani tukarudi huko chini, halafu nikaenda naye hadi kwenye kaunta la mapokezi, nami nikamwonyesha msaidizi muamala niliokuwa nimefanya kwenye simu. Akanipa shukrani na kunirudishia simu pamoja na kunipa kadi yenye namba ya chumba nilichochukua, huku akimpigia mhudumu wa kutusindikiza ili tupelekwe huko, lakini nikamwambia hakuna haja, tungefika tu wenyewe. Nikamshukuru na kumshika bibie mkono tena kuirudia lifti.

Tayari Miryam alikuwa akiniangalia kwa kushangaa kiasi, kimaswali yaani, lakini hakuuliza chochote hadi tulipofika ghorofa la saba na kuanza kukata korido kuelekea kwenye chumba nilichojua ningepaswa kufungua. Akaniuliza nimefanya nini, lakini nisingempa jibu kwa maneno, ningempa jibu kwa vitendo. Tukafikia hicho chumba, nami nikapitisha kadi hapo, mlango ukafunguka, kisha tukaingia humo bila ya mimi kukiachia kiganja cha bibie. Ni baada ya kuhakikisha yeye amenitangulia ili niufunge mlango ndiyo nikakiachia kiganja chake sasa.

Taa zilijiwasha baada tu ya siye kuingia. Chumba kilikuwa kikubwa, kipana sana. Mwanzoni ilikuwa kama sebule ndogo maridadi, kukiwa na masofa mawili na meza, halafu kwa mbele kulikuwa na bonge la kitanda lenye godoro nene haswa lililofunikwa kwa mashuka meupe na kuwekewa mito mitatu, kukiwa na kabati kubwa la nguo, sofa moja dogo pembeni ya kitanda na viti vilivyozunguka meza fupi ya kioo, vifaa vya AC juu, na flat screen kubwa ukutani. Kulikuwa na bafu zuri humo pia, yale yenye milango ya vioo na jacuzzi la kuogea, hata shelfu ndogo ya kutunzia viatu na vifaa vingine ilikuwepo.

Miryam akanigeukia baada ya mie kuufunga mlango, akinitazama kwa kutonielewa kabisa, naye akauliza, "Jayden, umefanya nini hii?"

Nikaanza tu kumsogelea taratibu huku nikimtazama kwa njia makini.

Akawa anarudi nyuma taratibu pia, huku akiniangalia na kusema, "Umelipia chumba hiki, si ndiyo? Yaani... ahh... sasa hivi ni saa sita, unalipia chumba, halafu turudi nyumbani saa ngapi?"

Sikutoa neno lolote na kuendelea tu kumfata, naye akasimama alipofikia usawa wa kabati.

"Nijibu Jayden," akaniambia hivyo.

Nikasimama karibu zaidi na uso wake, yeye akiniangalia kwa njia ya kuudhika eti, nami nikauelekea mdomo wake ili nimbusu, lakini akakwepesha uso wake na kuangalia pembeni.

"Wakati mwingine mambo unayofanya yananikwaza, sasa ndiyo nini hivi? Tulitakiwa tule, turudi, bado sijatuma taarif...."

Nikamshika kiunoni huku bado nikimwangalia kwa njia yenye hisia.

"Sijatuma... ahh... a-ah, hebu niachie..."

Akasema hivyo na kuutoa mkono wangu kiunoni, naye akajaribu kutoka karibu nami, lakini nikaushika mwili wake kwa nguvu pande za mikono na kumkandamiza hapo kabatini.

Akaniangalia machoni, na akiwa anajaribu kuniepuka, akasema, "Niachie Jayden... sina mood tena na...."

Nikanyamazisha maneno yake kwa kumfata mdomoni na kuanza kumbusu, lakini akawa anaipinga. Akageuza kichwa chake pembeni kama kuonyesha hataki, nami nikaendelea kumbusu shingoni na kuanza kuinyonya, halafu nikakishika kiganja chake kimoja na kukinyanyua ili niukandamize mkono wake hapo kwenye kabati, halafu nikaendelea kumnyonya shingoni kwa njia ya lazima kiasi. Yaani, nilikuwa nataka nimpatie penzi kwa njia ya kulazimisha, na najua sehemu fulani ndani yake ilipenda sana hii kitu, hivyo nilihitaji aendelee kuweka pingamizi.

Akawa anajitahidi kuonyesha kwamba hapendi nachofanya, lakini nilihisi namna ambavyo alikuwa ameanza kupumua kwa njia iliyoonyesha msisimko. Nikaachana na shingo yake na kuuinua mkono wake mwingine, nikiukandamiza juu ya kabati kwa njia fulani kama vile nimeipigilia mikono yake misumari hapo, naye sasa akawa ananiangalia usoni, vile vile kama hataki bado. Nilikuwa nimeweka uso makini, ile njia ya kumwonyesha nataka kumpa show ya kibabe, nami nikaufata mdomo wake na kuanza kuunyonya kwa hamu nzito sana. Nikiwa nimekandamiza mikono yake, ilikuwa ni kama nimemzuia asifurukute, na yeye akawa anarudisha denda yangu kuendana na moto niliokuwa namwingizia.

Nikaendelea kumbusu namna hiyo na kushuka mpaka shingoni tena, akiwa ameanza kupumua kwa uzito zaidi, na nilipoiachia mikono yake tu, akaileta moja kwa moja kwenye shati langu na kuanza kujaribu kulipandisha juu, mzuka ukiwa umemwingia. Nikaushika uso wake kwa viganja vyote na kuanza kumdendesha tena, mzuka wa kutaka mahaba matamu ukituvaa pamoja na kutupatia kasi kwenye wonyesho huu wa mapenzi, naye akaanza kuvifungua vifungo vya shati langu bila kuacha kunibusu mdomoni. Nikakatisha busu na kulishika koti lake pia, nikimvulisha kwa nguvu, na lilipomtoka yeye pia akaanza kushughulika na suruali yangu huku tukirudiana midomoni.

Umeona? Alikuwa ana hamu na mimi huyu sema ndiyo hivyo, alizoea tu kulalamika. Muda mwingine sikuhitaji maneno ili kumnyamazisha, ni vitendo tu ndiyo vingemfanya aonyeshe alichokitaka kweli, kwa sababu tayari nilikuwa nimeshakiona. Hapa angesahau kurudi nyumbani. Kwa hiyo, akawa amefanikiwa kuifungua suruali yangu, nami nikalivuta gauni lake kutokea chini na kumvulisha, akibaki na sidiria nyeupe na chupi yake nyekundu. Akamalizia kulifungua shati langu, nami nikaliondoa mwilini na kuitoa suruali yote miguuni, nikibaki na boksa pekee iliyotuna vibaya mno hapo mbele.

Nikaifuata shingo yake tena na kuanza kuinyonya, yeye akinipapasa mgongoni, nami nikayakamata mapaja yake na kumnyanyua, yaani nikampakata mikononi huku nikiendelea kumbusu shingoni. Akiwa kwa juu, akaushika uso wangu na kuanza kunibusu mdomoni tena, nami nikatembea nikiwa nimembeba hadi nilipomfikisha kitandani na kujiangusha hapo pamoja naye, na busu zikaendelea. Kidogo tu, nikaanza kushuka, shingoni, kifuani, nikayafunua matiti yake na kuanza kuyanyonya kwa zamu, huku nikitumia kiganja changu kusugua kitoweo chake kilichofunikwa kwa chupi.

Alikuwa ameshalowa, naye akiwa amepagawa zaidi akaanza kunitolea boksa ili aiweke huru mashine yangu, hivyo nikajinyanyua na kupiga magoti kitandani, nikiiondoa boksa yote, na yeye akajinyanyua na kukaa. Yaani alinyanyuka upesi sana na moja kwa moja kuishika mashine yangu, akaitumbukiza mdomoni na kuanza kuinyonya kwa hamu kubwa kama vile alikuwa na njaa. Ah! Alininyonya kwa upendo mwingi sana, hapo mimi nikiifungua sidiria yake na kuitoa yote, halafu nikamsukuma kwa nguvu kitandani tena ili alale chali. Nikaishika chupi yake na kuivuta upesi, yaani namaanisha nikairarua kabisa, halafu nikayatanua mapaja yake na kuendeleza kunyonya ule utamu niliomwanzishia kule juu nikiwa chini ya meza.

Kulikuwa na papara katika njia yetu ya kupeana mapenzi kwa usiku huu, ikiwa wazi kwamba sote tulikosana sana. Hasa Miryam. Sikuwahi kudhani angekuja kunionyesha mhemko wa kimahaba kwa njia hii, ila hapa ndiyo angeniruhusu nimpe mahaba ya nguvu zaidi. Nikanyonya hilo toweo na kucheza na kisimi chake kwa dakika mbili kabisa, na nilitaka kuendelea lakini Miryam akawa ananivuta, yaani nimfate mdomoni ili mashine iingie mahali pake. Nikatii. Nikajipandisha hapo bwana, kitu yangu ikiwa imekaza ile mbaya, nami nikaanza kumwingia taratibu.

Akayafinya matiti yake kwa nguvu huku macho yake yakiwa meupe kwa mlegeo, na akatoa sauti ya kukwaruza kooni akiwa kama anashusha pumzi ya mridhiko, naye akaanza kuzungusha kiuno chake taratibu. Kwa sababu fulani, hamu nadhani, mashine yangu ilikuwa imevimba zaidi, na yeye kitoweo chake kilibana hata zaidi, kwa hiyo mwanzoni tulikuwa tunapokeana kama wageni. Si unajua Miryam pia alikuwa ameambiwa anatakiwa kufanya hii kitu mara kwa mara ili asije kupata maumivu tena? Kwa hiyo naona bado kito kilikuwa kwenye zile hatua za kuzoea hali.

Hivyo nikamwachia kwanza aendeshe kiuno hapo mpaka alipoonekana kuzoea na kutaka zaidi, ndiyo akayavuta mapaja yangu ili nimpe dozi yenyewe. Nakatishaga tamaa sasa? Nilianza kistaarabu, halafu ndiyo nikaenda kibabe zaidi. Nilimsugua na kumsugua, akiwa ametanua miguu yake hewani, na mimi nikikomaa tu kula matiti, shingo na mdomo wake ili kuukoleza utamu. Aliguna kwa raha zote, na akataka nimwongezee tu utamu. Mimi mwenyewe nilikuwa nimeshamhamu kweli tokea hapo juzi Shadya alipotukuta na kutuzingua, kwa hiyo hapa, aheh... hapa ingekuwa ni mahaba ya kutokuja kusahau.

Piga, piga, piga, piga, piga, mwanamke akapasua la kwanza. Kwa mkao huo ningemwaga haraka, hivyo nikaamua nimnyanyue. Yaani nikambeba na kumpakata mikononi, halafu akaiingiza mashine kitoweoni mwake ili nimkune kwa mtindo huo. Alikuwa na nyama laini huyu mwanamke, na ule uzito na ulaini wa kalio lake niliupenda maana nililikamata na kulikandamiza kwa nguvu, huku nikimshusha na kumpandisha taratibu ili nihisi jinsi ambavyo kito chake kiliikanda vyema mashine yangu. Aliguna kwa raha, akiniangalia kwa macho yaliyojaa furaha ya kimahaba, na mimi nilipochoka kumbeba nikamshusha na kumgeuza, huku tukiwa tumesimama pamoja.

Nikawa nimeikaba shingo yake kutokea nyuma, uso wangu ukiwa karibu na shavu lake huku nikiling'ata sikio lake, nami nikawa nalichapa makofi kalio lake huku nikimuuliza, "Unataka kwenda nyumbani?"

"A-aah..." akajibu kwa njia ya deko.

Kofi, swali, "Unataka kurudi nyumbani?"

"Hamnaa..." akajibu kimideko.

Yaani, raa!

Nikaanza kuzivuta chuchu zake kwa nguvu na vidole vyangu huku nikimwambia, "Hautoki hapa leo. Umenielewa?"

"Sss... aahhh..."

Nikapiga kofi titi lake na kumuuliza, "Umeelewa?"

"Sss... ehhh... nimeelewa..."

Nilikuwa nampa mapenzi ya mateso eti!

Nikaachia titi lake na kuushuka mkono mpaka kati ya mapaja yake, nikianza kukichokonoa kisimi chake kwa vidole, huku bado nikimnyonya sikio, naye akawa anayumba huku na huku kama hajiwezi yaani, lakini nikaendelea kuikaba shingo yake kwa mkono mwingine na kumkandamizia mwilini mwangu. Alikuwa anapumua kwa mideko, macho yakielekea juu bila lenzi kuonekana, nami nikaishika mashine yangu na kuipitisha chini ya kalio lake, nikiiingiza ndani ya kitoweo chake kwa nyuma na kuanza kumsugua kwa mara nyingine.

Alikuwa amenyanyua viganja vyake hewani kiasi, akivilegeza yaani kama hajiwezi, nami nikaiachia shingo yake na kuusukuma mgongo wake ili ainame na ashike kitanda. Sasa akawa amepinda mugongo, kapteni hapa nikalikamata kalio lake na kuendelea kumpa dawa yake tamu, na miguno haikuacha kumtoka. Nilipiga haswa, nikazikamata na nywele zake kwa nguvu, ute mwingi kama maziwa ukiijaza mashine yangu, na kila mara juisi zilipomtoka ikawa kama vile anaiosha. Alilia! Alitetemeka! Sitasahau hii, yaani nilikula hapo kwa dakika nyingi mpaka Miryam akaishiwa nguvu miguuni.

Akajilaza kitandani, nikamfata. Piga, piga, piga... alilia kwa raha mpaka uso ukawa mwekundu. Kila akiniambia niache, imetosha, nampumzisha; kidogo tu, naanzisha. Sikuona faida nyingine ya hiki chumba isipokuwa kumpa mahaba ya maana mpenzi wangu usiku kucha, na nilijitahidi kuendeleza mchezo hata nilipomwaga vitu vyangu mara mbili kabisa, yeye hapo nikiwa nimemtetemesha mara nyingi mno. Katikati ya mahaba yetu alikuwa ameweza kuongea na Tesha baada ya kijana huyo kumpigia. Na isingekuwa kwamba alipiga wakati nimepumzika kidogo, basi ndiyo simu yake isingepokelewa.

Kwa hiyo Miryam akamwambia Tesha awaambie mama zake kwamba asingerudi leo mpaka kesho, akiwatakia usiku mwema, na baada ya hapo, nikamvuta tena bibie. Mwili wake ulihitaji sana mahaba yaani, kila mara alidengua kidogo lakini mwishowe angekubali nimpe penzi, na yeye kunipa show tamu kuliko mwanzo. Tukapiga mitindo mingi kitandani hapo. Tukaenda na bafuni, piga. Tukarudi usawa wa kabati, piga. Yaani mpaka imeingia saa tisa usiku, ikabidi Miryam anikataze nisiendelee maana alihisi ningeifanya itere!

Nilijikuta nacheka tu, na kweli bibie alichoka mno. Mimi mwenzake nilikuwa natunza nishati shauri ya kupiga tu-push up na chuma kidogo, kwa hiyo nguvu ya kumridhisha mpaka achoke namna hiyo ilikuwemo nyingi sana. Hatimaye tukalala pamoja baada ya kupeana mapenzi murua sote tuliyokuwa na hamu nayo. Siku ikawa imeisha vyema sana kwangu na mpenzi wangu.


★★★


Nimekuja kushtushwa asubuhi kutoka usingizini baada ya Miryam kuniamsha kwa kuutikisa mwili wangu kiasi huku akiita jina langu. Bado nilikuwa na wenge zito la usingizi, jumuisha na wine niliyokunywa jana, nami nikamwangalia Miryam na kukuta bado tupo kitandani pamoja. Lakini mimi tu ndiyo nilikuwa nimejilaza, huku yeye akikaa kwa kuegamia mto, na akiufunika mwili wake kwa shuka hadi kifuani. Akanisemesha, akiniambia mlango unagongwa hapo, nami nikajitahidi kunyanyuka hivyo hivyo huku nikiwa ndani ya boksa pekee, kisha nikafungua kabati na kutoa taulo moja humo ambayo nikaifunga kutokea kiunoni kwangu.

Nadhani ilikuwa ni mhudumu wa hoteli ndiye aliyekuwa akigonga mlango, nami nikaanza kuelekea huko mlangoni huku Miryam akibaki kukaa kitandani. Kwa sababu fulani, niliona kwamba bibie alikuwa "fresh," kama vile tayari aliunawisha uso wake na kuziondolea nywele zake mvurugo. Nikaufikia mlango na kufungua, kukuta kweli ni mfanyakazi mmoja wa hapo hotelini. Alikuwa ni mwanamke mtu mzima kiasi, aliyevalia suti ya kike ya kikazi, na mimi kutoka nikiwa kifua wazi kukamfanya aniombe samahani kwa kunilazimisha nitoke katika hali hiyo, akiona wazi kwamba ndiyo nilikuwa nimeamka. Nikamwambia haina shida, naye akasema amekuja kunieleza kuhusu utaratibu wa hapo kwa mteja.

Nikamwambia asiwe na hofu, nilijua vizuri kwamba kufikia saa sita kamili mchana ningepaswa kuwa nimeondoka, na ingawa sikujua muda huu ni saa ngapi, nilielewa bado ni asubuhi, hivyo muda wa kutoka haukuwa umefika. Ndiyo akasema pamoja na hilo, alikuwa amekuja kunitaarifu kuwa kwa mteja wa aina yangu, yaani kwa uchaguzi wa chumba kama hiki nilichochukua, kulikuwa na faida zingine ambazo hoteli ilitoa kabla ya mimi kuondoka, kama vile mlo bure wa asubuhi. Yaani, breakfast ya bure, na hapo akanipatia kadi ambayo ningeweza kutumia kwenye moja ya mgahawa wa hoteli hiyo kubwa ili kuipata hiyo breakfast kabla ya saa sita kufika. Ahaa, kumbe?

Nikaipokea na kumshukuru, naye akaniaga vizuri na kusonga kwenye shughuli zake zingine, huku mimi nikirudi ndani tena mpaka kitandani kwa mpenzi wangu. Nikafika hapo na kujitupia kitandani, nikilala karibu zaidi na mwili wa Miryam huku nikimkumbatia kiunoni, naye akaichukua kadi ambayo yule mwanamke alinipatia. Akiwa anaiangalia, mimi nilikuwa nimefumba macho tu huku napumulia tumboni kwa bibie, naye akauliza maana ya kadi hiyo. Nikamwelezea kwa ufupi, huku nikianza kupitisha mkono wangu usawa wa ubavu wake ili nilishushe shuka lake kidogo na kuuingiza mkono kwa ndani nilichezee titi lake.

Akauliza, "Kwani, hawatoi hii ofa kwa wateja wote hapa?"

"Sijajua sana. Amesema ni special kwa mtu aliyechagua chumba kama hiki, so... labda hii ni deluxe room. Me niliiona kuwa standard," nikamwambia.

"Ulikuwa umelipia chumba shi'ngapi?" akauliza.

"Dola 200," nikamjibu hivyo huku nikiwa navuta shuka lake.

"Za kimarekani?"

"Yeah."

"Umezitoa wapi?"

"Nalipa kwa simu tu, wana site yao, nalipia kwa akaunti ya benki," nikasema hivyo.

Miryam akatulia. Kwa kuwa mimi nilikuwa usawa wa tumbo lake sikumwona usoni, kwa hiyo nikaendelea kujitahidi kuingiza kiganja kifuani kwake mpaka nikafanikiwa. Nikalishika titi lake na kuanza kuliminya taratibu, nikiifinya na chuchu yake kidogo, naye akatoa mguno, lakini siyo wa kimahaba, bali kama kushangaa.

Ndiyo nikamwangalia kukuta ameshika simu yake, naye akanitazama usoni na kusema, "Laki tano na nusu."

"Nini?" nikamuuliza.

"Gharama ya usiku mmoja kulala kwenye hiki chumba," akasema.

"Ogh, Miryam usianze...."

"Na hapo bado hatujahesabu gharama ya maandalizi yote ya chakula jana," akaniambia hivyo.

Nikamkazia macho.

"Mhm... haya. We' chezea tu hela," akaniambia hivyo.

"Utajiju," nikamwambia hivyo na kulishika tena titi lake.

"Hebu acha, nenda kaoge tuondoke," akaniambia hivyo na kuitoa mikono yangu kwake, akifunika tena kifua chake.

"Haraka ya nini?" nikamuuliza.

Akanionyesha saa kwenye simu yake, nami nikatoa macho baada ya kukuta ni saa nne ya saa tano.

"Kumbe tumelala?" nikaongea huku nikimtekenya kichokozi.

"Na fujo zako zote jana, ulitegemea nini? Halafu umeichana undie yangu, naenda nimevaa nini kwa ndani?"

Nikabana tabasamu huku nikimwangalia kimchezo, na yeye akapiga ulimi kama kusikitika.

"Nyanyuka ukaoge," akaniambia.

"Ahahah... fujo zilikupagawisha jana, usijifanye kununa kisa nimechana pichu. Ulikuwa high mwenyewe!" nikamtania.

Akatabasamu kiasi na kuanza kujitoa kitandani.

"Njoo bwana... nitaongeza na masaa, money is here," nikamtania huku nikilivuta shuka lake.

"Wewe, hebu kaoge, tunatakiwa tuondoke. Umesahau kuhusu kwenda kwenu leo?" akaniambia hivyo.

"Eh! Kweli," nikasema hivyo na kukurupuka.

Upesi nikakimbilia bafuni, maana wazo la kwenda nyumbani kwa wazazi kweli lilikuwa limenitoka. Hapa hatungeweza kucheza mechi kidogo tena hata ingawa nilikuwa nimeshapandisha mzuka, na Miryam alikuwa ameshaoga. Yaani, kumbe yeye aliamka kabla yangu, akajisafisha, kisha akarudi kukaa kitandani pamoja nami mpaka yule mhudumu wa hoteli alipoanza kugonga mlango. Kwa hiyo nikamaliza kuoga, bibie akiwa ameshaanza kuvaa, nami nikajiunga naye mpaka tulipokamilisha mionekano yetu mizuri, tukapiga na picha za kiutundu pamoja chumbani hapo, kisha tukaondoka pamoja; ikiwa imeshaingia saa tano tayari.

★★

Hakukuwa na mizunguko mingi, yaani tukaenda kupata chai tamu na vitafunwa bomba bure kabisa kwa hisani ya kadi, na baada ya hapo ndiyo tukaiaga Hyatt Regency "The Kilimanjaro." Napenda hilo jina! Tukaingia barabani kuiacha Kivukoni, mie ndiyo nikiendesha kwa msisitizo wake bibie maana alikuwa amechoka, na tayari aliwasiliana na mama zake wakubwa kuwajulisha angeingia nyumbani muda si mrefu. Mwendo wa kurudi ukawa kama jana, isipokuwa tu wakati huu baada ya kuwa tumevushwa maji, nikiwa eneo la hapo Kigamboni nikaamua kulipitisha gari lake bibie kwenye moja ya maduka makubwa ya simu, nami nikaenda huko ndani nikimwacha ananisubiri.

Sikumwambia hata naenda kufanya nini, na dakika chache tu baada ya hapo nikarejea garini, nikiwa nimeshika mfuko wenye bidhaa, nami nikampatia bibie. Akaufunua kukuta ni boksi jipya la simu aina ya Samsung Galaxy, naye akaniangalia machoni kimaswali kiasi.

"Umenunua simu?" akauliza.

"Yeah."

"Kwa ajili gani sasa? Hiyo uliyonayo imekuchosha au?" akauliza kiutani.

"Hamna, siyo kwa ajili yangu," nikamwambia hivyo.

"Ni ya nani?"

"Mamu," nikamwambia.

Akaniangalia kwa njia makini kwa kutotarajia hilo.

"It's high time na ye' awe na simu. Itarahisisha mawasiliano pamoja nasi wote, ili hata we' ukiwa mbali, usiwaze sana kumhusu, maana utakuwa unaweza tu kumpigia," nikamwambia hivyo.

Akaangalia pembeni, nikiona anaukusanya ule utayari wake wa kutaka kupinga hili suala, nami nikaangalia mbele tu kusubiria hilo huku nikiwasha gari.

"Jayden, I thought we talked about this," akaniambia hivyo kwa sauti tulivu.

"Najua, ulisema nisiwe nawanunulia vitu, sawa, lakini... siyo vibaya kwa hili. Mimi... sasa hivi sisi ni kitu kimoja, na ninaweza kufanya kitu kama hiki kwa sababu napenda, usihisi unanikomba wala..." nikamwambia hivyo kiutani.

Akaniangalia usoni kwa utulivu makini.

"Ahahah... natania tu. Na... siyo lazima Mariam ajue me ndo' nimenunua. Hii ni zawadi yake kutoka kwako," nikamwambia hivyo na kumkonyeza.

Miryam akatikisa kichwa kiasi kama kusema dah!

Nikachukulia hiyo kuwa imeenda, yaani nilikuwa namkubalisha kwa mambo mengi sana hata kama hakutaka, na mengi zaidi yalikuwa yanakuja. Ah, safari ikaendelea, tukaivuka Toangoma, Kongowe, mpaka tukaingia Mzinga ikiwa imeshaingia saa nane mchana. Nikalipeleka gari hadi kwa bibie, na kiuhakika sote tukaliona gari langu hapo nje, likiegeshwa pembeni ya nyumba yake Ankia, kuonyesha kwamba Bobo alikuwa aidha ameliacha baada ya kurudi na Ankia, ama alikuwepo ndani pamoja naye wakati huu. Kwa hiyo tukafanya utaratibu wa kuingiza gari la Miryam getini kwake, Tesha ndiyo akiwa ametufungulia, kisha tukashuka na salamu kuanza.

Miryam hakuongea mengi na mdogo wake zaidi tu ya kuuliza ikiwa wengine walikuwa ndani, na baada ya kujibiwa ndiyo, akatuacha hapo nje. Tesha akaninyooshea kidole eti kwamba ananionya kuhusu mimi kumzururisha sana dada yake, nami nikacheka tu na kwa pamoja tukaenda ndani pia. Familia nzima ilikuwepo, wote wakinikaribisha vizuri tu, na nilikuta Miryam akiwa ameshampatia Mariam boksi la simu yake mpya. Ah, binti alifurahi nyie! Alimkumbatia dada yake, aliruka, yaani mpaka akalia! Alitamani kweli kuwa na simu, eti wazo la kwanza kwake ni kuanza kuweka ma-game kama ambayo yalikuwa kwenye simu ya Tesha, na furaha yake ikajaza sehemu hiyo shangwe kubwa.

Hakukuonekana kuwa na tatizo lolote baina yake Miryam na Mariam, wala mwanadada huyo hakuonyesha hisia zozote za kinyongo kuelekea mahusiano yangu na dada yake. Nilifarijika sana kuona hilo. Kwa hiyo tukakaa hapo, mama wakubwa na Shadya wakitaka ubuyu kuhusiana na sehemu tuliyokwenda na kulala jana, naye Miryam akazimisha hiyo mada na kuanza kuzungumzia kuhusu siye kwenda nyumbani ili kuwatembelea wazazi wangu. Hakutaka nianze kuongea kuhusu ishu yetu jana, maana alijua vizuri sana akili yangu!

Kwa hiyo akawaambia mama wakubwa wake kwamba tungeondoka kwenye mida ya saa kumi na moja, ili tufike huko Goba kwenye saa moja au mbili kama nilivyokuwa nimemwambia, nao wakaridhia. Shadya akaongelea kuhusu kutamani kupaona kwetu pia, nami nikaingiwa na wazo zuri. Nikasema kwamba wote wangeweza kuja pamoja nasi ikiwa ingefaa kwao. Mwanzoni, Miryam kama kawaida alinikata jicho la kunishangaa, na wengine kama Tesha na Mariam walikuwa wameshapandisha mzuka wa kutaka kuja ndiyo, lakini wakamtazama dada yao ili kungoja kusikia kama angekubali.

Miryam alikuwa anahisi ni kama vile nataka kumkomoa, maana maamuzi mengi niliyofanya tokea jana yalizidi kumshangaza tu, hakutegemea, na kila mara ilionekana kama hana njia ya kunipinga na kukubali tu. Shadya na Mariam wakafurahi kweli baada ya Miryam kusema sawa, wangeweza kuja pamoja nasi huko kwetu, lakini bibie akanikata jicho kali kweli lililofanya niamue kuwaaga kwa sasa ili kwenda kupumzika kidogo, halafu baadaye ndiyo tungekuja kupitiana. Nikawaacha na kuelekea kwa Ankia, nikiwa na furaha iliyopita kifani moyoni mwangu.

★★

Nimepumzika kwa muda wa saa moja tu hapo kwa Ankia, katika maana ya kulala kabisa kwa kuwa kulikuwepo kausingizi kalikoyavuta macho yangu bado, na nilipoamka ikawa imeshaingia saa kumi. Wakati nimefika hapa, nilimtumia mama ujumbe kumwambia kwamba leo ningekuja na Tesha na Mariam pia, pamoja na shangazi yao mmoja, na muda huu nilioamka ndiyo nikakuta jibu lake kwamba haikuwa na tatizo; ingefaa akiwajua wengi wa ndugu za binti-mkwe wake mtarajiwa, na alitaka kumwona Mariam tena. Mambo yalikuwa yanaenda upesi, lakini ndiyo nilipenda sana. Amani kubwa ilikuwa ikija mbele ya maisha yangu, niliitazamia kwa hamu sana.

Kwa hiyo bila kujivuta tena, nikaanza kujifanyia usafi ili kujiandaa kuondoka. Ankia hakuwepo, na hiyo ni kwa sababu alikuwa amekwenda na mama Chande huko wapi sijui kufatilia ishu fulani, akiwa amenijulisha hilo baada ya mimi kumcheki kabla sijalala ili kuuliza funguo za gari langu zilikuwa wapi, na yeye akaniambia aliziweka kwenye begi langu dogo la nguo. Hivyo sasa nilipomaliza kujiandaa, nikamjulisha Miryam kwamba niko tayari, na yeye huko pamoja na wapendwa wetu wakiwa tayari basi aniite ili tuondoke. Ni muda mfupi tu kutokea hapo na Tesha akawa amekuja hapa kwa Ankia kuangalia ikiwa tayari nilikuwa tayari, na yeye alionekana kuwa tayari tayari. Alitokelezea.

Mwonekano wake Tesha ukiongea yote kwamba alikuja kunifata ili tuondoke, nikasema poa, kisha nikafunga nyumba ya Ankia na kuelekea hapo kwao pamoja naye. Kulikuwa na ile hali ya mishangao kutoka kwa majirani, ambao waliona magari mawili hapo nje, Mazda nyeusi na Mark X nyeupe, bwana harusi na bibi harusi, na bibie wangu pamoja na familia yake walikuwa wameshajiandaa vyema kabisa na kupendeza haswa, tayari kuondoka. Watu na wapita njia walituangalia kweli tulipotoka ndani hapo, Fatuma hata akatufata ili ale umbea kidogo wa ni wapi tunaenda, naye Mariam akamwambia tunaenda kula bata.

Nilimtazama Miryam wangu kwa upendo mwingi sana, yeye pia akiwa ananitazama kwa hisia, nami nikamtolea ishara kumwonyesha jinsi nilivyokuwa nimemkaba usiku wa jana na kumtandika vibao. Akaninyooshea kidole huku akijifanya kuudhika, na hilo likanipa raha sana moyoni na kunifanya nicheke kwa furaha. Wengine walituangalia sana pia na kuona namna ambavyo tulikuwa tumezoeana mno, hakuna ambaye angepinga tena kuwa mimi na Miryam tulipendana sana. Na hapa tulikuwa tukienda kupiga hatua kubwa zaidi katika kuonyesha hilo.

Kwa hiyo tukajigawa sasa, mimi nikiendesha Mazda yangu nikiwa pamoja na Miryam, Bi Zawadi na Mariam, huku Tesha akimwendesha Shadya na Bi Jamila kwenye Mark X ya bibie. Vumbi likatimka, safari ikaanza.

★★

Mwendo kuelekea Goba ulituchukua muda wa saa zima na nusu hivi, shauri hasa ya hitilafu za barabarani zinazokawiza, nami nikiwa nimelitangulia gari aliloendesha Tesha nikawa nimewafikisha wote Goba Center na kuelekea mitaani kwetu moja kwa moja. Mariam alikuwa ameshaanza kutumia simu yake mpya, yaani ikiwa ndiyo hatua za mwanzo kuizoea alipitia vitu vingi na kujaribu mengi, akimwonyesha Bi Zawadi furaha yake, na akiwa na hamu ya kumwonyesha mdogo wangu Nuru pia tukifika kwetu. Kukiwa na hii hali ya wazi ya furaha kutoka kwa binti, Miryam akakishika kiganja changu kwa ufupi na kuniambia 'asante,' kwa kufanya vitu vingi vyenye kumpa amani, nami nikatabasamu kwa hisia na kumtikisia kichwa kukubali shukrani yake.

Tukawa tumefika nyumbani kwa wazazi hatimaye, nami nikaongoza kupeleka gari langu mpaka maegesho na Tesha akifuata nyuma tulipowapita walinzi vizuri. Saa moja ilikuwa kwenye nusu sasa, na baada ya kuegesha gari, tukashuka pamoja na bibie wangu, Bi Zawadi, na Mariam, huku Tesha akiwa ameshashuka pia na Shadya pamoja na Bi Jamila kufuata. Niliona ni namna gani ambavyo wageni wapya kufika hapa walivutiwa na mazingira yaliyozunguka nyumba yote, Shadya hata akiachama kana kwamba haamini ikiwa hapo ndiyo kwetu. Bi Zawadi akasema kweli Tesha hakuwa akitania alipoisifia sana nyumba ya wazazi wangu, akiwa amependezwa pia na uzuri wa nyumba.

Wote tukiwa tumesimama kama kikundi hapo hapo usawa wa magari, nikawaambia, "Karibuni jamani. Tuelekee ndani sasa."

"Sawa," Bi Zawadi akasema hivyo.

"Mbona kama hamna watu?" Shadya akauliza.

"Wapo shangazi. Wanatusubiria ndani, huwa wanakaribisha wageni wakiwa ndani kabisa," Mariam akamwambia.

"Kumbe?" Shadya akauliza.

"Eeh, we' umeshazoea mpaka kumfata mgeni nje, wengine hawaishi kwa hizo style," Tesha akamwambia.

"Hata me naona. Wanajua tunakuja, kwa hiyo ni sisi kwenda tu, au siyo?" Shadya akaongea kiutani.

Sote tukatabasamu pamoja, isipokuwa Bi Jamila, ambaye alikuwa akiniangalia kwa umakini tu.

Miryam akamsogelea na kuingiza kiwiko chake kwenye mkono wake Bi Jamila, naye akasema, "Twende mama."

Bi Jamila akatikisa kichwa kukubali, kiupole, nasi kwa pamoja tukaanza kuelekea huko malangoni.

Nilikuwa nahisi furaha sana moyoni, yaani ni kama vile tayari nilikuwa nimeshamwoa Miryam na sasa ikawa ni kuileta familia yake kutembelea ya kwangu. Haya yote yalinipa hamu kubwa zaidi katika nia yangu ya kupiga hatua upesi ili nimwoe mwanamke niliyempenda, na najua baada ya hapa maisha yangu yangebadilika sana. Ningekuwa mwanaume mwenye furaha isiyopimika yaani kumfanya Miryam awe mke wangu halali. Yaani nilihisi kupagawa kwa raha zilizokuwa zikifurukuta ndani yangu.

Kuifikia milango hapo, Mariam akabonyeza kengele na sisi wote kusubiri, na mlango ukawa umefunguliwa. Aliyeufungua alikuwa ni Imelda, na baada ya kutuona, akatabasamu na kutupa salamu mmoja baada ya mwingine, akitoa salamu kwa heshima zaidi kuwaelekea wakubwa. Tukaingia pamoja, Shadya akiwa hawezi kujizuia kuongeleshana na Bi Zawadi kwa sauti ya chini kumwambia ni namna gani ambavyo Miryam alikuwa amebahatika eti kupata mchumba kama mimi, nami nikawa nikitazamana na Miryam na kupeana naye tabasamu kwa hisia.

Hapo sebuleni kwenye masofa aliketi mzee wangu, na alikuwa ameshatuona hivyo akanyanyuka na kuanza kutembea taratibu ili akutane nasi kabla hatujayafikia masofa. Imelda akapitiliza kuelekea huko mbele jikoni nadhani, na kutokea ngazini, nikamwona Nuru akiwa anashuka pamoja na mwanadada mwingine rika kama la kwake, mweupe na mwembamba, akionekana kuwa rafiki yake, lakini sikumfahamu. Inawezekana alimwalika aje kukaa hapa kwa muda fulani.

Nikawa nimekutana na mzee hapo mbele na kupeana naye mkono, kisha nikamwambia, "Shikamoo?"

"Marahaba. Karibuni sana," akasema hivyo kuwaelekea wengine pia.

Wote wakawa wamesema asante, Miryam, Tesha, na Mariam wakimwamkia mzee pia, naye akawaitikia vizuri na kuwapa salamu za heshima mama wakubwa.

Bi Zawadi akasema, "Marahaba baba," huku akishikana mkono na mzee.

Bi Jamila naye akaitikia, "Marahaba," huku akionekana kusita kumpa mkono mzee wangu, na mzee akaniangalia usoni kwa kutoelewa kidogo, lakini akapotezea. Naona bado Bi Jamila alikuwa anasua, ila haikuwa shida kubwa sana.

Nuru na rafiki yake wakawa wamefika hapo pia na kuwasalimu mama wakubwa, Miryam, na Shadya kwa heshima, nao wakawaitikia vizuri, halafu Nuru akamsogelea Mariam na kushikana naye huku wakipeana tabasamu kwa furaha.

"Warembo wangu... huyu ndiyo mzee wangu," nikamtambulisha kwa mama wakubwa.

Bi Zawadi akatabasamu na kusema, "Sawa sawa. Nimefurahi kukufahamu baba. Mimi ni mama...."

Kabla Bi Zawadi hajamaliza kuongea, sote tukamwona mama yangu akiwa anatokea kule upande wa jikoni huku akifuatwa na Imelda na msaidizi mwingine pia. Alikuwa anakuja kwa uharakishi, kama vile kuonyesha Imelda alikuwa ameenda kumshtua huko kwamba wageni wameingia, nami nikatabasamu kiasi.

"Jamani, karibuni. Karibuni sana," mama akawa akisema hivyo.

Wengine wakaanza kusema asante, naye mama alipokuwa ametufikia, nikakutana naye na kumkumbatia kwanza huku nikisema, "Mwamba ndiyo nimefika."

Akacheka kidogo na kuniachia huku akisema, "Na me naona. Nilikuwa jikoni nasaidia kupika, he! Wageni mmeingia. Miryam..."

Mama akasema hivyo na kunyoosha mikono yake kumwelekea bibie, naye Miryam akatabasamu na kumsogelea pia, kisha wakakumbatiana na kusalimiana. Nikawatazama wengine na kukuta wananiangalia kimaswali, nami nikatabasamu kwa kuwa naelewa hawakutarajia kwamba mama angekuwa anamfahamu Miryam tayari.

"Umependeza! Hizi nywele zako jamani..." mama akasikika akisema hivyo huku bado amemkumbatia Miryam.

"Ahah... asante. Hata wewe umependeza," Miryam akamwambia hivyo huku akimwachia.

"Nilikuwa nakaanga vitu huko, sikusikia mlipoingia, jamani... karibuni sana. Tesha... Mariam!" mama akasema hivyo na kusogea upande wa wengine.

Mariam akatabasamu kwa hisia na kumsogelea pia, nao wakakumbatiana kwa furaha, huku Tesha akimwamkia mama na yeye kuitikiwa vizuri.

Hali ilikuwa imeshaanza kusisimua sana, nikijua hapo ingekuwa pindi yenye kuburudisha kwa kiwango chake, lakini jambo fulani likazuka. Mama, akiwa amemkumbatia Mariam bado, aliangalia upande wangu kunipita, na tabasamu alilokuwa nalo usoni likaanza kufifia na uso wake kukunjamana kiasi. Akawa ameweka sura makini zaidi, akianza kumwachia Mariam taratibu, nami nikaangalia nyuma kukuta ni Bi Jamila ndiye aliyekuwa akiangaliwa hivyo. Yeye pia alionekana kumtazama mama yangu kwa hisia makini, nami nikamtazama mama tena.

Miryam akamsemesha kwa kusema, "Mama... hawa ni mama zangu wakubwa, Bi Zawadi, na Bi Jamila. Na yule ni shangazi yangu, anaitwa Shadya."

Mama akamtazama Miryam kwa ufupi, halafu akawaangalia mama wakubwa tena kwa umakini.

Bi Zawadi akasogea mbele zaidi kumwelekea mama na kumshika kiganjani, naye akamwambia, "Tumefurahi sana kuja hapa leo. Nilikuwa nimedhani ingekuwa mara ya kwanza kwa Mimi kukuona, lakini kumbe tayari mnafahamiana! JC anajua sana kutu-surprise... ahah..."

Mwanamke huyo aliongea kwa shauku ya mzazi, lakini mama yangu hakutoa itikio lolote zuri na kubaki ameangalia pembeni tu kwa uso makini. Sikupendezwa na hali hii.

Mzee akasema, "Karibuni tukae jamani, siyo vizuri wapendwa kubaki mmesimama."

"Ndiyo, ni kweli, karibuni mkae," Nuru akasema hivyo.

"Asante," Shadya akamwambia na kuanza kuelekea upande wa masofa.

Lakini mama, na sisi wengine tukabaki kusimama hapo hapo, nikimwangalia yeye na Bi Jamila kwa njia ya utambuzi kuwa kuna jambo fulani baina yao lilikuwa likiendelea hapa. Mzee akawa ameona hilo, hata Miryam, nasi tukatazamana machoni kwa njia ya sintofahamu.

Mzee akamshika mama begani na kumuuliza kwa sauti ya chini, "Kuna tatizo?"

Mama akabaki kumtazama tu Bi Jamila, na hata sisi tukamwangalia mwanamke huyo.

Bi Jamila akaanza kutembea taratibu kumwelekea mama, akinyanyua viganja vyake na kuviunganisha kama mtu ambaye anaomba msamaha au anatoa shukrani, sikujua, naye akasimama pembeni yake Bi Zawadi na kusema, "Leah... mwanangu, ninakuomba unisamehe."

Sote tulishangazwa sana na jambo hilo, nikimtazama mwanamke huyo kwa umakini sana, kisha nikamwangalia mama na kukuta amemkazia macho Bi Jamila kwa njia iliyoonyesha huzuni. Kumbe ni kweli walikuwa wanafahamiana! Lakini kivipi? Na kwa nini Bi Jamila alimwomba mama msamaha? Labda hii ndiyo sababu alikuwa akiogopa sana kukubali mahusiano yetu na Miryam, huenda alihofia kwamba mama angechukia uhusiano wetu kwa sababu ya mapito yao ambayo hayakuonekana kuwa mazuri.

Miryam akaniangalia machoni kimaswali, akiwa haelewi pia, nami nikamuuliza mama, "Unafahamiana na Bi Jamila?"

Mama akaniangalia tu usoni na kuanza kupumua kwa njia iliyoonyesha presha inamvizia.

"Mama..." Miryam akamsogelea karibu zaidi Bi Jamila baada ya kumwita hivyo.

"Leah... what's going on?" Mzee akamuuliza mama hivyo.

Wengine walikuwa wamebaki kimya, wakitazama jambo hili kwa umakini na kwa kutoelewa.

Bi Jamila, akiwa bado ameunganisha viganja vyake, akasema, "Mwanangu, kwa yale yaliyopita naomba unisamehe. Naomba uisamehe familia yangu yote kwa yale waliyokufanyia. Hayakuwa mazuri, na mimi nilikaa kimya, sikupaswa kufanya hivyo, hiyo ndiyo dhambi yangu. Tafadhali nisamehe mwanangu. Niko chini ya miguu yako..."

"Bi Jamila, usiongee hivyo tafadh... mama... nini... a-anaongelea nini?" nikaongea kwa kubabaika kiasi.

"Jamila?" Bi Zawadi akamwita.

"Leah, nakuomba sana. Kwa ajili ya watoto wetu," Bi Jamila akamwambia hivyo mama yangu.

Mama akashusha pumzi kwa kasi na kufumba macho, akionekana kuumizwa mno na jambo fulani, naye akafunika mdomo wake kwa kiganja.

"Shangazi, nini kinaendelea? Hatuelewi jamani... mnajuana? Tuko kwa wageni, ndiyo tumefika tu tayari tushaanza kutengeneza scene..." Shadya akasema hivyo.

"Shadya..." Tesha akamwita kama kumzuia.

Bi Jamila akasema, "Hapana Tesha, Shadya yuko sahihi. Haya ni makosa yangu. Baba..."

Alikuwa alimsemesha mzee, naye akaitika, "Naam mama..."

"Nakuomba samahani sana kwa jambo hili. Mimi... mimi na mkeo tunajuana. Ni miaka mingi iliyopita, nili... nilimtendea vibaya, mimi pamoja na familia yetu yaani... tulimfanyia vibaya. Nafikiri hii ni mipango ya Mungu kutukutanisha kwa sababu nilihitaji sana kumwomba msamaha... kwa yote ya kipindi kile..." Bi Jamila akaongea kwa huzuni.

Nikamtazama mama na kukuta bado amefunika tu mdomo wake, na machozi yakimvizia.

"Mama, unamaanisha nini?" Miryam akamuuliza Bi Jamila.

Bi Jamila akasema, "Tuli... tulikuwa na... yaani, Leah... mama JC alipendwa na mdogo wangu enzi hizo, lakini familia yetu... wazazi wetu wakawa hawamtaki, wakawaachanisha. Na mdogo wangu alikuwa anampenda sana Leah, lakini wakaachanishwa na ndugu, wakatenganishwa yaani... baba yako hakuwa na namna ila kumwacha tu kwa sababu wazazi wetu walipinga sana uhusiano wao, ndiyo akamwoa mama yenu badala...."

Nikamwona mama anaachia mdomo wake na kumwangalia Bi Jamila kwa mkazo, halafu akasema, "Nini?!"

Wote wakamtazama kwa umakini.

"Unapomwongelea baba yake Miryam... unamaanisha Tino?" mama akamuuliza Bi Jamila hivyo.

Bi Jamila akabaki kimya kwanza, huku na sisi wengine tukimwangalia kwa umakini. Bado jambo hilo lilichanganya.

"Tino ndiyo nani?" Miryam akauliza.

"Baba yetu siyo Tino... baba yetu anaitwa Constantine. Na ameshakufa," Tesha akasema.

"Hapana, Tesha. Constantine ni jina lake lote, ila tulipokuwa Mwanza zamani alijulikana zaidi kama Tino. Alilifupisha. Ni kweli Leah. Tino ndiyo baba yao na wakina Tesha," Bi Jamila akasema hivyo.

Mama akaniangalia usoni na kuanza kupumua kwa njia iliyoonyesha taharuki, nami nikawa nikimtazama kwa kutoelewa tatizo lake.

"Leah, nakuomba, hayo ni mapito. Me mwenyewe niliogopa tu mwanzoni tu mama, lakini sasa hivi... kwa ajili ya watoto wetu hawa, nimeona...."

Mama akamkatisha Bi Jamila kwa kuanza kulia kwa zile pumzi zenye kushtua kwa nguvu, nami nikamshika mkononi sambamba na mzee pia.

"Leah..." mzee akamwita hivyo kwa kujali.

"Mama, nini?" nikamuuliza.

Miryam pia akasogea karibu nasi na kujaribu kumgusa mama, lakini mama akajirudisha nyuma na kunyanyua kiganja chake kumzuia.

Nilishangaa!

Nikamtazama Miryam usoni, naye akaniangalia kwa wasiwasi.

"Mama... ongea. Nini kinakufanya uwe hivi?" nikamshurutisha mama aseme.

"Jayden, hebu tulia. Leah... jamani... nawaomba twende tukakae ili tuongee vizuri. Njooni tukae," mzee akaongea kwa ustaarabu.

"Hapana Frank..." mama akasema hivyo hatimaye.

Wote tukabaki kumtazama.

Akajitoa mikononi mwake mzee na kunisogelea, naye akasema, "Jayden..."

Nikapandisha nyusi moja huku nikimtazama kwa njia yenye subira, na mapigo yangu ya moyo yakianza kudunda kwa nguvu.

"Jayden... hhh.... Jayden, Miryam ni dada yako!" mama akasema hivyo.

Nilihisi pigo zito sana likidunda moyoni mwangu, nami nikaganda hapo hapo huku nikimwangalia mama yangu kama vile sijamwelewa.

"Miryam... wewe na Jayden ni ndugu!" mama akasema hivyo na kuanza kulia kwa sauti.

Nilihisi kama vile mwili wote umekufa ganzi. Mama akainama huku akilia, mzee akimshikilia kwa nguvu na akiniangalia kwa mshangao makini, nami nikageuka nyuma kumtazama Miryam. Nilikuta "bibie wangu" akiwa ameweka kiganja chake mdomoni, machozi yakiwa yanaanza kumtoka kwa wingi, na akiniangalia kwa huzuni kuu sana. Machozi yakajaa machoni mwangu nikiwa nahisi vibaya sana moyoni, nikiona namna ambavyo wengine walituangalia kwa kushangaa na kuchanganywa kwa wakati huo huo.

Bi Jamila akasema, "Nini? Ina maana... subiri... Leah... sikumaanisha...."

"Tino ndiyo baba yake Jayden!" mama akaongea kwa sauti ya juu.

Bado nikawa nikimtazama Miryam usoni kwa mkazo.

"Mlimrubuni aniache... hhh... na akaniacha tayari nikiwa nimezaa watoto wawili... hhh... Jayden ni mtoto wake pia!" mama akaongea kwa huzuni sana.

Sikuamini! Yaani... sikuamini!

Tesha akamuuliza Bi Jamila, "JC ni kaka yetu wa damu ma' mkubwa? Ulikuwa unajua?"

"Hapana... siku... sikufikiria hivyo... nilidhani JC ni mtoto tu wa Leah kwa mwanaume mwingi.... a... siku... Mimi... ngoja kwanza, Leah una...." Bi Jamila akawa anaongea kwa presha.

"Ninajua ninachokisema. Nina uhakika," mama akasema hivyo.

Sehemu hii ikageuka kuwa ya majonzi badala ya furaha niliyokuwa nimeitazamia!

Nilikuwa bado namwangalia Miryam, yeye pia akiniangalia machoni kwa huzuni kuu, halafu akaanza kupiga hatua kurudi nyuma, taratibu, akiondoka kwa njia kama vile mtu aliyechoka, na aliniangalia huku machozi mengi sana yakimtoka. Nikaanza kupiga hatua kumfata pia, naye akaninyooshea kiganja kunizuia nisimfate. Nikasimama huku machozi yakianza kunitoka kwa wingi, kukiwa na kitu kikali sana ndani yangu kilichonitia huzuni na maumivu ya hali ya juu moyoni. Shadya akajaribu kumshika Miryam, lakini akautoa mkono wake kwa nguvu na kukatisha hatua zake, huku akiendelea kulia kwa hisia sana.

Wote wakabaki kututazama, nikiwa bado najaribu kupiga hatua ili nimkaribie Miryam wangu, lakini akawa anatikisa kichwa kunikatalia. Iliumiza sana yaani. Yaani sijui ningeweza vipi kuielezea hii hali. Miryam akaanza kushuka chini huku akilia, nami nikashuka chini pia na kupiga magoti huku nikilia kwa uchungu mwingi moyoni. Tukabaki chini hapo, tukilia kwa maumivu makali sana, kwa sababu sasa kulikuwa kumetokea uwazi baina yetu ambao haungekuwa rahisi kuuondoa ili tukutane tena, na ungetulazimu kuachana tu. Hakuna kitu ambacho tuliona kingeweza kututenganisha, lakini wakati huu kikawa kimetokea. Ni kwa nini hili lilikuwa limenipata mimi na Mimi wangu?







END OF SEASON 2
Dah
Kaka unajua 🙏
Ila hapana, tuuvunje tu udungu 😁
Mimi na JC waoane 😂
 
Ilikuwaje Miryam kuwa mkubwa kuliko Jayden wakati mama wa Jayden alikuwa wa kwanza kuwa na Tino? Ilitakiwa Miryam awe mdogo. Hii iko hivi, Tino alioa mwanamke mwenye mtoto tayari na mtoto mwenyewe ni Miryam. Miryam Sio biological sister wa Jayden. Ndugu wa damu wa Jayden ni Tesha na Mariam. Kwa hiyo Jayden na Miryam wanaweza kuoana.Na hapo alipo Miryam tayari ana mimba 🤔
 
Ilikuwaje Miryam kuwa mkubwa kuliko Jayden wakati mama wa Jayden alikuwa wa kwanza kuwa na Tino? Ilitakiwa Miryam awe mdogo. Hii iko hivi, Tino alioa mwanamke mwenye mtoto tayari na mtoto mwenyewe ni Miryam. Miryam Sio biological sister wa Jayden. Ndugu wa damu wa Jayden ni Tesha na Mariam. Kwa hiyo Jayden na Miryam wanaweza kuoana.Na hapo alipo Miryam tayari ana mimba
 
Ilikuwaje Miryam kuwa mkubwa kuliko Jayden wakati mama wa Jayden alikuwa wa kwanza kuwa na Tino? Ilitakiwa Miryam awe mdogo. Hii iko hivi, Tino alioa mwanamke mwenye mtoto tayari na mtoto mwenyewe ni Miryam. Miryam Sio biological sister wa Jayden. Ndugu wa damu wa Jayden ni Tesha na Mariam. Kwa hiyo Jayden na Miryam wanaweza kuoana.Na hapo alipo Miryam tayari ana mimba 🤔
Uko sahihi kaka
Nadhan hii ndo situation yenyewe
Wacha tumsubir Elton Tonny
 
Ilikuwaje Miryam kuwa mkubwa kuliko Jayden wakati mama wa Jayden alikuwa wa kwanza kuwa na Tino? Ilitakiwa Miryam awe mdogo. Hii iko hivi, Tino alioa mwanamke mwenye mtoto tayari na mtoto mwenyewe ni Miryam. Miryam Sio biological sister wa Jayden. Ndugu wa damu wa Jayden ni Tesha na Mariam. Kwa hiyo Jayden na Miryam wanaweza kuoana.Na hapo alipo Miryam tayari ana mimba
 
Ilikuwaje Miryam kuwa mkubwa kuliko Jayden wakati mama wa Jayden alikuwa wa kwanza kuwa na Tino? Ilitakiwa Miryam awe mdogo. Hii iko hivi, Tino alioa mwanamke mwenye mtoto tayari na mtoto mwenyewe ni Miryam. Miryam Sio biological sister wa Jayden. Ndugu wa damu wa Jayden ni Tesha na Mariam. Kwa hiyo Jayden na Miryam wanaweza kuoana.Na hapo alipo Miryam tayari ana mimba 🤔
Hakika mkuu,umedadavua vizuri,mtunzi anaweza akaingiza jambo ukaliona dogo kwenye story huko mbele ukashangaa linaleta misukosuko
 
Back
Top Bottom