Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #101
SEHEMU YA 95
Erica alifika hadi alipoahidiana na Rahim, ilikuwa ni hotelini na walikaa mahali Fulani kwenye bustani. Kwakweli Erica alifurahia sana mandhari yale,
“Jamani mbona sijawahio kufika sehemu ya hivi?”
“Ukiwa na mimi utafika kila mahali”
Erica akatabasamu, kisha Rahim aliendelea na porojo zake ambapo cha kwanza kabisa alimuomba Erica simu yake kuwa aangalie picha,
“Mmmh jamani, mbona kuna picha za kawaida tu humu?”
“Naomba hivyo hivyo, nawe chukua yangu uangalie”
Erica hakuona kama ni tatizo kufanya hivyo, akabadilishana simu na Rahim.
Wakati wakiendelea na maongezi, Erica aliomba kwenda msalani na Rahim alimuelekeza, Erica alienda ila alisahau simu yake kwa Rahim.
Huku nyuma simu ya Erica ilianza kuita, Rahim akaitazama ile simu akaona namba imeandikwa Erick, akajua kwa vyovyote vile ni mwanaume, akaipokea
“Hallow”
“Namuomba mwenye simu”
“Una shida nae ipi?”
“Hiyo si simu ya Erica? Namuomba mwenye simu”
“Una shida gani na mke wangu?”
“Erica ni mke wako?”
“Ndio ni mke wangu, wewe una shida nae ipi”
“Aaah basi, mwambie asante”
Ile simu ikakatika, na kumfanya Rahim ajiulize sana kuwa huyo Erick ni nani na anamahusiano gani na Erica.
Basi Erica aliporudi, alianza kupiga nae story akamuuliza,
“Erica una mchumba”
“Kwanini umeniuliza hivyo?”
“Nimekuuliza tu, una mchumba?”
“Aaah hapana sina”
Rahim akapumua kidogo, kisha akaendelea kumwambia Erica
“Je upo tayari kuwa mchumba angu na badae kuwa mke wangu? Tafadhali kubali Erica nakupenda sana”
Kabla Erica hajamjibu Rahim, alifika Bahati kwenye maongezi yao na kusema,
“Nimekuja mbele yako Erica unikane kwa macho yangu kuwa mimi si mchumba wako”
Erica alifika hadi alipoahidiana na Rahim, ilikuwa ni hotelini na walikaa mahali Fulani kwenye bustani. Kwakweli Erica alifurahia sana mandhari yale,
“Jamani mbona sijawahio kufika sehemu ya hivi?”
“Ukiwa na mimi utafika kila mahali”
Erica akatabasamu, kisha Rahim aliendelea na porojo zake ambapo cha kwanza kabisa alimuomba Erica simu yake kuwa aangalie picha,
“Mmmh jamani, mbona kuna picha za kawaida tu humu?”
“Naomba hivyo hivyo, nawe chukua yangu uangalie”
Erica hakuona kama ni tatizo kufanya hivyo, akabadilishana simu na Rahim.
Wakati wakiendelea na maongezi, Erica aliomba kwenda msalani na Rahim alimuelekeza, Erica alienda ila alisahau simu yake kwa Rahim.
Huku nyuma simu ya Erica ilianza kuita, Rahim akaitazama ile simu akaona namba imeandikwa Erick, akajua kwa vyovyote vile ni mwanaume, akaipokea
“Hallow”
“Namuomba mwenye simu”
“Una shida nae ipi?”
“Hiyo si simu ya Erica? Namuomba mwenye simu”
“Una shida gani na mke wangu?”
“Erica ni mke wako?”
“Ndio ni mke wangu, wewe una shida nae ipi”
“Aaah basi, mwambie asante”
Ile simu ikakatika, na kumfanya Rahim ajiulize sana kuwa huyo Erick ni nani na anamahusiano gani na Erica.
Basi Erica aliporudi, alianza kupiga nae story akamuuliza,
“Erica una mchumba”
“Kwanini umeniuliza hivyo?”
“Nimekuuliza tu, una mchumba?”
“Aaah hapana sina”
Rahim akapumua kidogo, kisha akaendelea kumwambia Erica
“Je upo tayari kuwa mchumba angu na badae kuwa mke wangu? Tafadhali kubali Erica nakupenda sana”
Kabla Erica hajamjibu Rahim, alifika Bahati kwenye maongezi yao na kusema,
“Nimekuja mbele yako Erica unikane kwa macho yangu kuwa mimi si mchumba wako”