Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHIRINI NA MBILI
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHIRINI NA MOJA:- Veronica anashtuka na kutoa mkono kisha anajiondoa kifua kwa Deus, “vipi mbona umeshtuka?” Deus anauliza kama vile hajui kilichomsibu pacha wake ambae anatazama chini kwa aibu, “mbona tayari imesimama?” aliuliza Veronica kwa sauti iliyojawa na aibu na mshangao, “kinini hicho kilicho simama?” anauliza Deus kwa sauti yenye utani ndani yake, “si hiyo bunduki yako” anasema Veronica kwa sauti iliyo jaa aibu huku anaonyesha kwa kidole, usawa wadudu ya Deus, “wala usijali si umesma hakuna matumizi ya silaha, ENDELEA…

Alisema Deus ambae safari hii hakujisumbua kujiweka sawa, na kuacha sehemu zile zenye kusababisha watoto zikiwa zime jionyesha wazi zilivyo shupaa ndani ya bukta aliyoivaa, “mh! wewe si umesema hakuna mwanaume anaevumulia?” aliuliza Veronica huku anachukua grass yake mezani na kuiweka mdomoni na kuigugumia kidogo, kisha akaweka mezani, ni kweli kuvumilia kwa mwanamke kama wewe ni kipaji, lakini sio kubaka, siwezi kuvunja sheria bila makubaliano” alisema Deus huku anachukua chupa na kuifungua, akaongeza wine kwa Veronica na kumalizia kwake, “na mimi nikitamani je, si tutavunja sheria?” alisema Veronica kwa sauti fulani nyororo, huku anarudi tena kweye kifua cha Deus na kuegemea kifua hicho kipana, pasipo kujari tena kile kitu kigumu ambacho safari hii kilimgusa maeneo ya ubavuni.*******

Naaam, Koplo Cheleji, baada ya kusikia taarifa ile ya mashambulizi mapya yaliyo fanywa na magari mawili aina ya land rover puma, akajua moja kwa moja kuwa ni wakina Kadumya ndio ambao wanamiliki magari kama hayo, hivyo watakuwa wameenda kujificha upande huo wa misitu ya kisarawe, hapo Cheleji akajua kuwa, itakuwa vyema kama atamjulisha Ulenje juu ya jambo hilo, hivyo akiwa njiani anaelekea upande huo, pamoja na wenzake akachukua simu yake na kupiga simu kwa Ulenje.

Kama ilivyo kawaida simu haikuita sana, ilipokelewa mara moja, “ndiyo Cheleji, vipi kuna jipya” aliuliza Ulenje, ambae kila alipopigiwa simu, alijua kuna jambo jipya, “mkuu, nadhani wakina Kadumya wamelikoroga, wamewashambulia polisi huko maeneo ya mloganzila, na hivi ninavyo kuambia polisi wote tunaelekea huko” alisema Cheleji huku safari inaendelea, “kwanini unasema hivyo, kuna mtu amethibitisha au kuwatambua kama ni wao, maana nadhani katika maagizo yote hatukuwahi kusisitiza kuhusu wao kusakwa” alisema Ulenje, akionyesha mshangao, “kwamujibu wa askari walio toa taarifa ni kwamba, “wamewashambulia na kupita, wao hawaja watambua, ila tayari kuna polisi wanawafukuzia na askari wengine wote wanaelekea huko, na sisi pia tupo njiani tuna elekea huko” alisema Cheleji, na hapo akasikia kimya, ni kama Ulenje alishikwa na ganzi, kwamba nini kinachotaka kutokea.

Sekunde tano baadae Ulenje anasikika tena, “sikia Cheleji, lazima uwe makini sana, na swala hili nendeni kwa umakini na malengo, nitawapigia ni juwe wapo wangapi kwenye hayo magari matatu, kama watakuwa wachache, basi nyie ndio mtakao wa torosha toka huko polisi na kuwapeleka sehemu salama kwao, kama wata kuwa wengi basi itabidi tufanye kitu kitakacho waondoa polisi eneo hilo na kuwabakisha salama wakina Kadumya, Cheleji, kumbuka hawa watu wanaenda kuchukua nchi, na sisi tutakuwa na fedha nyingi sana” alisistiza ulenje kabla ya kukata simu.

Moyo wa Cheleji, uliangazwa kwa tumaini kubwa sana la kuishi Maisha ya kitajiri, wakati huo ambao washirika wao watakuwa wanamiliki nchi Tajiri ya mbogo rand, “nikuambie kitu mdogo wangu, michongo hii ikikaa poa naachana na kazi, naenda zangu mbogo _land” alisema Cheleji, akionyesha kuamini katika mafanikio. *****

Deus anamtazama mwanamke huyu akilala ubavuni mwake, huku anadhania kuwa, mschana huyu anafanya vile kwaajili ya wine aliyokunywa, ana mtazama na kuzidi kushawishika kwa hamu ya kula kitumbua, ambacho kwa sasa alikuwa na miezi zaidi ya mutatumia toka alipogusa kile cha Neela, lakini ukweli ni kwamba kwa Veronica haikuwa wine, japo ndiyo iliyompa ujasiri, ila pia haikuwa tu kufurahi kukutana na kijana huyu, tena katika muonekano alioupenda, ila pia nimwanaume alieokoa Maisha yake, “hapo sasa ni wewe na sheria zako” alisema Deus huku anaulaza mkono wake kwenye mgongo wa Veronica na kuanza kuutembeza taratibu, kitendo ambacho kinaleta msisimko kwa mwanamke huyu, msisimko ulioanzia mgongoni na kushuka paka kinenani, “mchoraji” aliita Veronica, kwa sauti tulivu na nyororo iliyolegea, “niambie pacha wangu” alijibu Deus kwa sauti tulivu safari hii ikiwa ni nzito, “hivi sheria inaruhusu kugusa mzigo?” aliuliza huku anacheka kivivu.

Deus akatabasamu kidogo, maana jibu lilikuwa mbali kidogo, “yah! inaruhusiwa, sasa nitaubeba vipi bila kuushika” alijibu Deus na hapo Veronica akatulia kidogo huku anasikilizia msisimko wa mikono ya Deus, ambae alikuwa anaendelea kupitisha mikono yake juu ya mgongo wake, huku wakati mwingine akifanya kama anamkanda kanda kanda hivi, akianzia karibu na shingo na kushuka mpaka maeneo ya kiunoni, ambako ndio sehemu ambayo Veronica hakutaka Deus aondoe mkono wake, hata wakati tishrt la mschana huyu lilivyo panda juu kidogo na kuacha maeneo hayo ya kiuno wazi, sasa hakuonyesha kuhangaika nacho, baada yake alipenda ule mfinyango wa taratibu kwenye kiuno chake uendelee na kuzidi furahia msisimko ulio leta mtekenyo wakichokozi, ulioleta kitu fulani kwenye eneo la bustani ya shamba la bibi lenye kunde moja.********

Naam! CP Ulenje akiwa nyumbani kwake, ametoka kumaliza kuongea na Cheleji, na kabla hajampigia Kadumya, mara simu yake inaanza kuita, alipotazama anaona kuwa ni mkuu wake wa kazi, yani kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaaam, “mpuuzi huyu, anataka nini saa hizi” alijiuliza Ulenje kabla hajapokea simu” alijisemea Ulenje ambae muda wote alikuwa hapa nyumbani kwake anakunywa pombe huku anaombea vijana wake pamoja na wakina Kadumya wafanikiwe mipango yao, ambayo inge mnufaisha na yeye na kwa kuwa na watu wakaribu wenye kuiongoza nchi Tajiri, hivyo aliamini angepata fedha nyingi sana toka kwao.

Ulenje anajiweka sawa na kwa kupunguza sauti ya TV, na kupokea simu, “hallow Afande, habari za mida hii?” alisalimia Ulenje kwa sauti kakamavu, “kama unavyosikia Ulenje, mambo sio mazuri upande wetu, vipi upo wapi kwa sasa?” aliuliza mkuu wa polisi kanda maalumu, yani CP Nyambibo, swali la mkuu wake lilikuwa ni gumu kidogo, maana akisema yupo ofisini sehemu ambayo kutokana na tukio linaloendelea pengine tayari kamanda Nyambibo alikuwa ameshapiga simu huko na yeye angebainika kuwa ni muongo, “afande nipo nyumbani namsubiri dereva nielekee upande wa misitu ya kisarawe ambako inasemekana yule kijana amefanya shambulizi kwa askari wetu” alisema Ulenje kwa sauti ya kujiamini yenye ukakamavu na utayari.

Ulenje alitaja yule kijana kwa maana ya kumtaja dereva wa BMW, ambae mpaka sasa alisha bainika kuwa ni askari wa zamani wa jeshi la ulinzi private Deus Nyati, kwa lengo la kulazimisha akiri za CP Nyambibo kuamini hivyo, kwa kuzingatia kuwa hapa kuwa na ushahidi wa wazi, kwamba walioshambulia ni wakina nani, “Ulenje, kuna kitu inabidi ufahamu, ni kwamba, shambulizi hilo sio la yule Deus Nyati, ila ni wale washirika wa kikundi cha waasi cha UMD, ambao walikuwa wanapambana na yule kijana Deus Nyati, hivyo akili yako iweke kwa kikundi hicho kuliko kuendelea kuhangaika na huyu kijana ambae mpaka sasa ni wazi alimuokoa mzee James na baadae amemuokoa binti yake toka kwa watu wanao hisiwa kuwa wanaweza wakawa hao hao UMD” alisema Nyambibo, kabla ya kukata simu akimuacha Ulenje ana jishika kiuno na kutazama chini kwa tafakari ya muda mfupi, maana kama imeshabainika hivi wakina Kadumya wanahatari ya kukamatwa na kuharibu mipango yote, na sio tu mipango pekee, pengine kutaja mnyororo wa wausika katika msaada wao katika mahojiano na polisi.

Dakika moja ya tafakari kwa bwana Ulenje, iliisha kwa bwana ulenje kukumbuka kuwa anajukumu la kufanya usiku huu, maana haraka sana alianza kutembea kuelekea chumbani kwake huku anapiga simu kwa dereva wake kwamba amfuate haraka waelekee kwenye tukio. ******

Naaam! Ndani ya jiji la Dar es salaam, mambo yalikuwa moto moto, magari ya polisi yanaonekana kwa makundi yakielekea upande wa kibaha, huku askari wenye silaha wakiwa wamejaa nyuma ya magari hayo wakishikilia mabomba, huku silaha zao wamezivaa kwa kuning’iniza vifuani na migongoni, wakitumia mikanda ya silaha hizo zenye mikebe mitatu ya risasi.

Wakati huo huo katika ofisi za TSA, wanaonekana wakina Elisha Eric, wakiwa kwenye mjadara mkali juu ya shambulio jipy dhiidi ya askari polisi lililo tokea huko mloganzila, “ina maana huyu kijana atakuwa na kundi linalomuunga mkono” aliuliza mmoja kati ya mawakala waliokuwepo mule ndani ya ukumbi, “hapana Deus Nyati hausiki na tukio hilo” alisema Elisha, huku anaweka sawa simu yake na kusoma ujumbe, “washambuliaji hao, wametumia silaha ndogo yenye mzingo wa 5.57mm, na washambuliaji hao walikuwa na magari mawili aina ya land rover puma” alisema Elisha, na hapo mawakala wakatazamana, kwa maana tayari walikuwa wameshapata jibu fulani, “kwahiyo nadhani mumesha fahamu kuwa wale walio mshambulia Deus Nyati pale Sisterfada, na ndio wale waliomteka mzee James, na ndio hao waliofanya shambulizi la mloganzila” alisema Erisha, ambae pia aliendelea kueleza kuwa, “kwa maana hiyo tulielekeza macho na masikio kwa Deus Nyati, ambae alikuwa anapambana na adui mkubwa ambae ilibidi tuhangaike nae, nao ni UMD” alisema Elisha na wote wakakubaliana, “lakini licha ya kujua hayo yote, bado tunahitaji kumpata pia Deus Nyati” alisisitiza Elisha.

Lakini wakati huo huo magari mawili ya kiraia, yaliyoongozwa na Toyota land cruiser prado, yaliyokuwa kwenye msafara wa bwana Songoro, nayo yalikuwa yanakatiza kwenye viwanja vya NSSF, upande wa kiluvya madukani yakielekea barabara ya kisarawe, “hakikisheni tunakuwa wa kwanza kumpata yule mshenzi, gaijarishi anasakwa na jeshi zima la polisi” alisema uledi songoro, huku safari inaendelea kuifuata barabara ya kuelekea kisarawe. ******

Wakati huko mtaani mambo yanazidi kupamba moto, huku kwenye nyumba ya chini ya aridhi ya kijana Deus Nyati mambo yalikuwa yanaendelea, vijana walisha sahau vita, sasa mwanadada mrembo Veronica aliekuwa anapapaswa na kukandwa mgongo wake na Deus, anaweza kuhisi msisimko zaidi na sasa anatamani kama kijana huyu afanya hivyo kwenye sehemu nyingine za mwili wake, na kumfanya mschana huyu mwenye taaluma yake ya udaktari ajilaze kabisa kwenye paja ya kijana wetu, akiacha nafasi kwa Deus ya kupapasa mgongo vyema, huku uso wake ameulekeza tumboni kwa Deus, “mchoraji” aliita tena Veronica kwa sauti ya kivivu, yenye kuonyesha kusisimkwa, “naaam!!! pacha wangu” aliitikia Deus, kwa sauti tulivu nzito, yenye kuanza kuelemwa na kiu ya bumuunda, (andazi lililotengenezwa kwa ndizi na unga wa maindi) huku anamtazama Veronika ambe alikuwa amefumba macho kama anae sikilizia kitu fulani kinacho leta uroda kwenye mwili wake, “kwani inaruhusiwa kupapasa mzigo?” aliuliza Veronica, kwa sauti ile ile, ambayo sasa iliongezeka kicheko cha kivivu, chenye aibu ndani yake. ENDELEA Kufuatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa Jamii Opportunities
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHIRINI NA TATU
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHIRINI NA MBILI:- “mchoraji” aliita tena Veronica kwa sauti ya kivivu yenye kuonyesha kusisimkwa, “naaam!!! pacha wangu” aliitikia Deus kwa sauti tulivu nzito yenye kuanza kuelemwa na kiu ya bumuunda, (andazi lililotengenezwa kwa ndizi na unga wa maindi) huku anamtazama Veronika ambae alikuwa amefumba macho kama anaesikilizia kitu fulani kinacholeta uroda kwenye mwili wake, “kwani inaruhusiwa kupapasa mzigo?” aliuliza Veronica, kwa sauti ile ile, ambayo sasa iliongezeka kicheko cha kivivu chenye aibu ndani yake. ENDELEA…

Deus anatabasamu kidogo, maana swali hili ni kama la mwanzo, lakini hakutakiwa kutoa jibu linalofanana na lile la mwanzo, “yah! inaruhusiwa, nitapimaje uzito bila kupapasa” alijibu Deus kwa sauti ile ile nzito huku anachukuwa grass ya wine toka mezani na kumpatia Veronica ambae anajiweka sawa kidogo, “asante mchoraji wangu” alisema Veronica kwa sauti iliyo lainika, huku anapokea grass, kisha anainywa kidogo na kumpatia Deus, huku anamtazama usoni kwa macho yaliyolegea, wote wanatabasamuliana kivivu, huku Veronica anarudisha kifua chake kwenye mapaja ya Deus na kulala kama alivyo lala mwanzo, Deus nae anaiweka grass mezani na kuchukua ya kwake, anakunywa kidogo na kuirudisha mezani, kisha anendelea kufanya alichokuwa anakifanya mwanzo, safari hii akienda mbali zaidi, maana alikuwa anacheza eneo kubwa la mwili huu ulioumbika wa mwana dada mrembo Veronica, ambae hata yeye mwenyewe alishangaa kumzoea kwa haraka kijana huyu, pangine sababu ni marafki wa muda mrefu.

Maana Veronica akiwa amelala kifudi fundi kwenye mapaja ya kijana huyu, huku kitu kigumu mfano wa tango au ndizi ya mkono wa tembo, kikiwa kimebanwa na matiti yake juu ya kifua anasikilizia mitekenyo ya kijana huyu, ambae kwa muda mfupi aliomfahamu amegundua kuwa, anatabia zote kuu za duniani, yani upande mmoja akiwa muuwaji wa hatari, lakini pia ni muokoaji mkubwa, upande mwigine akiwa ni mpiganaji mwenye uwezo mkubwa wa kupigana, lakini upande mwingine ni mtetezi na mlinzi wa nguvu mwenye kuaminika, kiasi unaelindwa unafaa kujivunia na kujiona upo sehemu salama, ni mtu ambae licha kuwa na roho ngumu ya kikatili, lakini anahuruma kubwa sana na kupenda kusaidia mtu mwenye kuhitaji msaada bila kujiuliza mara mbili, ukiachilia kuwa mtu mwenye kusimamia sheria zake na kuwa mlinzi wa usalamana sheria za nchi, pia ni mvunjaji wa sheria za nchi kwa shughuli anazo zifanya, huyu huyu mmoja licha ya kuwa na sura na sauti za upole lakini ni mwenye hasira na mkatili ajabu.

Ambae sasa alitumia mikono yake miwili, kumkanda kanda Veronica, ambae aliona mikono ya kijana huyu ikishuka mpaka kwenye makalio yake na kuanza kuyaminya minya taratibu, “choraji vipi nguo yako imenipendeza eehn?” aliuliza Veronica, ambae alijua wazi kuwa kwa jinsi umbo lake lilivyo, na uvaaji aliouvaa, ambao hata nyumbani kwao huwa hathubutu kuvaa namna hiyo, lazima kijana angekuwa katika hali tata, “sanaaaa, mpaka naionea wivu hii truck kwa jinsi ilivyokukamata” alijbu Deus ambae hakuacha kukanda kanda makalio ya mwanadada huyu, ambae nae alizidi kujilegeza na kutoa ruksa ya miminyo ifanyike vyema, wote wanacheka kivivu.

Deus Hakuishia hapo, anashusha mikono yake mpaka mwisho wa makalio, ndipo yanapoanzia mapaja, anatumia vidole gumba kukanda paja la ndani, anafanya kama anazungusha, hapo ni kama kuna kitu kinamkuta Veronica ambae anatanua kidogo mapaja yake, huku vidole vya miguu yake vikikosa utulivu, hata pumzi ya mihemo ya mwanamke huyu, ilianza kusikika wazi wazi sambamba na vijisauti ya kulalamika fulani ya “mh! mh!” hata wakati mwingine Veronica alionekana akikaza makalio yake kusindana na kile alichokuwa anakipata wakati ule.

Sijui kama Deus alikuwa hajuwi anacho kifanya, au alifanya makusudi kile alichokifanya, maana licha ya hayo yote, lakini bado aliendelea kupekecha sehemu hiyo ya mapaja manene ya Veronica, akizidi kushusha vidole vyake mpaka kwenye vungu za mapaja haya, kama kuna kitu alikusudia kukigusa kule uvunguni, “mchoraji” aliita Veronica kwa sauti ya mgonjwa mwenye hali mbaya, “naaaam pacha wangu” aliitikia Deus kwa sauti nzito, tulivu kama ya msimuliaji wa hadithi za mbogo edgar, “kwani…. Kwani… inaruhusiwa ku…kufanya hivi?” aliuliza Veronica kwa sauti ile ile ya tabu, huku anasikilizia vidole vya mchoraji wake, ambavyo kila vilivyo zungushwa kwenye mapaja katika vungu za mwanamke huyu mrembo, vidole vile vilikuwa vinakandamiza mashamvu ya kitumbua kile ambacho ungesema mpikaji aliweka vijiko viwili baada ya kimoja, yalisuguana na kuvinyanga kunde iliyomea kwenye shamba hili la bibi na kuifanya ilowe maji yenye utelezi yaliyo lowesha shamba lote, mpaka lile bonde la kati kati likawa na unyevu unyevu mwingi sana kiasi cha kufaa kuchomeka muhogo kama pando la msimu.

Swali la Vero lililotoka katika hali ya msisimko na miugulio ya utamu, lilikuwa jepesi kwa Deus, ambae aliamua toa jibu ambalo lilijaa mtego, “hailuhusiwi, vipi niache?” aliuliza Deus, huku anasitisha kuzungusha vidole vyake kule uvunguni, “hapana endelea hiyo sheria tunaifuta” alisema Veronica akionekana kutokuwa na utani hata kidogo juu ya kile alichokisema, hapo Deus akaendelea taratibu huku Vero akizidi kujilegeza na kutanua mapaja yake kuachia nafasi kwa mikono ya Deus iweze kupenya vizuri uvunguni, “kumbe inawezekana kufanya bila kuingiza” ilimchomoka Veronica bila kutegemea, huku Deus akitabasamu na moyoni anajisemea “nani alisema chakula kitamu kina liwa kwa macho” *********

Naam! Wakiwa wameshafika kwenye reli ya kati, na kuanza kuambaa ambaa pembezoni mwa reli, Kadumya na wenzake ambao tayari walikuwa wameikuta barabara yenye uafadhali, waliongeza mwendo ili polisi ambao sasa walionekana kwa mbali sana wasiweze kuwakuta, “sasa tume chokoza nyuki, lazima jeshi zima litahamia huku kutusaka” anasema Kadumya huku anatoa simu yake na kubofya sehemu ya namba zilizo pigwa, “lakini hatukuwa na namna, maana tungesimama wale washenzi wangeona huu uchafu (akimaanisha ile miili ya wale askari wake) na hapo ingeukwa tatizo kubwa sana” alisema Kadumya, huku anakagua namba za simu na kuipiga namba ya captain Kobwe, ambayo haikuwa mbali sana.

Simu inaita kidogo, kisha inapokelewa, “ndiyo mkuu, habari ya huko” alisikika captain Kobwe, toka upande wa pili wa simu, sauti ambayo ilionyesha wazi alikuwa kwenye gari lililopo kwenye mwendo wa kasi sana, “mmefika wapi kwa sasa?” aliuliza Kadumya, “kwa sasa mkuu, tunaikaribia Nangurukulu, lengo letu baada ya masaa manne tuwe tumeshaingia dar es salaam na kukutana na nyie” alisema Kobwe.

Japo ndiyo hali halisi, lakini bado Kadumya aliona kama vile ni muda mwingi sana, “Kobwe jitahidini bwana, si unajua kuwa lazima tufanikishe kupata fedha usiku huu ili tuondoke hapa Tanzania, na isitoshe sasa hivi tumeanza kuandamwa na polisi, tunahitaji sana msaada wenu” alisema Kadumya, na wakati huo huo akasikia simu yake inatoa mlio fulani wa kiashirio cha kuwa kuna simu inataka kuingia, “usijali mkuu, tumekuja na silaha nyingi sana, hakuna mtu atachomoka hapo” alisema Kobwe kwa kujinasib, “sawa, kata simu nipokee simu nyingine” alisema Kadumya, na kweli Kobwe akakata simu, na hapo ikaonekana simu ya Ulenje ikiwa inaingia.

Hapo moja kwa moja Kadumya akajuwa kuwa tayari anakuja kupewa taarifa za tukio la shambulizi walilo lifanya muda mfupi uliopita, akaipokea na kuiweka sikioni, “niambie Ulenje, kuna jipya huko?” aliuliza Kadumya kwa shauku, “tayari mmesha likoroga, jeshi lote la polisi lina elekea misitu ya kisarawe, kwani mpo wapi sasa hivi” aliuliza Ulenje, “tunakaribia kwenye makutano ya reli na barabara ya kisarawe tunatafuta maficho ili tuwasubiri wenzetu ambao wapo njiani wanakuja kutusaidia kumsaka huyu bwana mdogo na huyu binti wa James, maana bado wanafedha yetu” alisema Kadumya, wakati huo walikuwa wanaiona barabara inayotoka kibaha kwenda kisarawe, “sawa fanyeni haraka sana, mkiikuta barabara ya kisarawe nendeni kushoto mpaka muikute ile Maneromango, halafu muende kulia mukatafute maficho, mkihitaji msaada nipigieni haraka, mimi na makamanda wengine tupo njiani tuna elekea huko, kwahiyo kuweni makini sana” alisisitiza Ulenje kabla ya kukata simu.******

Naaam sasa twendeni mbogo land, ambako kikundi cha ARR, kama wenye we wanavyo ita A dubble R, kwa maana ya Amoured Recce Regiment, chenye namba 91, na vishikizo vyake, kwamaana ya vikikosi vidogo vidogo kama kile cha fuvu la simba, mambo yalikuwa moto moto, watu walikuwa na pilika kama vile mchana, ofisi ya uchunguzi na utambuzi wa usalama wa ndani, tayari walikuwa wamesha hangaika sana kusaka orodha ya watu waliohusika katika msako wa waasi ndani ya serikali, lakini hawakufanikiwa, licha ya kutumia watu wao waliopo vitengo mbali mbali ndani ya jeshi na serikali kwa ujumla, lakini kitu cha kushangaza hapakuwa na hata nyaraka moja iliyosalia inayo wahusu askari MLA na mawakala wa MLSA walioshiriki katika msako huo wa mwaka 1992, operation ambayo ilichangia kuondoa watu wengi muhimu katika nchi, ikiwa majeshini na kwenye vyombo vingine vya ulinzi na usalama, pia ilimhusisha Tajiri James Kervin.

“Jamani tumehangaika vya kutosha kupata hii orodha bila mafanikio, lakini tume bakiza sehemu moja tu, nayo ni ikulu” alisema luten Mahadhi Salum, aliepewa kazi ya kusimamia jukumu hilo nyeti la kutafuta wahusika wa operation tokomeza wahaini, “afande ni hatari sana kuchunguza ikulu, maana mfalme akijua tutaingia kwenye kosa la kutokuwa na Imani na king Euge, lakini tuna mfahamu Chitopelah, aliekuwa nsimamizi wa zoezi hilo, kwanini asitupatie majina ya watu wachache waliohusika na msako ule” alishauri koplo Michael, ambae alikuwa katika kikundi cha uchunguzi, “hilo wazo zuri, inabii tuongee na afande Six ili afanye utaratibu wa kumpata Waziri na kufanyanae mahojiano, si unajua kwa sasa yeye ni mheshimiwa” alisema luten Mahadhi, pasipo kujuwa wanae mkusudia, ndie mtu hatari zaidi ya hatari yenyewe kwa usalama nchi na jukumu lao siri.*******

Naaam! nadhani sasa ni wakati mzuri wa kurudi kule mdidimua, ambako tuliwaacha vijana hawa wawili walio kuwa wanavunjiana sheria walizo ziweka wao wenyewe, ambao sasa hivi bado tuna wakuta wakiwa vile vile, yani Veronica amelala mapajani kwa Deus, amejilegeza kweli kweli akisikilizia utamu wa kupekechwa kunde ya shamba la bibi, huku akitamani kufanyiwa kitu zaidi ya vile anavyo fanyiwa, akihisi kwamba kuna utamu mkubwa sana upo mbele yake, lakini kabla hajafikiria kumshawishi Deus, wote wanashtuliwa na mlio wa simu ya Veronica……. ENDELEA MSOMOJI WANGU.




NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHILINI NA NNE
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHILINI NA TATU:- Naaam! nadhani sasa ni wakati mzuri wa kurudi kule mdidimua, ambako tuliwaacha vijana hawa wawili walio kuwa wanavunjiana sheria walizo ziweka wao wenyewe, ambao sasa hivi bado tuna wakuta wakiwa vile vile, yani Veronica amelala mapajani kwa Deus, amejilegeza kweli kweli akisikilizia utamu wa kupekechwa kunde ya shamba la bibi huku akitamani kufanyiwa kitu zaidi ya vile anavyo fanyiwa, akihisi kwamba kuna utamu mkubwa sana upo mbele yake, lakini kabla hajafikiria kumshawishi Deus, wote wanashtuliwa na mlio wa simu ya Veronica……. ENDELEA…

Deus anataka kuichukuwa ile simu lakini Veronica ana mzuia mkono, kwamba anendelee kufanya kile alichokuwa anamfanyia, na kiukweli alikuwa amenogewa kweli kweli, “mchoraji kweli haiwezekani, naona kama nashindwa, haiwezekani bila kufanya, yani najisikia raha unavyo nifanya hivi” alisema Veronica kwa sauti iliyo zidiwa kweli na kiu ya kitu fulani. ******

Naaam, huko #mbogo_land mambo yalikuwa yanazidi kusonga mbele, major Gen Six anapigiwa simu toka kikosi kidogo cha Lion Skull, fuvu la simba, mpigaji akiwa ni canal Jastin Johnson CO wa kikosi cha uchunguzi cha Lion Skull Base, akaipoea na kuiweka sikioni, wakati huo alikuwa ofisini kwake na watu watatu, nao wakifuatilia habari na matukio yanayoendelea huko Tanzania, “ndiyo Jastin, kuna jipya lolote?” aliuliza major General Sixmund, “mkuu ukweli jipya ni mambo ya kushangaza sana, hatujafanikiwa kupata nakara hata moja ya orodha ya askari waliohusika katika operation ya kutokomeza wa haini nchini” alisema kanali Jastin na kumshangaza kidogo Major Sixmund, “inawezekana vipi, wakati kila kitu kipo kwenye mpangilio wa computer” aliuliza Major general Sixmund kwa sauti ya mshangao “mkuu inaonekana huo ulikuwa ni mpango wa muda mrefu, na kuna mtu aliifuta ilikufanya uchunguzi kuwa mgumu” alijibu kanali Jastin Jonhson, CO wa kambi ya jeshi ya fuvu la simba, “unachosema kinaweza kuwa kweli, maana sio tu hatuwezi kufanya mahojiano na Chitopela, ila ni kwamba hatakiwi kujua kabisa kama tunaitafuta ile orodha” alisema Major general Sixmund, sasa ulikuwa unashaurije kanali, maana ni lazima tupate hiyo orodha?” aliuliza Sixmund, “mkuu najua licha ya kukosekana kwa orodha hii sehemu zote, lakini lazima itakuwepo kwenye ofisi ya nyumbani kwa mfalme” alisema kanali Jastin hakuwa na maana ya kwamba yeye Sixmund afanye mpango wa kuipata tokea huko.

Japo niliona kuwa itakuwa ngumu kidogo kuomba nyaraka kwenye ofisi ya nyumbani kwa mfalme, lakini major general Sixmund aliona kuwa, hakuwa na budi kufuatilia orodha hiyo, ambayo ni kweli kabisa, sehemu ya mwisho ambayo kwa vyovyote inaweza kupatikana ni golden house, “sawa nitawasiliana na mfalme mwenyewe, japo inahitaji busara na akili nyingi sana kumueleza swala hili, vinginevyo anaweza kuchukulia kuwa tunakosoa teuzi ya mfalme Eugen” alisema Sixmund kabla ya kukata simu na kubofya namba nyingine ya mfalme wa nchi hii ndogo na tajiri inayotamaniwa na matajiri wakubwa duniani.*******

Nyumbani kwa mzee James Kelvin, ambae sasa alikuwa na familia yake na askari kumi na nne wa MLA yani #Mbogo_Land Army, wenye mafunzo makubwa ya mbinu za kivita na uchunguzi katika uwanja wa vita pamoja na luten Jimmy Stuart wa jeshi la Tanzania, ambae alikuwa anaongoza platoon moja iliyokuwa inaendeleza ulinzi nje ya uzio wa nyumba ya tajiri James Kelvin kuimarisha ulinzi, “kwanini dada Vero hataki kusema sehemu alipo au amekatazwa na huyu aliemteka?” aliuliza Carolina kwa sauti ya hofu.

Watu ishirini waliokuwepo ndani ya sebule kubwa ya nyumba hii, yani askari kumi na saba pamoja na mzee James mke wake na binti yao Carloline, walikuwa kimya wanasikiliza simu ambayo ilikuwa inaendelea kuita kwa sauti ya wazi kabisa bila kupokelewa, huku jina la mpigiwaji likiwa linaonekana doctor Veronica, “atakuwa amepumzika sehemu” alisema Luten Jimmy wa jeshi la ulinzi la Tanzania, akijaribu kuondoa wasi wasi kwa familia ya bwana James, ambayo ilionekana kuwa na wasi wasi na binti yao, “sidhani kama anaweza kuwa amepumzika, wakati ameshikiliwa na huyo mtu ambae hatumfahamu” alisema mama Carl, akionyesha kukata tamaa, “ila kuna kitu mimi nahisi” alisema captain Amos Makey troop kamanda wa ART, wote wakamtazama Makey, kama ishara ya kusikia kile anacho kiwaza, wakati huo simu ilikuwa inaacha kuita na sauti ya kike inasikika ikisema “namba unayopiga haipokelewi, jaribu tena baadae” mzee James anaichukua simu kwa lengo la kupiga tena, “binti yenu ni kweli yupo salama, sababu yupo na Deus Nyati” alisema captain Amos Makey, huku anamzuwia mzee James kupiga tena simu, “hapana, amesema hayupo na Deus Nyati” alisema Carloline, ambae kichwani mwake aliamini kuwa siku chache zijazo atakutana tena na kijana yule, ambae aliwahi kukutana nae akiwa mschana mdogo.

Hapo Amos ambae alikuwa anatoa simu yake mfukoni na kupiga namba za mzee Frank Nyati, aliishia kutabasamu tu, wakati huo watu wote waliokuwa ndani walikuwa wanamtazama kuona alikuwa anafanya nini, na sekunde kadhaa baadae wakamwona anaanza kuongea, “samahani kwa usumbufu Afande, hata hivyo nilijuwa ungekuwa umeshalala” alisema captain Amos Makey, kisha akatulia kutoa nafasi kwa yule anaeongea nae, ambae hakusikika kwa wengune, “ni kweli usingizi hauwezi kuja mpaka ujue kijana yupo katika hali gani” alisema Amos Makey, ambae pia akaendelea kuongea, “nilitaka kukujulisha kuwa tuliingia salama dar es salaam, na pia mfalme ameshukuru sana kwa ushirikiano wako” alisikika Amos Makey akiongea, “ni jambo la kushukuru bwana Amos, ila nashukuru pia kijana wangu amefika kwenye maficho yake salama” alisema Nyati, ambae wengine hawakumsikia zaidi ya Amos ambae alikuwa anaongea nae kupitia simu, “hoooo ni vizuri sana afande, kama ameshafika kwenye maficho yake, lakini bado kuna utata kidogo, nadhani umesikia kuwa Deus amemteka biiii…….” Alisema Amos, huku anamtazama mzee James, kwaishara ya kuomba msaada wa jina, “Veronica” alisema James kwa sauti ya kunong’ona, huku anamuonyesha ishara Amos abofye kuiruhusu sauti ya wazi, nae Amos akafanya hivyo huku ana ungia juu kwa juu, “Bi Veronica James, ni mtoto wa bwana James, vipi unafamahamu lolote?” aliuliza Amos na kukaa kimya kusubiria jibu, huku kila mmoja mle ndani akimtazama yeye.

Hapo kikasikika kicheko toka upande wa pili wa simu, yani kwa bwana Frank Nyati, “hapana bwana, hajamteka, ila yeye ndie aliemtoa mikononi mwa UMD, utekajinyara huo ulifanywa na UMD, wakimtumia askari wa UMD mmoja anaitwa Enock Kafulu, ambae alibadili jina na kujiita John Joseph akijifanya mchumba wa huyo binti kabla ya kumteka, hivyo ni mpango wa muda mrefu” alifafanua mzee Frank Nyati, huku watu wote wakisikia maongezi hayo kwa uwazi kabisa.

Hapo watu wote wakatazamana huku wanapeana ishara ya kukubarian na bwana Amos, huku tabasamu zikichanua kwenye nyuso zao kasoro Carolina, ambae ni kama hakupendezwa na jambo lile, sijui alikuwa anawaza nini, “sasa tuna weza kupata uelekeo wa eneo hilo ili tukatoe msaada kwa Deus?” aliuliza Amos huku yeye na wenzake wakitegemea jibu la kukubaliwa toka kwa kanali wa zamani wa MLA, yani bwana Frank Nyati, “ni wazo zuri, lakini siyo jema sana, kwaajili ya kuzuia vifo zaidi” alisema Frank na hapo watu wote wakatazamana kwa mshangao, bila shaka walikuwa na maswali yanayofanana, “vifo zaidi kivipi afande, maana ni muhimu tumpate Veronica ili familia hii iweze kusafiri kuelekea #mbogo_land kukutana na mfalme” alisema Amos kwa sauti yenye busara na msisitizo, “Amos nadhani kuna kitu bado serikali haija gundua, mpaka sasa Deus ameshauwa UMD wengi sana, ambao sio tu wapo hapa tanzania, ila wapo na silaha za kisasa, na sio wao peke yao pia wapo polisi wa Tanzania ambao wanashirikiana na UMD, hivyo basi endapo mtaenda kuwafuata, lazima watu wabaya waliopo katika operation hii watawafuata na kujaribu kuwashambulia wakina Deus, nakitu ambacho unahitaji kujua ni kwamba, Deus siyo mtu wakijiuliza mara mbili linapokuja swala la kulinda usalama wake na watu wake wa karibu, ndio maana nakushauri kuwa muwe watulivu, mpaka wakati utakapofika wa kujua nani ni nani” alisema mzee Frank na wote wakakubaliana kwa vichwa.

Wakati maongezi hayo yanaendelea, huku nako Carolina, alikuwa anamnon’oneza jambo mama yake, “mamaaaa kwani Dada anajua kuwa Deus ni rafiki yangu?” aliuliza Carlo kwa sauti ya kunong’ona, lakini mama yake akapotezea na kuweka umakini kwa mume wake, ambae aliingilia maongezi ya Amos na bwana Nyati, “bwana Nyati ni mimi James, habari za siku nyingi” alisalimia mzee James, japo hakuwahi kuwa karibu na bwana Frank zaidi ya kuwahi kumsikia kutokana na matukio ya kishujaa aliyo wahi kuyafanya kwa kumuokoa mfalme Eugen mara kadhaa, “habari bwana James, pole kwa yote yaliyokukuta” alisikika Frank kwa sauti ya wazi kabisa, “asante bwana Frank, pole na wewe pia, kutoka shujaa wa nchi mpaka mkimbizi” alijibu mzee James, kikafwatia kicheko toka upande wa pili wasimu, “lakini mwisho wa siku yote yanaenda kuisha” alisema kanali wa zamani wa MLA bwana Frank Nyati na James akadakia, “bahati nzuri yanaenda kuisha, kabla hawajafanikiwa kwa lolote” alisema James, huku na yeye anacheka kidogo, kuonyesha kwamba, walikuwa wanaongelea kitu ambacho wanaombea kitokee.

Waliongea mawili matatu kabla James hajaenda kwenye lengo kuu, “sasa bwana Frank, nadhani unafahamu kijana wako yupo na binti yangu, unaweza kunihakikishia usalama wake” aliuliza James kwa sauti fulani yenye kuhitaji uthibitisho, huku Caroline akiwa anasikilizia kwa umakini, ni kama alijikuta anakitu fulani kinamfanya asitamani dada yake kuwa karibu na Deus, “James, wewe ni shuhuda wa kile anachokifanya Deus, kama aliweza kukusaidia kwa mtu ambae wameshakaa zaidi ya masaa matatu” alisema mzee Nyati, kwa sauti yenye uhakika wa kile anacho kisema, ni kweli namuamini kijana wako, na ameshawahi kumsaidia binti yangu Carlo, lakini wasi wasi wangu ni kwamba, mpaka sasa hajajitambulisha kwake, na sina uhakika kama Veronica ataweza kutimiza na kufuata sheria za kijana wako” alisema mzee James, akionyesha kuwa na mashaka na usalama wa binti yake,


Wakati maongezi ya mzee James na bwana Nyati yanaendelea, Carlo nae hakuacha kumsumbua mama yake, “mama dada yupo na Deus” lakini mama akampotezea tena, akiweka umakini kwenye maongezi ya mume wake na bwana Nyati, “ondoa mashaka bwana James, hakika binti yako ana bahati kubwa sana, maana ameaminiwa na Deus mpaka kufika kwenye maficho yake ambayo hata mimi sijawahi kufika” alisikika mzee Nyati.

Hapo Carlo akamtazama mama yake ambae bado hakuwa anamjali, “mama unasikia huko, ongea na baba, amwambie awaambie wakina dada wapokee simu niongee na yule kaka” alisema Carlo kwa sauti ya kum’bembeleza mama yake, ambae alimpotezea tena, akimsikiliza mume wake aliekuwa anaongea na bwana Frank, “sawa bwana Frank, naamini kuwa kijana wako atamtunza binti yangu” aliongea bwana James, kabla hawajaagana na kumuachia Captain Amos, “sawa afande sisi tunasubiri wakati muafaka ili tuende tukatoe msaada, na hii taarifa tunaimani itatoka kwako, baada ya kuwasiliana na Deus” alisema Amos, kabla ya kuagana na Frank Nyati ambae ni baba mzazi wa kijana Deus Nyati.

Mara baada ya simu kukatwa, mama Carlo akamshika mkono binti yake na kuondoka nae kuelekea upande wa chumbani, kimya kimya, moja kwa moja wakaingia kwenye chumba cha Carolina, “haya niambie ulichokuwa unaniambia” alisema mama Carolina, “kwani we mama hujui?” aliuliza Carlo, kwa sauti iliyojaa aibu, huku anatazama pembeni, “najua kuhusu nini?” aliuliza mama Carlo, huku anamtazama binti yake kwa jicho lenye hasira kidogo, “kwani mama hujui kuwa Deus rafiki yangu toka nikiwa mdogo” aliuliza Carlo kwa sauti ambayo ilionekana wazi kuficha neno mpenzi. ……. ENDELEA KUFUATILIA MKASA UNAOFUATA WA TEMBELE LA UANI UTAKAO KUJIA HAPA HAPA jamii forums MWISHO WA MKASA HUU NDIO MWANZO WA MKASA MWINGINE USIKAE MBALI
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHIRINI NA TATU
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHIRINI NA MBILI:- “mchoraji” aliita tena Veronica kwa sauti ya kivivu yenye kuonyesha kusisimkwa, “naaam!!! pacha wangu” aliitikia Deus kwa sauti tulivu nzito yenye kuanza kuelemwa na kiu ya bumuunda, (andazi lililotengenezwa kwa ndizi na unga wa maindi) huku anamtazama Veronika ambae alikuwa amefumba macho kama anaesikilizia kitu fulani kinacholeta uroda kwenye mwili wake, “kwani inaruhusiwa kupapasa mzigo?” aliuliza Veronica, kwa sauti ile ile, ambayo sasa iliongezeka kicheko cha kivivu chenye aibu ndani yake. ENDELEA…

Deus anatabasamu kidogo, maana swali hili ni kama la mwanzo, lakini hakutakiwa kutoa jibu linalofanana na lile la mwanzo, “yah! inaruhusiwa, nitapimaje uzito bila kupapasa” alijibu Deus kwa sauti ile ile nzito huku anachukuwa grass ya wine toka mezani na kumpatia Veronica ambae anajiweka sawa kidogo, “asante mchoraji wangu” alisema Veronica kwa sauti iliyo lainika, huku anapokea grass, kisha anainywa kidogo na kumpatia Deus, huku anamtazama usoni kwa macho yaliyolegea, wote wanatabasamuliana kivivu, huku Veronica anarudisha kifua chake kwenye mapaja ya Deus na kulala kama alivyo lala mwanzo, Deus nae anaiweka grass mezani na kuchukua ya kwake, anakunywa kidogo na kuirudisha mezani, kisha anendelea kufanya alichokuwa anakifanya mwanzo, safari hii akienda mbali zaidi, maana alikuwa anacheza eneo kubwa la mwili huu ulioumbika wa mwana dada mrembo Veronica, ambae hata yeye mwenyewe alishangaa kumzoea kwa haraka kijana huyu, pangine sababu ni marafki wa muda mrefu.

Maana Veronica akiwa amelala kifudi fundi kwenye mapaja ya kijana huyu, huku kitu kigumu mfano wa tango au ndizi ya mkono wa tembo, kikiwa kimebanwa na matiti yake juu ya kifua anasikilizia mitekenyo ya kijana huyu, ambae kwa muda mfupi aliomfahamu amegundua kuwa, anatabia zote kuu za duniani, yani upande mmoja akiwa muuwaji wa hatari, lakini pia ni muokoaji mkubwa, upande mwigine akiwa ni mpiganaji mwenye uwezo mkubwa wa kupigana, lakini upande mwingine ni mtetezi na mlinzi wa nguvu mwenye kuaminika, kiasi unaelindwa unafaa kujivunia na kujiona upo sehemu salama, ni mtu ambae licha kuwa na roho ngumu ya kikatili, lakini anahuruma kubwa sana na kupenda kusaidia mtu mwenye kuhitaji msaada bila kujiuliza mara mbili, ukiachilia kuwa mtu mwenye kusimamia sheria zake na kuwa mlinzi wa usalamana sheria za nchi, pia ni mvunjaji wa sheria za nchi kwa shughuli anazo zifanya, huyu huyu mmoja licha ya kuwa na sura na sauti za upole lakini ni mwenye hasira na mkatili ajabu.

Ambae sasa alitumia mikono yake miwili, kumkanda kanda Veronica, ambae aliona mikono ya kijana huyu ikishuka mpaka kwenye makalio yake na kuanza kuyaminya minya taratibu, “choraji vipi nguo yako imenipendeza eehn?” aliuliza Veronica, ambae alijua wazi kuwa kwa jinsi umbo lake lilivyo, na uvaaji aliouvaa, ambao hata nyumbani kwao huwa hathubutu kuvaa namna hiyo, lazima kijana angekuwa katika hali tata, “sanaaaa, mpaka naionea wivu hii truck kwa jinsi ilivyokukamata” alijbu Deus ambae hakuacha kukanda kanda makalio ya mwanadada huyu, ambae nae alizidi kujilegeza na kutoa ruksa ya miminyo ifanyike vyema, wote wanacheka kivivu.

Deus Hakuishia hapo, anashusha mikono yake mpaka mwisho wa makalio, ndipo yanapoanzia mapaja, anatumia vidole gumba kukanda paja la ndani, anafanya kama anazungusha, hapo ni kama kuna kitu kinamkuta Veronica ambae anatanua kidogo mapaja yake, huku vidole vya miguu yake vikikosa utulivu, hata pumzi ya mihemo ya mwanamke huyu, ilianza kusikika wazi wazi sambamba na vijisauti ya kulalamika fulani ya “mh! mh!” hata wakati mwingine Veronica alionekana akikaza makalio yake kusindana na kile alichokuwa anakipata wakati ule.

Sijui kama Deus alikuwa hajuwi anacho kifanya, au alifanya makusudi kile alichokifanya, maana licha ya hayo yote, lakini bado aliendelea kupekecha sehemu hiyo ya mapaja manene ya Veronica, akizidi kushusha vidole vyake mpaka kwenye vungu za mapaja haya, kama kuna kitu alikusudia kukigusa kule uvunguni, “mchoraji” aliita Veronica kwa sauti ya mgonjwa mwenye hali mbaya, “naaaam pacha wangu” aliitikia Deus kwa sauti nzito, tulivu kama ya msimuliaji wa hadithi za mbogo edgar, “kwani…. Kwani… inaruhusiwa ku…kufanya hivi?” aliuliza Veronica kwa sauti ile ile ya tabu, huku anasikilizia vidole vya mchoraji wake, ambavyo kila vilivyo zungushwa kwenye mapaja katika vungu za mwanamke huyu mrembo, vidole vile vilikuwa vinakandamiza mashamvu ya kitumbua kile ambacho ungesema mpikaji aliweka vijiko viwili baada ya kimoja, yalisuguana na kuvinyanga kunde iliyomea kwenye shamba hili la bibi na kuifanya ilowe maji yenye utelezi yaliyo lowesha shamba lote, mpaka lile bonde la kati kati likawa na unyevu unyevu mwingi sana kiasi cha kufaa kuchomeka muhogo kama pando la msimu.

Swali la Vero lililotoka katika hali ya msisimko na miugulio ya utamu, lilikuwa jepesi kwa Deus, ambae aliamua toa jibu ambalo lilijaa mtego, “hailuhusiwi, vipi niache?” aliuliza Deus, huku anasitisha kuzungusha vidole vyake kule uvunguni, “hapana endelea hiyo sheria tunaifuta” alisema Veronica akionekana kutokuwa na utani hata kidogo juu ya kile alichokisema, hapo Deus akaendelea taratibu huku Vero akizidi kujilegeza na kutanua mapaja yake kuachia nafasi kwa mikono ya Deus iweze kupenya vizuri uvunguni, “kumbe inawezekana kufanya bila kuingiza” ilimchomoka Veronica bila kutegemea, huku Deus akitabasamu na moyoni anajisemea “nani alisema chakula kitamu kina liwa kwa macho” *********

Naam! Wakiwa wameshafika kwenye reli ya kati, na kuanza kuambaa ambaa pembezoni mwa reli, Kadumya na wenzake ambao tayari walikuwa wameikuta barabara yenye uafadhali, waliongeza mwendo ili polisi ambao sasa walionekana kwa mbali sana wasiweze kuwakuta, “sasa tume chokoza nyuki, lazima jeshi zima litahamia huku kutusaka” anasema Kadumya huku anatoa simu yake na kubofya sehemu ya namba zilizo pigwa, “lakini hatukuwa na namna, maana tungesimama wale washenzi wangeona huu uchafu (akimaanisha ile miili ya wale askari wake) na hapo ingeukwa tatizo kubwa sana” alisema Kadumya, huku anakagua namba za simu na kuipiga namba ya captain Kobwe, ambayo haikuwa mbali sana.

Simu inaita kidogo, kisha inapokelewa, “ndiyo mkuu, habari ya huko” alisikika captain Kobwe, toka upande wa pili wa simu, sauti ambayo ilionyesha wazi alikuwa kwenye gari lililopo kwenye mwendo wa kasi sana, “mmefika wapi kwa sasa?” aliuliza Kadumya, “kwa sasa mkuu, tunaikaribia Nangurukulu, lengo letu baada ya masaa manne tuwe tumeshaingia dar es salaam na kukutana na nyie” alisema Kobwe.

Japo ndiyo hali halisi, lakini bado Kadumya aliona kama vile ni muda mwingi sana, “Kobwe jitahidini bwana, si unajua kuwa lazima tufanikishe kupata fedha usiku huu ili tuondoke hapa Tanzania, na isitoshe sasa hivi tumeanza kuandamwa na polisi, tunahitaji sana msaada wenu” alisema Kadumya, na wakati huo huo akasikia simu yake inatoa mlio fulani wa kiashirio cha kuwa kuna simu inataka kuingia, “usijali mkuu, tumekuja na silaha nyingi sana, hakuna mtu atachomoka hapo” alisema Kobwe kwa kujinasib, “sawa, kata simu nipokee simu nyingine” alisema Kadumya, na kweli Kobwe akakata simu, na hapo ikaonekana simu ya Ulenje ikiwa inaingia.

Hapo moja kwa moja Kadumya akajuwa kuwa tayari anakuja kupewa taarifa za tukio la shambulizi walilo lifanya muda mfupi uliopita, akaipokea na kuiweka sikioni, “niambie Ulenje, kuna jipya huko?” aliuliza Kadumya kwa shauku, “tayari mmesha likoroga, jeshi lote la polisi lina elekea misitu ya kisarawe, kwani mpo wapi sasa hivi” aliuliza Ulenje, “tunakaribia kwenye makutano ya reli na barabara ya kisarawe tunatafuta maficho ili tuwasubiri wenzetu ambao wapo njiani wanakuja kutusaidia kumsaka huyu bwana mdogo na huyu binti wa James, maana bado wanafedha yetu” alisema Kadumya, wakati huo walikuwa wanaiona barabara inayotoka kibaha kwenda kisarawe, “sawa fanyeni haraka sana, mkiikuta barabara ya kisarawe nendeni kushoto mpaka muikute ile Maneromango, halafu muende kulia mukatafute maficho, mkihitaji msaada nipigieni haraka, mimi na makamanda wengine tupo njiani tuna elekea huko, kwahiyo kuweni makini sana” alisisitiza Ulenje kabla ya kukata simu.******

Naaam sasa twendeni mbogo land, ambako kikundi cha ARR, kama wenye we wanavyo ita A dubble R, kwa maana ya Amoured Recce Regiment, chenye namba 91, na vishikizo vyake, kwamaana ya vikikosi vidogo vidogo kama kile cha fuvu la simba, mambo yalikuwa moto moto, watu walikuwa na pilika kama vile mchana, ofisi ya uchunguzi na utambuzi wa usalama wa ndani, tayari walikuwa wamesha hangaika sana kusaka orodha ya watu waliohusika katika msako wa waasi ndani ya serikali, lakini hawakufanikiwa, licha ya kutumia watu wao waliopo vitengo mbali mbali ndani ya jeshi na serikali kwa ujumla, lakini kitu cha kushangaza hapakuwa na hata nyaraka moja iliyosalia inayo wahusu askari MLA na mawakala wa MLSA walioshiriki katika msako huo wa mwaka 1992, operation ambayo ilichangia kuondoa watu wengi muhimu katika nchi, ikiwa majeshini na kwenye vyombo vingine vya ulinzi na usalama, pia ilimhusisha Tajiri James Kervin.

“Jamani tumehangaika vya kutosha kupata hii orodha bila mafanikio, lakini tume bakiza sehemu moja tu, nayo ni ikulu” alisema luten Mahadhi Salum, aliepewa kazi ya kusimamia jukumu hilo nyeti la kutafuta wahusika wa operation tokomeza wahaini, “afande ni hatari sana kuchunguza ikulu, maana mfalme akijua tutaingia kwenye kosa la kutokuwa na Imani na king Euge, lakini tuna mfahamu Chitopelah, aliekuwa nsimamizi wa zoezi hilo, kwanini asitupatie majina ya watu wachache waliohusika na msako ule” alishauri koplo Michael, ambae alikuwa katika kikundi cha uchunguzi, “hilo wazo zuri, inabii tuongee na afande Six ili afanye utaratibu wa kumpata Waziri na kufanyanae mahojiano, si unajua kwa sasa yeye ni mheshimiwa” alisema luten Mahadhi, pasipo kujuwa wanae mkusudia, ndie mtu hatari zaidi ya hatari yenyewe kwa usalama nchi na jukumu lao siri.*******

Naaam! nadhani sasa ni wakati mzuri wa kurudi kule mdidimua, ambako tuliwaacha vijana hawa wawili walio kuwa wanavunjiana sheria walizo ziweka wao wenyewe, ambao sasa hivi bado tuna wakuta wakiwa vile vile, yani Veronica amelala mapajani kwa Deus, amejilegeza kweli kweli akisikilizia utamu wa kupekechwa kunde ya shamba la bibi, huku akitamani kufanyiwa kitu zaidi ya vile anavyo fanyiwa, akihisi kwamba kuna utamu mkubwa sana upo mbele yake, lakini kabla hajafikiria kumshawishi Deus, wote wanashtuliwa na mlio wa simu ya Veronica……. ENDELEA MSOMOJI WANGU.




NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHILINI NA NNE
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHILINI NA TATU:- Naaam! nadhani sasa ni wakati mzuri wa kurudi kule mdidimua, ambako tuliwaacha vijana hawa wawili walio kuwa wanavunjiana sheria walizo ziweka wao wenyewe, ambao sasa hivi bado tuna wakuta wakiwa vile vile, yani Veronica amelala mapajani kwa Deus, amejilegeza kweli kweli akisikilizia utamu wa kupekechwa kunde ya shamba la bibi huku akitamani kufanyiwa kitu zaidi ya vile anavyo fanyiwa, akihisi kwamba kuna utamu mkubwa sana upo mbele yake, lakini kabla hajafikiria kumshawishi Deus, wote wanashtuliwa na mlio wa simu ya Veronica……. ENDELEA…

Deus anataka kuichukuwa ile simu lakini Veronica ana mzuia mkono, kwamba anendelee kufanya kile alichokuwa anamfanyia, na kiukweli alikuwa amenogewa kweli kweli, “mchoraji kweli haiwezekani, naona kama nashindwa, haiwezekani bila kufanya, yani najisikia raha unavyo nifanya hivi” alisema Veronica kwa sauti iliyo zidiwa kweli na kiu ya kitu fulani. ******

Naaam, huko #mbogo_land mambo yalikuwa yanazidi kusonga mbele, major Gen Six anapigiwa simu toka kikosi kidogo cha Lion Skull, fuvu la simba, mpigaji akiwa ni canal Jastin Johnson CO wa kikosi cha uchunguzi cha Lion Skull Base, akaipoea na kuiweka sikioni, wakati huo alikuwa ofisini kwake na watu watatu, nao wakifuatilia habari na matukio yanayoendelea huko Tanzania, “ndiyo Jastin, kuna jipya lolote?” aliuliza major General Sixmund, “mkuu ukweli jipya ni mambo ya kushangaza sana, hatujafanikiwa kupata nakara hata moja ya orodha ya askari waliohusika katika operation ya kutokomeza wa haini nchini” alisema kanali Jastin na kumshangaza kidogo Major Sixmund, “inawezekana vipi, wakati kila kitu kipo kwenye mpangilio wa computer” aliuliza Major general Sixmund kwa sauti ya mshangao “mkuu inaonekana huo ulikuwa ni mpango wa muda mrefu, na kuna mtu aliifuta ilikufanya uchunguzi kuwa mgumu” alijibu kanali Jastin Jonhson, CO wa kambi ya jeshi ya fuvu la simba, “unachosema kinaweza kuwa kweli, maana sio tu hatuwezi kufanya mahojiano na Chitopela, ila ni kwamba hatakiwi kujua kabisa kama tunaitafuta ile orodha” alisema Major general Sixmund, sasa ulikuwa unashaurije kanali, maana ni lazima tupate hiyo orodha?” aliuliza Sixmund, “mkuu najua licha ya kukosekana kwa orodha hii sehemu zote, lakini lazima itakuwepo kwenye ofisi ya nyumbani kwa mfalme” alisema kanali Jastin hakuwa na maana ya kwamba yeye Sixmund afanye mpango wa kuipata tokea huko.

Japo niliona kuwa itakuwa ngumu kidogo kuomba nyaraka kwenye ofisi ya nyumbani kwa mfalme, lakini major general Sixmund aliona kuwa, hakuwa na budi kufuatilia orodha hiyo, ambayo ni kweli kabisa, sehemu ya mwisho ambayo kwa vyovyote inaweza kupatikana ni golden house, “sawa nitawasiliana na mfalme mwenyewe, japo inahitaji busara na akili nyingi sana kumueleza swala hili, vinginevyo anaweza kuchukulia kuwa tunakosoa teuzi ya mfalme Eugen” alisema Sixmund kabla ya kukata simu na kubofya namba nyingine ya mfalme wa nchi hii ndogo na tajiri inayotamaniwa na matajiri wakubwa duniani.*******

Nyumbani kwa mzee James Kelvin, ambae sasa alikuwa na familia yake na askari kumi na nne wa MLA yani #Mbogo_Land Army, wenye mafunzo makubwa ya mbinu za kivita na uchunguzi katika uwanja wa vita pamoja na luten Jimmy Stuart wa jeshi la Tanzania, ambae alikuwa anaongoza platoon moja iliyokuwa inaendeleza ulinzi nje ya uzio wa nyumba ya tajiri James Kelvin kuimarisha ulinzi, “kwanini dada Vero hataki kusema sehemu alipo au amekatazwa na huyu aliemteka?” aliuliza Carolina kwa sauti ya hofu.

Watu ishirini waliokuwepo ndani ya sebule kubwa ya nyumba hii, yani askari kumi na saba pamoja na mzee James mke wake na binti yao Carloline, walikuwa kimya wanasikiliza simu ambayo ilikuwa inaendelea kuita kwa sauti ya wazi kabisa bila kupokelewa, huku jina la mpigiwaji likiwa linaonekana doctor Veronica, “atakuwa amepumzika sehemu” alisema Luten Jimmy wa jeshi la ulinzi la Tanzania, akijaribu kuondoa wasi wasi kwa familia ya bwana James, ambayo ilionekana kuwa na wasi wasi na binti yao, “sidhani kama anaweza kuwa amepumzika, wakati ameshikiliwa na huyo mtu ambae hatumfahamu” alisema mama Carl, akionyesha kukata tamaa, “ila kuna kitu mimi nahisi” alisema captain Amos Makey troop kamanda wa ART, wote wakamtazama Makey, kama ishara ya kusikia kile anacho kiwaza, wakati huo simu ilikuwa inaacha kuita na sauti ya kike inasikika ikisema “namba unayopiga haipokelewi, jaribu tena baadae” mzee James anaichukua simu kwa lengo la kupiga tena, “binti yenu ni kweli yupo salama, sababu yupo na Deus Nyati” alisema captain Amos Makey, huku anamzuwia mzee James kupiga tena simu, “hapana, amesema hayupo na Deus Nyati” alisema Carloline, ambae kichwani mwake aliamini kuwa siku chache zijazo atakutana tena na kijana yule, ambae aliwahi kukutana nae akiwa mschana mdogo.

Hapo Amos ambae alikuwa anatoa simu yake mfukoni na kupiga namba za mzee Frank Nyati, aliishia kutabasamu tu, wakati huo watu wote waliokuwa ndani walikuwa wanamtazama kuona alikuwa anafanya nini, na sekunde kadhaa baadae wakamwona anaanza kuongea, “samahani kwa usumbufu Afande, hata hivyo nilijuwa ungekuwa umeshalala” alisema captain Amos Makey, kisha akatulia kutoa nafasi kwa yule anaeongea nae, ambae hakusikika kwa wengune, “ni kweli usingizi hauwezi kuja mpaka ujue kijana yupo katika hali gani” alisema Amos Makey, ambae pia akaendelea kuongea, “nilitaka kukujulisha kuwa tuliingia salama dar es salaam, na pia mfalme ameshukuru sana kwa ushirikiano wako” alisikika Amos Makey akiongea, “ni jambo la kushukuru bwana Amos, ila nashukuru pia kijana wangu amefika kwenye maficho yake salama” alisema Nyati, ambae wengine hawakumsikia zaidi ya Amos ambae alikuwa anaongea nae kupitia simu, “hoooo ni vizuri sana afande, kama ameshafika kwenye maficho yake, lakini bado kuna utata kidogo, nadhani umesikia kuwa Deus amemteka biiii…….” Alisema Amos, huku anamtazama mzee James, kwaishara ya kuomba msaada wa jina, “Veronica” alisema James kwa sauti ya kunong’ona, huku anamuonyesha ishara Amos abofye kuiruhusu sauti ya wazi, nae Amos akafanya hivyo huku ana ungia juu kwa juu, “Bi Veronica James, ni mtoto wa bwana James, vipi unafamahamu lolote?” aliuliza Amos na kukaa kimya kusubiria jibu, huku kila mmoja mle ndani akimtazama yeye.

Hapo kikasikika kicheko toka upande wa pili wa simu, yani kwa bwana Frank Nyati, “hapana bwana, hajamteka, ila yeye ndie aliemtoa mikononi mwa UMD, utekajinyara huo ulifanywa na UMD, wakimtumia askari wa UMD mmoja anaitwa Enock Kafulu, ambae alibadili jina na kujiita John Joseph akijifanya mchumba wa huyo binti kabla ya kumteka, hivyo ni mpango wa muda mrefu” alifafanua mzee Frank Nyati, huku watu wote wakisikia maongezi hayo kwa uwazi kabisa.

Hapo watu wote wakatazamana huku wanapeana ishara ya kukubarian na bwana Amos, huku tabasamu zikichanua kwenye nyuso zao kasoro Carolina, ambae ni kama hakupendezwa na jambo lile, sijui alikuwa anawaza nini, “sasa tuna weza kupata uelekeo wa eneo hilo ili tukatoe msaada kwa Deus?” aliuliza Amos huku yeye na wenzake wakitegemea jibu la kukubaliwa toka kwa kanali wa zamani wa MLA, yani bwana Frank Nyati, “ni wazo zuri, lakini siyo jema sana, kwaajili ya kuzuia vifo zaidi” alisema Frank na hapo watu wote wakatazamana kwa mshangao, bila shaka walikuwa na maswali yanayofanana, “vifo zaidi kivipi afande, maana ni muhimu tumpate Veronica ili familia hii iweze kusafiri kuelekea #mbogo_land kukutana na mfalme” alisema Amos kwa sauti yenye busara na msisitizo, “Amos nadhani kuna kitu bado serikali haija gundua, mpaka sasa Deus ameshauwa UMD wengi sana, ambao sio tu wapo hapa tanzania, ila wapo na silaha za kisasa, na sio wao peke yao pia wapo polisi wa Tanzania ambao wanashirikiana na UMD, hivyo basi endapo mtaenda kuwafuata, lazima watu wabaya waliopo katika operation hii watawafuata na kujaribu kuwashambulia wakina Deus, nakitu ambacho unahitaji kujua ni kwamba, Deus siyo mtu wakijiuliza mara mbili linapokuja swala la kulinda usalama wake na watu wake wa karibu, ndio maana nakushauri kuwa muwe watulivu, mpaka wakati utakapofika wa kujua nani ni nani” alisema mzee Frank na wote wakakubaliana kwa vichwa.

Wakati maongezi hayo yanaendelea, huku nako Carolina, alikuwa anamnon’oneza jambo mama yake, “mamaaaa kwani Dada anajua kuwa Deus ni rafiki yangu?” aliuliza Carlo kwa sauti ya kunong’ona, lakini mama yake akapotezea na kuweka umakini kwa mume wake, ambae aliingilia maongezi ya Amos na bwana Nyati, “bwana Nyati ni mimi James, habari za siku nyingi” alisalimia mzee James, japo hakuwahi kuwa karibu na bwana Frank zaidi ya kuwahi kumsikia kutokana na matukio ya kishujaa aliyo wahi kuyafanya kwa kumuokoa mfalme Eugen mara kadhaa, “habari bwana James, pole kwa yote yaliyokukuta” alisikika Frank kwa sauti ya wazi kabisa, “asante bwana Frank, pole na wewe pia, kutoka shujaa wa nchi mpaka mkimbizi” alijibu mzee James, kikafwatia kicheko toka upande wa pili wasimu, “lakini mwisho wa siku yote yanaenda kuisha” alisema kanali wa zamani wa MLA bwana Frank Nyati na James akadakia, “bahati nzuri yanaenda kuisha, kabla hawajafanikiwa kwa lolote” alisema James, huku na yeye anacheka kidogo, kuonyesha kwamba, walikuwa wanaongelea kitu ambacho wanaombea kitokee.

Waliongea mawili matatu kabla James hajaenda kwenye lengo kuu, “sasa bwana Frank, nadhani unafahamu kijana wako yupo na binti yangu, unaweza kunihakikishia usalama wake” aliuliza James kwa sauti fulani yenye kuhitaji uthibitisho, huku Caroline akiwa anasikilizia kwa umakini, ni kama alijikuta anakitu fulani kinamfanya asitamani dada yake kuwa karibu na Deus, “James, wewe ni shuhuda wa kile anachokifanya Deus, kama aliweza kukusaidia kwa mtu ambae wameshakaa zaidi ya masaa matatu” alisema mzee Nyati, kwa sauti yenye uhakika wa kile anacho kisema, ni kweli namuamini kijana wako, na ameshawahi kumsaidia binti yangu Carlo, lakini wasi wasi wangu ni kwamba, mpaka sasa hajajitambulisha kwake, na sina uhakika kama Veronica ataweza kutimiza na kufuata sheria za kijana wako” alisema mzee James, akionyesha kuwa na mashaka na usalama wa binti yake,


Wakati maongezi ya mzee James na bwana Nyati yanaendelea, Carlo nae hakuacha kumsumbua mama yake, “mama dada yupo na Deus” lakini mama akampotezea tena, akiweka umakini kwenye maongezi ya mume wake na bwana Nyati, “ondoa mashaka bwana James, hakika binti yako ana bahati kubwa sana, maana ameaminiwa na Deus mpaka kufika kwenye maficho yake ambayo hata mimi sijawahi kufika” alisikika mzee Nyati.

Hapo Carlo akamtazama mama yake ambae bado hakuwa anamjali, “mama unasikia huko, ongea na baba, amwambie awaambie wakina dada wapokee simu niongee na yule kaka” alisema Carlo kwa sauti ya kum’bembeleza mama yake, ambae alimpotezea tena, akimsikiliza mume wake aliekuwa anaongea na bwana Frank, “sawa bwana Frank, naamini kuwa kijana wako atamtunza binti yangu” aliongea bwana James, kabla hawajaagana na kumuachia Captain Amos, “sawa afande sisi tunasubiri wakati muafaka ili tuende tukatoe msaada, na hii taarifa tunaimani itatoka kwako, baada ya kuwasiliana na Deus” alisema Amos, kabla ya kuagana na Frank Nyati ambae ni baba mzazi wa kijana Deus Nyati.

Mara baada ya simu kukatwa, mama Carlo akamshika mkono binti yake na kuondoka nae kuelekea upande wa chumbani, kimya kimya, moja kwa moja wakaingia kwenye chumba cha Carolina, “haya niambie ulichokuwa unaniambia” alisema mama Carolina, “kwani we mama hujui?” aliuliza Carlo, kwa sauti iliyojaa aibu, huku anatazama pembeni, “najua kuhusu nini?” aliuliza mama Carlo, huku anamtazama binti yake kwa jicho lenye hasira kidogo, “kwani mama hujui kuwa Deus rafiki yangu toka nikiwa mdogo” aliuliza Carlo kwa sauti ambayo ilionekana wazi kuficha neno mpenzi. ……. ENDELEA KUFUATILIA MKASA UNAOFUATA WA TEMBELE LA UANI UTAKAO KUJIA HAPA HAPA jamii forums MWISHO WA MKASA HUU NDIO MWANZO WA MKASA MWINGINE USIKAE MBALI
Hakika nafsi yangu kidogo imeridhika mana toka jana sikupata usingizi nikisubir vigongo vishuke hatimae umeleta mchana huu vipi usiku vitakuja vingine au ndio mpaka kesho mkuu🫣🫣🫣
 
Naona kama muda haufiki,,
Kuhusu yajayo, kule kwa mapacha hamna jipyaaaa, tuliosoma ile KAZI ya "Asali haitiwi kidole" tayari Kuna mwanga tunapataa.
Kipengele ni kwa wanafamilia UMD🤣😂🤣😂😂😂😂🤣😂🤣😂😂Mungu saidia chama langu.
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHILINI NA TANO
MTUNZI: Mbogo EDGAR
WHATSAPP: 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA ISHILINI NA NNE:- Mara baada ya simu kukatwa, mama Carlo akamshika mkono binti yake na kuondoka nae kuelekea upande wa chumbani kimya kimya, moja kwa moja wakaingia kwenye chumba cha Carolina, “haya niambie ulichokuwa unaniambia” alisema mama Carolina, “kwani we mama hujuwi?” aliuliza Carlo kwa sauti iliyojaa aibu huku anatazama pembeni, “najua kuhusu nini?” aliuliza mama Carlo huku anamtazama binti yake kwa jicho lenye hasira kidogo, “kwani mama hujui kuwa Deus rafiki yangu toka nikiwa mdogo” aliuliza Carlo kwa sauti ambayo ilionekana wazi kuficha neno mpenzi. ……. ENDELEA…


Mama Caroline, ambae ndie mama wa doctor Veronica akamtazama binti yake kwa jicho la hasira na mshangao, hata mwisho akajikuta hasira inageuka kuwa kicheko cha masikitiko, “ndiyo najua ni rafiki yako sasa unataka asimsaidie dada yako?” aliuliza mama Vero, kwa sauti ya mshangao yenye kicheko cha fadhaha, “siyo hivyo” alijibu Carlo, akionekana kushindwa kusema sababu halisi inayompa wasi wasi wa Veronica kuwa na Deus, kijana ambae kila siku alikuwa anaota kukutana nae tena, “sasa utaka nini?” aliuliza mama Carlo kwa sauti ambayo ilionyesha ameshaanza kukeleka, “je wakipendana?” aliuliza Carlo,, kwa sauti iliyo changanyika na kiabu fulani huku anatazama pembeni.


Hapo mama yake akajikuta anaguna, huku anazuia kicheko, “Vero nachojua mimi wewe ulikutana nae ukiwa mdogo, na alikusaidia kama mdogo wake, au mulijaribu kufanya mapenzi wakati ule?” aliuliza mama Vero huku anamtazama mtoto wake, ambae alikataa kwa kupandisha bega la kushoto juu, huku bado ametazama pembeni, “sasa nini, yeye alikuchukulia kama mdogo wake” alisema mama Carlo kwa lengo la kumtoa Carlo kwenye mawazo ya mapenzi juu ya kijana huyu, ambae sio tu kuwa alitoa msaada kwa wanafalimia hawa, ila pia ni muuwaji mkubwa asie na huruma pale anapotaka kuuwa, “lakini sasa hivi nimesha kuwa mkubwa” alijibu Carlo bila kumtazama mama yake, “sawa, sasa wasi wasi wako nini, we si unamjua dada yako alivyo na msimamo, hawezi kukubali kufanya chochote na huyo kijana” alisema mama Carlo, ili kumuondoa wasi wasi binti yake, maana huu haukuwa wakati wa kulumbana, “mh! mama hujawah kumuona Deus, dada akitongozwa lazima atamkubali tu” alisema Carlo, kwa sauti ya kukata tamaa


Hapo mama Carlo akaona kuwa hakuwa na namna ya kumshawishi binti yake, “kama wakikubaliana sawa, si atabakia kuwa shemeji yako” alisema mama Vero na kuanza kutembea kutokanje, huku Carlo akiwa amesimama anamtazama mama yake kwa macho ya kutoamini alichokisikia, yani alikuwa katika mshangao mkubwa. *******


Yap! Giza lilikuwa linazidi kutanda, usiku ulisha kuwa mkubwa sana, maeneo ya misitu ya tondoroni na kisopwa iliyopo mkoani pwani wilaya ya kisarawe, yana onekana magari mengi ya jeshi la polisi yenye askari wengi wenye bunduki zao yanatimua mbio kuelekea upande wa msitu wa misegese huko mdidimue Kisarawe, ambako magari mawili aina ya Land rover puma yalikuwa yameelekea, magari ambayo yalikuwa yamebeba watu wanao daiwa kufanya mashambulizi kwa askari wa jeshi la polisi.


Naaam wakati huo huo magari hayo yaliyo tiliwa mashaka yalikuwa kilomita zaidi ya tano toka misegese, eneo ambalo gari la mbele kabisa la polisi lilikuwepo, na sasa yalikamata njia inayoelekea upande wa maneromango mpaka misitu mikubwa ya Selous, ongeza mwendo, twende kilomita kama kumi hivi” alisema Kadumya huku anatoa simu yake kumpigia captain Kobwe, kuwapa uelekeo ambao watawakuta wao na dereva wake akaongeza mwendo na gari la nyuma likafuata, huku magari yote mawili moja la mbele likiwa na watu nne, wawili wakiwa ni majeruhi na lile la nyuma likiwa na watu wa watatu mmoja akiwa ni majeruhi na zaidi ya hapo magari yote yalikuwa yamebeba miili ya watu ambao tayari walikuwa wamesha uwawa.


Ndani ya gari la pili, ndilo gari ambalo alikuwepo luten Enock Kafulu, ambae ukiachilia kusikilizia maumivu ya kipigo alicho pewa na Deus, pia alikumbuka jinsi kijana yule ambae kiukweli, licha ya yeye kuwa askari mwenye mafunzo makubwa ya kijeshi, kama ujuavyo mwanajeshi hata kama anaenda kwenye mafunzo ya uganga, lazima ajifunze na kuuwa, kwa kifupi mafunzo yake yote hujifundisha kuuwa, lakini kwa huyu Deus, alikuwa hatari zaidi, maana alimshuhudia akifanya mauwaji makubwa yakutisha mbele ya watu zaidi ya kumi wenye bunduki, “na yule demu nime mkosa mkosa sana, nikimpata safari hii sifanyi makosa, lazima nimgonge” alisema Kafulu, kwa sauti ya wazi kabisa, huku safari inaendelea,


Wakati huo huo mbele kabisa mita mia nne upande wa kibaha, yanaonekana magari mawili moja likuwa ni Toyota Prado, na la pilli likiwa ni Nissan Safari, yote yakiwa na watu zaidi ya watano wenye bunduki aina ya SMG, na box kadhaa zenye risasi zaidi mia saba kila moja, wakielekea upande ule ule wa misegese, huku bwana Songoro aliekuwa anaongoza msafara huu wa magari mawili akinywa pombe na kupuliza moshi wa sigara, “huyu mshenzi hawezi kunidhalilisha mimi namna ile, leo ndio atajua mimi ni nani katika nchi hii” alisema Songoro, kwa sauti yenye hasirra na chuki kubwa sana juu ya mtu wanae mtafuta, “sijui ana nini huyu mpuuzi, yani majeshi yote yapo hapa, si uliona kule barabarani” aliongea……., “hata mimi nimeshangaa sana, ila kama wangekuwa wanatufukuzia sisi sasa hivi tungekuwa tunahojiwa kituoni, sijui anamtumia mganga gani yule dogo, maana anawapenya polisi kama watoto” alisema Songoro, akionyesha kushangazwa na uwezo wa Deus Nyati, “ila pia gari lake lina msaidia kuwakimbia polisi” safari hii aliongea dereva wa gari lile, “hata hivyo pia ni dereva mzuri, mwingine hata apewe ndege hawezi kuendesha namna ile” alisema Songoro wakati huo Dereva alikuwa akanyaga mataruma ya njia ya gari moshi wakishika njia ya kuekelea kisarawe.


Naaam ile wanatembea mita kama mia mbili hivi, wakayaona magari mwanga wa taa za gari nyuma yao na hawakuchukua hata dakika kuyatambua kuwa yalikuwa ni magari ya polisi, “polisi haoooo, hawatakiwi kujua kama tupo nao, hebu fanya haraka tafuta sehemu tujifiche” alisema Songoro na wakati huo huo mita kama ishirini mbele wakainona njia inaingia upande wa kulia, nao wakakunja wakifuatiwa na gari la nyuma yao na kupunguza mwaga wa taa za gari huku wanazidi kuzama porini, twende mbele zaidi, inaonekana kuna sehemu ambayo tuna weza kutulia kwa muda tuwasiliane na Ulenje ili tujue kinachoendelea, vinginevyo tunaweza kupata usumbufu wa polisi, waliyaongea hayo huku safari ikiwa inaendelea kuifuata ile barabara hafifu pasipo kujuwa kuwa, huko mbele kuna mtu ambae wanamtafuta.********


Naaaaam! Turudi kwenye nyumba ya Deus, kule tulikowaacha Deus na Varonica wakiwa wanae elekea kufanya jambo lao, sasa Veronica hakujali tishert yake iliyopanda juu kwa kiasi kikubwa na kuacha eneo lote la mgongo mpaka kiuno lionekane kwa uwazi kabisa mbele ya macho ya Deus, sambamba na eneo dogo la makalio ya doctor huyu mrembo.


Deus nae ambae aliona dalili za wazi kabisa za kula bumunda la doctor mrembo na kuwa amevunja sheria namba kumi, inayosema HAKUNA KUFUNGUA MZIGO, aliekuwa anaendelea kupekecha bumunda kwamkono wa kushoto, akapeleka mkono wa kulia kwenye fungu ya kifua cha mschana huyu mrembo ambae sasa hakuwa na uwezo wa kufumbua macho na kulikamata titi lenye ugumu fulani la mwanadada huyu, ambalo alilijaza mkononi na kupapasa kama vile anatafuta kitu huku anasikilizia kuona kama Veronica atamuondoa mkono kwamba amevuka mipaka, lakini akamuona mwanadada huyu anajiweka sawa ili Deus aweze kukipata kile anacho kitafuta.


Sekunde chache baadae tayari mpapaso ulikomea kwenye chuchu ya mwanadada huyu na kuanza kuipekecha taratibu, mpekecho ambao ni kama ulimsisimua Veronica ambae alianza kujinyonga nyonga, wakati huo mkono wakushoto wa Deus, ilikuwa bado unaendelea kupekecha na kukandakanda mapaja ambayo yalikandamiza na kusugua kuta za kitumbua cha mrembo wetu, ambae alishindwa kujizuia na kuanza kuachia miguno laini, “mhhh, hoooo! Deus, umeniweza nionee huruma mwenzio utavunja sheria yako mwenyewe, karibu nakuruhusu ufungue mzigo” alilalamika Veronica, lakini kwa sauti iliyozidiwa na utamu, “nimekuruhusu kubadili sheria” aliongea Deus kwa sauti tulivu na nzito, ambayo ilionyesha wazi kuwa nayo imezidiwa kwa hamu ya kitu fulani.


Hapo Veronica akacheka kivivu, “kwahiyo mimi ni special?” aliuliza Veronica kwa sauti ambayo ilikuwa ni Zaidi ya uchovu, “anza na verry verry special” alijibu Deus, wote wakacheka kivivu, wakati huo Veronica anapenye mkono uvungu na kuikamata dudu ya Deus ambayo kutokana na kusimama kwake, aliikamata kama hand brake ya Vits, “jamani si umezidiwa mchoraji, sasa nikufanyaje na wewe?” aliuliza Veronica kwa sauti ya chini yenye kulemewa, huku anajaribu kuchezea kifaa kile cha uzazi, “huuu! Fanya unavyoweza” alisema Deus, huku akiachia mguno wa msisimko, ambao ulimfanya Veronica nae ajisikie rahabkwamba na yeye ameweza kumfanya kitu cha kumsisimua mchoraji wake.


Naam walifanyiana vitendo ya kuvitaabisha viungo vyao vya uzazi kwa dakika tano mzima, huku mikono ikihamia sehemu mbali za mwili wa Veronica, ambae alikuwa ameshikilia mwiko wa Deus, kama vile dereva wa mashindano alieshikilia gear, akishindwa kuifanyia lolote dudu ile kutokana na kuzidiwa na utamu, wakunyegeshwa na dereva wake, “deus nikikupa utanioa?” aliuliza Veronica kwa sauti iliyotoka kwa tabu sana, ikionyesha wazi amezidiwa na kwa kiu ya kitu fulani, lakini Deus nikama alikuwa anatafuta jibu la swali au hakuelewa swali, maana alikuwa ametulia kimya kabisa anaendelea kufanya alichokuwa anakifanya, “mchoraji wangu, niambie basi, nikikupa utanioa?” aliuliza tena Veronica safari hii akiinuka kidogo na kuutazamisha uso wake kwa Deus, na kumtazama kwa macho malegevu na macho yao yakakutana na Veronica safari hii pasipo kutabasamu wala kuona aibu akajikuta amefumba kabisa.


Hapo Deus hakumpa nafasi Veronica ya kuuliza tena, akamsogezea mdomo na kumlamba lips zake za chini, Veronica akalegeza mdomo na Deus akanyonya tena lips zake nzuri akitumia sekunde kadhaa, “upo tayari kuolewa na mimi pacha?” aliuliza Deus kwa sauti ya chini nzito na hapo Veronica ambae alitamani Deus aendelee kufanya vyote alivyokuwa anamfanyia akaitikia kwa kichwa, kisha akashika kichwa cha Deus na kukisogeza kwake, wakaendelea kunyonyana midomo yao ikiwa ni mara ya kwanza kutumia kinywaji hiki, alijikuta anakipenda kweli kweli, na raha Zaidi ni pale Deus alipo shusha mikono yake katikati ya mapaja yake Veronica na kulaza kiganja cha mkono kwenye kitumbua kama vile dada sekletari anavyolaza mkono kwenye mouse ya computer na kuanza kuchezesha kidole cha kati kama vile anazungusha kitairi cha mouse, japo ilikuwa ni juu ya nguo ile ya truck suit, lakini kitendo ambacho kilimfanya Veronica ambae sasa alikuwa anahisi kitu kama mkojo kina mbana kwenye njia ya uzazi na kubana mapaja kwa utamu.


Wakati hayo yanaendelea mara Deus akasikia simu yake inaita, ni ile ambayo anawasiliana na baba yake, akaitazama toka mezani akaona kuwa mpigaji ni baba yake, akaipotezea na kurudisha macho kwa Veronica, ambae hakutamani hata kidogo Deus aache kile alichokuwa anakifanya, kwenye mwili wake, mata kwa bahati mbaya au nzuri macho ya Deus yanapita kwenye screen ndogo ya nchi 32, yenye kujigawa mara nne, ambayo katika kipande kilichoandikwa cam 1 lionyesha mwanga wa magari yaliyokuwa yanakuja upande ule. ……. ENDELEA Kufuatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
Back
Top Bottom