NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA TISINI
MTUNZI :
Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247 (KWAMATUMIZI YA OFISI TU)
TULIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA TISA: Deus anachokiona kwa Emmy kinamfanya atoe macho kwa mshangao, maana anamuona mwanamke yule akiwa amepembua lile taurlo na kubakia uchi wa mnyama, “jamani Dereva, sasa tutakaaje humu ndani bila kujuana majina?” aliuliza Emmy kwa sauti ya kujidekeza huku anainama kwa kubinua makalio yake akiacha wazi sehemu hiyo aliyojaliwa kuliko sehemu nyingine, mwana dada huyu mwenye umbo la kushawishi jambazi kurudisha kisu mfukoni, anachukua chupi aina bikini kwenye box aliloleta Deus na kuitazama kama vile anaikagua……….ENDELEA…
Hapo Deus anatoa macho ya mshangao, sio kwa kugundua kuwa atalipwa laki tatu kwa kuleta boxi lenye chupi, ila pia Deus anashangaa kitendo cha mwanamke huyu kupembua nguo zake mbele yake, “mimi sio mkaaji nahitaji malipo yangu, niwahi kazi nyingine” alisema Deus kwa sauti tulivu na ya upole huku anamtazama yule mwana dada ambae sasa alikuwa anaivaa ile nguo ndogo nyekundu, ambayo ilikuwa kivutio tosha kwenye kiuno chake, “wanakulipa kiasi gani nikulipe mara mbili kwaajili ya kazi yangu nyingine? hiyo itakuwa ni usiku kucha” aliuliza Emmy kwa sauti iliyojaa mahaba huku anainama tena na kuchukua shidiria kwenye lile box, huku macho ya Deus aliekuwa anamtazama kama vile hamtazami yakiweza kuona viji kamba kamba vilivyo potelea kwenye maungo ya mwana dada huyu mwenye umbo namba nane nayo ni yarangi nyekundu.
“sheria namba nne, hakuna mpango pacha, tunatatakiwa kumaliza mpango uliopo kisha tuingie kwenye mpango mwingine” alijibu Deus, kwa sauti tulivu kama ilivyo kawaida yake, “sawa! Hata hivyo najua hautochukuwa muda mrefu kumaliza hiyo kazi nyingine” alisema Emmy, ambae sasa alikuwa anageuka na sidiria yake mkononi na kumtazama Deus kwa macho lembuzi yaliyo jaa hali fulani kama sio ya ulevi basi mahaba au vyote kwa pamoja, akimpa nafasi kijana wetu kutazama kitumbua cha buku kilicho tuna ndani ya kitambaa kidogo cha bikini kiasi cha kufanya muhogo uzidi kuchipua na kujitutumua ndani ya suruali yake, “sawa, maliza kwanza mpango uliopo” alisema Deus japo kwa Sauti tulivu, lakini ilikuwa yenye kusisitiza huku anamtazama Emmy, ambae sasa alikuwa anavaa sidiria kuficha manyonyo yake yaliyotuna vizuri na nakujaa vyema kifuani kwake.
Emmy alivaa sidiria kisha akaufuata mkoba wake uliopo kitandani, hata wakati wa kuuchukuwa, aliinama kwa mtindo fulani ambao, dah! ni Deus pekee ndie alievumilia, zaidi ya hapo angekuwa rafiki yangu nani huyuuuuu…, sidhani kama mpaka dakika hii kisu kingekuwa nje ya kifuko chake,
Sekunde chache zilitumika kutoa kitita cha noti za elfu kumi kumi toka kwenye mkoba ule, “sawa malipo yako haya hapa, je sasa tunaweza kuongea?” aliuliza Emmy huku anamsogelea Deus na kumkabidhi zile fedha, “yah! taja muda, aina ya mzigo, route na sheria zako” alisema Deus huku anaweka fedha mfukoni bila kuhesabu.
Hapo Emmy akamsogelea Deus na kusimama mbele yake kabisa, yani mita sifuri kabisa kiasi cha kifua cha mwanamke huyu kugusa kifua cha Deus, “muda wowote usizidi saa tano, rout ni hapa hapa hotelini chumbani kwangu, sheria za kwako wewe, hakuna mzigo zaidi ya mimi mwenyewe, kazi yako ni kunipa raha usiku kucha, nitajie garama yako” alisema Emmy au mama P, huku anaiweka mikono yake mabegani kwa Deus, kisha akaizungusha na kumkumbatia kwa hisia akilaza kichwa chake kifuani, huku Emmy akihisi dudu inamgusa maeneo ya tumbo lake.
Deus alitabasamu kidogo, “hapo sheria namba kumi inakataa, siruhusiwi kufunua au kuchungulia mzigo” alisema Deus, huku anamshika Emmy na kumtoa taratibu kifuani kwake, “basi sawa, iwe nje ya biashara, nakuhitaji kama rafiki, maana toka siku ile nimekuona sikuwahi kuacha kukutamani mpaka leo hupo mbele yangu, je unataka uniache na kiu yangu mpenzi?” aliongea Emmy kwa sauti ya kubembeleza iliyoonyesha ni kweli alikuwa anahitaji dudu ya kijana wetu usiku ule.********
Wakati hayo yanaendelea upande wa nje nako bado magari yaliyobeba vikundi vya vijana wa Songoro wakiongozwa na Songoro mwenyewe vilizidi kusogea upande wa shekilango, na sasa yalikuwa yamesha karibia zaidi, kama lilivyokuwa kwa bwana Eze ambae alikuwa anaendesha gari huku uso ameukunja kwa hasira, njia nzima anajisemesha mwenyewe, “sijui nimfanyaje huyu mseng.. yani nitawaambia wamfir..” alijisemea Eze huku akiendelea tena kuongea peke yake, alisema kuwa, “leo Emmy, nitamtomb.. mpaka asubuhi, si anajifanya ananyege za kicheche”*****
Naaaam turudi Songea, nyumbani kwa askari mtoro wa MLA luten kanal Frank Nyati, ambako bado alikuwa sebuleni na wageni wake watatu, sasa tayari mke wake alikuwa amesha waletea kahawa ambayo walikuwa wanainywa taratibu huku wakiendelea na maongezi, “afande Frank, kuna huyu Deus Nyati, ni kijana wako?” aliuliza sajent Ngasa, “Deus ni kijana wangu, nadhani pia mutataka kujua yupo wapi na anafanya nini” alisema Frank na wote watatu wakakubaliana nae kwa kuitikia kwa vichwa vyao.
Na hapo mzee Nyati akawatazama wale wageni wake kama vile anapima uaminifu wao, kisha akawaleza, “Deus ameachishwa kazi ya jeshi kwa kosa la utovu wa nidhamu, japo baadae iligundulika kuwa maamuzi yalifanyika kwa haraka bila kikao kikuu cha maamuzi kukaliwa na wao kuamua kumtafuta Deus, ambae hawakufanikiwa kumpata mpaka leo” alieleza mzee Frank huku wakiendelea kunywa kahawa yao, “hivi ni kwanini hawakumpata, inamaana Deus hakusikia kama anatafutwa na jeshi? na kama alisikia kwanini hakwenda kureport kazini?” aliuliza captain Amos Makey.
“Deus hakutaka tena kujiunga tena na jeshi, hivyo alikwepa makusudi kabisa kwenda makao makuu ya jeshi” alieleza Frank ambae kabla hawajaongea chochote wageni wake akawahi “najua mutauliza anafanya nini kwa sasa, pengine sasa amejiunga na UMD kama kisasi cha kusingiziwa kwangu” alisema mzee Frank na kuwafanya wageni wake wacheke kidogo.
Kicheko hicho kilimtambulisha mzee Frank kuwa, alichokisema ni kweli, “ondoeni shaka, Deus nimemlea kwa maadili mzuri hawezi kufanya hivyo na kwa sasa Deus yupo dar es salaam ametulia anafikiria nini cha kufanya baada ya kuondolewa jeshini” alisema mzee Frank na hapo likaja swali jingine, “lakini mzee unadhani hawa watu hawawezi kutumia sababu ya wewe kusingiziwa uhaini, kumshawishi Deus kujiunga nao huku akihofia kukuambia lolote kwa kuhofia utamzuia?” aliuliuliza Captain Amos Makey,
Naaaam hapo Frank akajibu swali hilo, “hilo ni kosa kubwa kwao na pengine likapeleka mwisho wa mpango wao, hata wao wanalijua hilo, hivyo hawawezi kufanya hivyo hata kidogo” alisema Frank na kuendelea kuwaeleza, “mimi nawashauri jambo moja, nivyema mkaweka macho yenu kwa James maana hisia zangu ni kwamba, walipandikiza chuki kati ya James na serikali, ili waweze kumtumia James hapo baadae na pengine baadae yenyewe ndiyo hii” alisema Frank akiwa mwenye kujiamini na uhakika mkubwa wa kile anachokisema, “ushauri mzuri afande frank, inabidi tumueleze General Sixmund, tumueleze juu ya hilo, halafu tutakushirikisha maamuzi yao” alisema captain Amos.
Baada ya hapo wakaagana na kupeana namba za simu, wakitumia line za Tanzania ambazo walipewa mara baada ya kuingia ubalozini, “afande Frank, wacha sisi twende zetu, nadhani kama kuna lolote ambalo utapenda kushiri na sisi, basi utatujulisha” alisema captain kabla hawajaondoka.*****
Yap! sasa turudi dar es salaam kule sisterfada Hotel, ghorofa ya tatu, chumba namba nane, ambako bado tunamuona mzee James, ambae ni tajiri na mfanya biashara mkubwa sana katika ukanda huu wa Africa Mashariki kusini na kati, akiwa amekaa kwenye kochi anatetemeka kwa uoga, mitutu miwili ime elekezwa kichwani, huku askari wawili walioshika bunduki hizo wakisubiri amri toka kwa mkuu wao, yani bwana Kadumya ya kufyatua risasi, “subirini kwanza” alisema Kadumya, ambae pia alikuwa amekaa kwenye kochi anavuta sigara yake na glass ya pombe mkononi mwake, “kwanza inabidi tupate picha ya pamoja, inayo muonyesha huyu mzee anaongea na waasi ambao anashirikiana nao kupindua nchi ya #mbogo_land, baada ya hapo tumuuwe” alisema Kadumya.
Na baada ya hapo akageuza uso wake, kuwatazama wale askari wawili waliosimama upande wa dirishani, dirisha pana lenye upana mkubwa uliotawaliwa na kioo bila nondo yoyote, zaidi ni panzia ambalo lilikuwa limefungwa, pembeni na kuacha dirisha wazi na kuwafanya wale vijana wawili wenye silaha aina ya H&K G95 5.56MM, waweze kuona nje vyema kabisa, “oya dogo hebu tupige picha kisha mtumie Kafuru aweke kwenye tovuti yetu ya uvumi” alisema Kadumya na hapo askari mmoja akaweka silaha mgongoni kwa kutumia mkanda maalumu kwaajili ya kubebea bunduki, yani tring lifle, kisha akaingiza mkono mfukoni na kutoa simu yake ya kisasa nzuri sana kwa kupigia picha.*******
Naam wakati hayo yanaendelea ghorofa namba tatu, huku ghorofa ya nne Emmy akiwa anasubiri jibu toka kwa Dereva na kabla Deus hajatoa jibu lolote mara ghafla mlango ukasukumwa kwa nguvu na fujo, Deus na Emmy wakatazama mlangoni na kuona vijana wawili wakiingia na bastora mikononi mwao, huku mtutu wameielekeza kwa Deus, “khaaaa! bunduki tena?” aliuliza Deus kwa sauti iliyoonyesha kuchukizwa na kitendo kile huku anageuka kumtazama Emmy, maana alihisi Emmy ametumwa kumpanga na kumuingiza katika mtego ule.
Lakini anamuona Emmy akiwa katka hali ya mshangao na mshtuko mkubwa uliochanganyika na bumbuwazi, “majambazi” alisema Emmy kabla hajazinduka toka kwenye bumbuwazi na kuanza kukimbilia kitandani, ambako alichukua shuka na kujifunika haraka, “nani jambazi we kahaba, unamuacha mumeo halafu unakuja kujificha huku na huyu boya, tena usikute hata lile gari umemnunulia wewe” alisema mmoja kati ya wale vijana wawili, akimueleza Emmy huku akiwa amesimama na bostora yake mkononi, akiwa ameielekeza kwa Deus kama mwenzie alivyofanya, “inamaana Eze ndiyo kawatuma kufanya hivi?” aliuliza Emmy kwa sauti ya mshangao akionyesha kushangazwa na kilichotokea, “hebu kaa kimya wewe, za mwizi arobaini na leo ndiyo arobaini yenyewe” alisema tena yule muongeaji sana wakati huo mlango unafungwa na mtu aliekuwa nje ya chumba hicho, “samahani jamani nimesha maliza kazi yangu, nawatakia jioni njema” alisema Deus huku anageuka akitaka kuondoka,
“we fala unaenda wapi we mjinga, tutapasua ubongo wako sasa hivi” alisema Inocent, na hapo nikama inzi kwenye uchafu jinsi wale vijana wawili walivyo msogelea Deus kwa fujo na bastora zao mikononi, kitendo ambacho kilikuwa ni kama kumkosea kijana wetu, “oi oi oi, kwanza naombeni msinionyeshee bastora zenu” alisema, Deus ambae mara zote huamini anapokuwa karibu na bunduki ya aina yoyote, lazima matatizo yangetokea, “oya mbona huyu bwege anajifanya mjuaji, hebu mtulize kwanza akae chini amsubiri boss yupo njiani” alisema Inno, ambae kabla hajamaliza tayari yule mwenzie alikuwa ameshainua bastora yake akiigeuza kitako chake kwaajili ya kumgonga Deusi kichwani.
Lilikuwa kosa kubwa sana kwao maana hawakuamini kilichotokea, hasa pale walipomuona Deusi akiyumba pembeni na kupisha kile kipigo cha kitako cha bastora, kilichopita hewani kwa nguvu, huku Innocent ambae alikuwa ametoa macho ya mshangao, akishangaa mkono wake ukipapaswa na ile anapata wazo la kuminya trigger tayari mkono haukuwa na kitu.
Wakati huo yule alietaka kumpiga Deus na kitako, anakaa sawa ili amdhibiti Deus, akashtuka akipigwa ngumi moja nzito sana ya uso, iliyomtupa chini na kumzimisha pale pale, ile Inocent anataka kumvamia Deus, akajikuta anatazamana na mtutu wa bastora, “nimekuambia usininyooshee bunduki” alisema Deus kwa sauti tulivu huku akimalizia kwa kushusha kitako cha bastora kwenye paji la uso wa Inocent, ambacho kilikita kwa nguvu na kumpeleka chini kijana huyu, ambae alikata mawasiliano ya ubongo na sehemu nyingine za mwili akaenda chini kama gunia lililo tupwa toka ndani ya gari… …….ENDELEA Kufuatilia mkasa huu wa
NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa
jamii forums