Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ipo weka tu mkuu ngoja ngoja yaumiza matumbo etiiBila shaka kila mmoja anatamani kuendelea kuifuatilia simulizi hii kwa ukaribu zaidi. Lakini kumbuka mapumziko pia yanakusaidia ufanye na shughuli zako zingine. Ijumaa usicheze mbali na kumbuka kula kizuri na ndugu yako. Sio wewe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anavyoahidi hapa ndivyo na mtunzi anavyoahidi huko anakoiweka....kuwa mvumilivu tu mpendwaKama ipo weka tu mkuu ngoja ngoja yaumiza matumbo etii
Oooh kumbe ana Ctrl+C na Ctrl+VAnavyoahidi hapa ndivyo na mtunzi anavyoahidi huko anakoiweka....kuwa mvumilivu tu mpendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana unaitwa #ram#Anavyoahidi hapa ndivyo na mtunzi anavyoahidi huko anakoiweka....kuwa mvumilivu tu mpendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Subira yavuta heriKama ipo weka tu mkuu ngoja ngoja yaumiza matumbo etii
Hahahaha hii story ni ya ukweli kabisaStanza ni majonzi RIP King Zilla salasala
Oooh kumbe ana Ctrl+C na Ctrl+V
Basi tuendelee kumsubiri mtunziYeye anaileta tu hapa na hata mwanzo wakati anaanza kuileta alisema kabisa, mtunzi anaipost somewhere huko, thats why hata mwanzo wa hadithi kuna jina la mtunzi.........
Kesho tuBasi tuendelee kumsubiri mtunzi
[emoji352]