Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

Kama ipo weka tu mkuu ngoja ngoja yaumiza matumbo etii
 
Dah na nyie JF hayo makopa kopa ya nini?
 
Oooh kumbe ana Ctrl+C na Ctrl+V

Yeye anaileta tu hapa na hata mwanzo wakati anaanza kuileta alisema kabisa, mtunzi anaipost somewhere huko, thats why hata mwanzo wa hadithi kuna jina la mtunzi.........
 
Yeye anaileta tu hapa na hata mwanzo wakati anaanza kuileta alisema kabisa, mtunzi anaipost somewhere huko, thats why hata mwanzo wa hadithi kuna jina la mtunzi.........
Basi tuendelee kumsubiri mtunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…