Asante kwa kutupa raha
Mkuu umetulaza njaa ... na mpaka sasa umetuacha bila ya kutupatia chai
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila hata kunuia jamani ... hiyo hapana aiseFunga tu sunna ina swihi leo alhamisi
si hujakula kitu??? Ishakua sunna tena nuwia tu ipite au usibgizie unafanya diet
Hahaa ..tayari nimesha " ............. wifi yakosi hujakula kitu??? Ishakua sunna tena nuwia tu ipite au usibgizie unafanya diet
Haha madame maadili haya niruhusu ... umeshaelewa acha kunizuga bwanaHahaha hizo dots kwema??? Niambie bas ulitaka kusema nn
Haha madame maadili haya niruhusu ... umeshaelewa acha kunizuga bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol .. hahaa hivi haujasahau "!!! Nilisita baada ya kuona kwamba", haujaitikia wito (sorry)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohh pole sana masikini " basi itakuwa umechelewa kuipata notification ... mbona nilikuambiaga muda " na mimi kufuli nimepiga siku hizi za karibuni ".
Ondoa mashaka" kuna mtu nilikuwa namtafuta Ambaye ni rafiki yako " bahati nzuri nilisha mpata
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiiii jaman ntarudi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
yupi tena??