Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Uyu mwamba mida ake huaga ni ya kulala, labda leo atake kuniaibisha tu, kwa coment yangu hii.
 
Bado saa moja tu na madakika kadhaa jumamosi iishe! Tunakomaje wapenda ganda la ndizi au wa mkanyageni ngomeni au soni mombo au kwa sadala boma au kingori kikatiti au ilula kitonga mpaka comfort motel ruaha mbuyun! Au koromije bugomba mpaka mantare sumve, au vudee mwembe, au kikweni lambo maroro mwanga au marangu mtoni himo! Mwika kupitia makerere mpaka himo nakazalika! Yote hyo ni miserereko
 
SEHEMU YA 396.

Omari Gambino Tozo ni mtoto wa CDF wa Tanzania bwana Gambino Tozo akiwa mtoto wa tatu katika familia, akitanguliwa na dada zake wawili na kuwa mtoto wa kiume wa pekee kwa familia ya Afande huyu mkubwa wa jeshi, chini ya uongozi wa Raisi Senga.

Hivyo unaweza kusema kwamba Omari alikuwa mrithi mkuu wa kile alichokianzisha Afande Tozo.

Omari wakati alipokuwa mdogo wa miaka kumi na tano , alipokuwa akisoma katika moja ya shule ya Zafe ndipo alipoweza kukumbwa na tatizo ambalo lilibadilisha jina lake na kuitwa Omari Jicho moja.

Kilichomfanya kukumbwa na kadhia hio ni mara baada ya kuingia kwenye mgogoro na moja ya mwanafunzi mwenzake ndani ya shule hio ya Zafe wakati alipokuwa akianza kidato cha kwanza.

Kijana alieingia naye kwenye migogoro alimuundia kikundi ambacho ndio hiko kilichomfanya Omari kupigwa na jiwe kwenye jicho lake na kupasuka hapo hapo.

Tukio hilo lilitokea wakati shule hio ilipokuwa na mashindano ya kimichezo na shule ya Makongo Secondari muda wa saa moja za jioni mara baada ya mchezo wao kumalizika uliofanyika shuleni hapo.

Upande wa mtu aliemjeruhi Omari alikuwa ni mtoto wa mfanya biashara mkubwa nchini na baada ya tukio hilo alimtorosha mtoto wake na kumtoa nje ya nchi , lakini wakati huo huo akilipa fidia kubwa kwa familia ya Afande Tozo , lakini licha ya hivyo familia hio haikukubali hata senti moja kutoka kwa Tajiri huyo na hata Omari mwenyewe aliiambia wazi familia hio kuwa amesamehe , lilikuwa jambo la kushangaza kwa Omari kufanya kwasababu alikuwa ameharibiwa jicho lake na mwonekano wake kwa ujumla na sio jicho tu ni kama pia Maisha yake yaliharibiwa na familia kutaka kulipa kisasi lakini Omari bado alisisitiza kwamba hana shida na aliemjeruhi.

Maisha ya Omari kuishi akiwa na jicho moja yakaanza rasmi na ndio Maisha ambayo yalimbadilisha sana na kumfanya kuwa moja ya Watoto ambao hawakuwa na aibu kabisa , licha ya kubezwa na wenzake lakini yeye hakujali kabisa ukilema wake wa kusababishiwa, Zaidi ya yote alijikita Zaidi katika kusoma.

Baada ya kumaliza masomo yake ndani ya Feza Schools ndio alipopelekwa masomoni nchini China kutokana na chaguo lake mwenyewe na ndio huko huko China ambako kulimbadilisha mtazamo wake na mipango yake mpaka kuachana na ndoto yake ya kuwa injinia na kujiingiza katika maswala ya Chiniese traditional martial Art.

Haikueleweka mara moja ilikuwaje mpaka Omari akaweza kujifunza mbinu za kijini lakini inasemekana mara baada ya mwaka mmoja wa Omari Kwenda Chuo China ndipo alipotoa taarifa kwa familia yake kwamba amepata mbadala wa kutatua tatizo lake la jicho , wazazi wake hawakuelewa alichokuwa akimaanisha na Omari hakutaka pia kuwaelezea kile alichokuwa akiwaambia Zaidi ya kuwaambia tu kwamba ameachana na masomo ya uinjinia na hatokuwa na mawasiliano na familia yake kwa muda , kwa Omari ni kama alikuwa akitoa taarifa na sio kuwaomba wazazi wake ushauri kwani tokea siku alipowasiliana na wazazi wake ndio alipopotea kwa Zaidi ya miaka minne mfululizo.

Lilikuwa jambo ambalo liliumiza familia yake kutokana na kwamba alikuwa akitegemewa na familia yake kama mrithi , lakini hata hivyo wanafamilia hao walijifariji kwamba Omari siku moja atarudi.

Katika utoto wa Omari aliishi kwa ukaribu sana na familia ya Mzee Alex , yaani kwa lugha nyepesi familia yao na ya Mzee Alex walikuwa ni majirani , Queen , Matilda na Abubakari walikuwa wakimfahamu sana Omari tokea akiwa mtoto na hata baada ya kupata ukilema wa macho.

Siku zote Omari alikuwa akimjali sana Queen tokea wakiwa Watoto na Omari alishawahi kujiwekea nadhiri kwamba atakuja kumuoa Queen akiwa mtu mzima na ni kweli bwana huyo hata alipokuwa mkubwa aliendelea kuwa na mahusiano na Queen.

Queen alikuwa akimkubali Omari kama mpenzi wake licha ya kwamba hawakuwa na ule ukaribu wa kuvunja amri ya sita , sasa mambo yote yaliharibika mara baada ya Omari kupatwa na shida ya jicho lake , kwani Queen alianza kujitenga mbali ,jambo ambalo lilimuuzima sana bwana huyo na hata wakati ambao Omari anaenda China hakukuwa na maelewano ya kimapenzi na Queen , ilikuwa ni kama mapenzi yao yalikufa , ila kwa Omari hakuwahi kuacha kabisa kumpenda Queen na alijiapiza atakuja kumuoa na kuwa mke wake kwa namna yoyote ile.

Omari alikuwa akijua Queen alibadilika mara baada ya yeye kupata tatizo la macho lakini hata hivyo hakuwahi kuchukulia tatizo lake la macho kuwa kikwazo cha kukamilisha ndoto yake ya kumfanya Queen kuwa mwanamke wake. Lakini wakati huo huo hakujali sana wale waliokuwa wakimcheka kwa kukosa uzima wa jicho moja.

Naam ni miaka minne baada ya Omari kutowasiliana na wazazi wake , hatimae siku moja Afande Tozo aliweza kupata ujumbe kutoka kwa Omari kwa mara ya kwanza na kumuelezea juu ya mafanikio yake ya kuweza kutibu jicho lake na kwa wakati huo alikuwa akiona kabisa , ilikuwa ni taarifa iliomfanya Afande Tozo kutoka Tanzania na kusafiri mpaka China kuonana na mtoto wake.

Kwanza alikuwa amemkumbuka sana na ameishi kwa wasiwasi baada ya kutowasiliana nae kwa muda mrefu na pili alitaka kuhakikisha kama yale anayoyasema Omari ni ya kweli.

Na hapo ndipo Afande Tozo alipohakikisha kwamba kile anachoongea Omari kilikuwa cha kweli , alifurahi sana , kwani Omari alikuwa na jicho ambalo lilikuwa kama la binadamu wa kawaida , jambo ambalo lilimfanya Afande Tozo kutaka kujua imekuwaje mpaka kujitibu , ni miujiza gani ameweza kupitia.

“Baba miaka yote ambayo sikuweza kuwasiliana na ninyi nilikuwa nikiishi kwenye miliki za kijini zinazofahamika kwa jina la Hongmeng”Aliongea Omari siku hio wakiwa nchini China, maneno yake yalimfanya Afande Gambino Tozo kushikwa na butwaa na kushindwa kumuelewa mtoto wake anamaanisha nini, ni kweli kwamba alikuwa akielewa kabisa uwepo wa Majini kwani Dini yake ya Kiislamu ilikuwa ikizungumzia juu yao , lakini hakuwahi kama binadamu anaweza kuishi na majini , ilikuwa ni jambo la kushangaza kweli kweli.

*******

Mwanga wa jua wa dhahabu ulifunika jiji zima na kulifanya lionekane ni lenye kupendeza mno kwa macho , kwa mtu yoyote mgeni anaeanza kufika angeshangazwa na uzuri usio kuwa wa kawaida wa jiji hili.

Los Angeles ni moja ya majiji ya kuvutia sana yaliopo ndani ya nchi ya Marekani , ni mji ambao hauna majengo marefu ya Kwenda hewani kama ilivyo kwa New York , lakini vile vile ni jiji ambalo halikuwa na joto sana kama vile jiji la Miami au jiji letu la Dar es salaam.

Ni mji uliotulia sana na wa amani wenye watu wengi ambao nyuso zao zimejazwa na sura ambazo zinaashiria Maisha mazuri..

Upande wa Kusini magharibi ndio sehemu iliokuwa na jiji maarufu sana la kitajiri linalofahamika kwa jina la Beverly Hills.

Ni jiji ambalo lipo kwenye ukanda wa pwani mwa bahari ya Pasifiki na kufanya eneo hili kuwa ghali mno, wengi wa watu walioweza kumudu kuishi ni wale waliokuwa wakijiweza kiuchumi , wakiwemo wafanya biashara wakubwa pamoja na watu mashuhuri ndani ya Marekani.

Ni mji ambao ulikuwa ukijitegemea kwa mambo mengi kuanzia Meya wa jiji , watoa huduma wa maswala ya afya , wana usalama na mengineyo na hii unaufanya huu mji kuwa sehemu ya jiji ndani ya majiji.

Jambo lingine la kufurahisha Zaidi ni uwepo wa vitu ambavyo siku zote macho hutamani kuona.

Sasa baada ya kijua cha asubuhi kuchomoza , mwanga ndio uliomfanya kushituka kutoka kwenye usingizi na kuanza kugeuza macho yake kulia kushoto na nyuma kukagua chumba alichokuwemo , alijikuta akiangalia na juu na kuona ‘Ceiling Board’ iliopambwa kwa mchoro wa ua la kupendeza na kumfanya kuvuta pumzi nyingi na kuzishusha.

“Mpenzi wangu Roma naona hatimae umeamka , nilifikiria utalala kwenye hicho kitanda bila fahamu Maisha yako yote”Sauti nyororo na ya kuvutia kutoka kwa mwanamke ilimfanya Roma alielala kwenye kitanda kugeuza macho na kuangalia mlangoni na hapo ndipo anamuona Christen akiwa ameegamia mlango akimwangalia kwa tabasamu, huku macho yake yakisaliti furaha aliokuwa nayo.

Roma alijikuta akigeuza macho yake na kuangalia mwili wake , ni kama sasa anakumbuka kwamba hakuwa na kitu chochote mwilini , halafu mwanamke yule anamwangalia bila ya aibu.

“Christen kwanini kuwa shetani namna hii , umeshindwaje kunivalisha hata nguo?”Roma aliongea kwa kulalamika.

“Hii ni nyumba yangu ndani ya Beverly , na sijawahi kumleta mwanaume yoyote na kulala katika kitanda changu , kwanini niwe na nguo za kiume?”Aliongea huku akitabasamu.

Roma alijikuta akikuna kichwa chake na wakati huo huo akitoa macho , alionekana kama mtu ambaye amekumbuka kitu na kujipiga kwenye kichwa chake.

“Daah..!”

“Kuna nini Roma mbona uko hivyo?”

“Nilitoka nyumbani bila ya kuaga na familia yangu kwasasa itakuwa kwenye wasiwasi ,kama hapa ni asubuhi inamaanisha nyumbani kwangu giza lishaingia siku nyingine, Simu yangu niliacha chumbani na mama yangu sasa hivi naamini atakuwa kwenye wasiwasi sana”Aliongea Roma huku akiwa ni mwenye kuonyesha wasiwasi mkubwa na Christen alitoa cheko

“Usijali Mr Roma najua tabia yako , hivyo nilifanya mawasiliano Kwenda Tanzania tokea siku ya jana mchana”Aliongea Christen na kumfanya Roma kuwa katika hali ya ahueni.

“Unasema kweli?”Aliuliza kwa mshangao na Christen alitingisha kichwa kukubali.

“Najua Edna yupo na angalau ananifahamu , hivyo atakuwa ametuliza hali mpaka sasa”Aliwaza Roma kwenye kichwa chake.

“Vipi unajisikiaje? , Wakati nakuleta hapa ulikuwa kama kaa la moto lakini mpaka sasa umepona na kurudi kwenye hali yako ya kawaida, lakini licha ya kupona ume..”

“Nimepoteza uwezo wangu wote “Aliongea Roma huku akitoa kicheko na kisha akaendelea

“Huna haja ya kuwa na wasiwasi , nimeangalia afya yangu na nipo sawa kwa wakati huu”Aliongea Roma

“Yaani bado unapata ujasiri wa kucheka , hebu fikiria mpaka sasa maadui uliokuwa nao kwa Zaidi ya miaka na nguvu zako zote zimepotea nini kitatokea kama wataanza kutaka kulipiza visasi?”Aliongea Christen kwa wasiwasi.

“Ni kweli lakini siwezi kukaa chini na kuanza kuomboleza , kila kitu kishatokea na ni miujiza kwamba mpaka sasa nipo hai”

“Utajua mwenyewe sitaki kujali kwanzia sasa , maana wasiwasi wangu niliokuwa nao juu yako haupimiki , nimechoka bora umeamka”Aliongea na kisha aliita upande wa nje.

“Sally take the clothes and get Mr Roma dressed”Alitoa amri kutoka kwa mwanadada anaefahamika kwa Sally kuleta nguo ili Roma aweze kuvaa.

Dakika mbili tu mtoto wa kike mrembo mwenye nywele zake za zambarau isiokolea za kujikunja aliingia huku akiwa ameshikilia mavazi ambayo Roma alipaswa kuyavaa , Alikuwa amevaa vazi la gauni nyeusi la kihudumu.

Baada ya kuangalia mwili wa Roma ulivyokuwa hauna hata nguo , alijikuta akiona aibu isiokuwa ya kawaida huku akiwa mwekundu kama yai la kisasa , Christen alimpa ishara Sally kumpelekea Roma nguo pale kitandani.

“Roma ukimaliza nakuhitaji chini, tunayo mambo mengi ya kuzungumza”Aliongea Christen huku akitoka kwenye chumba hiko .

Roma alijikuta akimwangalia Sally kwa namna ya kumchunguza na aliweza kugundua hata mavazi yake ya kihudumu hayakuwa ya kawaida kabisa na alikuwa akielewa historia ya mavazi aliovaa ni muundo uliweza kugunduliwa katika karne ya 19 .

Alionekana kuwa katika miaka ishirini hivi na inawezekana Christen alimwajili tu mara baada ya kumaliza masomo yake ya uhudumu , ndio unaweza ukashangaa lakini wenzetu maswala ya uhudumu wanasomea kabisa na kupewa mpaka vyeti ambavyo vinawatambulisha kama wataalamu katika kazi hio na kuweza kufanya kazi katika mahoteli makubwa pamoja na baadhi ya majumba ya watu wenye kipato cha juu duniani na wale wenye nyazifa mfano wafalme na wengineo wa levo hizo.

Mwanadada huyu mhudumu ambaye alikuwa amejawa na aibu alimwangalia Roma kwa tahadhari mno huku akishindwa kupiga hatua nyingine Kwenda mbele.

“Mr Roma utapenda kuvaa shati kwanza au suruali?”Aliuliza kwa kingereza huku akiwa na wasiwasi maana Roma macho yake yote yalikuwa kwenye kifua cha mwanadada huyo akiangalia manyonyo yake.

“Shati kwanza.. I mean Shirt first”aliongea Roma huku mara ya kwanza kwenye Maisha yake akichanganya Lugha ya Kiswahili na kingereza na hayo yote ni kutokana na kuwa kwenye tafakari nzito ya kuusanifu uzuri wa Sally.

Sally alitingisha kichwa kwa heshima na kisha alitoa shati la rangi nyeupe kampuni ya Versace na kulifungua vifungo haraka haraka kwa namna ya kupendeza , ilionyesha kweli alikuwa amehitimu katika mafunzo ya uhudumu au ukijakazi.

“Jina lako unaitwa Sally si ndio?”

“Ndio Mr Roma”

“Okey sally je naweza kukuomba kitu, nadhani wewe mwenyewe unaona ndio kwanza nimeamka kutoka kwenye usingizi wa muda mrefu , na baaadhi ya viungo vyangu vya mwili vilipatwa na matatizo”Aliongea Roma na kumchanganya mdada wa watu.

“Mr Roma sijakuelewa naomba unyooshe maneno tafadhari”

“Okey Sally nilichokuwa namaanisha ni kama unaweza kunisaidia kufanya majaribiio kama hiki kiungo changu bado kinafanya kazi”Aliongea huku akiangalia kiungo chake cha uzazi.

Ukumbuke hapo bado alikuwa uchi na baada tu ya kuangalia kiungo kile kilianza kushituka kutoka usingizi kikijinyoosha na uchomvu wa asubuhi na kumfanya Sally kuziba mdomo kwa aibu na kugeuka nyuma.

“Mr Roma unamaanisha…”Aliongea huku akiwa mwekundu mno , tokea aanze kazi hapo kwenye hilo jumba hakuwahi kukutana na mwanamme kwa muda mrefu na si hivyo tu ni mara yake ya kwanza kuona kiungo cha aina hio mubashara kwani alikuwa ni bikra bado, hivyo kumfanya kuchanganyikiwa baada ya kuona mdogo wake Roma akisimama.

“Sally sijamaanisha hivyo, najua wewe bado mdogo na siwezi kukufanyia kama unavyofikiria , ninachomaanisha ni wewe kuangalia kama ninaweza kutoa risasi maana nilikuwa kwenye ajali na naogopa naweza kuwa sina uwezo wa kuzalisha”Aliongea Roma bila ya kukosa aibu.

Sally aiekuwa akitukana moyo moyo kwakutana na mgeni ambaye hana aibu na kuwa kama mnyama.

‘Basi sawa Mr Roma ninaweza kukusadia kwa mkono wangu ili tuone”Aliongea huku machozi yakianza kujitengeneza kwenye macho yake , aliona kabisa huo ni uonevu.

“Sally usilie , jikaze unachokwenda kufanya ni kuazimisha mkonowako tu kwa muda , hakuna kingine Zaidi kitakacho tokea, Huenda Miss Christen akaniongezea mshahara au kunipa zawadi kwa huduma yangu ya mkono”Aliwaza huku akiwa na huzuni ilio ujaza uso wake.

“Sally sijamaanisha mkono , utakuwa hunitendei haki , vipi kama risasi hazitotoka , si tutakesha hapa ndani?”Aliongea Roma na kumfanya mwandada wa watu kuzidi kushangaa na kupagawa kwa wakati mmoja.

“Kwahio Mr Roma unataka nifanyeje?”Aliuliza kwa upole.

“Namaanisha angalau mdomo wako , ni mlaini na wa moto hivyo , itakuwa rahisi Zaidi”

Huyu mwanaume sio binadamu , huu ni unyanyasaji wa kijinsia na rangi”Aliwaza mwadada wa watu mzungu huyo , hakuwahi kukutana na mwafrika ambaye anaweza kumdharau kiasi hicho , alijiambia kama angemkuta nje ya nyumba hio huenda angemtukana , lakini kutokana na namana ambavyo Boss wake alivyokuwa akimjali kama mtu wa muhimu , aliona ajitulize ili kibarua chake kisije kuota nyasi.

“Sally hurry up your boss is waiting for me , you’re such an obedient girl, answering to all my needs , I’ll put good word in for you later”

Sally hakuna kitu ambacho alitaka kufanya wakati huo kama kukimbia, alijiambia kwanini mwanaume huyu anazunguka zunguka si bora aseme tu hata baadae anataka tena , alikua akijua kwenye ulimwengu wa matajiri hata watu maarufu siku zote wanakuwa kama watumwa wa ngono tu kwao, sembuse yeye mwenye cheo cha ujakazi.

Alijikuta akijikaza kijasiri na kufunga nywele zake kwa nyuma na kisha alichuchumaa na kuanza kazi,

“Eeeh,.. Yeah , Sally ukinitekenya na ulimi wako itakuwa bomb.. sanaaa , yes yes kazi nzuri”

Baada ya nusu saa mtoto wa watu alijidondokea chini huku akihema kama mbwa aliekimbia maili nyingi , kutokana na ukubwa wa kitu chenyewe alijikuta akikosa kabisa pumzi na alishukuru tu alikuwa ameweza kuwatoa wazungu.

Roma baada ya kuridhika alivaa nguo zake zote na kisha alimpiga busu Sally na kutoka kwenye chumba hicho kwa ajili ya kumfuata Christen.

“Inaonekana umepona kabisa , na hata tabia yako imerudi , yaani baada ya kuamka kitu cha kwanza unaachoona cha maana kufanya ni kumtesa mfanyakazi wangu kwa mambo yako ya aibu”Aliongea Christen huku akijichekea kwa uchungu lakini Roma hakujali Zaidi ya kujikalisha kwenye sofa huku akifunga vizuri vifungo vyake vya shati.

“Nataka umpatie Dollar milioni moja ,nimemuahidi nitamfidia kwa huduma yake”

“Kwanini nikulipie kwa matendo yako?, hela zako unazo kwanini usilipe wewe”

“Acha utani Christen , hela kwako sio tatizo ila kwake ni tatizo hata hivyo kafanya kazi kubwa, kidogo tu pumzi imwishie”Aliongea Roma huku akijifanyisha kuwa mwenye huruma.

“Daah! naamini Miss Edna anayo kazi kubwa ya kukuvumilia” Roma hakumjali Zaidi ya kunyanyuka na kuchungulia dirishani kuelekea mlimani na jiji lote lililokuwa chini yake.

“Hii sehemu ni nzuri sana na inavutia , nadhani ninapaswa kumwambia Ron kununua kasehemu na kuleta baadhi ya wanawake kuwa kama wahudumu”

“Hii sehemu yote imechukuliwa huwezi kupata hata kama una hela vip?”Alijibu Christen.

“I didn’t say I will go through standard procedute, tell me who wouldn’t trade up their home for their lives”

“Sijamaanisha kwamba nitatumia utaratibu wa kawaida , hebu niambie ni nani anaweza kukataa kuniuzia kama Maisha yake yatakuwa rehani?”Aliongea Roma kama vile ni wale wafanya biashara wa madawa ya kulevya kutoka Mexico.

“Umeweza kupitia maumivu ya Radi tisa, vipi mwanzoni hukujua kama kuna kitu cha namna ile kuweza kutokea?”

“Kama ningejua nisingeendelea kupigana na Poseidon na kutii shuruti , nani angejua kwamba nguvu zangu zote zilikuwa rehani, ni bora kufa kuliko maumivu ambayo niliyapitia nilivyopigwa na ile radi”Aliongea Roma na kumfanya Christen kuwa ni mwenye kuwaza na kisha akamwangalia Roma kwa huzuni.

“Sisi wenyewe licha ya kwamba tushawahi kushudia Radi kama zile , lakini hatukuweza kuelewa zilikuwa zikihusiana nini Zaidi katika mafunzo ya kijini , hata hivyo kwakua kuna mambo hukuelezwa na Hades wa Zamani inabidi nikuambie kwa uchache ,kwanzia tulivyoanza safari ya kutoka kwenye sayari yetu mpaka kuja duniani.







SEHEMU YA 396.

Maelezo ya Christen yanaanza mwanzo kabisa kwa kile ambacho kilitokea kwenye sayari mpaka kuja kwenye uso wa dunia kutafuta masha mapya. Ijapokuwa ni stori ambayo miungu mingi haikupenda kusimulia , lakini Christen anaamua kumuelezea baadhi ya vitu Roma.

Kwa maelezo ya Christen ni kwamba kwanza kabisa walikuwa wakiishi kwenye sayari ya tatu kutoka duniani yaani Mars lakini wao wenyewe sayari yao hawakuwa wakiita Mars kama binadamu wanavyoiita bali walikuwa wakiita ulimwengu mkamilifu yaani Utopia.

Christen anaelezea kwamba kwenye sayari yao raia wake mwanzoni walikuwa ni wenye mitazamo tofauti tofauti , yaani kwanzia dini , umiliki wa vitu na maswala mengi ikiwemo siasa na mengineyo kama ilivyo hapa duniani na hali hio tofautishani kwenye jamii yao iliendelea kwa miaka mingi kadhaa mpaka pale mitazamo ya mtu mmoja mmoja ilipokoma na serikali zote kuungana kwa pamoja , dini zote kuungana kwa pamoja na zile hali zote tofautishi kuungana kuwa kitu kimoja , watu kuwa na mawazo sawa na kushirikiana kwa usawa katika jamii kwenye njanja zote hivyo kuifanya sayari yao kuendana na jina la ukamilifu.

Christen anaelezea kwamba mwanzo wa kile walichokiita ukamilifu katika dunia yao ndio mwanzo wa janga kubwa ambalo liliikumba sayari yao na kupelekea kutokuwa na uwezo wa kusapoti Maisha tena na matabaka ya hewa kumezwa na mbingu.

Sasa baada ya sayari yao kutokuwa salama tena kuishi ndipo baadhi yao waliweza kutoka kwenye sayari hio kutafuta Maisha sehemu nyingine.

Kutokana na kuwa na teknolojia kubwa walikuwa washafanya utafiti mwanzoni na kugundua sayari ya Dunia kuna viumbe hai vya ajabu(Binadamu) waliokuwa wakiishi na kuitawala dunia.

Anasema kwamba walikuwa wakiwachukulia binadamu kama viumbe vya ajabu kutokana na utofauti mkubwa uliokuwepo kati yao na binadamu , anasema kwamba wao walikuwa na maumbo mazuri kuliko binadamu ndio maana wakawa wanatuona kama viumbe vya ajabu , lakini pia miili yao ilikuwa ikifanya kazi tofauti kabisa na wao.

Anaendelea kwa kusema kwamba baada ya Maisha yao kuwa hatarini mara baada ya janga kuikumba sayari yao ndipo walipoanzisha safari ya kuja kwenye sayari ya dunia kwa ajili ya kuanzisha Maisha upya.

Lakini sasa walivyofika ndio wakakuta hali ya hewa haisapoti miili yao kabisa kutokana na kuumbwa tofauti na binadamu, na hapo ndipo walipofanya maamuzi ya kufanya ‘Transmigration of soul’, kitendo cha kuitelekeza miili yao na roho zao Kwenda kuvaa miili ya binadamu huku wakiwa na matarajio kwamba roho ya binadamu ni dhaifu kuliko Roho zao , hivyo ingekuwa rahisi kwa wao kuziteka roho na nafsi zao na kuwatawala , lakini mambo yakawa tofauti nje ya mategemeo yao , kwani Roho za binadamu zilionekana kuwa na nguvu Zaidi kuliko za kwao na wakajikuta wakimezwa wao na kumi na mbili kati yao ndio waliofanikiwa kutawala miili ya binadamu na kumeza nafsi zao.

Anasema lakini mara baada ya kufanikisha kuteka miili ya binadamu , viumbe wengine ambao walikuwa na nguvu Zaidi kuliko binadamu ambao hawakuwa wakionekana walitambua uwepo wao na kuwaona kama tishio na kwanzia hapo ndipo mgogoro ulipoanzia ,migogoro ilioibua vita kati yao na majini kwani waliwachukulia kama tishio , lakini kutokana na kwamba majini mengi yalikuwa na uwezo mdogo wa kimapigano , wengi wao walishindwa kuwafanya chochote na hata wale ambao walikuwa kwenye levo za juu za kuipita Dhiki hawakufanikiwa kumshinda Zeus , Athena na Poseidon lakini pia majini walikuwa wachache sana ambao walikuwa kwenye levo ya kuipita Dhiki , kwani asilimia kubwa walikuwa kwenye Levo ya Mzunguko kamili na wachache kuwa katika levo ya Nafsi.

Vita yao na majini iliendelea kwa muda mrefu kidogo mpaka kufikia kipindi ambacho Zeus na Athena walipokuja kukutana na jini ambalo lilikuwa likitambuliwa kwa jina la Master.

Inasemakana huyo Master wa kijini ndio aliewaletea upinzani sana Athena na Zeus , lakini hata hivyo hakuweza kumshinda Zeus kutokana na siraha yake ya ThundeBolt , siraha ambayo ndio iliokuwa ikiogopwa sana na majini kutokana na uharibifu wake, Master pia akamshindwa vilevile Athena kutokana na siraha zake mbili ya kwanza ikiwa siraha yake ya ngao ya Aegis na mkuki wake utoao cheche ufahamikao kwa jina la Pallas.

Master baada ya kuona kwamba hakuna namna ambayo anaweza kuwashinda Zeus na Athena kwenye mazingira ya kawaida ndipo alipowawekea mtego wa Kwenda kufanya mapigano kwenye miliki za kijini na ndio wakati ambao Zeus hakuweza kurudi tena , huku Athena akijiokoa lakini akiwa amepoteza nguvu nyingi sana na hata kupoteza baadhi ya kumbukumbu zake na hapo ndipo Athena akagundua kwamba Master yule aliwapeleka kwenye mtego na sio sehemu ya mapigano.

Kupotea kwa Zeus anasema kwamba ukawa mwisho wa matumaini yao ya kuweza kuwarudisha wenzao waliomezwa na roho za binadamu na kuendelea kuzaliana..

Lakini wakati huo huo kupotea kwa Zeus na kuumizwa kwa kiwango kikubwa kwa Athena miungu mingine ilikosa uwezo wa kupambana na baadhi ya majini ambayo yalikuwa yashafikia kwenye levo za kuipita Dhiki , hivyo tofauti na kupigana miungu iliobaki ikaomba makubaliano na kutokea siku hio ndio kukazaliwa mkataba wa kiuuungu unaofahamika kama the gods treaty.

Katika mkataba huo makubaliano yalikuwa ni miungu yote kuishi nje ya mipaka ya bara lote la Asia na baadhi ya maeneo ya bara la Afrika na hio ni kutokana na kwamba miliki nyingi za kijini zilikuwa kwenye mabara hayo na mabara mengine kwanzia ulaya na Amerika yote haikuwa ikikaliwa na viumbe aina ya majini., lakini wakati huo huo mkataba huo uliwazuia kutotumia kanuni za anga sehemu yoyote ya dunia.

Sasa unaweza kushangaa kwanini miungu hio ilikubali kirahisi mkataba wa the gods treaty , jibu ni kwamba wakati wanafika duniani mabara ya ulaya pia yenyewe yaliuwa yakikaliwa na viumbe visivyo onekana lakini jamii nyingine kabisa tofauti na majini na viumbe hao hawakuwa na nguvu kubwa sana kama majini katika maswala ya mapigano , hivyo hawakuwa na uwezo wa kupigana na majini na baada ya kuona hivyo ndipo pia wakaomba ulinzi kutoka kwa majini, sababu nyingine pia iliowafanya viumbe hao kukubali baadhi ya sheria ni kutokana na kwamba wao wenyewe walioogopa kufa na kizazi chao kupotea moja kwa moja ukizingatia walikuwa wamebaki kumi na moja pekee kwani wenzao wote roho zao zilishamezwa.

Kilichofaya pia waogope kupotea kwao ni kutokana na kwamba majini yalikuwa na uwezo wa kuzuia vitendo vyote vya viumbe hao kumi na mbili kuhamisha roho zao Kwenda kwenye miili ya binadamu wengine na hili ndio likaibuwa wasiwasi wao Zaidi.

Sasa baada ya makubaliano waliamua kujikusanya kwa pamoja na kufanya makazi yao ndani ya bara la ulaya katika mji unaofahamika kwa jina la Makedonia katika nchi ya Ugiriki juu ya mlima ambao walipatia jina la Mount Olympus , walioupatia jina hilo kutokana na kufanana sana na mlima kutoka kwenye sayari yao(Mars mount Olympus)

Sasa majini ambayo yalikaa chini kwa ajili ya makubaliano ni yale tu ambayo yalikuwa yamefikia levo za juu kabisa za kuipita Dhiki na hao ndio waliokuwa wakifahamika kwa jina la ‘Masters pf Jinn’ na ndio alioweka sheria ya majini yote kutoenda kinyume na sheria za Anga, kutojitokeza katika Maisha ya ulimwengu wa kawaida( mundane world) huku wakibanisha kwamba endao Jini litahusika katika kukiuka sheria za anga basi adhabu itamuhusu na ndio hio radi ya mpangilio wa awamu tisa.

Sasa yote hayo yalipokuwa yakiendelea binadamu Maisha yao yalikuwa yakiendelea kama kawaida na vita ilikuwa upande wa viumbe visivyoonekana , lakini baadae sana ndipo sheria ya the gods treaty ilipotambuliwa na baadhi ya serikali katika mataifa makubwa na miungu iliweza kuheshimu the gods treaty kutokana na miingiliano ya Majini na binadamu lakini wakati huo huo vitengo vyote vya kutumia kanuni za anga vilikuwa vikitibua pia uwiano kwenye miliki zisizoonekana.

Sasa ilionekana katika historia aliotoa Christen mambo mengi yanaonekana kujificha , kwa mfano anashindwa kumuelezea Roma nini kilifanya miungu hio kutambuliwa na jamii nyingi za warumi kwa majina tofauti na kigiriki , lakini pia hakuweka wazi kwanini jamii za Jamii za kigiriki kuwaabudu..

Roma aliweza kusikiliza stori yote nusu kwa umakini na alijikuta akishangazwa na vitu vingi , lakini wakati huo kujawa na maswali kibao , kwani kuna vitu vingi hakuwa akivijua , lakini kikubwa ambacho aligundua ni kwamba kushindwa kwa Zeus ndio kulipelekea tumaini la miungu kuitawala dunia kupungua , lakini pia alielewa kwamba Zeus aliweza kupotea baada ya jini lililofahamika kwa jina la Masters of Jinn kuwawekea mtego yeye na Athena.

“Kuna jambo naomba kuuliza , je wakati wa makubaliano ya kusainishana huo mkataba Poseidon alikuwepo kweli?”Aliuliza Roma.

“Poseidon hakuwepo na hakuwahi kukubali na sio yeye tu , wewe Hades na Athena pia hawakuwepo na walikataa makubaliano ya the gods treaty”

“Sio mimi , huyo ni Hades wa zamani “Aliongea Roma na kumfanya Christen kuguna.

“But why didn’t you mention anything regarding God’s Stone?, Where it came from and what is it used for?”

“Lakini kwanini hujaongea chochote kuhusu jiwe la kimungu , wapi lilitokea na matumizi yake?”Aliuliza Roma.
 
SHEEMU YA 398.

Kutokupokea simu kwa ghafla kulimtesa sana mrembo Nasra , kwani alikuwa amejaribu kupiga simu mara nyingi kwenda kwa Roma lakini simu haikuwa ikipokelewa , mrembo huyu kutokana na kwamba swala la mama yake kutokubali kuendelea na Roma halikuwa limeisha alikuwa na wasiwasi mkubwa , hakuwa tayari kumuacha Roma licha ya mama yake kutokumkubali.

Sasa siku ya jana yake kabla ya Roma kuondoka Tanzania , mrembo Nasra alikuwa amekaa chini na mama yake kuongea juu ya swala lake , mama yake alimweleza kwamba alikuwa akihitaji kuonana nae kwa ajili ya kuongea na ndio maana Nasra alionekana kumtafuta sana Roma.

Sasa haikueleweka Mama Nasra alikuwa akitaka kumkubalia Roma kuendelea na mtoto wake au alitaka kuzidi kumuonya juu ya kuachana na mwanae?.

Ukweli licha ya mama hiyo kutokuelewa sana kuhusu mapenzi , lakini mtoto wake alionekana kukonda mno na kutokuwa na furaha kutokana na mapenzi na kujikuta akimuonea huruma.

Alichokuwa akifanya ni kujaribu kumuokoa mtoto wake kutoka kwenye kifo kutokana na maneno ya mganga , lakini wakati huo huo alikuwa akimuonea huruma mtoto wake huruma kutokana na namna alivyokonda..

Alimuona Nasra kwenye hatua ambayo hawezi kurudi kutokana na alivyoonekana kumpenda Roma na hilo lilikuwa ni jambo ambalo lilimtia mawazo na kuogopa kwa wakati mmoja.

“Nasra mwanangu unampenda sana huyo Roma kiasi cha kutomwachia , kiasi cha kutojali kama ni mume wa bosi wako?”Aliuliza mama yake kwa huzuni mara baada ya Nasra kurudi kazini akiwa amechoka.

“Mama sijui nisemeje , najua swala hili linamkosea sana Edna lakini moyo wangu umetokea kumpenda sana yule mwanaume na sijui namna ya kumwachilia labda aniache yeye mwenyewe”Aliongea Nasra kwa huzuni.

“Kwahio unaamini kama Mr Roma akichukua hatua ya kukuacha na wewe ndio utaachana nae?”

“Ndio ijapokuwa Maisha yangu yanaweza kubadilika sana kama nitamkosa , lakini sitokuwa na jinsi , lazima Maisha yaendelee kama mtu hanitaki tena”Aliongea na kumfanya Mama Nasra kukaa kwenye sofa akiwa ni mwenye kuwaza.

“Au nimwelezee juu ya kile alichoniambia mganga?”Aliwaza Mama Nasra akimaanisha kwamba amueleze Nasra juu ya kile alichoambiwa , lakini moyo wake bado ulionekana mzito.

“Nitaongea na Mr Roma , bila yeye kukubali kuachana nae, Nasra hawezi pia kumuacha”Aliwaza .

Sasa asichokijua mwanamama huyu ni kwamba anachokiongea Nasra ndio anachokiongea Roma , kila mmoja anasema akiachwa ndio ataachika , lakini sio kuacha..

“Nasra nitaongea na Mr Roma kesho nataka umwambie aje hapa nyumbani”Aliongea mama Nasra’

“Mama Kweli?”

“Ndio najua unampenda ,ila kuna swala nataka kwanza nizungumze nae”Aliongea na kumfanya Nasea kuwa na wasiwasi , ijapokuwa hakujua ni kipi ambacho mama yake anataka kuongea na Roma ,lakini aliona ni hatua nzuri kwa mama yake kutaka kuanza kuongea na Roma mwenyewe , kwani siku zote Roma ndio aliekuwa akitafuta kuongea nae.

Sasa Nasra alijitahidi sana kuwasiliana na Roma lakini simu ilikuwa ikiita pasipo kupokelewa na kujikuta akiwa ni mwenye maswali mengi , kama simu inaita bila ya kupokelewa ilikuwa ikimaanisha Roma alikuwa akipotezea simu zake , jambo hilo lilimtia wasiwasi na kumuumiza sana na alijikuta akitoa chozi mara baada ya kupiga Zaidi ya mara kumi pasipo Roma kupokea simu zake na hata kujibu baadhi ya jumbe alizomtumia.

Mawazo mabaya yalianza kumuandama na aliona huenda Roma kaamua kumuacha , jambo ambalo hakuwa akitamani kabisa litokee, licha ya kujiambia kama ataachika basi atakubaliana na hali.

Usiku huo alijikuta akilia sana kama aliefiwa huku kila saa alikua akiangalia simu yake kama kuna ujumbe wowote kutoka kwa Roma , lakni mpaka kuna kucha hakukuwa na majibu ya aina yoyote.

Asubuhi mrembo huyo alijikokota kivivu na kuoga na kujiandaa Kwenda kazini licha ya kwamba mwili wake haukua ukitaka kwenda , lakini mara baada ya kupata wazo la Kwenda kwenye kampuni anayofanyia kazi Roma alijikuta akijiandaa haraka haraka ili kupitia huko ili aunganishe na kazini.

Dakika chache mbele alikuwa ndani ya jengo hilo , lakini jibu alililopewa na wafanyakazi wa kampuni hio lilimnyong’onyesha.

“Roma uko wapi , umejikatia tamaa juu yangu?”Alijikuta akiwaza mara baada ya kuingia kwenye gari yake.

“Au nikaamuulize Edna kwanini anadharau simu zangu”Alijiwazia huku akitoa gari lake kivivu kwenye jengo hilo la kampuni ya Vexto Media, lakini licha ya wazo hilo alikuwa akisita sita , tokea mara ya mwisho kumpigia magoti Edna kumuomba msamaha kutembea na mume wake hawakuwahi kuzungumza tena juu ya uhusiano wao..

………..

Ni muda wa saa sita mchana ndani ya kampuni pilika pilika zilikuwa zikiendelea kama kawiada , yale yote yaliotokea ni kama yalikuwa yashaanza kuchuja na sasa kampuni ilikuwa kwenye kushughulika na projekti kubwa ambayo Vexto Contructors ilikuwa imeshinda Zabuni ,projekti ya mradi wa Adani, pia kampuni hio ilikuwa kwenye maandalizi ya mwisho ya kuanza kusambaza malighafi mpya takribani siku saba zijazo yaani tarehe ishirini ya mwezi wa kumi na mbili.

Recho mfanyakazi wa idara ya mahusiano na masoko ndio alieweza kuteuliwa na kurithi nafasi ya Monica, Recho hakuamni ameweza kupanda cheo na kufanya kazi kwa ukaribu na bosi Edna.

Unajua licha ya kwamba Recho alikuwa amekaa ki utundu utundu lakini alikuwa ni moja ya wafanyakazi ambao wana akili kubwa , alikuwa amefaulu na GPA kubwa sana kutoka chuo cha IFM na huenda ndio sababu ambayo Edna alivutiwa nae kumsaidia.

Mtu anaweza kuona labda nafasi ya Recho ni ndogo kwasababu amekuwa sekretari lakini katika kampuni kama ya Vexto ilikuwa ni nafasi kubwa sana na ndio maana hata Monica wakati anafanya kazi hapo alikuwa akijiona wa matawi ya juu sana na hio yote ni kutokana alikuwa ni kama msaidizi wa bosi mkuu wa kampuni na ndie aliekuwa mara nyingi akitoa maagizo yanayowasilishwa kwake na Bosi Kwenda kwenye idara nyingine.

Siku hio ya mchana yaani baada ya Roma kuondoka bila taarifa jana yake usiku , Edna , Benadetha Dorisi, Nasra kama viongozi wakubwa wa kampuni walikuwa kwenye kikao ndani ya ofisi ya Edna, huku Recho kama sekretari akiwapa kila mmoja kikombe cha kahawa.

Mwanzoni Recho alikuwa na hofu kufanya kazi kwa ukaribu na Bosi , lakini mara baada ya kuona Edna alikuwa akiongea kawaida na wafanyakazi wa juu wa kampuni alijikuta hata yeye akitulia na kuendelea majukumu yake kwa utulivu wa akili.

“Sikudhania kama Monica ataolewa na Ernest , tumeshangaa kweli , Monica alikuwa vyema kwenye kazi yake na tulimzoea sana kuwa msaidizi wako kuliko Recho”Aliongea Dorisi baada ya Recho kutoka na kufunga mlango.

“Naamini Recho ataitumia nafasi hii vizuri , yuko vizuri kichwani na ni rahisi sana kuelewa mambo kwa uharaka , kuondoka kwake kwenye idara yangu ni kama pigo”Aliongea Benadetha kwa tabasamu huku akimwangalia Edna.

Edna mchana huo alionekana kuwa na utulivu uliomfanya kuzidi kuwa mzuri kuwashinda wenzake wote waliokuwa ndani ya ofisi hio , alikuwa amevaa kijikoti mfano wa leather suit kutoka kampuni maarufu ya Chanel S/S pamoja na kigauni cha maua maua cha kufunga na mkanda kwenye kiuno, alikuwa akiandika chini kwenye baadhi ya makaratasi na karamu yake ya Mont Blanc pasipo kuzingatia maongezi yao , baada ya kumaliza alinyanyua uso wake na kuwaangalia wafanyakazi wake.

“Sidhani kama kuna haja ya ninyi kumzoea msaidizi wangu”Aliongea kwa sauti kavu na kufanya wengine wote kufunga midomo yao kwa kushushuliwa.

Upande wa Nasra a ni kama mawazo yake hayakuwa hapo ndani , kwani alikuwa hajachangia chochote tokea aingie na Edna hakujali sana mwonekano wake, alitoa maagizo kwa kila mmoja na kufunga kikao na kuondoka , Nasra alijikusanyia makaratasi yake kwa uvivu na kuyakumbatia kifuani na kabla hajatoka aligeuka na kumwangalia Edna.

“Edna..!!!”Aliita kwa sauti hafifu na Edna kumwangalia.

“Vipi , unaonekana kutokuwa vizuri kimawazo leo , ukiona unajisikia vibaya unaweza kurudi nyumbani kupumzika , kuhusu huu mradi kwasasa hakuna mengi ya kufanya kwani yatahamia kwenye kampuni yetu ya ujenzi”

“Hapana sio hilo”Aliongea kwa kusita sita huku akiangalia chini kama mtoto aneomba ada ya shule kwa wazazi wake.

“Mhmh!”Edna aliguna.

“Kwanini hapokei simu zangu?”Aliuliza

“Unamzungumzia nani?” Edna aliuliza akiwa kama haelewi.

“Roma”Alijibu

“Vice predisent Nasra I do not think it is appropriate of you to ask personal questions abaout my husband during working hours”

“Mkurugenzi msaidizi Nasra , nafikiri sio jambo zuri kuuliza maswali binafsi juu ya mume wangu wakati wa kazi”Alijibu Edna huku akiweka ile sura ambayo huogopwa na wafanyakazi wengi na kumfanya Nasra kutetemeka.

“Boss samahani , ni makosa yangu kuuliza naomba nirudi nikaendelee na majukumu”Aliongea huku machozi yakianza kujilenga lenga kwenye macho yake na kisha akageuka kutoka , lakini kabla hajafunga mlango kwa nje alisikia sauti ya Edna.

“Yupo Marekani kwa rafiki yake Christen”Aliongea Edna kwa sauti ndogo na kumfanya Nasra kumshukuru Edna na kisha akafunga mlango.

Kwahio ukaona ukimbie nchi kwanza baada ya swala la mama yangu kukushinda , Nasra jipe moyo ulikuja peke yako hapa Dar pasipo ya kuwa na ndugu na ukashinda kila kikwazo , hili ni dogo tu nalo litapita”Alijiambia yeye mwenyewe huku akitembea bila ya viatu vyake kuwa na mpangilio kama alivyozoeleka .

Upande wa Edna na yeye alijifikiria mwenywe e huku akiangalia juu kama mtu anaechunguza ofisi yake.

“Edna hutakiwi kuwaonea huruma hawa wanawake wake, hata kidogo , usiwaonee huruma ..”Alijiambia kwenye mawazo yake.

*****

“Kuhusu Godstone’s sina uelewa sana , lakini ni baadhi ya teknolojia tulizotoka nazo kwenye sayari yetu na juu ya matumizi yake yote siwezi kusema , kwani sikuwa mwanasayansi , lakini ninachoelewa ni kwamba Hades wa Zamani na Athena walikuwa wakifanyia majaribio , maswala ya Godstone’s yaliibuka mara tu baada ya kusaini the gods treay”Aliongea na akaendelea.

“But as far as I’ m concerned it is highly related to our kind and it might contain the answers to our species revival, its most successful application was on you , without it you definetely would not have been able to practice your spatial powers”

“Lakini kama jambo hili linavyonihusu nina uhakika ni swala linalohusiana sana na asili yetu na inaweza kuwa majibu ya uamsho wa jamii yetu iliopotea , moja ya mafanikio ya kazi yake kubwa ni kwako wewe , bila Godstone usingekuwa na uwezo kujifunza na kupata uwezo mkubwa wa Anga”Aliongea Christen na Roma alitikisa kichwa kumuelewa.

“Tukiachana na hayo zungumzia kidogo kuhusu mbinu za kijini”Aliongea Roma.

“Katika mbinu za kijini ninachojua kuna namna mbili za mafunzo , kuna mbinu ya kwanza ambayo ni njia fupi ukiachana na ya kwako uliojifunza , hii inaanzia kwenye hatua ya kwanza ambayo inaitwa nusu mzunguko, hatua ya pili mzunguko kamili, hatua ya tatu ni ya Nafsi au unaaweza kuita kutoka nje ya Mzunguko , ukiutoka kwenye hatua hio unaingia kwenye hatua ya Dhiki halafu utaingia sasa katika kuipita Dhiki.

Hatua ya kuipita Dhiki yenyewe ni pana sana kuielewa ukubwa wake na imegawanyika katika makundi kutokana na uwezo wa mtu, lakini inasemekana kama mtu akiwa kwenye hatua ya kuipita Dhiki atakuwa na uwezo wa kudhibiti elementi zote tano za msingi za dunia ambazo ni Earth(Mchanga), Maji ,Wood(Miti), Moto na Madini , kwa maana kwamba Jini au mtu ambaye anajifunza mbinu za kijini ataweza kutumia elementi zote tano katika kutengeneza siraha za kimaajabu.

“Kwahio kama mtu akafanikiwa kupona radi za mipangilio tisa ndio inamaanisha kwamba ashaingia moja kwa moja kwenye hatua ya kuipita Dhiki , vipi kuhusu mimi?”Aliuliza Roma.

“Ijapokuwa sina sana uelewa lakini ukifanikiwa kupona kwenye radi hata ya awamu moja ni kweli kabisa unaingia levo ya kuipita Dhiki , na kwa ninavyoelewa kama utaweza kupona mapigo matatu ya radi pasipo kupoteza uwezo wako basi mtu ambaye unaweza kushindana nae ni Poseidon”Aliongea Christen.

“Poseidon tena , kwanini awe yeye na sio mkubwa Zaidi yake?”

“Hivi Roma unaamini Poseidon alitumia uwezo wake wote pale wakati mnapambana? , ninaweza kukadiria uwezo aliotumia ni asilimia kumi tu , kuna siraha nyingi anazo na hakuzitumia , huenda angetumia siraha yake maarufu ya Trident , ungekufa kwa pigo moja tu na kusubiria miaka na miaka kuzaliwa upya”Roma alijikuta kutokupendezwa na jibu lake.

“Vipi kama mtu atapona awamu zote tisa huku bado akiwa na uwezo wake , nini kitatokea?”

“Katika historia ya majini inasemekana ni wachache sana waliopona zote tisa na kubwa Zaidi ni ile ya mwisho kabisa ya rangi nyekundu , ukipona ile uwezo wako unaweza kulingana na wa Athena au Zeus, lakini pia faida kubwa ni umri wako kuongezeka taratibu sana , inasemekeana majini yote yanayoweza kupona kwenye mapigo yote tisa wanaweza kuishi miaka mingi sana pasipo kufa au kuzeeka kwa haraka”

“Unasema kweli?”

“Nikudanganye ili iweje sasa, binadamu ambaye nishawahi kusikia kujifunza mbinu za kijini na kupitia mapigo ya mpangilio tisa ni Mesuthelah mtoto wa Enoch, alikufa na miaka 969”Aliongea Christen na kumfanya Roma kutoa macho.

“Haina haja ya kutoa macho , ushapoteza uwezo wako wote , unafikiri unaweza kuishi miaka mingi”Aliongea Christen huku akimhurumia Roma.

“Sio mbaya nimeelewa kwa kiasi , nikifika Tanzania nitaendelea kutafuta maelezo Zaidi ili nijifunze”

“Bado haujakoma tu , nishakuelezea mbinu zako unazojifunza zinakiuka kanuni za anga na zitakupelekea kifo”

“Usijali sana kuhusu mimi ,kama nimepona jua siwezi kufa tena , hata hivyo kwanini nife wakati ninao wanawake wengi ambao ninapaswa kuwaonyeshea mapenzi?”

“Hahaha… hata wewe una mapenzi , labda nimpigieMiss Edna nimuelezee ulichokifanya na mfanyakazi wangu”

“Acha kuwa mbea , ulikuwa ni mdomo tu”

“Bwana eh usinielezee uchafu wako mimi , inaonekana ulivyopigwa na radi akili yako imepotea ,unakuwaje mtu ambaye unakosa aibu hata kidogo”Aliongea kwa kulalama.

“Wewe ni Mbeya tu , kwanza kwanini ukanilaza kwenye kitanda chako, usiniambie ulilala na mimi ?”

“Kwani ni dhambi kulala na wewe kitanda kimoja kama tu hatujafanya kitu?”Aliongea huku akionyesha kukasirika.

“Haha.. nakutania tu Christen”

“Sasa kwanini kulala na mimi siku zote unahisi ni kitu kibaya sana , mimi sio mwanamke?”.

“Sijamaanisha hivyo , sisi ni marafiki ambao tunategemeana kwenye mambo mengi na hata hivyo nilimuahidi nitakulinda nakukujali kwa uwezo wangu wote, najua hayupo duniani lakini kulala na wewe ni kama kumkosea”Aliongea Roma na kumfanya Christen kutoridhika na jibu lake.

“Wewe ni wewe , yeye anakuhusu nini? , ninachotaka nikulala na wewe tu basi”

“Acha kujidanganya haiwezekani”

“Kimya!!”Aliongea Christen na palepale alibadilika macho na kupaa na Roma na Kwenda kutua kwenye ukuta kwa hasira huku machozi yakianza kumtoka na Roma alijitoa kwake bila kumjali.

“Hades nisamehe nimeshindwa kujizuia , hata hivyo ngoja niondoke napaswa kuwa Studio muda huu na siwezi kubaki hapa kukupa kampani , ishi hapa kwa muda unaotaka”Aliongea na kisha akachukua miwani yake ya jua na kuivaa na kuanza kupiga hatua kutoka nje ya jumba hilo la kifahari lakini alisimama njiani na kumgeukia Rom.

“Mgeni kashafika , nafikiri napaswa kusubiri”Aliongea

Muda huo huo eneo la kuingia kwenye bustani , ilionekana gari nyeusi aina ya Caddilac ALADE SUV ikifika na Kwenda kusimama katikati ya jumba hilo , ni gari nzuri ya kifahari yenye 6.3 ‘displacement’ V8 injini, ni aina ya gari ambazo ni za kuhesabika sana ndani ya Tanzania.

Alishuka mwanaume upande wa dereva mzungu alievalia suti nyeusi haraka haraka na kisha akasogelea mlango siti ya abiria na kufungua , na mwanaume wa makamo mwenyewe mwili mkubwa aliweza kutokezea akiwa na kombati za jeshi la majini la Marekani, Hakuwa mwingine bali ni Poseidon,
 
SEHEMU YA 399.

“Wewe mzee jana yake tu hapa nilikuwa nikikufahamu kama mpishi wa kimataifa , lakini leo umebadilika ghafla na kuwa mwanajeshi wa Kimarekani?”Aliongea Roma huku akitoa cheko mara baada ya Poseidon kuingia eneo la sebuleni baada ya kukaribiswa na Christen.

“Mr Roma my name is Prandelli , I am a lifelong accoladed Admiral of the Us Marine Corps I’m not here to joke with you , Today , I’ m here to settle this once and for all”

“Mr Roma kwa jina naitwa Prandeli , mwanajeshi wa jeshi la Maji mwenye kusifiwa kwa muda mrefu , sipo hapa kwa ajili ya utani bali kuweka mambo sawa moja kwa moja “

Aliongea Poseidon lakini Roma pia macho yake yakamgeukia mwanaume mwingine aliekaribishwa na Christen.

“This must be your Majest Pluto ,I am the current chief of the FBI, Robert Mueller it’s my pleasure to meet you..”Aliongea huku akimnyoosheaa Roma mkono lakini hakuupokea.

“Okey nadhani kuna kitu kilichowaleta , nadhani tuongee haraka haraka”Aliongea na Robert alikunja kidogo sura baada ya salamu yake kutokupokelewa lakini alipotezea.

“Swala ni hivi ,Admiral Prandell tayari ashathibitisha huuhusiki na kile kilichotokea kwa mashambulizi ya ghafla kwa meli yetu ya kivita na nipo hapa kwa ajili ya kuomba msamaha kwa niaba ya serikali ya Marekani”

“Msamaha wenu unamaana gani wakati mmemsababishia mwenzenu matatizo mpaka kuwa katika hali kama hii”Aliongea Christen

“Miss Christen, I am aware that this was a mistake on our part, but we are only human after all. Given the circumstances that this situation was forged in, I believe that it would be best for you to calm down.”

“Miss Christen , najua makosa ambayo tumeyafanya lakini sisi pia ni binadamu ukizingatia na tatizo lenyewe lilikuwa ni la kufoji , naamini itakuwa vyema kupunguza jazba”

Roma alifikiria jambo hilo kwa ukubwa wake kwanzia stori yote ya Christen na aliona serikali ya Marekani ilikuwa ikijua kila kitu kuhusu miungu yote na hata hivyo Marekani ilikuwa ni nchi kubwa duniani yenye nguvu ni lazima kuishi kwa tahadhari kwa viumbe vinavyo hatarisha usalama wao.

Kwa mfano kama Stern na Alice kutoka familia ya Cromwell , licha ya kwamba serikali ya Uingereza ilikuwa ikichukizwa na matendo ya kujihusiaha mapenzi ndugu kwa ndugu hadharani , lakini mwisho wa siku hakuna walichoweza kuwafanya na kuwaacha , hio yote ni kutokana na kwamba wanatambua kilicho nyuma ya majina yao.

Zeros organisation ilikuwa imeundwa na mataifa makubwa Zaidi duniani, ijapokuwa kulikuwa na mkono wa Athena lakini ni lazima taasisi hio ya siri ni kwa ajili ya kukaa macho zidi ya miungu hio.

Lakini jambo moja la uhakika ni kwamba licha ya kwamba katika ‘the gods treaty’ miungu yote ilikuwa ikikatazwa kutumia nguvu zao kuinua nchi yoyote kijeshi , lakini nchi kama Marekani hawakosi kuwa na ushawishi mkubwa kwao na kama siku ikatokea vita ni hakika huenda wakaweza kuwatumia kama sehemu ya wanajeshi wao , kwa mfano wamefanikiwa kumfanya Poseidon kuwa mwanajeshi wa jeshi la Maji , lakini hivyo hivyo Christen alikuwa ni raia wa Marekani na inawezekana pia miungu mingine ikawa ndani ya taifa hilo , hivyo ni rahisi kusema kwamba washajinyakulia nafasi ya faida juu ya miungu hio .

Christen baada ya kuambiwa atulize jazba alionyesha hata hivyo kutopendezwa na maongezi hayo kwani aliona hayana maana wakati mwanaume anaempenda alimuona hana nguvu zozote na yote hayo ni kwasababu ya ubishi wa Poseidon na jeshi la Marekani.

“Haya ndio pekee yaliowaleta?, kama ni haya tu nadhani haikuwa na haja ya kujisumbua kuja mpaka huku , mngepiga simu tu”Aliongea Roma.

“Ndio mpaka sasa serikali yetu inaamini China inahusika kwenye tukio ambalo limetokea na tupo kwenye uchunguzi wa kina kugundugua muhusika, tunahitaji msaada wako katika hili huenda ikawa rahisi Zaidi , hivyo tunataka kukuomba kubakia hapa Marekani kwa muda”Aliongea Robert Mueller.

“Kuna haja gani ya kunihitaji?, Prandell yupo hapa anaweza kuwasaida”

“I need to go back to Hawaii then to Hongkong to try out new recipes, remember?”

“Nahitajika Kwenda Hawaii halafu Hongkong ili kujaribu kanuni ya mapishi mapya ukumbuke hilo”Aliongea akiwa kwenye sura yake kama ile ile iliozoelea ya Alfin Kelphin.

Yaani likija swala la upishi anajiita Alfin Kelpnin lakini likija swala la jeshi anajiita Prandell.

“Okey nitakuwa hapa Los angeles ndani ya siku hizi tatu , mnaweza Kwenda sasa”Alijibu Roma mara baada ya kufikiria kidogo

“Nashukuru sana msaada wako Mfalme Pluto”Aliongea Robert Mueller na kisha akageuka kwa ajili ya kutoka ndani ya eneo hilo, lakini kabla hajafika mbali. Prandell alimgeukia Roma.

“Kutokana na hali yako ya kimwili nadhani kwanzia sasa huwezi tena hata kujifunza kanuni za anga na mbinu za kijini zimepotea , nikushauri angalau kuishi kwa kujificha ficha hapa Marekani usije kupata matatizo Zaidi”

“Tangu lini ukawa unajali matatizo yangu?”Aliongea Roma.

“Kwasababu angalau sitaki jina la Hades kupotea kabisa”Aliongea kwa kejeli na kisha akaingia kwenye gari yake na ikaondoshwa na kuwaacha yeye na Christen wakiwaaingalia huku wakiwa wamesimama na kuishia kurudi ndani baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yao.

“Kwanini umeamua kukubaliana na Robert , kwa ninavyokujua usingekubali kirahisi”Aliongea lakini Roma alipotezea swali lake .

“Umenileta mwenyewe ndani ya hili jiji nadhani kabla ya kurudi Tanzania angalau nipumzishe kichwa, Nakushuru kwa kunipatia hii fursa”Aliongea Roma huku akiweka tabasamu la kifedhuli kama kawaida yake.

“Ooh! Hata mimi naona unataka kupumzisha kichwa , najua unachopanga kichwani mwako , unaona ni afadhali kufanya mambo yako ya kihuni huku mbali ili usishtukiwe , Nahisi hapo unajiona uko Single mwenyewe”

“Kwannini unanikejeli , Christen nawapenda wanawake wangu wote kwa moyo wote”

“Inawezekana ukawa unawapenda sana ,lakini mwili wako hauna chembe yoyote ya uaminifu kwao, ila sio mbaya tuseme kwamba ndio ulivyo lakini vipi kuhusu ahadi yako kabla ya Kwenda Tanzania , ulianiambia unaacha michezo yako ya kihuni na kuanza maisha mapya”

“Kuacha au kutokuacha hakunifanyi kuwa wa tofauti , What’s most important is that I love my life and enjoy myself to the fullest, as long as it does not go against my personal values, right or wrong, yes or no, it’s all a concept in someone else’s mind.”

“Sio kila kitu kitaenda kama ninavyopanga, mimi mwenyewe ndio najua ni kipi napenda na kipi sipendi , hata kama ninachopenda kitakuwa ni dhambi kubwa kwenye macho ya watu nitaendelea hivyo hivyo bila kujali , naamini mapenzi ya kweli hudumu milele , hivyo hebu niambie why should I care about the murky lines of morality?”Aliongea Roma akimaanisha kwamba anayapenda Maisha yake na anayafurahia kwa viwango vyote ili mradi tu Maisha yake hayamshushii thamani yake, Kosa au isiwe kosa , Hapana au Ddio ni mtazamo wa mtu binafsi hivyo hajali kufanya kile anachokipenda kwasababu tu wengine wanaona kama uchafuzi wa maadili.

Christen aliekuwa akimsikiliza Roma alijikuta ni kama ndio kwanza anamfahamu licha ya kumjua kwa miaka mingi.

“Mister Roma nikuwekee kifungua kinywa?”Aliuliza Sally na kumtoa Christen kwenye bumbuwazi na kumwangalia mhudumu wake.

“Sally nitakupa zawadi ya kiasi cha Dollar milioni moja hivyo nataka ujitahidi kumfanyia Roma chochote atakachohitaji “Aliongea Christen na kumfanya Sally kuwa na furaha isio kifani na kumwangalia Roma kwa tabasamu huku akiwa mwekundu , alijiambia kwa hela hio kubwa yupo tayari kufanya ‘Blows’ za kutosha kwa Roma.

“Heunda ningempa Zaidi ya mdomo wangu, ningepata zaindi ya milioni moja”Aliwaza ujinga kwenye kichwa chake na Christen ni kama amemsoma anachokifikiria na kutoa tabasamu la kejeli na kumgeukia Roma.

“Nadhani Roma sasa hivi umebadilika sana kuliko miaka iliopita ,Zamani nilikuwa nikikujua Zaidi na niliweza kutabiri baadhi ya mamuzi utakayofanya lakini sasa hivi licha ya kwamba nakufahamu lakini maamuzi yako nashindwa kuyatabiria”

“Ooh, mungu wa mapenzi naamini katika Maisha yako marefu hapa duniani haujabahatika kufatilia zaidi kuhusu maana ya Mlima wa Babeli?”

“Unataka kuzungumzia nini?”Aliuliza Christen.

“Kila binadamu ana sura nyingi na kila mtu ana Zaidi ya moyo mmoja , moyo unao onekana na ule uliojificha nyuma ya moyo unaoonekana hivyo ni rahisi kusema binadamu ni wenye kujivika sura tofauti tofauti kutokana na uzoefu wa mazingira unaoibua hisia zao zilizojificha katika moyo usionekan, hivyo kupelekea kutokutabirika , sio ajabu hata wewe kutoelewa matendo yangu”

“Sasa hilo linaingiaje kwenye tabia yakoo?”

“Well unavyoniona hapa ni mimi katika uhalisia”Aliongea Roma na kumfanya Christen kujiona kama mpumbavu na kulaumu huenda ni mapenzi aliokuwa nayo kwa mwanaume huyo , kwanini anajifanyisha ana busara kutetea upuuzi wake kuliko yeye alieishi Maisha marefu.

“Christen nataka nikuombe msaada?”

“Msaada gani?”

“Pesa”

“Nini! “

“Nikopeshe kiasi cha pesa”Aliongea Roma kama vile ni wale omba omba huku akimwangalia mwanamke mrembo aliekuw ambele yake.

“Pesa kwa ajili ya nini?”

“Sina hela yoyote hapa nilipo ndio maana naomba”

“Hujanijibu swali langu unataka pesa ya nini?”

“Hehe.. napanga Kwenda kuzunguka niangalie kama naweza pata zawadi kwa ajili ya warembo wangu kule Bongo”Aliongea Roma na kumfanya Christen kuwa na wivu na kung’ata meno kwa hasira.

“Sina hela ya kukupa , kama unataka pesa pigia simu watu wako, kwanza wamejazana hapa Marekani sidhani kama watashindwa kukusaidia , ninachoweza kukupa labda gari tu , yaani ni kupe pesa yangu mimi? Scury off”Aliongea na kisha akaweka miwani yake na kuondoka

“What a stingy ass..”Roma alijikuta akijitingishia kichwa chake kwa mafadhaiko , lakini mara baada ya kufikiria kidogo alitafuta uelekeo wa jikoni kwa ajili ya kumuomba Sally amuonyeshe gereji ya magari ilipo.

……..

Ijapokuwa Beverly Hills ilisifika kama mtaa wa matajiri lakini sio kwamba watu wengine kutembelea maeneo hayo walikuwa wakikatazwa.

Inasemekana kwa mwaka kuna watalii kibao wanaotembelea eneo hilo na wengi wao walipenda kufika hapo kutokana na kwamba walikuwa wakijaribu bahati zao za kukutana na watu maarufu ndani ya mtaa huo.

Rodell and Rodeo Avenue , ndio moja ya sehemu ambayo imejaa maeneo ya kifahari ya mapumziko , unaweza kusema kwamba katika sehemu zote zinazovutia ndani ya Kusini mwa Calfornia ni ndani ya hilo eneo , ukija kwa mahoteli, migahawa na maduka ya nguo na vito, mengi yalikuwa na mwonekano usio fanana kuonyesha ni juhudi kubwa zimetumika katika ubunifu wa biashara nyingi.

Brand zote kubwa duniani huwezi kukosa maduka yao katika eneo hilo na ukiona kama kuna Brand ukaikosa ndani ya mtaa wote huo basi jua hio Brand haina jina kubwa.

Wengi ya watu wanaoingia kwenye Shopping mall kubwa ndani ya eneo hilo hawaulizii bei ya nguo au kitu chochote na hata wahudumu wakiona unaulizia ulizia bei watajua kabisa wewe ni kapuku na huwezi kununua.

Sasa muda huo Roma aliekuwa kwenye gari aina ya Porsche alikuwa akiendesha kama hataki huku akiangalia pande zote za mtaa huo , akiangalia baadhi ya wazungu wenye nywele nyeupe wakitembea huku wengine wakitaniana wengine wakiwa wanatafuna na kunywa vile walivyoshikilia mikonon.

Roma mara baada ya kusimama kwenye taa za traffic pembeni yake pia ilisimama gari aina ya Afla Romeo na ikashushwa kioo na akaonekana mwanamke wa rangi nyeupe ya kuchanganya , Roma mara baada ya kumwangalia mwanamke yule mrembo alimkonyeza.

Mkonyezo ule wa uchokozi ulifanya damu za Roma kuongezeka kiwango cha kusafirishwa na kumeza funda la mate , Roma alijiambia tofauti na kule Tanzania huku mambo ya kuburudika na wanawake ni maswala ya kawaida na unaweza mpata mrembo ukajirusha nae na mkaachana bila hata ya kuulizana majina , hivyo akili yake ilimwambia jambo hili linaweza kutokuwepukika kwa muda ambao atakaaa hapo.

Gari aliokuwa akiendeza mrembo huyo haikuwa ya kawaida hata kidogo , Magari aina ya Alfa Romeo ni mashine, na hakuna uhakika ndani ya Tanzania kuna watu wanayaagiza kutokana na kwamba uzalishwaji wake ni mdogo na unaenda kwa oda kwa nchi kama ya Marekani,

Mkonyezo pekee kwenye mtaa huo haukumtosheleza kabisa Roma hata hivyo hakuwa na chakufanya maana mifuko yake ilikuwa imetoboka.

Hakuwa mgeni sana ndani ya Los angeles hivyo ni kama barabara zote amezikalili kichwani na aliendesha gari yake kuitafuta benki ya UBS akiwa anaamini kwamba benki hio hatoweza kukosa Cash , ndani ya dakika kadhaa za kukata kona na Kwenda mbele alikuja kusimammisha gari yake kwenye jengo lililoenda hewani lenye chata la UBS Bank , kabla ya kushuka alinyoosha kidole chake huku akifumba macho na kuanza kutamka baadhi ya maneno anayo yajua yeye na palepale pete ilionekana ikiwa imejivalisha kwenye kidole chake, ilikuwa ni pete ambayo Edna alienda nayo Swiss Banke wakati alipokuwa Tanzani.

Haikumuhitaji Roma nguvu za kichawi au kanuni za anga kuipata hio pete bali alihitajika tu kuongea maneno anayoyajua , ukweli pia ni kwamba pete hio unaweza kumuona kama ameiweka mfukoni lakini haihifadhiwi mfukoni ni aina ya pete ambayo inamfuata kila anapoenda.

********

Ni muda wa usiku wakati Marekani Los Angeles ikiwa ni asubuhi , Ndani ya familia ya Edna wanafamilia walikuwa mezani wakijipatia chakula cha usiku.

Ukweli ni kwamba Edna alionekana kumtoa hofu mama mkwe wake kwa kiasi kikubwa , miezi michache alioishi na Roma ni kama alikuwa amemfahamu kwa kiasi kikubwa , hivyo hata kuondoka kwa Roma bila kuaga aliamini itakuwa ni dharula na ndio maana hata usiku wa juzi yake Omari Tozo alipokuja nyumbani aliweza kumpa jibu la kueleweka.

“Sister Edna unajua nashindwa kuelewa Anko Roma kafikaje ghafla Marekani?” ’Aliuliza Yezi na hio ni mara baada ya Edna kutoa taarifa kwamba Roma yupo Marekani kwa rafiki yake na Christen.

“Unapaswa kumzoea Roma ni mtu wa dharula”Alijibu.

“Sasa mtu akiwa na dharula hawezi hata kutoa taarifa?,Yaani huyu mtoto jamani, sio vizuri anavyofanya”Aliongea Blandina huku akionyesha hajaridhika , ukweli alikuwa na wasiwasi usiku mzima tokea Roma aondoke kwenye mazingira yasioeleweka na imekuwa afadhali kwake mara baada ya kupata taarifa kutoka kwa Edna kwamba yupo Marekani.

“Mama naamini kuna sababu ya yeye kufanya hivyo?”

“Edna naona unamtetea kwasababu ni mume wako , hata hivyo sina cha kuongea , ni kheri unamfahamu Zaidi kuliko sisi maana wewe ndio unakwenda kuishi nae Maisha yako yote”Aliongea Blandina na kumfanya Edna kuona aibu kidogo na kujishangaa kumbe maneno yake yalionekana alikuwa akimtetea.

“Chakula ni kitamu lakini kukosekana kwa Lanlan na Mr Roma kinaonekana kama sio kitamu” Aliongea Bi Wema na alionekana alichoongea ni kweli kwani walikuwa wanagusa gusa licha ya ufundi mkubwa kutumika kupika chakula hicho ,siku zote waliokuwa wanakula kiasi kikubwa ni Roma pamoja na mtoto wake Lanlan.

“Sister Edna haujammisi Lanlan?”

“Nimemmisi sana naona kama kaondoka wiki moja”Aliongea Edna na kuwafanya watabasamu.

“Edna utakuja kuwa mama bora sana, umekuwa mtu wa kukaa karibu Zaidi na Watoto tokea ulipokuwa mdogo”Aliongea Blandina na Edna alipokea sifa kwa aibu kidogo.

“Ni kweli Miss Edna anapenda sana Watoto, naamini Watoto wake watakuja kuwa wenye malezi mazuri pia”Aligongelea msumari Bi Wema.

“Na pia una bahati sana mwanangu , yule mzee wakati naolewa na baba yake Roma hakuwa akinipenda kabisa”Aliongea Blandina na kuwafanya wamsikilize.

“Kwanini Mzee Kweka hakukupenda anaonekana sio mtu wa kubagua watu?”

“Ni kweli sio mtu wa kubagua watu , lakini mtoto wake alitokea kunipenda sana na hilo ndio…”Kabla hajamalizia wote waligeukia Tv iliokuwa ikitangaza taarifa ya Habari.

Ilikuw ani Habari a kutangazwa kwa kifo cha mke wa Raisi wa Rwanda Kizwe Jeremy Paul , kila mmoja alishangazwa na taarifa hio , huku Eda akiwa ndio mwenye mshangao Zaidi huku mapigo ya moyo wake yakienda mbio , alianza kukumbuka kauli ya Roma kuhusu kumpa Kizwe adhabu inayostahili, lakini hata hivyo hakuamini kama ndio aliesababisha kifo chake.

Katika Habari hio ilikuwa kielezea kwamba Kizwe amekufa kwa tatizo la moyo alilokuwa nalo kwa muda mrefu kidogo na siku chache ambazo hakuweza kuonekana hadharani madaktari walikuwa wakihangaika kuokoa Maisha yake..

Wanafamilia hao wote walijjikuta wakiangaliana kwa mshangao , waliangaliana kutokana na kwamba ni siku kadhaa tu tokea Kizwe kukamatwa na Roma mara baada ya kushirikiana na Ernest kutaka kuiangusha kampuni ya Vext
 
SEHEMU YA 400.

Roma mara baada ya kukamilisha taratibu zote za kuonana na CEO wa benki ya UBS aliweza kutengenezewa kadi ya haraka sana ya Platinum iliokuwa na kiasi cha pesa Dollar za kimaekani milioni hamsini.

CEO mwenyewe alikuwa ni mwenye kuchanganyikiwa mara baada ya kupokea ujio wa Roma na pete yake kwani hakutegemea kabisa ,Upande wa Roma hakutaka sana maongezi , alichokuwa akihitaji ni pesa na kisha kuondoka na taratibu za kuhudumiwa zilivyoisha aliingia kwenye gari yake na kutoweka.

Baada ya kurudi Beverly Hills hakuenda moja kwa moja kwenye Mansion la Christen bali aliona tangazo la mnada unaofanyika ndani ya eneo hilo uliopewa jina la Julien.

Baada ya kukatika kona chache hatimae aliweza kufika mbele ya jengo ambalo ndipo mnada unapofanyikia, nia ya kufika hapo ni kuangalia kama anaweza kupata zawadi yoyote ya kurudi nayo Tanzania kwa ajili ya wanawake wake.

Bahati nzuri ilikuwa kwake maana mara baada ya kufika kwenye mlango wakuingia hakukuwa na uhitaji wa kitambulisho Zaidi ya kulipia dola elfu mbili kama Assurance , lakini pia kilichomfanya kuvutiwa Zaidi ni kwamba mnada huo unahusiha baadhi ya vitu vilivyokusanywa karibu pande zote za dunia , hivyo aliamini kwa namna moja ama nyingine anaweza kupata zawadi

Walinzi waliokuwa mlangoni kwanza kabisa waliingiwa na wasiwasi mara baada ya kuwasogelea, kwani karibia watu wote waliongia hapo ndani walikuwa ni wa Ngozi nyeupe , ijapkuwa Roma alikuwa amevaa mavazi mazuri ya gharama lakini mwonekano wake ulikuwa wa kimaskini , lakini mara baada ya kutoa kadi yake ya benki na kuwapa wale walinzi kwa ajili ya kukata ada ya kiingilio walijikuta wakishangaa kwani hakuna hata mgeni mmoja alietoa kadi ya aina hio.

Baada ya kadi yake kuwa swiped kwenye kimashine kukata malipo ,alianza kupiga hatua kuingia , lakini alijikuta akisikia sauti nyuma yake ikimwambia asimame kwa lugha ya Kiswahili jambo ambalo lilimshangaza.

Alipogeuka ndipo alipogudnua kuwa alikuwa akiitwa na mwanamke mrembo sana aliechanganya rangi , alikuwa na mwonekano kama wa mchina kabisa , licha ya kwamba kwa uelewa wa Roma haraka haraka alijua lazima upande wa mama mwanamke huyo atakuwa ni mwafrika.

Alikuwa mrembo haswa mwenye umbo ambalo Roma kwa kumfananisha ni kama Rose , utofauti wake tu ni kwamba alikuwa na uso wa kipole sana ukijumlisha na vijimacho vyake vidogo vya kichina.

Msichana huyo ndio aliemkonyeza Roma wakati wakiwa kwenye mataa, akiwa anaendesha.

“Mrembo ulikuwa ukiniita mimi?”Aliuliza Roma huku akiweka tabasamu na mrembo yule alievalia kigauni flani cha rangi nyeusi kifupi kinachoishia kwenye magoti chenye shingo ya mkato wa chini lakini kilichodariziwa na kitambaa flani kama skafu, akavalia kijisuruali kama kipedo cha rangi nyeusi pia kilichoingia kwenye viatu vyake virefu , viatu maarufu vinavyopendwa na wanawake vinavyofahamika kwa jina Knee high Boot kutoka Brand ya ASOS, alikuwa amependeza haswa na ni mrembo wa kupindukia kutokana na kuchanganya rangi.

Msichana yule alitingisha kichwa kwa aibu huku akimwangalia Roma.

“Sir wewe ni Mtanzania?”Aliuliza kwa Kiswahili kibovu , rafudhi yake mbovu ilimfanya Roma kujua mwanadada huyu labda atakuwa anajifunza Kiswahili na sio kama alikuwa akikijua.

“Haijalishi natoka wapi au mimi ni nani nataka nikusikie ukiongea kabla ya kuingia”Alibadilisha Roma Kwenda kwa kingereza na mwanadada yule aliona aibu kidogo.

“Samahani unaweza kunisaidia jambo?”

“Please call me Roma Ramoni”

“Oh! Mr Roma ,je naweza kukuomba kitu?”

“Naweza kulifahamu jina lako kwanza?”

“Nafahamika kwa jina la Rufi…”

“Oh Rufi, jina zuri kwa matamshi lakini haliendani na uzuri wako”Aliongea Roma kwaKingereza.

“You are too nice ..”Aliongea huku akishindwa kumwangalia Roma usoni kwa aibu , sasa Roma alishindwa kujua ni aibu za kuigiza au ndio alivyo huyo mwanamke.

“Samahani Sana Mr Roma kwa kukusimamisha nina hitaji kuingia kwenye mnada lakini nimesahau kadi yangu ya benki pamoja na vidhibitia naomba unilipie kiingilio then nitakuingizia pesa yako nikrudi kwenye hoteli niliofikia kwa njia ya benki”Aliongea kwa namna ya upole huku akiwa kama anaetaka kulia , Roma alikumbuka huyu mrembo anaendesha gari kali , hivyo hakuona shida ya kumlipia.

“Haina haja ya kuwa na uso wa namna hio nitakulipia”

“Kweli upo tayari kunisaidia?”

“Yeah kwangu pesa katika kufanya wema si kitu kabisa wala usijali , najua kuna kitu unahitaji kununua humo ndani ndio maana ukaamua kuomba hela kwa mtu usie mjua”Aliongea.

“Ni kweli kuna vitu viwili nin taka kuvipata ,ambavyo babu yangu amenipa kazi hio kabla sijaondoka hapa Marekani , yupo kwenye hali mbaya kiafya na naamini kama nitavipata na kumpelekea atafurahi na hali yake inaweza kuwa nzuri Zaidi”Aliongea huku akishindwa kuendelea na kuanza kulia.

“Okey Rufi usiendelee sasa kulia , nitahakikisha vitu hivyo unavipata na mnada ukiisha tutaongozana mpaka hotelini kwako kwa ajili ya kunipatia hela sawa”Aliongea Roma na kisha akamsogelea mwanadada aliekuwa akipokea pesa na kuongea nae maneno machache na kisha wakachukuana na mwanamke Rufii kuingia ndani.

Roma alijikuta akijiambia kwenye moyo wake kwamba mwaamke kama huyu mrembo wa kujileta mwenyewe si mbingu zitakuwa zimemtunuku , alijiambia siku hio lazima ajivinjari nae kwani kumgusa tu alikuwa akijishi msisimko wa ajabu.

Upande wa Rufi mwenyewe alikuwa akijua Roma alikuwa ni muhuni na alijiambia wanaume wa aina hii ni wa kupigwa pesa ndefu na kupotea, alijiambia si anajifanyisha anapesa atamwonyesha.

Baada ya nusu saa mbele mnada ulianza , watu walikuwa wengi na watu Weusi walikuwa ni wa kuhesabika sana , lakini ajabu ni kwmaba watu wa bara la Asia walikuwa wengi kuliko hata wazungu , lakini Roma hakujali sana , kwanza kwenye mataifa kama china , Korea na ya karibu walikuwa wakipenda sana minada.

“Miss Rufi niambie tu ni vitu gani ambavyo unataka kununua na nitatoa tamko la bei mara moja na utavipata”Aliongea Roma huku akipata Wine yake taratibu ambayo hakupenda radha yake kabisa.

Rufi alimwelekeza Roma kwamba kati ya vitu viwili alivyokuwa akitaka , cha kwanza ni pete ya Almasi ambayo kwa maelezo yake anasema anataka akampe babu yake mgonjwa kama zawadi kwani tokea aoane na bibi yake huko China hawakuwahi kuvalishana pete , kitu cha pili alitaka ni mvinyo kutoka Rothchild.

Roma alijikuta akikuna kichwa maana kwa vitu vilivyotajjwa kwa mnada huo lazima milioni Zaidi ya kumi za kimarekani zitamtoka.

“Huyu mwanamke ninadhani anataka kunipiga ,ila ngoja niendelee kuusoma mchezo”Aliwaza Roma.

“Mr Roma kama utashindwa kuvinunua haina shida , mpaka hapa nakushukuru sana kwa msaada wako”Aliongea kwa kutia huruma

“Usijali Miss Rufi kama Pete ya Almasi ndio unataka pamoja na hio chupa ya Wine nitahakikisha unashinda mnada , sio kwa ajili ya babu yako lakini pia kwa ajili yako”

“Nashukuru sana Mr Roma kwa msaada wako , nakuahidi baada ya kufika hotelini nitahakikisha unapata pesa yako”

“Usijali kwanza ni milioni chache tu , leo hii Mimi Roma Ramoni nitatumia mamilioni ya pesa kwa ajili ya tabasamu lako tu haha..”Aliongea Roma na kumfanya Rufi kuona aibu na kujiambia huyu mwanamume hakika ni muhuni kupindukia na hana aibu na ni mshamba wa hela, ila alijiambia siku hio atamkomoa.

******

Upande mwingine nchini Rwanda katika moja ya hospitali zinazohudumia watu maarufu katika jiji la Kigali inayofahamika kwa jina la Maya.

Muda wa usiku wa saa mbili yaani ndani ya siku hio hio ya kifo cha Kizwe mara baada ya kupelekwa kuhifadhiwa kwenye chumba cha mochwari kwenye hospitali ya kijeshi.

Nje ya hospitali hio iliingia gari aina ya Mercedenz Benz Sedan nyeusi katika maegesho ya muda na akashuka mtaalamu Yan Buwen na kupokelewa na daktari mmoja alievalia koti la maabara.

Mwanaume aliempokea alikuwa ni moja ya wanaume waliohusika kumletea Kizwe Sumu kule kwenye jumba la raisi la Area D.

Hawakuongea sana mara baada ya kubadilishana salamu na Yan Buwen aliongozwa na bwana yule kuingia kwenye Lift ambayo iliwachukua na kuwapeleka moja kwa moja eneo la chini ya jengo hilo na kutokezea kwenye Floor ambayo juu yake ina maandishi kama ya Vyumba vya kuhifadhia maiti.

Baaada ya kutembea kwa mita kama tatu hivi waliingia kwenye chumba kilichokuwa upande wa kulia kwao.

Eneo hilo lilikuwa na ubaridi usiokuwa wa kawaida na kumfanya hata Yan Buwen kujisikia vibaya.

Baada ya kuingia kwenye chumba hiko alitembea mpaka kuyafikia makabati yaliotengenezwa kitaalamu na yule bwana alievalia koti la kidaktari alivaa gloves na kisha akafungua moja ya kabati na mwili ukatokezea hapo sura ya Kizwe ikiwa haina uhai ilionekana.

“Master huyu mwanamke ashakufa kwanini unataka kujipa tabu ya kuubadilisha mwili wake?”Aliuliza yule bwana kwa wasiwasi kwani yeye ndio aliehusika kuandaa dawa ambayo imemuua Kizwe na alishangaa baada ya kupewa maagizo ya kufanya mchakato wa mwili wa Kizwe kuletwa kwenye hospitali hio binafsi na Yan Buwen.

Sasa haikueleweka nini kilichofanyika mpaka bwana huyo kuwa moja ya watu wa Yan Buwen kwani tuliona wakiwa ni watu walioaminiwa kumuua Kizwe kwa kuandaa sumu.

“Who told you that this woman is permanently dead ?”Aliongea huku akionyesha sura ya kejeli kama kawaida yake, akimaanisha kwamba nani kasema mwanamke huyo kafa moja kwa moja na kumfanya yule bwana kushangaa.

“Unamaanisha kwamba unaweza kufufua wafu , moyo wake haufanyi kazi kwa Zaidi ya masaa sasa , Seli za ubongo wake huenda zishakufa zote?”Aliuliza. kwa kingereza.

“In the world where, I Yan Buwen exist , reviving the dead is nothing as long as their bodies are intact and their brain has but one functioning cell”

“Kwenye ulimwengu wowote ule ambao mimi Yan Buwen nipo , swala la kufufua wafu sio jambo kubwa kwangu kama tu miili yao haijaharibika na seli moja katika ubongo ikiwa inafanya kazi”Aliongea na kumfanya yule bwana kutetemeka kwa hofu lakini wakati huo huo akilazimisha tabasamu

“My apologies for doubting your capabilities Master , you have always been an inspiration to me”Aliongea na kumfanya Yan Buween kumgeukia.

“Has Deniss Completed the errands I assigned to him?”Aliuliza akimaanisha kwamba je Denisi amefanikisha kazi aliomwagiza.

“Nimepata taarifa kutoka kwa moja ya vijana wangu kutoka ikulu na amesema Denisi amefanikiwa kukutana na Desmond , nadhani mpaka sasa atakuwa analilia mwili feki wa mama yake , lakini baada ya kupata taarifa kupitia Deniss atakuwa tayari kuonana na sisi siku ya kesho”Aliongea yule bwana

“Kama ndio hivyo sina haja ya kuufanya miujiza huu mwili , hakikisha unaendelea kubakia hapa mpaka siku ya kesho , nataka Desmond atakapofika ashuhudie mama yake nikimfufua”Aliongea Yan Buwen huku akitoa tabasamu lake lisilokuwa la kawaida kabisa.

Mh haya Kizwe ndio huyo anafufuliwa na mtaalamu Yan Buwen unafikiri nini hatima ya Lekcha

unaweza kunitafuta watsapp kwa kutmia namba ya 0687151346 ulizia mwendelezo nikupe utaratibu
ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom