Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Ningekuwa kama Yan Buwen huyo Roma ningemaliza mapema sana maana bado akili zake za ki yoso umefunga harusi bado unawazia kuishi na wanawake wengine tena na mkeo. Hata vichwa vingi vilivyowahi pita dunia hii havikuwa na sifa hiyo. Yan Buwen ndiyo anajua nini maana na Bwana Tozo Omary.
 
[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hao mademu watamsaidia sana Edna wakati Roma akiond9ka watakuwa na mafunzo ya kimapigano ya hatar
 
Edna mke wangu , sikujua kama una mbinu zako za siri, umefanya kwa kudhamiria nini , unaonekana kama mzoefu umewezaje kuifinyia kwa ndani”Aliongea Roma lakini Edna alishindwa kujibu chochote zaidi ya uangalia pembeni kwa kuona aibu kumwangalia usoni hata hivyo alishindwa kumuelewa anamaanisha nini kusema kufinyia kwa ndani.
 
 
Mwamba singanojr uko vizuri sana..sema fanya kuangusha moja moja kama twanga pepeta.
 
Kupitia hi story unaweza kuwaelewa kidogo watu wa jami intelligence na madude yao yale....
 
Kupitia hi story unaweza kuwaelewa kidogo watu wa jami intelligence na madude yao yale....
Kwa hiyo hata yule fala Buwen naye ni mtu wa kueleweka na madude yake?

Kizwe katafuna biringanya la Buwen kimasihara huku Lekcha akimchinja kama kuku mchina wa watu hatimaye kusitisha ndoto ya Buwen kumnyandua mrembo msagaji the don😂
 
Kwa hiyo hata yule fala Buwen naye ni mtu wa kueleweka na madude yake?

Kizwe katafuna biringanya la Buwen kimasihara huku Lekcha akimchinja kama kuku mchina wa watu hatimaye kusitisha ndoto ya Buwen kumnyandua mrembo msagaji the don
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…