Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Ni sawaaa
 
[emoji373][emoji2923][emoji373][emoji2923]
 
Imagine Toka 2022 August 10 mpaka leo tupo hapa na haijaisha, hata Ottoman kule Azam imeisha na sasa tupo na Barbarossa, mtaalam Kama anatuchora ivi eeh
 
[emoji2923][emoji373][emoji120]
 
Imagine Toka 2022 August 10 mpaka leo tupo hapa na haijaisha, hata Ottoman kule Azam imeisha na sasa tupo na Barbarossa, mtaalam Kama anatuchora ivi eeh
Barbarossa ipo pia DSTV,ni hiyohiyo au kuna nyingine?
 
Imagine Toka 2022 August 10 mpaka leo tupo hapa na haijaisha, hata Ottoman kule Azam imeisha na sasa tupo na Barbarossa, mtaalam Kama anatuchora ivi eeh
Kuna wahusika wengine hadi nimeshaanza kuwasahau ikiwemo Clelia Allisanto, wale wazungu majirani wa msaidizi/ mke mwenza wa Edina yule alokuwa na black card ya benki. Halafu kaanzisha story nyingine wakati hii bado episodes Kama 200 hivi ndo iishe. Maana kule group walishafika ep700+ na bado gaijaisha.
 
kuhus nadia nakumbuk aliwah kupokea sim akifokewa kua kapew kz aifanye kuhus roma ila bado hajaikamilisha na boss wake alikasirik sana, nadhan bos mwenyew alikua ni apollo fek
Mule mule, umepatia. Hata hivyo, Edna naye sio wa kawaida maana alitakiwa kutenganishwa na Roma ili kufanikisha malengo ya Appolo feki. So kuna ka chain si ka kawaida katika hii riwaya. Hadi utulie sana ndo unaweza kuelewa kwa mbaaaaaliiiii.
 
Mkuu umetutenga sana huku heb tukumbuke na sisi nikutakie kaz njm na cku njm kwako...
 
Barbarossa ipo pia DSTV,ni hiyohiyo au kuna nyingine?
Sijui mkuu lakin hii ya Azam ni muendelezo wa Otugrral na Othoman, Kama hiyo inausu maudhui hayo ya Waturuki huenda ikawa yenyewe
 
238
SIRI
 
Sijui mkuu lakin hii ya Azam ni muendelezo wa Otugrral na Othoman, Kama hiyo inausu maudhui hayo ya Waturuki huenda ikawa yenyewe
Kwa hiyo Othman Bay bado sterling huko Azam? DSTV Hakuna Othman Bay
 
bado episodes Kama 200 hivi ndo iishe. Maana kule group walishafika ep700+ na bado gaijaisha.
Kule kwa group ni mwendo was kuliwa buku 5 tu 😂

Group lilishatelekezwa ila ukilipa unaungwa ili uvisome hivyo vi episode vilivyotolewa then unaachwa kwenye mataa 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…