mmash
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 832
- 1,237
Huko ufaransa sasa🤔🤔Soon The Doni tunamfahamu , Ngoja Twende Ufaransa turudi
Sijui kutakuwa na mtafaruku kama was Japan??
Nawaza tu na akili zangu za usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ufaransa sasa🤔🤔Soon The Doni tunamfahamu , Ngoja Twende Ufaransa turudi
Ukiendeleea kuuza hizi riwaya bila ruhusa ya mwandishi utashughulikiwa kuwa makini hili ni onyo la mwisho
Atakua ni Babake Doris tu. Ndomana anatumia Black Card.Soon The Doni tunamfahamu , Ngoja Twende Ufaransa turudi
Mlango ulifunguliwa na Wahudumu wa ndani, kasia linafunguaje mlango kwa nje ambao ukiufunga inabaki sehemu ya kupitisha labda wembe tu?Nawakaribisha kuisoma Story ya KIJANA SHUJAA Majaliwa Jackson
Kule Japan ilikua ni zamu ya Doris na Sophie kumshuhudia Roma akitembeza mkong'oto. Now France Mrembo Edna nae aende na Popcorn kabisa atulie aangalie Movie lakin liveHuko ufaransa sasa🤔🤔
Sijui kutakuwa na mtafaruku kama was Japan??
Nawaza tu na akili zangu za usiku
😂tena popcorn za kuzidiKule Japan ilikua ni zamu ya Doris na Sophie kumshuhudia Roma akitembeza mkong'oto. Now France Mrembo Edna nae aende na Popcorn kabisa atulie aangalie Movie lakin live
Ndo hapo sasa,dogo upepo wake tu umemwangukia,ila nahisi wananchi wengi walishiriki kwenye kufungua sema tu yeye ni kule kuzimia ndo kulimfanya aonekane alipambana na kasia lake,.....sema Mungu tu kampangia atoke kupitia ajali ile ila hakupambana peke yake kwa kweliMlango ulifunguliwa na Wahudumu wa ndani, kasia linafunguaje mlango kwa nje ambao ukiufunga inabaki sehemu ya kupitisha labda wembe tu?
Naunga mkono hoja, ndio maana hata mheshimwa Senga anataka kumtumia Dorris kumpata The Don 🤔😅Atakua ni Babake Doris tu. Ndomana anatumia Black Card.
Huyu atawatapeli bwege huyu,msimsikilize pumbavvvvv
Sasa ikiwa hivyo unaajiriwa kwa Edna ili iweje sasa?Ila duniani kuna mambo jamani, unapewa kadi ya kutoa hela bila kuweka na huangaiki na salio? Hizi bahati haziangukiagi pahala sahihi nadhani 🤔
jiunge hapa kama unapenda stori za kujasusi, kipepelezi na kivita[emoji1314]
![]()
bado kidogo group lijae, wahi
Sijui hata umetokea wap kwenye huu uzi na matangazo yako had unaboa yani