Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

SEHEMU YA 181

SEASON 7

Walinzi wa Mheshimiwa Raisi Senga , licha ya kwamba walikuwa wakifahamu raisi alikuwa akiongea na baba yake Mzazi , lakini wasiwasi ulikuwa umewatawala mno.

Ni Zaidi ya msaa manne yalikuwa yashapita na Mheshimiwa Senga hakuwa ametoka kwenye chumba alichokuwa akifanyia mazungumzo na baba yake na hili ndio jambo ambalo liliwafanya wawe katika hofu kubwa , walikuwa na wasiwasi na kile kilichokuwa kikiendelea ndani ya chumba hiko , lakini licha ya hivyo hakuna ambaye aliweza kuchukua hatua, kwani pia walikuwa wakimheshimu sana Afande Kweka kwa nguvu aliokuwa nayo ndani ya taifa na isitoshe pia alikuwa akiongea na mtoto wake.

Walinzi hawa walichokifanya ni kuhakikisha ulinzi kuzunguka eneo lote la jumba hili unakuwa imara .

Upande wa ndani ya chumba cha Mzee Kweka ,Senga alikuwa ni kama mgonjwa kutokana na muonekano wake.

Jambo ambalo amepata kulijua ndani ya masaa mawili yaliopita lilikuwa ni jambo kubwa kwake na kwa mtu yoyote asingeweza kuvumilia na angekuwa mwenye mshituko mkubwa lakini kwa mheshiiwa Senga haikuwa hivyo , licha ya kwamba alikuwa kwenye maumivu makali sana ndani ya moyo wake, lakini hakupata tatizo la kiafya, na hii ilionyesha Mzee Kweka alifanya juhudi kubwa sana ya kumtuliza.

“Senga kama nilivyokuambia , kwenye dunia hii ukitaka kupata lazima ukubali kupoteza, umepata kikubwa kuliko ulichopoteza”Aliongea Mzee Kweka.

“Hata kama baba, huu ni ukatili ambao umeamua kunifanyia”Aliongea Kweka.

“Maamuzi niliofanya yalikuwa ni kwa ajili yako, Senga na nimeshakuambia hili unapaswa kuelewa”

“Hahaha… Kunitenganisha na familia yangu huko ndio namna ya kunijali?”Aliongea huku akicheka kicheko kilichojaa uchungu , lakini kwa Mzee Kweka wala hakujali Mzee huyu hakuonyesha kujutia hata kidogo , aliamini maamuzi yake yalikuwa sahihi.

“Senga mimi nilikuona unapotea , tabia yako ilinifanya nichukue maamuzi magumu , nilikuwa nikimpenda Denisi kwakuwa ni mjukuu wangu lakini sikumpenda Blandina kwakua ulikuwa umekufa na kuoza juu yake , hilo ndio kosa lako na kama ningekuacha uendelee kuwa na yule mwanamke usingefika kwenye mafanikio uliokuwa nayo sasa”Aliongea Kweka na kumfanya Mheshimiwa Senga amwangalie baba yake kwa dakika kadhaa , hakuamini mzee anayemuita baba anao upande mwingine wa kikatili namna hio ambao hakuwahi kuujua.

“Baba kwakua ulishafanya maamuzi juu ya Maisha yangu , huu ni muda wa mimi pia kufanya maamuzi juu ya Maisha yangu na haijalishi kama utayakubali au Lah”Aliongea na kumfanya Afande Kweka amwangalie mtoto wake.

“Ni maamuzi gani unataka kufanya?”

“Mimi kwangu Roma na Blandina washakufa kwenye Maisha yangu miaka ishirini iliopita na haitokuja siku nikawatambua tena kama wapo hai,Kuhusu maamuzi ulioyafanya juu yangu nitaliacha hili lipite kwakua ulichangia kwa kiasi kikubwa kwa mafanikio niliokuwa nayo ,Lakini baba nikutahadharishe, sina mpango wa kumtambua Roma kama mtoto wangu na haitokuja kutokea akawa sehemu ya familia yetu”Aliongea Mheshimiwa Senga na kisha bila ya kusubiri jibu alinyanyuka na kutoka ndani ya chumba hiko na kuelekea nje kabisa na kuwaamuru walinzi wake ni muda wa kurudi ikulu.

Muda ule ule wakati Senga anatoka Zenzhei alijitokeza kama jini na kisha alimwangalia Mzee Kweka.

“Camillius nadhani mpango unaenda kama tulivyopanga?”

“Zhenzei mpango wako ulikuwa wa aina yake, nadhani kama ningemwambia ukweli wote angepoteza fahamu”Aliongea Mzee Senga huku akimwangalia Zhenzhei kwa sura ambayo haikuwa na tabasamu wala huzuni.

“Unafikiri atamkubali na kumtambua Roma kama sehemu ya familia?”

“Ni swala la muda tu Zenzhei , nahata asipomtambua yeye ,mimi ninamtambua kama sehemmu ya familia na kabla Maisha yangu ya hapa duniani hayajafika mwisho nitahakikisha Roma namkabidhi uongozi wa familia”Aliongea Mzee Kweka.

“ Camilius mimi nakuunga mkono kwa kila maamuzi utakayoyafanya”Aliongea na kumfanya Mzee kweka kutabasamu.

“Juu ya hilo Zenzhei sina wasiwasi kabisa , umekuwa upande wangu kwa miaka mingi sana”Aliongea na kumfanya Zenzhei kutabasamu.

“Unampango gani na Blandina mama yake Roma?”

“Kuhusu hilo sina maamuzi nalo , yule mwanamke licha ya kwamba sikuwahi kumpenda kwenye Maisha yangu , lakini ameteseka sana , nadhani juu ya hilo Roma mwenyewe ndio atafanya maamuzi juu ya mama yake , kwani siamini kama Senga anaweza kumpenda tena”Aliongea

“Camilius nikiri kwamba tokea Roma amekuja hapa Tanzania mambo mengi yametokea kwa haraka sana”

“Ni kweli kabisa , mambo megni yametokea kwa haraka sana ni miezi nane tokea afike nchini , lakini ni kama miaka miwili hahaha..hii inadhihirisha kuwa sio wa kawaida”

“Naunga mkono hilo Camilius”Aliongea Zenzhe huku akimwangalia Mzee kweka kwa dakika na kumfanya Mzee kweka agundue mabadiliko aliokuwa nayo Zenzhei.

“Zhenzei nakuoina una jambo unataka kuniambia ,Weka wazi hupaswi kunificha”

“Ni kweli Camiulius… Leo nimeweza kukutana na Kaka yangu wa hiari Tsar”Aliongea Zenzhei na kumfanya Mheshimiwa Kweka kushangaa.

“Unasema ukweli?, unamaanisha kaka yako ambaye ulikuwa ukimtafuta miaka na miaka umeweza kukutana nae leo,Ilikuwaje!?”

“Ndio Camilius na jambo la kushangaza ni kwamba muda wote alikuwa karibu yangu pasipo mimi mwenyewe kufahamu”

“Unmamaanisha nini?”

“Kaka yangu ni mlinzi wa Siri wa Mheshimiwa Kamau na leo alikuwa Tanzania kwa misheni ya kumuua Mheshimiwa Senga na ndipo tulipoweza kukutana baada ya kuhisi uwepo wake wakati nikizuia nia yake ya mauaji”Aliongea Zenzhei na kumfanya Mheshimiwa kushangangaa pia hakujua kuwa mheshimiwa Kamau wa Kenya alikuwa ashatuma mtu kwa ajili ya kumdhuru mwaae Senga , alimshukuru sana Zenzhei kwa hilo.

“Kwahio kipi umeamua kwa sasa?”

“Kaka yangu karudi nchini Kenya na kama nilivyokuwa nikidhania ni kweli yupo chini ya The Doni”Aliongea Zenzhei na kumfanya Afande Kweka kuwaza kidogo.

“Zenzhei kama swala hili na The Doni anahusika nafikiria ukubali matokeo na kuchukulia kuonana na kaka yako leo hii ni kama hatua ya kwanza”

“Naungana na wewe Camilius ,nitachukulia swala la leo kama hatua ya kwanza zidi ya mapambano yangu ye The Doni , ila nitatoa taarifa kwa wazee wa China juu ya hatua niliofikia mpaka kuonanana Tsar”

“Zenzhei sipingi juu ya swala hilo , nafikiri ni muda sahihi wa kuangalia namna ya kuipunguza nguvu ya The Doni ndani ya hii Dunia , lakini naamini hili litawezekana wakati utakapoungana na Roma”

“Camililius nina wasiwasi juu ya hilo”

“Unamaanisha nini?”

“Sidhani kama Mr Roma anaweza kuwa upande wangu katika mapambano , nahisi anaweza akawa kuwa upande wa The Doni”Aliongea Zenzhei na kumfanya Afande Kweka kushangaa anachomaanisha.

“Kwanini unasema hivyo?”

“Camillius nimemfatilia sana The Doni miaka na miaka na kwa uzoefu wangu , hisia zangu zinaniambia The Doni anaweza kuwa sehemu ya Miungu watu”Aliongea Zenzhei na kumfanya Afande kweka kufikiria kidogo.

“Niambie sababu inayokufanya uamini hivyo?”

“Camilius Wazee Wa China walinipa Ripoti mwezi uliopita juu ya taarifa zinazohusu misheni ya kisayansi duniani ya kutengeneza Miungu watu na kwa maelezo yao nimeweza kuona huenda ikawa The Doni akawa ni sehemu ya Miungu hio”

“Nitaarifa gani ambao wamekupatia”

“Kwa taarifa yao mpaka sasa wanasema wamewezakutambua Miungo yote kumi na moja iliotengenezwa kisayansi na maeneo yao ,kasoro mmoja tu kukamilisha jumla yao yote kumi na mbili”Afande Kweka alijikuta akikaa vizuri kwenye kiti ili kujua taarifa hio mpya kwake.

“Katika Miungu yote kumi na mbili ni Athena peke yake ambaye hawajaweza kumtambua na haijulikani alipo”

“Athena!!,Unamaanisha Goddes of War”

“Ndio Camillius Ripoti yao inaonesha Athena hajawahi kujionesha hadharani , lakini pia kutokana na katika kuwafuatilia kila mmoja katika jumla ya Miungu kumi na moja ,hakuna hata mmoja ambaye anaonyesha ishara ya Muunganiko wa moja kwa moja na The Doni , kwani wote wanaishi Maisha ya kawaida sana ndani ya jamii”Aliongea Zenzhei na kumfanya Afande Senga ashindwe hata kutoa jibu.

“Zenzhei nadhani unielezee huyu Athena ana nguvu gani kwa ujumla wake ukimtofautisha na miungu mingine”



Unafikiri kama ni kweli Athena anaweza kuwa The Doni , kwanini awe na uhusiano na Dorisi na kwanini Roma ashindwe kumtambua Athena kwani na yeye ni sehemu ya Project iliokuwa ikihusisha utengenezaji wa Miungu watu , lakini pia kwa maelezo ya First Black , Roma alisaini The Gods Treaty, Mkataba ambao kama ulisainiwa na Miungu yote inamaana Roma angeweza kumjua The Doni.





SEHEMU YA 182.

Ndani ya jengo la Polisi dakika chache mbele baada ya Roma kuondoka , alionekana Mzungu mmoja hivi mwenye miaka isiopungua therathini na tano, alievalia suti yake ya Armani akiwa ndani ya ofisi ya Bolton, Polisi aliehuska katika kumleta Roma kituoni.

“Haiwezekani Afande Boltoni, Mnamuachiaje mtu ambaye ni mhalifu , tena sio mhalifu wa kawaida Muuaji, ni sheria gani ambayo imewafanya kumuachia”Aliongea.

“Mr Charmo unapaswa kuacha kuongea kwa sauti ndani ya ofisi yangu , kutolewa kwa Mr Roma hapa kituoni halinihusu hata kidogo kwani ni Oda kutoka kwa wakubwa, Hivyo kama unahisi katolewa kimakosa fungua kesi , lakini nikutahadharishe tu yanaweza yakakukuta makubwa Zaidi”

“Are you threatening me?! Bolton, you fucking fatty, do you know whom you’re speaking to? I’m the best lawyer in Paris, Charmo a.k.a, Charmo! There’s no lawsuit that I can’t win, no evil that I can’t smite!”Charmo kama kawaida yake hakutaka kushindwa alianza kumpiga mikwala Boltoni , huku akimwambia kuwa yeye ndio mwanasheria nguli namba moja ndani ya Paris na hakuna kesi ambayo ishawahi kumshinda wala mtu muovu kumponyoka,Bwana huyu aliona kabisa kama swala la Roma lingefanikiwa kwa wakati aliamini angekosa pesa ndefu kutoka kwa Goodman ndio maana alitaka swala hilo lifanikiwe kwa namna yoyote ile na hio ilikuwa ni kawaida yake , Charmo siku zote alikuwa akihakikisha kila kesi inayomfikia anaishinda kwa namna yoyote ile , alikuwa ni mtu ambaye anapenda kusifiwa sana hivyo pesa na sifa alivipenda mno na ndio maana akipewa kesi yupo radhi kumhonga hata jaji wa mahakama ili mradi tu keshi ashinde ili apewe sifa na kama ujuavyo watu wengi wenye mafanikio makubwa walikuwa wakipenda watu wa aina ya Charmo watu ambao wapo tayari kupindisha sheria kwa ajili ya pesa hususani watu wa ‘Underwold’ , hivyo Charmo alikuwa na koneksheni nyingi ndani ya jiji lote.

“Sikia Boltoni , mimi ndio Charmo nitahakikisha Huyo mpuuzi anaefahamika kwa jina la Roma anaenda Jela”Aliongea Charmo na kumfanya Boltoni apandwee na Jaziba lakini alijizuia baada ya mlango wa ofisi yake kufunguliwa na kumuona Depney.

“Mr Charmo nadhani unapaswa kuondoka”Aliongea Depney.

“Who the heck are you? I know everyone in the police station. You don’t belong here.”

“Wewe ni nani , najua kila mfanyakazi ndani ya Polisi , wewe sio mfanyakazi hapa”

“Mr Charmo huna haja ya kunifahamu mimi ni nani , ila ninachojua wewe ni Charmo mtu unaefahamika kama mwanasheria bora ndani ya Paris , lakini kwangu wewe ni mtu hatari na mhalifu”

“Unaongea upuuzi gani au wewe ndio umehusika kumtoa hapa kituoni Roma?”

“Niwe nimemtoa ama sijamtoa hio sio biashara yako, nimekusikia ukisema unataka kumpeleka jela Roma , ila nikwambie wewe ndio unaenda jela sasa hivi”Aliongea Depney huku akibadilika.

“Mfungeni pingu , kesi yake Pamoja na ushaihidi vitafuatia”Aliongea Depney na kumfanya hata Boltoni ashangae , hakuelewa kwanini mambo yapo kama yanavyoenda ndani ya Poilisi tokea swala la Roma lifike hapa Polisi , alijiuliza Roma ananguvu gani mpaka kumfanya mtu mkubwa kama Charmo katika ulimwengu wa sheria kupelekwa jela kisa tu alitaka kumfunga Roma.

Charmo ile anashangaa shangaa , alijikuta ashafungwa pingu na Boltoni na kuanza kufurukuta , lakini haikusaidia kwani Bltoni alikuwa na mwili mkubwa wa Mazoezi , lakini muda huo huo alionekana na Fodesa akiingia ndani ya hio ofisi.

“Director nadhani tunapaswa kuongea”Aliongea Fodesa mara baada ya kumsogelea Depney.

“Fodesa unataka kujua mtu ambaye kaagiza Roma kutolewa hapa ndani?”

“Ndio Director nahitaji majibu ya maswali yangu , haiwezekani mtu hatari kama yule akatolewa kituo cha polisi, anapaswa Kwenda jela”

“Fodesa unapaswa kukaa mbali na maswala yote yanayomuhusu Roma , sio mimi tu hata mheshimiwa Raisi mwenyewe hawez kuingilia , Hatuwezi kushindana na yule mwanamke”Aliongea Depney lakini Fodesa hakuridhika , ni mtu mzima mwenye akili na Depney alikuwa amempa jibu jepesi , kwanini akubali.

“Director nadhani unapaswa kuacha kuongea kimafumbo , najua cheo chako ni kikubwa na siwezi kukupinga , lakini juu ya swala muhimu kama hili linalohusisha usalama wa nchi , nahitaji majibu ya kueleweka”Aliongea Fodesa na Depney aligeuza macho kumwangalia Bolton na Charmo na kisha akamshika Bega Fodesa na kumwambia waelekee nje.

“I believe you’ve come across the information from one of the secrets documents in the office regarding the bloody incident eleven years ago involving the British and Welsh royal families…”

“Naamini ushapata kupitia moja ya taarifa katika nyaraka ya siri ndani ya Kitengo , inayohusha tukio la umwagaji damu Zaidi ya miaka kumi na moja iliopita , linalohusisha familia ya kifalme ya Uingereza na ya Wales…”Aliongea Depney kwa sauti ya chini sana na kumfanya Fodesa kushangaa kidogo , huku akijiuliza kwanini Depney anamwambia swala hilo ambalo lilikuwa ni kama Skendo kubwa miaka iliopita.

“Ndio nakumbuka sana hii, kwanini nisahau… nakumbuka kipindi kile Familia ya kifalme ya Uingereza ilitaka kuitokomeza familia ya kifalme ya Wales kwa kuwaua mpaka kupelekea kupotea kwa Catherine Pamoja na mtoto wake , mpaka kupelekea familia ya Rothchild kuingilia na hatimae Catherine na mtoto wake Clark wakarudi wakiwa salama huku mpaka leo hii haikueleweka ni nani aliehusika na kurudi kwao salama salimini , huku serikali ikijitahidi kuzima swala hilo lisisambae”Aliongea Fodesa

“Sawa kabisa. Baada ya hapo, mrithi wa mamlaka ya kifalme ya Uingereza hakuwa mwingine ila mtawala wa Wales. Ingawa wanaishi kama familia ya kifalme iliyofichwa, ambayo inamaanisha kuwa uwepo wao bado haujatangazwa hadharani, lakini chama kilicho madarakani Uingereza nguvu yake ipo katika familia ya kifalme ya Wales”

“Ninakumbuka vizuri nyaraka hiyo. Kwa kweli kuna maswali mengi sana katika tukio hilo miaka kumi na moja iliyopita, ikiwa ni pamoja na kunusurika kwa Catherine na binti yake Clark na lakini pia ukimya wa kitengo cha Usalama, nakiri nguvu waliokuwa nayo familia ya kifalme ya Wales katika Nyanja zote kwanzia uchumi mpaka kwenye teknolojia ni kubwa na ni juzi tu Mtoto wa Malkia, Princess Clark Stephanie amechaguliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa kituo cha utafiti wa mambo ya sayansi ndani ya taifa”Aliongea Fodesa.

“Ndio Fodesa kuna maswali mengi juu ya lile tukio lakini hatupaswi kushughulika nalo kwani hata serikali yenyewe ipo kimya , mtu ambaye amenipigia simu kwa ajili ya kumuachia Roma sio mwingine bali ni Malkia mwenyewe , nadhani mpaka hapa unaona kwamba hatuna mamlaka ya kumzuia Roma”Aliongea Depney na kumfanya Fodesa kushangaa mno

******

Mrembo Edna licha ya kwamba chumba ambacho Goodman alikuwa amemuandalia kuwa kizuri mno , lakini alishindwa hata kutambua uzuri wake, alikuwa mara akae kitandani , mara ahamie kwenye sofa, mrembo huyu alionekana kuwa ni mwenye wasiwasi mno, licha ya kwamba alikuwa amechoka sana kutokana na tukio lililotokea baada ya wao kuingia Paris , lakini alishindwa kupumzika.

“Nitakuwa mbinafsi sana kama nitalala halafu Roma bado yupo kituoni”Aliongea Edna mwenyewe huku akiangalia Dirisha.

“Lakini si anafahamiana na Wazungu na isitoshe ana hela nyingi , lazima atakuwa na namna ya kutoka kituoni pasipo kupatwa na shida , sipaswi kumfikiria.. nalala mimi”Aliongea tena na kisha akajitupa kitandani.

Muda huu alikuwa ashaoga na alikuwa amejifunga Taulo la Rangi nyeupe kuanzia kifuani mpaka magotini , lakini pia kichwani akiwa amejifunga na kumfanya kuonekana kama Malaika na kuvutia na kama mwanaume rijali angemuona ingekuwa ngumu kwake kutoacha kumtamani.

Edna licha ya kujiambia Roma atakuwa sawa , lakini mawazo bado hayakuwa yameisha kama alivyokuwa amefikiria , alijizungusha zungusha kitandani na kisha alijikuta akikaa baada ya kukosa usingizi , huku mwenyewe akijishangaa kwaninia anamuwaza sana Roma.

“Aaa.. Ngoja nilale naamini mpaka kesho atakuwa ashatoka kama Goodman kashamtuma mwanasheria”Alijiongelesha huku akipeleka mkono kwenye Kamba ya kuzimia taa ya kitandani(Bed Lamp) , lakini kabla hajatimiza azima yake , simu ya chumba ilitoa mlio ikionyesha kuwa ilikuwa inaita na kumfanya anyanyuke na kuichukua.

“Edna ni mimi Goodman”Ilisikika sauti upande wa pili

“ Vipi Roma asharuhusiwa kutoka”

“Edna punguza wasiwasi nimemtuma mwanashria namba moja ndani ya Paris , japo sijapata taatifa ya kile kinachoendelea lakini naamini mpaka kesho atakuwa ashatoka”

“Okey! Goodman, una jambo lingine unataka kuongea?”

“Edna naamini umechoka sana kwa sasa , lakini pia upo kwenye mawazo , nataka nikupeleke sehemu wanayofanyia masaji kwa mtindo wa Kithailland ndani ya hoteli hii , wanao ‘Masseurs’ bora wa kike,itakusaidia kurudisha mudi yako”Aliongea Goodman

“Hapana Goodman , asante kwa kunijali , ila muda umeenda sana , nataka kupumzika”Aliongea Edna

“Sawa, Kesho mapema nitakupeleka kukutana na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Luis Vuitton kwa ajili ya majadiliano ya kibiashara kwani washanipatia taarifa, na inakubidi kwenda hata kama muda huo Roma atakuwa hajarudi”

“Si mahali pa mkutano ni Tuileries Garden karibu na De la Concorde?”

“Ndio , unakumbukumbu nzuri”

“Okey basi kama ni hapo haina haja ya kunipeleka nitaenda mwenyewe , wewe uendelee na majukumu ya kikampuni”Aliongea Edna

“Edna lakini…”

“Hakuna cha lakini Goodman, unapaswa kuwepo kazini asubuhi , sitaki mambo mengine kukwama kisa nipo Paris , mengine nitafanya mwenyewe”Aliongea Edna kibabe na kukata simu , alionekana akitumia madaraka yake kama mmiliki wa kampuni

Sh***t, Edna you may look down on me now, but you’ll belong to me sooner or later…”Aliongea Goodman kwa hasira akimaanisha kwamba Edna japo anamdharau kwa muda huo ila atakuwa wake ni swala la muda tu.

Goodman ile anataka kuzima taa kujiandaa kulala mara mlango wake uligonwa na kumfanya atoe tusi kimoyo moyo , alikasirishwa na bughuza na kujiuliza ni mpuuzi gani anagonga muda huo.

Alinyanyuka na kisha akasogelea sehemu maalumu ya Kamera(PeepHole) , inayotumika kuangalia mtu anaegonga nje kabla ya kufungua na aliona ni muhudumu na kushika kitasa na kufungua

“What do you need? Don’t you know guests have to sleep at this hour?”

“Unataka nini , hautambui kwamba wageni tunapaswa kulala kwenye huu muda?”Aliuliza kwa kufoka huku akimwangalia Mhudumu aliekuwa mbele yake , aliekuwa amevalia mavazi ya Hoteli hii , aina ya suti ,Single Button , rangi nyeupe na pink, huku akiwa ameachia tabasamu.

Yule Mhudumu aliingiza mkono kwenye mfuko wa suti , na kisha akatoa kadi mfano wa ‘Business Card’ na kisha akampatia Goodman, baada ya kupewa kadi hio aliangalia na kusoma jina juu lilioandikwa ‘Sun Gold Totem’, Goodman hakuelewa mara moja hilo jina ni kama kuna mahali alilisikia ila hakukumbuka vizuri.

“Hii ni ya nini?”Aliuliza huku akiigeuza geuza , lakini yule muhudumu tabasamu lake lilipotea na pale pale alitoa bastora na kumnyooshea Goodman kwenye paji la uso.

“I have something to discuss with you. Let’s go inside, shall we?”

“Nina jambo la kuzungumza na wewe , unonaje tukiingia ndani?”Aliongea yule muhudumu huku akimpa ishara Goodman huku akiwa na sura ya mbuzi.

Upande mwingine ndani ya chumba cha Edna baada ya kukata simu , aliamua kulala na kuacha kumfikiria Roma.

“Roma utajua mwenyewe nalala mimi”Alijiongelesha huku akikaa kitandani kwa ajili ya kuzima taa , lakinni pale pale mlango uligongwa na kumfanya ashangae ni nani anaemgongea muda huo.





SEHEMU YA 183.

Edna alijua sheria za chumba kama chake cha ‘Presidential suite’ ni ngumu kusumbuliwa ndio maana alishangaa , kwani hakuwa akitegemea mtu wa aina yoyote muda huo na kama ni Roma alikuwa kituo cha polisi, lakini vile vile hakuwa na ndugu ndani ya jiji la Paris.

Baada ya kujishauri kwa dakika chache alivaa visendo manyoya na kisha akatembea mpaka kwenye mlango na kisha akachungulia kupitia tundu la Kamera lililoweka mahususi kwa ajili ya kumtambua mtu wa nje , lakini ile anaweka jicho lake alijikuta akigonganisha na jicho lingine upande wa nje na kujikuta akirudi nyuma.

Alikuwa ni Roma tena alikuwa akipiga mluzi nje ya mlango na Edna alimtambua kwa jicho lake tu.

“Bebi Edna , Fungua mlango bwana , ni mimi mumeo nimesharudi”Aliongea Roma huku akiendelea kupiga mluzi na haikueleweka alikuwa akiimba wimbo gani na Edna alimsikia vizuri , huku akipiga piga miguu yake chini kama mtoto , dakika chache mbele alikuwa akitaka kumpotezea Roma na kulala zake lakini sasa hivi , mwanaume huyo alikuwa nje ya mlango wake.

“Wife unaoanaje hako kawimbo nilikokuwa nikikapigia mluzi , hehe..wife Inaonekana niko vizuri kwenye kuchagua nyimbo , najiona kuwa vyema kwenye kuongoza kampuni ya buruda….”Roma kabla hajamaliza kuongea baada ya kufunguliwa na Edna , alijikuta akirukiwa kama chui na Edna na kukumbatiwa.

Roma alijikuta akishangazwa na kitendo hiko kwani ni kama vile hakuwa amekitegemea , alichoweza kuhisi ni ulaini wa Ngozi ya Edna uliomgusha na ukizingatia muda huu Edna hakuwa na nguo Zaidi ya Taulo.

Alijiuliza imekuwaje leo mke wake kuwa mlaini kwake ukijumlisha na ukauzu wake , lakini dakika ni nyingi alihisi machozi yakimloianisha kwenye bega lake na hapo ndipo alipogundua Edna alikuwa akilia kama mtoto na kumfanya Roma aone mke wake ukauzu ulikuwa ni wa kujifanyisha tu ila kuna muda anakuwa kama wanawake wengine tu.

“Mke wangu haina haja ya kulia sasa … nisharud”Aliongea Roma huku akimwangalia mke wake na moyo wake kuridhika mno na muonekano wa kitoto wa Edna.

Upande wa Edna ukweli hakuyalewa matendo yake kabisa , kwani baada ya kufungua na kumuona Roma , mwili wake ulikuwa ukimwambia mkumbatie tu na mengine yote weka pembeni.

Mwanamke akiwa katika mazingira ambayo anajihisi hukosa usalama , anakuwa mdhaifu mno na hii ilionekana kwa Edna , baada ya kupitia kashikashi zilizotokea baada ya kutekwa, lakini pia kushudia mabomu na marisasi ilikuwa ni Zaidi ya uzoefu kwake.

Na kwa mara ya kwanza alipata kujua ni hisia gani unapata ya kuwa na mwanaume wa kumtegemea katika usalama wake,alijikuta akijifuta machozi huku akimwangalia Roma na kuona aibu za kike na Roma alitabasamu na kisha akambeba kama mtoto na kumfanya Edna mapigo yadunde kwa kasi, alijua ule muda wa kufanyiwa ushatimia ndio maana hata wasiwasi ulikuwa kwenye macho yake.

“Unanipeleka wapi?”

“Nakupeleka ulale mke wangu , unaonekana kuchoka sana siku ya leo kwa yale uliopitia”Aliongea Roma na kumfanya Edna apate ahueni

Roma alimwangalia Edna huku aitabasamu na kufurahishwa na harufu nzur ya Shampoo Pamoja na marashi , alitamani siku zote mambo yawe kama hivyo.

Edna baada ya kuwekwa kitandani ndio alianza kukumbuka kuwa alikuwa amevaa taulo tu na mapaja yote yapo wazi , aliona aibu na kisha kuvuta blanketi na kujifunika huku Roma akimwangalia matendo yake pasipo kukwepesha macho , ilikuwa ni picha nzuri kwake ambayo alitaka idumu muda mrefu.

“Mbona unaniangalia hivyo?”

“Unaonekana kuwa na wasiwasi mno mke wangu, ijapokuwa natamani sana kulala na wewe lakini sina mpango wa kukulazimisha , huwa naheshimu sana maamuzi yako , haina haja ya kuniona kama mbakaji na kunikwepa muda wote Sawa?”Aliongea Roma kwa sauti ya kawaida akimuelewesha Edna.

Na kwa upande wa Edna maneno yalionekana kumuingia na alishindwa hata kujua ajibu nini, alikuwa akikumbuka historia yao namna walivyokutana , mpaka kupoteza usichana wake alioutunza kwa miaka mingi mbele ya mwanaume aliekuwa mbele yake.

“Hauna haja ya kujibu mimi nakuelewesha tu , ili usiwe na wasiwasi hata kama tupo kwenye chumba kimoja kama hivi , japokuwa naweza kutokuwa vizuri kichwani , lakini siwezi kujiita mpumbavu hata nishindwe kukuelewa”Aliongea Roma na Edna alitingisha kichwa pasipo kumwangalia Roma machoni.

“Vipi mwanasheria aliemtuma Goodman ndio aliekutoa?”Aliuliza Edna na kumfanya Roma kushangaa

“Mh! Hapana , hakuna mwanasheria ambaye amekuja kunitoa , kuna rafiki yangu alinisaidia ndio maana nikatoka”Aliongea Roma na kumfanya Edna atingishe kichwa , huku akikumbuka kuwa Roma alikuwa na mabilioni ya pesa kwenye akaunti yake ya benki na aliamini mtu kama yeye asingekosa koneksheni kwenye taifa kama hili na alikuwa akijisumbua tu kumuwazia na ukute hata Roma mwenyewe hakuwa na wasiwasi hata kidogo.

“Mke wangu jambo kama hili lilikuwa dogo hakuwapaswa kuwa mjinga na kuwa ni mwenye wasiwasi , kwani hii ni mara yangu ya kwanza kupelekwa polisi , hukumbuki Tanzania nimepelekwa polisi mara kibao?”

“Wewe ndio mjinga”Aliongea Edna , kwenye Maisha yake hajawahi kuitwa mjinga na mtu wa nje isipokuwa kwa wazazi wake tu wakimfokea.

“Okey mke wangu , pumzika sasa , kesho unapaswa kuwahi kwenye biashara zako”

“Sawa nitapumzika sasa , nenda kamtafute Goodman atakupatia kadi ya kufungulia mlango wa chumba chako”Aliongea Edna.

“Kwahio mke wangu unanifukuza , nikajua ndio tunalala wote” Edna alimwangalia Roma kivivu na kisha akajifunika blanket.

“Nenda bwana Roma ukalale , kumbuka kesho tunapaswa Kwenda wote ,Hatujaja kucheza Paris”

“Naona usharudi kwenye hali yako ya kawaida sasa, Okey nitaenda kupumzika””Aliongea Roma na kisha akaanza kupiga hatua kuondoka..

Roma ile anamaliza kutoka kabisa nje na kufunga mlango, aliweza kuona mtu anatoka kwenye Lift ,alikuwa ni Goodman alievalia nguo za kulalia na alionekana kuja kwenye chumba cha Edna, akiwa mwenye haraka

“Mr Roma ! God bless! You’re finally back. I had been so worried just now!”

“Mdogo wangu , ndio kwanza nilitaka kuja kwenye chumba chako kwa ajili ya kuchukua funguo, nadhani umeniwahi”Goodman alijikuta akijipiga kichwani kama mtu aliechanganyikiwa.

“Mr Roma unisamehe , nilitaka nikuletee lakini ajabu nimezisahau ndani ya chumba changu tena , mjinga mimi, nimepiga simu kituo cha polisi na ndio wameniambia kuwa wamekuachia , mwanasheria ambaye nilimwagiza ilionekana kachelewa kufika kwa wakati”

“Goodman huna haja ya kuwa na wasiwasi nashukuru kwa juhudi zako”

“Hupaswi kunishukuru , wewe ndio mwokozi wangu , kama sio wewe ningekuwa mfu”Aliongea huku wakiwa wanatoka kwenye Lift kuelekea upande wa chumba cha Goodman.

“Hata mimi pia nimefurahi kuona upo salama”

“Unasemaa…!!” Goodman alishangaa , hakuwa akielewa ni nini alichokuwa akimaanisha Roma na alionekana kujishuku lakini upande wa Roma

Roma baada ya kuchukua kadi , moja kwa moja alielekea upande wa chumba chake huku akiona kweli Goodman alikuwa amefanya kazi kubwa , kwani chumba kilikuwa mbali sana na cha Edna na ile anafika , kabla ya kuweka kadi , alijikuta akishangaa, kwani mlango ulionekana kuwa wazi na hisia zake zilimwambia ndani kuna mtu.



SEHEMU YA 183

Alikuwa ni mwanamke mrembo wa Kizungu alievalia gauni la kulalia lililotengenezwa na malighafi za Chiffon, alikuwa mrembo haswa mwenye shingo kama za wawanawake kutoka Venezuela , licha ya kutokuwa na umbo kubwa , lakini alikuwa akivutia mbele ya macho ya mtazamaji,Kama ungeweza kumfananisha na msaniii yoyote mrembo ndani ya duynia ya sasa basi angefanana kwa asilimia kubwa na muimbaji Selena Gomez.

“Roma mpenzi , naonekana mrembo?”Aliongea Catherine.

Ndio ni Catherine , mwanamke mrembo ambaye tulimuona katika moja ya kumbbukumbu ya Roma , mwanamke ambaye Roma aliwahi kumuokoa na Pastor Mbakaji ndani ya jiji la Milan Italy ,Catherine ambaye kwa sasa anapewa heshima duniani kama malkia wa Wales ambaye ndie mwenye mtoto mwenye taaluma kubwa duniani , Clark Stephanie moja ya daktari na Profesa maarufu ambaye mchangvo wake kwenye eneo la Sayansi ni mkubwa sana.

“Nilijua tu ni wewe m ambaye unatabia ya kuingia kwenye chumba change bila ya taarifa”Aliongea Roma huku akifunga mlango na kuuegamia huku akimwangalia Catherine ambaye alikuwa akijirembulisha mbele yake ili mradi tu kuamsha hisia zako.

“Nimekumisi sana Roma , ni Zaidi ya miaka miwili sasa hatujawahi kufanya , najua licha ya uwepo wako ndani ya Europe usingefika Wales kwa ajili ya kuniona”Aliongea Catherine kwa lufha ya kigereza huku akimsogelea Roma na kumshika Kidevu, kwa mambo aliokuwa akiyafanya haikuonyesha kabisa kama alikuwa ni Malkia ambaye alikuwa akiheshimika.

“Catherine kwasasa na unapaswa kutambua kuwa nimebadilika na sipo kama ulivyokuwa ukinifahamu”

“Is it because of your marriage? I totally understand. I know that your wife is in this hotel now, I even heard from Clark that you have many other women, don’t you?”

“Ni kwasababu ya Ndoa yako , Naelewa hilo kaisa , najua pia mkeo yupo ndani ya hii hoteli , lakini pia nimesikia kutoka kwa Clark kama unawanawake wengine”Aliongea Catherine huku akitabasamu.

“Sidhani kama alipaswa kukuambia juu ya hilo Catherine , kubadilika kwangu sio tu kwasababu ya ndoa , ila mtazamo wangu juu ya wanawake umebadilika sana , miaka iliopita nyie wanawake kwangu mlikuwa kama chombo cha Starehe , lakini sio kwa sasa”Aliongea Roma na kumfanya Catherine arudi nyuma na kumwangalia kwa wasiwasi.

“Catherine yaliotokea baina yetu yashatokea na hupaswi kunitumikia tena kingono , nimeishi na nyie kwa furaha sana na kwasasa nawachukulia kama watu wangu wa karibu , hivyo sitaki jambo hili liwe kama sehemu ya malipo kwa kile nilichokufanyia kwenye Maisha yako”Aliongea Roma.

“Inaonekana kweli umebadilika sana Mpenzi, lakini hata nani kasema watu wa karibu hawawezi kulala kwa Pamoja?”Aliongea Catherine huku akiwa amemsogelea karibu kabisa Roma na kupeleka mkono sehemu ya chini kwenye surruali ya Roma huku akishusha mkono na kuupandisha.

“Roma unatakiwa uelewe kuwa baada ya baba yake Clark kufariki , wewe ndio mwanaume pekee ulieingia kwenye Maisha yangu , na hakuna mwingine wa kuitoa nafasi yako kwenye moyo wangu ,naomba tafadhari unipokee kwa mikono miwili usiku huu, Nafanya hivi sio kama nakutumikia , lakini kwasababu nakupenda”Aliongea kwa sauti ndogo huku akijiliza kwenye kifua cha Roma, lakini wakati huo huo na Roma alijikuta akishindwa kujizuia na alichokifanya nikupeleka mkono chini ya kiuno na kisha kuminya mwinoko wa Catherine.

“Mmh!”

“Umenifuata mwenyewe, sina budi ya kufanya kile unachotaka”Aliongea Roma na pale Catherine alipitisha mikono yake kwenye shingo ya Roma huku akijinigiza kwa kuikunja miguu yake kwenyekiuno cha Roma na wakaanza kupena juisi ya mdomoni.

“Roma unakumbuka mara ya kwanza wakati tunakutana?”

“Kwanini unauliza hivyo?”

“Kwasababu usiku huu nataka unichukulie kama siku ile”Aliongea Catherine na kumfanya roma akumbuke miaka kadhaa nyuma.

******

“Wewe ni Princess Catherine ambaye umetangazwa kufariki?”Aliuliza mwanuame Kijana huku akiangalia kidani kilichokuwa kwenye mkono wake , huku mwanamke aliemkumbatia mtoto wake alippoteza fahamu kumwangalia kwa woga.

“Ndio ni mimi ,tafadhari naomba usiniue nitakupatia chochote”Aliongea Catherine na kumfanya Mwanaume kijana kutabasamu kifedhuli.

“Mungu ananipenda sana , nimekua hapa Italy kwa ajili ya kula bata na warembo ,nikapata dili la kumuua Mchungaji Mirano , lakini nakutana na pesa zingine nikitimiza majukumu yangu”Aliwaza mwanaume Kijana na kisha akamgeukia mwanamke na kuanza kumkagua kuanzia kwenye mguu mpaka kwenye nywele.

“Dunia ina wanawake warembo hii , ndio maana siku zote mapadiri hawawezi kujizuia”Aliongea Mwanaume kijana huku akimkagua Catherine Pamoja na mtoto wake Clark na kisha akaangalia upanga wake uliokuwa mikononi , upanga ambao ulikuwa umejaa damu baada a kumfyeka Pastor Mirano na kuanza kunusa harufu ya damu zilizokuwa kwenye panga lake , alionekana kufurahia kweli halufu ya damu na kumfanya Caterine kuzidi kuogopa , kwenye maishayake hakuwahi kukutana na mtu mwenye roho ya kikatili kama huyo ambaye licha ya kuua , kwake jambo hilo lilionekana kuwa la kawaida.

“Okey Princess Catherine , kwanza kabla sijakuua nataka uelewe kuwa mimi ni nani”

“Who Are you?”

“I’m codenamed Thirteen from Zero, an assassin sent to kill this Pastor.”

“Nafahamika kwa jila la Kodi , Thirteem kutoka Zero , mimi ni ninja niliagizwa kuja kumuua huyu mchungaji”Aliongea Thirteen.

“Thirteen , Zero”Akili ya Catherine ilianza kutafuta mafaili ya jina la Zero.

“Ndio mimi ni muuaji , na jambo la kufurahisha pia ni kazi yangu kuwa na baraka maana pia nimepata kukupata Princess Catherine”Aliongea huku akiweka tabasamu la Kifedhuli.

“Unamaanisha nini kunipata?”

“Nina oda yako pia ya kukuua pamoja na mwanao , lakini sikudhania kama nitawapata ndani ya hili eneo”Aliongea Thirteen na kumfanya Catherine kuzidi kuogopa na kupiga magoti pasipo ya kujali kama yupo uchi, alikuwa akiogopa , lakini hakuamini kijana mdogo aliekuwa mbele yake kuwa muuaji tena wa kundi la Zero, lakini kwa namna Mchungaji alivyofyekwa aliona hapa hakuna namna ziaid ya kuomba kuhurumiwa.

“Thirteen , naomba usutuue tafadhari”

“Hata nisipowaua mtakufa tu maana serikali ya uingereza chini ya Mfalme inawatafuta , nitawapatia kifo chepesi ili kuwaepusha na magumu yanayokuja , lakini na mimi pia niweze kupeleka kichwa chako ili niweze kupatiwa malipo , japo ni dollar milioni kumi , ila zinanitosha kabisa kutanulia Maisha”Aliongea Thirteen.

“Hapana Mr Thirteen , mtoto wangu bado ni mdogo na anayo nafasi ya kukua naomba usituue tafadhari”

“Sio kirahisi hivyo , kazi yangu ni kuua na kujipatia pesa , kwanini niwaache hai na nikakosa pesa , ili hali watu wengine watawaua na kujipatia pesa , ni mpumbavu pekee anaeweza kuacha furs ana Kwenda kwa wengine,labda kama unayo namna ya kunishawishi.”

“Since you can kill me for 10 million Dollar, if I offer you a higher price, will that mean that it is possible for me to hire you?”

“Kama unaweza kuniua mimi kwa ajili ya Dollar milioni kumi , unaonaje kama nikikupa kiasi Zaidi ya hiko kama pia nitaweza kukuajili?”Thirteen alijikuta akitabasamu.

“Wewe ni mtu ambaye unatafutwa ndani ya Underworld ,hivyo hata mimi serikali ya kifalme haijanipa kazi ya kukuua , hivyo kama unabei nzuri tunaweza kufikia maelewano na nikafanya kazi yako”Aliongea Thirtenn na alionekana yupo tayari kufanya jambo lolote kwa ajili ya kupata pesa.

“Then I want to hire you. I want to return to England and kill the people who want to get me and my daughter killed. I want to become the queen of England!”

“Basi nitakuajili , nataka kurudi Uingereza na kuua watu ambao wanataka mimi na mtoto wangu kufa , nataka kuwa malkia wa uingereza”Aliongea Catherine huku akianza kujiamini na kusimama , hakujali Damu ambazo zilikuwa zimeichafua Ngozi yake kwa muda huo , alitaka kufikia maelewano na mtu aliekuwa mbele yake , ili kutimiza adhima yake ya kuua maadui ambao wanamtaka yeye na mwanae kufa.

“Although I don’t know why you trust me so much that you think I can achieve what you described, I’m really curious as to whether you actually have sufficient capital to employ me.”

“Ijapokuwa sijui kwanini umeniamini Ghafla , lakini sidhanii kama unaweza kutumiza unachotaka , na pia nina shautku ya kuona kama kweli unaweza kuwa na mtaji wa kutosha wa kuniajili”

“Kama kweli unaweza kufanya jambo ambalo nimependekeza , siamini mwanaume kama wewe unafanya kila kitu kwa ajili ya pesa”Aliongea Catherine huku akianza kujirembulisha mbele ya Thirteen,

“I have the royal bloodline. I’m the true inheritor of the royal family. I have the most beautiful appearance in the entire England. As of right now, there is no one else that can compare to me. If I die now, I’ll just be a beautiful corpse, but if I’m alive…”

“Nina damu ya kifalme , mimi ndio mrithi halali ndani ya familia ya kifamle , lakini pia ninamuonekano wa kirembo ndani ya Uingereza yote , na hata sasa hakuna mtu yoyote anaeweza kunifikia , kama nitakufa sasa hivi , nitakuwa maiti ya mwanamke mrembo , lakini kama nitaishi….”Aliacha kuongea na kisha akainama kwa kumgeuzia mgomo Thirteen na kujitingisha , kama wale wanawake wanaofanya kazi ndani ya makasino na kazi hio Catherine alionekana kuifanya vizuri sana na kwa Thirteen aliangalia kila kitu kilihokuwa kwenye mwili wa mwanamke huyo na misuli ya koromeo lake ilianza kupishana , ikimaanisha kuwa anameza mate.

“Kama utaniacha kuwa hai na ukanilinda , huu mwili wangu na utajili wangu wote utakuwa wa kwako , haitokuwa Milioni kumi tena bali zaidii..”Aliongea huku akimsogelea Thirteen kimahaba kabisa na kumfanya mwamba aweze kupata harufu ya mwili iliokuwa ikitoka kwa mwanamke huyu na kuzidi kupagawa na Thirteen , alishika kidevu cha Catherine na kisha akakiinua juu na kuanza kumnusa Shingoni na kufumba macho kwa sekunde , alionekana kuridhika.

“I have to admit you’re one of the most attractive women I’ve seen, but it doesn't mean that it would actually be enough to convince me to make a trip to England and slaughter the large number of royals”

“Nakubari wewe ni moja Zaidi ya wanawake ambao nimewahi kuona , lakini haimaanishi kwamba inatosha kunishawishi mimi kutoka hapa mpaka uingereza Kwenda kufyeka familia ya Kifalme”Aliongea Thirteen na kumsukuma Catherine na kujitoa kwake huku sura yake ikibadilka na kurudi katika hali ya mauaji.

Licha ya Catherine kumuona Thirteen kulainika sekunde chache , lakini poa kubadiika na kurudi kwenye hali yake ya kuwa muuaji ,hakutaka kukata tamaa , aliona hio ndio nafasi yake ya mwisho ya kumshawishi mwanaume aliekuwa mbele yake ,yeye ni mwanamke mrembo na alijiambia hawezi kushindwa katika hilo , palepale alimfuata Thirteen kwa mara nyingine na kuanza kumbusu mdomoni , huku akisungua upande wa zipu ya sururali kwa mkono wake na kumfanya thirteen afumbe macho kwa hisia alizopata kutoka kwa mguso wa Catherine.

“Nipe sababu nyingine ya mwisho nisisje nikakuaa”Aliongea Thirteen.

“Mimi ni mama na mama siku zote yuppo tayari kufanya jambo lolote kwa ajili ya mtoto wake”Aliongea Catherine.









SEHEMU YA 184

Naam ni siku nyingine ya asubuhi ndani ya jiji la Paris , ndani ya chumba alicholala Roma, kilikuwa katika hali ambayo sio ya kawaida,Taa ya kitanda ilikuwa imedondoka chini , kitanda kilikuwa kimesogezwa kutoka sehemu kilipokuwepo na sasa kilikuwa katikaki , Meza ilikuwa juu ya Sofa , Shuka lilikuwa limetandikwa lilikuwa lipo chini ya sakatfu , huku Shati la Roma likiwa chini ya mlango wa kuelekea bafuni , nguo ya ndani ya Catherine ilikuwa mlango wa kutokea , kwa jinsi hali ilivyo ilionekana Roma na Catherine walichokifanya hakikuwa cha kawaida kabisa , Roma na Catherine na wao walikuwa wameshikiliana kiasi kwamba mwanga wa jua uliokuwa ukipita kudhihirisha Ngozi nyeusu na nyeupe zilizoungana, huku mwili wa Catherine kukionyesha alama kibao zilizokuwa zikionekana mwili mzima hususani makalioni na ilionekana alichapwa vibao vingi sana usiku kwenye shughuli.

“Mmh!..”Catherine ndio aliekuwa wa kwanza kuamka na kutaka kujitoa kwenye mwiliwa Roma kivivu , kwani muda huo alikuwa amempa Roma mgongo , lakini ni kama alikosea.

“Ouch…!!”Alijikuta akishitoka kwani ile anajirudisha nyuma alihisi kitu kikiwa ndani yake.

“Nilijua tu utajisogea baada ya kushituka , ndio maana nikaingiza kabisa siraha yangu”Aliongea roma huku akiweka tabasamu la kifedhuli.

“Jambo ililofanya ni la kishetani kabisa , utanifanyiaje hivyo baada ya kuzimia?”

“Umekuwa mdhaifu mno , unazimiaje baada ya raundi ya tisa baada ya kupumzika kwa ziaid ya miaka miwili?”

Catherine alijihisi kitu kilichokuwa kipo ndani yake kikizidi kuvimba .

“Roma nataka kuamka bwana ,hebu mtulize huyo mdogo wako nitachelewa Kwenda kwenye maonyesho ya fasheni”

“Catherine hebu tulia kwanza , utaondoka hapa uskishamtuliza huyu mwamba”

“Una dhambi sana wewe mwanaume , ndio maana hata mtoto wangu Clark anataka kuwa mwanamke wako”

“Catherine nataka umfanye Clark kutokuwa na hayo mawazo , Dili tulilofanya miaka iliopita , lilikuwa ni mimi na wewe pekee na sitaji Clark kuhusika kwenye hili na sitotaka kuwa nae Pamoja na wewe kwa wakati mmoja na Dili letu pia hata hivyo ililikuwa siri”

“Hehe.Usinichekeshe , unaifkiri hajui dili letu?”

“Unamaanisha anajua?”

“Clark ana akili nyingi kunizidi hivyo nisingeweza kumficha,Roma kwetu wewe sio mtu ambaye umetusaidia tu kupata haki yetu , lakini ulikuwa msaada wetu mkubwa na sehemu ya Maisha yetu wakati dunia ilivyotutelekeza,Niliolewa kwenye familia ya Rothchild ili kupata nguvu , lakini baada ya familia ya kifalme ya uingereza kutaka kutuua hata wakwe walitukimbia na kama sio wewe kuingia kwenye Stupid Deal With me , tusingeitwa watu mpaka sasa”

“Mbona unaongea na kunifanya nijone mchungaji sasa?”Aliongea Roma na kumfanya Catherine kucheka , lakini wakati huo huo mlango wa chumba chao ulingongwa na kumfanya Roma akumbuke muda huo ilikuwa ni asubuhi na ndnai ya hoteli Edna alikuwepo.

“Catherine vaa nguo zako , harak nikaangalie ndani anagonga”Aliongea Roma kwa wasiwasi.

“Unaogopa mkeo kujua ulilala na mimi , unanifanya nione wivu sasa , nilidhania ndo yenu ni ya maigizo tu”Aliongea cathernine huku akicheka , na Roma aliona Cathenine anamkejeli tu , kwani miaka kadhaa nyuma hakuwa akiogopa kufumaniwa kabisa na mwanamke.

“ora hatra umelitambua hivyo , unapaswa kufanya kama ninavyokuambia , akikuona uchi sidhani kama atanilipia hata nauli ya kurudi Tanzania”

Roma kabla hajaelekea kufungua mlango , aliona kwanza aangalie kwa kutumia uwezo wake ni mtu gani anaegonga.

“Ni Edward , inaonekana yupo hapa kwa ajili ya kukuchukua”Aliongea Roma

“Nilikuwa nishajua ni yeye , jana baada ya kunileta mpaka hapa , nilimwambia anifate asubuhi asubuhi”

“Sawa , unapaswa kuondoka sasa mke wangu muda wowote anaweza kuja”

“Sawa Roma , lakini kama utanihitaji tena usiku nitakuja”Aliongea baada ya kumaliza kuvaa gauni lake na kisha akatoka, hakujali hata kuonga

“Edward inabidi utafute mwanamke , huenda ungechelewa kufika”Aliongea Catherine mara baada ya kufungua mlango, walianza kutaniana n ahata Roma alievalia bukta alitokeza kusalimiana na Edward lakini kabla hata hajaongea lolote alimuona Edna aliekuwa kwenye korido akija upande wake.

Edna aliekuwa akitembea kwa kujiamini , huku akionekana kuwa kwenye mudi nzuri kweli , alijikuta akiinua kichwa chake na kumuona Catherine aliekuwa akitoka kwenye chumba cha Roma na alijikuta akipigwa na mshangoa huku akisimama na kugonganisha macho na Edna na kumfanya Edward na Catherine waliokuwa wakitaniana kugeuka kuangalia upande Roma alipluwa akiangalia nah apo ndipo walipomshuhudia mwanamke mrembo aliesimama , huku sura yake ikianza kubadilika

Catherine baada ya kugundua kuwa amekamatwa na mwenye mali , alishusha kichwa chake chini na kumpa ishara binamu yake Edward kuwa waondoke na Ednward na yeye kwa hali hio hakutaka kubaki hatra sekunde , walianza kupiga hatua haraka haraka wakielekea upande Edna aliosimama na ile Catherine anafika usawa wa Edna , alipigwa Jicho hilo na kumfanya kuogopa kwani kwenye Maisha yake hakuwahi kuangalia Vibaa namna hio , lakini licha ya hivyo hakuweza kuhusudu urembo wa Edna na alinywe na kujiona wa kawaida sana.

“Mke wangu sikujua kama utaamka mapema sana .. fanya kunisusbiri nijianadae haraka haraka tuondoke” Roma ndio maneno pekee alioweza kuongea kwa wakati huo na kwani hata namna ya kujitetea alishindwa.

Lakini Edna hakumjali , alimpuuza na kisha akageuka na kurudi alikotoka , lakini Roma palepale alipotea kama jinni na kuibuka mbele ya Edna na kumzuia kuondoka.

Edna hakujali kutoka kwa Ghafla kwa Roma mbele yake , alikuwa ashazoea , aliinua macho yake makali na kumwangalia Roma na kisha akaachia tabasamu flani hivi la kikatili.

Ndio wanawake wanatabasamu flani hivi la dharau , wakikuonesha hilo tabasamu lazima mwanaume ujisikie vibaya.

“Nipishe , sidhani kama una cha kujitetea”

Rroma kusema ukweli hapo hakuwa na namna yoyote ya ujitetea na kumdanganya Edna , licha ya kwamba Edna hakuwa mzoefu lakini kwa namna Catherine alivyokuwa mbele ya mlango wake , ni mpumbavu pekee ambaye angeshindwa kujua kilichotokea, Roma alimsogelea Edna na kutaka kumtuliza

“Ishia hapo hapo , usije ukanigusa”Aliongea Edna huku akirudi nyuma akimkwepa Roma.

Roma alijiambia na uhuni wake wote , ila kwa Edna hakuwa akifurukuka , Roma alikuwa akimhofia mno na ndio maana baada ya kupewa amri ya kutomshika , alijihisi kutetemeka.

“Edna… I am Sorry , ijapokuwa ni maneno ya kipumbavu kuyatamka kwenye hali kama hii , lakini nataka ujue sina cha kukuambia Zaidi ya I am sorry”

“Huna kingine cha kusema sio .. haha.. What a Perfect Answer”Edna alionekana kuwa na hasira mno , lakini alikuwa akijizuia kuzitoa na kwa mara ya kwanza Roma alimuona Edna akicheka huku akiwa na hasira na kuogopa.

Usije ukaomba mwanamke akicheka huku akiwa na hasira , cheko lake ni kama la Shumileta.

“Unakumbiuka maneno yako jana ,ulivyoanza kujinasibu , sijui nisikuone kama Mbakaji na nikashindw akukupa jibu , sasa hili ndio jibu langu ,Wewe dnivyo ulivyo , wewe ni mbakaji kwenye maisha yangu na hakuna kingine”Aliongea Edna kwa hasira

“Ding!!”

Mlango wa Lift ulitoa mlio ukimaansiha kufunguka na muda huo huo mhudumu alitoka kwenye Lift na Edna alimpita roma na kisha akaingia kwenye Lift na mango ukajifunga , akumuacha Roma aliekuwa amesimama na kitambi chake akiwa amebungaa.

Alisimama eneo hilo hilo huku mhudumu akimshangaa na alijikuta akitabasamu huku akijoonea huruma na kujiambia, hili swala la kuwa na wanawake wengi ni baya sana.

Edna baada ya kuingia kwenye Lift machozi nayo hayakumuacha Salama , kwani yalianza kumtoka mfululizo na mpaka ile lift inafunguka yalikuwa yamemjaa na kabla ya kutoka alichukua kitambaa chake na kuangalia pembeni na kisha akayafuta.

“Edna hupaswi kumtolea machozi mwanaume kama Roma”Alijiambia na kisha akajiweka saw ana kurudi kwenye hali ya kawaida na kutoka nje kabisa, huku akiwa na mpango wa kuelekea kuonana na wawekezaji wa kampuni ya Luis Vuiton, na Goodman alikuwa ashatuma tayari Dereva wa kumpekea huko.

“Miss Edna..”Edna alijiktua akisimama mara baada ya kusikia sauti inayomuita

















SEHEMU YA 185

Edna baada ya kuangalia waliokuwa wakimuita , aligundua walikuwa ni Alice na Stern na ilibidi wasogelee.

“naona mmeamka mapema sana Alice na Stern,Vipi kuna jambo lolote naweza kuwasaidia?”Aliongea Edna

“Em ,, Miss Edna ni hivi mimi na mpenzi wangu tulishuka chini mgahawani kwa ajili ya kununua kahawa , lakini tulishindwa kwani kadi zetu za benki hatupo nazo baada ya tukio la jana, hivyo tunaomba utusaidia kiasi cha pes akama utakuwa nacho”Aliongea Stern huku wakishikana na Alice na kuonekana kama Watoto waliotelekezwa na Edna alijikuta akitamani kucheka.

“Kwanini hamjawasiliana na familia yenu mpaka sasa , inabidi mfanye hivyo , kwa sasa nitawasaidia”Aliongea Edna na kuwafanya wapenzi hao kufurahi.

“Miss Edna wewe ni Best , kama Mama wa Mwana wa Mungu Bikra Maria”Aliongea Stern na Alice alimsogelea Edna na kumbusu shavuni tikio ambalo Edna hakutegemea na pia hakuwahi kubusia hivyo na mwanamke mwenzake.

“Babe Alice, I want a kiss as well.”Aliongea Stern hukuakijifanyisha kuona wivu na kumfanya Edna awaangalie na kujikuta hata shavu lake likimuwasha( baada ya kugundua watu waliokuwa mbele yake ni kaka na dada, kama ni mzungu angesema Edna kapata ‘psychological affect’.

Basi Edna hakuwa na jinsi , ilimbdi aghairishe kwa uda safari yake , ili akawalipie Stern na Alice hitaio lao , aliona sio mbaya kuw upande mzuri na Cromwell Family, aliamini ingemsaidia sana katika ukwekezaji ndani ya soko la uingereza.

“Miss Edna na wewe unaedna kwenye maonyesho ya Fashenni?”Alionza Stern baada ya Edna kumaliza kufanya malipo na kadi yake ya benki.

“Hapana naenda kwenye mazungumzo ya kibiashara”

“With Luis Vuitton?”

“Ndio mefahamu vipi kama naenda kufanya mazungumzo na Luis Vuitton?”Aliuliza Edna huku akiwaangalia.

“Sisi pia ni wafanya biashara na Luis Vuitton ni mshindani wetu , lazima tuwe na taarifa, Edna najua mazungumzo yanafanyikia Tuileres Garden nah apo hapo ndio maonyesho ya Fasheni hufanyikia , unaonaje ukitupatia lift”

“Nyie watu , yaani mtanata niwasubirie mpaka mtakapo maliza kunywa kahawa yenu”

“Hapana sio hivyo , ukweli ni kwamba pia tulikuwa tukitafuta mtu anaelekea upande huo ili atupe lift na kwasababu tumekupata , tutachukua kahawa yetu na kunywea kwenye gari” aliongea Stern na kumfanya Edna aone hana haja ya kukataa , aliwapa ishara wafanye haraka na ndani ya dakika chacche tu walikuwa washamaliza na Pamoja walielekea pande wa maegesho ya magari sehemu ambayo dereva wa Edna alikuwa anamsubiria , na ile wanafika tu Edna aliweza kuona gari ambayo Goodman amaieandaa na yeye Pamoja na Alize na Stern waliingia kwenye gari.

“Get us to Tuileries Garden.”Aliongea Edna akimwamrisha Dereva kuwapeleka sehemu aliotaja pasipo hata ya kumwangalia Dereva.

“Yes Madam”Ilisikika sauti ambayo Edna alikuwa akiitambua na ile anaangalia Dereva aligundua sio mwingiene bali ni Roma

Roma haikueleweka kata wapi suti nyingine , lakini alikuwa amependeza sana na kumfanya hata Edna ashindwe kumtambua mara moja alivyoingia kwenye gari.

“Simamisha gari na naomba utoke”Aliongea Edna kwa hasira.

“Mpenzi usifanye hivyo , tuna wageni humu kwenye gari”Aliongea Roma huku akiseti GPS ya gari kuelekea Tulireries Garden.

Edna alijikuta akikumbuka kuwa ndani ya gari kuna watu wengine , aliwageukia Stern na alice na kugundua kuwa walikuwa wakimwangalia kwa macho ya kiulizo na aliona aibu kidogo na kushusha hasira zake na akamwangalia roma kwa macho makali na kumpuuza.

Tuileries Garden ni moja ya sehemu za mapumziko za kiburudani ndani ya Paris , ni sehemu iliokuwa ikipatikana kati ya Place de la Concorde na Louvre Museum, ni sehemu ambayo ilikuwa ina vinyago vingi vya kuchongwa vilivyopendezesha sehemu hio , ni sehemu ya bei ghali sana na watu wakubwa wakubwa ndio walikuwa wakipendelea sana kufanya shughuli mbalimbali ndani ya eneo hili na ndio maana hata kilele cha maonyesho ya Fasheni Wiki yalikuwa yakifanyikia ndani ya hilo eneo, Eneo ambalo Edna pia alikuwa akitakiwa kuonana na wamiliki wa kampuni ya Luis Vuitton , kampuni kubwa ya mavazi na mitindo duniani , iliokuw ana mako yake makuu ndani ya jiji la Paris.

Roma baada ya kufika alishuhudia pilika pilika nyingi sana ndani ya hili eneo , lakini pia ukizingatia hili ni eneo ambalo kutokana na kuwa kado kando ya Mto wa Seine , hupendelewa sana na watalii ambalo walipenda kupumzika kwenye bustani zenye maua mazuti , huku wakifurahia kahawa kutoka inayofahamika kwa jina maarufu la Jamaican Blue Mountain Coffee.

Roma alipaki gari sehemu maalumu ya VIP na kisha wakashuka wote kwa Pamoja mpaka sehemu ya kuingilia na wakasimamishwa na walizni walikuwa wakilinda ndani ya eneo hili , Edna ndio aliekuwa wa kwanza kutoa kadi maalumu alipatiwa na Goodman na pia vile vile kwa Alice na Stern walikuwa na kadi maamulu za kuruhushiwa uingia ndani ya hilo eneo , baada ya walinzi kuona ni wahusika , waliwapa ishara ya kuwakagua ili kuangalia kama hawakua na siraha yoyote.

“Edna waruhusu kukukagua , wapo makini kutokana na tukio la utekaji”Aliongea Roma , lakini Edna alimpuuza , bado alikuwa na hasira kwenye moyo wake.

“Roma unaonekana kuna jambo umemfanyia Edna , niambie ni kusaidie , nipo vizuri kutatua migogoro inayohusiana na wanawake”Aliongea Alice wakati Edna na Alcie wakisachiwa na kuruhusiwa baada ya kuonekana wako sawa.

“Unaweza ukawa na uzoefu lakini mke wangu sio dada yangu , hivyo mbinu zako hazinifai”Aliongea Roma na kusogea nay eye kusachiwa.

“Sasa kuna utfauti gani , wote ni wanawake?”

“Kuna utofauti , teana mkubwa sana”

“Basi nitafanya utafiti”.Aliongea Stern huku akionyesha sura ya kuwa siriasis , lakini Alice alikuwa ashamsikia kwnai alikuwa akifuatia maongezi yao nna alimfisha mkononi.

“Kama unapanga kufanya utafiti na wanawake wengine , ni bora ukalifuta hilo kichwani mwako”Alice Alimkoromea Stern.



“Hapana Babe natania tu , wewe ndio mwanamkke wa Maisha yangu”Aliongea huku akimbusu shavuni na kufanya watu waliokuw andani ya eneo hili kuwashangaa , walionekana kuwafahamu wawili hao na walikuwa wakiwasema vibaya , kuna ambao walikuwa wakiwasema kwamba wanfanya mambo yasiokuwa na aibu kwa kuwa wapenzi wakiwa ni ndugu , huku wengine wakisema wao ni chukizo kwa jami , lakini wao hawakujali m walifurahi namna watu walivyokuwa wakiongea mengi juu yao.

Wakati huo huo wakati wakiwa wapo ndani ya eneo hili rama edna alisogelew ana mwanamke mmoja mrembo , mwanamke aliekuwa akimjua kama moja ya wafanyakazi wa kampuni ya Luis Vuitton , alikuwa mnene kiasi mwenye kamadirio ya umri kama miaka arobaini hivi.

“Miss Edna , I am Jane its my pleasure to meet you”Aliongea yule mwanamke huku akimpa mkono.

“Asante sana Miss Jane na mimi pia ni futaha kuonana na wewe”Aliongea Edna huku akitabasamu, na walisalimiana kwa dakika kadhaa huku Roma yeye akiwa pembeni akimwangalia Edna, ambaye kwa munekanao wake aliona ni kama hakuna kitu ambacho kimemtokea

“Miss Edna kwanza kabisa kabla ya hatujaanza mazungumzo ya kibiashara kwa niama ya kampuni , tumependekeza uwe mmoja ya wageni waalikuwa muhimu ndani ya tukio linalokwenda kuanza sasa hivi , hii ni kadi utliokuandalia ambayo itakupa fursa kukaa VIP”Aliongea mama yule kwa kingereza safi na Edna alipokea , ukweli hata yeye alikuwa akitamani kuhudhuria maonyesho hayo , lakini kwasababu sio jambo ambalo limemleta ndani ya Paris hakuwa na namna ya kuhudhuria , lakini baada ya bahatri hii kuja mbele yake muda huo , hakuona kama ni jambo baya kukubali,

Baada ya edna kupewa kadi , aliachana na Miss Jane ambaye alionekana kuongea na wageni wengine , na unachotakiwa kuelew ani kwamba haya maonyesho yalikuwa yakifadhikiwa kwa asilimia kubwa na kampuni ya Luis Vuitton , hivyo wafanyakazi wa kampuni hii walionekana kuwa bize.

Edna ni mwanake hivyo maonyesho ya fasheni ni moja ya hobi yake , lakini pia alikuwa akimiliki kampuni ya mavazi na mitindo , hivyo aliona anaweza kujifunza kutoka kwa wazungu kwa kushiriki ndani ya maonyesho hayo.

Alice walikuwa washapita tayari wakati roma na Edna wakiongea na Miss Jane na sasa na wao walisogea mpaka sehemu ya kuingia ndani ya jengo hili ambaloi kwa nje lilionekana kama hekalu la kifalme.

Edna alisogelewa na wahudumu waliokuwa mlangoni na kisha akatoa kadi na kumpaitia muhudumu wa mwanamke wa kizungu na baada ya kuchukua ile kadi , mwanamke yule alishangaa kidogo na kisha akampa ishara Edna na Roma ya kumfuata.

Kumbuka Roma hapa hakuwa akiingia kama mume wa Edna , bali alikuwa akihudhuria kama msaidizi tu , hivyo aliekuwa akipewa ‘Attention ni Edna na Roma yeye alikuwa akifuata nyuma.

Ndani ya ukumbi huu wa kiasasa ambao maonesho haya kufanyika viti vilikuwa vikipangwa kutokana na hadhi ya mgeni kuna VIP 1 ambayo ni Front Row , na kuendelea mpaka BackSeat, hivyo watu wote ambao hukaa mbele kabisa ni wale ambao ni wazito yaani watu muhimu sana katika medani ya Fasheni.

Edna alipelekwa na mhudumu mpaka mbele kabisa , siti ya VIP 1 na kuwakuta Alice na Stern wakiwa wameketi tayari, watu walikuwa washafika japo hawakuwa wengi , Alice Pamoja na Stern baada ya kuona Edna akikaa kmbala na wao waijikuta wakishangaa.

“Edna nimesikia juu ya dili lako juu ya malighafi mpya ambazo utasamaza kupiita mkataba na kampuni wa Yamakuza ni mafanikio makubwa sana na nadhani maka sasa makampuni makubwa ya fasheni yanapaswa kukuheshimu”Aliongea Srernn a kumfanya Edna ajisikie vizuri , hakuna mtu ambaye hakuw aakipenda kusifiwa.

“Asanteni”Aliongea Edna , lakini muda huo huo alionekana mtu akiwa mbele ya Edna n ani kama nay eye alikuwa akitaka kukaa kwenye siti ambayo Edna alikuwa ameandaliwa.
 
SEHEMU YA 186



Edna baada ya kuhisi mtu aliekuwa amesimama mbele yake , wakati huo yeye akiweka mkoba wake kwa ajili ya kukaa , alinyanyua kichwa chake kuangalia ni mtu gani ambaye alikuwa mbele yake na aligundua ni mwanamke wa kizungu mrefu mwenye pua ya kuchongoka , aliekuwa na nywele nyingi za kufunika mgongo rangi ya Maroon , huku akiwa amepaka lipstick nyekundu ukijumlisha na weupe wake , alionekana kuwa mrembo lakini sio kumzidi Edna ambaye hakupaka hata Lipstick.

Alikuwa pia amevalia miwani Pamoja na suti yake huku pembeni akiwa na mabodigadi wawili kulia na kushoto , wote wakiwa na miwani za jua , kwa jinsi mwanamke huyu alivyokwa akimwangalia Edna , alionyesha dharau za waziwazi kabisa na hakuonekana kuwa hapo kwa nia nzuri na Edna alilitambua hili ila hakujali.

“Piss Off”Aliongea yule mwanamke akimuamrisha Edna kwa maudhi kuwa aondoke kwenye kiti chake na kumfanya Edna ashangae , hakumuelewa mwanamke mwenye maringo aliekuwa mbele yake kumuambia maneno hayo ilihali alikuwa kwenye kiti chake kutokana na kadi yake ya mwaliko.

“Unanidharau , au wewe ni kiziwi na kipofu?”Aliongea kwa maringo huku akionyesha kukasirika akimuongelesha Edna.

“Ingawa sikufahamu wewe ni nani , lakini siwezi kubishana na mwanamke mwenye maringo na kiburi kama wewe , hiki kiti ni changu na siwezi kuondoka”Aliongea Edna huku akikerwa na mwanamke aliekuwa mbele yake , aliona huo ni ubaguzi wa Rangi wa waziwazi ndio maana aliona ampandishie.

“Huwezi kunifahamu kwakua wewe ni mfanyabiashara mdogo sana na huna hadhi ya kukalia viti vya mbele, naomba uondoke kabla sjakudhalilisha”

“Meryl, behave yourself. This seat belongs to Miss Edna . Since you failed to book a spot beforehand, there’s no reason for anyone else to surrender theirs for you”

“Mery hebu jaribu kujizuia , hio siti ni Ya Miss Edna , na kwasababu hukuandaa sehemu yako mapema , haimaanishi kwamba watu wakupe siti zao”Aliongea Stern kumtetea Edna.

“Stern endelea kufanya ujinga wako wa kumkumbatia dada yako bila aibu , kama ningekuwa kwenye nafasi yako ningeshindwa hata kutoka hadharani , usijifanyishe una hadhi ya kushindana na mimi na kuingilia mambo yangu”

“Miss Edna usilijali hilo lipumbavu , linaitwa Mery licha ya kuwa na manyonyo makubwa lakini halina akili , ni kwasababu tu hadhi yake ya kuwa mjukuu wa Malkia wa Uingereza, hana kingine cha kujivunia nacho ,Edna achana nalo wewe kaa”Aliongea Alice na kumfanya Mery apandwe na Jazba.

“Alice kwahio unanitukana , unafikiri nakuogopa kwasababu unatokea ukoo wa Cromwell”Aliongea kwa sauti ya kubwatuka na kufanya hata wageni wengine kuangalia upande wao , licha ya kwamba waliona Edna alikuwa ameletwa hapo na muhudumu , lakini hawakua tayari kumsaidia Edna kwani walikuwa wakimfahamu vyema Mery kuwa mjukuu wa Malkia wa Uingereza mwenye tabia mbaya ya kunyanyasa watu.

Roma aliekuwa amekaa mstari wa nyuma kama msaidizi alijikuta akishangaa na kuvutiwa na tukio hilo , ila hakutaka kuchukua hatua yoyote ile , alitaka kwanza amuache Edna kidogo apate tabu mwenyewe mpaka pale atakapo ona anahitaji msaada wake.

Baada ya Zogo kuvuta watu wengi , ilibidi wahudumu waingilie na , alisogea mfanyakazi mwanaume alievalia suti na nembo ya ‘Paris Fashion Federation manager’.

“Miss Mery, may I ask what you are dissatisfied about?”

“Miss Mery ,naweza kufahamu ni jambo gani ambalo halijakuridhisha”Aliuliza Meneja.

“Meneja sidhani kama haya maonyesho siku hizi yameshuka thamani mpaka mtu kama huyu kuja kukaa siti za mstari wa mbele ili hali ni kapuku tu”Aliongea Mery kwa dharau na kumfanya Meneja kumwangalia Mery na kisha akatabasamu.

“Miss Mery hii siti ni kweli ilikuwa ya kwako , lakini uongozi wako ulitupatia taarifa kwamba hautohudhuria kwasababu upo safarini Kwenda Sweeden na ndio maana akapewa Edna, CEO wa Vexto International”

“Hahaha… Eti Vexto…Nyie wahudumu ni wajinga, yaani kikampuni kidogo kutoka Tanzania mnataka kulinganisha na hadhi yangu, ni kweli nilikuwa na mpango wa Kwenda Sweeden kwa ajili ya harusi ya mtoto wa Mfalme , lakini nimerudi mapema , nyie watu mnataka nikae nyuma ya huyu mwanamke?”

Meneja jasho lilimtoka kwa kukosa namna ya kutatua hio shida , alijikuta akimwangalia Mery na kisha akamgeukia na Edna na kushindwa kutoa maamuzi , upande wa Edna baada ya kusikia maongezi yote , alimwangalia Mery kwa macho makali.

“Hii siti ni ya kwangu na nitakaa hapa , kama kuna unalotaka kufanya unaweza kufanya ila huwezi kunitoa”Aliongea Edna na akakaa na kuchukua makaratasi ya mkataba na kuyaangalia huku akimpuuza Mery.

“Peasant! Do you think I’m afraid of a cheap looking woman like you?!”

“Wewe mtoto wa mkulima , unafikiri nakuogopa mwanameke usie na thamani kama wewe?”Aliongea kwa sauti na kuzidi kufanya wageni waalikwa kusogea karibu , hata wazungu wanapenda umbea jamani sio wabongo tu.

“Mery acha bwana kiburi chako , lisije likakukuta baya Zaidi”Aliongea Stern akimsihi Mery aache.

“Kaa kimya wewe mpuuzi , halafu wewe mwanamke naona unanipanda sasa kichwani , unajihisi mwanamke kama wewe kutoka taifa masikini kama Tanzania unaweza kushindana na mimi , nilikuwa nikiongea na wewe kistaarabu uachie siti yangu ila naona umevuka mpaka , ngoja nikuoneshe usivyokuwa na thamani”Aliongea kwa kupayuka na kisha akawaangalia mabodigadi wake.

“Mchukueni huyu mwanamke mkamtupe kwenye mto”aliongea kwa kuamrisha na kumfanya Edna moyo wake upige Pah , hakuamini kama mwanamke aliekuwa mbele yake ni kichaa na mna hio.

“Yes Madam!”Yaliitikia mabodigani oda ya bosi wao na kumsogelelea Edna, huku Edna akiwa na wasiwasi kweli , aliwaangalia Stern na Alice kama wanaweza kumzuia Mery kuacha ukichaa wake , lakini wao wenyewe walionekana kunywea , huku wahudumu na wao wakishindwa kufanya jambo lolote kwa wakati huo na baadhi ya watu wengine pia waliokuwa wakiangalia tukio hilo wakishindwa kumtetea na walichokifanya ni kuambiana kwa sauti ndogo huku wakitegemea Edna kubebwa na mabodigadi.

Edna alionekana kukosa kabisa msaada na hakutaka kufanyiwa udhalilishaji hapo ndani kwa namna yoyote ile, lakini pia hakuwa na uwezo wa kuzuia jambo hilo na baada ya kuona hana msaada ndio jina la Roma likaibuka kwenye kichwa chake , aliamini ndio mtu pekee wa kumsaidia kuzuia kudhalilika.

Edna aligeuza shingo yake nyuma na kumwangalia Roma na kumuona akiwa ametulia tuli , tena akiwa amekunja nne kabisa bila ya kuwa na wasiwasi , ni kama alikuwa akitaka kushuhudia akibebwa na Mabodiuagdi na Kwenda kutupwa kwenye mto kama Mery alivyoagiza , alijiambia pia huenda Roma mwenyewe alikuwa akiogopa.

“Ahhh!!” Ilikuwa ni sauti ya maumivu kutoka kwa moja ya bodigadi aliekuwa upande wa nyuma na kumfanya Edna ageuke amwangalie nini kimemkuta bodigadi na ile anamkagua aligundua alikuwa kwenye maumivu makali na pale pale yule bodigadi alidondoka chini na kupoteza fahamu , Edna wakati akiendelea kushangaa mara alitokeza mwanaume mwenywe mwili mkubwa alievalia suti , huku nywele zake ndefu nyekundu akiwa amezirudisha nyuma na kumshika bodigadi wa pili shingo yake kwa spidi na kuivunja palepale

“Wow!, What a wonderful take down!”Aliongea Alice kwa kufurahi baada ya Bodigadi aliekuwa akimsogelea Edna kudhibitiwa fasta sana kwa kuvunjwa ,shingo kwa staili kama ya Roma anapovunja mtu shingo..

Sasa baada ya kitendo kile kutokea Ghafla sana , huku kikishuhudiwa na watu wengi ilibidi Mery ainue macho yake na kuangalia mtu ambaye amefanya tukio hilo na alijikuta macho yake yakibung1aa huku akirudi nyuma kwa woga.

“Sau…. Sauroni?”

Sasa kitendo kile kiliwafanya watu kushanga , huku wakianza kunong`ona chini chini , lakini hakuna ambaye alionesha hofu , walionekana jambo hilo halikuwa likiwahusu.

“Sauroni anafanya nini hapa?”Mery alijiuliza huku akizidi kuwa na wasiwasi.

“Kaka huyu jamaa ni nani?, ni mtata sio poa”Aliuliza jamaa mmoja aliekuwa akiangalia tukio hizo akimuuliza mzungu mwingine aliekuwa pembeni yake.

“Nini , haumfahamu?, Huyu ndio jamaa anaefahamika kama Shetani ndani ya kundi la The Eagles , Wengi wanaomjua wanamuita Mfalme wa Mapepo”Aliongea na kumfanya mdogo wake kushangaa

“Ndio yeye?”Aliuliza na kaka yake akatingisha kichwa kuitikia kama ndio.

“Braza nilisikia huyu jamaa alikuwa ndio kamanda wa jeshi la Ardhini la Uingereza kabla ya kuasi miaka kadhaa nyuma na kuwa adui wa wanasiasa wengi ndani ya Uingereza na akakimbilia kusikojulikana mpaka aliporudi hivi karibuni na kuwa sehemu ya watu wanaoaminika ndani ya familia ya kifalme ya Wales”

“Umenena vyema mdogo wangu , nilifikiri bado ni mpumbavu kumbe siku hizi unafuatilia baadhi ya stori za malegend wa Uingereza”Aliongea yule mzungu huku akimgusa mdogo wake kichwani.

“Sio kumfatilia tu Bro , huyu jamaa mimi nakumbali sana maana historia yake inasisimua kwa mambo ambayo aliyafanya kabla ya kutimka kusiku julikana na namna pia alivyorudi uraiani ,lakini pia tabia yake ya kutonyenyekea mtu”

Upande wa Sauroni wala hakujali watu waliokuwa wakimwangalia na kumuongealea , yeye baada ya kuvunja shingo alimsogelea Edna alipokuwa amekaa na kisha akainamisha kichwa kwa heshima.

“It’s the first time we met. My name is Sauron von Ibroklanka. I’m honored to be of your service, Madam Persephone.”

“Ni maa yangu ya kwanza tunakutana , kwa jina naitwa Sauroni Von Ibroklanka, ni heshima kwangu kuwa katika huduma kwako , Madam Persephone”Aliongea Sauroni na kumfanya Edna atoe macho.

Ni lile jina tena”Aliwaza huku akikumbuka ni Zaidi ya mara tatu hii anaitwa jina hilo hilo ambalo hakuwa hata akijua maana yake na kujiuliza kwanini wazungu hawa walikuwa wakimpa heshima na kumuita kwa jina hilo.

Kitendo cha Sauroni kuonyesha heshima kwa mwanamke wa Kitanzania mfanyabiashara kiliwafanya Wazungu kushangaa sana na kujiuliza huyo mwanamke kafanya nini mpaka kupata heshima ya Saurno , kamanda mstaafu wa jeshi la Uingereza lakini pia kiongozi mkubwa wa kundi la The Eagles.

Lakini wakati wakiendelea kujiuliza mara Sauroni alimpita Edna na Kwenda nyuma yake na kisha akamwinamia kwa heshima Roma aliekuwa amekaa amekunja nne bila wasiwasi

ITAENDELEA

0567151346 WATSAPP ONLY
 
Asante sana Mkuu[emoji4][emoji4]
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Chumaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Asante sana mkuu, unaijua Dunia na Historia yake...sio hadith inaishia mapango ya Amboni...mara Paris, Japan, China, Korea kote imekanyaga, Kitu kimetoka Mbagala Rangi Tatu kinayoyoma Anga za Kimataifa...Tupo Pamoja Mwamba...endelea kumwaga vitu mpaka mwisho...
 
Mkuu singanojr uko vizuri sana kama Director wa Expendables. James Cameron hauchanganyi kabisa Majina ya watu na sehmu za nchi mbalimbali unajua sana Mkuu. Kongore nyingi sana Mkuu. Weekend hii tushushie mzigo basi
 
Simulizi ina mambo mengi sana hii ni ndefu na haitokuchosha maana ina matukio ya kimkakati
 
SEHEMU YA 187

Ijapokuwa muda wa kuanza kwa tukio la maonyesho hayo lilikuwa lishatimia , lakini kwa waandaaji hawakuanza tukio , walitaka kwanza kile kinachoendelea kiishe ndio mambo mengine yafuate.

Watu ilibidi watege masikio yao kwa umakini ili kupata kujua kwanini hawa watanzania walikuwa wakipewa heshima kubwa hata na Roma , maana hakuna hata mmoja ambaye alikuwa akiwatambua , kuna wengine walienda mbali mpaka kusema huenda Roma alikuwa ni moja ya Watoto waliokuwa ndani ya familia ya Wales ambaye hakuwa akifahamika.

“Sauroni , japo nilikuona muda mrefu na kutegemea ungefanya haya , ila usingewaua kabisa kwa kuwavunja shingo , ona watu wanakuona kama shetani”Aliongea Roma huku akitabasamu.

“Mfalme pluto huyu mwanamke anatokea katika familia ya Stert , nataka ruhusa yako ya kumuadhibu hapa au nikamuadhibu nje”Aliongea Sauroni akimwangalia Mery aliekuwa kwenye wasiwasi. Na watu walielewa alichokuwa akimaanisha , kwenye kundi la the Eagles ukisikia Sauroni anasema adhabu basi anamaanisha kuua hio ndio sheria yao, na hii iliwafanya watu wengi kuwa na hofu , kwani walitegemea kushuhudia kifo cha mtu mbele yao.

“He is Real Demon”Alisika moja ya mwanaume aliekuwa karibu na hayo maeneo.

“Tafadhari Sauron naomba usiniue . nisemehe nimekosa..”Aliongea Mery huku akipasha viganja , hakuwa hata na nguvu ya kukimbia kwa wakati huo na yale maringo yote yalikwisha, lakini kwa Sauroni wala hakumjali , yeye alikuwa akimsikiliza Roma peke yake.

“Edna mpenzi huyu mwanamke alitaka ukatupwe kwenye mto , hivyo wewe ndio unapaswa kutoa adhabu unayotaka , kama unataka kifo chake kifanyikie hapa ndani sawa , kama unataka nje sawa , lakini pia kama hauridhiki na kifo peke yake , Sauroni anafuga Nyangumi wengi kwa ajili ya kucheza nao atamchukua na Kwenda kumtupia kwenye ziwa na awe chakula cha nyangumi”Aliongea Roma kwa kingereza makusudi kabisa , ili kufanya kila mmoja kusikia,Na maneno yake yalifanya kila mtu atoe macho huku wakimuona Roma kama mkatili , lakini wakati huo huo wakimwangalia Edna ili kujua ni adhabu gani ataitoa kwa Mery.

Edna alikuwa ashasau kabisa hata Sauroni ni nani kwa muda huo , lakini pia ashasahau kuwa Roma alichepuka asubuhi yake , alijitahidi kujirudisha kwenye hali ya kawaida , kwani dakika chache nyuma alikuwa kwenye wasiwasi mkubwa.

“Haina haja ya kumuua , kwanza hajafanya kosa kubwa”Aliongea Edna huku akikosa utulivu wa kuangaliwa na watu wengi.

“Hio sio sababu mke wangu , kumbuka alitaka kukurusshia kwenye mto,ni bahati tu wewe ni mtu mkubwa , lakini kama ni mtu wa kawaida angekua ashakufa mpaka sasa hivi , na kwa muonekano wake naamini ni watu wengi wameteseka na huyu mwanamke kutokana na tabia yake, Wewe sio wa kwanza “

Edna aliona Roma kaongea Pointi , kwani kwa jinsi Mery alivyokuwa anajigamba , aliamini ni watu wengi wameteseka kwa ajili yake , lakini hata hivyo kumuua mtu kwake halikuwa jambo jepesi na asingekuwa na amani.

Meneja baada ya kuona Roma anaongea maneno kama hayo , aliona ni kama alikuwa anatania , hivyo aliamua kumsogelea.

“Sir nadhani hutakiwi kuongea maneno ya kuua kama hayo hii ,sehemu na isitoshe Miss Mery yupo tayari kuomba msamaha”

“Piss Off”Aliongea Sauroni akimwambia Ondoka , yaani kwa jinsi Sauroni alivyoonekana hakuonyesha tofauti kabisa ya kutofautiana na Roma, Wote walioekana wakatili na kuua ni jambo la kawaida.

“Miss Edna unapaswa kufanya maamuzi , kila mtu anakusubiria wewe”Aliongea Stern huku akimwangalia Edna aliekuwa amekaa nae mkabala.

“Hatutamuua leo , napendekeza apewe adhabu ndogo tu itakayomshikisha adabu ili asirudie makosa yake”Aliongea Edna baada ya kuona kila mtu kamwangalia yeye na onyesho limesimama.

“Una moyo mwepesi mke wangu kama nilivyotegemea”aliongea Roma huku akitabasamu , lakini wakait huo huo Mery alimwangukia Edna miguuni mwake na kuanza kumshukuru kwa kumsamehe.

“Miss Edna siwezi kusahau wema wako ulionifanyia leo , nitahakikisha familia yangu inakulipa”

“Funga domo lako wewe mwanamke mpumbavu , familia yako haina thamani yoyote”Aliongea Sauroni kwa Kingereza huku akifoka.

“Kwasababu mke wangu kipenzi kakusamehe , basi haina haja ya kukuua , Sauroni unaonaje tukifanya hivi , utawaambia wazazi wake , kwamba tunamrekebisha mtoto wao tabia kwa kuwasaidia?”

“Mfalme Pluto unapanga tumpe adhabu gani?”

“Kwasababu mke wangu kasema apewe adhabu ndogo , mkateni vidole vya miguu na mikono nadhani hio ndio adhabu ndogo ninayoifahamu ambayo mke wangu kamaanisha”Aliongea Roma na kufanya watu wote watoe macho, lakini kwa upande wa Roma ni kama hakuwa amemaliza.

“Sauroni sijamaliza kuongea , simaanishi mkate vidole vyote kwa wakati mmoja , nataka ifanywe kwa mzunguko wa siku kumi , mtakata kidole kimoja cha mguu kila siku” Watu baada ya kusikia hayo maneno kila mtu alimwita Roma jina lake kuna waliomwita hadi kwa jina la Lucifer , Shetani mkuu huku wale wabaguzi wa rangi wakitukana kabisa.

“Sawa mfalme”Aliongea Sauroni kwa kupiga saluti, lakini hapo hapo Mery alipoteza fahamu , lakini Roma hakujali , wanajeshi ambao haikueleweka wametokea wapi waliovalia Kombati za jeshi Rangi ya Bluu waliingia ndani ya ukumbi na kupishwa na watu na wakambeba Mery na kuondoka nae akatumikie adhabu yake.

Edna hakueleweka alikuwa na hisia gani muda huo , lakini alichokifanya alimgeukia Roma na kumpa ishara ya kutaka kuongea nae.

“Tukaongee nje”Aliongea Roma na bila hata ya kusubiria jibu kutoka kwa Edna alinyanyuka na kutoka , huku watu wakimpisha Shetani apite , ndio walimuona Roma kama shetani kwa ukatili wake , kwani adhabu alioitoa ilikuwa ni kubwa mno yaani ni bora kufa.

Edna alijikuta aking`ata Lips na kukusanya ujasiri na kusimama na kuanza kumfuata Roma na walikuja kuishia nje kabisa ya jengo kwenye bustani ya maua mazuri.

“Vipi unafikiria mimi ni katili kwa matendo yangu au unayo maswali mengi yakuuliza?”

“Mimi sijui … Roma sijui nifurahi kwa kitendo ulichofanya au nijutie kwa kutokukuzuia”Aliongea Edna ambaye nywele zake zilikuwa zikipulizwa na upepo.

“Ndio hivyo , Edna unajua muda mwingine najiuliza kama unayo hata shauku ya kunifahamu, upo kimya huulizi chochote kinachotokea”Aliongea Roma

“Nakumbuka uliniambia wewe mwenyewe utaniambia kila kitu , nisingeweza kulazimisha ilihali haipo tayari”

“Sio sipo tayari, hakuna siku ambayo ulitaka maelezo ulifikiri nitaanza kueleza kipi halafu niache kipi kama huulizi”

“Okey!Kwahio unahisi niulize nini?”Aliongea Edna na kumfanya Roma ashangae , yaani hakumuelewa Edna , alijikuta akiangaza macho yake eneo lote na Sauroni aliekuwa mita kadhaa ndio pekee aliekuwa akimwangalia.

“Edna unapasw kuuliza kwam mfano yule mwanaume ni nani , mimi ni nani , kwanini huwa nabadilika hata macho yangu kuwa kama ya Roboti , unapaswa kuuliza hata pale asubuhi yule mwanamke ni nani , sio kukaa kimya na kunikausihia”

“Tufanye nina majibu yote , unafikiri nitafanya nini”Aliongea Edna kwa hasira

“Wewe sio wa kawaida hata kama usinieleze , una heala kuliko mimi , una nguvu kubwa kuliko mimi , watu wanakuogopa , umeweza kuua watu wengi kule Tanzania wanaohusika na madawa ya kulevya ilimradi umpe Rose nguvu katika biashara lakini hakuna wa kukugusa tena wanakulinda kabisa ,Unafikiria hayo yote nikishayajua nitafanya nini,unataka nikuache kua na wanawake kibao ili mradi una nguvu na pesa za kutosha?”Edna aliongea huku hasira zikipanda mno na macho kuanza kuwa mekundu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…