Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hatuna Budi kuomba radhi mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SURA YA ISHIRINI NA MBILI .

Roma aliingia ndani ya jengo hili mapokezi na kumkuta mwanadada mmoja alievalia tisheti nyeusi na kofia ya Chepeo ya kampuni ya Nike na mkufu shingoni , mwanadada huyu hakuwa mrembo sana , kwani kwanza alionekana kama wale wanawake ‘matom boy’.

“Nipo hapa kwa aili ya kuonana na kiongozi mkuu wa kampuni ya PANZ”.Yule Dada alimwangalia Roma kwa kumsanifu.

“Wewe umetokea wapi?”.

“Nimetokea kampuni ya VEXTO na nipo hapa kwa ajili ya kuchukua marejesho ya mkopo”

“Okey nenda floor namba nne ndio ofisi ya Chief ilipo”Aliongea huyu mwanadada huku akitabasamu rohoni.

Wakati Roma akielekea juu , mwanadada huyu alipiga simu.

“Chifu leo kaja mwanaume kutoka VEXTO”.

“Mwache aje tumkate Ma**mbu”Yule mwanadada alijikuta akicheka kicheko cha furaha akionekana kufurahishwa na jambo hilo.

Roma baada ya kufika ndani ya hii ofisi kwanza alishangazwa na sauti alizokuwa akisikia , kulikuwa na mlio wa vimashine sio vimashine , ni kama mlio wa wadudu flani hivi.

“Ndio maana wakajiita mapanzi “Aliwaza Roma wakati akiingia ndani ya hili jengo.

Roma alishangazwa na muonekano wa Floor hii , kwanza kabisa hakukuwa na meza kama meza ambazo ungedhania kuwa humu ndani ni kampuni bali kulikuwa na vitanda vya Deka upande wa kulia vitatu , na vyote vikiwa na magodoro ambayo hayakuwa yametandikwa.

Chini kulikuwa na Zulia la rangi ya maua maua , huku wakionekana vijana watano waliokuwa wamekaa chini kwenye hili zulia na katikati yao kulikuwa na kijisturi na kwa haraka haraka Roma aligundua hii sio kampuni kama kampuni, jina hilo la kampuni walipewa ili kulinda kile kinachofanyika , ila hii sehemu aliweza kujua ni sehemu ya kupimia madawa ya kulevya , kwani kwa kutumia pua zake aliweza kuvuta hewa ambayo alikuwa akiitambua vyema ,harufu ya ‘Coccaine’.

“Hey! Jombaa , nadhani mabosi wako wameamua kukutoa kafara mpaka kukuagiza kuja hapa kutudai”Aliongea jamaa mmoja ambae alikuwa na mwili mkubwa sana uliojaa mazoezi na kuonesha dharau mbele ya Roma na wale wengine wakacheka.

“Kino huyu leo Chief atambadilisha jinsia”Aliongea jamaa mmoja mwenye midevu mwembamba aliekuwa akijikuna.

“Sikieni nyie wavuta bangi , nimekuja hapa kuonana na huyo chifu wenu anipe changu nisepe”Aliongea Roma na kuwafanya wale mabwana wamwangalie kwa ujasili wake , lakini waliishia kucheka tena, huku lile jitu lenye miraba mine lilichukua unga kidogo kwenye kucha na kunusa na alionekana kujibusti.

“Aiii .. traaaaa tatatata,,, traaaaa aiiii .. tiitiiii”Yule bwana alionekana kupagawisha na madawa yale na hapa Roma ndipo alipokuja kugundua kwanini alikuwa akisikia sauti kama za Panzi.

Lile jamaa linaloitwa Kino baada ya kuona ashabusti mwili alimwangalia Roma na kisha kumsogelea kwa njia ya kumpiga ngumi.

“Aaargh..”Kino alikuwa amepokea bao la uso lililompelekea damu kuanza kumvuja puani , alijishika puani huku akisikia maumivu ya ajabu na kisha akagusa zile damu kwa mshangao na kuzilamba huku hasira zikiongezeka maradufu,wenzake walishangazwa na kitendo kile Roma alichofanya kwa Kino

Jamaa baada ya kuona kadhalilishwa na Roma , hasira ziliongezeka na kurusha ngumi kwa pupa lakini Roma akaudaka ule mkono na kisha akauzungusha kwa nguvu kiasi cha kufanya Kino azunguke kama anachezeshwa Rumba na Roma alimpiga bonge la teke mgongoni na kwenda kutua kwenye ukuta huku akitanguliza pua ile iliopata majeraha sekunde chache zilizopita.

“Maaa … maaa ..aiii”Jamaa alitoa ukulele kwani katika maisha yake hajawahi kusukumwa na nguvu kama ile na kujigonga , maumivu yake yalikuwa sio ya kifani kabisa , aliona nyota nyota ,Roma hakumwacha vile vile aliendeleza kipigo na ndani ya dakika chache tu tu wale vijana wote walikuwa wamepiga magoti kwenye zulia hili ,huku kila mmoja akiwa na maumivu , kuna waliokuwa wakitokwa na damu puani , kuna waliokuwa wakitokwa na damu mdomoni , kuna ambaye alikuwa ameshika jicho lake.

“Chifu wenu yuko wapi?”Aliongea Roma huku akikagua madawa yaliokuwa kwenye kijisturi na akachukua unga kidogo na kuvuta.

“Mnavuta mabaki mabaki, halafu nimeuliza Chifu wenu yuko wapi hamjibu, au nianze”

“Chifu yuko chumba chake cha mapumziko huku akinyoosha mkono uelekeo wa chumba na Roma aliangalia na kuona mlango upande wa kushoto na kuufuata, lakini kabla ya kuufungua aligeuka nyuma.

“Ole wenu mtu yoyote akimbie”Na kisha akafungua na kuingia ndani.

Roma aliangalia chumba hiki na kukuta mwanaume mmoja mwenye mwili wa wastani , akiwa amemwinamisha mwanamke Mbuzi kagoma akisindilia mpini wake.

“Nyie mafala , acheni use***nge, kwani huo upupu niliowapa mtoe nyege zenu hautoshi”Aliongea mzee huyu pasipo kugeuka , alionekana alikuwa akikaribia mshindo na Roma aligundua hilo kwani alitembea na kupeleka mkono kwa nyuma na kushika Dudu kitendo kilichomfanya bwana yule ashituke.

“Uwiiii …. Arghhh.. unaniua wewe k*ma”Alipiga yowe huyu bwana baada ya Roma kuminya dudu yake huku bwana huyu akilala chali kwenye kitanda na mwanamke yule ambaye alionekana kuwa mama alishangazwa na kitendo hiko cha ghafla.

Roma hakuwa hata na kinyaa licha ya dudu la bwana huyu kuwa na utelezi , baada ya kuona mateso hayo yamemridhisha alimuachia .

“Na wewe ondoka”Aliongea Roma huku akimfukuza yule mwanamke na alichukua nguo zake na kukimbilia uchi nje.

Roma baada ya kumwachia Chifu , alianza kukagua chumba hiki kikubwa kilichokuwa na kabati huku akimpa mgongo chifu ,Roma alifungua kabati moja na kutoa macho baada ya kukuta maburungutu ya hela yamepangwa kwenye kabati hili .

Chifu baada ya kuona Roma amempa kisogo na hakuwa na habari nae , alichukua chupa iliokuwakwenye kijimeza cha kitanda na kumsoglea Roma huku akiwa ni mwenye kujikaza kwa maumivu aliokuwa akisikia .

Ni kama Roma alikuwa anamsubiria kwani ile anamkaribia aligeuka kwa spidi na kumtwanga ngumi ya jicho na kumfanya bwana huyu aone nyota nyota huku akitoa ukulele.

Roma aliendelea na ukaguzi wake , na kuvuta Droo na kuona bastora , aliitoa na kuitoa magazine kwa kitendo cha haraka sana na kuona kuna Risasi.

“Barreta 582 ya 1984” Aliongea Roma aliikoki kwa haraka na kisha akamgeukia Chifu, na kumnyooshea na bwana yule alinwangalia kwa jicho moja na kuanza kutetemeka.

“Unadaiwa kiasi gani na VEXTO?”

“Tulikopa bilioni moja ila tulitakiwa kurudisha Bilioni mbili”

“Sasa kwanini hamjarudisha mpaka sasa?”Aliongea Roma huku akiwa amekalia kiti na bwana huyu akiwa amepiga magoti akimwangalia Roma kwa woga.

“Bossi alitupa maagizo tusirudishe”.

“Bosi wenu ni nani?”Jamaa alionekana kuwa na wasiwasi sana kutaa jina la Bosi na Roma alilijua hilo aliingiza kidole kwenye Triga.

“Naongea usiniue”

“Ongea sasa …”

“Bossi wetu ni Hassani”.

“Acha upuuzi mimi nitamjuaje Hassani , ongea vizuri Hassani ni nani , nataka melezo ambayo yatanifanya nimjue harakaharaka”.

“Ni kiongozi mpya wa kundi la Black Mamba”Aliongea huyu bwana na hapa ndipo alipomkumbuka Karim aliemuua siku mbili nyuma.

“Sasa hapo nimekupata , lakini hujamalizia , huyu Hassani yukoje na kwanini aliwazuia kutolipa hela za Kampini mlizokopa”.

“Sikupewa maagizo mengine , Zaidi ya kuambiwa nisirudishe”Aliongea kwa woga

“Hapa ndani mna kiasi gani cha pesa?”Jamaa kimya na Roma akanyanyika kumsogelea .

“Zipo .. zipo milioni mia nne”.

“Na kwenye akaunti kuna ngapi”Jamaa kimya na Roma alizunguka kwa nyuma yake na kuingiza mkono upande wa kushoto wa mbavu na kumfanya bwana huyu atoe yowe.

“Kwenye akaunti kuna ngapi?”

“Bilioni .. bilioni mbili”Roma alitabasamu na kisha alimwambia bwana huyu anyanyuke na waelekee kwenye ofisi yake ,baada ya kutoka Roma aliwakuta watu wake wakiwa wamekaa vile vile na kuona yes , dozi imewaingia na wamekuwa na Adabu.

Roma alitabasamu baada ya kuona kifaa kama simu cha kufanyia miamala cha Equit bank .

“Tuma pesa zote kwenye akaunti hizi nitakazokutajia sasa hivi?”Aliongea huku akimuonyesha Chifu kwa ishara akae kwenye kiti chake cha ofisi na bwana huyu , alitamani kufanya jambo ila aliogopa”

“Bossi ataniua nikifanya kama anavyotaka?”

“Endelea kufikiria ujinga wako tu , nitakuua mimi sina utani, eniwei labda unaona nafanya utani ngoja nikuonyeshe kama niko siriasi”Aliongea Roma na kisha kwa haraka sana alimshika yule bwana kiganya cha mkono wa kushoto na kilichosikika ni viungo vya Jointi na misuli ikipishana.

Chifu alitoa ukulele wa aina yake kiasi kwamba hata vijana wake wa kazi nje walisikia na kuzidi kumuogopa Roma.

Chifu hakuwa na jinsi , hakutaka kuvunjwa kiganja kingine cha mikono , na alitii haraka haraka na kufanya kama alievyoelekezwa na ndani ya dakika chache , akaunti yake ilisoma Dollara mia nne na akatuma kiasi cha Bilioni moja na mia sita kwenye akaunti ya VEXTO.

Baada ya zoezi hilo kuisha , Roma alimwamuru kijana mmoja aliekuwa na nafuu kidogo na kumwambia aweke hela zote zilizokuwa kwenye kabati kwenye begi na ndani ya dakika chache akawa ashakamilisha kazi yake.

Ila bado hakuwa ameridhika , alivuta faili moa lililokuwa kwenye Meza na kuangalia na hapa akatabasamu.

“Enhe Chifu tumalizie , haya Magari yanayoonekana hapa kwenye hizi karatasi yako wapi?”Aliuliza Roma na Chifu kama kondoo alimwangallia Roma.

“Kwenye Basementi chini”Aliongea na Roma akatabasamu .

“Ongoza njia”

Roma alitoka kwenye hii ofisi na kisha akafunga mlango kwa nje na funguo akiwafungia wale wengine na kisha wakazama kwenye lift na chifu , ndani ya dakika tu walikuwa eneo la chini kabisa ya jengo hili na kwa mtu wa kawaida usingejua kuwa chini kuna Basementi ,tena kubwa kabisa , jambo hili pia lilimshangaza Roma.

Aliona sehemu ambavyo ilikuwa kama Maabara na alijua kwa vyoyvyote hapo ni sehemu ya kutengenezea madawa.

Wakati akiendelea kumfuatisha Chifu aliekuwa kwenye hali mbaya ya maumivu ya kiganja na jicho , alisikia sauti ya mguno alipopita kwenye Chumba kilichokuwa kikinekana kufungwa na mlango wa chuma , hisia za Roma hapo hapo zikamwambia kuwa hapo ndani kuna mtu.

“Humo ndani kuna nini,Hebu fungua”Aliongea Roma na Chifu alisogelea chumba hiko na kukifungua kwa funguo iliokuwa ipo upande wa kulia kwenye kiboksi na hapa ndipo Roma alipatwa na mshangao baada ya kumuona mtu aliekuwa hapo ndani akiwa hatamaniki kwa majeraha, alimsogelea mtu huyu aliefungwa kwa Kamba akining`inia , huku mwanga mdogo ukiwa unammulika , alimuinua kichwa chake kwa mikono yake na hapa ndipo aliposhangaa.

“Juma!!!”Aliongea Roma kwa mshangao na akajiuliza inakuwaje Juma akawa yupo mahali hapa , alimwangalia Chifu na kuonekana alikuwa akitaka maelezo.

“Nini kimetokea kwanini yupo hapa?”Hapa ndipo alipopewa mkasa wote na alikuja kugundua kumbe Juma alikuwa akihusika na kutekwa kwa Najma , alikasirika mno na alitamani kumpiga tena Juma , lakini kwa hali ya nusu uhai aliokuwa nayo Juma aliona aache.

“Juma alijichanganya sana kufanya kazi na Karim”Aliongea Roma huku akimkumbuka Najma , alijiuliza mwanadada huyo atakuwa kwenye hali gani, lakini pia alijiuliza kama atakuja kujua kuwa Juma anahusika na kutekwa kwake ingekuwaje.

SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

Roma baada ya kumaliza kumwangalia Juma alimwambia Chifu amuoneshe Magari yalipo na hapa chifu hakugoma maana ashakuwa mtumwa kwa Roma , na alifungua geti moja kwa Rimoti na hapa ndipo alipoona ndinga nyingi zikiwa ndani ya hili eneo , zilikuwa ni gari ambazo baada ya kuzihesabu haraka haraka zilikuwa kumi na zote zikiwa za kifahari na hazikuwa hata na pleti namba.

Roma aliangalia gari hizo na kisha akavutiwa na gari moja aina ya Aud Q7 toleo la 2021 .

“Bosi wako akija mwambie nimechukua hii Gari na akitaka malipo anifate”Aliongea Roma huku akimpa maelekezo Chifu atoe ufunguo , na funguo za magari yote alikuwa nazo mkononi kabla ya kushuka huku chini.

Dakika chache baadae Roma alitoka nje ya jengo hili la Zera akiwa na begi la hela pamoja na Juma aliempakia nyuma ambae hakuwa akijitambua .

Roma alipanga kumpeleka Juma hospitali ya Mbagala Zakhiem ,watu waliokuwa barabarani walishangaa ndinga inayochanja mbuga , tena ikiwa haina hata Pleti namba.

“Kuna watu wana magari na kuna watu wanausafiri” Alisikika kijana mmoja aliekuwa akiuza Matikiti.

Roma ile anafika Misheni ,sehemu ambayo kulikuwa kuna mgawanyiko wa barabara iliokuwa inaelekea Kijichi , alipigwa mkono na Trafiki wa kike na Roma hakutaka kuleta ubishi awamu hii, Trafiki yule ni kama sura yake ilikuwa inakujakuja hivi na kupotea , lakini ile anakaribia ndipo Roma alipomtambua.

Alikuwa ni Mage mwanamke aliemletea shida siku kadhaa nyuma na alikuwa kazini , mzuri kama kawaida lakini kauzu kama anafanya kazi Mochwari.

Mwanamke yule aligonga kioo na Roma alishusha na kumwangalia mwanamke huyu kwa tabasamu,Mage alimwnagalia Roma na moyo wake ukalipukwa na furaha.

“Yess huyu choko nimemkamata Tena , gari haina pleti namba na anaendesha anavyotoka , leo hachomoki labda sio mimi Mage”Aliwaza Mage huku akimwangalia Roma kwa hasira .

Kiufupi Mage alikuwa ni mwingi wa hasira , kila siku alivyokuwa akidamka kwa ajili ya kuingia kazini , alikuwa akimuwaza Roma tu , moyo wake uliumia , kwani katika maisha yake kwanza hakuwahi kudharauliwa , lakini pia hakuwa akipenda kushindwa , Mage alikuwa akiamua kufanya jambo mpaka alione linafikia mwisho wake na siku zote atahakikisha anashinda.

“Mungu baba naomba yule mtu afanye kosa lolote lile nimkamate , naamini kwa rehema zako baba hujali kile waja wako wanachokuomba , na mimi mja wako nimepiga magoti haya kukuombaili roho yangu inayoumia itulie naomba yule mtu afanye tena kosa na nimkamate mimi AMEN”

Hayo ndio maombi ya Mage ya siku mbili mfululizo kila anapoingia kazini anapiga magoti na kumuomba Mungu juu ya hitaji lake hilo na pia kila akirudi alimuomba Mungu.

Mage alikuwa akiishi Mikocheni kwa Warioba ndani ya Apartment za Ayo na alikuwa akiishi mwenyewe na hata mwanaume hakuwa nae , ila alikuwa na ‘Artificial Male Organ’Ambayo ilikuwa ikimridhisha.

Huyu mwanadada licha ya kuonekana mtu mwema na mpenda haki , ila alikuwa akifanya sana ‘Musterbation’ na viungo bandia na alikuwa ameathirika pakubwa , na ndio maana katika maisha yake hakuwahi kuonekana kuwa na mwanaume , na hata wazazi wake walimshangaa na baada ya kusumbuliwa sana , ndipo alipofanya shauri na kuhamia kwenye nyumba hizo ili apate uhuru wa kujiridhisha , hayo ndio yale ya ndani kabisa anayoyafanya Mage.

Lakini licha ya mambo hayo Maombi yake yakajibiwa kwa namna ambavyo hakutegemea maana ni ghafla sana

****

Mrembo Edna kama kawaida , alikuwa akipiga kazi kama vile hakuwa na pesa , kumbe mwanadada huyu alikuwa Tajiri mwenye pesa nyingi sana kiasi kwamba hata aamue kulala tu mpaka akizeeka hela zake haziishi.

Leo licha ya kuonekana kuwa na mengi ambayo alikuwa akiyafikiria , lakini bado mawazo hayo hayakumfanya kutoendelea na majukumu yake ya kazi.

Alionekana kuna karatasi aliokuwa akiisoma kwa umakini mkubwa kiasi kwamba kuna baadhi ya vitu alikuwa akivizungushia kwa wino , na ilionekana hakutaka kabisa kupitwa hata na nukta iliokuwa kwenye karatasi hio

Baada ya kusoma kwa muda kama wa nusu saa hivi , aliinua mkonga wake wa simu na kupiga .

“Doris njoo ofisini kwangu”

Aliongea Edna na kushusha mkonga wa simu hii ya mezani na ndani ya dakika chache Dorisi aliingia ndani ya ofisi hii , akiwa mrembo kama kawaida , huku leo hii akiwa amepigilia suti na miwani ya kimchongo na kumfanya azidi kupendeza.

“Naam Boss”.

“Natarajia kuingia dili nono na kampuni ya YAMAKUZA ya kijapani na leo hii nimepokea mkataba wa kibiashara kutoka kwao juu ya utengenezaji wa Malighafi mpya , ni dili nono sana na sifikirii hata mara moja kulikataa , kama malighafi hizi zikifanikiwa kuingia kwenye soko la ukanda huu wa Afrika, kampuni itakuwa imepiga hatua kubwa sana “Dorisi alishangaa na Edna akaendelea.

“Hili dili litafanyika baina ya kampuni mbili kwa hapa Nchini yaani ya kwetu na JR , mkataba huu utasainiwa nchini Japani….”Lakini kabla hajaendelea kuongea mara mlango ulifunguliwa, na Nasra na kuingia na wote wakamgeukia Nasra alieingia kwa pupa.

“Nasra kuna nini?”Aliuliza Dorisi akimwangaia Nasra aliekuwa anahema kama mbwa anaekimbizwa.

“Zimeingia bosi..”

“Zimeingia nini Nasra ongea”Aliuliza Edna.

“Muamala wa Dola bilioni moja na nusu umesoma , na umetokea kwa PANZI Security”.

Aliongea Nasra huku akionesha ni mwenye kujawa na furaha mno , hakuamini kama Roma alikuwa amefanikisha jambo ambalo wao walikuwa wamelishindwa kwa kipindi kirefu.

Edna aliachia Tabasamu lakini kwa upande wa Doris hakuwa akielewa chochote , licha ya kujua kuwa Kampuni ya PANZI Security walikuwa wakiwadai kiasi kikubwa cha pesa na walikataa kulipa , lakini muda huo kusikia kwamba PANZI wamelipa alishangaa ilikuwaje na alitaka kuelezwa na hapo ndipo nafasi hio akaichukua mwanadada Nasra na kuanza kueleza .

“Unamaanisha Roma ndio kaenda kufuata hizo pesa?”

“Ndio Dori.. japo sio kiasi chote tunachowadai ukijumlisha na Riba , lakini hela tuliowakopesha imerudi”Aliongea

Doris alimwangalia Edna na kujiuliza kwanini mwanamke huyu alimchagua Roma kwenda sehemu ya hatari kama hio , lakini pia alijiuliza imekuwaje Roma akafanikisha swala hilo , kwani lilishidikana hata kwa sheria.

“Sawa Nasra , utamkabidhi Roma kiasi nilichokuambia kama sehemu ya bonasi ya kufanikisha hili, na unaweza kwenda kuendelea na kazi”Aliongea na kisha Nasra alitoka huku muda wote akimuwazia Roma .

“Mimi nitampa Pongezi kwa kumpa kitumbua changu afokonyoe mpaka achoke”Alijiwazia mrembo huyu wakati akiwa anatoka na tabasamu likiwa nje nje.

“Sasa Doris huu mkataba nataka ukausome , uelewe , lakini nikutahadharishe kwamba mkataba huu utahitaji uwekezaji mkubwa sana Zaidi ya asilimia themanini ya pesa yote nitaiwekeza hapa , hivyo swala hili liwe siri na utaniwakilisha katika kusaini mkataba huu Japani na Roma Atakusindikiza kama mkalimani wako.

Doris alitoa macho baada ya kuambiwa kuwa ataenda na Roma kwenye safari hio ya kuelekea japani kusaini mkataba huo unaohusu mapesa karibia yote ya kampuni.

****

Ni ndani ya makao makuu ya nchi , pembezoni kidogo ndani ya jijji hili mtaa mmoa uliokuwa ukifahamika kwa jina la Magufuli , sehemu ambayo majumba mengi yaliokuwa yakionekana ndani ya hili eneo kuwa ya kifahari ,katika moja ya jumba moja walionekana watu wakiwa wanaingia na kutoka na sio watu tu pia hata magari mbalimbali yalikuwa yakiingia ndani hapa na kutoka na karibia magari yote yalionekana kuwa ya kifahari.

Ndani ya uzio wa jumba hili kulionekana kukiwa na maturubai yaliokuwa yamepangwa kwa ustadi kukiwa na viti vingi vilivyokaliwa na watu ambao walikuwa na mavazi meusi wengi wao , wakiwa na nyuso za huzuni.

Jumba hili lilikuwa kubwa mno na lilionesha mtu anaemiliki hili jumba alikuwa na pesa nyingi .

“Pole sana Meya kwa kuondokewa na kijana wako”Aliongea mkuu wa mkoa wa Dodoma akimpa Meya pole kwa kuondokewa na kijana wake wa pekee.

“Asante sana Temba , inaniuma sana kwa kumpoteza kijana kama Karim , alikuwa nido mrithi wangu”Mzee huyu alionekana kuwa kwenye majonzi makubwa.

Wageni mbali mbali walifika ndani ya hili jumba kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi za msiba ,Mzee Bakari Meya wa hili jiji la Dodoma alionekana kupendwa sana , kwani watu waliokuwa hapa ndani hawakuwa wachache.

Pole zilikuwa nyingi sana na mzee huyu pamoja na mke wake na watoto wao wa kike , walionekana kuzipokea kwa moyo mkunjufu kabisa.

Baada ya dakika kadhaa kupita , aliingia ndani ya hili eneo Abubakari CEO wa JR na alionekana na yeye alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kutoa salamu za Rambirambi.

Meya baada ya kumuona Abuu alijikuta akipatwa na hali flani ya tumaini kwenye uso wake , alisalimiana na Abu na kupokea pole kutoka kwa kijaa huyu.

“Washafika?”Aliuliza Abu

“Ndio wapo wote ndani hapa”

“Ni vyema tukianza hili swala kabla hatuaelekea makaburini kumpuzisha kijana maana taratibu za kiislamu za kuzika ni tofauti na za kikristo , hatutakiwi kuchelewesha mwili wa marehemu”Aliongea Abu na mzee huyu alitingisha kichwa na kisha aligeuka na kuangalia upande wa kushoto na kumuona kijana mweusi hivi mrefu alievalia suti mwenye ndevu nyingi kama mtalibani , ila amependeza maana zilikuwa ziking`aa sio kama zile za watalibani , bwana huyu mara baada ya kumuona Meya anamwangalia alisogea mpaka alipo.

“Hassan tuma ujumbe kwa wanabodi na tukutane ndani ya dakika tano ofisini kwangu”Aliongea mzee huyu na Hassani akaondoka .

Baada ya dakika chache Mashekhe walianza kusoma swala ya kuuombea mwili wa Marehemu , lakini ndani ya hili eneo Meya hakuonekana , ila hawakujali kwani waliendelea na shughuli hio.

Upande mwingine ndani ya jumba hili ndani ya chumba kikubwa walionekana watu sita wanaume, wakiwa wamezunguka meza kubwa sana , watu hawa wenye sura ambazo zilionekana kuwa na ukwasi mkubwa uliokuwa nyuma yao , maana siku zote umasikini haujifichi lakini pia utajiri vile vile haujifichi na mabwana hawa walionesha kabisa hali ya pesa katika maisha yao haikuwa ni ya kujificha.

Watu hawa walikuwa wakifahamika kwa majina yao , kwani wote walikuwa na nafasi nyeti serikalini , kuna waliokuwa ni wabunge na mawaziri , kuna waliokuwa ni wakuu wa mkoa na kuna waliokuwa wafanya biashara akiwemo Abubakari Hamad.

“Hili jambo limetuhudhunisha sana ,kuona kijana mchapa kazi kama Karim kufa kifo cha kikatili namna ile”Aliongea mkuu flani wa mkoa.

“Ni kweli kabisa na tupo mahali hapa kwa ajili ya kujadiliana tunafanya vipi ili kuhakikisha tunapoza machungu yetu kwa kulipiza kisasi”Aliongea wazri wa Wwizara Fulani.

“Karim alikuwa ndio nguvu ya Black Mamba mimi nimeumia sana na nipo tayari kufanya lolote”Aliongea mbunge wa jimbo Fulani.

“Nimewasikia vyema waheshimiwa na mimi niseme pia nipo na Zaidi ya uchungu , lakini pia sio mimi mwenyewe pamoja na nyie wote hapa na The Doni pia ameguswa na swala hili sana na yupo tayari kwa kuunga mkono mpango wowote tutakaoupanga juu ya kulipiza kisasi”Aliongea Meya.

“Nadhani uweke mpango wote wazi kwa sasa ili tuone kama unafaa au haufai na kama unafaa una mapungufu gani na ni michango gani tunapaswa kufanya katika kukamilisha huo mpango”Aliongea Mfanyakazi Fulani wa Ikulu na Meya alimangalia Abuu aweke mpango Mezani

“Yamakuza ,,…. Kusanyiko la wafanyabiashara nchini ………”Mpango huu mimi mwandishi wenu sikupata kuweza kupiga chabo ila nilichosikia ni kwamba huo mpango unahusu YAMAKUZA ,pamoja na kusanyiko la wafanyabiashara,Rejea kadi ya mwaliko ya Edna.

“Unahisi Edna hatagundua lolote juu ya hili?”Aliuliza Mkuu wa mkoa Fulani .

“Hawezi umesukwa huu mpango ukasukika na tutapiga ndege mmoja kwa jiwe moja , tutachukua kampuni na tutamuua Roma na kulipiza kisasi”Aliongea Abu na mabwana hawa wote waliridhishwa na maelezo hayo na kuubariki mpango huo kwa asilimia mia moja.

Je ni mpango gani ???”

GRUPU TUPO SEASON 02 NJOO NIKUUNGE AKWA KULIPIA 2000 TU GRUOU NI LA SIMULIZI HAKUNA KUCHAT , ILA PIA KAMA HAUPENDI KUUNGWA GRUPU UTATUMIWA INBOX KILA SIKU
NAMBA ZA MALIPO NI 0687151346 AIRTEL /0657192492 TIGO , UKILIPA TUMA MESEJI YA MUAMALA WATSAPP NAMBA 0687151346
 
SURA YA ISHIRINI NA MBILI .

Roma aliingia ndani ya jengo hili mapokezi na kumkuta mwanadada mmoja alievalia tisheti nyeusi na kofia ya Chepeo ya kampuni ya Nike na mkufu shingoni , mwanadada huyu hakuwa mrembo sana , kwani kwanza alionekana kama wale wanawake ‘matom boy’.

“Nipo hapa kwa aili ya kuonana na kiongozi mkuu wa kampuni ya PANZ”.Yule Dada alimwangalia Roma kwa kumsanifu.

“Wewe umetokea wapi?”.

“Nimetokea kampuni ya VEXTO na nipo hapa kwa ajili ya kuchukua marejesho ya mkopo”

“Okey nenda floor namba nne ndio ofisi ya Chief ilipo”Aliongea huyu mwanadada huku akitabasamu rohoni.

Wakati Roma akielekea juu , mwanadada huyu alipiga simu.

“Chifu leo kaja mwanaume kutoka VEXTO”.

“Mwache aje tumkate Ma**mbu”Yule mwanadada alijikuta akicheka kicheko cha furaha akionekana kufurahishwa na jambo hilo.

Roma baada ya kufika ndani ya hii ofisi kwanza alishangazwa na sauti alizokuwa akisikia , kulikuwa na mlio wa vimashine sio vimashine , ni kama mlio wa wadudu flani hivi.

“Ndio maana wakajiita mapanzi “Aliwaza Roma wakati akiingia ndani ya hili jengo.

Roma alishangazwa na muonekano wa Floor hii , kwanza kabisa hakukuwa na meza kama meza ambazo ungedhania kuwa humu ndani ni kampuni bali kulikuwa na vitanda vya Deka upande wa kulia vitatu , na vyote vikiwa na magodoro ambayo hayakuwa yametandikwa.

Chini kulikuwa na Zulia la rangi ya maua maua , huku wakionekana vijana watano waliokuwa wamekaa chini kwenye hili zulia na katikati yao kulikuwa na kijisturi na kwa haraka haraka Roma aligundua hii sio kampuni kama kampuni, jina hilo la kampuni walipewa ili kulinda kile kinachofanyika , ila hii sehemu aliweza kujua ni sehemu ya kupimia madawa ya kulevya , kwani kwa kutumia pua zake aliweza kuvuta hewa ambayo alikuwa akiitambua vyema ,harufu ya ‘Coccaine’.

“Hey! Jombaa , nadhani mabosi wako wameamua kukutoa kafara mpaka kukuagiza kuja hapa kutudai”Aliongea jamaa mmoja ambae alikuwa na mwili mkubwa sana uliojaa mazoezi na kuonesha dharau mbele ya Roma na wale wengine wakacheka.

“Kino huyu leo Chief atambadilisha jinsia”Aliongea jamaa mmoja mwenye midevu mwembamba aliekuwa akijikuna.

“Sikieni nyie wavuta bangi , nimekuja hapa kuonana na huyo chifu wenu anipe changu nisepe”Aliongea Roma na kuwafanya wale mabwana wamwangalie kwa ujasili wake , lakini waliishia kucheka tena, huku lile jitu lenye miraba mine lilichukua unga kidogo kwenye kucha na kunusa na alionekana kujibusti.

“Aiii .. traaaaa tatatata,,, traaaaa aiiii .. tiitiiii”Yule bwana alionekana kupagawisha na madawa yale na hapa Roma ndipo alipokuja kugundua kwanini alikuwa akisikia sauti kama za Panzi.

Lile jamaa linaloitwa Kino baada ya kuona ashabusti mwili alimwangalia Roma na kisha kumsogelea kwa njia ya kumpiga ngumi.

“Aaargh..”Kino alikuwa amepokea bao la uso lililompelekea damu kuanza kumvuja puani , alijishika puani huku akisikia maumivu ya ajabu na kisha akagusa zile damu kwa mshangao na kuzilamba huku hasira zikiongezeka maradufu,wenzake walishangazwa na kitendo kile Roma alichofanya kwa Kino

Jamaa baada ya kuona kadhalilishwa na Roma , hasira ziliongezeka na kurusha ngumi kwa pupa lakini Roma akaudaka ule mkono na kisha akauzungusha kwa nguvu kiasi cha kufanya Kino azunguke kama anachezeshwa Rumba na Roma alimpiga bonge la teke mgongoni na kwenda kutua kwenye ukuta huku akitanguliza pua ile iliopata majeraha sekunde chache zilizopita.

“Maaa … maaa ..aiii”Jamaa alitoa ukulele kwani katika maisha yake hajawahi kusukumwa na nguvu kama ile na kujigonga , maumivu yake yalikuwa sio ya kifani kabisa , aliona nyota nyota ,Roma hakumwacha vile vile aliendeleza kipigo na ndani ya dakika chache tu tu wale vijana wote walikuwa wamepiga magoti kwenye zulia hili ,huku kila mmoja akiwa na maumivu , kuna waliokuwa wakitokwa na damu puani , kuna waliokuwa wakitokwa na damu mdomoni , kuna ambaye alikuwa ameshika jicho lake.

“Chifu wenu yuko wapi?”Aliongea Roma huku akikagua madawa yaliokuwa kwenye kijisturi na akachukua unga kidogo na kuvuta.

“Mnavuta mabaki mabaki, halafu nimeuliza Chifu wenu yuko wapi hamjibu, au nianze”

“Chifu yuko chumba chake cha mapumziko huku akinyoosha mkono uelekeo wa chumba na Roma aliangalia na kuona mlango upande wa kushoto na kuufuata, lakini kabla ya kuufungua aligeuka nyuma.

“Ole wenu mtu yoyote akimbie”Na kisha akafungua na kuingia ndani.

Roma aliangalia chumba hiki na kukuta mwanaume mmoja mwenye mwili wa wastani , akiwa amemwinamisha mwanamke Mbuzi kagoma akisindilia mpini wake.

“Nyie mafala , acheni use***nge, kwani huo upupu niliowapa mtoe nyege zenu hautoshi”Aliongea mzee huyu pasipo kugeuka , alionekana alikuwa akikaribia mshindo na Roma aligundua hilo kwani alitembea na kupeleka mkono kwa nyuma na kushika Dudu kitendo kilichomfanya bwana yule ashituke.

“Uwiiii …. Arghhh.. unaniua wewe k*ma”Alipiga yowe huyu bwana baada ya Roma kuminya dudu yake huku bwana huyu akilala chali kwenye kitanda na mwanamke yule ambaye alionekana kuwa mama alishangazwa na kitendo hiko cha ghafla.

Roma hakuwa hata na kinyaa licha ya dudu la bwana huyu kuwa na utelezi , baada ya kuona mateso hayo yamemridhisha alimuachia .

“Na wewe ondoka”Aliongea Roma huku akimfukuza yule mwanamke na alichukua nguo zake na kukimbilia uchi nje.

Roma baada ya kumwachia Chifu , alianza kukagua chumba hiki kikubwa kilichokuwa na kabati huku akimpa mgongo chifu ,Roma alifungua kabati moja na kutoa macho baada ya kukuta maburungutu ya hela yamepangwa kwenye kabati hili .

Chifu baada ya kuona Roma amempa kisogo na hakuwa na habari nae , alichukua chupa iliokuwakwenye kijimeza cha kitanda na kumsoglea Roma huku akiwa ni mwenye kujikaza kwa maumivu aliokuwa akisikia .

Ni kama Roma alikuwa anamsubiria kwani ile anamkaribia aligeuka kwa spidi na kumtwanga ngumi ya jicho na kumfanya bwana huyu aone nyota nyota huku akitoa ukulele.

Roma aliendelea na ukaguzi wake , na kuvuta Droo na kuona bastora , aliitoa na kuitoa magazine kwa kitendo cha haraka sana na kuona kuna Risasi.

“Barreta 582 ya 1984” Aliongea Roma aliikoki kwa haraka na kisha akamgeukia Chifu, na kumnyooshea na bwana yule alinwangalia kwa jicho moja na kuanza kutetemeka.

“Unadaiwa kiasi gani na VEXTO?”

“Tulikopa bilioni moja ila tulitakiwa kurudisha Bilioni mbili”

“Sasa kwanini hamjarudisha mpaka sasa?”Aliongea Roma huku akiwa amekalia kiti na bwana huyu akiwa amepiga magoti akimwangalia Roma kwa woga.

“Bossi alitupa maagizo tusirudishe”.

“Bosi wenu ni nani?”Jamaa alionekana kuwa na wasiwasi sana kutaa jina la Bosi na Roma alilijua hilo aliingiza kidole kwenye Triga.

“Naongea usiniue”

“Ongea sasa …”

“Bossi wetu ni Hassani”.

“Acha upuuzi mimi nitamjuaje Hassani , ongea vizuri Hassani ni nani , nataka melezo ambayo yatanifanya nimjue harakaharaka”.

“Ni kiongozi mpya wa kundi la Black Mamba”Aliongea huyu bwana na hapa ndipo alipomkumbuka Karim aliemuua siku mbili nyuma.

“Sasa hapo nimekupata , lakini hujamalizia , huyu Hassani yukoje na kwanini aliwazuia kutolipa hela za Kampini mlizokopa”.

“Sikupewa maagizo mengine , Zaidi ya kuambiwa nisirudishe”Aliongea kwa woga

“Hapa ndani mna kiasi gani cha pesa?”Jamaa kimya na Roma akanyanyika kumsogelea .

“Zipo .. zipo milioni mia nne”.

“Na kwenye akaunti kuna ngapi”Jamaa kimya na Roma alizunguka kwa nyuma yake na kuingiza mkono upande wa kushoto wa mbavu na kumfanya bwana huyu atoe yowe.

“Kwenye akaunti kuna ngapi?”

“Bilioni .. bilioni mbili”Roma alitabasamu na kisha alimwambia bwana huyu anyanyuke na waelekee kwenye ofisi yake ,baada ya kutoka Roma aliwakuta watu wake wakiwa wamekaa vile vile na kuona yes , dozi imewaingia na wamekuwa na Adabu.

Roma alitabasamu baada ya kuona kifaa kama simu cha kufanyia miamala cha Equit bank .

“Tuma pesa zote kwenye akaunti hizi nitakazokutajia sasa hivi?”Aliongea huku akimuonyesha Chifu kwa ishara akae kwenye kiti chake cha ofisi na bwana huyu , alitamani kufanya jambo ila aliogopa”

“Bossi ataniua nikifanya kama anavyotaka?”

“Endelea kufikiria ujinga wako tu , nitakuua mimi sina utani, eniwei labda unaona nafanya utani ngoja nikuonyeshe kama niko siriasi”Aliongea Roma na kisha kwa haraka sana alimshika yule bwana kiganya cha mkono wa kushoto na kilichosikika ni viungo vya Jointi na misuli ikipishana.

Chifu alitoa ukulele wa aina yake kiasi kwamba hata vijana wake wa kazi nje walisikia na kuzidi kumuogopa Roma.

Chifu hakuwa na jinsi , hakutaka kuvunjwa kiganja kingine cha mikono , na alitii haraka haraka na kufanya kama alievyoelekezwa na ndani ya dakika chache , akaunti yake ilisoma Dollara mia nne na akatuma kiasi cha Bilioni moja na mia sita kwenye akaunti ya VEXTO.

Baada ya zoezi hilo kuisha , Roma alimwamuru kijana mmoja aliekuwa na nafuu kidogo na kumwambia aweke hela zote zilizokuwa kwenye kabati kwenye begi na ndani ya dakika chache akawa ashakamilisha kazi yake.

Ila bado hakuwa ameridhika , alivuta faili moa lililokuwa kwenye Meza na kuangalia na hapa akatabasamu.

“Enhe Chifu tumalizie , haya Magari yanayoonekana hapa kwenye hizi karatasi yako wapi?”Aliuliza Roma na Chifu kama kondoo alimwangallia Roma.

“Kwenye Basementi chini”Aliongea na Roma akatabasamu .

“Ongoza njia”

Roma alitoka kwenye hii ofisi na kisha akafunga mlango kwa nje na funguo akiwafungia wale wengine na kisha wakazama kwenye lift na chifu , ndani ya dakika tu walikuwa eneo la chini kabisa ya jengo hili na kwa mtu wa kawaida usingejua kuwa chini kuna Basementi ,tena kubwa kabisa , jambo hili pia lilimshangaza Roma.

Aliona sehemu ambavyo ilikuwa kama Maabara na alijua kwa vyoyvyote hapo ni sehemu ya kutengenezea madawa.

Wakati akiendelea kumfuatisha Chifu aliekuwa kwenye hali mbaya ya maumivu ya kiganja na jicho , alisikia sauti ya mguno alipopita kwenye Chumba kilichokuwa kikinekana kufungwa na mlango wa chuma , hisia za Roma hapo hapo zikamwambia kuwa hapo ndani kuna mtu.

“Humo ndani kuna nini,Hebu fungua”Aliongea Roma na Chifu alisogelea chumba hiko na kukifungua kwa funguo iliokuwa ipo upande wa kulia kwenye kiboksi na hapa ndipo Roma alipatwa na mshangao baada ya kumuona mtu aliekuwa hapo ndani akiwa hatamaniki kwa majeraha, alimsogelea mtu huyu aliefungwa kwa Kamba akining`inia , huku mwanga mdogo ukiwa unammulika , alimuinua kichwa chake kwa mikono yake na hapa ndipo aliposhangaa.

“Juma!!!”Aliongea Roma kwa mshangao na akajiuliza inakuwaje Juma akawa yupo mahali hapa , alimwangalia Chifu na kuonekana alikuwa akitaka maelezo.

“Nini kimetokea kwanini yupo hapa?”Hapa ndipo alipopewa mkasa wote na alikuja kugundua kumbe Juma alikuwa akihusika na kutekwa kwa Najma , alikasirika mno na alitamani kumpiga tena Juma , lakini kwa hali ya nusu uhai aliokuwa nayo Juma aliona aache.

“Juma alijichanganya sana kufanya kazi na Karim”Aliongea Roma huku akimkumbuka Najma , alijiuliza mwanadada huyo atakuwa kwenye hali gani, lakini pia alijiuliza kama atakuja kujua kuwa Juma anahusika na kutekwa kwake ingekuwaje.

SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

Roma baada ya kumaliza kumwangalia Juma alimwambia Chifu amuoneshe Magari yalipo na hapa chifu hakugoma maana ashakuwa mtumwa kwa Roma , na alifungua geti moja kwa Rimoti na hapa ndipo alipoona ndinga nyingi zikiwa ndani ya hili eneo , zilikuwa ni gari ambazo baada ya kuzihesabu haraka haraka zilikuwa kumi na zote zikiwa za kifahari na hazikuwa hata na pleti namba.

Roma aliangalia gari hizo na kisha akavutiwa na gari moja aina ya Aud Q7 toleo la 2021 .

“Bosi wako akija mwambie nimechukua hii Gari na akitaka malipo anifate”Aliongea Roma huku akimpa maelekezo Chifu atoe ufunguo , na funguo za magari yote alikuwa nazo mkononi kabla ya kushuka huku chini.

Dakika chache baadae Roma alitoka nje ya jengo hili la Zera akiwa na begi la hela pamoja na Juma aliempakia nyuma ambae hakuwa akijitambua .

Roma alipanga kumpeleka Juma hospitali ya Mbagala Zakhiem ,watu waliokuwa barabarani walishangaa ndinga inayochanja mbuga , tena ikiwa haina hata Pleti namba.

“Kuna watu wana magari na kuna watu wanausafiri” Alisikika kijana mmoja aliekuwa akiuza Matikiti.

Roma ile anafika Misheni ,sehemu ambayo kulikuwa kuna mgawanyiko wa barabara iliokuwa inaelekea Kijichi , alipigwa mkono na Trafiki wa kike na Roma hakutaka kuleta ubishi awamu hii, Trafiki yule ni kama sura yake ilikuwa inakujakuja hivi na kupotea , lakini ile anakaribia ndipo Roma alipomtambua.

Alikuwa ni Mage mwanamke aliemletea shida siku kadhaa nyuma na alikuwa kazini , mzuri kama kawaida lakini kauzu kama anafanya kazi Mochwari.

Mwanamke yule aligonga kioo na Roma alishusha na kumwangalia mwanamke huyu kwa tabasamu,Mage alimwnagalia Roma na moyo wake ukalipukwa na furaha.

“Yess huyu choko nimemkamata Tena , gari haina pleti namba na anaendesha anavyotoka , leo hachomoki labda sio mimi Mage”Aliwaza Mage huku akimwangalia Roma kwa hasira .

Kiufupi Mage alikuwa ni mwingi wa hasira , kila siku alivyokuwa akidamka kwa ajili ya kuingia kazini , alikuwa akimuwaza Roma tu , moyo wake uliumia , kwani katika maisha yake kwanza hakuwahi kudharauliwa , lakini pia hakuwa akipenda kushindwa , Mage alikuwa akiamua kufanya jambo mpaka alione linafikia mwisho wake na siku zote atahakikisha anashinda.

“Mungu baba naomba yule mtu afanye kosa lolote lile nimkamate , naamini kwa rehema zako baba hujali kile waja wako wanachokuomba , na mimi mja wako nimepiga magoti haya kukuombaili roho yangu inayoumia itulie naomba yule mtu afanye tena kosa na nimkamate mimi AMEN”

Hayo ndio maombi ya Mage ya siku mbili mfululizo kila anapoingia kazini anapiga magoti na kumuomba Mungu juu ya hitaji lake hilo na pia kila akirudi alimuomba Mungu.

Mage alikuwa akiishi Mikocheni kwa Warioba ndani ya Apartment za Ayo na alikuwa akiishi mwenyewe na hata mwanaume hakuwa nae , ila alikuwa na ‘Artificial Male Organ’Ambayo ilikuwa ikimridhisha.

Huyu mwanadada licha ya kuonekana mtu mwema na mpenda haki , ila alikuwa akifanya sana ‘Musterbation’ na viungo bandia na alikuwa ameathirika pakubwa , na ndio maana katika maisha yake hakuwahi kuonekana kuwa na mwanaume , na hata wazazi wake walimshangaa na baada ya kusumbuliwa sana , ndipo alipofanya shauri na kuhamia kwenye nyumba hizo ili apate uhuru wa kujiridhisha , hayo ndio yale ya ndani kabisa anayoyafanya Mage.

Lakini licha ya mambo hayo Maombi yake yakajibiwa kwa namna ambavyo hakutegemea maana ni ghafla sana

****

Mrembo Edna kama kawaida , alikuwa akipiga kazi kama vile hakuwa na pesa , kumbe mwanadada huyu alikuwa Tajiri mwenye pesa nyingi sana kiasi kwamba hata aamue kulala tu mpaka akizeeka hela zake haziishi.

Leo licha ya kuonekana kuwa na mengi ambayo alikuwa akiyafikiria , lakini bado mawazo hayo hayakumfanya kutoendelea na majukumu yake ya kazi.

Alionekana kuna karatasi aliokuwa akiisoma kwa umakini mkubwa kiasi kwamba kuna baadhi ya vitu alikuwa akivizungushia kwa wino , na ilionekana hakutaka kabisa kupitwa hata na nukta iliokuwa kwenye karatasi hio

Baada ya kusoma kwa muda kama wa nusu saa hivi , aliinua mkonga wake wa simu na kupiga .

“Doris njoo ofisini kwangu”

Aliongea Edna na kushusha mkonga wa simu hii ya mezani na ndani ya dakika chache Dorisi aliingia ndani ya ofisi hii , akiwa mrembo kama kawaida , huku leo hii akiwa amepigilia suti na miwani ya kimchongo na kumfanya azidi kupendeza.

“Naam Boss”.

“Natarajia kuingia dili nono na kampuni ya YAMAKUZA ya kijapani na leo hii nimepokea mkataba wa kibiashara kutoka kwao juu ya utengenezaji wa Malighafi mpya , ni dili nono sana na sifikirii hata mara moja kulikataa , kama malighafi hizi zikifanikiwa kuingia kwenye soko la ukanda huu wa Afrika, kampuni itakuwa imepiga hatua kubwa sana “Dorisi alishangaa na Edna akaendelea.

“Hili dili litafanyika baina ya kampuni mbili kwa hapa Nchini yaani ya kwetu na JR , mkataba huu utasainiwa nchini Japani….”Lakini kabla hajaendelea kuongea mara mlango ulifunguliwa, na Nasra na kuingia na wote wakamgeukia Nasra alieingia kwa pupa.

“Nasra kuna nini?”Aliuliza Dorisi akimwangaia Nasra aliekuwa anahema kama mbwa anaekimbizwa.

“Zimeingia bosi..”

“Zimeingia nini Nasra ongea”Aliuliza Edna.

“Muamala wa Dola bilioni moja na nusu umesoma , na umetokea kwa PANZI Security”.

Aliongea Nasra huku akionesha ni mwenye kujawa na furaha mno , hakuamini kama Roma alikuwa amefanikisha jambo ambalo wao walikuwa wamelishindwa kwa kipindi kirefu.

Edna aliachia Tabasamu lakini kwa upande wa Doris hakuwa akielewa chochote , licha ya kujua kuwa Kampuni ya PANZI Security walikuwa wakiwadai kiasi kikubwa cha pesa na walikataa kulipa , lakini muda huo kusikia kwamba PANZI wamelipa alishangaa ilikuwaje na alitaka kuelezwa na hapo ndipo nafasi hio akaichukua mwanadada Nasra na kuanza kueleza .

“Unamaanisha Roma ndio kaenda kufuata hizo pesa?”

“Ndio Dori.. japo sio kiasi chote tunachowadai ukijumlisha na Riba , lakini hela tuliowakopesha imerudi”Aliongea

Doris alimwangalia Edna na kujiuliza kwanini mwanamke huyu alimchagua Roma kwenda sehemu ya hatari kama hio , lakini pia alijiuliza imekuwaje Roma akafanikisha swala hilo , kwani lilishidikana hata kwa sheria.

“Sawa Nasra , utamkabidhi Roma kiasi nilichokuambia kama sehemu ya bonasi ya kufanikisha hili, na unaweza kwenda kuendelea na kazi”Aliongea na kisha Nasra alitoka huku muda wote akimuwazia Roma .

“Mimi nitampa Pongezi kwa kumpa kitumbua changu afokonyoe mpaka achoke”Alijiwazia mrembo huyu wakati akiwa anatoka na tabasamu likiwa nje nje.

“Sasa Doris huu mkataba nataka ukausome , uelewe , lakini nikutahadharishe kwamba mkataba huu utahitaji uwekezaji mkubwa sana Zaidi ya asilimia themanini ya pesa yote nitaiwekeza hapa , hivyo swala hili liwe siri na utaniwakilisha katika kusaini mkataba huu Japani na Roma Atakusindikiza kama mkalimani wako.

Doris alitoa macho baada ya kuambiwa kuwa ataenda na Roma kwenye safari hio ya kuelekea japani kusaini mkataba huo unaohusu mapesa karibia yote ya kampuni.

****

Ni ndani ya makao makuu ya nchi , pembezoni kidogo ndani ya jijji hili mtaa mmoa uliokuwa ukifahamika kwa jina la Magufuli , sehemu ambayo majumba mengi yaliokuwa yakionekana ndani ya hili eneo kuwa ya kifahari ,katika moja ya jumba moja walionekana watu wakiwa wanaingia na kutoka na sio watu tu pia hata magari mbalimbali yalikuwa yakiingia ndani hapa na kutoka na karibia magari yote yalionekana kuwa ya kifahari.

Ndani ya uzio wa jumba hili kulionekana kukiwa na maturubai yaliokuwa yamepangwa kwa ustadi kukiwa na viti vingi vilivyokaliwa na watu ambao walikuwa na mavazi meusi wengi wao , wakiwa na nyuso za huzuni.

Jumba hili lilikuwa kubwa mno na lilionesha mtu anaemiliki hili jumba alikuwa na pesa nyingi .

“Pole sana Meya kwa kuondokewa na kijana wako”Aliongea mkuu wa mkoa wa Dodoma akimpa Meya pole kwa kuondokewa na kijana wake wa pekee.

“Asante sana Temba , inaniuma sana kwa kumpoteza kijana kama Karim , alikuwa nido mrithi wangu”Mzee huyu alionekana kuwa kwenye majonzi makubwa.

Wageni mbali mbali walifika ndani ya hili jumba kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi za msiba ,Mzee Bakari Meya wa hili jiji la Dodoma alionekana kupendwa sana , kwani watu waliokuwa hapa ndani hawakuwa wachache.

Pole zilikuwa nyingi sana na mzee huyu pamoja na mke wake na watoto wao wa kike , walionekana kuzipokea kwa moyo mkunjufu kabisa.

Baada ya dakika kadhaa kupita , aliingia ndani ya hili eneo Abubakari CEO wa JR na alionekana na yeye alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kutoa salamu za Rambirambi.

Meya baada ya kumuona Abuu alijikuta akipatwa na hali flani ya tumaini kwenye uso wake , alisalimiana na Abu na kupokea pole kutoka kwa kijaa huyu.

“Washafika?”Aliuliza Abu

“Ndio wapo wote ndani hapa”

“Ni vyema tukianza hili swala kabla hatuaelekea makaburini kumpuzisha kijana maana taratibu za kiislamu za kuzika ni tofauti na za kikristo , hatutakiwi kuchelewesha mwili wa marehemu”Aliongea Abu na mzee huyu alitingisha kichwa na kisha aligeuka na kuangalia upande wa kushoto na kumuona kijana mweusi hivi mrefu alievalia suti mwenye ndevu nyingi kama mtalibani , ila amependeza maana zilikuwa ziking`aa sio kama zile za watalibani , bwana huyu mara baada ya kumuona Meya anamwangalia alisogea mpaka alipo.

“Hassan tuma ujumbe kwa wanabodi na tukutane ndani ya dakika tano ofisini kwangu”Aliongea mzee huyu na Hassani akaondoka .

Baada ya dakika chache Mashekhe walianza kusoma swala ya kuuombea mwili wa Marehemu , lakini ndani ya hili eneo Meya hakuonekana , ila hawakujali kwani waliendelea na shughuli hio.

Upande mwingine ndani ya jumba hili ndani ya chumba kikubwa walionekana watu sita wanaume, wakiwa wamezunguka meza kubwa sana , watu hawa wenye sura ambazo zilionekana kuwa na ukwasi mkubwa uliokuwa nyuma yao , maana siku zote umasikini haujifichi lakini pia utajiri vile vile haujifichi na mabwana hawa walionesha kabisa hali ya pesa katika maisha yao haikuwa ni ya kujificha.

Watu hawa walikuwa wakifahamika kwa majina yao , kwani wote walikuwa na nafasi nyeti serikalini , kuna waliokuwa ni wabunge na mawaziri , kuna waliokuwa ni wakuu wa mkoa na kuna waliokuwa wafanya biashara akiwemo Abubakari Hamad.

“Hili jambo limetuhudhunisha sana ,kuona kijana mchapa kazi kama Karim kufa kifo cha kikatili namna ile”Aliongea mkuu flani wa mkoa.

“Ni kweli kabisa na tupo mahali hapa kwa ajili ya kujadiliana tunafanya vipi ili kuhakikisha tunapoza machungu yetu kwa kulipiza kisasi”Aliongea wazri wa Wwizara Fulani.

“Karim alikuwa ndio nguvu ya Black Mamba mimi nimeumia sana na nipo tayari kufanya lolote”Aliongea mbunge wa jimbo Fulani.

“Nimewasikia vyema waheshimiwa na mimi niseme pia nipo na Zaidi ya uchungu , lakini pia sio mimi mwenyewe pamoja na nyie wote hapa na The Doni pia ameguswa na swala hili sana na yupo tayari kwa kuunga mkono mpango wowote tutakaoupanga juu ya kulipiza kisasi”Aliongea Meya.

“Nadhani uweke mpango wote wazi kwa sasa ili tuone kama unafaa au haufai na kama unafaa una mapungufu gani na ni michango gani tunapaswa kufanya katika kukamilisha huo mpango”Aliongea Mfanyakazi Fulani wa Ikulu na Meya alimangalia Abuu aweke mpango Mezani

“Yamakuza ,,…. Kusanyiko la wafanyabiashara nchini ………”Mpango huu mimi mwandishi wenu sikupata kuweza kupiga chabo ila nilichosikia ni kwamba huo mpango unahusu YAMAKUZA ,pamoja na kusanyiko la wafanyabiashara,Rejea kadi ya mwaliko ya Edna.

“Unahisi Edna hatagundua lolote juu ya hili?”Aliuliza Mkuu wa mkoa Fulani .

“Hawezi umesukwa huu mpango ukasukika na tutapiga ndege mmoja kwa jiwe moja , tutachukua kampuni na tutamuua Roma na kulipiza kisasi”Aliongea Abu na mabwana hawa wote waliridhishwa na maelezo hayo na kuubariki mpango huo kwa asilimia mia moja.

Je ni mpango gani ???”

GRUPU TUPO SEASON 02 NJOO NIKUUNGE AKWA KULIPIA 2000 TU GRUOU NI LA SIMULIZI HAKUNA KUCHAT , ILA PIA KAMA HAUPENDI KUUNGWA GRUPU UTATUMIWA INBOX KILA SIKU
NAMBA ZA MALIPO NI 0687151346 AIRTEL /0657192492 TIGO , UKILIPA TUMA MESEJI YA MUAMALA WATSAPP NAMBA 0687151346
Safi sana Mkuu mzigo uko hot sanaaa...... sema naona wadau wamesubiri mpaka wakakata tamaa ila watarudiii
 
SURA YA ISHIRINI NA MBILI .

Roma aliingia ndani ya jengo hili mapokezi na kumkuta mwanadada mmoja alievalia tisheti nyeusi na kofia ya Chepeo ya kampuni ya Nike na mkufu shingoni , mwanadada huyu hakuwa mrembo sana , kwani kwanza alionekana kama wale wanawake ‘matom boy’.

“Nipo hapa kwa aili ya kuonana na kiongozi mkuu wa kampuni ya PANZ”.Yule Dada alimwangalia Roma kwa kumsanifu.

“Wewe umetokea wapi?”.

“Nimetokea kampuni ya VEXTO na nipo hapa kwa ajili ya kuchukua marejesho ya mkopo”

“Okey nenda floor namba nne ndio ofisi ya Chief ilipo”Aliongea huyu mwanadada huku akitabasamu rohoni.

Wakati Roma akielekea juu , mwanadada huyu alipiga simu.

“Chifu leo kaja mwanaume kutoka VEXTO”.

“Mwache aje tumkate Ma**mbu”Yule mwanadada alijikuta akicheka kicheko cha furaha akionekana kufurahishwa na jambo hilo.

Roma baada ya kufika ndani ya hii ofisi kwanza alishangazwa na sauti alizokuwa akisikia , kulikuwa na mlio wa vimashine sio vimashine , ni kama mlio wa wadudu flani hivi.

“Ndio maana wakajiita mapanzi “Aliwaza Roma wakati akiingia ndani ya hili jengo.

Roma alishangazwa na muonekano wa Floor hii , kwanza kabisa hakukuwa na meza kama meza ambazo ungedhania kuwa humu ndani ni kampuni bali kulikuwa na vitanda vya Deka upande wa kulia vitatu , na vyote vikiwa na magodoro ambayo hayakuwa yametandikwa.

Chini kulikuwa na Zulia la rangi ya maua maua , huku wakionekana vijana watano waliokuwa wamekaa chini kwenye hili zulia na katikati yao kulikuwa na kijisturi na kwa haraka haraka Roma aligundua hii sio kampuni kama kampuni, jina hilo la kampuni walipewa ili kulinda kile kinachofanyika , ila hii sehemu aliweza kujua ni sehemu ya kupimia madawa ya kulevya , kwani kwa kutumia pua zake aliweza kuvuta hewa ambayo alikuwa akiitambua vyema ,harufu ya ‘Coccaine’.

“Hey! Jombaa , nadhani mabosi wako wameamua kukutoa kafara mpaka kukuagiza kuja hapa kutudai”Aliongea jamaa mmoja ambae alikuwa na mwili mkubwa sana uliojaa mazoezi na kuonesha dharau mbele ya Roma na wale wengine wakacheka.

“Kino huyu leo Chief atambadilisha jinsia”Aliongea jamaa mmoja mwenye midevu mwembamba aliekuwa akijikuna.

“Sikieni nyie wavuta bangi , nimekuja hapa kuonana na huyo chifu wenu anipe changu nisepe”Aliongea Roma na kuwafanya wale mabwana wamwangalie kwa ujasili wake , lakini waliishia kucheka tena, huku lile jitu lenye miraba mine lilichukua unga kidogo kwenye kucha na kunusa na alionekana kujibusti.

“Aiii .. traaaaa tatatata,,, traaaaa aiiii .. tiitiiii”Yule bwana alionekana kupagawisha na madawa yale na hapa Roma ndipo alipokuja kugundua kwanini alikuwa akisikia sauti kama za Panzi.

Lile jamaa linaloitwa Kino baada ya kuona ashabusti mwili alimwangalia Roma na kisha kumsogelea kwa njia ya kumpiga ngumi.

“Aaargh..”Kino alikuwa amepokea bao la uso lililompelekea damu kuanza kumvuja puani , alijishika puani huku akisikia maumivu ya ajabu na kisha akagusa zile damu kwa mshangao na kuzilamba huku hasira zikiongezeka maradufu,wenzake walishangazwa na kitendo kile Roma alichofanya kwa Kino

Jamaa baada ya kuona kadhalilishwa na Roma , hasira ziliongezeka na kurusha ngumi kwa pupa lakini Roma akaudaka ule mkono na kisha akauzungusha kwa nguvu kiasi cha kufanya Kino azunguke kama anachezeshwa Rumba na Roma alimpiga bonge la teke mgongoni na kwenda kutua kwenye ukuta huku akitanguliza pua ile iliopata majeraha sekunde chache zilizopita.

“Maaa … maaa ..aiii”Jamaa alitoa ukulele kwani katika maisha yake hajawahi kusukumwa na nguvu kama ile na kujigonga , maumivu yake yalikuwa sio ya kifani kabisa , aliona nyota nyota ,Roma hakumwacha vile vile aliendeleza kipigo na ndani ya dakika chache tu tu wale vijana wote walikuwa wamepiga magoti kwenye zulia hili ,huku kila mmoja akiwa na maumivu , kuna waliokuwa wakitokwa na damu puani , kuna waliokuwa wakitokwa na damu mdomoni , kuna ambaye alikuwa ameshika jicho lake.

“Chifu wenu yuko wapi?”Aliongea Roma huku akikagua madawa yaliokuwa kwenye kijisturi na akachukua unga kidogo na kuvuta.

“Mnavuta mabaki mabaki, halafu nimeuliza Chifu wenu yuko wapi hamjibu, au nianze”

“Chifu yuko chumba chake cha mapumziko huku akinyoosha mkono uelekeo wa chumba na Roma aliangalia na kuona mlango upande wa kushoto na kuufuata, lakini kabla ya kuufungua aligeuka nyuma.

“Ole wenu mtu yoyote akimbie”Na kisha akafungua na kuingia ndani.

Roma aliangalia chumba hiki na kukuta mwanaume mmoja mwenye mwili wa wastani , akiwa amemwinamisha mwanamke Mbuzi kagoma akisindilia mpini wake.

“Nyie mafala , acheni use***nge, kwani huo upupu niliowapa mtoe nyege zenu hautoshi”Aliongea mzee huyu pasipo kugeuka , alionekana alikuwa akikaribia mshindo na Roma aligundua hilo kwani alitembea na kupeleka mkono kwa nyuma na kushika Dudu kitendo kilichomfanya bwana yule ashituke.

“Uwiiii …. Arghhh.. unaniua wewe k*ma”Alipiga yowe huyu bwana baada ya Roma kuminya dudu yake huku bwana huyu akilala chali kwenye kitanda na mwanamke yule ambaye alionekana kuwa mama alishangazwa na kitendo hiko cha ghafla.

Roma hakuwa hata na kinyaa licha ya dudu la bwana huyu kuwa na utelezi , baada ya kuona mateso hayo yamemridhisha alimuachia .

“Na wewe ondoka”Aliongea Roma huku akimfukuza yule mwanamke na alichukua nguo zake na kukimbilia uchi nje.

Roma baada ya kumwachia Chifu , alianza kukagua chumba hiki kikubwa kilichokuwa na kabati huku akimpa mgongo chifu ,Roma alifungua kabati moja na kutoa macho baada ya kukuta maburungutu ya hela yamepangwa kwenye kabati hili .

Chifu baada ya kuona Roma amempa kisogo na hakuwa na habari nae , alichukua chupa iliokuwakwenye kijimeza cha kitanda na kumsoglea Roma huku akiwa ni mwenye kujikaza kwa maumivu aliokuwa akisikia .

Ni kama Roma alikuwa anamsubiria kwani ile anamkaribia aligeuka kwa spidi na kumtwanga ngumi ya jicho na kumfanya bwana huyu aone nyota nyota huku akitoa ukulele.

Roma aliendelea na ukaguzi wake , na kuvuta Droo na kuona bastora , aliitoa na kuitoa magazine kwa kitendo cha haraka sana na kuona kuna Risasi.

“Barreta 582 ya 1984” Aliongea Roma aliikoki kwa haraka na kisha akamgeukia Chifu, na kumnyooshea na bwana yule alinwangalia kwa jicho moja na kuanza kutetemeka.

“Unadaiwa kiasi gani na VEXTO?”

“Tulikopa bilioni moja ila tulitakiwa kurudisha Bilioni mbili”

“Sasa kwanini hamjarudisha mpaka sasa?”Aliongea Roma huku akiwa amekalia kiti na bwana huyu akiwa amepiga magoti akimwangalia Roma kwa woga.

“Bossi alitupa maagizo tusirudishe”.

“Bosi wenu ni nani?”Jamaa alionekana kuwa na wasiwasi sana kutaa jina la Bosi na Roma alilijua hilo aliingiza kidole kwenye Triga.

“Naongea usiniue”

“Ongea sasa …”

“Bossi wetu ni Hassani”.

“Acha upuuzi mimi nitamjuaje Hassani , ongea vizuri Hassani ni nani , nataka melezo ambayo yatanifanya nimjue harakaharaka”.

“Ni kiongozi mpya wa kundi la Black Mamba”Aliongea huyu bwana na hapa ndipo alipomkumbuka Karim aliemuua siku mbili nyuma.

“Sasa hapo nimekupata , lakini hujamalizia , huyu Hassani yukoje na kwanini aliwazuia kutolipa hela za Kampini mlizokopa”.

“Sikupewa maagizo mengine , Zaidi ya kuambiwa nisirudishe”Aliongea kwa woga

“Hapa ndani mna kiasi gani cha pesa?”Jamaa kimya na Roma akanyanyika kumsogelea .

“Zipo .. zipo milioni mia nne”.

“Na kwenye akaunti kuna ngapi”Jamaa kimya na Roma alizunguka kwa nyuma yake na kuingiza mkono upande wa kushoto wa mbavu na kumfanya bwana huyu atoe yowe.

“Kwenye akaunti kuna ngapi?”

“Bilioni .. bilioni mbili”Roma alitabasamu na kisha alimwambia bwana huyu anyanyuke na waelekee kwenye ofisi yake ,baada ya kutoka Roma aliwakuta watu wake wakiwa wamekaa vile vile na kuona yes , dozi imewaingia na wamekuwa na Adabu.

Roma alitabasamu baada ya kuona kifaa kama simu cha kufanyia miamala cha Equit bank .

“Tuma pesa zote kwenye akaunti hizi nitakazokutajia sasa hivi?”Aliongea huku akimuonyesha Chifu kwa ishara akae kwenye kiti chake cha ofisi na bwana huyu , alitamani kufanya jambo ila aliogopa”

“Bossi ataniua nikifanya kama anavyotaka?”

“Endelea kufikiria ujinga wako tu , nitakuua mimi sina utani, eniwei labda unaona nafanya utani ngoja nikuonyeshe kama niko siriasi”Aliongea Roma na kisha kwa haraka sana alimshika yule bwana kiganya cha mkono wa kushoto na kilichosikika ni viungo vya Jointi na misuli ikipishana.

Chifu alitoa ukulele wa aina yake kiasi kwamba hata vijana wake wa kazi nje walisikia na kuzidi kumuogopa Roma.

Chifu hakuwa na jinsi , hakutaka kuvunjwa kiganja kingine cha mikono , na alitii haraka haraka na kufanya kama alievyoelekezwa na ndani ya dakika chache , akaunti yake ilisoma Dollara mia nne na akatuma kiasi cha Bilioni moja na mia sita kwenye akaunti ya VEXTO.

Baada ya zoezi hilo kuisha , Roma alimwamuru kijana mmoja aliekuwa na nafuu kidogo na kumwambia aweke hela zote zilizokuwa kwenye kabati kwenye begi na ndani ya dakika chache akawa ashakamilisha kazi yake.

Ila bado hakuwa ameridhika , alivuta faili moa lililokuwa kwenye Meza na kuangalia na hapa akatabasamu.

“Enhe Chifu tumalizie , haya Magari yanayoonekana hapa kwenye hizi karatasi yako wapi?”Aliuliza Roma na Chifu kama kondoo alimwangallia Roma.

“Kwenye Basementi chini”Aliongea na Roma akatabasamu .

“Ongoza njia”

Roma alitoka kwenye hii ofisi na kisha akafunga mlango kwa nje na funguo akiwafungia wale wengine na kisha wakazama kwenye lift na chifu , ndani ya dakika tu walikuwa eneo la chini kabisa ya jengo hili na kwa mtu wa kawaida usingejua kuwa chini kuna Basementi ,tena kubwa kabisa , jambo hili pia lilimshangaza Roma.

Aliona sehemu ambavyo ilikuwa kama Maabara na alijua kwa vyoyvyote hapo ni sehemu ya kutengenezea madawa.

Wakati akiendelea kumfuatisha Chifu aliekuwa kwenye hali mbaya ya maumivu ya kiganja na jicho , alisikia sauti ya mguno alipopita kwenye Chumba kilichokuwa kikinekana kufungwa na mlango wa chuma , hisia za Roma hapo hapo zikamwambia kuwa hapo ndani kuna mtu.

“Humo ndani kuna nini,Hebu fungua”Aliongea Roma na Chifu alisogelea chumba hiko na kukifungua kwa funguo iliokuwa ipo upande wa kulia kwenye kiboksi na hapa ndipo Roma alipatwa na mshangao baada ya kumuona mtu aliekuwa hapo ndani akiwa hatamaniki kwa majeraha, alimsogelea mtu huyu aliefungwa kwa Kamba akining`inia , huku mwanga mdogo ukiwa unammulika , alimuinua kichwa chake kwa mikono yake na hapa ndipo aliposhangaa.

“Juma!!!”Aliongea Roma kwa mshangao na akajiuliza inakuwaje Juma akawa yupo mahali hapa , alimwangalia Chifu na kuonekana alikuwa akitaka maelezo.

“Nini kimetokea kwanini yupo hapa?”Hapa ndipo alipopewa mkasa wote na alikuja kugundua kumbe Juma alikuwa akihusika na kutekwa kwa Najma , alikasirika mno na alitamani kumpiga tena Juma , lakini kwa hali ya nusu uhai aliokuwa nayo Juma aliona aache.

“Juma alijichanganya sana kufanya kazi na Karim”Aliongea Roma huku akimkumbuka Najma , alijiuliza mwanadada huyo atakuwa kwenye hali gani, lakini pia alijiuliza kama atakuja kujua kuwa Juma anahusika na kutekwa kwake ingekuwaje.

SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

Roma baada ya kumaliza kumwangalia Juma alimwambia Chifu amuoneshe Magari yalipo na hapa chifu hakugoma maana ashakuwa mtumwa kwa Roma , na alifungua geti moja kwa Rimoti na hapa ndipo alipoona ndinga nyingi zikiwa ndani ya hili eneo , zilikuwa ni gari ambazo baada ya kuzihesabu haraka haraka zilikuwa kumi na zote zikiwa za kifahari na hazikuwa hata na pleti namba.

Roma aliangalia gari hizo na kisha akavutiwa na gari moja aina ya Aud Q7 toleo la 2021 .

“Bosi wako akija mwambie nimechukua hii Gari na akitaka malipo anifate”Aliongea Roma huku akimpa maelekezo Chifu atoe ufunguo , na funguo za magari yote alikuwa nazo mkononi kabla ya kushuka huku chini.

Dakika chache baadae Roma alitoka nje ya jengo hili la Zera akiwa na begi la hela pamoja na Juma aliempakia nyuma ambae hakuwa akijitambua .

Roma alipanga kumpeleka Juma hospitali ya Mbagala Zakhiem ,watu waliokuwa barabarani walishangaa ndinga inayochanja mbuga , tena ikiwa haina hata Pleti namba.

“Kuna watu wana magari na kuna watu wanausafiri” Alisikika kijana mmoja aliekuwa akiuza Matikiti.

Roma ile anafika Misheni ,sehemu ambayo kulikuwa kuna mgawanyiko wa barabara iliokuwa inaelekea Kijichi , alipigwa mkono na Trafiki wa kike na Roma hakutaka kuleta ubishi awamu hii, Trafiki yule ni kama sura yake ilikuwa inakujakuja hivi na kupotea , lakini ile anakaribia ndipo Roma alipomtambua.

Alikuwa ni Mage mwanamke aliemletea shida siku kadhaa nyuma na alikuwa kazini , mzuri kama kawaida lakini kauzu kama anafanya kazi Mochwari.

Mwanamke yule aligonga kioo na Roma alishusha na kumwangalia mwanamke huyu kwa tabasamu,Mage alimwnagalia Roma na moyo wake ukalipukwa na furaha.

“Yess huyu choko nimemkamata Tena , gari haina pleti namba na anaendesha anavyotoka , leo hachomoki labda sio mimi Mage”Aliwaza Mage huku akimwangalia Roma kwa hasira .

Kiufupi Mage alikuwa ni mwingi wa hasira , kila siku alivyokuwa akidamka kwa ajili ya kuingia kazini , alikuwa akimuwaza Roma tu , moyo wake uliumia , kwani katika maisha yake kwanza hakuwahi kudharauliwa , lakini pia hakuwa akipenda kushindwa , Mage alikuwa akiamua kufanya jambo mpaka alione linafikia mwisho wake na siku zote atahakikisha anashinda.

“Mungu baba naomba yule mtu afanye kosa lolote lile nimkamate , naamini kwa rehema zako baba hujali kile waja wako wanachokuomba , na mimi mja wako nimepiga magoti haya kukuombaili roho yangu inayoumia itulie naomba yule mtu afanye tena kosa na nimkamate mimi AMEN”

Hayo ndio maombi ya Mage ya siku mbili mfululizo kila anapoingia kazini anapiga magoti na kumuomba Mungu juu ya hitaji lake hilo na pia kila akirudi alimuomba Mungu.

Mage alikuwa akiishi Mikocheni kwa Warioba ndani ya Apartment za Ayo na alikuwa akiishi mwenyewe na hata mwanaume hakuwa nae , ila alikuwa na ‘Artificial Male Organ’Ambayo ilikuwa ikimridhisha.

Huyu mwanadada licha ya kuonekana mtu mwema na mpenda haki , ila alikuwa akifanya sana ‘Musterbation’ na viungo bandia na alikuwa ameathirika pakubwa , na ndio maana katika maisha yake hakuwahi kuonekana kuwa na mwanaume , na hata wazazi wake walimshangaa na baada ya kusumbuliwa sana , ndipo alipofanya shauri na kuhamia kwenye nyumba hizo ili apate uhuru wa kujiridhisha , hayo ndio yale ya ndani kabisa anayoyafanya Mage.

Lakini licha ya mambo hayo Maombi yake yakajibiwa kwa namna ambavyo hakutegemea maana ni ghafla sana

****

Mrembo Edna kama kawaida , alikuwa akipiga kazi kama vile hakuwa na pesa , kumbe mwanadada huyu alikuwa Tajiri mwenye pesa nyingi sana kiasi kwamba hata aamue kulala tu mpaka akizeeka hela zake haziishi.

Leo licha ya kuonekana kuwa na mengi ambayo alikuwa akiyafikiria , lakini bado mawazo hayo hayakumfanya kutoendelea na majukumu yake ya kazi.

Alionekana kuna karatasi aliokuwa akiisoma kwa umakini mkubwa kiasi kwamba kuna baadhi ya vitu alikuwa akivizungushia kwa wino , na ilionekana hakutaka kabisa kupitwa hata na nukta iliokuwa kwenye karatasi hio

Baada ya kusoma kwa muda kama wa nusu saa hivi , aliinua mkonga wake wa simu na kupiga .

“Doris njoo ofisini kwangu”

Aliongea Edna na kushusha mkonga wa simu hii ya mezani na ndani ya dakika chache Dorisi aliingia ndani ya ofisi hii , akiwa mrembo kama kawaida , huku leo hii akiwa amepigilia suti na miwani ya kimchongo na kumfanya azidi kupendeza.

“Naam Boss”.

“Natarajia kuingia dili nono na kampuni ya YAMAKUZA ya kijapani na leo hii nimepokea mkataba wa kibiashara kutoka kwao juu ya utengenezaji wa Malighafi mpya , ni dili nono sana na sifikirii hata mara moja kulikataa , kama malighafi hizi zikifanikiwa kuingia kwenye soko la ukanda huu wa Afrika, kampuni itakuwa imepiga hatua kubwa sana “Dorisi alishangaa na Edna akaendelea.

“Hili dili litafanyika baina ya kampuni mbili kwa hapa Nchini yaani ya kwetu na JR , mkataba huu utasainiwa nchini Japani….”Lakini kabla hajaendelea kuongea mara mlango ulifunguliwa, na Nasra na kuingia na wote wakamgeukia Nasra alieingia kwa pupa.

“Nasra kuna nini?”Aliuliza Dorisi akimwangaia Nasra aliekuwa anahema kama mbwa anaekimbizwa.

“Zimeingia bosi..”

“Zimeingia nini Nasra ongea”Aliuliza Edna.

“Muamala wa Dola bilioni moja na nusu umesoma , na umetokea kwa PANZI Security”.

Aliongea Nasra huku akionesha ni mwenye kujawa na furaha mno , hakuamini kama Roma alikuwa amefanikisha jambo ambalo wao walikuwa wamelishindwa kwa kipindi kirefu.

Edna aliachia Tabasamu lakini kwa upande wa Doris hakuwa akielewa chochote , licha ya kujua kuwa Kampuni ya PANZI Security walikuwa wakiwadai kiasi kikubwa cha pesa na walikataa kulipa , lakini muda huo kusikia kwamba PANZI wamelipa alishangaa ilikuwaje na alitaka kuelezwa na hapo ndipo nafasi hio akaichukua mwanadada Nasra na kuanza kueleza .

“Unamaanisha Roma ndio kaenda kufuata hizo pesa?”

“Ndio Dori.. japo sio kiasi chote tunachowadai ukijumlisha na Riba , lakini hela tuliowakopesha imerudi”Aliongea

Doris alimwangalia Edna na kujiuliza kwanini mwanamke huyu alimchagua Roma kwenda sehemu ya hatari kama hio , lakini pia alijiuliza imekuwaje Roma akafanikisha swala hilo , kwani lilishidikana hata kwa sheria.

“Sawa Nasra , utamkabidhi Roma kiasi nilichokuambia kama sehemu ya bonasi ya kufanikisha hili, na unaweza kwenda kuendelea na kazi”Aliongea na kisha Nasra alitoka huku muda wote akimuwazia Roma .

“Mimi nitampa Pongezi kwa kumpa kitumbua changu afokonyoe mpaka achoke”Alijiwazia mrembo huyu wakati akiwa anatoka na tabasamu likiwa nje nje.

“Sasa Doris huu mkataba nataka ukausome , uelewe , lakini nikutahadharishe kwamba mkataba huu utahitaji uwekezaji mkubwa sana Zaidi ya asilimia themanini ya pesa yote nitaiwekeza hapa , hivyo swala hili liwe siri na utaniwakilisha katika kusaini mkataba huu Japani na Roma Atakusindikiza kama mkalimani wako.

Doris alitoa macho baada ya kuambiwa kuwa ataenda na Roma kwenye safari hio ya kuelekea japani kusaini mkataba huo unaohusu mapesa karibia yote ya kampuni.

****

Ni ndani ya makao makuu ya nchi , pembezoni kidogo ndani ya jijji hili mtaa mmoa uliokuwa ukifahamika kwa jina la Magufuli , sehemu ambayo majumba mengi yaliokuwa yakionekana ndani ya hili eneo kuwa ya kifahari ,katika moja ya jumba moja walionekana watu wakiwa wanaingia na kutoka na sio watu tu pia hata magari mbalimbali yalikuwa yakiingia ndani hapa na kutoka na karibia magari yote yalionekana kuwa ya kifahari.

Ndani ya uzio wa jumba hili kulionekana kukiwa na maturubai yaliokuwa yamepangwa kwa ustadi kukiwa na viti vingi vilivyokaliwa na watu ambao walikuwa na mavazi meusi wengi wao , wakiwa na nyuso za huzuni.

Jumba hili lilikuwa kubwa mno na lilionesha mtu anaemiliki hili jumba alikuwa na pesa nyingi .

“Pole sana Meya kwa kuondokewa na kijana wako”Aliongea mkuu wa mkoa wa Dodoma akimpa Meya pole kwa kuondokewa na kijana wake wa pekee.

“Asante sana Temba , inaniuma sana kwa kumpoteza kijana kama Karim , alikuwa nido mrithi wangu”Mzee huyu alionekana kuwa kwenye majonzi makubwa.

Wageni mbali mbali walifika ndani ya hili jumba kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi za msiba ,Mzee Bakari Meya wa hili jiji la Dodoma alionekana kupendwa sana , kwani watu waliokuwa hapa ndani hawakuwa wachache.

Pole zilikuwa nyingi sana na mzee huyu pamoja na mke wake na watoto wao wa kike , walionekana kuzipokea kwa moyo mkunjufu kabisa.

Baada ya dakika kadhaa kupita , aliingia ndani ya hili eneo Abubakari CEO wa JR na alionekana na yeye alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kutoa salamu za Rambirambi.

Meya baada ya kumuona Abuu alijikuta akipatwa na hali flani ya tumaini kwenye uso wake , alisalimiana na Abu na kupokea pole kutoka kwa kijaa huyu.

“Washafika?”Aliuliza Abu

“Ndio wapo wote ndani hapa”

“Ni vyema tukianza hili swala kabla hatuaelekea makaburini kumpuzisha kijana maana taratibu za kiislamu za kuzika ni tofauti na za kikristo , hatutakiwi kuchelewesha mwili wa marehemu”Aliongea Abu na mzee huyu alitingisha kichwa na kisha aligeuka na kuangalia upande wa kushoto na kumuona kijana mweusi hivi mrefu alievalia suti mwenye ndevu nyingi kama mtalibani , ila amependeza maana zilikuwa ziking`aa sio kama zile za watalibani , bwana huyu mara baada ya kumuona Meya anamwangalia alisogea mpaka alipo.

“Hassan tuma ujumbe kwa wanabodi na tukutane ndani ya dakika tano ofisini kwangu”Aliongea mzee huyu na Hassani akaondoka .

Baada ya dakika chache Mashekhe walianza kusoma swala ya kuuombea mwili wa Marehemu , lakini ndani ya hili eneo Meya hakuonekana , ila hawakujali kwani waliendelea na shughuli hio.

Upande mwingine ndani ya jumba hili ndani ya chumba kikubwa walionekana watu sita wanaume, wakiwa wamezunguka meza kubwa sana , watu hawa wenye sura ambazo zilionekana kuwa na ukwasi mkubwa uliokuwa nyuma yao , maana siku zote umasikini haujifichi lakini pia utajiri vile vile haujifichi na mabwana hawa walionesha kabisa hali ya pesa katika maisha yao haikuwa ni ya kujificha.

Watu hawa walikuwa wakifahamika kwa majina yao , kwani wote walikuwa na nafasi nyeti serikalini , kuna waliokuwa ni wabunge na mawaziri , kuna waliokuwa ni wakuu wa mkoa na kuna waliokuwa wafanya biashara akiwemo Abubakari Hamad.

“Hili jambo limetuhudhunisha sana ,kuona kijana mchapa kazi kama Karim kufa kifo cha kikatili namna ile”Aliongea mkuu flani wa mkoa.

“Ni kweli kabisa na tupo mahali hapa kwa ajili ya kujadiliana tunafanya vipi ili kuhakikisha tunapoza machungu yetu kwa kulipiza kisasi”Aliongea wazri wa Wwizara Fulani.

“Karim alikuwa ndio nguvu ya Black Mamba mimi nimeumia sana na nipo tayari kufanya lolote”Aliongea mbunge wa jimbo Fulani.

“Nimewasikia vyema waheshimiwa na mimi niseme pia nipo na Zaidi ya uchungu , lakini pia sio mimi mwenyewe pamoja na nyie wote hapa na The Doni pia ameguswa na swala hili sana na yupo tayari kwa kuunga mkono mpango wowote tutakaoupanga juu ya kulipiza kisasi”Aliongea Meya.

“Nadhani uweke mpango wote wazi kwa sasa ili tuone kama unafaa au haufai na kama unafaa una mapungufu gani na ni michango gani tunapaswa kufanya katika kukamilisha huo mpango”Aliongea Mfanyakazi Fulani wa Ikulu na Meya alimangalia Abuu aweke mpango Mezani

“Yamakuza ,,…. Kusanyiko la wafanyabiashara nchini ………”Mpango huu mimi mwandishi wenu sikupata kuweza kupiga chabo ila nilichosikia ni kwamba huo mpango unahusu YAMAKUZA ,pamoja na kusanyiko la wafanyabiashara,Rejea kadi ya mwaliko ya Edna.

“Unahisi Edna hatagundua lolote juu ya hili?”Aliuliza Mkuu wa mkoa Fulani .

“Hawezi umesukwa huu mpango ukasukika na tutapiga ndege mmoja kwa jiwe moja , tutachukua kampuni na tutamuua Roma na kulipiza kisasi”Aliongea Abu na mabwana hawa wote waliridhishwa na maelezo hayo na kuubariki mpango huo kwa asilimia mia moja.

Je ni mpango gani ???”

GRUPU TUPO SEASON 02 NJOO NIKUUNGE AKWA KULIPIA 2000 TU GRUOU NI LA SIMULIZI HAKUNA KUCHAT , ILA PIA KAMA HAUPENDI KUUNGWA GRUPU UTATUMIWA INBOX KILA SIKU
NAMBA ZA MALIPO NI 0687151346 AIRTEL /0657192492 TIGO , UKILIPA TUMA MESEJI YA MUAMALA WATSAPP NAMBA 0687151346
Hawamjui Roma hawa, Abuu ulining'inizwa juu juu umeshasahau mara hii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
SURA YA ISHIRINI NA MBILI .

Roma aliingia ndani ya jengo hili mapokezi na kumkuta mwanadada mmoja alievalia tisheti nyeusi na kofia ya Chepeo ya kampuni ya Nike na mkufu shingoni , mwanadada huyu hakuwa mrembo sana , kwani kwanza alionekana kama wale wanawake ‘matom boy’.

“Nipo hapa kwa aili ya kuonana na kiongozi mkuu wa kampuni ya PANZ”.Yule Dada alimwangalia Roma kwa kumsanifu.

“Wewe umetokea wapi?”.

“Nimetokea kampuni ya VEXTO na nipo hapa kwa ajili ya kuchukua marejesho ya mkopo”

“Okey nenda floor namba nne ndio ofisi ya Chief ilipo”Aliongea huyu mwanadada huku akitabasamu rohoni.

Wakati Roma akielekea juu , mwanadada huyu alipiga simu.

“Chifu leo kaja mwanaume kutoka VEXTO”.

“Mwache aje tumkate Ma**mbu”Yule mwanadada alijikuta akicheka kicheko cha furaha akionekana kufurahishwa na jambo hilo.

Roma baada ya kufika ndani ya hii ofisi kwanza alishangazwa na sauti alizokuwa akisikia , kulikuwa na mlio wa vimashine sio vimashine , ni kama mlio wa wadudu flani hivi.

“Ndio maana wakajiita mapanzi “Aliwaza Roma wakati akiingia ndani ya hili jengo.

Roma alishangazwa na muonekano wa Floor hii , kwanza kabisa hakukuwa na meza kama meza ambazo ungedhania kuwa humu ndani ni kampuni bali kulikuwa na vitanda vya Deka upande wa kulia vitatu , na vyote vikiwa na magodoro ambayo hayakuwa yametandikwa.

Chini kulikuwa na Zulia la rangi ya maua maua , huku wakionekana vijana watano waliokuwa wamekaa chini kwenye hili zulia na katikati yao kulikuwa na kijisturi na kwa haraka haraka Roma aligundua hii sio kampuni kama kampuni, jina hilo la kampuni walipewa ili kulinda kile kinachofanyika , ila hii sehemu aliweza kujua ni sehemu ya kupimia madawa ya kulevya , kwani kwa kutumia pua zake aliweza kuvuta hewa ambayo alikuwa akiitambua vyema ,harufu ya ‘Coccaine’.

“Hey! Jombaa , nadhani mabosi wako wameamua kukutoa kafara mpaka kukuagiza kuja hapa kutudai”Aliongea jamaa mmoja ambae alikuwa na mwili mkubwa sana uliojaa mazoezi na kuonesha dharau mbele ya Roma na wale wengine wakacheka.

“Kino huyu leo Chief atambadilisha jinsia”Aliongea jamaa mmoja mwenye midevu mwembamba aliekuwa akijikuna.

“Sikieni nyie wavuta bangi , nimekuja hapa kuonana na huyo chifu wenu anipe changu nisepe”Aliongea Roma na kuwafanya wale mabwana wamwangalie kwa ujasili wake , lakini waliishia kucheka tena, huku lile jitu lenye miraba mine lilichukua unga kidogo kwenye kucha na kunusa na alionekana kujibusti.

“Aiii .. traaaaa tatatata,,, traaaaa aiiii .. tiitiiii”Yule bwana alionekana kupagawisha na madawa yale na hapa Roma ndipo alipokuja kugundua kwanini alikuwa akisikia sauti kama za Panzi.

Lile jamaa linaloitwa Kino baada ya kuona ashabusti mwili alimwangalia Roma na kisha kumsogelea kwa njia ya kumpiga ngumi.

“Aaargh..”Kino alikuwa amepokea bao la uso lililompelekea damu kuanza kumvuja puani , alijishika puani huku akisikia maumivu ya ajabu na kisha akagusa zile damu kwa mshangao na kuzilamba huku hasira zikiongezeka maradufu,wenzake walishangazwa na kitendo kile Roma alichofanya kwa Kino

Jamaa baada ya kuona kadhalilishwa na Roma , hasira ziliongezeka na kurusha ngumi kwa pupa lakini Roma akaudaka ule mkono na kisha akauzungusha kwa nguvu kiasi cha kufanya Kino azunguke kama anachezeshwa Rumba na Roma alimpiga bonge la teke mgongoni na kwenda kutua kwenye ukuta huku akitanguliza pua ile iliopata majeraha sekunde chache zilizopita.

“Maaa … maaa ..aiii”Jamaa alitoa ukulele kwani katika maisha yake hajawahi kusukumwa na nguvu kama ile na kujigonga , maumivu yake yalikuwa sio ya kifani kabisa , aliona nyota nyota ,Roma hakumwacha vile vile aliendeleza kipigo na ndani ya dakika chache tu tu wale vijana wote walikuwa wamepiga magoti kwenye zulia hili ,huku kila mmoja akiwa na maumivu , kuna waliokuwa wakitokwa na damu puani , kuna waliokuwa wakitokwa na damu mdomoni , kuna ambaye alikuwa ameshika jicho lake.

“Chifu wenu yuko wapi?”Aliongea Roma huku akikagua madawa yaliokuwa kwenye kijisturi na akachukua unga kidogo na kuvuta.

“Mnavuta mabaki mabaki, halafu nimeuliza Chifu wenu yuko wapi hamjibu, au nianze”

“Chifu yuko chumba chake cha mapumziko huku akinyoosha mkono uelekeo wa chumba na Roma aliangalia na kuona mlango upande wa kushoto na kuufuata, lakini kabla ya kuufungua aligeuka nyuma.

“Ole wenu mtu yoyote akimbie”Na kisha akafungua na kuingia ndani.

Roma aliangalia chumba hiki na kukuta mwanaume mmoja mwenye mwili wa wastani , akiwa amemwinamisha mwanamke Mbuzi kagoma akisindilia mpini wake.

“Nyie mafala , acheni use***nge, kwani huo upupu niliowapa mtoe nyege zenu hautoshi”Aliongea mzee huyu pasipo kugeuka , alionekana alikuwa akikaribia mshindo na Roma aligundua hilo kwani alitembea na kupeleka mkono kwa nyuma na kushika Dudu kitendo kilichomfanya bwana yule ashituke.

“Uwiiii …. Arghhh.. unaniua wewe k*ma”Alipiga yowe huyu bwana baada ya Roma kuminya dudu yake huku bwana huyu akilala chali kwenye kitanda na mwanamke yule ambaye alionekana kuwa mama alishangazwa na kitendo hiko cha ghafla.

Roma hakuwa hata na kinyaa licha ya dudu la bwana huyu kuwa na utelezi , baada ya kuona mateso hayo yamemridhisha alimuachia .

“Na wewe ondoka”Aliongea Roma huku akimfukuza yule mwanamke na alichukua nguo zake na kukimbilia uchi nje.

Roma baada ya kumwachia Chifu , alianza kukagua chumba hiki kikubwa kilichokuwa na kabati huku akimpa mgongo chifu ,Roma alifungua kabati moja na kutoa macho baada ya kukuta maburungutu ya hela yamepangwa kwenye kabati hili .

Chifu baada ya kuona Roma amempa kisogo na hakuwa na habari nae , alichukua chupa iliokuwakwenye kijimeza cha kitanda na kumsoglea Roma huku akiwa ni mwenye kujikaza kwa maumivu aliokuwa akisikia .

Ni kama Roma alikuwa anamsubiria kwani ile anamkaribia aligeuka kwa spidi na kumtwanga ngumi ya jicho na kumfanya bwana huyu aone nyota nyota huku akitoa ukulele.

Roma aliendelea na ukaguzi wake , na kuvuta Droo na kuona bastora , aliitoa na kuitoa magazine kwa kitendo cha haraka sana na kuona kuna Risasi.

“Barreta 582 ya 1984” Aliongea Roma aliikoki kwa haraka na kisha akamgeukia Chifu, na kumnyooshea na bwana yule alinwangalia kwa jicho moja na kuanza kutetemeka.

“Unadaiwa kiasi gani na VEXTO?”

“Tulikopa bilioni moja ila tulitakiwa kurudisha Bilioni mbili”

“Sasa kwanini hamjarudisha mpaka sasa?”Aliongea Roma huku akiwa amekalia kiti na bwana huyu akiwa amepiga magoti akimwangalia Roma kwa woga.

“Bossi alitupa maagizo tusirudishe”.

“Bosi wenu ni nani?”Jamaa alionekana kuwa na wasiwasi sana kutaa jina la Bosi na Roma alilijua hilo aliingiza kidole kwenye Triga.

“Naongea usiniue”

“Ongea sasa …”

“Bossi wetu ni Hassani”.

“Acha upuuzi mimi nitamjuaje Hassani , ongea vizuri Hassani ni nani , nataka melezo ambayo yatanifanya nimjue harakaharaka”.

“Ni kiongozi mpya wa kundi la Black Mamba”Aliongea huyu bwana na hapa ndipo alipomkumbuka Karim aliemuua siku mbili nyuma.

“Sasa hapo nimekupata , lakini hujamalizia , huyu Hassani yukoje na kwanini aliwazuia kutolipa hela za Kampini mlizokopa”.

“Sikupewa maagizo mengine , Zaidi ya kuambiwa nisirudishe”Aliongea kwa woga

“Hapa ndani mna kiasi gani cha pesa?”Jamaa kimya na Roma akanyanyika kumsogelea .

“Zipo .. zipo milioni mia nne”.

“Na kwenye akaunti kuna ngapi”Jamaa kimya na Roma alizunguka kwa nyuma yake na kuingiza mkono upande wa kushoto wa mbavu na kumfanya bwana huyu atoe yowe.

“Kwenye akaunti kuna ngapi?”

“Bilioni .. bilioni mbili”Roma alitabasamu na kisha alimwambia bwana huyu anyanyuke na waelekee kwenye ofisi yake ,baada ya kutoka Roma aliwakuta watu wake wakiwa wamekaa vile vile na kuona yes , dozi imewaingia na wamekuwa na Adabu.

Roma alitabasamu baada ya kuona kifaa kama simu cha kufanyia miamala cha Equit bank .

“Tuma pesa zote kwenye akaunti hizi nitakazokutajia sasa hivi?”Aliongea huku akimuonyesha Chifu kwa ishara akae kwenye kiti chake cha ofisi na bwana huyu , alitamani kufanya jambo ila aliogopa”

“Bossi ataniua nikifanya kama anavyotaka?”

“Endelea kufikiria ujinga wako tu , nitakuua mimi sina utani, eniwei labda unaona nafanya utani ngoja nikuonyeshe kama niko siriasi”Aliongea Roma na kisha kwa haraka sana alimshika yule bwana kiganya cha mkono wa kushoto na kilichosikika ni viungo vya Jointi na misuli ikipishana.

Chifu alitoa ukulele wa aina yake kiasi kwamba hata vijana wake wa kazi nje walisikia na kuzidi kumuogopa Roma.

Chifu hakuwa na jinsi , hakutaka kuvunjwa kiganja kingine cha mikono , na alitii haraka haraka na kufanya kama alievyoelekezwa na ndani ya dakika chache , akaunti yake ilisoma Dollara mia nne na akatuma kiasi cha Bilioni moja na mia sita kwenye akaunti ya VEXTO.

Baada ya zoezi hilo kuisha , Roma alimwamuru kijana mmoja aliekuwa na nafuu kidogo na kumwambia aweke hela zote zilizokuwa kwenye kabati kwenye begi na ndani ya dakika chache akawa ashakamilisha kazi yake.

Ila bado hakuwa ameridhika , alivuta faili moa lililokuwa kwenye Meza na kuangalia na hapa akatabasamu.

“Enhe Chifu tumalizie , haya Magari yanayoonekana hapa kwenye hizi karatasi yako wapi?”Aliuliza Roma na Chifu kama kondoo alimwangallia Roma.

“Kwenye Basementi chini”Aliongea na Roma akatabasamu .

“Ongoza njia”

Roma alitoka kwenye hii ofisi na kisha akafunga mlango kwa nje na funguo akiwafungia wale wengine na kisha wakazama kwenye lift na chifu , ndani ya dakika tu walikuwa eneo la chini kabisa ya jengo hili na kwa mtu wa kawaida usingejua kuwa chini kuna Basementi ,tena kubwa kabisa , jambo hili pia lilimshangaza Roma.

Aliona sehemu ambavyo ilikuwa kama Maabara na alijua kwa vyoyvyote hapo ni sehemu ya kutengenezea madawa.

Wakati akiendelea kumfuatisha Chifu aliekuwa kwenye hali mbaya ya maumivu ya kiganja na jicho , alisikia sauti ya mguno alipopita kwenye Chumba kilichokuwa kikinekana kufungwa na mlango wa chuma , hisia za Roma hapo hapo zikamwambia kuwa hapo ndani kuna mtu.

“Humo ndani kuna nini,Hebu fungua”Aliongea Roma na Chifu alisogelea chumba hiko na kukifungua kwa funguo iliokuwa ipo upande wa kulia kwenye kiboksi na hapa ndipo Roma alipatwa na mshangao baada ya kumuona mtu aliekuwa hapo ndani akiwa hatamaniki kwa majeraha, alimsogelea mtu huyu aliefungwa kwa Kamba akining`inia , huku mwanga mdogo ukiwa unammulika , alimuinua kichwa chake kwa mikono yake na hapa ndipo aliposhangaa.

“Juma!!!”Aliongea Roma kwa mshangao na akajiuliza inakuwaje Juma akawa yupo mahali hapa , alimwangalia Chifu na kuonekana alikuwa akitaka maelezo.

“Nini kimetokea kwanini yupo hapa?”Hapa ndipo alipopewa mkasa wote na alikuja kugundua kumbe Juma alikuwa akihusika na kutekwa kwa Najma , alikasirika mno na alitamani kumpiga tena Juma , lakini kwa hali ya nusu uhai aliokuwa nayo Juma aliona aache.

“Juma alijichanganya sana kufanya kazi na Karim”Aliongea Roma huku akimkumbuka Najma , alijiuliza mwanadada huyo atakuwa kwenye hali gani, lakini pia alijiuliza kama atakuja kujua kuwa Juma anahusika na kutekwa kwake ingekuwaje.

SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

Roma baada ya kumaliza kumwangalia Juma alimwambia Chifu amuoneshe Magari yalipo na hapa chifu hakugoma maana ashakuwa mtumwa kwa Roma , na alifungua geti moja kwa Rimoti na hapa ndipo alipoona ndinga nyingi zikiwa ndani ya hili eneo , zilikuwa ni gari ambazo baada ya kuzihesabu haraka haraka zilikuwa kumi na zote zikiwa za kifahari na hazikuwa hata na pleti namba.

Roma aliangalia gari hizo na kisha akavutiwa na gari moja aina ya Aud Q7 toleo la 2021 .

“Bosi wako akija mwambie nimechukua hii Gari na akitaka malipo anifate”Aliongea Roma huku akimpa maelekezo Chifu atoe ufunguo , na funguo za magari yote alikuwa nazo mkononi kabla ya kushuka huku chini.

Dakika chache baadae Roma alitoka nje ya jengo hili la Zera akiwa na begi la hela pamoja na Juma aliempakia nyuma ambae hakuwa akijitambua .

Roma alipanga kumpeleka Juma hospitali ya Mbagala Zakhiem ,watu waliokuwa barabarani walishangaa ndinga inayochanja mbuga , tena ikiwa haina hata Pleti namba.

“Kuna watu wana magari na kuna watu wanausafiri” Alisikika kijana mmoja aliekuwa akiuza Matikiti.

Roma ile anafika Misheni ,sehemu ambayo kulikuwa kuna mgawanyiko wa barabara iliokuwa inaelekea Kijichi , alipigwa mkono na Trafiki wa kike na Roma hakutaka kuleta ubishi awamu hii, Trafiki yule ni kama sura yake ilikuwa inakujakuja hivi na kupotea , lakini ile anakaribia ndipo Roma alipomtambua.

Alikuwa ni Mage mwanamke aliemletea shida siku kadhaa nyuma na alikuwa kazini , mzuri kama kawaida lakini kauzu kama anafanya kazi Mochwari.

Mwanamke yule aligonga kioo na Roma alishusha na kumwangalia mwanamke huyu kwa tabasamu,Mage alimwnagalia Roma na moyo wake ukalipukwa na furaha.

“Yess huyu choko nimemkamata Tena , gari haina pleti namba na anaendesha anavyotoka , leo hachomoki labda sio mimi Mage”Aliwaza Mage huku akimwangalia Roma kwa hasira .

Kiufupi Mage alikuwa ni mwingi wa hasira , kila siku alivyokuwa akidamka kwa ajili ya kuingia kazini , alikuwa akimuwaza Roma tu , moyo wake uliumia , kwani katika maisha yake kwanza hakuwahi kudharauliwa , lakini pia hakuwa akipenda kushindwa , Mage alikuwa akiamua kufanya jambo mpaka alione linafikia mwisho wake na siku zote atahakikisha anashinda.

“Mungu baba naomba yule mtu afanye kosa lolote lile nimkamate , naamini kwa rehema zako baba hujali kile waja wako wanachokuomba , na mimi mja wako nimepiga magoti haya kukuombaili roho yangu inayoumia itulie naomba yule mtu afanye tena kosa na nimkamate mimi AMEN”

Hayo ndio maombi ya Mage ya siku mbili mfululizo kila anapoingia kazini anapiga magoti na kumuomba Mungu juu ya hitaji lake hilo na pia kila akirudi alimuomba Mungu.

Mage alikuwa akiishi Mikocheni kwa Warioba ndani ya Apartment za Ayo na alikuwa akiishi mwenyewe na hata mwanaume hakuwa nae , ila alikuwa na ‘Artificial Male Organ’Ambayo ilikuwa ikimridhisha.

Huyu mwanadada licha ya kuonekana mtu mwema na mpenda haki , ila alikuwa akifanya sana ‘Musterbation’ na viungo bandia na alikuwa ameathirika pakubwa , na ndio maana katika maisha yake hakuwahi kuonekana kuwa na mwanaume , na hata wazazi wake walimshangaa na baada ya kusumbuliwa sana , ndipo alipofanya shauri na kuhamia kwenye nyumba hizo ili apate uhuru wa kujiridhisha , hayo ndio yale ya ndani kabisa anayoyafanya Mage.

Lakini licha ya mambo hayo Maombi yake yakajibiwa kwa namna ambavyo hakutegemea maana ni ghafla sana

****

Mrembo Edna kama kawaida , alikuwa akipiga kazi kama vile hakuwa na pesa , kumbe mwanadada huyu alikuwa Tajiri mwenye pesa nyingi sana kiasi kwamba hata aamue kulala tu mpaka akizeeka hela zake haziishi.

Leo licha ya kuonekana kuwa na mengi ambayo alikuwa akiyafikiria , lakini bado mawazo hayo hayakumfanya kutoendelea na majukumu yake ya kazi.

Alionekana kuna karatasi aliokuwa akiisoma kwa umakini mkubwa kiasi kwamba kuna baadhi ya vitu alikuwa akivizungushia kwa wino , na ilionekana hakutaka kabisa kupitwa hata na nukta iliokuwa kwenye karatasi hio

Baada ya kusoma kwa muda kama wa nusu saa hivi , aliinua mkonga wake wa simu na kupiga .

“Doris njoo ofisini kwangu”

Aliongea Edna na kushusha mkonga wa simu hii ya mezani na ndani ya dakika chache Dorisi aliingia ndani ya ofisi hii , akiwa mrembo kama kawaida , huku leo hii akiwa amepigilia suti na miwani ya kimchongo na kumfanya azidi kupendeza.

“Naam Boss”.

“Natarajia kuingia dili nono na kampuni ya YAMAKUZA ya kijapani na leo hii nimepokea mkataba wa kibiashara kutoka kwao juu ya utengenezaji wa Malighafi mpya , ni dili nono sana na sifikirii hata mara moja kulikataa , kama malighafi hizi zikifanikiwa kuingia kwenye soko la ukanda huu wa Afrika, kampuni itakuwa imepiga hatua kubwa sana “Dorisi alishangaa na Edna akaendelea.

“Hili dili litafanyika baina ya kampuni mbili kwa hapa Nchini yaani ya kwetu na JR , mkataba huu utasainiwa nchini Japani….”Lakini kabla hajaendelea kuongea mara mlango ulifunguliwa, na Nasra na kuingia na wote wakamgeukia Nasra alieingia kwa pupa.

“Nasra kuna nini?”Aliuliza Dorisi akimwangaia Nasra aliekuwa anahema kama mbwa anaekimbizwa.

“Zimeingia bosi..”

“Zimeingia nini Nasra ongea”Aliuliza Edna.

“Muamala wa Dola bilioni moja na nusu umesoma , na umetokea kwa PANZI Security”.

Aliongea Nasra huku akionesha ni mwenye kujawa na furaha mno , hakuamini kama Roma alikuwa amefanikisha jambo ambalo wao walikuwa wamelishindwa kwa kipindi kirefu.

Edna aliachia Tabasamu lakini kwa upande wa Doris hakuwa akielewa chochote , licha ya kujua kuwa Kampuni ya PANZI Security walikuwa wakiwadai kiasi kikubwa cha pesa na walikataa kulipa , lakini muda huo kusikia kwamba PANZI wamelipa alishangaa ilikuwaje na alitaka kuelezwa na hapo ndipo nafasi hio akaichukua mwanadada Nasra na kuanza kueleza .

“Unamaanisha Roma ndio kaenda kufuata hizo pesa?”

“Ndio Dori.. japo sio kiasi chote tunachowadai ukijumlisha na Riba , lakini hela tuliowakopesha imerudi”Aliongea

Doris alimwangalia Edna na kujiuliza kwanini mwanamke huyu alimchagua Roma kwenda sehemu ya hatari kama hio , lakini pia alijiuliza imekuwaje Roma akafanikisha swala hilo , kwani lilishidikana hata kwa sheria.

“Sawa Nasra , utamkabidhi Roma kiasi nilichokuambia kama sehemu ya bonasi ya kufanikisha hili, na unaweza kwenda kuendelea na kazi”Aliongea na kisha Nasra alitoka huku muda wote akimuwazia Roma .

“Mimi nitampa Pongezi kwa kumpa kitumbua changu afokonyoe mpaka achoke”Alijiwazia mrembo huyu wakati akiwa anatoka na tabasamu likiwa nje nje.

“Sasa Doris huu mkataba nataka ukausome , uelewe , lakini nikutahadharishe kwamba mkataba huu utahitaji uwekezaji mkubwa sana Zaidi ya asilimia themanini ya pesa yote nitaiwekeza hapa , hivyo swala hili liwe siri na utaniwakilisha katika kusaini mkataba huu Japani na Roma Atakusindikiza kama mkalimani wako.

Doris alitoa macho baada ya kuambiwa kuwa ataenda na Roma kwenye safari hio ya kuelekea japani kusaini mkataba huo unaohusu mapesa karibia yote ya kampuni.

****

Ni ndani ya makao makuu ya nchi , pembezoni kidogo ndani ya jijji hili mtaa mmoa uliokuwa ukifahamika kwa jina la Magufuli , sehemu ambayo majumba mengi yaliokuwa yakionekana ndani ya hili eneo kuwa ya kifahari ,katika moja ya jumba moja walionekana watu wakiwa wanaingia na kutoka na sio watu tu pia hata magari mbalimbali yalikuwa yakiingia ndani hapa na kutoka na karibia magari yote yalionekana kuwa ya kifahari.

Ndani ya uzio wa jumba hili kulionekana kukiwa na maturubai yaliokuwa yamepangwa kwa ustadi kukiwa na viti vingi vilivyokaliwa na watu ambao walikuwa na mavazi meusi wengi wao , wakiwa na nyuso za huzuni.

Jumba hili lilikuwa kubwa mno na lilionesha mtu anaemiliki hili jumba alikuwa na pesa nyingi .

“Pole sana Meya kwa kuondokewa na kijana wako”Aliongea mkuu wa mkoa wa Dodoma akimpa Meya pole kwa kuondokewa na kijana wake wa pekee.

“Asante sana Temba , inaniuma sana kwa kumpoteza kijana kama Karim , alikuwa nido mrithi wangu”Mzee huyu alionekana kuwa kwenye majonzi makubwa.

Wageni mbali mbali walifika ndani ya hili jumba kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi za msiba ,Mzee Bakari Meya wa hili jiji la Dodoma alionekana kupendwa sana , kwani watu waliokuwa hapa ndani hawakuwa wachache.

Pole zilikuwa nyingi sana na mzee huyu pamoja na mke wake na watoto wao wa kike , walionekana kuzipokea kwa moyo mkunjufu kabisa.

Baada ya dakika kadhaa kupita , aliingia ndani ya hili eneo Abubakari CEO wa JR na alionekana na yeye alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kutoa salamu za Rambirambi.

Meya baada ya kumuona Abuu alijikuta akipatwa na hali flani ya tumaini kwenye uso wake , alisalimiana na Abu na kupokea pole kutoka kwa kijaa huyu.

“Washafika?”Aliuliza Abu

“Ndio wapo wote ndani hapa”

“Ni vyema tukianza hili swala kabla hatuaelekea makaburini kumpuzisha kijana maana taratibu za kiislamu za kuzika ni tofauti na za kikristo , hatutakiwi kuchelewesha mwili wa marehemu”Aliongea Abu na mzee huyu alitingisha kichwa na kisha aligeuka na kuangalia upande wa kushoto na kumuona kijana mweusi hivi mrefu alievalia suti mwenye ndevu nyingi kama mtalibani , ila amependeza maana zilikuwa ziking`aa sio kama zile za watalibani , bwana huyu mara baada ya kumuona Meya anamwangalia alisogea mpaka alipo.

“Hassan tuma ujumbe kwa wanabodi na tukutane ndani ya dakika tano ofisini kwangu”Aliongea mzee huyu na Hassani akaondoka .

Baada ya dakika chache Mashekhe walianza kusoma swala ya kuuombea mwili wa Marehemu , lakini ndani ya hili eneo Meya hakuonekana , ila hawakujali kwani waliendelea na shughuli hio.

Upande mwingine ndani ya jumba hili ndani ya chumba kikubwa walionekana watu sita wanaume, wakiwa wamezunguka meza kubwa sana , watu hawa wenye sura ambazo zilionekana kuwa na ukwasi mkubwa uliokuwa nyuma yao , maana siku zote umasikini haujifichi lakini pia utajiri vile vile haujifichi na mabwana hawa walionesha kabisa hali ya pesa katika maisha yao haikuwa ni ya kujificha.

Watu hawa walikuwa wakifahamika kwa majina yao , kwani wote walikuwa na nafasi nyeti serikalini , kuna waliokuwa ni wabunge na mawaziri , kuna waliokuwa ni wakuu wa mkoa na kuna waliokuwa wafanya biashara akiwemo Abubakari Hamad.

“Hili jambo limetuhudhunisha sana ,kuona kijana mchapa kazi kama Karim kufa kifo cha kikatili namna ile”Aliongea mkuu flani wa mkoa.

“Ni kweli kabisa na tupo mahali hapa kwa ajili ya kujadiliana tunafanya vipi ili kuhakikisha tunapoza machungu yetu kwa kulipiza kisasi”Aliongea wazri wa Wwizara Fulani.

“Karim alikuwa ndio nguvu ya Black Mamba mimi nimeumia sana na nipo tayari kufanya lolote”Aliongea mbunge wa jimbo Fulani.

“Nimewasikia vyema waheshimiwa na mimi niseme pia nipo na Zaidi ya uchungu , lakini pia sio mimi mwenyewe pamoja na nyie wote hapa na The Doni pia ameguswa na swala hili sana na yupo tayari kwa kuunga mkono mpango wowote tutakaoupanga juu ya kulipiza kisasi”Aliongea Meya.

“Nadhani uweke mpango wote wazi kwa sasa ili tuone kama unafaa au haufai na kama unafaa una mapungufu gani na ni michango gani tunapaswa kufanya katika kukamilisha huo mpango”Aliongea Mfanyakazi Fulani wa Ikulu na Meya alimangalia Abuu aweke mpango Mezani

“Yamakuza ,,…. Kusanyiko la wafanyabiashara nchini ………”Mpango huu mimi mwandishi wenu sikupata kuweza kupiga chabo ila nilichosikia ni kwamba huo mpango unahusu YAMAKUZA ,pamoja na kusanyiko la wafanyabiashara,Rejea kadi ya mwaliko ya Edna.

“Unahisi Edna hatagundua lolote juu ya hili?”Aliuliza Mkuu wa mkoa Fulani .

“Hawezi umesukwa huu mpango ukasukika na tutapiga ndege mmoja kwa jiwe moja , tutachukua kampuni na tutamuua Roma na kulipiza kisasi”Aliongea Abu na mabwana hawa wote waliridhishwa na maelezo hayo na kuubariki mpango huo kwa asilimia mia moja.

Je ni mpango gani ???”

GRUPU TUPO SEASON 02 NJOO NIKUUNGE AKWA KULIPIA 2000 TU GRUOU NI LA SIMULIZI HAKUNA KUCHAT , ILA PIA KAMA HAUPENDI KUUNGWA GRUPU UTATUMIWA INBOX KILA SIKU
NAMBA ZA MALIPO NI 0687151346 AIRTEL /0657192492 TIGO , UKILIPA TUMA MESEJI YA MUAMALA WATSAPP NAMBA 0687151346
Roma atapona kweli?
 
Back
Top Bottom