Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

SEHEMU YA 194

Ni baada ya lisaa Edna na Roma walikuwa ndani ya hospitali moja ndani ya jiji la Paris huku kitandani akiwa amelala Harry , pembeni akiwepo mama yake Harry ambaye alikuwa amepewa taarifa ya uwepo wa mtoto wake hospitalini.

Harry alikutwa na ugonjwa wa kupungua Damu yaani Anaemia . licha ya vipimo vya daktari kuwa na ukakasi mwingi kutokana na hali ya ajabu aliokuwa nayo Haryy lakini aliishia kwenye hitimisho la Anaemia.

Mwanamke wa kizungu ambaye ni mama yake Harry alionekana kuwa kwenye majonzi mengi , kwani ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kwa mtoto wake kupata shida ya aina hio.

“Thank you so much. Our Harry had nothing wrong with him for the longest time, I really have no clue why he had such a sudden change.”

“Asanteni sana , Harry hakuwahi kupatwa na tatizo la kiafya kwa muda mrefu, nashindwa kuelewa ni nini kimemkumba ghafla”Aliongea mwanamke wa kizungu ambaye alikuwa mama yake Harry huku akiwaangalia Edna na Roma.

“Sio shida kubwa. Daktari alisema hatakuwa na matokeo mabaya yoyote. Ni kawaida kwa hali kama hizi kutokea kwa watoto. Unapaswa kuwa mwangalifu katika siku zijazo."Aliongea Roma , lakini kwa upande wa Edna alijua Roma alikuwa akidanganya kwani kilichompata Harry sio jambo la kawaida kabisa.

“Harry washukuru Uncle na Aunt , ndio waliokusaidia”Aliongea mama yake Haryy.

“Asante Uncle ,Asante dada”Aliongea Haryy akiwashukuru Roma na Edna kwa kumsaidia.

Edna na Roma kwakuwa walishamfikisha Harry sehemu husika, waliona hakuna lingine la kufanya hapo hospitalini ndio maana waliaga na kuondoka mpaka sehemu ambayo walikwa wameacha gari yao.

“Edna una mpango wa kukaa siku ngapi hapa Paris?”Aliuliza Roma.

“Kwanini unauliza?”

“Wewe nipe jibu?”

“Nimeamua kushiriki angalau kwa siku mbili kwenye maonyesho ya fasheni, vipi utanataka kurudi?”Aliuliza Edna pasipo kuelewa kuwa Roma alikuwa akiuliza kutokana na kwamba alikuwa na mpango wake kichwani wa Kwenda kuhudhuria mkutano wa siri unaofanyikia huko Le havre

“Nilitaka kujua tu mke wangu , hakuna kingine Zaidi”aliongea Roma huku akipotezea ile mada na muda huo huo walikuwa washalifikia gari lao lililowaleta hapo hospitalini.

Edna ndio aliekuwa wa kwanza kufungua mlango, lakini ajabu alijikuta akifunga kwa nguvu baada ya kuufungua na kumfanya Roma ashangae na kusogelea mlango huo na kuufungua na hapo ndipo alipoelewa kwanini Edna alikuwa amefunga mlango baada ya kuufungua , na hio ni kutokana na Stern na Alice walikuwa wakinyanduana kwenye gari paisipo ya kua na wasiwasi kabisa, na ilibidi Roma na yeye afunge mlango kusubiria wajiweke sawa ndio waingie.

“Jamani mtusamehe kwa kuwachelewesha , mnaweza kuingia sasa tushamaliza”Aliongea Alice bila aibu.

“Hata kama mnafanya mambo yenu pasipo kujali mazingira , hakikisheni mkimaliza upuuzi wenu mhakikishe mnasafisha , isije ikaonekana mke wangu ndio kaacha maharufu mabaya mabaya kwenye gari”Aliongea Roma baada ya kuingia kwenye gari , lakini kwa upande wa Edna alionekana kukosa utulivu , ukichanganya na harufu mbaya aliokuwa akiweza kuinusa kwenye pua zake.

Naam ilikuwa ni siku nyingine kabisa Asubuhi , Roma ilibidi aagane na Edna kwani hakuwa na mpango wa Kwenda kwenye maonyesho ya Fasheni bali alitaka aende kuhudhuria kikao cha siri , hivyo ilimbidi siku hio Edna kuondoka peke yake , Roma hakuwa amempa taarifa kamili Edna kama alikuwa anahudhuria kikao cha siri bali alitoa sababu nyingine kabisa ambayo wala Edna hakujihangaisha sana kufikiria juu ya sababu Roma aliotoa.

Edna ndie aliekuwa wa kwanza kutoka ndani ya jengo la hoteli na mpango wake siku hio ilikuwa ni kabla ya Kwenda kwenye maonyesho apitie hospitalini kwa ajili ya kumtembelea Harry kutokana na ahadi aliowekeana na mtoto huyo,

Stern na Alice ni kama walikuwa wakimsubiria Edna , kwani ile Edna anatoka kwenye mlango wa hoteli walimsogelea huku wakimuomba waongoke kwa Pamoja , Edna licha ya kutopenda kutumia gari moja na hao wapenzi , ila hakuwa na jinsi kwakua hakutaka kuonekana mtu mwenye Roho mbaya.

“Nitapitia kwanza Kumtembelea Harry kabla ya Kwenda kwenye maonyesho , kama halitawasumbua hilo tunaweza kuondoka wote”Aliongea Edna.

“Miss Edna wala hata usiwe na hofu , sisi tutakufuata popote pale unapoelekea”Aliongea Alice na Edna hakutaka kujishughulisha nao Zaidi ya kuingia kwenye gari na kumruhusu Dereva kuendesha mpaka maeneo ambayo angeweza kununua zawadi kwa ajili ya mtoto Harry , na kwakua Dereva alikuwa mzoefu , basi aliweza kuendesha gari mpaka sehemu husika , kwenye duka maalumu la mapambo mbalimbali Pamoja na maua , Edna alichagua mdoli mkubwa wa Sungura na kulipia na kisha aliamuru dereva kuendelea kuendesha mpaka Hospitalini.

Jambo ambalo Edna hakuwa amelijua kwa wakati huo ni kwamba kulikuwa na gari ambayo ilikuwa ikiwafuatilia tokea wanatoka hotelini na hata Edna alipokuwa ametoka kununua zawadi kwa ajili ya Harry Gari hio aina ya Bentley ilikuwa nyuma yao na baada ya wao kuondoka ile gari iliwaungia kwa nyuma na kuendelea kuwafatilia.

******

Upande mwingine kwenye bandari ya Le Havre , muda wa asubuhi sehemu ambayo meli kubwa ya Luois XVII ilipokuwa imesimamishwa , alionekana Fodessa akiwa na Boltoni wakiwa wamesimama , mbele kabisa ya meli hio walionekana walikuwa wakikaribisha wageni ambao walikuwa wakihudhuria kikao cha siri , kikao ambacho kilikuwa kikifanyika katika moja ya kambi ya kijeshi , iliokuwa ikipatikana ndani ya Le Havre.

Raia waliokuwa ndani ya hili eneo , licha ya kwamba walimuona Fodessa aliekuwa amevalia kombati ya jeshi , akipokea wageni , lakini hawakujishughulisha na kile kilichokuwa kikiendelea kabisa na walikuwa bize na majukumu yao yaliowafanya kuwa ndani ya eneo hilo la Bandari.

“Wamefika wageni wangapi mpaka sasa?”Aliuliza Fodesa huku akimwangalia Boltoni.

“Mpaka sasa wamefika wawakilishi wa kundi la Sea Eagles kutoka bahari ya Meditterranian , Dhoruba nyekund kutoka Marekani , Mossad , Zeros Organisation , Jaguar kutoka Amerika ya Kusini, Soviet Medal kutoka Urusi,Yamata Sect kutoka Japani….”Aliongea Boltoni huku ikionesha makundi mengi wawakilishi wake walikuwa tayari washafika.

“Kazi hii inaonekana kuwachosha sana , baada ya hiki kikao kuisha mtapatiwa likizo”Aliongea Fodesa huku akiangalia baadhi ya wafanyakazi wengine ambao wapo hapo kwa ajili ya kusimamia matayarisho ya kikao cha siri kinachoenda kufanyika.

Muda ule ule wakati wakiendelea kusubiria wageni , mara Mvua ilioambatana na wingu kubwa ilianza kunyesha na kumfanya Fodesa kushangaa , kwani muda mfupi tu ulipita hakuwa na dalili yoyote ya mvua.

“Kwanin inayesha Ghafla hivi?”

“Chief kuna wageni wanakuja”Aliongea Boltoni na pale pale walisogelewa na watu jamii ya Kijapani , mmoja akiwa ni mwanamke mwenye nywele ndefu , mtu mzima na mwingine akiwa ni msichana mdogo alievalia mavazi ya kitamaduni rangi ya bluu makadirio ya umri wa miaka kumi na tatu hivi , halafu mwingine alikuwa ni mwanaume aliekuwa amevalia joho la rangi nyeusi akiwa amelifunga na Kamba kiunoni , huku akiwa na Sime kubwa ndefu iliokuwa imefungwa kiunoni.

“Jamani tunaweza kuwatambua kwa majina yenu?”aliongea Fodesa.

“We’re from Takamagahara. I believe this is the first time I am meeting you. This one is Motakuto, I hope to get along well with you.”

“Tinatokea kundi la Takamagahara , Naamini hii ni mara ya kwanza kuonana , huyu hapa ni Motakuto , natumaini tutafahamina na kupatana vyema na nyie”Aliongea yule mwanamke mtu mzima akimtambulisha yule mtoto msichana mdogo kwa jina la Motukuto na kumfanya Fodesa amwangalie Boltoni kama mtu anaetaka maelezo.

“Chifu Takamahagara ni moja ya kundi kutoka Japani linaotumia nguvu za Zaida ni moja ya waalikwa ndani ya mkutano huu”Aliongea Boltoni na kumfanya Fodesa atingishe kichwa.

“Basi nafikiri Miss Motukuto hapa ndio anaekwenda kuwa mwakilishi wa kundi la Takamahagara?”

“Bwana Chifu umekosea , anaekwenda kutuwakilisha ni Jenerali mwenyewe”aliongea na kumfanya Fodesa kushangaa

“Yupo wapi huyo jenerali wenu?”

“Jeneral yule kule juu mlangoni?”Aliongea akinyoosha kidole na kumfanya Fodesa kugeuka na kweli alimuona mwanaume mwenye ndevu nyingi alievalia Keikogi(Mavazi flani ya kitamaduni ya kijapani) akiwa anawaangalia na kumfanya Fodesa ajiulize mtu yule kafikaje kule juu pasipo kupita kwao.

“Yule ndio Jenerali wetu , anafahamika kwajina la Nurarihyon, tunaomba mtuwie radhi kutokana na tabia ya jenerali wetu”Aliongea Motukuto.

“Hakuna shinda mnaweza kuendelea na kuingia kwenye meli”Aliongea Fodesa na kuwaruhusu wapite.

Kiufupi wageni wengi ambao walikuwa wamealikwa ndani ya huu mkutano walikuwa na sifa zao za kipekee sana, kuna waliokuwa walozi wa levo za juu kabisa ambao wamealikwa , kuna wapiganaji wakuu pia wamealikwa , makundi pia ya kimamluki pia yalikuwa yakihudhuria ndani ya mkutano huo, mbaya Zaidi ni ni kwamba ndani ya huu mkutano , kuna yale makundi ambayo yana uhasama na makundi mengine.

Zoezi la kupokea wageni lilikuwa kubwa mno kwani wageni walikuwa wengi sana ambao walikuwa wakihudhuria.

Baada ya kama masaa mawii ya kupita hatimae Roma aliekuwa akitembea kama analazimishwa akiwa alionekana akisogelea meli hio kubwa kwa ajili ya kuhudhutia , Fodesa na Boltoni ndio waliokuwa wakwanza kumuona
 
SEHEMU YA 195.

Kusema ukweli kwa muonekano wa Roma ilionyesha kabisa kutoka hotelini mpaka kufika ndani ya hili eno huenda alikuwa akitembea kwa miguu , kwani viatu vilikuwa na vumbi sio la kawaida kwa kuchafuka.

Roma hakuwa amevalia suti , bali alikuwa amevalia shati la kawaida , rangi nyeusi , Pamoja na suruali ya jeans huku mdomoni akiwa na sigara kwani alikuwa akivuta huku anatembea.

Fodessa muda wote alikuwa akimwangalia Roma aliekuwa mbele yake , tokea juzi siku ambayo Roma aliweza kutolewa kituoni na Malkia wa Wales , alijikuta akianza kufukunyua taarifa zilizokuwa zikimuhusu Roma , lakini kadri alivyotafuta alishindwa kupata taarifa zake na kuishia kukata tamaa na kutopata majibu aliokuwa akiyataka. Na kuishia kujiuliza maswali juu ya ubini halisi wa Roma.

“Aren’t you the deputy director, Fodessa? It must be luck that we meet again! And here I was wondering if the security on the ship would stop me…turns out since you’re here, it’s not a problem. Hahaha...”

“Wewe si ndio yule Makamu mkurugezi Fodesa , Nadhani imekuwa bahati nzuri tunakutana tena ,nilikuwa nikiwaza walinzi wa hii meli wangenizuia mlangoni ,ila inaonekana sio tatizo tena la kuwazia kwasababu upp mwenyewe hahaha..”Aliongea Roma

“Mr Roma kama huna mualiko maalumu huwezi kuingia ndani ya hii meli”Aliongea Fodesa.

“Fodesa nadhani unapaswa kumruhusu kuingia”Ilisikika sauti mita kadhaa nyuma na kumfanya Fodesa aangalie upande uliokuwa na watu waliokuwa wakiingia ndani ya hilo eneo.

******

Upande wa hospitalini , alionekana Edna akiwa ameketi kwenye kitanda huku akichezea chezea nywele za Harry , huku pembeni yake akiwa amekaa mama yake Harry , Pamoja na Stern na Alice ambao wote walikuja hapo ndani kwa ajili ya kumsindikiza Edna.

“Miss Edna jana nilikuomba Pamoja na mumeo kuja kunitembelea nyumbani kwangu mkanikatalia , naomba nikuombe tena kwa mara ya pili”Aliongea mama yake Harry na kumfanya Edna kufikiria kidogo , ukweli aliona ni ngumu kumkatalia kwani alikuwa ameomba kwa moyo wa dhati kwa ajili ya Kwenda kutembelea nyumbani kwake kwa ajili ya chakula cha mchana na ilibidi akubali.

“Mama Sister Edna tunaenda nae nyumbani?”Aliuliza Harry na mama yake alitabasamu na kuitikia kwa kichwa na kumfanya Harry kuanza kushangilia.

“Sister Edna inabidi twende wote Pamoja na Anko”Aliongea Harry akimaanisha Roma ambaye hakuwepo hapo ndani.

“Harry kwahio sisi hapa hujatuona au hupendi tukikaribia nyumbani kwenu vile vile”aliongea Stern na kumfanya Harry amwangalie mama yake , ni kama alieuwa akimuomba ushauri.

“Kwakua na nyie ni marafiki wa Miss Edna , basi wote mnakaribishwa”Aliongea mama yake Harry.

“Asante sana , sisi tupo tayari Kwenda mahali popote kumfuata Miss Edna”Aliongea Alice na kumfanya Edna awaangalie , ukweli hakutaka Kwenda nao maana aliona ni kama walikuwa wakimtia aibu kutokana na matendo yao waliokuwa wakifanya.

Muda ule ule wakati wakiendelea kuongea mala mlango wa wodi yao uligongwa na kumfanya Edna anyanyuke Kwenda kuufungua na ile anafungua , alikutnaa uso kwa uso na Goodmam , alievalia suti nyeupe na tai nyekundu.

“Kwanini uko hapa Goodman?”Aliuliza Edna.

“Edna nimekuja kukualika kwa ajili ya chakula cha usiku na wafanyakazi wa kampuni licha najua Roma kutokuwepo”

“Haina haja Goodman , usiku wa leo nitapata chakula cha usiku na Stern Pamoja na Alice”Aliongea Edna na kumfanya Goodman ile sura yake ya ucheshi kupotea na kuweka sura ya kikatili.

“Edna hii ni nafasi ya mwisho nakupatia , lakini naona unashindwa kuikumbatia”

“Unamaanisha nini Goodman?”Aliongea Edna , lakini Goodman hakumjali tena Edna Zaidi ya kupiga makofi mawili na pale pale wanaume wawili waliojengeka kimazoezi wa kizungu walitokea , wote wakiwa kwenye mavazi meusi na walimsukuma Edna na kuingia ndani na kumzunguka.

“Goodman hii maaana yake nini?”Aliongea Edna huku akianza kuonyesha sura ya kukasirika.

“Hahaha… Edna hivi unajua kwanini siku zote nimekuwa nikifanya kazi kwenye kampuni yako , licha ya mara nyingi kuwaza kufanya mambo yangu?”Edna hakujibu chochote.

“Nimefanya kazi ndani ya kampuni yenu tokea namaliza chuo na nilifikiria mara nyingi sana kuacha kazi na Kwenda kufungua kampuni yangu , lakini nilishindwa kutokana na ahadi niliowekeana na mama yako, Edna Mama yako aliniambia kama nitaifanya kampuni kuneemeka basi angehakikisha wewe unakuwa mke wangu”Aliongea Goodman na kumfanya Edna kushangaa , lakini kwa jinsi Goodman alivyoongea aliona ukweli kwenye macho yake.

“Kwa muonekano wako naamini hajawahi kukuambia kuhusu hilo, ila kukuambia tu ni kwamba mwenyewe nilijua tu ananidanganya , lakini licha ya hivyo nilijiambia nitafanya kazi kwa juhudi kubwa na kuifanya kampuni kuwa kubwa ili siku moja na wee utambue juhudi zangu na kuniona kwa macho ya tofauti , lakini mwisho wa siku mategemeo yangu yalikuwa kinyume kabisa , kwani wakati nikiwa napigania maendeleo ya kampuni , wewe ulikuwa ukijifanyisha kuwa bize na kazi kumbe nyuma ya pazia sio hivyo bali ulikuwa ukila bata na kuruhusu mwanaume mpuuzi asie na kitu kama Roma kukuooa”

“Goodman ishia hapo hapo , hujalazimishwa kufanya kazi kwenye kampuni yangu , hivyo huna haki ya kunitukana, unaweza ukaacha kazi hata sasa hivi”Aliongea Edna kwa hasira.

“Kazi siwezi kuacha Edna na nikwambia tu napanga kuwa CEO badala yako , siwezi kuacha mtu kama Roma mpuuzi tu kukumiliki halafu nikae chini niangalie , nitachukua kampuni na huyu mpuuzi wako lazima afe, Wewe Pamoja na mama yako mmenikwaza wote ni waongo”

“Wewe..”Edna alijikuta akimkata jicho baya Goodman huku akianza kupumua kwa tabu , hakuamini kama Goodman anaweza Kwenda mbali kiasi hiko.

Goodman baada ya kumaliza maongezi hayo , alichokifanya ni kutoa ishara na waliongezeka wanaume watatu wengine kukamilisha jumla ya watano na wote kwa Pamoja waliingia ndani ya chumba hiko cha wodi na kumshika Stern na Alice Pamoja na Haryy na Mama yake.

“Hata mpige kelele hakuna wa kuwasaidia , kila kitu nilipanga mapema sana na Hospitali hii kwa sasa ipo chini yangu”Aliongea Goodman na kisha akamsogelea Edna na kutaka kumgusa kidevu chake huku akiwa na tabasamu la kifedhuli , lakini Edna alirudi nyuma na kuupiga mkono wa Goodman na kibao.

Edna alikuwa kwenye hofu isio kawaida , alijiuliza kwanini Roma baada ya kuondoka hayo ndio yanatokea , lakini asichokijua yeye ni kwamba Goodman alikuwa akiwafatilia kwa muda mrefu na watu wake walikuwa wakimfatilia Roma na baada ya kuhakikisha Roma kaingia kwenye meli kwa ajili ya Kwenda kwenye kikao cha siri, ndio aliamua kuingia ndani ya hiko chumba akiwa kwenye hali ya kujiamini kwa asilimia mia moja.

“Boss has said that you’re not allowed to touch the hostages before the plan is successfully executed.”

“Boss amesema huruhusiwi kuwashika mateka , mpaka pale mpango utakapokamilika”Aliongea mwanaume mmoja aliekuwa kwenye mavazi ya suti aliekuwa amemshikilia Harry akimwamrisha Goodman.

Na Goodman Licha ya kuwa na hasira baada ya kauli ile , lakini alijizuia na pale pale wale wanaume walitumia vitambaa flani na kuwaziba puani mateka wao na hapo hapo wakapoteza kumbukumbu na kuondoka nao.
 
SEHEMU YA 195

Roma licha ya kusikia mtu ambaye aliongea kwa sauti nyuma yake , ili kwamba yeye aruhusiwe , ila hakugeuka kabisa nyuma Zaidi ya kumwangalia Fodesa aliekuwa akiangalia nyuma kwa mshangao.

Fodesa aliweza kushuhudia mwanaume mrefu wa takridabi mita 1.9 akisogea eneo hilo , aliekuwa amevalia koti rufu ,rangi ya Bluu ambalo lilikuwa na vishikizo ambavyo kwa kuviangalia tu ungegundua kuwa vishikizo vya koti hilo vyote ni vya dhahau halisi.

Mwanaume huyo akuwa peke yake, bali alikuwa ameongozana na Lilith ba wote walifanana na muonekano wa nyweele zao aina ya Blonde, alikuwa ni mwanaume aliekuwa na mwonekano wa kipekee sana , kwani alionekana kama mwanaumke , lakini kutokana na ndevu zake ilimdhihirisha kuwa mwanaume.

“Your Majesty Pluto. How unfortunate that we meet again.This is Prince Sargaras , my father”

“Mfalme Pluto ni bahati ilioje tunakutana tena , huyu ni Pince Sargaras baba yangu”Aliongea Lilith na kumfanya Roma amwangalie mwanaume aliekuwa mbele yake.

Roma alifikiria na kujiambia kama Lilith ambaye anadamu halisi ya Vampire na ana umri wa Zaidi ya miaka mia mooja , vipi kuhusu mwanaume anaemwita baba yake ambaye alionekana kuwa kijana kabisa, lakini jambo lingine ambalo liliweza kumshangaza Roma ni kwamba, wakati Lilith anakaribia ndani ya eneo hili aliweza kuhisi uwepo wake kutokana na mkandamizo wa hewa , lakini hakuweza kuhisi nguvu nyingine ya ziada kutoka kwa Prince Sargaras.

Jambo hili lilimchanganya sana Roma na kuona huenda Prince Sargaras anaweza kuwa na nguvu Zaidi kuliko yeye , kwan inasemekana kwamba kiumbe chochote chenye nguvu kinaweza kuficha uwepo wake sehemu na wale waliochini yake kinguvu wasimgundue , lakini hio ni tofauti kwa upande wa kiumbe kilichokuwa na nguvu Zaidi.

“Prince Sargaras Lilith amenitajia jina lako la kitukufu mara moja , lakini sikudhania utakuwa kijana hivi”Aliongea Roma. Baada ya kupeana mikono na Baba yake Lilith.

“Mfalme Pluto Lilith pia baada ya kurudi kutoka Tanzania kwenye majukumu yake ya kikazi aliniambia kama amekutana na wewe , nadhani ni jambo la bahati sana , Miaka kadhaa nyuma niliweza kukutana na Mfalme Pluto wa kwanza na alikuwa rafiki yangu sana na tuliishi kwa ukaribu kwa Zaidi ya miaka mia moja lakini sikudhania kama ninaweza kukutana na Pluto wa pili”Aliongea Prince Sargaras.Lakini maneno yake ni kama Radi kwa kila mmoja alieyasiki aakiwemo Fodesa , hakuelewa mwanaume aliekuwa mbele yake alikuwa akimaanisha nini akisema miaka mia moja iliopita n ahata kwa Boltoni pia na kwa wengine.

Baada ya maongezi ya dakika kadhaa , hatimae waliingia kwenye meli , Prince Sargaras alikuwa ni kama Roma tu ,wote hawakuw ana mwaliko maalumu , lakini Fodesa wa maneno alioyasikia hapo ,alishindwa kumzuia kabisa Roma na isitoshe alikuwa akikumbuka pia tukio la Roma la kutolewa kituon na Malkia wa Wales.

Saa kumi na mbili za jioni wageni wote walikuwa washafika na kuwafanya Fodes ana wafanyakazi wengine kuwa katika hali ya ahueni na muda huo huo Meli ilingoa nanga kwa ajili ya kuelekea kisiwani , sehemu ambayo kulikuwa na kambi ya Jeshi.

Kutokana na meli kuwa kubwa mno , ilitosha kabisa kwa kile mgeni kupata chumba chake cha kupumzikia chenye hadhi kubwa kabisa na kwa upande wa Roma pia alipatiwa chumba kizuti tu kilichokuwa na kila kitu , lakini kwa upande wa Roma wala hakutamani kabisa kuendelea kukaa ndani ya chumba hiko, yeye ni mtu wa harakati hivyo aliona jambo zuti ni kutoka ndani ya chumba chake a kuelekea upande wa Bar ndani ya Meli hii.

Na baada ya dakika kama kumi hivi ya kutafufa sehemu yenye Bar Hatimae aliweza kufika sehemu huisika , lakini Roma alijikura akishangaa mno kwani ndani ya hili eneo , kulikuwa na mambo mengi yaliokuwa yakiendelea , kuna ambao hawakuwa wakinywa bia ila walikuwa wakipigana na kuchinjana na kwa Roma aliona hii meli ni kama zizi ambalo limechanganwa na aina ya wanyamba mbalimbali ambao ni mahasimu , hivyo swala aliliokuwa akiliona kwake aliona ni kawaida na hakutaka kabisa kujishughulisha.

“Nipe Jackdaniel”Aliongea Roma akimwamrisha muhusmu wa eneo hili la Bar na Mhumudu alitka kwa heshima na kutoa Jackdaniel Pamoja na Glass.

Lakini Roma kabla ya kupeleka mdomoni Glass yake ya Wine , mara makelele ya watu yalisimama nae neo lote kuwa kima na kufanya mziki wa Jazz kusikika vyema , Roma aligeuza macho yake nyuma na kuangalia ni nii kimetokea mpaka watu kutulia nah apo ndipo alipogundua kwanini watu walitulia kwa muda.

Upande wa kuingilia ndani ya eneo hili alionekana mwanamke mrembo alievalia vazi flani la kileo linalofahamika kama Bodycon Dress, Gauni flani hivi fupi damu ya mzee wanawake wanaita kwa jina lao maarufu kama Body Conscious Dress, ina hilo limetokana na kwamba mtu yoyote akivaa hili vazi lazima litaendana na mwili wake yaani ni vazi ambalo lilikuwa likimwacha mwanamke kuongekana kwa jinsi alivyoumbwa , halikuwa likificha mwili.

Hivyo mwanamke alieingia hapa alikuwa ni mrembo mno, mwenye nywele nyeusi mzungu ambaye ana macho flani hivi ya rangi ya bluu , akiwa amevalia viatu virefu aina ya Skuna.

Roma mwenyewe alijikuta akimeza mate baada ya kumuona mrembo aliekuwa mbele yake na watu wengine pia waliokuwa ndani ya hili eneo walijikuta wakishangazwa na utembo wa mwanamke huyo.

“Hey miss!”Aliita mwanaume mmoja ambaye alikuwa na panga lake , aliekuwa na ndevu nyingi na huyu mwanaume aliacha kupigana , kwani dakika chache nyuma alikuwa akipambana na Monk mmoja hivi wa kijapan na sasa alikuwa amesahau kabisa kupigana.

“Naweza kukupata kwa kiasi gani usiku wa leo?”Aliuliza yule mwanaume baada ya kumsimamisha yule mwanamke.

“Sorry I am not for sales”

“Samahani sipo kwa ajili ya mauzo”Aliongea yule mwanamke ,lakini kwa mwanaume ni kama hakuwa ameridhika na alitaka kutumia nguvu, lakini muda ule ule mara alijikuta akiwa chini akugulia maumivu , kwani alipigwa kwa staili ambayo haikuitgemea kabisa kwa mguu na kisigino cha viatu vya mrembo yule vilienda usawa wa sehemu za siri za mwanaume.

Baada ya pigo lile yule mrembo alitabasamu na kuendelea kusonga mbele mpaka alipokaa Roma.

“Your Majest Pluto”Aliongea yule mwanamke na kumfanya Roma ashangae , kwani mwanamke aliekuwa mbele yake hakuwa akimfahamu , lakini kwake yeye alikuwa akimfahamu tena mpaka kuita jina lake.

“Who are you Miss?”Aliongea Roma huku akiweka mwonekano wa kawaida mbele ya mwanamke aliekuwa mbele yake , huku akijiambia huyu mwanamke ni mrembo , lakini hakuwa akiingia kwa mke wake Edna hata kidogo.

“I am Zoe Kovac From Hungary”Aliongea yule mwanamke na kujitambulisha kama Zoe Kovac na kumfanya Roma akumbuke siku kadhaa nyuma alipowasiliana na Sauroni alimwambia kuna mwanamke anaefahamika kwa jina la zoe alikuwa akimtafuta walipokuwa ndani ya jiji la Cicilly Palermo , kwenye msiheni maalumu ya kumwingiza Carlos ndani ya Kisiwa cha Wafu.

“Ooh! Nishawahi kusikia jina lako Miss Zoe Kovac”Aliongea Roma huku akigekia Glass yake na kupiga mkupuo mmoja.

“Nina mazungumzo na wewe”Aliongea kwa sauti yake ya kirembo , sauti ambayo kwa mwanaume yoyote rijali angeshituka.

“I know…”Aliongea roma akimaanisha kwamba anajua.

“Hii sehemu sio nzuri kwa sisi kuongelea”Aliongea yule mrembo huku akigeuza macho kulia na kushoto na kuona watu wote walikuwa wakimwangalia na Roma alifikiria kidogo.

“Kama hutojali tunaweza kwenda kwenye chumba changu”Aliongea Roma na yule mwanamke alitingisha kichwa na Roma pasipo ya kuongea lolote alipiga Glass yote ya Pombe na kuchukua chupa nyingine ya Jackdalien na kuongoza njia na kufanya wau waliokuwa ndanni ya hili eneo kumwangalia mrembo huo aliekuwa akiwafanyia makusudi kwa kuutingisha mwili , kuna wale waliokuwa wakimfahamu na kuna wale wengine pia ambao hawakuwa wakimfahamu.

“Okey Miss Zoe nadhani uende moja kwa moja kwenye swala ambalo ulihitaji kuongea na mimi”Aliongea Roma mara baada ya kuketi kitandani , huku Zoe akikaa kwenye sofa na kukunja nne.

“Hades , mimi ni moja ya watu niliokuwa nikikufatilia kwa miaka mingi”Aliongea Zoe na kumfanya Roma amwangalie.

“Miss Zoe kipi kimekufanya kunifuatilia kwa miaka mingi?”

“Ni Story ndefu Hades na Story yangu imenifanya kukufatilia kwa muda mrefu kwakuwa wewe ni mmoja ya wahusika kwenye stori yangu”Aliongea Zoe na Roma alitabasamu na kisha kunywa kidogo pombe yake.

“Miss Zoe japokuwa sikufahamu vizuri, ila nitapenda uende moja kwa moja kwenye stori yako ili tusipoteze muda, nieleze wewe ni nani haswa ni kwa namna gani umeweza kunifahamu na kwanini uliomba kuonana na mimi”Zoe alikaa vizuri kwenye sofa na kumwangalia Roma aliekuwa bize na bia yake na kufikiria kwa dakika kama moja huku akiwa amefumba macho yake na akayafumbua.

“Kaka yangu Levente alipotea miaka ishirini iliopita kwenye mazingira ya kutatanisha , kabla ya kupotea kwake alikuwa akipenda sana kusoma hadithi za kale juu ya miungu ya Kigiriki, moja ya ndoto yake kubwa ilikuwa ni kufufua miungu ya kigiriki , na mara ya mwisho kuonana nae ni siku ambayo baba yangu alimuuliza mdogo wangu Levente juu ya ndoto yake ni nini na alimjibu kama ni kufufua miungo ya kigiriki”Roma alishangaa kidogo na kisha akamwangalia Zoe.

“Unaongea kwa hisia ,ni nini kilimtokea kaka yako?”

“Alipotea”

“Alipotea au alikufa?”Aliuliza Roma na kumfanya Zoe amwangalie Roma ni kama hakupenda kusikia neno kifo.

“Naamini kaka yangu yupo hai”.

“Haha..Kwanini unahisi hivyo?”

“Kwasababu ndoto ya kaka yangu licha ya kuonekana kuwa ndoto ya mchana na jambo lisilowezekana miaka iliopita ila nilikuja kugundua kuwa ni jambo ambalo linawezekana”

“Kwanini unasema ni jambo ambalo linawezekana na kwanini unahisi kaka yako anaweza kuwa hai licha ya kupotea miaka mingi”

“Because you were his Dream`s”Aliongea Zoe na kumfanya Roma kushangaa , mwanzoni hakujua mwanaume aliekuwa mbele yake alikuwa akitaka nini , lakini baada ya kusikia hayo maelezo machache alijikuta akivutiwa na kutaka kusikiliza Zaidi.

“Kwanini unasema mimi nilikuwa ndoto yake?”

“Baada ya kaka kupotea katika mazingira ya kutatanisha , mimi na familia yangu tuliishi kwa kumtafuta duniani kote ili kupata kujua kapotelea wapi , lakini licha ya kutafuta sana tulishindwa kumpata kabisa , tumetumia pesa nyingi lakini hatukuweza kumpata kaka yangu , familia ilihudhunika sana juu ya jambo hili na baba na mama kuishia kukata tamaa kabisa ya kumpata mdogo wangu lakini kwangu ilikuwa tofauti niliamini kaka yangu bado yu hai na yupo mahali anaishi na hilo nilikuja kulithibisha miaka kadhaa mbele”

“Ulithibitishaje?”

“Nilisikia story nying kuhusu Miungu watu na katika stori hizo , wewe ni moja ya mtu maarufu sana katika kundi la Miungu watu , moja ya ndoto iliokuwa ya mdogo wangu Levente , hicyo baada ya kusikia hizo Habari niliamini kwa asilimia mia moja unaweza kuwa sehemu ya ndoto za mdogo wangu”

“Na baada ya hapo?”

“Nilianda kukufatilia kwa miaka takribani kumi tokea nianze kusikia stori kuhusu Miungu watu , lakini licha ya kukufatilia sana Habari zako zilionekana kuwa za siris ana na nilishindwa kupata njia yoyote ya kuthibitisha habari nilizokuwa nikisikia kuhusu wewe”

“Na uliwezaje kudhithibitisha kama kweli habari za miungu watu ni za kweli?”

“Mpaka nilipokutana na mwanamke mmoja wa kiafrika anaekufahamu sana”Aliongea Zoe na kumfanya Roma kushangaa.

“Mwanamke!?”

“Ndio nilibahatika kukutana na mwanamke ambaye alisema anakujua sana ndani ya visiwa vya Maldives”Roma alishangaa mno.

“Alikutajia jina kama anaitwa nani?”Aliuliza Roma.
 
SEHEMU YA 196

Ukweli Roma aliweza kushangaa kutokana na kwamba ilikuwa ni ngumu sana kwa mwanamke kutoka visiwa vya Maldives kumfahamu , pale pale mawazo yake yalianza Kwenda mbali sana , alikumbuka tukio la Seventeen kujirusha baharini miaka kadhaa nyuma, lakini licha ya mawazo hayo kumjia ghafla aliona anawaza upuuzi , kwani alikuwa akiamini kwa asilimia mia moja Seventees alishakufa.

“Nielezee vizuri kuhusu huyo mwanamke na ilikuwaje mpaka mkakutana ndani ya visiwa vya Maldives”Aliuliza Roma aliejawa na shauku , lakini kabla ya zoe hajajibu , mlango wa chumba chao uligongwa na kumfanya Roma akereke , ila alinyanyuka na Kwenda kuufungua.

“Wageni wote tunatakiwa kukusanyika kwenye ukumbi B kwa ajili ya kikao kuanza”Aliongea mwanaume alievalia kombati za jeshi la Ufaransa.

“Hades naona una shauku ya kujua namna nilivyoweza kukutana na huyo mwanamke anaekufahamu, lakini huu sio muda mzuti , pengine utanitafuta kwa ajili ya mazungumzo Zaidi”Aliongea Zoe na kisha alitoka kwenye chumba cha Roma na kumfanya hata mwanajeshi huyu kushangaa , kwani hakudhania ndani ya hiko chumba kulikuwa na mwanamke mrembo kama huyo , aliishia kumwangaia Roma kwa macho flani hivyi ya kumkubali.

Meli ya kifahari ya Louis XVI ilitumia takribani masaa mawili mpaka kufika ndani ya kambi ya jeshi ya Le havre , kambi ambayo ipo chini ya jeshi la Ufaransa , lakini pia sehemu ambayo mwanzoni kulikuwa na kambi ya kijeshi ya NATO sehemu hii ndio inatenganisha kati ya Kisiwa cha Great Britain Pamoja na Kaskazini mwa Ufaransa maarufu kama ‘English Channel”,Sehemu hii hakuna meli zozote za kawaida ambazo zilikuwa zikiruhusiwa kukaribia.

Fodes ana maafisa wengine wa kitengo cha usalama wa taifa , Ofisi namba saba, waliwaongoza wageni wote Zaidi ya mia moja kutoka ndani ya meli hii na kuingia kisiwani mpaka kwenye jengo kubwa la jeshi ambalo lilikuwa likitumika kama ukumbi.

Ni jeng kubwa mno ni kama kiwanja cha mpira , upande wa kulia wa jengo hili ni uwanja wa ndege uliokuwa na barabara ndefu ambao ulikuwa na uwezo wa kuruhusu ndege kubwa kutu ana kupaa , licha ya kwamba ilikuwa ni suiku lakini eneo lote lilikuwa na mwanga kutokana na kufungwa taa kubwa kama zile za uwanjani na kufanya wanajeshi wa Vikosi maalumu waonekane wakiranda randa kulia na kushoto kuhakikisha ulinzi ndani ya eneo hili.

Roma aliekuwa kwenye mawazo ya hap ana pale juu ya maneno alioongea Zoe , alitembea kwa kujiachia akiwa ndio wa mwisho kabisa kutoka kwenye meli.

Baada ya watu wawakilishi hawa wa makundi mbalimbali ya kijasusi Pamoja na majeshi makubwa duniani kuinhia ndani ya jengo hilo, wote kwa Pamoja walipanda kwenye Elevator ambayo iliwachukua na kuwashusha ndani ya jengo hili Kwenda upande wa Ardhini na ilionekana Jeshi lilijenga jengo hili kwa mfumo wa handaki ili kama kukitokea shambulio la Anga kusiwe na madhara makubwa.

Kundi la the Eagles likiongozwa na Sauroni lilikuwepo , lakini roma hakutaka kuchangamana nao kwa makusudi maalimu aliokuwa akiyajua yeye na alimpa maelekzo hayo Sauroni , alitaka kuhudhuria yeye kama yeye na sio kama kiongozi mkubwa wa jeshi la The Eagles.

“Mfalme Pluto unaonekana kutokuwa na matamanio makubwa na Thanatos kuliko watu watu wote waliopo hapa”Aliongea baba yake Lilith , Prince Sargaras , baada ya kumsogelea Roma.

“Nina shauku kubwa ya kuona hio teknolojia, Lakini Prince Sargaras naona mtoto wako Lilith kapotea , simuoni hapa”Aliongea Roa huku akiangalia watu kumtafuta Lilith , lakini pia hakuweza kumuona aliangalia tena kumtafuta Zoe , lakini pia nay eye hakuweza kumuona.

“Ndio alivyo Lilith , siku zote amekuwa mtukutu , sifahamu hat ani wapi kaelekea”Aliongea

“Haha.. naona wewe na mtoto wako mmeshindwa kusubiria kabisa mnataka muwe wa kwanza kuipata hio teknolojia”Aliongea Roma huku akicheka maana kwa muonekano wa Prince Sargaras aliona alikuwa akidanganywa.

“Mfalme luto , sifahamu unachomaanisha”Aliongea akijaribu kujifanya hajui chochte ,m lakini muda huo walikuwa washafika kwenye ukumbi mkubwa uliokuwa kama Darasa , ukumbi uliokuwa na meza na viti , haukua umepambwa sana , lakini ulionekana kuvutia kutokana na namna ulivyojengwa.

Roma kwakua hakuwa amealikwa hakuwa na siti ya kukaa, kwani mpangilio wa namna ya kukaa ni kutokana na jinsi watu walivyoalikwa , hivyo Roma aliangalia kiti kilichokuwa nyuma kabisa ya ukumbi huo na kisha akakaa na kukunja zake nne, akisubiria mkutano kuanza.

Ukumbke kwenye huu mkutano kuna wale waliokuwa wakitaka kuona teknolojia ya Thanatos nguvu yake , lakini pia kuna wale waliokuwa hapo ndani kwa ajili ya kujua muafaka wa kumuangamiza adui Appollo anaewasumbua kila siku mpaka kutishia viongozi wa mataifa makubwa duniani.

Watu walikuwa na mchecheto wa kutaka kujua hivyo walisisitiza jambo hilo kupelekwa haraka haraka, Majasusi wa kimatiafa kama vile CIA , Mossad na Soviet hawakuwa na mchecheto sana juu ya trknolojis Thanatos , walichokuwa wakitaka ni kujua muafaka wa Appolo kupitia kikao hiko, waliokuwa wakitaka kwa hali na mali Teknolojia hio ni makundi ya kijeshi kama Vile The Eagles , takamagahara Jaguar na Dark Parliament kundi lililokuwa likiundwa na wanywa damu akiwemo Lilith.

Fodesa ndio aliekuwa msimamizi mkubwa wa kikao na ndio aliekuwa mshereheshaji , kikao kilienda harakaharaka , kwani Fodesa alipanda jukwaani na kuelezea nia na madhumuni ya kikao hiko.

Kwa maelezo ya Fodesa ni kwamba Serikali ya Ufaransa ilikuwa ikitafuta washirika ambao watasaidiana katika kumwangamiza adui namba moja wa taifa hilo anaefahamika kwa jina la Appolo.

Fodesa alianza kwa kutoa muongozo wa matukio yote ambayo yaliweza kufanywa na Appolp kama vile kuangamiza kambi za kijeshi za NATO, kushambulia kambi za kijeshi za mataifa yaliokuwa chini ya umoja wa ulaya EU , Pamoja na kambi za Urusi, lakini pia akamalizia na barua za vitisho ambazo Appolo alikuwa akituma kwa maraisi wa mataifa makubwa, ikiwemo Ufaransa.

Sasa Fodesa alisema kwamba kwa kundi lolote ambalo litakuwa tayari kuungana nan chi yake katika kupambana na Appolo basi wataweza kupeana siri juu ya teknolojia inayohusiana na teknolojia ya Thanatos.

“Tunaweza vipi kuamini kwamba Teknolojia ya Thanatos iliopotea miaka mingi nyuma taifa la ufaransa kuimiliki?”Aliuliza kionozi wa kundi la Takamahagara baada ya kunyoosha mkono.

“Naungana na Jenerali Naurihyon , kabla ya kikao hiki kuendelea tunataka kwanza na uhakika kama taifa lako ni kweli wanamiliki teknolojia hii”Aliongea kiongozi wa kundi la kijeshi la Jaguar kutoka Brazil na kufana watu wote waungane kumtaka Fodesa kuonyeshha kwanza Ushahidi kama ni kweli taifa la Ufaransa walikuwa wakimiliki teknolojia ya Thanatos.

“Of course, to express France’s sincerity, I will still allow everyone to inspect the technology while it is under our care.”Aliongea Fodesa akimaanisha kwamba ataruhusu kila mmoja kukagua teknolojia hio wakiwa wameishikilia.

Baada ya kuongea hivyo , alitoa ishara kwa Boltoni ambaye alikuwa amesimama upande wa kushoto na Boltoni aliingia kwenye chumba kimoja kilichokuwa kimetenganishwa na Stage na palepale walitoka wanajeshi waliokuwa wamebebea sanduku la chum ana kusogelea nalo mbele.

“Wawakilishi kutoka Vatican , wanao uelewa mkubwa juu ya teknolojia hii , lakini pia hata kwa Prince Sargaras mwenyewe anao ujuzi mkubwa wa teknolojia hii na atakuwa na uwezo wa kuitambua kama ni halisi au sio”Aliongea Fodesa. Na muda huo huo Prince Sargaras na wazee wawili waliokuwa wamekaa mbela kabisa waliangaliana , Kadinali Cruff na mwenzake ndio waliokuwa wawakilishi kutoka Vatican na walikuwa wamekaa kwenye mstali mmoja na Prince Sargaras , unachotakiwa kuelewa hawa wote wawili walikuwa ni maadui kutokana na asili zao , Prince Sargaras alikuwa akiabudu Shetani huku Kadinali Cruff yeye alikuwa akimsalia Mungu wa kweli , hivyo hawa wote walikuwa ni maadui na waliangaliana kwa nyuso zilizokuwa siriasis na muda wowote walionekana wapo tayari kupigana.

Sssa kutokana na fodesa kusema kwamba hao wawili ndio waliokuwa wakitakiwa kuthibitisha uhalali wa teknolojia hio , walisubiriwa na kundi lote lililokuwa nyuma yao kwa ajili ya kunyanyuka na kusogea mbele ya jukwaa kwa ajili ya ukaguzi.

BOOM , BANG!

Ulikuwa ni mlipuko wa aina yake uliotokea kabla hata ya wawakilishi kutoka uoande wa kiza na mwanga kupanda kwenye steji kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa uhalali wa teknolojia ya siraha ya Thanatos , teknolojia ambayo imepewa jina hilo kutokana na uhatari wake.

Unachotakiwa kuelewa ni kwamba Jina ‘Thanatos lilikuwa likimaanisha Mungu wa kifo katika hadithi za kigiriki ya kale , hivyo teknolojia hio ilikuwa imepewa jina hilo kutokana na uhatari wake.

Watu walishangazwa na mlipuko huo , lakini hawakuogopa kutokana a ujasiri wao na pia ukijumlisha kuwa watu wote waliokuwa hapa ndani walikuwa ni wanajeshi katika makundi yao.

“Damn it! Someone must have wanted to snatch the divine technology while no one was looking!”

“Pumbavu , kuna mtu anataka kuiba teknolojia kwa siri”Aliongea jamaa mmmoja hivi wa Urusi.

“Huu ni upuuzi tukikaa hapa , tukawazuieni”Aliongea mwingiena akihamasisha kundi na muda huu wageni wote waaalikwa ambao kila mmoja alieonekana kuwa mbabe walikuwa wamesimama kwa ajili ya kukinukisha na unachotakiwa kuelewa hapa ndani kila mmoja alikuw ana staili yake ya kipekee ya kimapigano na wote kwa Pamoja walionekana kuwa na msisimko wa kweli wa kupigana.

“Fodesa aliponea chupuchupu kwani kama isingekuwa wanajeshi wa kikosi cha Special Force kumvuta angekuwa amepigwa na mlipiko huo”

“Nini kimetokea”Aliuliza Fodesa , lakini hapo hapo aliona watu waliokuwa wakitembea kwa spidi ndani ya Steji kama vile mizimu kwani spidi yao haikuwa ya kawaidia.

“Jamani natangaza tukio kughairishwa”Aliongea Fodesa huku akitetemeka na kufanya baadhi ya watu waanze kuondoka, ila kuna wengine walikuwa washafika kwenye steji kwa ajili ya kupambana na mtu aliesababisha mlipuko.

Watu ambao hawakuondoka katika viti vyao ni Pamoja na Kadilani Cruff Pamoja na Prince Sargras muabudu Shetani.

“Prince Sargaras nadhani unanikumbuka”Aliongea Kadinali Cruff.

“Watu wavatican ninao wafahau muenda wote washakufa kwani sijawahi kutoka huku nje ya dunia kwa siku nyingi”Aliongea Prince Sargaras Kiongozi mkuu wa Dark Parliament.

“Unaweza usinitambue , ila mimi nakukumbuka , kwani tushawahi kukutana wakati nikiwa na baba yangu kipindi nikiwa na miaka kumi”Aliongea Kadinali Cruff.

“Kwahio unasemaje mtoto wangu”Aliongea

“Baba yangu alikuwa ni Kadinali wa Ujerumani na wewe ndio ulimuua”

“Ohh .. aisee sasa nakumbuka vizuri , kumbe yule ndio baba yako , skutegemea kama na wewe pia utakuja kuwa Kadinali .. inaonekana upo hapa kwa ajili ya kulipiza kisasi”

“Muda si mrefu Mungu ataniita … kabla sijafa nitahakikisha nakuua na kupigana na wewe litakuwa jambo kubwa sana ambalo nitalikamilisha kwa ajili ya Vatican , lakini kabla ya hivyo nataka kwanza tusaidiane kumshinda mwanamke kibuli”Aliongea Kadinali

“Mwanamke Kiburi , yuko wapi?”aliuliza Prince Sargaras.

“hahaha….”?ilisikika sauti ikicheka kutoka nyuma, alikuwa ni roma aliekuwa akicheka huku akiwa ameangalia juu kwenye Ceiling Body na haikueleweka alikuwa akiangalia nini na kufanya baadhi ya watu waliokuwa wamebakia kwenye hilie eneo kumshangaa.

“Nuru Takatifu”Aliongea kwa nguvu Kadinali Cruff na kwa jinsi alivyokuwa ameongea ni kama vile mchungaji akikemea pepo nah apo hapo mwanga mweupe mfano wa Radi ulitokezea sehemu aliokuwa amesimama na kupiga juu darini na ulikuwa unanguvu mno kiasi cha kutegeneza shimo na kutokezea nje kwenye kisiwa.

“Argh!! Stupid Vatican!!!”Ulikuwa mguno wa maumivu kutoka kwa mwanamke , sauti iliotokea juu kwenye paa m na Roma aliweza kuitambua sauti hio kwani ilikuw ani ya Lilith.

Baada ya kusikia kilio cha Lilith iliwafanya watu wote watambue mtu ambaye alihusika na mlipuk kwenye steji , waligundua muhusika alikuwa ni Lilith mtoto wa Prince Sargaras..

Lilith alionekana kushikilia boksi ambalo lilikuwa limehifadhia maelezo ya teknoloijia ya Thanatos na ilionekan aulikuwa ni mpango wake na baba yake kukimbia na teknoloijia hio wakarti weengine wakiwa wanaedelea na kikao.

“Ulipanga kukimbia na teknolojia kutoka kwenye hiki kisiwa wewe shetani?”aliongea Kadilani Cruff.

“We’ve been fighting for over ten centuries and all you can do is bullshit. Are you idiots?!”

“Tumekuwa tukipambana Zaidi ya karne kumi na unachoweza kufanya ni ujinga tu wewe mpumbavu “Aliongea Lilith huku akishuka chini na nguo ambayo alikuwa amevaa ilionekana kuunguzwa na Siraha ya Kimungu ya Nuru Takatifu.

“Nilijua toka mwanzo huu mpango hauwezi kufanikiwa kama nilitaka kukimbia nah ii teknolojia ningeleta wanajeshi wengi Zaidi ya Lilith”Aliongea Prince Sargaras huku akimwangalia Kadinali.

“Sargaras wewe ni mjinga , kama ulifikiria unaweza kupambana na mimi bora ukimbie , huwezi kupambana na mwanajeshi wa Mungu”aliongea Kadinali

“Acha kujigamba Cruff , hapa ndani mtu mmoja tu ndio anaweza kunizuia , lakini sio wewe na kama atakuwa upande wangu naondoka na Thanatos”

“Sargaras usituchukulie poa , leo wewe Pamoja na mtoto wako hauwezi kukimbia hapa”aliongea mwanaume mwingien aliekuwa kimya muda wote alievalia joho rangi nyeupe Pamoja na mshipi wa rangi nyekundu.

Roma baada ya kumwangalia huyu mtu alieongea alimkumbuka , alikuwa ni moja ya watu aliowaona kwenye kundi la Crusaders kule Tanzania , waliokuwa wamekuja kwa ajili ya kuchukua HollyGrail. Hakuwa mwingine bali alikuwa ni Gabriel.

Upande wa wanajeshi wote wa kundi la Sea Eagles walikuwa wametulia , walikuwa wakisubiria mfalme wao akiamshe na wao waingie kati kuzichapa , makundi mengine pia yalikuwepo hapo ndani wakisubiria nani atashinda kati ya kundi la Kiza linaloongozwa na Prince Sargaras na kundi la Nuru kutoka Vatican linaloongozwa na Gabriel Pamoja na Kadinali Cruff.

“Your Eminence Cruyff, you guys take care of the blood race prince, we’ll handle that female vampire!”

“Ewe Kadinali Cruff ulietukuka , utambana na Prince mimi ngoja nimmalize huyu Vampire wa kike”Aliongea Gabriel lakini pale pale moja ya ajenti kutoka Scandinavian na wenyewe waliingilia mchezo na kumfata Lilith kwa Spidi lakini waliishia kukatwa vipande vipande na Massacre Blade na kufanya eneo lote kusambaa damu , lakini hakuna ambaye alikuwa na hofu wala kuogopa namna ambavyo Lilith aliwafyeka hawa wanajeshi wa kitendo cha siri.

Waliokuwa kwenye hali ya woga ni Fodesa na wanajeshi wake , kwani kwenye Maisha yao hawakuwahi kushuhudia mapambano yaliokuwa yakitumia nguvu za kishetani Pamoja na zile siraha za Kimungu.

“Mfalme Pluto kile kiboksi kweli kina teknolojia ya Thanatos”Aliuliza Sauroni baada ya kumsogelea Roma

Na Roma aliangalia boksi ambalo limeshikiliwa na Lilith na kwa kutumia uwezo wake aliangalia kilichokuwa ndani ya boksi hilo.

“nathani ni yenyewe saurini naona ndani kuna kitabu kilichoandikwa kwa Lugha ngumu ya Kilatin”Aliongea Roma

“Nataka kwanza nionge pambano linavyoenda hapa ndani sauroni shauku yangu kubwa ni kuona kama atatokea tena”Aliongea Roma.

“Mfalme unamaanisha nani?”

“nitakuelezea siku nyingine Sauroni ila kuna mtu alinizidi nguvu nilipokuwa Tanzania na kunipokonya HollyGrail”Aliongea Roma na kumfanya Sauroni kushanga.

Pambano halikuwa la kawaida kabisa watu walichoweza kusikia ni maneno ya kuita nguvu za kichawi kwa upande wa Vampires na Nuru ya Ushindi , lilikuwa ni pambano la aina yake lililowafanya watu wote watulia kuangalia nani anashinda kwenye hili eneo.

Kuna muda upande wa Vatican walionekana kuzidiwa nguvu na Price sargaras alikuwa nni Zaidi ya shetani kwani alikuwa akimshambulia kanidali Cruff na kila aina ya mapepo ya aina mbalimbali ikiwemo Demon Blaze , hili ni pepo ambalo lilikuwa likitema cheche tu kama radi.

Baada ya Kadinali Cruff kuona anazidiwa na Sargaras muabudu Shetani ilibidi anyanyue mikono juu kama mtu anaeomba baraka kutoka kwa bwana na alitumia dakika moja.

“Angel’s Descent”

“Malaika Shukaa”Aliongea Kadinali Cruff akiita nguvu ya Malaika

Inasemekana Angel Descent ni mbinu flani ya kivita inayotumiwa na wanajeshi wa Vatican katika kushindana na mapepo , inasemekeana kwa mtu ili aweze kuwa mwanajeshi wa Levo ya Malaika , lazima awe na mwili ambao haujui dhambi kwa asilimia mia moja , yaani hawa ni watu ambao wanazaliwa ndani ya kanisa na kukua ndani ya kanisa katika eneo linalotengwa huku wakilishwa maeno ya Mungu na kusali muda wote.

Kifupu ni kwamba Lilith walidhibitwa kwa asilimia mia moja na yeye Pamoja na baba yake na kulegezwa kabisa Lilith.

Lilith baada ya kuona nguvu zimewaishia , iliidi afanye maamuzi ya kumrushia Roma kiboksi kilichokuwa na teknolojia ya Thanatos

“Your Dear Majesty Pluto, I do believe the fault lies in you for asking us to obtain the technology. But now that my father’s hurt, I think it’s best if you take it for yourself.”

“Mfalme Pluto , naamini kosa lipo kwako kwa kutuambia tukusaidie kupata teknolojia ya Thanatos , lakini sasa hivi baba yangu ameumia , hivyo naamini ni vizuri ukiichukua”Aliongea Lilith kinafiki ukweli hakutaka kumuona Roma msaada moja kwa moja Zaidi ya kumsingizia kama ndio aliewatuma yeye na baba yake kukwapua teknolojia.

Roma alijiambia Lilith ni mnafiki sana , kwani aliona ni kama akimwinginza kwenye mtego , baada ya kuona wapo kwenye hati hati ya kuzidiwa na wanajeshi wa Vatican.

Roma alimwangalia Lilith ambaye muda wote alikuwa akionyesha kuomba msaada kutoka kwake na alifikiria kidogo na kujiuliza kwa wakati mmoja je awasaidie watu wa kudni la Kiza au abaki upande wa Nuru.

Roma alisimama huku akiangalia Boksi lililokuwa kwenye mikono yake na pale pale alifanya maamuzi na kurusha kuelekea alipokuwa amekaa Sauron.

“That’s right, I’m the one behind this heist, Sargeras and his daughter are under my watch…”Alipiga mkwala Roma huku akisogea mbele na kufanya watu wote wamwangalie.

IKITAKACHOTOKEA SIO POA ITAENDELEA NICHEKI WATSAP 0687151346
 
SEHEMU YA 196

Ukweli Roma aliweza kushangaa kutokana na kwamba ilikuwa ni ngumu sana kwa mwanamke kutoka visiwa vya Maldives kumfahamu , pale pale mawazo yake yalianza Kwenda mbali sana , alikumbuka tukio la Seventeen kujirusha baharini miaka kadhaa nyuma, lakini licha ya mawazo hayo kumjia ghafla aliona anawaza upuuzi , kwani alikuwa akiamini kwa asilimia mia moja Seventees alishakufa.

“Nielezee vizuri kuhusu huyo mwanamke na ilikuwaje mpaka mkakutana ndani ya visiwa vya Maldives”Aliuliza Roma aliejawa na shauku , lakini kabla ya zoe hajajibu , mlango wa chumba chao uligongwa na kumfanya Roma akereke , ila alinyanyuka na Kwenda kuufungua.

“Wageni wote tunatakiwa kukusanyika kwenye ukumbi B kwa ajili ya kikao kuanza”Aliongea mwanaume alievalia kombati za jeshi la Ufaransa.

“Hades naona una shauku ya kujua namna nilivyoweza kukutana na huyo mwanamke anaekufahamu, lakini huu sio muda mzuti , pengine utanitafuta kwa ajili ya mazungumzo Zaidi”Aliongea Zoe na kisha alitoka kwenye chumba cha Roma na kumfanya hata mwanajeshi huyu kushangaa , kwani hakudhania ndani ya hiko chumba kulikuwa na mwanamke mrembo kama huyo , aliishia kumwangaia Roma kwa macho flani hivyi ya kumkubali.

Meli ya kifahari ya Louis XVI ilitumia takribani masaa mawili mpaka kufika ndani ya kambi ya jeshi ya Le havre , kambi ambayo ipo chini ya jeshi la Ufaransa , lakini pia sehemu ambayo mwanzoni kulikuwa na kambi ya kijeshi ya NATO sehemu hii ndio inatenganisha kati ya Kisiwa cha Great Britain Pamoja na Kaskazini mwa Ufaransa maarufu kama ‘English Channel”,Sehemu hii hakuna meli zozote za kawaida ambazo zilikuwa zikiruhusiwa kukaribia.

Fodes ana maafisa wengine wa kitengo cha usalama wa taifa , Ofisi namba saba, waliwaongoza wageni wote Zaidi ya mia moja kutoka ndani ya meli hii na kuingia kisiwani mpaka kwenye jengo kubwa la jeshi ambalo lilikuwa likitumika kama ukumbi.

Ni jeng kubwa mno ni kama kiwanja cha mpira , upande wa kulia wa jengo hili ni uwanja wa ndege uliokuwa na barabara ndefu ambao ulikuwa na uwezo wa kuruhusu ndege kubwa kutu ana kupaa , licha ya kwamba ilikuwa ni suiku lakini eneo lote lilikuwa na mwanga kutokana na kufungwa taa kubwa kama zile za uwanjani na kufanya wanajeshi wa Vikosi maalumu waonekane wakiranda randa kulia na kushoto kuhakikisha ulinzi ndani ya eneo hili.

Roma aliekuwa kwenye mawazo ya hap ana pale juu ya maneno alioongea Zoe , alitembea kwa kujiachia akiwa ndio wa mwisho kabisa kutoka kwenye meli.

Baada ya watu wawakilishi hawa wa makundi mbalimbali ya kijasusi Pamoja na majeshi makubwa duniani kuinhia ndani ya jengo hilo, wote kwa Pamoja walipanda kwenye Elevator ambayo iliwachukua na kuwashusha ndani ya jengo hili Kwenda upande wa Ardhini na ilionekana Jeshi lilijenga jengo hili kwa mfumo wa handaki ili kama kukitokea shambulio la Anga kusiwe na madhara makubwa.

Kundi la the Eagles likiongozwa na Sauroni lilikuwepo , lakini roma hakutaka kuchangamana nao kwa makusudi maalimu aliokuwa akiyajua yeye na alimpa maelekzo hayo Sauroni , alitaka kuhudhuria yeye kama yeye na sio kama kiongozi mkubwa wa jeshi la The Eagles.

“Mfalme Pluto unaonekana kutokuwa na matamanio makubwa na Thanatos kuliko watu watu wote waliopo hapa”Aliongea baba yake Lilith , Prince Sargaras , baada ya kumsogelea Roma.

“Nina shauku kubwa ya kuona hio teknolojia, Lakini Prince Sargaras naona mtoto wako Lilith kapotea , simuoni hapa”Aliongea Roa huku akiangalia watu kumtafuta Lilith , lakini pia hakuweza kumuona aliangalia tena kumtafuta Zoe , lakini pia nay eye hakuweza kumuona.

“Ndio alivyo Lilith , siku zote amekuwa mtukutu , sifahamu hat ani wapi kaelekea”Aliongea

“Haha.. naona wewe na mtoto wako mmeshindwa kusubiria kabisa mnataka muwe wa kwanza kuipata hio teknolojia”Aliongea Roma huku akicheka maana kwa muonekano wa Prince Sargaras aliona alikuwa akidanganywa.

“Mfalme luto , sifahamu unachomaanisha”Aliongea akijaribu kujifanya hajui chochte ,m lakini muda huo walikuwa washafika kwenye ukumbi mkubwa uliokuwa kama Darasa , ukumbi uliokuwa na meza na viti , haukua umepambwa sana , lakini ulionekana kuvutia kutokana na namna ulivyojengwa.

Roma kwakua hakuwa amealikwa hakuwa na siti ya kukaa, kwani mpangilio wa namna ya kukaa ni kutokana na jinsi watu walivyoalikwa , hivyo Roma aliangalia kiti kilichokuwa nyuma kabisa ya ukumbi huo na kisha akakaa na kukunja zake nne, akisubiria mkutano kuanza.

Ukumbke kwenye huu mkutano kuna wale waliokuwa wakitaka kuona teknolojia ya Thanatos nguvu yake , lakini pia kuna wale waliokuwa hapo ndani kwa ajili ya kujua muafaka wa kumuangamiza adui Appollo anaewasumbua kila siku mpaka kutishia viongozi wa mataifa makubwa duniani.

Watu walikuwa na mchecheto wa kutaka kujua hivyo walisisitiza jambo hilo kupelekwa haraka haraka, Majasusi wa kimatiafa kama vile CIA , Mossad na Soviet hawakuwa na mchecheto sana juu ya trknolojis Thanatos , walichokuwa wakitaka ni kujua muafaka wa Appolo kupitia kikao hiko, waliokuwa wakitaka kwa hali na mali Teknolojia hio ni makundi ya kijeshi kama Vile The Eagles , takamagahara Jaguar na Dark Parliament kundi lililokuwa likiundwa na wanywa damu akiwemo Lilith.

Fodesa ndio aliekuwa msimamizi mkubwa wa kikao na ndio aliekuwa mshereheshaji , kikao kilienda harakaharaka , kwani Fodesa alipanda jukwaani na kuelezea nia na madhumuni ya kikao hiko.

Kwa maelezo ya Fodesa ni kwamba Serikali ya Ufaransa ilikuwa ikitafuta washirika ambao watasaidiana katika kumwangamiza adui namba moja wa taifa hilo anaefahamika kwa jina la Appolo.

Fodesa alianza kwa kutoa muongozo wa matukio yote ambayo yaliweza kufanywa na Appolp kama vile kuangamiza kambi za kijeshi za NATO, kushambulia kambi za kijeshi za mataifa yaliokuwa chini ya umoja wa ulaya EU , Pamoja na kambi za Urusi, lakini pia akamalizia na barua za vitisho ambazo Appolo alikuwa akituma kwa maraisi wa mataifa makubwa, ikiwemo Ufaransa.

Sasa Fodesa alisema kwamba kwa kundi lolote ambalo litakuwa tayari kuungana nan chi yake katika kupambana na Appolo basi wataweza kupeana siri juu ya teknolojia inayohusiana na teknolojia ya Thanatos.

“Tunaweza vipi kuamini kwamba Teknolojia ya Thanatos iliopotea miaka mingi nyuma taifa la ufaransa kuimiliki?”Aliuliza kionozi wa kundi la Takamahagara baada ya kunyoosha mkono.

“Naungana na Jenerali Naurihyon , kabla ya kikao hiki kuendelea tunataka kwanza na uhakika kama taifa lako ni kweli wanamiliki teknolojia hii”Aliongea kiongozi wa kundi la kijeshi la Jaguar kutoka Brazil na kufana watu wote waungane kumtaka Fodesa kuonyeshha kwanza Ushahidi kama ni kweli taifa la Ufaransa walikuwa wakimiliki teknolojia ya Thanatos.

“Of course, to express France’s sincerity, I will still allow everyone to inspect the technology while it is under our care.”Aliongea Fodesa akimaanisha kwamba ataruhusu kila mmoja kukagua teknolojia hio wakiwa wameishikilia.

Baada ya kuongea hivyo , alitoa ishara kwa Boltoni ambaye alikuwa amesimama upande wa kushoto na Boltoni aliingia kwenye chumba kimoja kilichokuwa kimetenganishwa na Stage na palepale walitoka wanajeshi waliokuwa wamebebea sanduku la chum ana kusogelea nalo mbele.

“Wawakilishi kutoka Vatican , wanao uelewa mkubwa juu ya teknolojia hii , lakini pia hata kwa Prince Sargaras mwenyewe anao ujuzi mkubwa wa teknolojia hii na atakuwa na uwezo wa kuitambua kama ni halisi au sio”Aliongea Fodesa. Na muda huo huo Prince Sargaras na wazee wawili waliokuwa wamekaa mbela kabisa waliangaliana , Kadinali Cruff na mwenzake ndio waliokuwa wawakilishi kutoka Vatican na walikuwa wamekaa kwenye mstali mmoja na Prince Sargaras , unachotakiwa kuelewa hawa wote wawili walikuwa ni maadui kutokana na asili zao , Prince Sargaras alikuwa akiabudu Shetani huku Kadinali Cruff yeye alikuwa akimsalia Mungu wa kweli , hivyo hawa wote walikuwa ni maadui na waliangaliana kwa nyuso zilizokuwa siriasis na muda wowote walionekana wapo tayari kupigana.

Sssa kutokana na fodesa kusema kwamba hao wawili ndio waliokuwa wakitakiwa kuthibitisha uhalali wa teknolojia hio , walisubiriwa na kundi lote lililokuwa nyuma yao kwa ajili ya kunyanyuka na kusogea mbele ya jukwaa kwa ajili ya ukaguzi.

BOOM , BANG!

Ulikuwa ni mlipuko wa aina yake uliotokea kabla hata ya wawakilishi kutoka uoande wa kiza na mwanga kupanda kwenye steji kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa uhalali wa teknolojia ya siraha ya Thanatos , teknolojia ambayo imepewa jina hilo kutokana na uhatari wake.

Unachotakiwa kuelewa ni kwamba Jina ‘Thanatos lilikuwa likimaanisha Mungu wa kifo katika hadithi za kigiriki ya kale , hivyo teknolojia hio ilikuwa imepewa jina hilo kutokana na uhatari wake.

Watu walishangazwa na mlipuko huo , lakini hawakuogopa kutokana a ujasiri wao na pia ukijumlisha kuwa watu wote waliokuwa hapa ndani walikuwa ni wanajeshi katika makundi yao.

“Damn it! Someone must have wanted to snatch the divine technology while no one was looking!”

“Pumbavu , kuna mtu anataka kuiba teknolojia kwa siri”Aliongea jamaa mmmoja hivi wa Urusi.

“Huu ni upuuzi tukikaa hapa , tukawazuieni”Aliongea mwingiena akihamasisha kundi na muda huu wageni wote waaalikwa ambao kila mmoja alieonekana kuwa mbabe walikuwa wamesimama kwa ajili ya kukinukisha na unachotakiwa kuelewa hapa ndani kila mmoja alikuw ana staili yake ya kipekee ya kimapigano na wote kwa Pamoja walionekana kuwa na msisimko wa kweli wa kupigana.

“Fodesa aliponea chupuchupu kwani kama isingekuwa wanajeshi wa kikosi cha Special Force kumvuta angekuwa amepigwa na mlipiko huo”

“Nini kimetokea”Aliuliza Fodesa , lakini hapo hapo aliona watu waliokuwa wakitembea kwa spidi ndani ya Steji kama vile mizimu kwani spidi yao haikuwa ya kawaidia.

“Jamani natangaza tukio kughairishwa”Aliongea Fodesa huku akitetemeka na kufanya baadhi ya watu waanze kuondoka, ila kuna wengine walikuwa washafika kwenye steji kwa ajili ya kupambana na mtu aliesababisha mlipuko.

Watu ambao hawakuondoka katika viti vyao ni Pamoja na Kadilani Cruff Pamoja na Prince Sargras muabudu Shetani.

“Prince Sargaras nadhani unanikumbuka”Aliongea Kadinali Cruff.

“Watu wavatican ninao wafahau muenda wote washakufa kwani sijawahi kutoka huku nje ya dunia kwa siku nyingi”Aliongea Prince Sargaras Kiongozi mkuu wa Dark Parliament.

“Unaweza usinitambue , ila mimi nakukumbuka , kwani tushawahi kukutana wakati nikiwa na baba yangu kipindi nikiwa na miaka kumi”Aliongea Kadinali Cruff.

“Kwahio unasemaje mtoto wangu”Aliongea

“Baba yangu alikuwa ni Kadinali wa Ujerumani na wewe ndio ulimuua”

“Ohh .. aisee sasa nakumbuka vizuri , kumbe yule ndio baba yako , skutegemea kama na wewe pia utakuja kuwa Kadinali .. inaonekana upo hapa kwa ajili ya kulipiza kisasi”

“Muda si mrefu Mungu ataniita … kabla sijafa nitahakikisha nakuua na kupigana na wewe litakuwa jambo kubwa sana ambalo nitalikamilisha kwa ajili ya Vatican , lakini kabla ya hivyo nataka kwanza tusaidiane kumshinda mwanamke kibuli”Aliongea Kadinali

“Mwanamke Kiburi , yuko wapi?”aliuliza Prince Sargaras.

“hahaha….”?ilisikika sauti ikicheka kutoka nyuma, alikuwa ni roma aliekuwa akicheka huku akiwa ameangalia juu kwenye Ceiling Body na haikueleweka alikuwa akiangalia nini na kufanya baadhi ya watu waliokuwa wamebakia kwenye hilie eneo kumshangaa.

“Nuru Takatifu”Aliongea kwa nguvu Kadinali Cruff na kwa jinsi alivyokuwa ameongea ni kama vile mchungaji akikemea pepo nah apo hapo mwanga mweupe mfano wa Radi ulitokezea sehemu aliokuwa amesimama na kupiga juu darini na ulikuwa unanguvu mno kiasi cha kutegeneza shimo na kutokezea nje kwenye kisiwa.

“Argh!! Stupid Vatican!!!”Ulikuwa mguno wa maumivu kutoka kwa mwanamke , sauti iliotokea juu kwenye paa m na Roma aliweza kuitambua sauti hio kwani ilikuw ani ya Lilith.

Baada ya kusikia kilio cha Lilith iliwafanya watu wote watambue mtu ambaye alihusika na mlipuk kwenye steji , waligundua muhusika alikuwa ni Lilith mtoto wa Prince Sargaras..

Lilith alionekana kushikilia boksi ambalo lilikuwa limehifadhia maelezo ya teknoloijia ya Thanatos na ilionekan aulikuwa ni mpango wake na baba yake kukimbia na teknoloijia hio wakarti weengine wakiwa wanaedelea na kikao.

“Ulipanga kukimbia na teknolojia kutoka kwenye hiki kisiwa wewe shetani?”aliongea Kadilani Cruff.

“We’ve been fighting for over ten centuries and all you can do is bullshit. Are you idiots?!”

“Tumekuwa tukipambana Zaidi ya karne kumi na unachoweza kufanya ni ujinga tu wewe mpumbavu “Aliongea Lilith huku akishuka chini na nguo ambayo alikuwa amevaa ilionekana kuunguzwa na Siraha ya Kimungu ya Nuru Takatifu.

“Nilijua toka mwanzo huu mpango hauwezi kufanikiwa kama nilitaka kukimbia nah ii teknolojia ningeleta wanajeshi wengi Zaidi ya Lilith”Aliongea Prince Sargaras huku akimwangalia Kadinali.

“Sargaras wewe ni mjinga , kama ulifikiria unaweza kupambana na mimi bora ukimbie , huwezi kupambana na mwanajeshi wa Mungu”aliongea Kadinali

“Acha kujigamba Cruff , hapa ndani mtu mmoja tu ndio anaweza kunizuia , lakini sio wewe na kama atakuwa upande wangu naondoka na Thanatos”

“Sargaras usituchukulie poa , leo wewe Pamoja na mtoto wako hauwezi kukimbia hapa”aliongea mwanaume mwingien aliekuwa kimya muda wote alievalia joho rangi nyeupe Pamoja na mshipi wa rangi nyekundu.

Roma baada ya kumwangalia huyu mtu alieongea alimkumbuka , alikuwa ni moja ya watu aliowaona kwenye kundi la Crusaders kule Tanzania , waliokuwa wamekuja kwa ajili ya kuchukua HollyGrail. Hakuwa mwingine bali alikuwa ni Gabriel.

Upande wa wanajeshi wote wa kundi la Sea Eagles walikuwa wametulia , walikuwa wakisubiria mfalme wao akiamshe na wao waingie kati kuzichapa , makundi mengine pia yalikuwepo hapo ndani wakisubiria nani atashinda kati ya kundi la Kiza linaloongozwa na Prince Sargaras na kundi la Nuru kutoka Vatican linaloongozwa na Gabriel Pamoja na Kadinali Cruff.

“Your Eminence Cruyff, you guys take care of the blood race prince, we’ll handle that female vampire!”

“Ewe Kadinali Cruff ulietukuka , utambana na Prince mimi ngoja nimmalize huyu Vampire wa kike”Aliongea Gabriel lakini pale pale moja ya ajenti kutoka Scandinavian na wenyewe waliingilia mchezo na kumfata Lilith kwa Spidi lakini waliishia kukatwa vipande vipande na Massacre Blade na kufanya eneo lote kusambaa damu , lakini hakuna ambaye alikuwa na hofu wala kuogopa namna ambavyo Lilith aliwafyeka hawa wanajeshi wa kitendo cha siri.

Waliokuwa kwenye hali ya woga ni Fodesa na wanajeshi wake , kwani kwenye Maisha yao hawakuwahi kushuhudia mapambano yaliokuwa yakitumia nguvu za kishetani Pamoja na zile siraha za Kimungu.

“Mfalme Pluto kile kiboksi kweli kina teknolojia ya Thanatos”Aliuliza Sauroni baada ya kumsogelea Roma

Na Roma aliangalia boksi ambalo limeshikiliwa na Lilith na kwa kutumia uwezo wake aliangalia kilichokuwa ndani ya boksi hilo.

“nathani ni yenyewe saurini naona ndani kuna kitabu kilichoandikwa kwa Lugha ngumu ya Kilatin”Aliongea Roma

“Nataka kwanza nionge pambano linavyoenda hapa ndani sauroni shauku yangu kubwa ni kuona kama atatokea tena”Aliongea Roma.

“Mfalme unamaanisha nani?”

“nitakuelezea siku nyingine Sauroni ila kuna mtu alinizidi nguvu nilipokuwa Tanzania na kunipokonya HollyGrail”Aliongea Roma na kumfanya Sauroni kushanga.

Pambano halikuwa la kawaida kabisa watu walichoweza kusikia ni maneno ya kuita nguvu za kichawi kwa upande wa Vampires na Nuru ya Ushindi , lilikuwa ni pambano la aina yake lililowafanya watu wote watulia kuangalia nani anashinda kwenye hili eneo.

Kuna muda upande wa Vatican walionekana kuzidiwa nguvu na Price sargaras alikuwa nni Zaidi ya shetani kwani alikuwa akimshambulia kanidali Cruff na kila aina ya mapepo ya aina mbalimbali ikiwemo Demon Blaze , hili ni pepo ambalo lilikuwa likitema cheche tu kama radi.

Baada ya Kadinali Cruff kuona anazidiwa na Sargaras muabudu Shetani ilibidi anyanyue mikono juu kama mtu anaeomba baraka kutoka kwa bwana na alitumia dakika moja.

“Angel’s Descent”

“Malaika Shukaa”Aliongea Kadinali Cruff akiita nguvu ya Malaika

Inasemekana Angel Descent ni mbinu flani ya kivita inayotumiwa na wanajeshi wa Vatican katika kushindana na mapepo , inasemekeana kwa mtu ili aweze kuwa mwanajeshi wa Levo ya Malaika , lazima awe na mwili ambao haujui dhambi kwa asilimia mia moja , yaani hawa ni watu ambao wanazaliwa ndani ya kanisa na kukua ndani ya kanisa katika eneo linalotengwa huku wakilishwa maeno ya Mungu na kusali muda wote.

Kifupu ni kwamba Lilith walidhibitwa kwa asilimia mia moja na yeye Pamoja na baba yake na kulegezwa kabisa Lilith.

Lilith baada ya kuona nguvu zimewaishia , iliidi afanye maamuzi ya kumrushia Roma kiboksi kilichokuwa na teknolojia ya Thanatos

“Your Dear Majesty Pluto, I do believe the fault lies in you for asking us to obtain the technology. But now that my father’s hurt, I think it’s best if you take it for yourself.”

“Mfalme Pluto , naamini kosa lipo kwako kwa kutuambia tukusaidie kupata teknolojia ya Thanatos , lakini sasa hivi baba yangu ameumia , hivyo naamini ni vizuri ukiichukua”Aliongea Lilith kinafiki ukweli hakutaka kumuona Roma msaada moja kwa moja Zaidi ya kumsingizia kama ndio aliewatuma yeye na baba yake kukwapua teknolojia.

Roma alijiambia Lilith ni mnafiki sana , kwani aliona ni kama akimwinginza kwenye mtego , baada ya kuona wapo kwenye hati hati ya kuzidiwa na wanajeshi wa Vatican.

Roma alimwangalia Lilith ambaye muda wote alikuwa akionyesha kuomba msaada kutoka kwake na alifikiria kidogo na kujiuliza kwa wakati mmoja je awasaidie watu wa kudni la Kiza au abaki upande wa Nuru.

Roma alisimama huku akiangalia Boksi lililokuwa kwenye mikono yake na pale pale alifanya maamuzi na kurusha kuelekea alipokuwa amekaa Sauron.

“That’s right, I’m the one behind this heist, Sargeras and his daughter are under my watch…”Alipiga mkwala Roma huku akisogea mbele na kufanya watu wote wamwangalie.

IKITAKACHOTOKEA SIO POA ITAENDELEA NICHEKI WATSAP 0687151346
Muendelezo lin singanojr
 
Duuuu[emoji58][emoji58][emoji58] umeishia patamu Mkuu[emoji1][emoji1] ila sio mbaya mpaka alhamis tenaaaa
 
Daah nimekuja mbio asee kumbe bado, Yaan hili simu hii siku ni ndefu asee
 
Back
Top Bottom