Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Ratiba ya mwanzo ilikuwa j4, Alhamis na Jumamosi....siku hizi anapiga random...unaweza ona.moja kwa week...shida Hii. SinganoJr aka Roma Romani...sema neno Kesho wadau wako wapone huku.

Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
 
Ratiba ya mwanzo ilikuwa j4, Alhamis na Jumamosi....siku hizi anapiga random...unaweza ona.moja kwa week...shida Hii. SinganoJr aka Roma Romani...sema neno Kesho wadau wako wapone huku.

Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
Ratiba tu zinanibana , kesho nitaweka mwendelezo , uzuri ni kwamba nipo tofauti nikileta mwendelezo ni wa kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu singano jr, njoo taratibu usijikwae ukaanguka bwana, apa nina hamu ya kujua kama majin wa HONGMENG kama watafanikiwa kumvua nguvu ROMA,kwamaana ndo hivyo mbuzi kashajipeleka kibra kama walivyotaka
Sema Roma ana tabia za Kiswazi sana hasa kwenye misosi 😂😂😂
 
"Mr Devil, inaonekana ana siku hahudhulii kwenye group,so umeamua kumuibukia huku chaka
 
singanojr tuonee huruma bas. watu tunashinda kwenye simu kila dakika kuangalia mzigo
 
Mkuu 3500
kama una watsapp nicheki 0687151346
Utaratibu ni rahisi sana unalipia 3000(aftatu) baada ya hapo unapata mwendelezo wa vipande 80 vya mbele then nakuunga na grupu letu la VIP ambalo halina mambo ya kuchat mwendo unakuwa ni j3 mpaka jmosi kila siku saa tatu unapata mwendelezo vipande 2 mpaka vitatu hadi vinne siku nyingine.
Kwasasa tupo volume 2.

Kuna wale ambao pia hawapendi groups nawatumia pia inbox private ada yake ni 3500

NB; Hii simulizi nitaipost yote mpaka mwisho ila utaratibu ni kila siku ninayotoa ahadi KESHO SAA TATU USIKU TUNAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom