THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
Dokta singano vp 2mezidiwa huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha 2Dokta singano vp 2mezidiwa huku
Ratiba tu zinanibana , kesho nitaweka mwendelezo , uzuri ni kwamba nipo tofauti nikileta mwendelezo ni wa kutoshaRatiba ya mwanzo ilikuwa j4, Alhamis na Jumamosi....siku hizi anapiga random...unaweza ona.moja kwa week...shida Hii. SinganoJr aka Roma Romani...sema neno Kesho wadau wako wapone huku.
Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
Kwa hili hatubishi mkuu sema ili utokomoe kabisa mwaga hata episode kumi na mbili hivi ili tujimwayemwaye.Ratiba tu zinanibana , kesho nitaweka mwendelezo , uzuri ni kwamba nipo tofauti nikileta mwendelezo ni wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema Roma ana tabia za Kiswazi sana hasa kwenye misosi 😂😂😂Mkuu singano jr, njoo taratibu usijikwae ukaanguka bwana, apa nina hamu ya kujua kama majin wa HONGMENG kama watafanikiwa kumvua nguvu ROMA,kwamaana ndo hivyo mbuzi kashajipeleka kibra kama walivyotaka
Kesho ndo leo bro waaminisheeh kwambaa ww n mtiifu [emoji3577]Ratiba tu zinanibana , kesho nitaweka mwendelezo , uzuri ni kwamba nipo tofauti nikileta mwendelezo ni wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
akisema kesho ww ongeza kesho moja mbele mkuuKesho ndo leo bro waaminisheeh kwambaa ww n mtiifu [emoji3577]
Hiyo kesho uliyoisema ilikuwa Jana mkuuRatiba tu zinanibana , kesho nitaweka mwendelezo , uzuri ni kwamba nipo tofauti nikileta mwendelezo ni wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
usijar Foul, kesho sio leo wala jana. dah! aliegundua neno kesho... au bas tuHiyo kesho uliyoisema ilikuwa Jana mkuu
kama una watsapp nicheki 0687151346
Utaratibu ni rahisi sana unalipia 3000(aftatu) baada ya hapo unapata mwendelezo wa vipande 80 vya mbele then nakuunga na grupu letu la VIP ambalo halina mambo ya kuchat mwendo unakuwa ni j3 mpaka jmosi kila siku saa tatu unapata mwendelezo vipande 2 mpaka vitatu hadi vinne siku nyingine.
Kwasasa tupo volume 2.
Kuna wale ambao pia hawapendi groups nawatumia pia inbox private ada yake ni 3500
NB; Hii simulizi nitaipost yote mpaka mwisho ila utaratibu ni kila siku ninayotoa ahadi KESHO SAA TATU USIKU TUNAENDELEA
Sent using Jamii Forums mobile app
singanojr tuonee huruma bas. watu tunashinda kwenye simu kila dakika kuangMnalialia nn sasausijar Foul, kesho sio leo wala jana. dah! aliegundua neno kesho... au bas tu