Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

SEHEMU YA 469.

Familia ya Afande Kweka ni moja ya familia ambazo zimejijenga sana kijeshi na hilo lilionyesha dhahiri.

Eneo lote la kuingia kwenye nyumba ya Afande Kweka palikuwa na walizi ambao wengi Roma alitambua ni wanajeshi wa nyota moja ambao walikuwa wameshiba kimazoezi haswa , mpaka Roma akafikia hatua ya kujiuliza mzee anaogopa nini mpaka kujiwekea ulinzi mkubwa namna hio , kwani uwepo wa Zenzhei kama mlinzi ilikuwa ni zaidi ya wanajeshi wote walioshikilia siraha.

Edna upande mwingine alijikuta akishangaa na kukosa urulivu , ijapokuwa alikwisha kwenda nyumbani kwa Mzee Kweka kujitambulisha na Roma miezi kadhaa iliopita , lakini awamu hii aliona utofauti mkubwa sana na ni kama ndio mara yake ya kwanza.

Unajua licha ya Roma kurudi nchini na kujitambulisha kwa babu yake pamoja na ndugu lakini hakupokelewa kimila , hivyo ujiio wake Songea ulikuwa ni kupokelewa kimila na kukaribishwa rasmi kwenye familia na tukio hilo linafanyika mbele ya wanafamilia wote.

Baada ya kuingia kwenye kijimsitu nyuma ya eneo hilo la Luhira gari yao ilisimama mbele ya geti kubwa ambalo lilifunguiwa kwa ndani na walinzi wawili na Roma kuwaangalia wote walikuwa ni wanajeshi wa vyeo vya kuruta.

“Huyu mzee anajifanya ndio raisi wa taifa hili?”Aliwaza Roma kwenye kichwa chake mara baada ya kutoka kwenye gari akiwa amembeba Lanlan.

Kilichomfanya kuwaza hivyo ni kutokana na ukubwa wa jumba hilo , ijapokuwa halikuwa na mwonekano kama ule wa kisasa kutokana na kujengwa zamani lakini mwonekano wake wa rangi nyeupe ulivutia lakini kubwa zaidi yalikuwa ni mazingira ya nje.

Eneo ndani ya ukuta lilikuwa kubwa mno ambalo lilikuwa na usafi wa hali ya juu ni kama vile alikuwa kwenye ikulu ndogo ya raisi.

Walipokewa na wahudumu waliokuwa nje huku mabegi yakitolewa nje kuingizwa ndani.

“Karibu sana Master Roma , Marshal alikuwa akisubiria kwa hamu ujio wenu”Aliongea mwanajeshi akimkaribisha Roma kwa saluti.

Roma alishangaa kuona bado babu yake anaitwa Marshal, aliona taifa la Tanzania lilikuwa likiwapa heshima sana hata wale wanajeshi waliostaafu.

Waliweza kuingia ndani eneo la sebuleni na kupokelewa na wahudumu watatu wakike waliowasalimia kwa heshima kwa kuinama mbele yao.

Edna alikuwa tajiri lakini hakuwa amezoea kabisa kunyenyekewa hivyo alionyesha kidogo kutojisikia vizuri kunyenyekewa na wahudumu.

“ My Boss wife mbona unaonyesha kuwa na wasiwasi au nikuchekeshe kidogo uwe vizuri”Aliuliza Roma akimwangalia Edna baada ya kuingia sebuleni ambayo bado ilionekana kutokuwa na watu wengi.

“Mh hili jumba ni kubwa na ni zuri , wahudumu pia wanaonyesha kuwa na mafunzo na hao wanajeshi ni kama wameandaliwa kwa ajili ya kutuigizia kuonyesha heshima”Aliongea Edna lakini Roma kabla hajajibu Blandina alijitokeza mbele yao kutokea mlango wa nuyuma.

“Jamani mmefika , niliwakumbukaje , nimemisi mjukuu wangu Lanlan kuliko kitu chochote”Aliongea huku akimsogelea Roma kumchukua Lanlan.

“Mimi hata sijakukummbuka kihiivyo”Aliongea Roma kwa utani.

“Wewe na utukutu wako , ndio maana unamfanya Edna kuonekana kuwa na wasiwasi , umemfanya nini?”Aliongea Blandina

“Mama hapana sina… “

“Usiwe na wasiwasi, hapa ni nyumbani kwenu sasa, hao wanajeshi unaowaona wapo wengi leo ni kwasababu kuna wageni pia kutoka jeshini wamefika”Aliongea Blandina na Roma alimwangalia mama yake kuona kama alikuwa na furaha na ilionyesha alikuwa hana tatizo lolote na lilimpa ahueni.

Baada ya Lanlan kuchukuliwa kwenda kulazwa Roma na Edna waliongozwa upande wa pili kuonana na Afande Kweka.

Afande Kweka alikuwa akiota moto huku akiwa amevalia sweta zito , ilionyesha eneo hilo lilikuwa maalumu kwa ajili ya kuota moto kwani lilikuwa na joto ambalo lilimfanya Edna kuhisi ahueni maana alikuwa akianza kuhisi ubaridi kwenye mwili wake, Zenzhei pia alikuwepo akiwa amesimama upande wa kulia.

“Baba washafika”Aliongea Blandina na kumfanya Afande Kweka kutingisha kichwa na kumwangalia Roma na Edna.

“Hatimae umerudi”Aliongea .

“Nimefika sijarudi”Alijibu Roma na kumfanya Afande kweka kutoa tabasamu la kifedhuli na kisha kumgeukia Edna.

“Edna hebu wewe niambie mmerudi au mmefika?”

“Tumerudi”Aijibu Edna

“Wife kulikoni kuungana na huyu mzee , tumekuja kutembelea asili yangu tu na hatujarudi kwani tulikuwa tumeenda wapi mpaka turudi?”

“Acha kuongea ujjinga na kujifanyisha mtukutu mbele ya babu yako”Aliongea Edna huku akimpiga Roma kofi la begani.

“Sawa mke wangu”Alijibu Roma.

“Hahaha…. Nilidhania unaendelea vizuri kwenye ndoa yako , ila hapa naona huna nguvu mbele ya mkeo”Aliongea Afande Kweka kwa utani huku akionyesha ishara ya kuketi.

……………………

Edna na Roma waliweza kukaa zaidi ya siku kumi ndani ya wilaya ya Songea , ilikuwa mara yake ya kwanza Edna kushiriki taratibu za kimila na alijifunza vitu vingi kwa siku zote alizokaa hapo , lakini pia aliweza kufahamina na wana ukoo wale ambao hakuwa akiwafahamu hata kujenga urafiki na baadhi yao.

Katika watu ambao aliweza kufahamiana nao na kuzoeana kwa haraka ni Eddy na mke wake Frola.

Eddy alikuwa ni raia wa Kenya na Flora ni raia wa Tanzania akiwa ni mjukuu pia wa Afande Kweka upande wa wakwe na ni moja ya wageni waliohudhuria sherehe za kimila, kilichomfanya Edna kufurahia kukutana na Eddy ni kutokana na kwamba Eddy alikuwa mfanyabiashara mkubwa ndani ya jiji la Nairobi .

Sasa kama ujuavyo watu wanaofanana kimtazamo wanapokutana huzoeana kwa haraka , basi ndio kilichotokea , Edna aliweza kuzoeana sana na Flora pamoja na mume wake Eddy na hata siku ambayo Eddy na Flora wanaaga kurudi Kenya walimlazimisha Edna baada ya kumaliza Honeymoon awatembelee Nairobi kwani atakuwa ameandaa zawadi kwa ajili yake , Edna alikubali na kutoa ahadi kwamba angefikana Romapamoja na Lanlan.

Sherehe ya kimila ilifana sana, Raisi Senga hakuhudhuria kwani alikuwa nchini Marekani kwenye mkutano wa umoja wa mataifa , kuhusu Denisi na yeye hakujitokeza kabisa na Roma alikuwa akitamaini kumuona tena ili amuue , lakini hakuwa amejitokeza na ilikuwa ahueni kwa Damasi pamoja na Blandina.

Tukio kubwa tu ambalo lilitokea ni kifo cha naibu waziri wa ujenzi ambaye alikuwa ameoa ndani ya familia ya Afande Kweka , kifo chake kilisababishwa na Roma baada ya kunyongwa na Roma mpaka umauti ulipomkuta mbele ya kadamnasi ya wana ukoo wote.

Naibu waziri alijitakia hata hivyo , haikueleweka alikuwa akifikiria nini kumpiga Roma hadharani na kumtukana tena mbele ya mke wake na hio yote ni mara baada ya Afande Kweka kumtangaza Roma kama mtu ambaye angeirithi nafasi yake, sasa huyo Naibu alikataa kwa kuweka pingamizi kwamba hawezi kumtambua Roma tofauti na Raisi Senga na kutaka kuhamasisha wengine, lakini mwisho wa siku aliweza kunyongwa.

Afande Kweka hakujali sana kuhusu kifo chake na alionyesha kama mtu ambaye alifurahishwa na jambo hilo kwani naibu waziri huo alionyesha pia kumtukana na kutokumheshimu kama kiongozi wa ukoo.

Inasemekana baba yake Afande Kweka hakuwa baba yake mzazi wa damu , bali Afande Kweka alikuwa amelelewa, sasa huyo naibu waziri aligusia hilo swala na kusema Roma na Afande Kweka hawana uhalali wa kurithishana uongozi wa ukoo ambao hauwahusu kwasababu Songea sio asili yao..

Ilikuwa siri ambayo iliwashangaza watu wengi na kutaka kujua kama alioyasema ni kweli lakini Afande Kweka alisema angelitolea swala hilo maelezo siku nyingine kwani huo sio muda wake.

Naam siku ya pili iliofuata Edna , Roma na Blandina walianza safari ya kuelekea visiwa vya wafu .

Afande Kweka alimzuia Edna asiongozane na Lanlan na kuwashauri wafanye hivyo mara baada ya ndoa, Edna hakupenda kutengana na Lanlan lakini mwishowe alikubali na kumuacha nyuma.

“Vipi kuhusu Bi Wema?”Aliuliza Edna kwa wasiwasi wakati walipokuwa kwenye gari wakielekea Songwe.

“Usijal Bi Wema atakuwa tayari ashafika muda huu”Aliongea Roma na kumfanya Edna kumwangalia Roma kwa shauku.

“Kwahio tunaelekea nchi gani?”Aliuliza na kumfanya hata Blandina kutaka kujua jibu maana licha ya kwamba alikuwa akimsindikiza mwanae kwa ajili ya harusi lakini hakuwa akielewa inaenda kufanyikia nchi gani.

“Nitawaambia tukishaingia kwenye ndege”Alijibu Roma

“Kwanini unanificha hata mimi mama yako , lazima nijue mwanangu anaenda kufanyia sherehe nchi gani”Aliongea Blandina lakini Roma aliishai kutabasamu na safari iliendelea.

Dakika chache mbele wote waliweza kuingia ndani ya uwanja wa kimataifa wa mkoa wa Songwe, shukrani kwa Dereva alitumia njia za mikato nyingi na kuwahi kufika , ilikuwa tayari ni alasili mchana wakati wanafika kiwanjani.

Na waliweza kupokelewa na wadada wawili wa kizungu waliovalia sare za uhudumu wa ndege, walikuwa warembo mno hasa pale walipompa heshima yake Roma kwa namna ya kutabasamu na kumfanya Edna amsogelee Roma karibu.

“Mbona kama nahisi kuna kinachoendelea.”Aliuliza Edna kwa utani maana aliona kila dalili wahudumu hao kumfahamu Roma.

“Hao ni wanajeshi , Wamevaa kama wahudumu wa ndege kwa ajili ya kurahisisha ulinzi”Aliongea Roma na kumfanya Edna kushangaa.

“Unamaanisha wanajeshi kitengo cha uhudumu wa ndege?”

“Hapana hao wapo kitengo kingine kabisa , labda naweza kusema ni Maninja ndio maana unaona ugumu wa kuwatambua kama wanajeshi”Aliongea Roma na kumfanya Edna kuchanganyikiwa na maelezo yake.

Kiwanjani hapo kulikuwa na ndege mbili , moja ndogo saizi ya ndege za Precision Air na nyingine ilikuwa kubwa kampuni ya Airbus, sasa Blandina na Edna walijuwa wanaenda kupanda ile ndogo lakini walijikuta wakitoa macho mara baada ya kuongozwa kwenye ile kubwa ambayo ilikuwa na jina la Arc Airline.

Roma alitambua mshituko wao na yeye ndio aliekuwa wa kwanza kutembea mpaka kwenye ngazi na kugeuka nyuma kuwaangalia wakiwa wamesimama.

“Mama mbona mnashangaaa na kusimama?” Aliongea na kauli yake ilimshitua Edna na kumsogelea Roma.

“Hii si Airbus A330?”Aliuliza Edna , alikuwa akizifahamu sana ndege kutokana na kwamba alishasafiri sana nje ya nchi, hivyo likija swala kuzitofautisha alikuwa vizuri kwanzia ndege za kampuni ya Boeng na Aribuss.

“Ndio, lakini kwanini upo kwenye mshangao , au kwasababu hatujaipamba , Babe tusingefanya hivyo kwani hatutoitumia mara kwa mara”Aliongea Roma kwa utani na wote waliingia taratibu huku wakipokelewa mlangoni na muhudumu.

Kilichowashangaza zaidi ni mara baada ya kuingia ndani, walitegemea kwamba wangekuta msururu wa siti za abiria kama walivyokuwa wakipanda ndege za kawaida lakini hii ilikuwa ni tofauti kabisa , eneo la ndani liligawanywa kwa vyumba na wao waliongoza mpaka sehemu iliokuwa kama sebule kwa mpangilio wake.

Usanifu wa ndani ulikuwa ni ule wa kifahari ukijumuisha samani za miti ya misandali, Jalidi za ngozi ya Elk na mapambo ya vito vya thamani, Chandelia za vioo ndio zilipangwa kwa mpangilio mnyoofu huku zikipitisha mwanga wa taa za kuvutia , chini ya sakafu kapeti nzito kutoka Irani maarufu kama Persian Carpet ilikuwa imetandazwa, kulikuwa na harufu ya marashi ya upekee sana,

Edna alikuwa tajiri lakini hakuwahi kupanda ndege yenye ufahari wa aina hio na alionekana kama mshamba tu na sio kwake tu hata kwa Blandina ilikuwa hivyo.

Unajua Blandina alikuwa akimuona Roma hana hela kumzidi Edna lna hata Roma alipoweka wazi swala la ndoa alitaka kuchangia , lakini Roma hakutaka mchango hata kidogo , safari yake hio ya kwenda kwenye harusi ilikuwa ya shauku kwake kwani Roma alimwambia ni baadhi ya maeneo ambayo yamejaza historia yake ya maisha ya nyuma.

Alishawahi kuwa mke wa raisi, kunyenyekewa alishazoea lakini kwa swala la ufahari wa hii ndege ulikuwa uzoefu mpya, aliishia kuwaza vitu vingi sana kwenye kichwa chake.

Roma baada ya kuketi kwenye sofa aliongea na wahudumu kwa lugha ambayo Edna hawakuielewa na ndani ya muda mfupi chakula na vinywaji mbalimbali vililetwa , Roma alikuwa na njaa maana hawakupata kula chochote.

“Mama jaribu hii , ni Vanila kutoka Ibiza naamini utaiona tamu”Aliongea Roma mara baaada ya wahudumu kuleta chupa za nyingi za bia na mvinyo, Blandina hakuwa akijua achague ipi kwani hakuwa mzoefu.

Blandina alichukua glass iliomiminiwa na kisa akanusa harufu yake na alimwangalia Roma kwa mshangao.

“Hii ni bia au Mvinyo ,mbona inanukia vizuri hivi”

“Ni kinywaji kama dawa na mara nyingi hutumika kuondoa uchomvu mwilini , ni bia ambayo haileweshi”Aliongea Roma na Blandina alijaribisha kunywa kidogo na kuonyesha kufurahia radha yake.

“Vipi kuhusu mimi?”Aliuliza Edna.

“Wewe chagua yoyote”Aliongea Roma huku akicheka

“Umemchagulia mama na mimi nataka unichagulie nichukue ipi hapa?”Aliongea na kumfanya Roma akune kichwa chake na kuanza kufikiria huku akiangalia chupa zilizokuwa kwenye trey.

“Hii infahamika kwa jina la ABSENTA kutoka Mediterranian lakini pia wengine wanaita Absinthe , ndio moja ya kinywaji changu pendwa , unaweza kujaribu”Aliongea Roma.

“Nishawahi kusikia kuhusu hii pombe na ipo kama spirit inakiwango kikubwa cha kulevya zaidi ya asilimia hamsini , nikinywa si nitalewa”

“Hii ni tofauti na toleo la zamani , Absinthe ya zamani ilifungiwa lakini hili nitoleo jipya na kiwango cha pombe ni kiduchu mno , ndani yake imewekewa asali hivyo huleta radha tamu kutokona na mchanganyiko wa Shamari”Aliongea Roma na kumfanya Edna kuguna , alikuwa hajawahi kunywa pombe hapo kabla zaidi ya mvinyo pekee, lakini aliamua kumuamini Roma na kunywa kidogo.

“Vipi radha yake unaionaje?”

“Ni tamu mno , ina radha nzuri”Aliongea Edna huku akianza kuangalia rangi yange ya kijani kwenye glasi na kufanya hata wahudumu kutabasamu , huku wengi wakionyesha wivu wa kuamani nafasi ya Edna ingekuwa ya kwao.

“Tuambie sasa ni wapi tunaelekea”Aliongea Edna.

“Kuwa mvumilivu mke wangu ni safari ndefu””

“Umbali wake ni wa kiasi gani?”Aliuliza Edna na Roma alimgeukia mhudumu na kumpa ishara ya kumsogelea na kisha akaanza kuongea kiitaliano

Edna na Blandina walishindwa kuelewa Roma anaongea nae nini lakini kwa mwonekano ni kama alikuwa akiuliza kitu..

“Amesema tunajiandaa kupaa lakini picha za satilaiti hazijawa tayari” Aliongea Roma kwa namna ya kutafsiri.

“Its fine”Aliongea Edna huku akimtingishia kichwa yule muhudumu huku akitabasamu.

“Rubani atatuonyesha picha za satilaiti punde baada ya kupaa na ndio nitawaeleza sehemu tunayo elekea”Aliongea Roma

Baada ya kufunga mikanda , hatimae dege hilo la Airbus iliruhusiwa kupaa na baada ya kutulia kwenye anga , picha za satilaiti zilionyweshwa kupitia LED skrini.

“Hapa ndio mwisho wa safari yetu”Aliongea Roma akionyesha kwa kidole.

“Hio si bahari ya Medetteranian?”

“Kwa usahihi zaidi ni Lonian Sea”alirekebisha Roma.

“Mbona sijawahi kusikia kuhusu Lonian Sea” Aliuliza Blandina.

“Bahari ya Lonian ni mwendelezo wa Ghuba ya bahari ya Mediteranian , Upande wa Kaskazini inaangaliana na bahari ya Adriatic ,upande wa kusini inafikia Cicily-Itally na upande wa mashariki ni Albania na Ugiriki , Kuna milipuko ya Volkano sana kutokana na misuguano wa sahani za kitetokniki chini ya uvungu wa bahari , tetemeko la Ardhi linatokea mara kwa mara kwenye hili eneo”

“Kwahio unasema unafanya harusi katikati ya bahari?”aliuliza Blandina kwa mshangao na kumfanya Roma atabasamu na kisha alionyesha baadhi ya viwingu viwingu vilivyoonekana katikati ya bahari kama vidoti doti.

“Nini hio?”

“Unavyoona hapo ni visiwa ninavyomiliki jina lake ni Islands of Dead(IOD) , ni visiwa ambavyo miaka iliopita vilikuwa chini ya serikali ya Uingereza kabla havijawa chini yangu ”

“Kwanini vinaitwa visiwa vya wafu?”

“Hilo utafahamu baadae”

“Kwahio unamaanisha kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kwenda kwenye hivi visiwa kwasababu ni vya kwako?”Roma alitingisha kichwana kisha akaendelea kuelezea.

“Mwanzoni kabisa waliishi watu wa asili ya Australia(Aboriginal) kabla ya serikali ya Uingereza kuwaondoa , na kujenga magereza ya wahalifu wa daraja A, Wakati wa vita ya pili ya dunia wahalifu wote walifanikisha kutoroka kwenye magereza kutokana na wanajeshi wote waliokuwa wakilinda hilo eneo kwenda vitani , baada ya kuwa huru wakakosa usafiri wa kuwatoa kwenye visiwa hivyo na ndipo walichukua fursa ya kuviweka chini yao na kuanza maisha mapya na wakaamua kujiita The Lonians, waliishi hapo kwa amani sana na wakawa watu wasiokuwa chini ya serikali yoyote na jambo hili lilivutia zaidi baadhi ya wahalifu wengine ambao jamii haikuwataka na serikali kuwatafuta sana, kutokana na wengi wa watu waliokuwa wakitafuta hifadhi kuongezeka kwa kiwango kikubwa ikawa kama nchi sasa inayojitegemea, Sheria kubwa ya watu wote wanaoishi hapo lazima waachane na muunganiko wa maisha yao ya nyuma na kuanza upya kabisa , nikimaanisha hata ndugu zao ambao wapo katika nchi mbalimbali watengane nao na hata majina pia kuachana nayo na kuwa na majina mengine, ndio maana visiwa hivi vikaitwa vya wafu, kwa maana kwamba watu ambao wamekufa kwenye ulimwengu wa kawaida wanaanza maisha mapya ndani ya hivi visiwa”Aliongea Roma kwa kirefu.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba asilimia kubwa ya wale wahalifu au magaidi wakubwa ambao washawahi kutikisa duniani , walienda kujificha kwenye hivi visiwa na hao ndio raia.

“Kwahio unamaanisha watu wanaoishi hayo maeneo ni wahalifu?”Aliuliza Blandina kwa wasiwasi.

“Mama unafikiria mbali , wale wafungwa walioishi hapo walishakufa na wengi wao waliohamia hapo ni kwa ajili ya kuishi kwa amani na wameachana na maisha yao ya zamani , siku yangu ya kwanza kwenda kwenye hivi visiwa ni bara baada ya kuisaidia familia ya kifalme kutoka Wales na ndio walionipatia hati miliki”Aliongea Roma.

Baada ya miaka kadhaa kupita visiwa vya wafu viliweza kupata kiongozi ambaye ni Hades wa Zamani na watu wote waliokuwa wakiishi ndani ya visiwa hivyo walimheshimu kwa kiasi kikubwa sana na yote hayo ni kutokana na ujasiri wake wa kuzuia serikali yoyote kutovitawala na kuendelea kubakia visiwa huru.

Lakini upande wa Ujingereza bado ilikuwa ikitaka kuvirudisha hivi visiwa kwasababu historia inaonyesha vilikuwa ni vya kwao , lakini walishindwa kuvipata kutokana na hila za Hades wa zamani.

Sasa Roma mara baada ya kukutana na Catherine na kumuokoa hatimae kumrejesha katika jumba la Kifalme na kuendeleza utawala wake , alipewa nafasi ya kuomba zawadi na ndipo alipotaka hatimiliki ya visiwa vyote vya wafu, lilikuwa ni ombi kichaa kwanni Serikali ya Uingereza ilitawala visiwa hivyo kimakaratasi tu lakini Roma auThirteen alikomalia kwamba serikali impatie hatimiliki za visiwa hivyo, kumbuka sasa wakati huo Visiwa hivyo vilikuwa chini ya Hades

Roma mara baada ya kupewa hatimiliki moja kwa moja alienda kwenye hivi visiwa kwa ajili ya kuviweka chini yake ,wakati huo alikuwa akiongoza kundi la Maninja lifahamikalo kwa jina la New Zero , akifahamika kama Ajent 13 na Seventeen akifahamika kwa jina la Agent 17 na alipanga kuweka makao yake hapo.

Sasa haikueleweka ilitokea nini lakini Hades wa zamani alimuachia Roma umiliki wa visiwa hivyo kama mrithi kwa hiari yake na Roma ndipo aliporithi jina la Hades kwanzia wakati huo , lakini hata hivyo mpaka Roma alipokuja kutambulika kama Hades ilikuwa ni zaidi ya mwaka tokea apewe hatimiliki ya umiliki wa visiwa hivyo na Serikali ya Uingereza , jambo moja kubwa ambalo lilimpa heshima kwa watu wa Visiwa vya wafu ni kwamba kitendo cha kupata hatimiliki kutoka Serikali ya Uingereza ni kama alileta uhuru na kwanzia hapo maisha yakawa ya amani na hakukuwana vita tena.

“Serikali ya Uingereza ilisaidia kuvitoa kwenye mfumo wa ramani ya kawaida ya dunia , ulinzi wake ni mkubwa kutokana na siiraha zenye teknolojia ya kipekee”

“Familia ya kifalme ulioisaidia ni Malkia Catherine mama yake Clark si ndio?”aliuliza Edna

“Upo sahihi na tokea visiwa hivi viwe chini yangu Catherine hutembelea mara kwa mara kwa ajili ya mapumziko, Babe unatakiwa kuelewa visiwa hivi vina mandhari nzuri ya kuvutia kutokana na milipuko ya Volkano na nina uhakika mtapenda mazingira yake na sitojali sana kama mtataka kuanzisha maisha moja kwa moja”

“Kuhusu hilo tutaongea muda mwingine, lakini sina mpango wa kuishi huko” aliongea Edna

“Roma kwahio unasema mataifa mengine duniani yalikuwa tayari kuondoa hivyo visiwa kutoka kwenye ramani kwa hiari yao?,naonekana kama sio uhaisia”Aliongea Blandina ambaye alikuwa akiyatafakari maelezo ya Roma na alionyesha kabisa kutokuamini.

“Mama je serikali ya Marekani inajali wapi kati ya New York na Visiwa vyangu?”

“Lazima wajali New Yok”

“Kwa jibu hilo basi sidhani watahitaji kuwa na mgogoro na mimi kisa tu namiliki visiwa, maana wangenibugudhi ningehakikisha hasara itakayopatikana ndani ya jiji la New York isingefidiwa Visiwa hivyo”Aliongea na kumfanya Blandina kukosa usemi , kwa maneno ya Roma ilionyesha Serikali ya Marekani ilikuwa ikimuogopa.

Kadri safari ilivyokuwa ikiendelea Edna aliawa sana na shauku ya kuona visiwa vyenyewe na watu wake, lakini pia upande mwingine alionyesha kukosa utulivu.

“Roma siamini kama tunaenda kufunga ndoa?”Aliongea Edna.

“Edna kwanini unaongea hivyo?”Aliongea Blandina mara baada ya kumuona hata Roma kushindwa kuielewa kauli ya Edna.

Roma yeye alichukulia kawaida , lakini upande wa Edna lilikuwa jambo kubwa kwake , yeye alihisi wakati alioishi na Roma ni wa uchumba na sio ndoa na sasa anakwenda kuolewa rasmi , upande wa Roma alihisi yeye ashaishi na Edna kwa muda mrefu na kinachowekda kufanyika ni kama kumbukumbu ya ndoa yao.

“Mama siamini kama hii siku imefika, kwenye maisha yangu sikuamini kama nitaolewa tena harusi kuwa sehemu ambayo sijawahi kufika , nahisi nipo ndotoni”

“Nikufinye uona kama upo kwenye ndoto au uhalisia?”

“Wewe usijaribu?”

“Haha… tunaonekana kama wanandoa wa kizamani tayari kuna haja gani kuwa na wasiwasi?”

“Wewe sisi sio wanandoa wa kizamani” aliongea Edna na kumfanya Blandina kuchekeshwa na maongezi yao lakini aliishia kutulia huku akionekana kuwaza, alishindwa kuelewa imekuwaje Roma akapotea kwenye ndege ya Malaysia Airline na kupona mpaka kuja kuwa mtu mzima na kumiliki visiwa , alikuwa na maswali mengi ambayo kwake majibu hakuwa nayo , lakini hakuwa na ujasiri pia wa kumuuliza Roma kile kilichotokea , alihisi huenda stori ya maisha yake ingekuwa ya maumivu sana na kumfanya kuishi kwa hatia maisha yake yote.

Baada ya masaa tisa kupita hatimae walikaribia mwisho wa safari yao baada ya Rubani kutangaza , Edna aliposhituka usingizini alipeleka macho nje kuangalia na alijikuta moyo wake ukienda mbio kwa mwonekano wa mandhari ya chini.











SEHEMU YA 470A.

“Hubby kwanini kuna visiwa vingi vidogo vidogo , Je Visiwa vya wafu ni kama Archipellago?”

Archiellago ni mkusanyiko wa visiwa vingi sana ni kama ilivyo kwa nchi ya Ugiriki.

“Unaweza kusema hivyo, ndio maana jina ni Visiwa na sio Kisiwa, harusi yetu itafanyikia kwenye kisiwa kikubwa zaidi , makao makuu”Aliongea Roma mara baada ya kuchungulia nje.

Baada ya muda kidogo walipewa taarifa kufunga mikanda kwani wanakaribia uwanja wa ndege kutua.

Kadri ndege hio ya Airbus ilivyokuwa ikishuka ndio mandhari yalivyozidi kuonekana , ni maji yaliozunguka pande zote na Edna aliweza kuoan baadhi ya fukwe za kupendeza mno zilizofanana kwa kiasi kikubwa na Santorini.

Aliweza pia kuona barabara za rami, nyumba pamoja na mashamba ,aliweza pia kuona baadhi ya meli za kivita za doria chini yake , lakini pia aliweza kuona baadhi ya Helicopta za doria upande wa pili zikiimarisha ulinzi.

Baada ya dakika ishirini kupita hatimae ndege iliweza kugusa njia ya kukimbilia , ilikuwa ni uwanja wa njia moja tu ambao umejengwa kwenye fukwe.

Baada ya wote kutoka waliweza kupokelewa na upepo pamoja na harufu ya bahari , hali ya hewa ilimfanya akili yake kuwa ya utulivu mkubwa pamoja na hisia zisizoelezeka , kwenye maisha yake hakuwahi kuona sehemu tulivu kama hio , alijikuta akigeuka geuka kama mtu asieamini.

Blandina na yeye alikuwa ni moja wapo ya watu ambao walikuwa kwenye mshangao mkubwa , walisahau kama kuna watu waliovalia suti wa kiwasubiria wakiwa wamepanga mstari kulia na kushoto kwa ajili ya kuwapokea.

“Ule ni mlina wa Volcano?”Aliuliza akiangalia upande wa kushoto kwake , akiangalia kisiwa ambacho kilikuwa na miti mingi lakini na kilele cha mlima wa Volcano.

“Ndio ni mlima wa Volcano , haujalipuka kwa zaidi ya miaka mia moja mpaka sasa , lakini ardhi inayozunguka mlima ina miti mizuri ya kijani kutokana na ardhi yake kuwa na rutuba ya utajiri wa madini

Edna alijikuta akikosa usemi kila kitu kilionekana kipya kwake , lakini kwa wakati mmoja kigeni machoni mwake.

Roma ndio aliekuwa wa kwanza kuongoza njia akiwa anatembea kwenye zulia la rangi nyekundu na kuanza kuwasalimia watu waliokuja kumpokea,moja wapo ya watu hao alikuwa Bi Wema.

Edna mara baada ya kumuona Bi Wema alishindwa kujizuia na kumkimbilia na kisha akamkumbatia , alionyesha kumkumbuka sana kwani hawakuonana kwa zaidi ya siku kumi na tano.

“Karibuni , watu wa hapa ni wakarimu sana sijawahi pata ona nimekutana pia na mswahili mwenzangu, lakini bado nahisi kuwa mgeni na kukosa utulivu”Aliongea Bi Wema.

Ni Blandina na Bi Wema pekee ambao wangeshuhudia harusi hio , kwani Sophia aligoma kuja na upande wa Familia ya ukoo wa Roma mhudhuriaji aalikuwa ni Ashley pekee ambaye alitoa taarifa.

Bi Wema alikuwa amevalia mavazi tofauti sana ambayo Edna hakuwahi kumuona nayo na Edna alimwangalia na kujikuta akitabasamu.

“Hili gauni kanitayarishia Ron , yule mwanaume wa kizungu pale ameniambia lingenifaa sana kwa ajili ya kuhudhuria harusi”Aliongea Bi Wema na kumfanya Edna na Bi Wema kumwangalia mwanaume wa kizungu ambaye ndio alieonekana kuongoza kundi la watu waliokuja kuwapokea.

“You Majestu Pluto , Welcome back to the IOD, Ron Von Konstantin at your service”

Kwa wale ambao mnatarajia kujiunga na gurpu letu la WAtsapp la VIP kwanzia wiki ijayo gharama itakuwa ni 5000…

ITAENDELEA SIKU KAMA YA LEO .

WATSAPP CONTACT -0687151346.
I like it
 
SEHEMU YA 479.
Uhai na kifo ni kitu kimoja kama ilivyo mto na bahari kuwa kitu kimoja , Yan Buwen licha ya kuwa na nguvu kwa kiasi kikubwa lakini hakuwahi kuwaza kifo chake ni baada ya kuhamisha kumbukumbu zake kwenye mwili mpya.
Upande mwingine nae Roma akijua kwamba amemuua Yan Buwen hakujua kwamba mwenzake alikuwa hai na aliweza kuuliwa na watu dhaifu kama Kizwe na Lekcha.
Lekcha alitemea mate maiti ya Yan buwena kana kwamba anautangazia ulimwengu mwanasayansi nguli kutoka taifa la China ameweza kufa kikatili.
“Una uhakika unaweza kutumia teknolojia zake?”Aliuliza Denisi.
“Ushasahau alichoongea , amesema kuna kitu ametumia ku syncronize memori zake kwenye mwili wake mpya”
“Lekcha unamaanisha Biochip?”Aliuliza Kizwe.
“Upo sahihi , tunachotakiwa kufanya ni kupasua ubongo wake na kuitoa na tunaweza kupata kila taarifa na baada ya hapo tutakuwa na uwezo wa kupata nguvu , nina uhakika kama hatutamshambulia Roma ana kwa ana kama huyu mjinga tunaweza kumshinda huku sisi tukiwa nyuma ya pazia”Aliongea Lekcha akimaanisha kwamba kwasababu Yan Buwen ameshindwa kumdhibiti Roma basi uwezekano wao wa kumshinda kwa kupigana nae ana kwa ana unaweza usifanikiwe , hivyo njia pekee ya kumzidi ni kumshambulia kwa njia isiokuwa ya moja kwa moja.
“Kama ni hivyo basi nipo tayari , nitahakikisha mahitaji yote unapata ya kiuendeshaji”Aiongea Denisi.
“Licha ya kwamba baba yako ni raisi lakini kupata kiasi kikubwa cha pesa kusapoti uendeshaji wa hili eneo sidhani kama utakuwa nao”Aliongea Kizwe.
“Hilo lisikupe shida , mimi ni mtoto pendwa kutoka kwa baba yangu hawezi kushindwa kunifanyia uchochoro wa kukwapua bilioni kadhaa za watanzania”Aliongea na Kizwe na Lekcha waliangaliana na kutabasamu.
*******
Upande wa Tanzania ilikuwa ni kizaa zaa mara baada ya raisi Kigombola kujipiga mwenyewe risasi ya kichwa , Roma kama angeamua kumuokoa angefanikisha lakini hakutaka kufanya hivyo.
Watu wote walishangazwa na maamuzi yake , lakini hakuna ambaye alimlaumu kwa maamuzi alioyachukua kutokana na makosa ambayo amefanya na kama sheria ingechukua mkondo wake huenda angehukumiwa jera miaka isiopungua therathini kisheria hivyo ingekuwa moja kwa moja maisha yake yote angeyamalizia gerezani na huenda ndio sababu alioona inafaa kujimaliza mwenyewe .
Neema licha ya kwamba alimchukia alijikuta akilia mno na sio yeye Donyi pia alimlilia baba yake , kila mmoja alieweza kushuhudia kile kilichotokea aliweza kulia na kushikwa na huzuni.
Licha ya kigombola kujiua , lakini huku nyuma alikuwa ameacha kiasi kikubwa cha utajiri na kutokana na mali zake alivyokuwa akizimiliki basi hata kama serikali itachukua hatua ya kuzifuatilia ingekuwa ngumu kuzitaifisha , kwani nyingi zilikuwa kwa majina bandia.
Athari kubwa ambayo inatarajiwa kutokea kwasababu ya kifo chake ni ile nguvu aliokuwa nayo serikalini kupotea , watoto wake ndio walikuwa wanasiasa lakini walikuwa na nguvu kutokana na kwamba baba yao ndio aliekuwa akiendesha usukani, sasa dereva amekufa gari halina budu kuyumba na hatimae kupoteza mwelekeo.
Kifo cha Kigombola watu ambao wanakwenda kunufaika kwa kiasi kikubwa ni familia ya Afande Kweka, mathalani kwa raisi mwenyewe Senga, kwani tokea ayachukue madaraka kuna maamuzi ambayo alikuwa akishindwa kuyachukua kutokana na namna ambavyo Kigombola alikuwa akiingilia uongozi wake , hivyo kifo chake ni kama angeenda sasa kuwa raisi kamili na mwenye ushawishi kwenye maeneo karibia yote ndani ya taifa.
Huenda baada ya habari kuzisikia kutoka Marekani alipokuwepo kikazi atakuwa anashangilia kwa shangwe.licha ya kwamba yeye sio aliefanikisha kifo chake bali msababishaji mkuu ni mtoto wake Roma ambaye siku zote hakutaka kumtambua.
Baada ya taratibu zote hapo ndani kumalizika za kuondoa mwili wa marehemu kwa ajili ya kupeleka hospitalini kuhifadhia , Roma alikadiria muda ambao Edna angefika Tanzania na kwa haraka haraka aliamini kama ni kufika Dar es salaam ingekuwa ni usiku sana , hivyo hakuwa na haja ya kurudi nyumbani kwani angeenda kuwa mwenyewe.
Alichokifanya ni kuondoka na Neema Luwazo pamoja na Donyi ambao wote walikuwa kwenye majonzi ya kifo cha Kigombola , aliona akae nao karibu kwa ajili ya kuwafariji.
Neema mara baada ya kurudi kwenye jumba lake wageni waliokuwa wakimpa salamu za pole walikuwa wengi mno , maana habari za kifo cha mheshimiwa zilikuwa zishawafikia watu wengi.
Roma aliwasiliana na Ron kuulizia kama Edna amekwisha kuondoka Visiwa vya wafu na Rona alimwambia Edna anatarajia kuondoka asubuhi ya saa tano mchana kwani na Blandina na Bi Wema wote hawakuona haja ya kuendelea kubakia kwenye hivyo visiwa ilihali hakuna ambae walikuwa wakiwafahamu.
Roma baada ya kusikia hivyo aliamini mpaka muda ambao watakuja kutua nchini Tanzania ni siku inayofuata sasa, muda wa asubuhi siku hivyo alimpigia simu Diego na kumtaarufu amerudi na Edna angerudi siku inayoafuata hivyo wanapaswa kuwa makini na usalama wake atakapofika.
*******
Ilikuwa ni siku nyingine kabisa , Roma aliamkia ndani ya nyumba ya Neema Luwazo kama vile yeye ndio mwenye nyumba, baada ya kupata kifungua kinywa aliamua kuwasindikiza mpaka msibani ambako alikaa kwa masaa kama matano hivi.
Baadhi ya watu walikuwa wakimwangalia kwa chuki lakini hakujali , kwanza sio yeye ambaye alimuua Kigombola bali alijiua mwenyewe, hakuhisi hatia ya kile kilichotokea.
Wakati Roma anatoka msibani kurejea mjini ilikuwa ni saa nane kwenda saa tisa , wakati alipokuwa kwenye gari alikuwa akijaribu kufanya mawasiliano kwa kumpigia Edna simu lakini ajabu ni kwamba simu yake haikuwa ikipatikana, alishangaa kwani kwa muda huo atakuwa tayari ashafika Tanzania kama kweli walitoka saa tano , sasa alijiuliza imekuwaje simu yake isiwe hewani, alijua Edna anaweza kuwa na hasira na yeye lakini hawezi kuzima simu ili asipatikane hewani kwa makusudi , alichokifanya ni kumpigia simu mama yake mzazi.
Na ndipo alipoambiwa Edna aliondoka nyumbani mara baada ya kurudi tu na kuaga anaelekea kazini.
“Roma nenda huko huko ofisini kwake ,mkayamalize maana alikuwa amenuna njia nzima mpaka tunafika Tanzania , msipo yamaliza mapema hali inaweza kuwa mbaya zaidi mbeleni , umekosea mwenyewe kumuacha mwenzio wakati ulikuwa usiku wake wa kwanza baada ya ndoa,Mnunulie na chakula umpelekee”Aliongea Blandina kwenye simu na Roma alimwambia anaelekea huko na asiwe na wasiwasi atayamaliza.
Ilionekana Blandina mara baada ya kutoka Visiwa vya wafu alikwenda kuishi tena nyumbani kwa mwanae .
Roma baada ya kufika Posta aliingia kwenye mgahawa wa vyakula vya haraka (Fastfood) na kununua chakula ambacho aliamini Edna atakipenda , aliotea kwamba muda huo Edna atakuwa hajala chochote kutokana na kuwa na hasira pamoja na mawazo ndio maana alichukua maamuzi ya kufanya hivyo
Dakika kumi na tano mbele aliweza kufika ndani ya jengo la kampuni ya Vexto na alishuka na kisha aliingia kwenye lift na kupandisha moja kwa moja mpaka kwenye floor ambayo ofisi ya Edna inapatikana.
Roma baada ya kufika kwenye meza ya sekretari aliweza kumuona Recho akutokea ndani ya ofisi ya Edna.
Alikuwa amevaa suti ya rangi nyeusi na viatu vya visigino virefu huku mkononi akiwa ameshikilia mafaili , Roma alijiambia Recho anazidi kupendeza siku hadi siku na hivi karibuni alionekana kuonesha mabadiliko makubwa zaidi , kwanza alionekana kuwa na furaha.
“Roma umerudi? Umechelewa kuja maana naona bosi hayupo kwenye mudi nzuri”Aliongea Recho kwa heshima huku akitabasamu.
“Ndio maana nimekuja kumuona , huenda naweza kumfanya kuwa na furaha”Aliongea Roma na kumfanya Recho kutabasamu.
“Yupo kwenye ofisi yake lakini ana mgeni”.
“Mgeni?”Roma alishangaa kwani kwa alivyokua akielewa taarifa za Edna kuwa likizo zilikuwa ni rasmi , hivyo ilikuwa ngumu kwa mgeni kuja ofisini kwake kwa siku kama hio ambayo ndio kwanza tu amerudi kutokea Mediterranian.
“Ni nani?, au ni mtu ambaye namfahamu?”
“Sina uhakika kama unamfahamu, kwa majina yake ni Hanson , ni mzungu na inaonekana wanafahamiana sana na bosi”Aliongea Recho na kumfanya Roma sura yake kujikunja .
“Asante , unaweza kuendelea na kazi zako”
Recho alitaka kuongea neno lakini alishindwa kuongea lolote , kwa namna ambavyo Edna alionekana tokea asubuhi , kama mwanamke alijua tu kulikuwa na tatizo kati yake na Roma , hata hivyo alikuwa na taarifa zote kwamba Edna alikuwa amesafairi kwa ajili ya kwenda kufanya sherehe ya harusi na hata yeye mwenyewe alishangazwa na kurudi kwake kwa ghafla.
Roma alivuta pumzi na kisha aligonga mlango.
“Come in”Sauti nyororo ya Edna kutokea ndani ilijibu na Roma alisukuma mlango na kisha akaingia ndani huku mkononi akiwa na mfuko wake wa vyakula.
Edna hakuwa amekaa kwenye kiti chake cha kufanyia kazi , bali alikuwa amekaa kwenye sofa , alionekana kupauka kidogo lakini kauzu zaidi , hisia mbalimbali zilipita kwenye moyo wake mara baada ya kumuona Roma.
Roma macho yake yote yalikuwa kwa mwanaume wa kizungu ambaye alikuwa amekaa upande wa kushoto kwenye sofa.
Alikuwa ni Hanson , yule yule wa miezi kadhaa iliopita baada ya kukutana nae mara ya kwanza kwenye kusanyiko la wahitimu wa chuo cha oxford ,wanadarasa wa Edna.
Hanson baada ya kumuona Roma ndio ameingia alisimama kwa haraka na kisha alimwinamia kwa ishara ya kumsalimia.
“Mr Roma nice to meet you again”Aliongea Hanson lakini Roma hakujibu salamu yake zaidi ya kwenda kuweka ule mfuko juu ya meza.
“Mama kanipigia simu na kuniambia nikuchukulie chakula kwa waswasi hujala chochote mchana”Aliongea Roma huku akitoa tabasamu hafifu akimpotezea Hanson mzungu.
Edna aliangalia ule mfuko kwa dakika kadhaa na kisha akarudisha macho yake chini.
“Haina haja, nishakula tayari”Aliongea Edna kwa sauti kavu
“Ndio usijali Mr Roma nilimshawishi muda wa mchana tukapate chakula mara baada ya kugundua hajakula chochote tokea asubuhi”Aliongea Hanson
“Kwahio unasema mlipata chakula cha mchana pamoja?”Aliuliza Roma huku akianza kupandwa na hasira pamoja na wivu.
Edna ambaye alikuwa akiangalia sakafu alihisi Roma kuwa katika hasira hivyo aliinua shingo yake na kumwangalia.
“Ndio tumekula pamoja, nimefahamiana nae kwa muda mrefu sikuona kuna tatizo kama nitakula nae chakula cha mchana”Aliongea na kumfanya Roma amwangalie Hanson kwa macho makali na alimfanya mwenzake kuhisi ubaridi wa woga kusambaa mgongoni.
“Kwanza kwanini upo hapa?”Aliuliza swali Roma kwenda kwa Hanson
“Mr Roma tafadhari usifikirie vibaya , nadhani unajua nimechaguliwa kuwa mwakilishi wa kampuni ya magari ya BMW ndani ya Afrika ili kupanua soko hivyo kampuni imeamua kufungua tawi ndani ya Afrika mashariki na nimeichagua Tanzania, nimeona nifanye ushirikiano wa kibiashara na Edna”Aliongea.
“Nenda kwenye idara husika sio hapa, halafu siku nyingine ukikutana na mke wangu sitaki umwite kwa jina lake unaweza kumuita kama Mrs Roma au CEO Edna”Aliongea kibabe na kumfanya mzungu wa watu kupauka uso kwa woga.
“Romaa!” Edna alikunja sura kwa hasira na kisha akasimama.
“Nani kakupa ruhusa ya kumkaripia mgenni wangu na kumpa maagizo utavyo?,Kwanini unaingilia kazi yangu?”Aliongea kwa kufoka.
“Mpaka sasa unatakiwa kuelewa nimejitahidi kuwa mpole la sivyo angekuwa marehemu tayari”Aliongea Roma huku akimwangalia Hanson kwa macho makali mno na kumfanya kutetemeka.
“Ndio kwanza umerudi nchini, tena kabla hata likizo yako haijaisha lakini ameweza kufahamu umerudi na kuja moja kwa moja ofisini kwako na kuanza kuzungumzia maswala ya kazi , nani mwenye akili timamu anaweza kuamini hakuna ajenda nyingine anapanga kwenye kichwa chake?,Unataka uniambie amekuja ofisini na kubahatika kukutana na wewe?”
“Unamaanisha nini wewe?”
“Unaniuliza namaanisha nini tena?”Aliongea Roma huku akicheka kwa kicheko cha hasira huku akimwangalia.
“Kama amekuja hapa akifahamu upo ofisini basi ninaweza kusema sio bahati mbaya bali kuna uwezekano nyie wawili mna mahusiano au mnawasiliana kwa siri, au nadanganya?”Aliuliza Roma.
“Mr Roma nadhani unanifikiria vibaya , niliweza kupata taarifa Edna asharudi hapa nchini na imetokea na mimi sijaondoka hivyo nikaona sio mbaya kuja kuonana nae ili kujadili kuhusu mipango yangu ya kibiashara”.
“Unafikiria ninaweza kukuamini?” Aliongea na kumfanya Hanson kukaa kimya huku akitetemeka.
Upande wa Edna alijikuta machozi yakianza kujitengeza kwenye macho yake , ilionyesha muda wowote angetoa kilio.
“Roma unanishuku...?”
“Nimeona kwa macho yangu na kusikia pia kwa masikio yangu, kwaninni useme nakushuku wakati ushahidi upo?”
“Tulikula chakula pamoja huku tukizungumzia maswala ya biashara , kwanini unakuwa na uwezo mdogo wa kufikiria?”
“Unaniambia nina uwezo mdogo wa kufikiria ?”Aliongea Roma huku akitingicha kichwa chake kwa hasira.
“Unajiona upo sahihi kumwambia ana uwezo mdogo wa kufikiria mbele ya huyu mwanaume , ujasiri huo unautoa wapi?”
“Bora hata yeye hawezi kuingia kwenye ofisi ya watu na kuanza kutoa vitisho bila kuelewa ukweli wote”Aliongea Edna huku akimwangalia Roma kwa macho makali.
Roma alijikuta kichwa chake kutaka kumpasuka kutokana na hasira alizokuwa nazo kwa Edna kumjibisha ujinga na kumlinganisha na Hanson.
Haikueleweka Hanson kawezaje kupata taarifa ya kurudi kwa Edna nchini , lakini ujio wake ndani ya ofisi ni kutaka kujenga ukaribu wa kibiashara na Edna, hakuwa na mawazo ya kumfanya mwanamke wake wala mchepuko bali alichokuwa akilenga ni kutaka kuwa na ukaribu na Roma pia kupitia kwake ili aweze kufanikisha maswala yake ya uwekezaji na wazo hilo alipewa na Tajiri Azizi kwamba ili arahisishe maswala yake ya uwekezaji nchini basi anapaswa kuwa na urafiki na Roma.
Lakini tatizo kwa mtu yoyote lazima angefikiria kama Roma kwa hali ilivyokuwa , Edna alikuwa amesafiri na likizo yake ilikuwa ikifahamika kiofisi na mara baada ya kukatisha likizo yake tu na kurudi ofisini Roma anamkuta yupo na Hanson , ukizingatia urembo wa Edna lakini pia umaarufu wake kama mwanamke tajiri ni sahihi kwa mwanaume huyo kuona anammendea au wana mawasiliano.
Hanson hakuelewa kama kuna ugomvi kati yao na mbaya zaidi ni kama alijiingiza na kuwa katikati ya ugomvi.
“Mr Roma and CEO Edna , I shall take my leave , Please calm down”Aliongea Hanson lakini kutokana na macho makali ya Roma alishindwa kujua aondoke au abaki.
“Mr Hanson unaweza kuondoka hatokufanya chochote”Aliongea Edna na kumfanya Hanson kujisikia ahueni na kisha aliondoka huku akiwa mwekundu na jasho kumtoka, alikuwa akizisikia habari za Roma ndio maana alikuwa akimhofia na mbaya zaidi alikuwa kwenye nchi ambayo sio yake.
Edna alimwangalia Roma usoni kwa dakika kadhaa na kisha akarudi kwenye meza yake ya kufanyia kazi.
“Ameondoka sasa, umeridhika?”
“Kwahio ulidhania nilishindwa kutomfanyia chochote?” Aliongea Roma huku bado akionekana kuwa na hasira na kumwangalia.
“Unataka kufanya nini tena, si yashaisha?”Aliongea na kumfanya Roma kulazimisha tabasamu.
“Tokea siku ambayo tumeweza kukutana nilifanya kila kitu ambacho ulitaka nifanye , nilikuacha pia ufanye vile utakavyo na nilijitahidi sana kukufarahisha, nakubali nimefanya mambo mengi ya kukukasirisha na kwa hilo naelewa sana na ndio maana sikutaka kukulazimisha kunifanyia chochote”Alivuta pumzi na kuendelea.
“Sikuweza kuwa makini kwenye usiku wa ndoa na kukukasirisha na hilo nakubali na najua nimefanya makosa kuondoka lakini nikuambie kwamba sijutii kabisa maamuzi yangu , sijutii kwani maamuzi nilioyafanya yalisaidia kuokoa maisha ya watu , Haijalishi una hasira kiasi gani lakini angalau jaribu kuelewa wapi natokea na mimi ni nani , najua wewe ni mgumu sana kujishusha mpaka kufanya maamuzi ya kurudi mapema nje ya makubaliano hilo pia kwangu ni sawa kwani nakufahamu ulivyo , lakini nimekuja hapa kwa ajili ya kuyamaliza..”Aliongea Roma na hasira zilianza kujitengeneza kwenye macho ya Edna.
“Kwahio hicho ndio kimekuleata hapa , kwamba nikushukuru kwa kipindi chote mabacho umenivumilia na kuniaacha nikifanye nikavyo?”
“Hapana, ninachokuelezea ni kwamba kuna baadhi ya mambo napaswa kufanya bila hata ya kukutaarifu, Unajua unanifanya muda mwingine niwe na shauku ya kujua nini kipo ndani ya moyo wako , Kwanini unakosa huruma?’Aliongea Roma huku akijitahidi kujiruliza.
“Unamaanisha nini mimi kukosa huruma?”Aliongea huku akionyesha kutoridhishwa na kauli yake.
“Edna hivi unafikiri ninaweza kuvumilia tabia yako, au niache kila kitu kinachonihusu kwa ajili yako , ninaweza kuvumilia kisirani chako, ninaweza kukuvumilia kwa kunikataa kwenye usiku wetu wa ndoa , ninaweza kukuvumilia kwa kurudi bila hata ya kutaka ruhusa yangu au kutotaka kunisikiliza ….Lakini swezi kukuvumilia kukutana na mwanaume yoyote yule bila mimi kufahamu, hususani mwanaume kama yule au unafikiri nina moyo mkubwa wa kukuruhusu unisaliti , unadhani ninaweza kukunyenyekea na kukuruhusu kukutana na mtu yoyote unavyojisikia kwasababu na mimi nina wanawake nje?”
“Naomba usiendelee kuongea” Aliongea Edna huku akitetemeka na machozi kumtoka.
“Huwezi kuniongelesha hivyo mimi”
“Hahaha,,, kwanini nisiweze , Edna hivi unajiona wewe ni keki au mungu mtu na kukuacha ufanye utakavyo , ngoja nikuambie kwangu wewe ni muhimu na nakiri nakupenda lakini ukithubutu kunikasirisha na kutaka kua juu yangu sishindwi kukutembeza uchi kwenye hio mitaa ya jiji huko nje , usitumie mapenzi yangu kama siraha ya kutaka kunipanda kichwani , huna thamani yoyote bila mimi wewe…”
“Wewe..”
Edna alishindwa kuongea lakini hakuwa tayari kusikia maneno yake tena , alijihisi kukosewa sana , alikuwa na hasira kiasi kwamba alinyanyua mkono wake kutaka kumpiga Roma kibao , lakini Roma hakutaka kumpa nafasi aliushika mkono wake kwa kuudaka.
“Unataka kunipiga, unafikiri kama nitaamua kupigana na wewe unaweza hata kunigusa.?”
“Wewe…wewe mwanaharamu nakuchukia..”Aliongea na kuanza kulia kwa kwikwi lakini machozi yake hayakumyumbisha Roma.
“Sasa hivi nimekuja kugundua kukujali kwangu sana imenifanya kuwa kipofu na unaanza kunichukulia poa..”Aliongea Roma na kisha alimsukumia kwenye meza.
Alibananishwa kwenye meza kiasi kwamba aliweza kuhisi pumzi za Roma kumpuliza usoni..
Walijikuta wakiangaliana usoni kama makondoo huku wakiachana nafasi kwa umbali wa sentimita moja, Edna alianza kupaniki lakini upande wa Roma aliachia tabasamu flani hivi kama vile aliekuwa mbele yake ni adui, lilikuwa tabasamu la kifedhuli.
“Edna siwezi kuwaacha wanawake wote ambao nawapenda , wanastahidili ulinzi wangu haijalishi ni Rose ,Amina au Nasra , kwanini niwaache wakati wapo tayari kufanya chochote kwa ajili yangu au unafikiri kwamba wao ni tofauti na sio warembo na wasingeweza kupata mwanaume bora zaidi yangu? , ngoja nikuambie Neema alikuwa tayari kufa na mimi licha ya kwamba alikuwa na nafasi ya kuachana na mimi na kuyaokoa maisha yake , kwanini unajiona kama wewe ndio pekee ambaye unaweza kuwa mke wangu na wao hawawezi?”
“Kama unawaona bora zaidi acha kupoteza muda wako na mimi na chukua mmoja wapo umuoe”Aliongea Edna kwa kiburi.
“Unaongea nini wewe, nikuache wakati hatujamalizana”Aliongea Roma na kisha alianza kuyalamba masikio ya Edna kwa spidi..
Edna damu zilianza kumchemka huku akishindwa kujua Roma anataka kufanya nini , lakini kwa jinsi Roma alivyomkaribia hakuwa mjinga kufahamu ni nini kinafuatia.
NB: kipande kinachofuatia kina mambo ya ki utu uzima kama wewe ni mtoto ishia hapa tukutane next season.




SEHEMU YA 480.
Roma macho yake yalichanua huku akijihisi msisimko usioelezeka, upande wa Edna alishindwa kufanya chochote.
“Nilijitahidi sana kuvumilia kwa zaidi ya miezi tisa, lakini sasa hivi tushafunga ndoa rasmi nadhani ni muda sahihi wa kukamilisha ndoa yetu”
“Roma …Romaa..”
“Nini .. au wewe sio mke wangu?”
“Roma najua haupo hivyo … subiri tusifanyie hapa ofisni”Edna alibembeleza lakini maneno yake hayakuwa na athari kwa mbogo ambayo ishaamua lake kichwani na alijihisi mwichi kugusana na mapaja yake.
Ijapokuwa lilikuwa ndani ya suruali lakini aliweza kuhisi joto lake na namna ambavyo limetuna alizidi kuona aibu za kike , Roma hakujali , alianza kumbusu kwenye paji la uso akaenda kwenye mashavu , mdomoni na kisha akanyanyua kidevu chake juu na kuanza kulamba shingo.Mtekenyo wa ulimi ulimfanya kuanza kuhema kwa shida
“Roma…”
“Unanukia vizuri sana mke wangu”
Harufu nzuri Roma aliokuwa akiinusa kwenye mwili wa mrembo Edna ilimfanya mashetani yake kucharuka maradufu na hakukuwa na uwezo wa kuyashusha kwa muda huo.
Alimwangalia usoni huku akitabasamu na kisha akapitisha mkono wake kwenye kiuno chake na kumminyia kwake na hakuishia hapo tu mkono mwingine aliupandisha mpaka kwenye nyonyo zake zilizosimama , mkono wa kushoto haukuishia kwenye kiuno tu bali uliendelea kusafiri mpaka kwenye makalio na kuyaminya minya kama embe.
Koti lake la suti alilovaa liliachia lenyewe na kumfanya iwe rahisi kuanza kufungua vifungo vya shati lake na kuchomoa nyonyo na kulipima na kiganja chake cha mkono na aliona linaenelea vyema na kuanza kuminya minya.Yalikuwa malaini kiasi cha kushindwa kufanannisha na kitu chochote.
Edna aliweza kuhisi mwili ukimtetemeka kila muda ambapo alikuwa akisungua chuchu zake, ilionyesha ndio eneo ambalo lilikuwa likiamsha muwasha washa na kumfanya kuanza kushindwa kuvumilia na kugugumia kwa kutoa kilio ambacho kilizidi kumfanya Roma kuchanganyikiwa , Macho ya Roma yalivyolegea ilionyesha kama mtu ambaye alikuwa na kiu na mbele yake ni mto na hakuna namna anaweza kuvuka upande wa pili pasipo kukata kiu yake.
Edna alijikuta akihisi kusisimkwa na mwili sana kila saa anayoguswa na alijikuta akiacha kukamaa mwili na kulegea mwenyewe ili kuruhusu utamu usambae kila kona ya mwili wake.
Alifumba macho kwa utamu huku machozi yakianza kumtirika, sio kwa kuchukia kile anachofanyiwa bali alishindwa kuyazuia kutokana na kiwango kikubwa cha hisia, ni msisimko ambao ndio mara yake ya kwanza kuhisi.
Alijikuta hata akiona aibu baada ya kuhisi mchuzi ukianza kutoka sehemu zake za siri na ilikuwa ni kama eneo limekuwa wazi na upepo kuingia hivyo kuhitaji kitu chochote cha kuongezea ili kuziba upepo usiingie.
Alijiambia huyu mwanaume alianza kumkasirisha na kumfokea lakini bado tu amefanikiwa kumnyegesha na sasa amejilegeza na kuacha afanye kile anachotaka.
Edna alikuwa na wasiwasi kwasababu wapo ndani ya ofisi lakini alishindwa hata kuinua mdomo na kusema Roma usiendelee, ni zaidi ya miezi nane tokea waishi pamoja na huenda alitakiwa kumruhusu kumfanyia hivyo mapema , lakini kwa muda huo ni kipi angeweza kufanya , hata hivyo ni mume wake.
Alijiambia labda maisha yake yote ataishi kwa kukasirishwa na kuchokozwa na huyu mwanaume lakini mwisho wa siku angejilegeza kwake.
Edna akili ilimtoka mara baada ya Roma kushusha suruali yake ya suti chini kwa kuikusanya na nguo ya ndani na kisha kupeleka mkono kwenye mbususu yake, alijikuta akikosa uvumilivu na kutoa mguno wa mahaba lakini Roma hakutaka apige kelele alimshika kidevu chake na kuanza kumpa kiss na aliweza kupokea kwa hiari yake kwa pupa huku miguu yake ikikosa balansi maana alianza kutetema kama Mayele lakini Roma alikuwa imara kumshikili.
Alijikuta akihisi kitu kama mkojo ukimtoka na alishindwa kujizuia na kuruhusu utoke , lakini aliishia kuona aibu na kuanza kulia, huku akishindwa kuelewa kwanini mwili wake unamwaibisha na kuanza kujikojolea.
“Sijategemea mke wangu kuwa hisia kali kiasi hichi , sio kwa maporomoko haya ya maji”Aliongea Roma kwa kutania lakini Edna alishindwa kuongea zaidi ya kuguna na Roma alimbusu shavuni kwa upole.
“Wakati tunafanya kwa mara yetu ya kwanza ulikuwa umelewa , lakini sasa hivi upo na akili yako timamu nataka ujue kwamba itakuwa inauma lakini tamu na ole wako siku nyingine unichokoze mwendo ni huu huu…”Aliongea Roma lakini Edna alishindwa kuelewa anamaanisha nini kwani alikuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
Roma na yeye hakujali sana , alichokifanya ni kumalizia kutoa nguo zake zote zilizobakia mwilini na kumuacha akiwa mtupu kabisa na kisha akapeleka mdomo kwenye manyonyo na kuanza kunyonya na kumfanya Edna kuweka mkono yake mdomoni akijiuzia asitoe sauti kubwa kwa kuhofia huenda Recho yupo nje.
Roma hakujali aliendelea na kazi pasipo ya kujali mtetemo wa Edna na baada ya kuridhika alivua suruali yake na kuishusha chini na mtambo ukafyatujka kwa nje huku ukiwa na hasira.
Roma alimshika kiuno na kisha alimnyanyua na kumpandisha kwenye meza huku akiendelea kumpiga Denda kwa dakika kadhaa na huku chombo yake ikiisuguanisha karibu na mlango wa kuingilia ndani , Edna alizidi kutoa unyevu nyevu mtelezo kwa wingi.
“Hubby …naogopa” Aliongea Edna kwa sauti ndogo ya kubembeleza lakini ya kuvutia.
Roma muda huo alikuwa kama amechangayikiwa na hakuwa na mpango wa kuacha kile alichokipanga .
“Nishakuambia itakuwa inauma lakini muda huo huo itakuwa tamu”Aliongea Roma kwa sauti nzito lakini yenye kubembeleza na Edna kabla hajaitikia alishitukia tu mwichi ukizama ndani na kumsababishia ubaridi wa aina yake uliosafiri kuanzia kichwani kupitia mgongoni na kwenda kutua kwenye mbususu.
“Oh…”
“Ah.!”
Wakati Roma akihisi utamu , upande wa Edna alihisi maumivu na machozi yalianza kumtoka, ijapokuwa alikuwa ashawahi kufanya lakini kutokana na kukaa muda mrefu sehemu yake ni kama imerudi kuwa ya msichana tena.
Roma alifurahia mno mchezo maana alikuwa akibanwa vizuri mno na aliweza kuhisi hisia za aina yake , ni hisia ambazo zilikuwa za tofauti mno na zile alizokuwa akipata wakati akifanya mapenzi na wanawake wake wengine.
Mpaka hapo sasa tunaweza kusema ndoa yao imekamilika maana ndoa hukamilishwa na tendo la ndoa na hicho ndio ambacho kilikuwa kikifanyika , ijapokuwa ilikuwa ni ofisini lakini maana ni ileile tu kwamba hilo nalo ni tendo la ndoa linalofanyikia ofisini.
Zilipita kama dakika kumi na tano wakati Roma akiendelea kupeleka mbele na nyuma kama anacheza amapiano alijihisi naniliu yake uvutwa kwa ndani kwa staili ya kukabwa , alishindwa kuamini anachofanyiwa na Edna na aliishia kumwangalia usoni na kutabasamu.
“Edna mke wangu , sikujua kama una mbinu zako za siri, umefanya kwa kudhamiria nini , unaonekana kama mzoefu umewezaje kuifinyia kwa ndani”Aliongea Roma lakini Edna alishindwa kujibu chochote zaidi ya uangalia pembeni kwa kuona aibu kumwangalia usoni hata hivyo alishindwa kumuelewa anamaanisha nini kusema kufinyia kwa ndani.
Roma alijiua Edna hakuwa akifanya makusudi kuifinyia kwa ndani ila ni namna ya asili ya mwili wake ulivyo, hata hivyo licha ya kwamba Edna hakuwa na udhoefu lakini alitokea kumpagawisha na kumfanya ajihisi kama yupo juu kileleni mawinguni.
Alikuwa amekutana na wanawake wengi na kuwa mdhoefu lakini hisia alizokuwa akipata zilikuwa za aina yake, Edna na yeye ni kama alikuwa akianza kuishiwa na pumzi maana ni zaidi ya magori ambayo amefunga.
“Arrgh…Romaa …taratibu ..inauma ..oooh!”Alijikuta akilalamika lakini Roma alikuwa kama kiziwi na kuendelea kuongeza spidi na ilifikia muda akaona staili ya kimeza meza haimtoshi hivyo alimgeuza na kumshikisha mikono kwenye meza huku akiwa ameinama na kufanya msambwanda wote kurudi nyuma na Roma aliingiza tena na kuendelea kusukuma songombile yake.
Alihisi maumivu kidogo lakini kadri muda ulivyokuwa ukisogea alizidi kupata raha na sehemu zake ni kama sasa zishaanza kuzoea ukubwa wa mwichi wa mume wake na shoti za utamu alizokuwa akisikia zilimfanya kujihisi yupo mbingu ya saba.
Edna baada ya kuona dudu ya Roma ilikuwa ikiyasugua makalio yakekwakupita na kumwingia kwenye kitumbua chake alihisi aibu , lakini hata hivyo alishindwa kuacha kumuangalia Roma usoni.
Alijihisi utamu kwa jinsi Roma alivyokuwa akimwangalia kwa upole na kuridhika , hata hivyo ilikuwa ni kama mara yao ya kwanza kufanya mapenzi.
Edna alishindwa kuongea chochote na kuona aibu karibia muda wote tendo linafanyika na aliishia kutii maagizo kila staili ambayo alikuwa akiambiwa akae.
Mchezo uliendelea kwa zaidi ya lisaa limoja na walianzia kwenye meza na kisha wakahamia kwenye sofa, lakini Roma akaona haitoshi na kwenda kumshikisha mikono kwenye vioo vya madirisha na kumfanya Edna aliangalie jiji huku akiendelea kuhisi utamu usio na kipimo ambao ulianzia kwenye vidole vya miguu na kusambaa mwili mzima na kumwingia ubongoni.
Huenda kama kuna mtu angekuwa na darubini jengo la pili yake angeona kile ambacho kilikuwa kikifanyika , lakini Roma hakufanya mambo bila ya kuwa makini aliweza kutumia uwezo wake kuchunguza maeneo ya mbali ili isije ikatokea mtu anawaangalia.
Roma aliendelea na shughuli yake kwa muda mrefu na kufanya sauti kama za watu wanaopiga makofi kusikika ndani ya ofisi nzima.
Paah! ..Paah!!
Ilifikia kipindi Edna hakutaka kuendelea na kutaka kupumzika kwani alipiga magori mengi na kujikojolea kiasi kwamba alikosa idadi na sasa mwili wake ulikuwa umechoka mno.
“Huby inatosha .. tupumzike .. niche nipumzike kidog…”Aliongea Edna huku akihema kama mbwa ambaye amekimbia maili nyingi.
“Ni saa limoja tu lakini unaonyesha kuchoka , tufanye angalau yawe mawili , babe sikujua kumbe unatembea na Dhana ya kimaajabu kwenye mwili wako”Aliongea Roma lakini Edna alikuwa akielekea kwenye kuzimia kwani hakusikia tena utamu lakini ilionyesha kuzidi kumfurahisha Roma , huenda ni kwasababu alishaanza kuvimba sehemu zake kwa ndani hivyo eneo kuzidi kuwa dogo.
“Tafadhari Hubby … siwezi kuendelea ..naomba unionee huruma..”Aliongea na kuanza kulia kama mtoto na kumfanya Roma amwangalie namna ambavyo amelegea , hakuamini ndio yule mke wake aliekuwa akijifanyisha kauzu , muda huo alikuwa kama mtoto mchanga.
“Huwataki wanawake wangu wengine… lakini huwezi kudumu kwa zaidi hata ya lisaa kwa staili hii unakwenda kushindana nao vipi”?”
“Wewe…! kwanini uzungumzie wanawake wengine kwenye muda kama huu?” Aliongea na kumfanya Roma amlambe kibao cha kalio la kulia.
“Sihitaji ruhusa yako ninapotaka kuwazungumzia , nilichoongea ni kweli, sijatoa bao hata moja lakini bado unaonekana umechoka ,utawezaje kunizalia mtoto kwa namna hii?”Aliongea Roma na kumfanya Edna ashindwe kujibu , hakujua kama kosa lilikuwa lake kuchoka haraka au ni la mtu mwingine.
Roma ilibidi amuonee huruma na alimbeba na kumkalisha kwenye sofa ili apumzike.
“Hata hivyo mke wangu umefanya kazi nzuri angalau umenifanya nijisikie vizuri kuliko mwanamke yoyote yule”Aliongea Roma huku akimfinya mashavu lakini Edna alishia kutojibu kwani alikuwa akihema kwa tabu , alishukuru tu ameachiwa maana hakujua nini kingeendelea kama Roma angeng’ang’nia mpaka atakapotoa bao.
“Nisikilize kwa umakini siku nyingine usije ukanichokoza na kunikasirisha , wewe ni mwanamke wangu na siwezi kukuruhusu kukutana na wanaume waliokaa kihuni huni , ninaweza kuonekana sina sababu za msingi lakini unapaswa kunisikiliza mimi tu kwasababu wewe ni wa kwangu milele , unaweza usikubali lakini hakuna mtu yoyote anaweza akaja kukusaidia kama nitaamua kukuadhibu , hata hivyo kama utataka tena lazima uniombe…., Hahaa..Kaone sasa kanavyotia huruma, haina haja ya kuniangalia kwa macho lawama umeyataka mwenyewe…”Aliongea na kumfanya Edna atamani kulia.
“Mwanaume mdhalimu wewe”
“Hehe ..niiite vyovyote unavyotaka , nilifikira mambo mengi usiku wote wa jana na nimegundua hata kama nijizuie kutokufanyia chochote bado wewe ni mke wangu , hata nikiamua kukufosi pia wewe ni mke wangu ya nini kujiumiza wakati upo”Aliongea Roma na kisha alimshika kidevu na kupitisha kidole chake kwenye lipsi zake kwa kusugua sugua.
Edna alionekana kuwa na adabu sasa, hakuleta ubishi na alikuwa kama piritoni,ule ubosi kwisha habari yake.
“Pumzika bibi harusi wangu , tutaendelea tena angalau kwa lisaa lingine, unifanye agalau nimwage bao moja”Aliongea Roma.
“Lakini sitosikia chochote tukifanya tena, nahisi kumevimba..”Aliongea huku akionekana kutia huruma lakini Roma hakuwa kwenye nafasi ya kumuonea huruma maana bado hata dudu yake haijalala.
“Nitakuponyesha, kaa vizuri niingize na nitakuonyesha kwanini naitwa mfalme Pluto” Aliongea Roma na kabla Edna hajajibu alishangaa ashawekwa sawa na yote ikazama.
“Ah..!”Alijikuta akihisi damu kumcheka huku Roma akiwa amemuweka kifo pendwa cha yule mdudu msumbufu usiku anaeogpwa na wadada , wakati akidhania angehisi maumivu Roma alikusanya nguvu ya kimaandiko na kuipeleka kwenye dudu yake na Edna alihisi mtekenyo wa aina yake na aliishia kutoa mdomo kama kabanwa na mlango.
Lisaa lingine mbele alijihisi uji uji mzito ukimwagika ndani ya sehemu zake za uzazi , ulikuwa wa moto kiasi kwamba alihisi raha ya ajabu na alijikuta akikakamaaa mwili na yeye kufunga goli ambalo haikueleweka lilikuwa la ngapi na aliishia kuhema huku akimwangalia Roma usoni na alijikuta akiachia tabasamu huku akiwa amelembua na kuangalia pembeni kwa aibu.
Naam hivyo ndivyo ilivyokuwa……..
MWISHO WA SEASON 16.
WWTSAPP 0687151346 NICHEKI KUOATA MWENDELEZO , SIMULIZI NDIO INAANZA
Mkuu shukhran🤗🤗🤗🤗
 
SEHEMU YA 469.

Familia ya Afande Kweka ni moja ya familia ambazo zimejijenga sana kijeshi na hilo lilionyesha dhahiri.

Eneo lote la kuingia kwenye nyumba ya Afande Kweka palikuwa na walizi ambao wengi Roma alitambua ni wanajeshi wa nyota moja ambao walikuwa wameshiba kimazoezi haswa , mpaka Roma akafikia hatua ya kujiuliza mzee anaogopa nini mpaka kujiwekea ulinzi mkubwa namna hio , kwani uwepo wa Zenzhei kama mlinzi ilikuwa ni zaidi ya wanajeshi wote walioshikilia siraha.

Edna upande mwingine alijikuta akishangaa na kukosa urulivu , ijapokuwa alikwisha kwenda nyumbani kwa Mzee Kweka kujitambulisha na Roma miezi kadhaa iliopita , lakini awamu hii aliona utofauti mkubwa sana na ni kama ndio mara yake ya kwanza.

Unajua licha ya Roma kurudi nchini na kujitambulisha kwa babu yake pamoja na ndugu lakini hakupokelewa kimila , hivyo ujiio wake Songea ulikuwa ni kupokelewa kimila na kukaribishwa rasmi kwenye familia na tukio hilo linafanyika mbele ya wanafamilia wote.

Baada ya kuingia kwenye kijimsitu nyuma ya eneo hilo la Luhira gari yao ilisimama mbele ya geti kubwa ambalo lilifunguiwa kwa ndani na walinzi wawili na Roma kuwaangalia wote walikuwa ni wanajeshi wa vyeo vya kuruta.

“Huyu mzee anajifanya ndio raisi wa taifa hili?”Aliwaza Roma kwenye kichwa chake mara baada ya kutoka kwenye gari akiwa amembeba Lanlan.

Kilichomfanya kuwaza hivyo ni kutokana na ukubwa wa jumba hilo , ijapokuwa halikuwa na mwonekano kama ule wa kisasa kutokana na kujengwa zamani lakini mwonekano wake wa rangi nyeupe ulivutia lakini kubwa zaidi yalikuwa ni mazingira ya nje.

Eneo ndani ya ukuta lilikuwa kubwa mno ambalo lilikuwa na usafi wa hali ya juu ni kama vile alikuwa kwenye ikulu ndogo ya raisi.

Walipokewa na wahudumu waliokuwa nje huku mabegi yakitolewa nje kuingizwa ndani.

“Karibu sana Master Roma , Marshal alikuwa akisubiria kwa hamu ujio wenu”Aliongea mwanajeshi akimkaribisha Roma kwa saluti.

Roma alishangaa kuona bado babu yake anaitwa Marshal, aliona taifa la Tanzania lilikuwa likiwapa heshima sana hata wale wanajeshi waliostaafu.

Waliweza kuingia ndani eneo la sebuleni na kupokelewa na wahudumu watatu wakike waliowasalimia kwa heshima kwa kuinama mbele yao.

Edna alikuwa tajiri lakini hakuwa amezoea kabisa kunyenyekewa hivyo alionyesha kidogo kutojisikia vizuri kunyenyekewa na wahudumu.

“ My Boss wife mbona unaonyesha kuwa na wasiwasi au nikuchekeshe kidogo uwe vizuri”Aliuliza Roma akimwangalia Edna baada ya kuingia sebuleni ambayo bado ilionekana kutokuwa na watu wengi.

“Mh hili jumba ni kubwa na ni zuri , wahudumu pia wanaonyesha kuwa na mafunzo na hao wanajeshi ni kama wameandaliwa kwa ajili ya kutuigizia kuonyesha heshima”Aliongea Edna lakini Roma kabla hajajibu Blandina alijitokeza mbele yao kutokea mlango wa nuyuma.

“Jamani mmefika , niliwakumbukaje , nimemisi mjukuu wangu Lanlan kuliko kitu chochote”Aliongea huku akimsogelea Roma kumchukua Lanlan.

“Mimi hata sijakukummbuka kihiivyo”Aliongea Roma kwa utani.

“Wewe na utukutu wako , ndio maana unamfanya Edna kuonekana kuwa na wasiwasi , umemfanya nini?”Aliongea Blandina

“Mama hapana sina… “

“Usiwe na wasiwasi, hapa ni nyumbani kwenu sasa, hao wanajeshi unaowaona wapo wengi leo ni kwasababu kuna wageni pia kutoka jeshini wamefika”Aliongea Blandina na Roma alimwangalia mama yake kuona kama alikuwa na furaha na ilionyesha alikuwa hana tatizo lolote na lilimpa ahueni.

Baada ya Lanlan kuchukuliwa kwenda kulazwa Roma na Edna waliongozwa upande wa pili kuonana na Afande Kweka.

Afande Kweka alikuwa akiota moto huku akiwa amevalia sweta zito , ilionyesha eneo hilo lilikuwa maalumu kwa ajili ya kuota moto kwani lilikuwa na joto ambalo lilimfanya Edna kuhisi ahueni maana alikuwa akianza kuhisi ubaridi kwenye mwili wake, Zenzhei pia alikuwepo akiwa amesimama upande wa kulia.

“Baba washafika”Aliongea Blandina na kumfanya Afande Kweka kutingisha kichwa na kumwangalia Roma na Edna.

“Hatimae umerudi”Aliongea .

“Nimefika sijarudi”Alijibu Roma na kumfanya Afande kweka kutoa tabasamu la kifedhuli na kisha kumgeukia Edna.

“Edna hebu wewe niambie mmerudi au mmefika?”

“Tumerudi”Aijibu Edna

“Wife kulikoni kuungana na huyu mzee , tumekuja kutembelea asili yangu tu na hatujarudi kwani tulikuwa tumeenda wapi mpaka turudi?”

“Acha kuongea ujjinga na kujifanyisha mtukutu mbele ya babu yako”Aliongea Edna huku akimpiga Roma kofi la begani.

“Sawa mke wangu”Alijibu Roma.

“Hahaha…. Nilidhania unaendelea vizuri kwenye ndoa yako , ila hapa naona huna nguvu mbele ya mkeo”Aliongea Afande Kweka kwa utani huku akionyesha ishara ya kuketi.

……………………

Edna na Roma waliweza kukaa zaidi ya siku kumi ndani ya wilaya ya Songea , ilikuwa mara yake ya kwanza Edna kushiriki taratibu za kimila na alijifunza vitu vingi kwa siku zote alizokaa hapo , lakini pia aliweza kufahamina na wana ukoo wale ambao hakuwa akiwafahamu hata kujenga urafiki na baadhi yao.

Katika watu ambao aliweza kufahamiana nao na kuzoeana kwa haraka ni Eddy na mke wake Frola.

Eddy alikuwa ni raia wa Kenya na Flora ni raia wa Tanzania akiwa ni mjukuu pia wa Afande Kweka upande wa wakwe na ni moja ya wageni waliohudhuria sherehe za kimila, kilichomfanya Edna kufurahia kukutana na Eddy ni kutokana na kwamba Eddy alikuwa mfanyabiashara mkubwa ndani ya jiji la Nairobi .

Sasa kama ujuavyo watu wanaofanana kimtazamo wanapokutana huzoeana kwa haraka , basi ndio kilichotokea , Edna aliweza kuzoeana sana na Flora pamoja na mume wake Eddy na hata siku ambayo Eddy na Flora wanaaga kurudi Kenya walimlazimisha Edna baada ya kumaliza Honeymoon awatembelee Nairobi kwani atakuwa ameandaa zawadi kwa ajili yake , Edna alikubali na kutoa ahadi kwamba angefikana Romapamoja na Lanlan.

Sherehe ya kimila ilifana sana, Raisi Senga hakuhudhuria kwani alikuwa nchini Marekani kwenye mkutano wa umoja wa mataifa , kuhusu Denisi na yeye hakujitokeza kabisa na Roma alikuwa akitamaini kumuona tena ili amuue , lakini hakuwa amejitokeza na ilikuwa ahueni kwa Damasi pamoja na Blandina.

Tukio kubwa tu ambalo lilitokea ni kifo cha naibu waziri wa ujenzi ambaye alikuwa ameoa ndani ya familia ya Afande Kweka , kifo chake kilisababishwa na Roma baada ya kunyongwa na Roma mpaka umauti ulipomkuta mbele ya kadamnasi ya wana ukoo wote.

Naibu waziri alijitakia hata hivyo , haikueleweka alikuwa akifikiria nini kumpiga Roma hadharani na kumtukana tena mbele ya mke wake na hio yote ni mara baada ya Afande Kweka kumtangaza Roma kama mtu ambaye angeirithi nafasi yake, sasa huyo Naibu alikataa kwa kuweka pingamizi kwamba hawezi kumtambua Roma tofauti na Raisi Senga na kutaka kuhamasisha wengine, lakini mwisho wa siku aliweza kunyongwa.

Afande Kweka hakujali sana kuhusu kifo chake na alionyesha kama mtu ambaye alifurahishwa na jambo hilo kwani naibu waziri huo alionyesha pia kumtukana na kutokumheshimu kama kiongozi wa ukoo.

Inasemekana baba yake Afande Kweka hakuwa baba yake mzazi wa damu , bali Afande Kweka alikuwa amelelewa, sasa huyo naibu waziri aligusia hilo swala na kusema Roma na Afande Kweka hawana uhalali wa kurithishana uongozi wa ukoo ambao hauwahusu kwasababu Songea sio asili yao..

Ilikuwa siri ambayo iliwashangaza watu wengi na kutaka kujua kama alioyasema ni kweli lakini Afande Kweka alisema angelitolea swala hilo maelezo siku nyingine kwani huo sio muda wake.

Naam siku ya pili iliofuata Edna , Roma na Blandina walianza safari ya kuelekea visiwa vya wafu .

Afande Kweka alimzuia Edna asiongozane na Lanlan na kuwashauri wafanye hivyo mara baada ya ndoa, Edna hakupenda kutengana na Lanlan lakini mwishowe alikubali na kumuacha nyuma.

“Vipi kuhusu Bi Wema?”Aliuliza Edna kwa wasiwasi wakati walipokuwa kwenye gari wakielekea Songwe.

“Usijal Bi Wema atakuwa tayari ashafika muda huu”Aliongea Roma na kumfanya Edna kumwangalia Roma kwa shauku.

“Kwahio tunaelekea nchi gani?”Aliuliza na kumfanya hata Blandina kutaka kujua jibu maana licha ya kwamba alikuwa akimsindikiza mwanae kwa ajili ya harusi lakini hakuwa akielewa inaenda kufanyikia nchi gani.

“Nitawaambia tukishaingia kwenye ndege”Alijibu Roma

“Kwanini unanificha hata mimi mama yako , lazima nijue mwanangu anaenda kufanyia sherehe nchi gani”Aliongea Blandina lakini Roma aliishai kutabasamu na safari iliendelea.

Dakika chache mbele wote waliweza kuingia ndani ya uwanja wa kimataifa wa mkoa wa Songwe, shukrani kwa Dereva alitumia njia za mikato nyingi na kuwahi kufika , ilikuwa tayari ni alasili mchana wakati wanafika kiwanjani.

Na waliweza kupokelewa na wadada wawili wa kizungu waliovalia sare za uhudumu wa ndege, walikuwa warembo mno hasa pale walipompa heshima yake Roma kwa namna ya kutabasamu na kumfanya Edna amsogelee Roma karibu.

“Mbona kama nahisi kuna kinachoendelea.”Aliuliza Edna kwa utani maana aliona kila dalili wahudumu hao kumfahamu Roma.

“Hao ni wanajeshi , Wamevaa kama wahudumu wa ndege kwa ajili ya kurahisisha ulinzi”Aliongea Roma na kumfanya Edna kushangaa.

“Unamaanisha wanajeshi kitengo cha uhudumu wa ndege?”

“Hapana hao wapo kitengo kingine kabisa , labda naweza kusema ni Maninja ndio maana unaona ugumu wa kuwatambua kama wanajeshi”Aliongea Roma na kumfanya Edna kuchanganyikiwa na maelezo yake.

Kiwanjani hapo kulikuwa na ndege mbili , moja ndogo saizi ya ndege za Precision Air na nyingine ilikuwa kubwa kampuni ya Airbus, sasa Blandina na Edna walijuwa wanaenda kupanda ile ndogo lakini walijikuta wakitoa macho mara baada ya kuongozwa kwenye ile kubwa ambayo ilikuwa na jina la Arc Airline.

Roma alitambua mshituko wao na yeye ndio aliekuwa wa kwanza kutembea mpaka kwenye ngazi na kugeuka nyuma kuwaangalia wakiwa wamesimama.

“Mama mbona mnashangaaa na kusimama?” Aliongea na kauli yake ilimshitua Edna na kumsogelea Roma.

“Hii si Airbus A330?”Aliuliza Edna , alikuwa akizifahamu sana ndege kutokana na kwamba alishasafiri sana nje ya nchi, hivyo likija swala kuzitofautisha alikuwa vizuri kwanzia ndege za kampuni ya Boeng na Aribuss.

“Ndio, lakini kwanini upo kwenye mshangao , au kwasababu hatujaipamba , Babe tusingefanya hivyo kwani hatutoitumia mara kwa mara”Aliongea Roma kwa utani na wote waliingia taratibu huku wakipokelewa mlangoni na muhudumu.

Kilichowashangaza zaidi ni mara baada ya kuingia ndani, walitegemea kwamba wangekuta msururu wa siti za abiria kama walivyokuwa wakipanda ndege za kawaida lakini hii ilikuwa ni tofauti kabisa , eneo la ndani liligawanywa kwa vyumba na wao waliongoza mpaka sehemu iliokuwa kama sebule kwa mpangilio wake.

Usanifu wa ndani ulikuwa ni ule wa kifahari ukijumuisha samani za miti ya misandali, Jalidi za ngozi ya Elk na mapambo ya vito vya thamani, Chandelia za vioo ndio zilipangwa kwa mpangilio mnyoofu huku zikipitisha mwanga wa taa za kuvutia , chini ya sakafu kapeti nzito kutoka Irani maarufu kama Persian Carpet ilikuwa imetandazwa, kulikuwa na harufu ya marashi ya upekee sana,

Edna alikuwa tajiri lakini hakuwahi kupanda ndege yenye ufahari wa aina hio na alionekana kama mshamba tu na sio kwake tu hata kwa Blandina ilikuwa hivyo.

Unajua Blandina alikuwa akimuona Roma hana hela kumzidi Edna lna hata Roma alipoweka wazi swala la ndoa alitaka kuchangia , lakini Roma hakutaka mchango hata kidogo , safari yake hio ya kwenda kwenye harusi ilikuwa ya shauku kwake kwani Roma alimwambia ni baadhi ya maeneo ambayo yamejaza historia yake ya maisha ya nyuma.

Alishawahi kuwa mke wa raisi, kunyenyekewa alishazoea lakini kwa swala la ufahari wa hii ndege ulikuwa uzoefu mpya, aliishia kuwaza vitu vingi sana kwenye kichwa chake.

Roma baada ya kuketi kwenye sofa aliongea na wahudumu kwa lugha ambayo Edna hawakuielewa na ndani ya muda mfupi chakula na vinywaji mbalimbali vililetwa , Roma alikuwa na njaa maana hawakupata kula chochote.

“Mama jaribu hii , ni Vanila kutoka Ibiza naamini utaiona tamu”Aliongea Roma mara baaada ya wahudumu kuleta chupa za nyingi za bia na mvinyo, Blandina hakuwa akijua achague ipi kwani hakuwa mzoefu.

Blandina alichukua glass iliomiminiwa na kisa akanusa harufu yake na alimwangalia Roma kwa mshangao.

“Hii ni bia au Mvinyo ,mbona inanukia vizuri hivi”

“Ni kinywaji kama dawa na mara nyingi hutumika kuondoa uchomvu mwilini , ni bia ambayo haileweshi”Aliongea Roma na Blandina alijaribisha kunywa kidogo na kuonyesha kufurahia radha yake.

“Vipi kuhusu mimi?”Aliuliza Edna.

“Wewe chagua yoyote”Aliongea Roma huku akicheka

“Umemchagulia mama na mimi nataka unichagulie nichukue ipi hapa?”Aliongea na kumfanya Roma akune kichwa chake na kuanza kufikiria huku akiangalia chupa zilizokuwa kwenye trey.

“Hii infahamika kwa jina la ABSENTA kutoka Mediterranian lakini pia wengine wanaita Absinthe , ndio moja ya kinywaji changu pendwa , unaweza kujaribu”Aliongea Roma.

“Nishawahi kusikia kuhusu hii pombe na ipo kama spirit inakiwango kikubwa cha kulevya zaidi ya asilimia hamsini , nikinywa si nitalewa”

“Hii ni tofauti na toleo la zamani , Absinthe ya zamani ilifungiwa lakini hili nitoleo jipya na kiwango cha pombe ni kiduchu mno , ndani yake imewekewa asali hivyo huleta radha tamu kutokona na mchanganyiko wa Shamari”Aliongea Roma na kumfanya Edna kuguna , alikuwa hajawahi kunywa pombe hapo kabla zaidi ya mvinyo pekee, lakini aliamua kumuamini Roma na kunywa kidogo.

“Vipi radha yake unaionaje?”

“Ni tamu mno , ina radha nzuri”Aliongea Edna huku akianza kuangalia rangi yange ya kijani kwenye glasi na kufanya hata wahudumu kutabasamu , huku wengi wakionyesha wivu wa kuamani nafasi ya Edna ingekuwa ya kwao.

“Tuambie sasa ni wapi tunaelekea”Aliongea Edna.

“Kuwa mvumilivu mke wangu ni safari ndefu””

“Umbali wake ni wa kiasi gani?”Aliuliza Edna na Roma alimgeukia mhudumu na kumpa ishara ya kumsogelea na kisha akaanza kuongea kiitaliano

Edna na Blandina walishindwa kuelewa Roma anaongea nae nini lakini kwa mwonekano ni kama alikuwa akiuliza kitu..

“Amesema tunajiandaa kupaa lakini picha za satilaiti hazijawa tayari” Aliongea Roma kwa namna ya kutafsiri.

“Its fine”Aliongea Edna huku akimtingishia kichwa yule muhudumu huku akitabasamu.

“Rubani atatuonyesha picha za satilaiti punde baada ya kupaa na ndio nitawaeleza sehemu tunayo elekea”Aliongea Roma

Baada ya kufunga mikanda , hatimae dege hilo la Airbus iliruhusiwa kupaa na baada ya kutulia kwenye anga , picha za satilaiti zilionyweshwa kupitia LED skrini.

“Hapa ndio mwisho wa safari yetu”Aliongea Roma akionyesha kwa kidole.

“Hio si bahari ya Medetteranian?”

“Kwa usahihi zaidi ni Lonian Sea”alirekebisha Roma.

“Mbona sijawahi kusikia kuhusu Lonian Sea” Aliuliza Blandina.

“Bahari ya Lonian ni mwendelezo wa Ghuba ya bahari ya Mediteranian , Upande wa Kaskazini inaangaliana na bahari ya Adriatic ,upande wa kusini inafikia Cicily-Itally na upande wa mashariki ni Albania na Ugiriki , Kuna milipuko ya Volkano sana kutokana na misuguano wa sahani za kitetokniki chini ya uvungu wa bahari , tetemeko la Ardhi linatokea mara kwa mara kwenye hili eneo”

“Kwahio unasema unafanya harusi katikati ya bahari?”aliuliza Blandina kwa mshangao na kumfanya Roma atabasamu na kisha alionyesha baadhi ya viwingu viwingu vilivyoonekana katikati ya bahari kama vidoti doti.

“Nini hio?”

“Unavyoona hapo ni visiwa ninavyomiliki jina lake ni Islands of Dead(IOD) , ni visiwa ambavyo miaka iliopita vilikuwa chini ya serikali ya Uingereza kabla havijawa chini yangu ”

“Kwanini vinaitwa visiwa vya wafu?”

“Hilo utafahamu baadae”

“Kwahio unamaanisha kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kwenda kwenye hivi visiwa kwasababu ni vya kwako?”Roma alitingisha kichwana kisha akaendelea kuelezea.

“Mwanzoni kabisa waliishi watu wa asili ya Australia(Aboriginal) kabla ya serikali ya Uingereza kuwaondoa , na kujenga magereza ya wahalifu wa daraja A, Wakati wa vita ya pili ya dunia wahalifu wote walifanikisha kutoroka kwenye magereza kutokana na wanajeshi wote waliokuwa wakilinda hilo eneo kwenda vitani , baada ya kuwa huru wakakosa usafiri wa kuwatoa kwenye visiwa hivyo na ndipo walichukua fursa ya kuviweka chini yao na kuanza maisha mapya na wakaamua kujiita The Lonians, waliishi hapo kwa amani sana na wakawa watu wasiokuwa chini ya serikali yoyote na jambo hili lilivutia zaidi baadhi ya wahalifu wengine ambao jamii haikuwataka na serikali kuwatafuta sana, kutokana na wengi wa watu waliokuwa wakitafuta hifadhi kuongezeka kwa kiwango kikubwa ikawa kama nchi sasa inayojitegemea, Sheria kubwa ya watu wote wanaoishi hapo lazima waachane na muunganiko wa maisha yao ya nyuma na kuanza upya kabisa , nikimaanisha hata ndugu zao ambao wapo katika nchi mbalimbali watengane nao na hata majina pia kuachana nayo na kuwa na majina mengine, ndio maana visiwa hivi vikaitwa vya wafu, kwa maana kwamba watu ambao wamekufa kwenye ulimwengu wa kawaida wanaanza maisha mapya ndani ya hivi visiwa”Aliongea Roma kwa kirefu.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba asilimia kubwa ya wale wahalifu au magaidi wakubwa ambao washawahi kutikisa duniani , walienda kujificha kwenye hivi visiwa na hao ndio raia.

“Kwahio unamaanisha watu wanaoishi hayo maeneo ni wahalifu?”Aliuliza Blandina kwa wasiwasi.

“Mama unafikiria mbali , wale wafungwa walioishi hapo walishakufa na wengi wao waliohamia hapo ni kwa ajili ya kuishi kwa amani na wameachana na maisha yao ya zamani , siku yangu ya kwanza kwenda kwenye hivi visiwa ni bara baada ya kuisaidia familia ya kifalme kutoka Wales na ndio walionipatia hati miliki”Aliongea Roma.

Baada ya miaka kadhaa kupita visiwa vya wafu viliweza kupata kiongozi ambaye ni Hades wa Zamani na watu wote waliokuwa wakiishi ndani ya visiwa hivyo walimheshimu kwa kiasi kikubwa sana na yote hayo ni kutokana na ujasiri wake wa kuzuia serikali yoyote kutovitawala na kuendelea kubakia visiwa huru.

Lakini upande wa Ujingereza bado ilikuwa ikitaka kuvirudisha hivi visiwa kwasababu historia inaonyesha vilikuwa ni vya kwao , lakini walishindwa kuvipata kutokana na hila za Hades wa zamani.

Sasa Roma mara baada ya kukutana na Catherine na kumuokoa hatimae kumrejesha katika jumba la Kifalme na kuendeleza utawala wake , alipewa nafasi ya kuomba zawadi na ndipo alipotaka hatimiliki ya visiwa vyote vya wafu, lilikuwa ni ombi kichaa kwanni Serikali ya Uingereza ilitawala visiwa hivyo kimakaratasi tu lakini Roma auThirteen alikomalia kwamba serikali impatie hatimiliki za visiwa hivyo, kumbuka sasa wakati huo Visiwa hivyo vilikuwa chini ya Hades

Roma mara baada ya kupewa hatimiliki moja kwa moja alienda kwenye hivi visiwa kwa ajili ya kuviweka chini yake ,wakati huo alikuwa akiongoza kundi la Maninja lifahamikalo kwa jina la New Zero , akifahamika kama Ajent 13 na Seventeen akifahamika kwa jina la Agent 17 na alipanga kuweka makao yake hapo.

Sasa haikueleweka ilitokea nini lakini Hades wa zamani alimuachia Roma umiliki wa visiwa hivyo kama mrithi kwa hiari yake na Roma ndipo aliporithi jina la Hades kwanzia wakati huo , lakini hata hivyo mpaka Roma alipokuja kutambulika kama Hades ilikuwa ni zaidi ya mwaka tokea apewe hatimiliki ya umiliki wa visiwa hivyo na Serikali ya Uingereza , jambo moja kubwa ambalo lilimpa heshima kwa watu wa Visiwa vya wafu ni kwamba kitendo cha kupata hatimiliki kutoka Serikali ya Uingereza ni kama alileta uhuru na kwanzia hapo maisha yakawa ya amani na hakukuwana vita tena.

“Serikali ya Uingereza ilisaidia kuvitoa kwenye mfumo wa ramani ya kawaida ya dunia , ulinzi wake ni mkubwa kutokana na siiraha zenye teknolojia ya kipekee”

“Familia ya kifalme ulioisaidia ni Malkia Catherine mama yake Clark si ndio?”aliuliza Edna

“Upo sahihi na tokea visiwa hivi viwe chini yangu Catherine hutembelea mara kwa mara kwa ajili ya mapumziko, Babe unatakiwa kuelewa visiwa hivi vina mandhari nzuri ya kuvutia kutokana na milipuko ya Volkano na nina uhakika mtapenda mazingira yake na sitojali sana kama mtataka kuanzisha maisha moja kwa moja”

“Kuhusu hilo tutaongea muda mwingine, lakini sina mpango wa kuishi huko” aliongea Edna

“Roma kwahio unasema mataifa mengine duniani yalikuwa tayari kuondoa hivyo visiwa kutoka kwenye ramani kwa hiari yao?,naonekana kama sio uhaisia”Aliongea Blandina ambaye alikuwa akiyatafakari maelezo ya Roma na alionyesha kabisa kutokuamini.

“Mama je serikali ya Marekani inajali wapi kati ya New York na Visiwa vyangu?”

“Lazima wajali New Yok”

“Kwa jibu hilo basi sidhani watahitaji kuwa na mgogoro na mimi kisa tu namiliki visiwa, maana wangenibugudhi ningehakikisha hasara itakayopatikana ndani ya jiji la New York isingefidiwa Visiwa hivyo”Aliongea na kumfanya Blandina kukosa usemi , kwa maneno ya Roma ilionyesha Serikali ya Marekani ilikuwa ikimuogopa.

Kadri safari ilivyokuwa ikiendelea Edna aliawa sana na shauku ya kuona visiwa vyenyewe na watu wake, lakini pia upande mwingine alionyesha kukosa utulivu.

“Roma siamini kama tunaenda kufunga ndoa?”Aliongea Edna.

“Edna kwanini unaongea hivyo?”Aliongea Blandina mara baada ya kumuona hata Roma kushindwa kuielewa kauli ya Edna.

Roma yeye alichukulia kawaida , lakini upande wa Edna lilikuwa jambo kubwa kwake , yeye alihisi wakati alioishi na Roma ni wa uchumba na sio ndoa na sasa anakwenda kuolewa rasmi , upande wa Roma alihisi yeye ashaishi na Edna kwa muda mrefu na kinachowekda kufanyika ni kama kumbukumbu ya ndoa yao.

“Mama siamini kama hii siku imefika, kwenye maisha yangu sikuamini kama nitaolewa tena harusi kuwa sehemu ambayo sijawahi kufika , nahisi nipo ndotoni”

“Nikufinye uona kama upo kwenye ndoto au uhalisia?”

“Wewe usijaribu?”

“Haha… tunaonekana kama wanandoa wa kizamani tayari kuna haja gani kuwa na wasiwasi?”

“Wewe sisi sio wanandoa wa kizamani” aliongea Edna na kumfanya Blandina kuchekeshwa na maongezi yao lakini aliishia kutulia huku akionekana kuwaza, alishindwa kuelewa imekuwaje Roma akapotea kwenye ndege ya Malaysia Airline na kupona mpaka kuja kuwa mtu mzima na kumiliki visiwa , alikuwa na maswali mengi ambayo kwake majibu hakuwa nayo , lakini hakuwa na ujasiri pia wa kumuuliza Roma kile kilichotokea , alihisi huenda stori ya maisha yake ingekuwa ya maumivu sana na kumfanya kuishi kwa hatia maisha yake yote.

Baada ya masaa tisa kupita hatimae walikaribia mwisho wa safari yao baada ya Rubani kutangaza , Edna aliposhituka usingizini alipeleka macho nje kuangalia na alijikuta moyo wake ukienda mbio kwa mwonekano wa mandhari ya chini.











SEHEMU YA 470A.

“Hubby kwanini kuna visiwa vingi vidogo vidogo , Je Visiwa vya wafu ni kama Archipellago?”

Archiellago ni mkusanyiko wa visiwa vingi sana ni kama ilivyo kwa nchi ya Ugiriki.

“Unaweza kusema hivyo, ndio maana jina ni Visiwa na sio Kisiwa, harusi yetu itafanyikia kwenye kisiwa kikubwa zaidi , makao makuu”Aliongea Roma mara baada ya kuchungulia nje.

Baada ya muda kidogo walipewa taarifa kufunga mikanda kwani wanakaribia uwanja wa ndege kutua.

Kadri ndege hio ya Airbus ilivyokuwa ikishuka ndio mandhari yalivyozidi kuonekana , ni maji yaliozunguka pande zote na Edna aliweza kuoan baadhi ya fukwe za kupendeza mno zilizofanana kwa kiasi kikubwa na Santorini.

Aliweza pia kuona barabara za rami, nyumba pamoja na mashamba ,aliweza pia kuona baadhi ya meli za kivita za doria chini yake , lakini pia aliweza kuona baadhi ya Helicopta za doria upande wa pili zikiimarisha ulinzi.

Baada ya dakika ishirini kupita hatimae ndege iliweza kugusa njia ya kukimbilia , ilikuwa ni uwanja wa njia moja tu ambao umejengwa kwenye fukwe.

Baada ya wote kutoka waliweza kupokelewa na upepo pamoja na harufu ya bahari , hali ya hewa ilimfanya akili yake kuwa ya utulivu mkubwa pamoja na hisia zisizoelezeka , kwenye maisha yake hakuwahi kuona sehemu tulivu kama hio , alijikuta akigeuka geuka kama mtu asieamini.

Blandina na yeye alikuwa ni moja wapo ya watu ambao walikuwa kwenye mshangao mkubwa , walisahau kama kuna watu waliovalia suti wa kiwasubiria wakiwa wamepanga mstari kulia na kushoto kwa ajili ya kuwapokea.

“Ule ni mlina wa Volcano?”Aliuliza akiangalia upande wa kushoto kwake , akiangalia kisiwa ambacho kilikuwa na miti mingi lakini na kilele cha mlima wa Volcano.

“Ndio ni mlima wa Volcano , haujalipuka kwa zaidi ya miaka mia moja mpaka sasa , lakini ardhi inayozunguka mlima ina miti mizuri ya kijani kutokana na ardhi yake kuwa na rutuba ya utajiri wa madini

Edna alijikuta akikosa usemi kila kitu kilionekana kipya kwake , lakini kwa wakati mmoja kigeni machoni mwake.

Roma ndio aliekuwa wa kwanza kuongoza njia akiwa anatembea kwenye zulia la rangi nyekundu na kuanza kuwasalimia watu waliokuja kumpokea,moja wapo ya watu hao alikuwa Bi Wema.

Edna mara baada ya kumuona Bi Wema alishindwa kujizuia na kumkimbilia na kisha akamkumbatia , alionyesha kumkumbuka sana kwani hawakuonana kwa zaidi ya siku kumi na tano.

“Karibuni , watu wa hapa ni wakarimu sana sijawahi pata ona nimekutana pia na mswahili mwenzangu, lakini bado nahisi kuwa mgeni na kukosa utulivu”Aliongea Bi Wema.

Ni Blandina na Bi Wema pekee ambao wangeshuhudia harusi hio , kwani Sophia aligoma kuja na upande wa Familia ya ukoo wa Roma mhudhuriaji aalikuwa ni Ashley pekee ambaye alitoa taarifa.

Bi Wema alikuwa amevalia mavazi tofauti sana ambayo Edna hakuwahi kumuona nayo na Edna alimwangalia na kujikuta akitabasamu.

“Hili gauni kanitayarishia Ron , yule mwanaume wa kizungu pale ameniambia lingenifaa sana kwa ajili ya kuhudhuria harusi”Aliongea Bi Wema na kumfanya Edna na Bi Wema kumwangalia mwanaume wa kizungu ambaye ndio alieonekana kuongoza kundi la watu waliokuja kuwapokea.

“You Majestu Pluto , Welcome back to the IOD, Ron Von Konstantin at your service”

Kwa wale ambao mnatarajia kujiunga na gurpu letu la WAtsapp la VIP kwanzia wiki ijayo gharama itakuwa ni 5000…

ITAENDELEA SIKU KAMA YA LEO .

WATSAPP CONTACT -0687151346.
I like it
 
SEHEMU YA 470B

“Inatosha Ron , maana sitokuongezea mshahara hata kama uninyenyekee kwa kiasi gani”Aliongea Roma kwa kingereza kwa kuweka utani na kumfanya Edna atamani kumuweka Roma ngumi.

“Mfalme Pluto unaonekana ni mwenye furaha , nimefarijika na mabadiliko yako”Aliongea na Roma alitabasamu na kisha akampita akimgusa gusa kwenye bega na kisha akamtambulisha Ron kwa Edna na Blandina.

“Huyu ndio kiongozi mkuu wa ukoo wa Konstantin kutoka Italy , ni uzao wa Kaisari alietawala kipindi cha utawala wa Kirumi , Lakini nani anafahamu ni vizazi vingapi vimepita tokea kufa kwa Kaisari lakini Ron bado yupo”Aliongea Roma kwa Kingereza.

“Mr Ron nimefurahi kukutana na wewe , nimesikia umemchagulia Bi Wema vazi la kuvaa, inaonekana upo vizuri kwenye fasheni za kimavazi?”Aliuliza Edna kwa urafiki.

“Nimefurahi sana kukutana na wewe pia Madam Persephone ,ubunifu wa mitindo ya kimavazi pia ni moja kati ya kazi zangu nyingi na nimeweza kupata heshima ya kuandaa gauni lako la harusi”Aliongea Ron na kumfanya Edna kuhisi aibu kidogo mara baada ya kusikia gauni la harusi , lakini wakati huo huo jina la Ron’s ni kama lilikuja na kupotea kwenye kichwa chake na kumfanya kumwangalia Bi Wema na vazi alilovaa palepale aligundua gauni la Bi Wema ni ubunifu maarufu ya mitindo ya mavazi ya Bohemia na jina la Ron ni miongoni mwa majina ya wabunifu ambao ashawahi kuwasikia.

“Nina kampuni inayohusiha ubunifu na udarizi wa mavazi , nishawahi kusikia jina lako lakini sijawahi kukuona kwa sura ,mimi nishabiki wa mavazi ya mtindo wa kibohemia”Aliongea Edna akitumia mbinu ya ushawishi kukubalika kwa haraka hakuna binadamu asiependa kusifiwa au kutambulika kwa kile anachokianya hata kama ni kidogo vipi.

“Ni heshima kwangu kupata kutambuliwa na wewe Madam Persephone”Edna alifurahi na kisha alimgeukia Rom.

“Nakumbuka mara yako ya kwanza kuanza kazi kwenye kampuni , uliulizwa swali linalohusiana na mtindo wa kimavazi mathalani kampuni za kiitaliano na uliweza kutoa majibu mazuri kumbe chanzo ni Ron?”Aliongea Edna na kumfanya Roma kucheka sana baada ya kukumbuka.

“Upo sahihi nguo zangu nyingi Ron ndio ananitengenezea na kuna muda tukipiga stori huingizia maswala ya mavazi hivyo kidogo nilikuwa na uelewa?’Aliongea Roma mara baada ya kusafisha koo.

“Master Ron umesema ubunifu ni sehemu ya kazi zako nyingi, je unajihususha na kazi gani nyingine?”Aliuliza Edna na kumfanya Rona kuwa na wasiwasi kidogo na kumwangalia Roma kwani swali la Edna lilikaa kimtego.

“Usiwe na wasiwasi , unaweza kumwambia”

“Nitakuwa mkweli kwako Madam Persephone , ukoo wangu ndio wamiliki wa kundi kubwa la Kimafia nchini Italy na mimi ndio nilikuwa kiongozi kabla ya kustaafu”Aliongea na kumfanya Edna kushangaa akiwa kama haamini.

“Hakuwa kiongozi tu wa kundi la Mafia , lakini pia alipewa cheo cha heshima cha Uraisi na Mafia Alliance in Cicilly”Aliongezea Roma.

“Lakini hayo yote yalikuwa ni zamani , kwa msaada wa Mfalme Pluto niliweza kuanza maisha mapya ndani ya hivi visiwa na sasa kazi yangu kubwa ni kutunza mali zake”Aliongea.

Roma alimtambulisha mama yake mzazi kwa Ron na Blandina alifuahi kukutana na Ron hasa pale alipofahamu ndio rafiki mkubwa wa Roma.

“Vizuri sana rafiki yangu , ngoja tusalimie wengine na tuondoke hapa ili tusisubirishe wanaotaka kuniona kwa muda mrefu ”Aliongea Roma huku akimgusa bega Ron na kumpita.

Waliingia kwenye gari aina ya SUV mara baada ya kumaliza kusalimiana na kila mmoja , Ron alikaa siti ya mbele kabisa huku akiendelea kuongea na Roma kwa kukumbushiana habari za muda wote ambao hawakuonana.

“Madam Persephone harusi yako imepangwa kufanyika kesho , nitakuomba baada ya chakula cha mchana ujaribishe gauni lako , unaweza ukashangaa ni kwa namna gani nimeweza kupata vipimo vyako lakini ukweli ni kwamba ujuzi wangu umenifanya kukadiria kwa kuangalia picha yako tu……”Aliendelea kuongea na Edna huku habari kubwa ni namna anavyofanya kazi yake ya ubunifu wa mavazi na Edna alichangia.

Bi Wema na Blandina waliishia kutabasamu baada ya kuona Ron anavyoongea kwa ishara , ijapokuwa Bi Wema hakuwa akielewa kingereza lakini ni kama alikuwa akielewa kile kinachoongelewa.

“Ron unaongea kuhusu picha ya mke wangu kama vile ugonjwa wako wa macho umepona , naamini msaidizi wako ndio ambaye alikadiria vipimo”Aliongea.

“Mfalme Pluto unaishi kizamani sana”

“Nini?”

“Natumia ‘Contact lenses’ , unaweza kuona macho yangu kwa kiasi fani yamebadilika rangi”Aliongea na kumfanya Roma amwangalie na aligundua kwenye macho yake yamebadilika kwa kiasi flani na kiini cheusi kuonekana kama kimepauka.

“Mr Ron naomba uache kuniita hilo jina , sijisikii vizuri kila ninapolisikia”Aliongea Edna.

“Bila shaka Miss Edna, hivi nilishia wapi kuongea ., Oh nimekumbuka nilikuwa nikizungumzia kuhusu gauni lako , ukweli ni kwamba ni mara yangu ya kwanza kuandaa gauni la harusi hivyo nilikuwa na mengi ya kujifunza , nilienda hadi New York kutafuta ushauri kwa rafiki yangu , Madam Vera Wang..”Kabla hajaendelea Edna alimwingilia.

“Unamaanisha Madam Vera Wang mwanamitindo maarufu wa magauni ya harusi ni rafiki yako?”Aliuliza Edna kwa mshangao.

“Upo sahihi ni rafiki yangu na ni mtaalamu wa viwango likija swala la mavazi ya harusi , nilimuuliza baadhi ya vitu ili kunisaidia kuandaa la kwako”

“Ron nafikiri hujaweka urembo wa almasi na dhahabu kwenye hilo gauni maana litatumika mara moja tu”Aliongea Roma na kumfanya Edna amgeukia.

“Acha ubahiri”

“Mfalme Pluto wala usiwe na wasiwasi , niseme ukweli nilikuwa na chaguzi nyingi namna ya gauni hilo lionekanaje lakini mwisho wa siku nilifikia na hitimisho kulitengeneza kwa kutumia vitambaa maarufu vya kiasili ili kidogo liwe jepesi kuvalika”Aliongea na kumfanya Roma kutingisha kichwa kwa kukubali na kisha akamgeukia Edna.

“Mke wangu sio ubahiri kwani kila mtu anatumia madini ya Almasi na dhahabu kupamba magauni, hivyo la kwako lingekosa ule upekee , Si nilikupaga Henrygraves kutoka kampuni ya Patek Phillipe ni zaidi ya almasi au dhahabu kwa thamani yake”

“Saa ulionipa ni vitu viwili tofauti , wanawake tunapenda sana vitu vinavyong’aa na kumetameta na kuonekana vizuri kwa macho , kwanza umeniambia kuna zawadi yangu umeniandalia sijasahau”Aliongea Edna bila ya kuwa na wasiwasi ya uwepo wa watu kwenye gari na kumfanya Roma kucheka.

“My dear wife inaonyesha siku hizi umekuwa mhitaji wa zawadi kuliko siku za nyuma”

“Kama nisipotaka zawadi , wengine wanaweza kupata zawadi nilizopaswa kupewa mimi hivyo lazima kuhakikisha nafasi yangu inakuwa salama”Aliongea Edna kwa sauti ndogo na kumfanya Roma kutabasamu.

“Zawadi yako nimeiandaa lakini usubiri mpaka baada ya harusi kuanza”

“Bado unanificha na unachotaka kunipa?”Aliongea Edna kwa kutingisha mabega lakini aliishia kutoendelea kuuliza kama kwa kuona Roma anataka amfanyie Surprise.

Kadri gari waliokuwa wamepanda ikiendelea kusonga sasa waliweza kuona mandhari ya kisiwa hicho na baadhi ya visiwa ambavyo vilikuwa kwa mbali , ambavyo kuna vilivyokuwa vikitoa moshi wa kulipuka kwa Volkano kwenye vilele vya mlima huku vikizungukwa na msitu.

Edna aliweza kuangalia mazingira mathalani namna maisha yanayovyendelea na aliweza kuona nyumba ambazo zimejengwa kwa kuezekwa na mapaa yaliopakwa rangi nyekundu huku asilimia nyingi ya rangi zilizotumika kupamba kuta za nje ni rangi nyeupe lakini pia vioo vya madirisha vilikuwa ni vile vigumu lakini vya rangi ya bluu mtindo wao wa maisha haukuonyesha tofauti na watu wa bara la Ulaya.

Waliweza kuona kundi la watu waliokuwa pembezoni mwa fukwe wakifurahia upepo , ilikuwa muda wa mchana lakini watu walikuwa wengi

“Mr Ron kuna wakazi wangapi kwenye hiki kisiwa?”Aliuliza Blandina.

“Madam kuna zaidi ya watu elfu mbili wenyeji wa hapa na kwa wale ambao wapo chini ya utawala wa mfalme Pluto wanafikia zaidi ya elfu tatu ambao wapo tu kwenye hiki kisiwa ukiachana na vingine”

“Kuna ambao wapo nje ya hiki kisiwa?”

“Meli za watu binafsi pamoja na watu wanaopenda kuona visiwa hivi huwa wanakaribia , hivyo ulinzi umekuwa kitu makini sana kwetu na mpaka sasa kuna wanajeshi baharinni zaidi ya elfu moja wakipiga doria kwenye meli za kivita wote hao wapo chini ya Mfalme Pluto”Aliongea na Blandina alionekana kumuelewa na hakuuliza swali lingine

Dakika kama kumi mbele waliweza kuingia kwenye eneo lililokuwa limepandwa maua mengi na bustani za kuvutia , ni eneo ambalo halikuwa na geti ila kwa mbele zilionekana nyumba nzuri ambazo zilikuwa za rangi nyeupe na ndefu kwenda juu , ilikuwa ngumu kukadiria ni za ghorofa kutokana na aina ya ujenzi wake haukuwa ule wa kisasa zaidi , juu ya mapaa moshi mzito ulikuwa ukitoka..

Katikati ya bustani kulikuwa na Fountain ambayo imejengwa kwa mtindo wa kizamani sana , ni aina ya Fountain ambazo unaweza kuzikuta zaidi kwenye miji ya Italia kwa muundo wake.

Baadhi ya watoto walionekana kukaa pembeni mwa hio Foutain wakicheza kwa fuaraha kwa kuzunguka wakiwa wameshikana mikono , hakika maisha yalionekana kuwa ya amani sana na kila kitu kilivutia kwa macho,alichokipenda zaidi Edna ni usafi wa mazingira hakukuwa hata na dalili ya aina yoyote ya uchafu unaozagaa zaidi ya moshi tu unaotoka kwenye baadhi ya nyumba.

Ki ufupi ni kisiwa ambacho kilikuwa kikubwa lakini wakazi walikuwa wachache na nyumba zilijengwa kwa mtindo wa kimakundi makundi , yaani ndani ya eneo moja kulikuwa na nyumba mbili au zaidi na zote hushirikiana eneo la nje kwa usawa na barabara za Zege ziliingia kwa kila nyumba.

“Karibu tena nyumbani mfalme Pluto” Mwanamke mmoja wa kizungu alipaza sauti mara baada ya wote kushuka kutoka kwenye magari na watu wengi wanaume na wanawake walikuwa wamesimama na kuwapungia mkono.

“Hongera kwako kwa harusi”Aliongea mwingine na baadhi ya wengine pia waliungana kumpongeza Roma.

Roma alisalimiana nao kwa kupeana mikono huku akiwasalimia kwa lugha tofauti tofauti , ilikuwa ni kama anajua huyu anazungumza lugha hii na huyu ile na ndio alichofanya.

Edna na Blandina hawakuelewa hata lugha ambayo Roma anaongea kwani kuna muda aliongea Kirusi kuna mara aliongea kireno na kuna muda aliongea kijerumani.

“Mr Rona hawa ndio wazawa wa hapa?”Aliuliza Edna.

“Hapana , Wazawa wanaishi upande wa mashariki kutoka kwenye hiki kisiwa , hao unao waona hapo wote waliomba kuishi kwenye hivi visiwa kupitia kwa mfalme Pluto , kuna zaidi ya vijiji vitano vikubwa ndani ya hiki kisiwa na wote wamemfahamu Mfalme Pluto kwa muda mrefu sana, yule mwanaume alieanza kusalimiana nae anafahamika kwa jina la Schachenleer alikuwa ni kiongozi wa kundi la kigaidi na anatafutwa sana na serikali ya Marekani , mume wake pia anafahimika kwa jina la Saab na yeye pia alikuwa ni kiongozi wa kikundi cha kigaidi kutoka Iraq m hivyo hapa wapo kama mafichoni?”Aliongea Ron lakini Blandina na Edna walijikuta wakipatwa na mshangao kwa maelekezo yake

“Mfalme Pluto hakika unaonyesha mabadiliko makubwa unaonekana kuwa na furaha kuliko ulivyoondoka”

“Labda ni kwasababu ndio anafunga ndoa, Mfalme Pluto hakika umekuwa mtu mzima sasa”Waliongea watu waliosimama na Roma wanaume na wanawake na kuishia kucheka.

Roma alionyesha maisha yake hapo visiwani yalikuwa yale ya ukaribu sana na raia kwani walionyesha kumzoea mpaka kuingizia utani.

Kuna muda Edna alionyesha kutokuelewa kingereza chao kutokan ana rafudhi ila alifanikiwa kuwasalimia , mwanzoni alihofia kwasababu watu hao walikuwa na historia mbaya wangekuwa na roho mbaya , lakini walionyesha urafiki mkubwa na ule ukarimu wa kipekee na hata Bi Wema na Blandina pia waliweza kuwapenda.

Baada ua kufika mje ya nyumba hizo waliweza kuona watoto wawili wa kike na kiume wanafukuzana , walikuwa watu wazima rika la miaka kama kumi na moja na mwingine kama kumi na tano , wote walikuwa wazungu .

“Isabella ..Brewster ?!”Aliita Roma huku akionyesha mshangao kwani walionekana kuwa watu wazima na walikuwa wote wakigeuka na kumwangalia Roma.

“Mfalme Pluto hatukufahamu umekwisha kufika ..oh huyu lazima atakuwa ndio Madam Persephone , si ndio , karibu sana, unaonekana mrembo kuliko tulivyokuona kwenye picha”Aliongea yule mkubwa wa miaka kama kumi na tano huku akimwangalia Edna kwa tabasamu, alikuwa na kiini chake cha macho kimefifia na nywele nyeupe aina ya Blonde.

“Isabella imekuwaje ukawa mnene kiasi hichi na wewe Brewster naona umekonda”Aliongea Roma , alikuwa akiwafahamu vizuri kwani walikuwa ni watoto wa kike wa Sauroni.

Wote kwa pamoja walikaribishwa kwenye nyumba ya Ron na Edna alishangazwa ,ijapokuwa mwonekano wa nje haukuwa mzuri sana , lakini ndani yake kulikuwa kukipendeza mno, lakini alishangazwa pia kuona siraha aina ya bunduki pamoja na bastora zikiwa zimening’inizwa karibu na jiko alishangaa kwani nchi kama Tanzania siraha kama hizo huwezi kuona zikiweka kiholela namna hio..

Nyumba za hilo eneo zilikuwa kidogo na utofauti na nyumba za kitanzania , karibia zote zilikuwa na majiko makubwa eneo la sebuleni ambayo huchoma kuni kwa ajili ya kupasha nyumba joto na hii yote ni kutokana na majira ya hali ya hewa , kulikuwa na kipindi cha baridi kali mno..

Familia ya Sauroni na Ron waliishi ndani ya ‘compaund’ moja na kwa sherehe ya harusi hio nyumba ya Ron ndio ilichaguliwa kwa ajili ya wageni kutumia na baada ya harusi Roma kwenda kwenye makazi yake na mke wake.

Edna aliweza kutambulishwa kwa Makedon ambaye alifika kwa ajili ya kuhudhuria harusi lakini pia aliweza kukutana kwa mara nyingine na Sauroni , wageni wote walikuwa wapya kwa Blandina hivyo Roma alichukua nafasi ya kumtambulisha mama yake vizuri na wote walifurahi kukutana nae.

“Jamani eh kwanini muendelee kuongea kuhusu habari za vita mbele ya Edna , Kesho ni siku ya harusi ya mfalme Pluto nadhani tuongelee hio”Aliongea mke wa Sauroni afahamikae kwa jila la Bellaih

“Nakubaliana na wewe” Alijibu Ron na wakaacha habari za vita na kuanza kuongea habari nyingine huku chakua kikiandaliwa.

“Vipi wakina Edward , hawajafika bado?”Aliuliza Rom.

“Edward alifika hapa na Makeddon lakini karudi kwenda kumchukua Malkia Catherine na Clark, watafika hapa usiku”Aliongea Sauron.

“Catherine yupo bize sana na maandalizi ya Olimpiki hivyo atahudhuria matukio mawili kwa wakati mmoja kesho atahudhuria tukio la harusi na atageuza siku hio hio kwa ajili ya siku inayofata ya ufunguzi wa mashindano hayo”Aliongea Sauroni.

Baada ya kumaliza chakula Ron alimchukua Edna akimuacha Roma kuendelea kongea na baadhi ya watu waliofika kumsalimia.

Ofisi ya Ron haikuwa mbali sana na nyumbani kwake , ilikuwa mita kadhaa , lilikuwa ni jengo la ghorofa mbili kwenda juu, ambalo lilijaa kila aina ya michoro , kwa maelezo ya Ron ni kwamba kampuni yake ya mavazi ipo Palermo na hapo hutumia tu katika ubunifu na utekelezwaji unakuwa ni sehemu nyingine na hata gauni la harusi alibuni kwa kuchora michoro na kutiuma Palermo ambako ndio ukamilishaji ulifanyika.

Edna baada ya kuonyeshwa gauni lake alijikuta akilipenda hapo hapo na ilionekana Sauroni alikuwa sahihi kwenye vipimo vyake , kwani lilimkaa vizuri sana mwilini mara baada ya kujaribisha.

“Naweza kusema wewe ni moja ya bibi harusi mrembo ambao nimeweza kushuhudia kwenye maisha yangu”Aliongea Rona mara baada ya kumuona Edna alivyopendeza.

“Asante sana Master Ron”Aliongea Edna huku akitoa tabasamu hafifu , alionyesha kulipenda.

“Kuna jina lolote umelipatia hili gauni?”Aliuliza Edna.

“Swali zuri , nimepenga kulipatia jina la Demeter na kwasababu huu ni mtindo wa kipekee litapatikana sokoni baada ya ndoa yako”

“Demeter nahisi nishawahi kusikia kuhusu hilo jina?”

“Katika historia za hadithi za kigiriki Demeter alikuwa ni mama wa Persephone , mungu wa mavuno , nimeamua kulipatia jina hilo kwasababu ndie anapaswa kukusindikiza wakati wa kuingia eneo lililoandaliwa kwa ajili ya harusi yake”Aliongea na Edna alitingisha kichwa kukubali.

“Niseme kwamba kuna mtu unafanana nae , naweza kusema ni kama pacha wako”Aliongea Sauron

“Unamzungumzia nani?”

“Kuna mwanamke ambaye alitokea kupendwa sana na Mfalme Pluto , anafahamika kwa jina la Seventeen”Aliongea na kumfanya Edna kupoteza raha kidogo.

“Inasikitisha sijawahi kukutana nae”Aliongea huku akiwa amelazimisha tabasamu.

“Miss Edna naomba usifikirie kama Mfalme Pluto anakutumia kama mbadala , unaweza kufanana na Seventeen lakini ninyi ni watu wawili tofauti”Aliongea na kumfanya Edna kuridhika na maneno yake na muda uleule aliingia mtoto mwenye rangi mchanganyiko wa mwafrika na mzungu.

Edna alimfahamu mtoto huyo kwani ametambulishwa kwake na Bi Wema , alikuwa ni mtoto mmoja wa mhamiaji wa hapo ambaye alikuwa raia wa Kenya na ndio ambaye Bi Wema alisema anajua kuongea kiswahili, lakini hata hivyo huyo mkenya alionekana kutokijua sana kwani alichanganya mara nyingi ne kingereza na kwa maelezo ya Ron mkenya huyo alikuwa ni mhalifu anaetafutwa na serikali ya Ugiriki.

“Master Ron , Madam Persephone anaitwa na Mfalme Pluto , anasema kuna sehemu wanapaswa kwenda”Aliongea yule mtoto kwa Kingereza.









SEHEMU YA 471.

Edna mara baada ya kupewa taarifa ya kuitwa na Roma hakukawia kwani hata hivyo gauni alishajaribisha hivyo angesubiri kuvaa kesho siku ya harusi.

“Vipi ulikuwa unasemaje” Aliongea Edna mara baada ya kumfikia Roma aliekuwa amesimama nje ya gari dogo kampuni ya Fyatt.

“Naelekea mlimani kwa ajili ya kumtembelea Seventeen”Aliongea Roma na kumfanya Edna moyo wake kwenda mbio.

“Unamaanisha nini kwenda kumtembelea?”

“Namaanisha naenda kuzuru kaburi lake , wakati anakufa sikuweza kupata mwili wake hivyo nilizika baadhi ya vitu vyake alivyokuwa akitumia na ni zaidi ya miaka miwili sijatembelea , nadhani ni muda muafaka kwangu kumpa salamu ya kwaheri na kuacha yaliopita yapite na kuanza maisha mapya”Aliongea Roma na kumfanya Edna kushindwa kutoa jibu la haraka.

“Hakuna shida , unaweza kwenda lakini nina ombi moja”

“Ombi gani?”

“Nataka kwenda pia”Aliongea na kumfanya Roma kushangaa kidogo lakini alishia kumfungulia mlango na kuingia na kisha wakaondoka.

Hewa ya mlima ilikuwa ya kuvutia lakini isiokuwa ya ubaridi sana , hata hivyo kipindi hicho kilikuwa ni cha joto , gari iliingia ndani ndani kwenye msitu na walikuja kuisimamisha chini ya kijimlima ambapo wasingeweza kuendelea kwenda juu kwa kuendesha, walishuka na kuanza kutembea .

“Huu ndio msitu ninaotumia kuwazika wanajeshi pamoja na watu wangu wa karibu , ni msitu wa heshima sana ndani ya hivi visiwa vyote na ukiona amezikwa hapa jua alikuwa na mchango mkubwa sana kwenye kundi …..”Aliongea Roma.

“Ni kama msitu wa mashujaa sio?”Aliuliza Edna.

“Upo sahiihi”Aliongea Roma huku akiendelea kumwelezea baadhi ya mambo mengine hususani watu waliokuwa wamezikwa ndani ya hilo eneo.

Edna alijikuta akikmbuka mara ya kwanza alivyokutana na Roma ,ijapokuwa alionekana kuwa mtu wa kawaida kati ya wanajamii lakini macho yake yalionyesha kitu kisichokuwa cha kawaida na huenda maisha yake ya nyumba ndio yalimvutia zaidi.

Waliendelea kutembea kimya kimya pasipo kuongeleshana , Edna yeye alikuwa akishangaa na Roma alikuwa akikumbuka mambo yaliopita.

“Ah!”

Edna aliteleza na kidogo tu aanguke kama isingekuwa Roma kumuwahi kumshika mkono.

“Kuwa makini nitakushikilia”Aliongea Roma huku akimshika Edna mkono lakini aliutoa kwake.

“Edna una tatizo gani , ninajaribu kukushikilia usije kudondoka”

“Usiniguse , nitakuwa makini lakini sitaki unishikilie wala kunivuta”Aliongea kwa kiburi na kumfanya Roma kushangaa , yeye mwenyewe ndio alietaka kuja lakini alionyesha kukasirika, lakini alijiambia hawezi kusitisha safari yake ya kwenda kumuona Seventeen.

Roma hakujua Seventeen yupo hai , alipotezea hata maneno ya wale watu waliokuwa wakimwambia kwamba yupo hai na wamekutana nao , alikuwa mgumu kuwaamini kutokana yeye mwenyewe alishuhudia kifo chake.

Upepo mkali uliendelea kuwapuliza , Edna na gauni lake lilipulizwa na kuwa kama fuko na nywele zake ndefu pia zilipeperushwa na upepo kiasi cha kupeleka mkono kila mara kuzitoa usoni.

Kijimlima kilikuwa kirefu na kuchongoka kwenda juu , lakini kutokana na kuchukua mazoezi alionyesha kuweza kuhimiri vizuri mwinuko huo na kutembea pasipo ya Roma kumuacha hatua .

Baada ya muda mfupi waliweza kufikia mwisho kabisa juu na kuweza kuona kaburi moja tu eneo hilo.

Kwa maelezo ya Roma ni kwamba kadiri kaburi linavyopelekwa juu zaidi ndio ilimaanisha mtu aliekufa alikuwa na cheo au muhimu zaidi.

Hivyo kwa Seventeen ni kama alikuwa na cheo kikubwa kuliko wote ndio maana alizikwa juu kileleni kabisa.

Kabuli lilikuwa kama ubao uliojengwa kwenda juu , lakini ukiwa umapakwa rangi nyeusi huku ukiwa na maelezo ya kirumi pamoja na namba 30 ilioandikwa pia kwa Kirumi.

“Hili ndio kaburi lake?”

“Ndio”Akijibu Roma na kutembeea mpaka kufikia mbele yake.

“Hio therathini inamaanisha jumla ya mimi na yeye, nilifahamika kwa jina la Thirteen tokea nilipojitambua kuwa mtu mzima na yeye aliitwa namba kumi na saba”

“Kwahio ukijumlisha inakuwa ni therathini ndio inawakilisha muungano wenu?”Aliongea Edna huku sauti yake ikiwa ya kitetemeshi lakini Roma alitingisha kichwa.

“Nikupishe , naamini una mambo mengi ya kutaka kumwambia”

“Haijalishi , unaweza pia kusikiliza kama utapenda”Aliongea Roma na kisha alishika ule ubao wa zenge na kuanza kupitisha mkono kama vile anashika mtu kutokana na upole aliokuwa akitumia.

“Imepita zaidi ya miaka miwili sasa tokea mara ya mwisho nilipokutembelea , unaendeleaje , umekuwa mpweke sana tokea niondoke, kwa ninavyokujua muda huu ungeshanniwekea kisu kwenye koo langu ukitaka kuniua kwa hasira za kukuacha mwenyewe kwa muda mrefu..”Aliongea Roma huku akicheka mwenyewe lakini hakukuwa na jibu hata moja

“Nilienda nchiniTanzania , uliniambia napaswa kuona nchi yangu inavyoonekana , nilifika na kuwa mbeba mizigo , niliishi nyumba ya kupanga , maisha hayakuwa mazuri sana lakini yalikuwa ya upekee , nilikutana na watu wengi ambao hawakuhitaji kuua ili kuweza kuishi kama ilivyokuwa falsafa yangu , Oh! tena nimesahau sasa, nimefanya kazi kwenye kampuni iliokuwa na warembo wengi , unaweza kunilaumu lakini ndio hivyo tabia haipotei haraka…..”Aliongea Roma Pumba zote alizojisikia kuongea huku kubwa akielezea maisha yake nchini Tanzania.

“Nimekuja na mke wangu nilieweza kumpata na kuishi nae kwa zaidi ya miezi sita sasa, niliamini ungependa kumuona ndio maana nikaja nae”Aliongea Roma mara baada ya kumwangalia.

“Nimekuwa mke wake lakini sitomfanya akusahau . nitamruhusu muda wowote kuweza kuja hapa na kukusalimia mara kwa mara , lakini hii ndio mara yangu ya mwisho kufika hapa , siku nyingine nitamsindikiza mpaka chini ya mlima na nitasubiri”Aliongea Edna na baada ya hapo Roma alitabasamu na kumwambia waondoke na Edna hakuongea chochote na kutangulia mbele

“Mpenzi!”Aliita Roma kwa nyuma lakini Edna hakuitikia zaidi kutembea lakini alijishtukia tu akiwa kwenye mikono ya Roma akiwa amebebwa juu juu.

Roma alianza kumzungusha kwa haraka mpaka Edna akajihisi kizungu zungu na kisha akamshusha chini huku akihema kwa shida na kabla hajalalamika alijishutikia tu midomo yake ikibusiwa .

“Aah.. midomo yako ina radha ya samaki .hebu niache”Aliongea Edna huku akiona aibu.

“Hehe My wife you are so cute , unapendeza zaidi ukiwa hivyo”

“Unaongea nini , mbona umebadilika haraka na kuwa na furaha wakati ulikuwa na huzuni kwa ajili ya mchumba wako”

“Kulikuwa na utofauti gani sasa?”

“Wewe unaonaje ulikuwa upo siriasi mno , halafu kama unanipenda kweli kwanini unaendelea kuwa na wanawake wengine , hunionei huruma mimi mkeo”

“Ninaweza kuwa siriasi pia na hata hivyo Seventeen sio taarifa yako ya kwanza na ni kweli na kuonea huruma”

“Kama ni hivyo kwanini…”

“Edna siwezi kuwaacha kwani ni kama kuwasaliti tu , Edna unaweza kuniita majina yote utakayo lakini kuhusu hili lazima hisia tuzuweke pembeni na kufikiria kimantiki, ninachojua kukutana kwetu sio kwa bahati mbaya na ndio maana leo hii tupo hapa kwa ajili ya harusi , hivyo tufurahie harusi yetu na baada ya hapo unaweza kunilaumu utakavyo na kunisema vibaya, ila usije ukataka talaka tu kutoka kwangu maana harusi za kila muda ni gharama”Aliongea Roma na kumfanya Edna kug’ata meno kwa hasira.

“Ndio maana hakuna hata mmoja alietaka kushiriki harusi yangu , naaini hawakutaka kukasirika kwasababu mimi ndio naolewa”

“Turudi nyumbani kwa Ron kwanza, utalala na Mama pamoja na Bi Wema na mimi nitaenda kukamilisha taratibu za kesho na baada ya hapo tutahamia kwenye nyumba ambayo ina chumba maalumu kwa ajili ya usiku baada ya ndoa”Aliongea Rom.

‘Chumba maalumu kwa ajili ya usiku baada ya ndoa””Alirudia Edna maneno ya Roma kwa mshangao.

“Acha kuwa mwanamke mjinga basi , laizma tulalae pamoja baada ya harusi kwenye chumba maalumu nilichokiandaa”

“Wewe ndio mjinga” Aliongea Edna kwa kiburi na kuanza kushuka haraka haraka na ndani ya muda mfupi waliweza kuingia kwenye gari na kuondoka.

Hatimae siku ya kwanza ndani ya visiwa vya watu ilifikia mwisho na giza kuingia.

*******

Mwanga wa jua ulitokeza kwenye mawingu na kufanya kisiwa chote kuwa angavu.

Kundi la ndege wa baharini wafahamikao kwa jina la Shakwe(sea gull) waliruka kimakundi makundi juu ya bahari iliokuwa ikifoka kutokana na wingi wa mawimbi asubihi hio.

Ki kawaida ni watu walioishi ndani ya hilo eneo asubuhi kama hio wangekuwa wakiota jua na wengine kwenda kwenye shughuli zao, lakini siku hio ilikuwa tofauti kwenye kiwanja kikubwa kilichokuwa kikipakana na msito kulia na bahari kushoto.

Uwanja ulipambwa na maua ya aina nyingi yenye kuvutia na kuonyesha mwonekano wa kupendeza ulioashiria sherehe.

Kati ya mapambo ni maua meupe yafahamikao kwa jina maarufu la kingereza la Madonna Lily yalipambwa kwenye njia iliokuwa ikielekea kwenye steji ya uwanja huo ambao ni kama ulikatwa katikati kwa namna viti vilivyopangwa , kulia na kushoto kulilingana na katikati ikaachwa nafasi ambayo ndio njia atakayopita bibi harusi na bwana harusi.

Steji ilikuwa imepambwa na kupendeza sana huku spika kubwa zikiwa zimefungwa pande zote za steji, kwa haraka haraka ungetoa mapambo ungeamini moja kwa moja kuna show ya msanii mkubwa inayotarajiwa kufanyika siku hio , kazi yote ya ujenzi ilifanyika usiku na mpaka asubuhi hio ilikuwa ikimalizikia.

Watu waishio hapo walikusanyika ndani ya eneo hilo huku wakionyesha shauku ya kuona kile ambacho kinakwenda kutokea siku hio lakini kwa muda huo walisaidia kazi ndogo ndogo za upambaji.

Kuna ambao walikuwa wamebeba vikapu vya maua, kuna waliokuwa wamebeba kreti za mvinyo na kuna wale waliokuwa wamebeba glasi huku wakiongea kwa furaha.

Katikati ya uwanja karibu na steji alikuwa amesimama mzungu mmoja aliekuwa ni wa kike alievalia gauni la kawaida la rangi ya pink , alikuwa ndio kiongozi kwani alionekana kuagiza watu wafanye hivi na vile kukamilisha zoezi ,alionekana alikuwa mjuzi pia wa lugha kwani kuna muda aliagiza kwa lugha hii na kuna muda aliagiza kwa lugha nyingine ili kuelewana na watu aliokuwa akiwaongoza , alikuwa mrembo haswa licha ya kwamba alivalia kikawaida.

Muda ule ule aliongezeka mwanadada mwingine mrembo , lakini aliekuwa ni mwafrika rangi ya chocolate na kusalimiana nae huku wakionyesha kucheka kwa furaha.

Mwanamke mzungu alikuwa ni Profesa Clark na mwanamke mwafrika alikuwa ni Ashley mdogo wake Roma na dada yake Denisi , ndio mgeni pekee aliefika kwenye sherehe hio upande wa baba yake.

“Peleka mbele hizi meza mpaka pale zisikaribiane sana maana itakuwa ngumu kwa watu kutembea katikati lakini pia zisikaribie hayo maua na kuyaharibu , leteni zaidi Pina Colada(Coctail), msilete tu pia mvinyo wa matunda wengine wanaweza wasipende”

“Unafanya vizuri Profesa ,sikudhani una ujuzi pia wa kupamba majukwaa”Aliongea Ashley.

“Ukiachana na kuwa Profesa mimi mia ni mtoto wa malkia hivyo mambo kama haya ni sehemu ya utamaduni ndani ya familia za kifalme” Aliongea huku akiachia tabasamu murua lililomfanya kuzidi kuwa mrembo.

Clark alikuwa ndio amepewa jukumu la kuongoza upambaji na mpangilio wa eneo zima , alikuwa ni mtoto wa malkia hivyo wengi waliamini angefanya vizurri , alikuwa pia na uwezo wa kuwatambua watu kwa makabila yao au nchi walizotoka ndio maana kuna muda alitumia lugha mbalimbali kuongea nao, ijapokuwa hakujua ligha nyingi lakini lugha kubwa duniani alikuwa akizijua.

Upande mwingine wakati wengine wakiendelea kupamba , kuna mwanamke mrembo lakini mtu mzima aliekuwa amekaa kwenye viti pasipo ya kujishugulisha , huku alionekana kuwa na sahani iliojaa vipande vya nyama na pembeni yake kulikuwa na glasi ya mvinyo , hakujali watu walikuwa wakihangaika ile yeye alijali tumbo lake.

“Catherine unaonaje ukienda kula ndani kule kuliko hapa tunapofanyia kazi”Aliongea Clark akijaribisha maiki kama zinafanya kazi vizuri , lakini maneno yake yalikuwa yakimlenga mama yake ambaye ndio mwanamke aliekuwa akiburudika na kula asubuhi hio.

“Clark unaonaje ukiniacha na umtafute Edward akusaidie, nimekaa hapa bila bughuza ya kumsumbua mtu yoyote” Aliongea huku akionyesha kulalamika.

“Inashangaza pia unavyohangaika kupamba eneo la harusi ya mwanaume unaempenda akimuoa mwanamke mwingine” Aliongea na kumfanya Clark maneno hayo kumgusa, alijua mama yake alikuwa akimwonea huruma.

Aliweka maiki chini na kisha akamsogelea mama yake na kumuinamia karibu.

“Mwanaume unayemzungumzia ni Roma, ni mtu ambaye ametusaidia kuwa na kila kitu tulichonacho leo hii , aliniomba nimsaidie kupamba hili eneo na sikuwa na nguvu ya kumkatalia”Aliongea na Catherine alisimama na kumbusu shavunni.

“Baby je unataka mama yako nikamtege wakati akielekea nyumbani kwa ajili ya kulala na bibi harusi?”Aliongea na kumfanya Clark akose usemi.

“Nenda kabadili haya mavazi angalau uonekane mrembo , Edna ni mrembo hivyo sidhani kama utamzidi”

“Wewe ni mtoto wangu na kama unalitaka nyonyo sema, maana ulivyokuwa mdogo ulikuwa unanyonya kidogo sana na umeyaacha maziwa ndio maana sasa hivi nateseka na haya manyonyo huenda ningekuwa mrembo kuliko wanawake wote dunia hii” Aliongea bila aibu

“Kimya, naomba uondoke” Aliongea kwa amri na kumfanya mama yake kuondoka huku akicheka , walionekana walikuwa wakitaniana sana na hata hivyo walitofautiana umri kiasi kidogo sana hivyo ilikuwa rahisi kuwa marafiki licha ya kuwa mama na mwana.

Baada ya maandalizi ya ukumbi kumalizika Ron aliweza kufika na kutangaza kwamba harusi ingeanza muda si mrefu ujao .

Kwasababu ndoa ilikuwa ikimuhusu Roma, mwanaume ambaye aliletea uhuru visiwa hivyo kutoka serikali ya Uingereza lakini pia kuvilinda na zidi ya uvamizi wa serikali nyingine , basi kwa heshima kubwa watu karibia wote walihudhuria kwenye harusi hio na ndio maana harusi ilifanyikia kwenye uwanja..

Mwanzo kabisa wa viti vya mbele waliketi wale watu wazito wazito , walianza kuweka ndugu wa Roma ambaye alikuwa ni Ashley na Blandina na kisha wakafuatia marafiki zake ambaye aikuwa ni Makedon na Sauroni na kisha Catherine na Clark wote walikaa mstari wa mbele.

Nyuma yao walikaa viongozi wa kundi la Kininjua la New Zero pamoja na makamanda wa jeshi la Sea Eagles , lakini pia Edward wa Rothchild alikaa mstari wa nyuma pamoja na mataiiri mbalimbali na wawakilishi kutoka mataifa rafiki na Roma.

Eneo hili halikuhitajika ulinzi wa mabodigadi na ndio ilikuwa sheria ambazo hazikumbagua mtu kutokana na cheo, hivyo hata watu waliokuja walifika peke yao huku wakihakikishiwa ulinzi wa kutosha kwenye hilo eneo.

Ron alipanda juu ya jukwaa na kisha akashikilia maiki , alikuwa ni EMCEE tokea asubuhi lakini muda huo alitaka kutoa tangazo huku kadamnasi ya watu walimwangalia.

“Now focus everyone , Your Majesty Pluto has requested to emcee his own wedding..”Aliongea akimaanisha kwamba Roma anataka kuwa Emcee wa harusi yake mwenyewe, baada ya kusema hivyo alipiga makofi na kisha akatoka juu ya jukwaa.

Watu walichanganyikiwa, inakuwaje mtu kuwa Emcee wa harusi yake yake mwenyewe , lakini pia Roma aliezungumziwa hakuwa akionekana na kila mgeni alikuwa ameshaketi , lakini ghafla watu wote waliangalia juu.

Roma alikuwa akishuka kutoka angani huku akiwa ameachia tabasamu mwanana ,alikuwa amevaa suti nyeusi na tai nyeupe ilionakishiwa na rangi nyekundu , alikuwa akishuka kutoka angani lakini hakutumia parashuti.

Alikuwa pia ameshikilia kamba ambayo imefungwa kwenye puto kubwa lakupulizwa na hewa maalumu (hellium ballon) ambalo lilikuwa limetengenezwa kwa shepu ya moyo likiwa la rangi nyekundu, lakini pia lilikuwa na mikanda(ribbon) yenye maandishi makubwa ya neno LOVE.

Roma kama ilivyokuwa tabia yake ya kujiamini , alionyesha kutokuwa na hofu ya aina yoyote mpaka anatua kwenye steji na kuanza kupungia watu mikono , lakini hadhira ilikuwa kwenye mshangao maana ni tukio ambalo sio la kawaida kwenye sherehe licha ya kwamba wengi wao walikuwa wakifahamu kuhusu uwezo wake usiokuwa wa kawaida ndio maana swala la kupaa halikuwachanganya sana.

“Clark mimi mama yako nashukuru sio wewe unaolewa na huyu mwanaume ambaye amekaa kivituko na kutokuwa wa kawaida..”Aliongea Malkia Catherine

“Sijaona .. sijaona…” Blandina aliekuwa kwenye mshituko haya yeye ni moja wapo wasiotegemea kuona tukio la Roma kushuka kutoka mawinguni kama malaika.

Roma alivuta maiki na kisha akasafisha koo kidogo mara baada ya kuachia lile Baluni.

“Kwanza kabisa nataka niwashukuru kila mmoja wenu kwa kuja , naona kila mmoja amefurahishwa na staili yangu ya kipekee niliofika nayo kwenye jukwaa ……”Aliongea na kufanya eneo lote kuwa kimya.
Ron Konstantin
 
SEHEMU YA 470B

“Inatosha Ron , maana sitokuongezea mshahara hata kama uninyenyekee kwa kiasi gani”Aliongea Roma kwa kingereza kwa kuweka utani na kumfanya Edna atamani kumuweka Roma ngumi.

“Mfalme Pluto unaonekana ni mwenye furaha , nimefarijika na mabadiliko yako”Aliongea na Roma alitabasamu na kisha akampita akimgusa gusa kwenye bega na kisha akamtambulisha Ron kwa Edna na Blandina.

“Huyu ndio kiongozi mkuu wa ukoo wa Konstantin kutoka Italy , ni uzao wa Kaisari alietawala kipindi cha utawala wa Kirumi , Lakini nani anafahamu ni vizazi vingapi vimepita tokea kufa kwa Kaisari lakini Ron bado yupo”Aliongea Roma kwa Kingereza.

“Mr Ron nimefurahi kukutana na wewe , nimesikia umemchagulia Bi Wema vazi la kuvaa, inaonekana upo vizuri kwenye fasheni za kimavazi?”Aliuliza Edna kwa urafiki.

“Nimefurahi sana kukutana na wewe pia Madam Persephone ,ubunifu wa mitindo ya kimavazi pia ni moja kati ya kazi zangu nyingi na nimeweza kupata heshima ya kuandaa gauni lako la harusi”Aliongea Ron na kumfanya Edna kuhisi aibu kidogo mara baada ya kusikia gauni la harusi , lakini wakati huo huo jina la Ron’s ni kama lilikuja na kupotea kwenye kichwa chake na kumfanya kumwangalia Bi Wema na vazi alilovaa palepale aligundua gauni la Bi Wema ni ubunifu maarufu ya mitindo ya mavazi ya Bohemia na jina la Ron ni miongoni mwa majina ya wabunifu ambao ashawahi kuwasikia.

“Nina kampuni inayohusiha ubunifu na udarizi wa mavazi , nishawahi kusikia jina lako lakini sijawahi kukuona kwa sura ,mimi nishabiki wa mavazi ya mtindo wa kibohemia”Aliongea Edna akitumia mbinu ya ushawishi kukubalika kwa haraka hakuna binadamu asiependa kusifiwa au kutambulika kwa kile anachokianya hata kama ni kidogo vipi.

“Ni heshima kwangu kupata kutambuliwa na wewe Madam Persephone”Edna alifurahi na kisha alimgeukia Rom.

“Nakumbuka mara yako ya kwanza kuanza kazi kwenye kampuni , uliulizwa swali linalohusiana na mtindo wa kimavazi mathalani kampuni za kiitaliano na uliweza kutoa majibu mazuri kumbe chanzo ni Ron?”Aliongea Edna na kumfanya Roma kucheka sana baada ya kukumbuka.

“Upo sahihi nguo zangu nyingi Ron ndio ananitengenezea na kuna muda tukipiga stori huingizia maswala ya mavazi hivyo kidogo nilikuwa na uelewa?’Aliongea Roma mara baada ya kusafisha koo.

“Master Ron umesema ubunifu ni sehemu ya kazi zako nyingi, je unajihususha na kazi gani nyingine?”Aliuliza Edna na kumfanya Rona kuwa na wasiwasi kidogo na kumwangalia Roma kwani swali la Edna lilikaa kimtego.

“Usiwe na wasiwasi , unaweza kumwambia”

“Nitakuwa mkweli kwako Madam Persephone , ukoo wangu ndio wamiliki wa kundi kubwa la Kimafia nchini Italy na mimi ndio nilikuwa kiongozi kabla ya kustaafu”Aliongea na kumfanya Edna kushangaa akiwa kama haamini.

“Hakuwa kiongozi tu wa kundi la Mafia , lakini pia alipewa cheo cha heshima cha Uraisi na Mafia Alliance in Cicilly”Aliongezea Roma.

“Lakini hayo yote yalikuwa ni zamani , kwa msaada wa Mfalme Pluto niliweza kuanza maisha mapya ndani ya hivi visiwa na sasa kazi yangu kubwa ni kutunza mali zake”Aliongea.

Roma alimtambulisha mama yake mzazi kwa Ron na Blandina alifuahi kukutana na Ron hasa pale alipofahamu ndio rafiki mkubwa wa Roma.

“Vizuri sana rafiki yangu , ngoja tusalimie wengine na tuondoke hapa ili tusisubirishe wanaotaka kuniona kwa muda mrefu ”Aliongea Roma huku akimgusa bega Ron na kumpita.

Waliingia kwenye gari aina ya SUV mara baada ya kumaliza kusalimiana na kila mmoja , Ron alikaa siti ya mbele kabisa huku akiendelea kuongea na Roma kwa kukumbushiana habari za muda wote ambao hawakuonana.

“Madam Persephone harusi yako imepangwa kufanyika kesho , nitakuomba baada ya chakula cha mchana ujaribishe gauni lako , unaweza ukashangaa ni kwa namna gani nimeweza kupata vipimo vyako lakini ukweli ni kwamba ujuzi wangu umenifanya kukadiria kwa kuangalia picha yako tu……”Aliendelea kuongea na Edna huku habari kubwa ni namna anavyofanya kazi yake ya ubunifu wa mavazi na Edna alichangia.

Bi Wema na Blandina waliishia kutabasamu baada ya kuona Ron anavyoongea kwa ishara , ijapokuwa Bi Wema hakuwa akielewa kingereza lakini ni kama alikuwa akielewa kile kinachoongelewa.

“Ron unaongea kuhusu picha ya mke wangu kama vile ugonjwa wako wa macho umepona , naamini msaidizi wako ndio ambaye alikadiria vipimo”Aliongea.

“Mfalme Pluto unaishi kizamani sana”

“Nini?”

“Natumia ‘Contact lenses’ , unaweza kuona macho yangu kwa kiasi fani yamebadilika rangi”Aliongea na kumfanya Roma amwangalie na aligundua kwenye macho yake yamebadilika kwa kiasi flani na kiini cheusi kuonekana kama kimepauka.

“Mr Ron naomba uache kuniita hilo jina , sijisikii vizuri kila ninapolisikia”Aliongea Edna.

“Bila shaka Miss Edna, hivi nilishia wapi kuongea ., Oh nimekumbuka nilikuwa nikizungumzia kuhusu gauni lako , ukweli ni kwamba ni mara yangu ya kwanza kuandaa gauni la harusi hivyo nilikuwa na mengi ya kujifunza , nilienda hadi New York kutafuta ushauri kwa rafiki yangu , Madam Vera Wang..”Kabla hajaendelea Edna alimwingilia.

“Unamaanisha Madam Vera Wang mwanamitindo maarufu wa magauni ya harusi ni rafiki yako?”Aliuliza Edna kwa mshangao.

“Upo sahihi ni rafiki yangu na ni mtaalamu wa viwango likija swala la mavazi ya harusi , nilimuuliza baadhi ya vitu ili kunisaidia kuandaa la kwako”

“Ron nafikiri hujaweka urembo wa almasi na dhahabu kwenye hilo gauni maana litatumika mara moja tu”Aliongea Roma na kumfanya Edna amgeukia.

“Acha ubahiri”

“Mfalme Pluto wala usiwe na wasiwasi , niseme ukweli nilikuwa na chaguzi nyingi namna ya gauni hilo lionekanaje lakini mwisho wa siku nilifikia na hitimisho kulitengeneza kwa kutumia vitambaa maarufu vya kiasili ili kidogo liwe jepesi kuvalika”Aliongea na kumfanya Roma kutingisha kichwa kwa kukubali na kisha akamgeukia Edna.

“Mke wangu sio ubahiri kwani kila mtu anatumia madini ya Almasi na dhahabu kupamba magauni, hivyo la kwako lingekosa ule upekee , Si nilikupaga Henrygraves kutoka kampuni ya Patek Phillipe ni zaidi ya almasi au dhahabu kwa thamani yake”

“Saa ulionipa ni vitu viwili tofauti , wanawake tunapenda sana vitu vinavyong’aa na kumetameta na kuonekana vizuri kwa macho , kwanza umeniambia kuna zawadi yangu umeniandalia sijasahau”Aliongea Edna bila ya kuwa na wasiwasi ya uwepo wa watu kwenye gari na kumfanya Roma kucheka.

“My dear wife inaonyesha siku hizi umekuwa mhitaji wa zawadi kuliko siku za nyuma”

“Kama nisipotaka zawadi , wengine wanaweza kupata zawadi nilizopaswa kupewa mimi hivyo lazima kuhakikisha nafasi yangu inakuwa salama”Aliongea Edna kwa sauti ndogo na kumfanya Roma kutabasamu.

“Zawadi yako nimeiandaa lakini usubiri mpaka baada ya harusi kuanza”

“Bado unanificha na unachotaka kunipa?”Aliongea Edna kwa kutingisha mabega lakini aliishia kutoendelea kuuliza kama kwa kuona Roma anataka amfanyie Surprise.

Kadri gari waliokuwa wamepanda ikiendelea kusonga sasa waliweza kuona mandhari ya kisiwa hicho na baadhi ya visiwa ambavyo vilikuwa kwa mbali , ambavyo kuna vilivyokuwa vikitoa moshi wa kulipuka kwa Volkano kwenye vilele vya mlima huku vikizungukwa na msitu.

Edna aliweza kuangalia mazingira mathalani namna maisha yanayovyendelea na aliweza kuona nyumba ambazo zimejengwa kwa kuezekwa na mapaa yaliopakwa rangi nyekundu huku asilimia nyingi ya rangi zilizotumika kupamba kuta za nje ni rangi nyeupe lakini pia vioo vya madirisha vilikuwa ni vile vigumu lakini vya rangi ya bluu mtindo wao wa maisha haukuonyesha tofauti na watu wa bara la Ulaya.

Waliweza kuona kundi la watu waliokuwa pembezoni mwa fukwe wakifurahia upepo , ilikuwa muda wa mchana lakini watu walikuwa wengi

“Mr Ron kuna wakazi wangapi kwenye hiki kisiwa?”Aliuliza Blandina.

“Madam kuna zaidi ya watu elfu mbili wenyeji wa hapa na kwa wale ambao wapo chini ya utawala wa mfalme Pluto wanafikia zaidi ya elfu tatu ambao wapo tu kwenye hiki kisiwa ukiachana na vingine”

“Kuna ambao wapo nje ya hiki kisiwa?”

“Meli za watu binafsi pamoja na watu wanaopenda kuona visiwa hivi huwa wanakaribia , hivyo ulinzi umekuwa kitu makini sana kwetu na mpaka sasa kuna wanajeshi baharinni zaidi ya elfu moja wakipiga doria kwenye meli za kivita wote hao wapo chini ya Mfalme Pluto”Aliongea na Blandina alionekana kumuelewa na hakuuliza swali lingine

Dakika kama kumi mbele waliweza kuingia kwenye eneo lililokuwa limepandwa maua mengi na bustani za kuvutia , ni eneo ambalo halikuwa na geti ila kwa mbele zilionekana nyumba nzuri ambazo zilikuwa za rangi nyeupe na ndefu kwenda juu , ilikuwa ngumu kukadiria ni za ghorofa kutokana na aina ya ujenzi wake haukuwa ule wa kisasa zaidi , juu ya mapaa moshi mzito ulikuwa ukitoka..

Katikati ya bustani kulikuwa na Fountain ambayo imejengwa kwa mtindo wa kizamani sana , ni aina ya Fountain ambazo unaweza kuzikuta zaidi kwenye miji ya Italia kwa muundo wake.

Baadhi ya watoto walionekana kukaa pembeni mwa hio Foutain wakicheza kwa fuaraha kwa kuzunguka wakiwa wameshikana mikono , hakika maisha yalionekana kuwa ya amani sana na kila kitu kilivutia kwa macho,alichokipenda zaidi Edna ni usafi wa mazingira hakukuwa hata na dalili ya aina yoyote ya uchafu unaozagaa zaidi ya moshi tu unaotoka kwenye baadhi ya nyumba.

Ki ufupi ni kisiwa ambacho kilikuwa kikubwa lakini wakazi walikuwa wachache na nyumba zilijengwa kwa mtindo wa kimakundi makundi , yaani ndani ya eneo moja kulikuwa na nyumba mbili au zaidi na zote hushirikiana eneo la nje kwa usawa na barabara za Zege ziliingia kwa kila nyumba.

“Karibu tena nyumbani mfalme Pluto” Mwanamke mmoja wa kizungu alipaza sauti mara baada ya wote kushuka kutoka kwenye magari na watu wengi wanaume na wanawake walikuwa wamesimama na kuwapungia mkono.

“Hongera kwako kwa harusi”Aliongea mwingine na baadhi ya wengine pia waliungana kumpongeza Roma.

Roma alisalimiana nao kwa kupeana mikono huku akiwasalimia kwa lugha tofauti tofauti , ilikuwa ni kama anajua huyu anazungumza lugha hii na huyu ile na ndio alichofanya.

Edna na Blandina hawakuelewa hata lugha ambayo Roma anaongea kwani kuna muda aliongea Kirusi kuna mara aliongea kireno na kuna muda aliongea kijerumani.

“Mr Rona hawa ndio wazawa wa hapa?”Aliuliza Edna.

“Hapana , Wazawa wanaishi upande wa mashariki kutoka kwenye hiki kisiwa , hao unao waona hapo wote waliomba kuishi kwenye hivi visiwa kupitia kwa mfalme Pluto , kuna zaidi ya vijiji vitano vikubwa ndani ya hiki kisiwa na wote wamemfahamu Mfalme Pluto kwa muda mrefu sana, yule mwanaume alieanza kusalimiana nae anafahamika kwa jina la Schachenleer alikuwa ni kiongozi wa kundi la kigaidi na anatafutwa sana na serikali ya Marekani , mume wake pia anafahimika kwa jina la Saab na yeye pia alikuwa ni kiongozi wa kikundi cha kigaidi kutoka Iraq m hivyo hapa wapo kama mafichoni?”Aliongea Ron lakini Blandina na Edna walijikuta wakipatwa na mshangao kwa maelekezo yake

“Mfalme Pluto hakika unaonyesha mabadiliko makubwa unaonekana kuwa na furaha kuliko ulivyoondoka”

“Labda ni kwasababu ndio anafunga ndoa, Mfalme Pluto hakika umekuwa mtu mzima sasa”Waliongea watu waliosimama na Roma wanaume na wanawake na kuishia kucheka.

Roma alionyesha maisha yake hapo visiwani yalikuwa yale ya ukaribu sana na raia kwani walionyesha kumzoea mpaka kuingizia utani.

Kuna muda Edna alionyesha kutokuelewa kingereza chao kutokan ana rafudhi ila alifanikiwa kuwasalimia , mwanzoni alihofia kwasababu watu hao walikuwa na historia mbaya wangekuwa na roho mbaya , lakini walionyesha urafiki mkubwa na ule ukarimu wa kipekee na hata Bi Wema na Blandina pia waliweza kuwapenda.

Baada ua kufika mje ya nyumba hizo waliweza kuona watoto wawili wa kike na kiume wanafukuzana , walikuwa watu wazima rika la miaka kama kumi na moja na mwingine kama kumi na tano , wote walikuwa wazungu .

“Isabella ..Brewster ?!”Aliita Roma huku akionyesha mshangao kwani walionekana kuwa watu wazima na walikuwa wote wakigeuka na kumwangalia Roma.

“Mfalme Pluto hatukufahamu umekwisha kufika ..oh huyu lazima atakuwa ndio Madam Persephone , si ndio , karibu sana, unaonekana mrembo kuliko tulivyokuona kwenye picha”Aliongea yule mkubwa wa miaka kama kumi na tano huku akimwangalia Edna kwa tabasamu, alikuwa na kiini chake cha macho kimefifia na nywele nyeupe aina ya Blonde.

“Isabella imekuwaje ukawa mnene kiasi hichi na wewe Brewster naona umekonda”Aliongea Roma , alikuwa akiwafahamu vizuri kwani walikuwa ni watoto wa kike wa Sauroni.

Wote kwa pamoja walikaribishwa kwenye nyumba ya Ron na Edna alishangazwa ,ijapokuwa mwonekano wa nje haukuwa mzuri sana , lakini ndani yake kulikuwa kukipendeza mno, lakini alishangazwa pia kuona siraha aina ya bunduki pamoja na bastora zikiwa zimening’inizwa karibu na jiko alishangaa kwani nchi kama Tanzania siraha kama hizo huwezi kuona zikiweka kiholela namna hio..

Nyumba za hilo eneo zilikuwa kidogo na utofauti na nyumba za kitanzania , karibia zote zilikuwa na majiko makubwa eneo la sebuleni ambayo huchoma kuni kwa ajili ya kupasha nyumba joto na hii yote ni kutokana na majira ya hali ya hewa , kulikuwa na kipindi cha baridi kali mno..

Familia ya Sauroni na Ron waliishi ndani ya ‘compaund’ moja na kwa sherehe ya harusi hio nyumba ya Ron ndio ilichaguliwa kwa ajili ya wageni kutumia na baada ya harusi Roma kwenda kwenye makazi yake na mke wake.

Edna aliweza kutambulishwa kwa Makedon ambaye alifika kwa ajili ya kuhudhuria harusi lakini pia aliweza kukutana kwa mara nyingine na Sauroni , wageni wote walikuwa wapya kwa Blandina hivyo Roma alichukua nafasi ya kumtambulisha mama yake vizuri na wote walifurahi kukutana nae.

“Jamani eh kwanini muendelee kuongea kuhusu habari za vita mbele ya Edna , Kesho ni siku ya harusi ya mfalme Pluto nadhani tuongelee hio”Aliongea mke wa Sauroni afahamikae kwa jila la Bellaih

“Nakubaliana na wewe” Alijibu Ron na wakaacha habari za vita na kuanza kuongea habari nyingine huku chakua kikiandaliwa.

“Vipi wakina Edward , hawajafika bado?”Aliuliza Rom.

“Edward alifika hapa na Makeddon lakini karudi kwenda kumchukua Malkia Catherine na Clark, watafika hapa usiku”Aliongea Sauron.

“Catherine yupo bize sana na maandalizi ya Olimpiki hivyo atahudhuria matukio mawili kwa wakati mmoja kesho atahudhuria tukio la harusi na atageuza siku hio hio kwa ajili ya siku inayofata ya ufunguzi wa mashindano hayo”Aliongea Sauroni.

Baada ya kumaliza chakula Ron alimchukua Edna akimuacha Roma kuendelea kongea na baadhi ya watu waliofika kumsalimia.

Ofisi ya Ron haikuwa mbali sana na nyumbani kwake , ilikuwa mita kadhaa , lilikuwa ni jengo la ghorofa mbili kwenda juu, ambalo lilijaa kila aina ya michoro , kwa maelezo ya Ron ni kwamba kampuni yake ya mavazi ipo Palermo na hapo hutumia tu katika ubunifu na utekelezwaji unakuwa ni sehemu nyingine na hata gauni la harusi alibuni kwa kuchora michoro na kutiuma Palermo ambako ndio ukamilishaji ulifanyika.

Edna baada ya kuonyeshwa gauni lake alijikuta akilipenda hapo hapo na ilionekana Sauroni alikuwa sahihi kwenye vipimo vyake , kwani lilimkaa vizuri sana mwilini mara baada ya kujaribisha.

“Naweza kusema wewe ni moja ya bibi harusi mrembo ambao nimeweza kushuhudia kwenye maisha yangu”Aliongea Rona mara baada ya kumuona Edna alivyopendeza.

“Asante sana Master Ron”Aliongea Edna huku akitoa tabasamu hafifu , alionyesha kulipenda.

“Kuna jina lolote umelipatia hili gauni?”Aliuliza Edna.

“Swali zuri , nimepenga kulipatia jina la Demeter na kwasababu huu ni mtindo wa kipekee litapatikana sokoni baada ya ndoa yako”

“Demeter nahisi nishawahi kusikia kuhusu hilo jina?”

“Katika historia za hadithi za kigiriki Demeter alikuwa ni mama wa Persephone , mungu wa mavuno , nimeamua kulipatia jina hilo kwasababu ndie anapaswa kukusindikiza wakati wa kuingia eneo lililoandaliwa kwa ajili ya harusi yake”Aliongea na Edna alitingisha kichwa kukubali.

“Niseme kwamba kuna mtu unafanana nae , naweza kusema ni kama pacha wako”Aliongea Sauron

“Unamzungumzia nani?”

“Kuna mwanamke ambaye alitokea kupendwa sana na Mfalme Pluto , anafahamika kwa jina la Seventeen”Aliongea na kumfanya Edna kupoteza raha kidogo.

“Inasikitisha sijawahi kukutana nae”Aliongea huku akiwa amelazimisha tabasamu.

“Miss Edna naomba usifikirie kama Mfalme Pluto anakutumia kama mbadala , unaweza kufanana na Seventeen lakini ninyi ni watu wawili tofauti”Aliongea na kumfanya Edna kuridhika na maneno yake na muda uleule aliingia mtoto mwenye rangi mchanganyiko wa mwafrika na mzungu.

Edna alimfahamu mtoto huyo kwani ametambulishwa kwake na Bi Wema , alikuwa ni mtoto mmoja wa mhamiaji wa hapo ambaye alikuwa raia wa Kenya na ndio ambaye Bi Wema alisema anajua kuongea kiswahili, lakini hata hivyo huyo mkenya alionekana kutokijua sana kwani alichanganya mara nyingi ne kingereza na kwa maelezo ya Ron mkenya huyo alikuwa ni mhalifu anaetafutwa na serikali ya Ugiriki.

“Master Ron , Madam Persephone anaitwa na Mfalme Pluto , anasema kuna sehemu wanapaswa kwenda”Aliongea yule mtoto kwa Kingereza.









SEHEMU YA 471.

Edna mara baada ya kupewa taarifa ya kuitwa na Roma hakukawia kwani hata hivyo gauni alishajaribisha hivyo angesubiri kuvaa kesho siku ya harusi.

“Vipi ulikuwa unasemaje” Aliongea Edna mara baada ya kumfikia Roma aliekuwa amesimama nje ya gari dogo kampuni ya Fyatt.

“Naelekea mlimani kwa ajili ya kumtembelea Seventeen”Aliongea Roma na kumfanya Edna moyo wake kwenda mbio.

“Unamaanisha nini kwenda kumtembelea?”

“Namaanisha naenda kuzuru kaburi lake , wakati anakufa sikuweza kupata mwili wake hivyo nilizika baadhi ya vitu vyake alivyokuwa akitumia na ni zaidi ya miaka miwili sijatembelea , nadhani ni muda muafaka kwangu kumpa salamu ya kwaheri na kuacha yaliopita yapite na kuanza maisha mapya”Aliongea Roma na kumfanya Edna kushindwa kutoa jibu la haraka.

“Hakuna shida , unaweza kwenda lakini nina ombi moja”

“Ombi gani?”

“Nataka kwenda pia”Aliongea na kumfanya Roma kushangaa kidogo lakini alishia kumfungulia mlango na kuingia na kisha wakaondoka.

Hewa ya mlima ilikuwa ya kuvutia lakini isiokuwa ya ubaridi sana , hata hivyo kipindi hicho kilikuwa ni cha joto , gari iliingia ndani ndani kwenye msitu na walikuja kuisimamisha chini ya kijimlima ambapo wasingeweza kuendelea kwenda juu kwa kuendesha, walishuka na kuanza kutembea .

“Huu ndio msitu ninaotumia kuwazika wanajeshi pamoja na watu wangu wa karibu , ni msitu wa heshima sana ndani ya hivi visiwa vyote na ukiona amezikwa hapa jua alikuwa na mchango mkubwa sana kwenye kundi …..”Aliongea Roma.

“Ni kama msitu wa mashujaa sio?”Aliuliza Edna.

“Upo sahiihi”Aliongea Roma huku akiendelea kumwelezea baadhi ya mambo mengine hususani watu waliokuwa wamezikwa ndani ya hilo eneo.

Edna alijikuta akikmbuka mara ya kwanza alivyokutana na Roma ,ijapokuwa alionekana kuwa mtu wa kawaida kati ya wanajamii lakini macho yake yalionyesha kitu kisichokuwa cha kawaida na huenda maisha yake ya nyumba ndio yalimvutia zaidi.

Waliendelea kutembea kimya kimya pasipo kuongeleshana , Edna yeye alikuwa akishangaa na Roma alikuwa akikumbuka mambo yaliopita.

“Ah!”

Edna aliteleza na kidogo tu aanguke kama isingekuwa Roma kumuwahi kumshika mkono.

“Kuwa makini nitakushikilia”Aliongea Roma huku akimshika Edna mkono lakini aliutoa kwake.

“Edna una tatizo gani , ninajaribu kukushikilia usije kudondoka”

“Usiniguse , nitakuwa makini lakini sitaki unishikilie wala kunivuta”Aliongea kwa kiburi na kumfanya Roma kushangaa , yeye mwenyewe ndio alietaka kuja lakini alionyesha kukasirika, lakini alijiambia hawezi kusitisha safari yake ya kwenda kumuona Seventeen.

Roma hakujua Seventeen yupo hai , alipotezea hata maneno ya wale watu waliokuwa wakimwambia kwamba yupo hai na wamekutana nao , alikuwa mgumu kuwaamini kutokana yeye mwenyewe alishuhudia kifo chake.

Upepo mkali uliendelea kuwapuliza , Edna na gauni lake lilipulizwa na kuwa kama fuko na nywele zake ndefu pia zilipeperushwa na upepo kiasi cha kupeleka mkono kila mara kuzitoa usoni.

Kijimlima kilikuwa kirefu na kuchongoka kwenda juu , lakini kutokana na kuchukua mazoezi alionyesha kuweza kuhimiri vizuri mwinuko huo na kutembea pasipo ya Roma kumuacha hatua .

Baada ya muda mfupi waliweza kufikia mwisho kabisa juu na kuweza kuona kaburi moja tu eneo hilo.

Kwa maelezo ya Roma ni kwamba kadiri kaburi linavyopelekwa juu zaidi ndio ilimaanisha mtu aliekufa alikuwa na cheo au muhimu zaidi.

Hivyo kwa Seventeen ni kama alikuwa na cheo kikubwa kuliko wote ndio maana alizikwa juu kileleni kabisa.

Kabuli lilikuwa kama ubao uliojengwa kwenda juu , lakini ukiwa umapakwa rangi nyeusi huku ukiwa na maelezo ya kirumi pamoja na namba 30 ilioandikwa pia kwa Kirumi.

“Hili ndio kaburi lake?”

“Ndio”Akijibu Roma na kutembeea mpaka kufikia mbele yake.

“Hio therathini inamaanisha jumla ya mimi na yeye, nilifahamika kwa jina la Thirteen tokea nilipojitambua kuwa mtu mzima na yeye aliitwa namba kumi na saba”

“Kwahio ukijumlisha inakuwa ni therathini ndio inawakilisha muungano wenu?”Aliongea Edna huku sauti yake ikiwa ya kitetemeshi lakini Roma alitingisha kichwa.

“Nikupishe , naamini una mambo mengi ya kutaka kumwambia”

“Haijalishi , unaweza pia kusikiliza kama utapenda”Aliongea Roma na kisha alishika ule ubao wa zenge na kuanza kupitisha mkono kama vile anashika mtu kutokana na upole aliokuwa akitumia.

“Imepita zaidi ya miaka miwili sasa tokea mara ya mwisho nilipokutembelea , unaendeleaje , umekuwa mpweke sana tokea niondoke, kwa ninavyokujua muda huu ungeshanniwekea kisu kwenye koo langu ukitaka kuniua kwa hasira za kukuacha mwenyewe kwa muda mrefu..”Aliongea Roma huku akicheka mwenyewe lakini hakukuwa na jibu hata moja

“Nilienda nchiniTanzania , uliniambia napaswa kuona nchi yangu inavyoonekana , nilifika na kuwa mbeba mizigo , niliishi nyumba ya kupanga , maisha hayakuwa mazuri sana lakini yalikuwa ya upekee , nilikutana na watu wengi ambao hawakuhitaji kuua ili kuweza kuishi kama ilivyokuwa falsafa yangu , Oh! tena nimesahau sasa, nimefanya kazi kwenye kampuni iliokuwa na warembo wengi , unaweza kunilaumu lakini ndio hivyo tabia haipotei haraka…..”Aliongea Roma Pumba zote alizojisikia kuongea huku kubwa akielezea maisha yake nchini Tanzania.

“Nimekuja na mke wangu nilieweza kumpata na kuishi nae kwa zaidi ya miezi sita sasa, niliamini ungependa kumuona ndio maana nikaja nae”Aliongea Roma mara baada ya kumwangalia.

“Nimekuwa mke wake lakini sitomfanya akusahau . nitamruhusu muda wowote kuweza kuja hapa na kukusalimia mara kwa mara , lakini hii ndio mara yangu ya mwisho kufika hapa , siku nyingine nitamsindikiza mpaka chini ya mlima na nitasubiri”Aliongea Edna na baada ya hapo Roma alitabasamu na kumwambia waondoke na Edna hakuongea chochote na kutangulia mbele

“Mpenzi!”Aliita Roma kwa nyuma lakini Edna hakuitikia zaidi kutembea lakini alijishtukia tu akiwa kwenye mikono ya Roma akiwa amebebwa juu juu.

Roma alianza kumzungusha kwa haraka mpaka Edna akajihisi kizungu zungu na kisha akamshusha chini huku akihema kwa shida na kabla hajalalamika alijishutikia tu midomo yake ikibusiwa .

“Aah.. midomo yako ina radha ya samaki .hebu niache”Aliongea Edna huku akiona aibu.

“Hehe My wife you are so cute , unapendeza zaidi ukiwa hivyo”

“Unaongea nini , mbona umebadilika haraka na kuwa na furaha wakati ulikuwa na huzuni kwa ajili ya mchumba wako”

“Kulikuwa na utofauti gani sasa?”

“Wewe unaonaje ulikuwa upo siriasi mno , halafu kama unanipenda kweli kwanini unaendelea kuwa na wanawake wengine , hunionei huruma mimi mkeo”

“Ninaweza kuwa siriasi pia na hata hivyo Seventeen sio taarifa yako ya kwanza na ni kweli na kuonea huruma”

“Kama ni hivyo kwanini…”

“Edna siwezi kuwaacha kwani ni kama kuwasaliti tu , Edna unaweza kuniita majina yote utakayo lakini kuhusu hili lazima hisia tuzuweke pembeni na kufikiria kimantiki, ninachojua kukutana kwetu sio kwa bahati mbaya na ndio maana leo hii tupo hapa kwa ajili ya harusi , hivyo tufurahie harusi yetu na baada ya hapo unaweza kunilaumu utakavyo na kunisema vibaya, ila usije ukataka talaka tu kutoka kwangu maana harusi za kila muda ni gharama”Aliongea Roma na kumfanya Edna kug’ata meno kwa hasira.

“Ndio maana hakuna hata mmoja alietaka kushiriki harusi yangu , naaini hawakutaka kukasirika kwasababu mimi ndio naolewa”

“Turudi nyumbani kwa Ron kwanza, utalala na Mama pamoja na Bi Wema na mimi nitaenda kukamilisha taratibu za kesho na baada ya hapo tutahamia kwenye nyumba ambayo ina chumba maalumu kwa ajili ya usiku baada ya ndoa”Aliongea Rom.

‘Chumba maalumu kwa ajili ya usiku baada ya ndoa””Alirudia Edna maneno ya Roma kwa mshangao.

“Acha kuwa mwanamke mjinga basi , laizma tulalae pamoja baada ya harusi kwenye chumba maalumu nilichokiandaa”

“Wewe ndio mjinga” Aliongea Edna kwa kiburi na kuanza kushuka haraka haraka na ndani ya muda mfupi waliweza kuingia kwenye gari na kuondoka.

Hatimae siku ya kwanza ndani ya visiwa vya watu ilifikia mwisho na giza kuingia.

*******

Mwanga wa jua ulitokeza kwenye mawingu na kufanya kisiwa chote kuwa angavu.

Kundi la ndege wa baharini wafahamikao kwa jina la Shakwe(sea gull) waliruka kimakundi makundi juu ya bahari iliokuwa ikifoka kutokana na wingi wa mawimbi asubihi hio.

Ki kawaida ni watu walioishi ndani ya hilo eneo asubuhi kama hio wangekuwa wakiota jua na wengine kwenda kwenye shughuli zao, lakini siku hio ilikuwa tofauti kwenye kiwanja kikubwa kilichokuwa kikipakana na msito kulia na bahari kushoto.

Uwanja ulipambwa na maua ya aina nyingi yenye kuvutia na kuonyesha mwonekano wa kupendeza ulioashiria sherehe.

Kati ya mapambo ni maua meupe yafahamikao kwa jina maarufu la kingereza la Madonna Lily yalipambwa kwenye njia iliokuwa ikielekea kwenye steji ya uwanja huo ambao ni kama ulikatwa katikati kwa namna viti vilivyopangwa , kulia na kushoto kulilingana na katikati ikaachwa nafasi ambayo ndio njia atakayopita bibi harusi na bwana harusi.

Steji ilikuwa imepambwa na kupendeza sana huku spika kubwa zikiwa zimefungwa pande zote za steji, kwa haraka haraka ungetoa mapambo ungeamini moja kwa moja kuna show ya msanii mkubwa inayotarajiwa kufanyika siku hio , kazi yote ya ujenzi ilifanyika usiku na mpaka asubuhi hio ilikuwa ikimalizikia.

Watu waishio hapo walikusanyika ndani ya eneo hilo huku wakionyesha shauku ya kuona kile ambacho kinakwenda kutokea siku hio lakini kwa muda huo walisaidia kazi ndogo ndogo za upambaji.

Kuna ambao walikuwa wamebeba vikapu vya maua, kuna waliokuwa wamebeba kreti za mvinyo na kuna wale waliokuwa wamebeba glasi huku wakiongea kwa furaha.

Katikati ya uwanja karibu na steji alikuwa amesimama mzungu mmoja aliekuwa ni wa kike alievalia gauni la kawaida la rangi ya pink , alikuwa ndio kiongozi kwani alionekana kuagiza watu wafanye hivi na vile kukamilisha zoezi ,alionekana alikuwa mjuzi pia wa lugha kwani kuna muda aliagiza kwa lugha hii na kuna muda aliagiza kwa lugha nyingine ili kuelewana na watu aliokuwa akiwaongoza , alikuwa mrembo haswa licha ya kwamba alivalia kikawaida.

Muda ule ule aliongezeka mwanadada mwingine mrembo , lakini aliekuwa ni mwafrika rangi ya chocolate na kusalimiana nae huku wakionyesha kucheka kwa furaha.

Mwanamke mzungu alikuwa ni Profesa Clark na mwanamke mwafrika alikuwa ni Ashley mdogo wake Roma na dada yake Denisi , ndio mgeni pekee aliefika kwenye sherehe hio upande wa baba yake.

“Peleka mbele hizi meza mpaka pale zisikaribiane sana maana itakuwa ngumu kwa watu kutembea katikati lakini pia zisikaribie hayo maua na kuyaharibu , leteni zaidi Pina Colada(Coctail), msilete tu pia mvinyo wa matunda wengine wanaweza wasipende”

“Unafanya vizuri Profesa ,sikudhani una ujuzi pia wa kupamba majukwaa”Aliongea Ashley.

“Ukiachana na kuwa Profesa mimi mia ni mtoto wa malkia hivyo mambo kama haya ni sehemu ya utamaduni ndani ya familia za kifalme” Aliongea huku akiachia tabasamu murua lililomfanya kuzidi kuwa mrembo.

Clark alikuwa ndio amepewa jukumu la kuongoza upambaji na mpangilio wa eneo zima , alikuwa ni mtoto wa malkia hivyo wengi waliamini angefanya vizurri , alikuwa pia na uwezo wa kuwatambua watu kwa makabila yao au nchi walizotoka ndio maana kuna muda alitumia lugha mbalimbali kuongea nao, ijapokuwa hakujua ligha nyingi lakini lugha kubwa duniani alikuwa akizijua.

Upande mwingine wakati wengine wakiendelea kupamba , kuna mwanamke mrembo lakini mtu mzima aliekuwa amekaa kwenye viti pasipo ya kujishugulisha , huku alionekana kuwa na sahani iliojaa vipande vya nyama na pembeni yake kulikuwa na glasi ya mvinyo , hakujali watu walikuwa wakihangaika ile yeye alijali tumbo lake.

“Catherine unaonaje ukienda kula ndani kule kuliko hapa tunapofanyia kazi”Aliongea Clark akijaribisha maiki kama zinafanya kazi vizuri , lakini maneno yake yalikuwa yakimlenga mama yake ambaye ndio mwanamke aliekuwa akiburudika na kula asubuhi hio.

“Clark unaonaje ukiniacha na umtafute Edward akusaidie, nimekaa hapa bila bughuza ya kumsumbua mtu yoyote” Aliongea huku akionyesha kulalamika.

“Inashangaza pia unavyohangaika kupamba eneo la harusi ya mwanaume unaempenda akimuoa mwanamke mwingine” Aliongea na kumfanya Clark maneno hayo kumgusa, alijua mama yake alikuwa akimwonea huruma.

Aliweka maiki chini na kisha akamsogelea mama yake na kumuinamia karibu.

“Mwanaume unayemzungumzia ni Roma, ni mtu ambaye ametusaidia kuwa na kila kitu tulichonacho leo hii , aliniomba nimsaidie kupamba hili eneo na sikuwa na nguvu ya kumkatalia”Aliongea na Catherine alisimama na kumbusu shavunni.

“Baby je unataka mama yako nikamtege wakati akielekea nyumbani kwa ajili ya kulala na bibi harusi?”Aliongea na kumfanya Clark akose usemi.

“Nenda kabadili haya mavazi angalau uonekane mrembo , Edna ni mrembo hivyo sidhani kama utamzidi”

“Wewe ni mtoto wangu na kama unalitaka nyonyo sema, maana ulivyokuwa mdogo ulikuwa unanyonya kidogo sana na umeyaacha maziwa ndio maana sasa hivi nateseka na haya manyonyo huenda ningekuwa mrembo kuliko wanawake wote dunia hii” Aliongea bila aibu

“Kimya, naomba uondoke” Aliongea kwa amri na kumfanya mama yake kuondoka huku akicheka , walionekana walikuwa wakitaniana sana na hata hivyo walitofautiana umri kiasi kidogo sana hivyo ilikuwa rahisi kuwa marafiki licha ya kuwa mama na mwana.

Baada ya maandalizi ya ukumbi kumalizika Ron aliweza kufika na kutangaza kwamba harusi ingeanza muda si mrefu ujao .

Kwasababu ndoa ilikuwa ikimuhusu Roma, mwanaume ambaye aliletea uhuru visiwa hivyo kutoka serikali ya Uingereza lakini pia kuvilinda na zidi ya uvamizi wa serikali nyingine , basi kwa heshima kubwa watu karibia wote walihudhuria kwenye harusi hio na ndio maana harusi ilifanyikia kwenye uwanja..

Mwanzo kabisa wa viti vya mbele waliketi wale watu wazito wazito , walianza kuweka ndugu wa Roma ambaye alikuwa ni Ashley na Blandina na kisha wakafuatia marafiki zake ambaye aikuwa ni Makedon na Sauroni na kisha Catherine na Clark wote walikaa mstari wa mbele.

Nyuma yao walikaa viongozi wa kundi la Kininjua la New Zero pamoja na makamanda wa jeshi la Sea Eagles , lakini pia Edward wa Rothchild alikaa mstari wa nyuma pamoja na mataiiri mbalimbali na wawakilishi kutoka mataifa rafiki na Roma.

Eneo hili halikuhitajika ulinzi wa mabodigadi na ndio ilikuwa sheria ambazo hazikumbagua mtu kutokana na cheo, hivyo hata watu waliokuja walifika peke yao huku wakihakikishiwa ulinzi wa kutosha kwenye hilo eneo.

Ron alipanda juu ya jukwaa na kisha akashikilia maiki , alikuwa ni EMCEE tokea asubuhi lakini muda huo alitaka kutoa tangazo huku kadamnasi ya watu walimwangalia.

“Now focus everyone , Your Majesty Pluto has requested to emcee his own wedding..”Aliongea akimaanisha kwamba Roma anataka kuwa Emcee wa harusi yake mwenyewe, baada ya kusema hivyo alipiga makofi na kisha akatoka juu ya jukwaa.

Watu walichanganyikiwa, inakuwaje mtu kuwa Emcee wa harusi yake yake mwenyewe , lakini pia Roma aliezungumziwa hakuwa akionekana na kila mgeni alikuwa ameshaketi , lakini ghafla watu wote waliangalia juu.

Roma alikuwa akishuka kutoka angani huku akiwa ameachia tabasamu mwanana ,alikuwa amevaa suti nyeusi na tai nyeupe ilionakishiwa na rangi nyekundu , alikuwa akishuka kutoka angani lakini hakutumia parashuti.

Alikuwa pia ameshikilia kamba ambayo imefungwa kwenye puto kubwa lakupulizwa na hewa maalumu (hellium ballon) ambalo lilikuwa limetengenezwa kwa shepu ya moyo likiwa la rangi nyekundu, lakini pia lilikuwa na mikanda(ribbon) yenye maandishi makubwa ya neno LOVE.

Roma kama ilivyokuwa tabia yake ya kujiamini , alionyesha kutokuwa na hofu ya aina yoyote mpaka anatua kwenye steji na kuanza kupungia watu mikono , lakini hadhira ilikuwa kwenye mshangao maana ni tukio ambalo sio la kawaida kwenye sherehe licha ya kwamba wengi wao walikuwa wakifahamu kuhusu uwezo wake usiokuwa wa kawaida ndio maana swala la kupaa halikuwachanganya sana.

“Clark mimi mama yako nashukuru sio wewe unaolewa na huyu mwanaume ambaye amekaa kivituko na kutokuwa wa kawaida..”Aliongea Malkia Catherine

“Sijaona .. sijaona…” Blandina aliekuwa kwenye mshituko haya yeye ni moja wapo wasiotegemea kuona tukio la Roma kushuka kutoka mawinguni kama malaika.

Roma alivuta maiki na kisha akasafisha koo kidogo mara baada ya kuachia lile Baluni.

“Kwanza kabisa nataka niwashukuru kila mmoja wenu kwa kuja , naona kila mmoja amefurahishwa na staili yangu ya kipekee niliofika nayo kwenye jukwaa ……”Aliongea na kufanya eneo lote kuwa kimya.
Ron Konstantin
 
Aseee mwandishi mahir kabisa yan ckutegemea edna ataliw sehem ya ajabu kam hyo....., mambo yak yamekuw hayafikirik wala kutegemew kongole kwako singanojr endelea kuweka vtu mkuu
 
SEHEMU YA 472.

“Mnaweza pia kushangaa inawezekanaje bwana harusi akawa Emcee wa harusi yake mwenyewe, ukweli hata mimi mwenyewe sijui. kikawaida Emcee kazi yake ni kuongoza mtiririko wa matukio ya sherehe, lakini hio si inaamaanisha natakiwa kumsikiliza mtu mwingine, sio kwamba sipendi lakini hakuna mtu ambaye nimeona anafaa kuingoza hivyo nitaongoza mwenyewe”.

Ashley alitakiwa kuongoza kama Emcee, lakini alikosa kujiamini kwani hakuwahi kufanya hivyo na ndio maana Roma hakuona mtu mwingine anfaa kuongoza harusi yake, hivyo akajiambia atakuwa Emcee.

“Madam His Pluto is hilarious..”Aliongea Ron

“Which part is hilarious?” Alijibu Blandina na kumfanya Ron kucheka na wote waliendelea kumwangalia Roma.

“Kuna jambo lingine pia, nadhani mmegundua hapa hakuna mchungaji wala Padri wa kufungisha ndoa au kuwa kama shihidi?”Aliongea Roma na kufanya hadhira kushindwa kuelewa ni kweli hakukuwa na kasisi au mtu wa dini wa kusimamia hio ndoa na walianza kujiuliza maswali.

“Sikuona kama nahitaji mtu wa kusimamia ndoa yangu , huwa nilijisikia vibaya kila niliposhiriki kwenye ndoa za watu wengine , mtanzamo wangu mimi ndoa ni baina ya bibi harudi na bwana harusi , kwanini iongozwe na mtu mwingine , siwezi kuingilia ndoa za wengine zinazofanyika lakini ya kwangu nitaifanya kwa staili yangu , hivyo hapa hakuna mchungaji wala shahidi , unaweza kuniita Fafher Roma au Paster Roma kwani najifungisha ndoa mwenyewe“Aliongea Roma huku akijinyooshea kidole kwamba atakuwa yeye ndio mchungaji au shekhe wa kufunga ndoa yake mwenyewe

Watu walijikuwa wakicheka mno, watu waliokuwa mbele walijikuta wakipiga makofi bila haya ya kujielewa huku wakicheka .

“Alright as the groom and witness and emcee, please welcome the bride”

“Vizuri kama bibi harusi , shahidi na Emcee tafadhari karibu sana bibi harusi”Aliongea Roma akimkaribisha sasa bibi harusi na muda huo huo mara baada tu ya kumaliza kuongea spika zote zilianza kutoa sauti ya wimbo maalumu wa kumsindikiza bibi harusi jukwaani.

Song by Ryani Darling

You’re my always.

You’re my forever.

You’e my sunshine .

You’re my best times.

You’re my anomaly.

And I would choose you in a hundred lifetimes, I would choose you in a hundred worlds , I ‘d find you…….

I would say ‘I do’ for the rest of my life with all that I have ……”



Ni wimbo wa msanii wa Ryani Darling ulioanza kusikika , wanawake waliokuwa ndani ya hilo eneo walishindwa kujizuia na kuanza kuimba wenyewe kwa hisia huku wakiwa wamesimama wakipiga makofi.

Haikueleweka kundi la ndege mfano wa njiwa wametokea wapi, lakini waliamka kwa kupeperuka kwenda angani huku mziki bado ukidunda.

Muda huo huo watu wote walijikuta wakishindwa kupumua kwa mwonekano wa bibi harusi na gauni lake , lilikuwa ni gauni ambalo hakuna ambae alitarajia kutokana na upekee wake , lakini kubwa zaidi ni kuhusu bibi harusi mwenyewe.

Alionekana kama ua la rangi ya light blue la mmea maarufu wa lotus ambalo linaanza kuchanua.

Gauni lake refu liliburuzika kwa nyuma huku kila pande ikiwa imeshonewa na mfano wa maua ya waridi lakini rangi nyeupe, unyororo wa kitambaa cheupe kilichotumika kilichanganya vizuri na nakshi za maua

Kulikuwa na mkanda flani wa kitambaa cha hariri umefungwa kiunongi na kuning’inia huku ukishonewa pia na maua flani ya rangi ya pink, gauni lilimkaa vyema mwilini na kumfanya umbo la mwili wake kuonekana vyema

Staili ya nywele pia licha ya kwamba zilifungwa kawaida, lakini ni kama zilifanyiwa hivyo kuendana na gauni lenyewe.

Uzuri wake ulikuwa ni wa kukosesha pumzi na kufanya wengi wao kuvutiwa sana lakini pia kuusifia uumbaji.

Edna alikuwa akijitahidi kutembea, mapigo ya moyo wake hayakuwa sawa , kuna muda alitamani kulia kutokana na kuangaliwa na macho ya watu wengi.

Ukwei alitamani harusi iishe mapema, wakati Roma alipokuwa akiongea pumba ilimfanya hata kukasirika maana alisimama muda mrefu kwenye eneo a kuingia kwenye uwanja kutembea kuelekea stejini.,

Lakini baada ya kuingia kwenye njia ya kuelekea kwenye steji, akili zake alizihamishia kwenye kutembea.

Zaidi ya macho ya watu elfu tatu yalikuwa yakimwangalia na alijihisi vinyweleo vikimsimama kutoka na wingi wao kwani ni kama hakutegemea wangekuwa wengi kiasi hicho na mbaya zaidi wote walikuwa wazungu.

Shukrani kwa Bi Wema alikuwa pembenni yake , Bi Wema alijihisi kama mwanamke aliekuza , hakujihisi aibu bali alijihisi kuwa mwenye mafanikio kushuhudia Edna akiolewa , nafasi hio ilitakiwa iwe ya Raheli mama yake Edna lakini imekuja kuwa ya kwake.

Kila hatua ilikuwa na hisia zake, huku akimwangalia mwanaume aliekuwa mbele yake huku akihisi yupo mbali sana mpaka kumfikia.

Edna alikuwa akitembea katikati ya uwanja , kulia kwake kulikuwa na watu na kushoto kwake kulikuwa na watu ambao walikuwa wakimwangalia..

Mwanaume aliekuwa mbele yake akimsubiria wlaishaishi zaidi ya miezi nane sasa pamoha , lakini siku hio ni kama alikuwa mgeni kwake na ndio kwanza baada ya hapo wanakwenda kuishi pamoja.

Matukio mbalimbali tokea anaanza kukutana na Roma yalianza kuibuka kwenye kichwa chake, alikumbuka wakati alipozimia ndani ya hoteli na kujishutikia akwia kwenye chumba akiwa juu ya godoro uchi akiwa amepteza usichana wake, alikumbuka alivyopendekeza kufunga ndoa kwa mkataba na mwanaume huyo , alikumbuka wakati waliposaini makaratasi ya ndoa na Roma kuhamia nyumbani kwake.

Licha ya mziki wa kuvutia uliosikika , makofi na shangwe zilizokuwa zikirindima , lakini pia upepo wa baharini uliokuwa ukipuliza kwa kasi hakuna chochote alichoweza kukisikia , alikuwa kwenye mawazo na alijitahidi sana kuwaza yale ambayo yatamfanya awe ni mwenye furaha na ndio alivyojiambia na aliamini muda huo bibi yake na mama yake wanamwangalia huko walipo na kufurahi kwa ajili yake.

“Natoa onyo kwa wanaume wote msikodolee sana macho mke wangu , mnaruhusiwa kumwangalia kwa sekunde kumi tu na kisha macho yote mbele , ukizidisha utajikuta upo kule baharini unaogelea”Aliongea Roma kwa onyo na kufanya wanaume wote kutoka kwenye mshituko na kuangalia mbele maana kauli yake ilikuwa ya kibabe na siku zote waliamini anachoongea anamaanisha.

“Madam don’t you think they are very lovey d-dovey?”Aliongea Ron

“Again wich part?”Alijibu Blandina na kumfanya Ron kucheka.

“Miss usikasirike , unajua mwenyewe Roma ndio alivyo na anafanya yote hayo kwasababu anakupenda”Aliongea Bi Wema mara baada ya kumuona Edna kakasirika kutokana na ubabe Roma hata sehemu kama hio alihisi anatia aibu.

“Bi Wema nataka kuondoka sasa hivi” Aliongea Bi Wema.

“Huwezi kufanya hivyo, si ulikuwa ukitarajia sana hii siku, amekuahidi zawadi katikati ya harusi hutaki kuiona” Aliongea Bi Wema kwa kumfarji na kumfanya Edna kuongeza mwendo na hatimae kuweza kuifikia stejini na Bi Wema kumkabidhi kwa Roma.

Kadamnasi ilipiga makofi ya pongezi mara baada ya bibi harusi kupokelewa na bwana harusi.

Roma alimkonyeza Edna na kumfanya kuona aibu huku akizidi kuwa mwekundu , kumbuka Roma alikuwa Emcee mwenyewe na pia alikuwa akijita Padri kwa muda huo.

“Now it’s time for us to exchange our token of love , I’ve spent a lot fo effort to prepare mine so I’ll allow the cameras to show off my gift , Take close look at the screens around you”

“Sasa hatimae ni muda wa kubadilishana ishara ya upendo, nilitumia juhudi kubwa kuandaa ya kwangu na nitaruhhusu Camera kuonyesha zawadi yangu , angalia kwa ukaribu skrini(Tv) zinazowazunguka”

Maneno yale yaliamsha hisia za wengi kutaka kushuhudia ni zawadi gani ameandaa , hata Edna mwenyewe aliangalia kwa shauku.

Roma alimwangalia mke wake na kujikuta akitamani kumvaa na kumbusu palepale kutokana na alivyokuwa mrembo , lakini alijiambia kwenye nafsi yake ‘Roma bado kitambo kidogo tu unakwenda kupata haki ya tendo la ndoa usiku kucha’.

Roma alimwachia Edna huku akimpa tabasamu na kisha akasimama katikati ya steji na palepale alikunjua kidole cha mwisho na kukionyesha hewani kuelekea upande uliokuwa na msitu na palepale watu waligeuka kuangalia na waliweza kuona kitu kama kidoti cheusi kikiwasogelea kwa kasi na ilipokaribia waliweza kugundua ni ndege isiokuwa na rubani mfano wa Drone chini yake ilikuwa imefungwa na vitu kama kikapu kilichoning’inia.

“Sijawahi kuona harusi ya namna hii..”Aliongea Blandina.

“Edna alikuwa akitegemea sana hio zawadi, naamini ataipenda” Aliongea Bi Wema akiangalia juu angani na yeye.

“Hata mimi naamini hivyo”

“Clark wewe ndio ulietengeneza kile kindege si ndio? , kutokana na kutembea kwenye mstari mnyoofu kutoka umbali mrefu siamini kama mtu yoyote anaweza kuitengeneza”Aliongea Catherine.

“Haikuwa hata kitu kigunu kutengeneza, ni kwamba kumsaidia ilikuwa kipaumbele changu”Alijibu Clark

“Seriously!, wewe sio bibi harusi lakini umejichoosha na maandalizi ya shrehe kama yako vile”Aliongea lakini Clark alijifanyisha hajamsikia na Catherine aliacha kuongea na kuangalia mbele.

Muda ule ule mara baada ya kindege kukaribia usawa wa steji , Roma alichukua rimoti kubonyeza na kamba ilishusha kile kikapu mpaka kikatua kwenye steji na Roma aliweza kutoa boksi la mbao dogo lililonakshiwa na kupendeza na kisha akampatia Edna.

Edna na yaye alipokea kimashaka mashaka huku akiwa na shauku pia ya kutaka kujua ni zawadi gani ambayo Roma alikuwa amemchagulia mpaka kuiandaa kwa muda mrefu..

Watu na wao walijawa na shauku huku wakiangalia kile kinachotokea, waliweza kuona kwa ukaribu kwa kutumia zile skrini kwanni ziliwamulika vizuri Edna na Roma waliosimama stejini,

Edna mara baada ya kufungua ndani alijikuta akipigwa na butwaa kwa kile alichokiona, hakuamini Zawadi ambayo Roma amemuandalia ni kijikeki , vijikeki ambavyo alikuwa akipendelea kula wakati alipokuwa mdogo na hata alipokuwa mkubwa pia alikuwa akipenda kununua na kula akiwa ofisini.

“Uliniambia unaniandalia zawadi , unamaanisha ni hii keki?”

“Niliitengeneza hio keki jana usiku, ndio kitu pekee ulichopenda sana ulivyokuwa mtoto, hivyo nikaona nikutengenezee kama zawadi” Aliongea Roma.,.

Edna alijikuta likimshuka, hakuamini hio ndio zawadi ambayo ameahidiwa alionyesha kutoipenda kabisa.

Wageni na wao walijikuta wakiangalia kuchanganyikiwa pasipo kuelewa nini kinaendelea.

Bi Wema na Blandina walikuwa wakijitahidi kujituliza kwani wenyewe hawakuelewa nini kinaendelea na kujiuliza kwanini Roma amletee Edna Kijikeki.

“Inawezekana kuwa zawadi nzuri kwangu kwani ninaweza kununua zawadi yoyote kwani nina pesa hata hivyo keki hii ndio kitu ambacho ninakipenda tokea nikiwa mtoto , hivyo naizingatia kama zwadi nzuri pia kwangu”Aliongea Edna lakini sauti yake ilionyesha kabisa hajaridhika. Walichokuwa wakifanya stejini ni kama walikuwa wakiigiza.

“Ndio unavyowaza hivyo , unafikiri hii inakutosha?”Aliuliza Roma

“Umeniangusha sana kunipa zawadi hii , lakini naweza kusema leo ni zawadi nzuri ambayo sitosahau kwani nimepewa kwenye harusi yangu”Aliongea huku machozi yakianza kumtoka , alishindwa kujizuia kuwa na hasira mbele ya watu na Roma.

“Kwahio unalia nini mpenzi?”Aliongea Roma huku akimshika shavu na kutabasamu.

Watu wenyewe walikuwa kwenye hali ambazo hazilezeki , ni kama waliona harusi inaharibika.

“Wewe ndio uliyapandisha matarajio yangu , ulitakiwa kuniambia kama zawadi ulioandaa ni hivi vikeki , kwanini umechukua muda mrefu , tungeifanya harusi hata kule kule nyumbani pasipo ya kuja huku”Aliongea Edna ila sauti ilisikika kwao tu kwani maiki ameizima.

Minong’ono nayo ilianza kuibuka katikati ya watu kwa kuona bibi harusi na bwana harusi wanarumbana.

“Umekasirika?”

“Ndio nimekasirika”

“Basi naomba niendelee na kutoa zawadi” Aliongea Roma.

“Zawadi gani tena?”

“Zawadi ya keki ulioshikilia ni kasehemu tu kati ya zawadi nilioandaa , nilikuwa nakupa kionjo tu na sasa nakuonyesha nini maana ya zawadi , imenitia wasiwasi kukasirika kisa ya kionjo tu”Aliongea Roma kiutani na kumfanya Edna atamani kumfinya

“Unependa sana kunitega si ndio hata mbele ya watu?” Aliongea Edna huku awamu hii akiona aibu

“Sithubutu nilitaka kukuona tu utakavyo onekana ukiona vijikeki ulibvyo kuwa ukipenda , okey sasa ni muda wa kuendelea na zawadi niliopanga”

“Achana nayo kama itakuwa ni kindege kingine ”Alionea Edna.

“Naahidi haiwezi kuwa hivyo tena lakini naomba upokee hii zawadi kwa kuweka viganja vya mikono yako kuelekea juu”Aliongea Roma akimwashiria Edna aweke viganja vya mikono yake kuelekea juu kama mtu ambaye alikuwa akikinga maji ya mvua.

Edna hakujua ni igizo gani Roma anataka kufanya lakini alifanya kama alivyoambiwa .

“Kama hivi?” Aliuliza na Roma alitingisha kichwa.

Watu pia walikuwa wamechangayikiwa maana wanashindwa kuelewa kile kinachotokea ni Ron na Sauroni ambayo walikuwa wakitabasamu tu na kumfanya Edward awaangalie na kisha akaigizia kutabasamu na yeye.

Kila mmoja macho yalikuwa kwenye skrini kuangalia mikono ya Edna maana steji ilikuwa mbali na macho yao.

Dakika hio hio kila mmoja alijikuta akitoa macho ya mshangao na kuziba midomo kwa wale wanawake walioshindwa kujizuia.

Ukisikia maana halisi ya neno ‘nipeni maua yangu’ kutoka kwa msanii Roma mkatoliki basi ndio kilichoanza kutokea.









SEHEMU YA 473.

Yalikuwa ni maua aina ya waridi, lakini yote yakiwa ni ya rangi nyekundu tupu , ni sahihi kusema ni mvua ya maua ya waridi ya rangi nyekundu.

Kiganja chake cha mkono kilipojaa maua ndio alijua nini maana Roma alichokuwa akimaanisha.

Yalikuwa ni maua fresh kabisa ya waridi ambayo yalikuwa na ubaridi mno kama yametoka kwenye friji.

Edna alijikuta akiinua macho yake angani na kuangalia na hapo ndipo alipojikuta akishindwa kuzuia mshangao na tabasamu kutokana na namna yalivyokuwa yakishuka , hayakuonekana yanatokea wapi , lakini yalitoka juu kama mvua.

Karibia anga lote la kisiwa lilijaa vipande vya maua ya waridi(rose petal), eneo lote lilinukia maua hayo na yalikuwa mangi kiasi kwamba ni kama Mungu amaeamua kushusha mvua ya maua tu kwa binadamu wake.

Wageni wenyewe kila mmoja alikuwa kwenye mshituko kwani mandhari ya anga ilibadilika kabisa na kuwa ni yenye kuvutia mno na kilichovutia zaidi chanzo cha maua hakikionekana kutokana na wingu lililotanda juu ghafla.

Blandina, Bi Wema na Ashley walishindwa kujizuia na kujikuta machozi yakianza kuwatoka, kwani surprise hio ilikuwa ni ya aina yake na hakuna ambaye alitarajia.

Waliosimulia anasema anga liligubikwa na harufu ya maua lakini pia liligubikwa na harufu ya upendo.

Akiwa bado anaangalia anga kwa kuinua shingo yake alijikuta mikono imara ikimvuta kwake kwa na kumgeuza na kisha kumwangalia usoni.

“Mpenzi nadhani umependa zawadi yangu, niliandaa kwa zaidi ya miezi kadhaa mpaka kufanikiwa kutengeneza mvua ya maua” Aliongea Roma na Edna alikosa usemi na machozi yalianza kumtoka palepale, ilionyesha ameguswa.

Wahenga wanasema zawadi ni zawadi, lakini zawadi inayodumu kwenye kumbukumbu za wengi ni ile isio ya kutarajiwa hivyo Edna alikuwa sehemu ya binadamu waliokuwa wakizungumzia na wahenga, mwingine anaweza kutafsiri kama uharibifu lakini kikubwa zaidi ni ile maana iliokusudiwa na ndio maana watu wengi walishindwa kujizuia.

Edna alimwangalia Roma kwa dakika kadhaa na kujiuliza ni zawadi gani anapaswa kumpa mwanaume aliekuwa mbele yake na palepale alitabasamu na kumpelekea mdomo Roma na walijikuta wakidendeka hadharani, kwa Blandina na Bi Wema ilionyesha kama sio utamaduni lakini kwa wazungu lilikuwa tukio la pekee.

Kiss wakati wa mvua ya maua , huenda ndio kichwa cha habari kwa kile kilichokuwa kikifanyika.

Watu walisimama na kuanza kupiga makofi kwa shangwe, Catherine na Clark wenyewe walishangazwa lakini mioyo yao ni kama haikujisikia vizuri , wote walitamani ile nafasi.

“Umewezeje kufanikisha hili, umepata wapi maua yote haya?”Edna alijikuta akiuliza huku akisahau kabisa kuna watu waliokuwa wakimwangalia.

“Nimetumia jet kusambaza angani na kwasababu ya upepo tulianza kuyaloanisha na kioevu maalumu ili yaweze kushuka kwampangiio maalumu kama mvua , nilikusanya maua yote karibia miezi minne”

“Miezi minne na hayakuharibika?”

“Ilikuwa kazi ya Clark hio, alitengeneza maji maalumu ambayo yametumika kuyahifadhi na Ron ndio aliekuwa akiyakusanya pande zote za dunia , yatasabambazwa kwa awamu kumi na sita ambazo ni kila baada ya nusu saa , hivyo kwa makadirio mvua ya maua itadumu kwa zaidi ya masaa kumi na tatu”

“Masaa kumi na tatu umesema?”

“Ndio mpenzi, ila kama hutaki ninaweza kuwaambia waache”

“Hapana, ni kwamba si yatakuwa mengi, umefanikishaje kukusanya yote hayo”

“Inawezekana kabisa, nimetoa dora bilioni moja ya ajili ya kuandaa , hivyo ni swala linalowezekana na Ron alifanya kazi yote na ndio maana mara ya mwisho Omari alisema maua ya waridi yalipanda bei sana na mengi yalikuwa yakisafirishwa nje ya nchi , ilikuwa ni kazi yangu”Aliongea Roma huku akimkonyeza.

Edna alishangaa na kujiambia jambo hilo lisingewezekana tu kwasaabu ya mtu kuwa na pesa hata matajiri wakubwa wasingeweza kufanya hivyo kwani ili kuyasafirisha ni mpaka serikali zikubali.Baada ya muda Roma alisogelea tena maiki na kutoa tangazo .

“Kila mmoja sasa anaweza kufurahia chakula kilichoandaliwa kwani nimehitimisha kwa kumkiss mke wangu, kuleni mshibe na vyoo mnaweza kutumia huo msitu, kuhusu vinywaji tumeandaa mvinyo wa matunda na Pina Colada’s kwa ajili ya kuhamashisha wazalishaji wetu wa ndani, angalizo naomba msinywe sana vilevi maana sitohusika mtu yoyote akipata mimba siku ya leo”Aliongea Roma na kufanya watu wacheke mno.

Edna alishindwa kuvumilia na kumpa ishara aache kuongea pumba mara moja na baada ya hapo watu walianza kushereheka sasa , sherehe ni vyakula asikudanganye mtu eti ni mamiziki na udambwi udambwi mwingine.

Siku nzima ilijawa na vifijo na furaha , watu waligonga cheers , ilikuwa ni harusi ya kitaifa hivyo maandalizi yalikuwa makubwa na hata chakula kilipikwa kwa malengo ya watu wengi.

Muda wa jioni ulivyokaribia muda wa zawadi uliwadia na watu walitoa zawadi nyingi kwa wale walioandaa na zote zilipokelewa na wawalishi kwa ajili ya Edna.

Sherehe haikuwa na mwisho, hivyo baada ya watu kulewa sana na kusinzia ndio ukawa mwisho wa sherehe na kila mmoja aliondoka kuelekea nyumbani na wale wageni kwenda mahotelini.

Siku hio ndio Edna alioweza kukaa meza moja na Malkia Catherine na aliweza kumkumbuka mara baada ya kumwangalia kwa karibu , alikumbuka ndio mwanamke alietoka kwenye chumba cha Roma siku ile kule ufaransa ndani ya hoteli ya Sofitel.

Baada ya kuhitimisha Bi Wema, Ashley na Blandina walirudi nyumbani kwa Ron huku Roma na Edna walipandishwa kwenye gari kama utamaduni wa kizungu na kurusha maua angani na baada ya mmoja ya wahudhuriaji kulidaka wote walishangilia wakimaanisha ndio ambaye anafuatia na kisha wakaondoka kwenda kwenye nyumba waliopangiwa kulala usiku huo huku watu wakiwapungia mikono ya kwaheri na maisha mema.

Roma aliendesha gari aina ya Dune Buggy kuelekea upande mwingine kabisa kulia mwa msitu kwenye barabara ya rami, ilikuwa na kigiza na upepo wa baharini uliwapiliza kutokana na gari alilotumia kutokuwa na bodi zaidi ya kioo cha mbele tu.

Kila kitu kilionekana kuwa amani kadri walivyokuwa wakisonga mbele , ilikuwa raha kuendesha gari huku ukiangalia nyota angani na Edna ndio alichokua akifanya , aliangalia nyota wa angani huku akitafakari mambo mengi yaliotokea siku hio.

Dakika chache mbele waliweza kufika chini ya kilima kilichogubikwa na miti mingi ya mipine , lakini iliopandwa kwa mpangilio mzuri mno , lakini chini yake pia kulikuwa kusafi na kuwa na nyasi kama zile za viwanja vya mpira mbele yao kulikuwa na geti kubwa ambalo lilifunguliwa bila ya Roma kupiga honi, Edna alijikuta akipigwa na butwaa mara baada ya kuona nyumba anayokwenda kulala ni Ngome , haikuwa imejengwa kama ngome bali ilikuwa ni ngome halisi tena ilionyesha haikujengwa hivi karibuni bali miaka mingi iliopita.

Alitarajia kwamba nyumba ambayo wangetumia katika usiku wao wa ndoa ingekuwa ya kipekee lakini hakutegemea ingekuwa ni ngome., ilikuwa kubwa mno huku ikiwa imependeza sana kutokana na kupanda kwa kijimlima juu yake , lakini jambo la kuvutia zaidi ilikuwa imezibiwa na maua maua na miti mirefu , ilikuwa na minara(Towers) mitatu moja ikiwa imeenda hewani juu zaidi , yote imejengwa kwa staili ya zamani yaani Gothic style na kuchanganywa na mtindo wa Baroque staili.

“Mpenzi hii nyumba kama ni kule Tanzania ungeuza zaidi ya mabidlioni ya pesa”

“Hii sio nyumba bali ni ngome kama zile wanazoishi malkia wa Uingereza haiziki hata utake kufanya hivyo”Aliongea Edna huku akizungusha shingo kulia na kushoto.

“Upo sahihi hii ilijengwa kama ‘Palace’ kwa ajili ya familia ya kifamle kuishi na aliwahi kuishi mtoto wa mfalme , kipindi Uingereza ilivyotawala hili eneo , baada ya vita ya pili ya dunia iliharibiwa ule upande wa kulia na ilijengwa baadae upya na ilipokuja kuwa chini yangu haikuwa nzuri kimwonekano wa ndani hivyo nikaanza kuitengeneza upya , mwishowe nilikata tamaa kwani nilikuja huku mara moja moja , lakini Ron alisisitiza aendelee na projekti ya kuitengeneza upya mwonekano wa ndani ili yawe makazi yangu rasmi kila ninapotembelea huku”Aliongea Roma.

“Mbona unaongea kwa huzuni?” Aliuliza Edna huku akiangalia hizo ngazi za kupandisha mpaka juu na kisha kumgeukia Roma.

“Hii gauni ni refu , litanipa shida kupandisha mpaka kule”Aliongea Edna kwani bado alikuwa amevalia gauni la harusi.

“Nitakubeba mpaka ndani lakini mimi sio punda” Alitania Roma na kumfanya Edna kucheka.

“Unaongea kama mtoto “Aliongea na kumfanya Roma kutabasamu na kisha kumnyakua na kupandisha nae kwa spidi na ndani ya dakika chache tu waliweza kufika nje ya mlango na alimshusha, Roma aliweka jicho sehemu maalumu(Iris scanning system na kisha akatumia kidole pia kuingiza finger print na hatimae mlango ulifunguka.

Edna aligeuka nyuma kuangalia eneo la nje na kuona kwa juu mazingira yalikuwa yakipendeza kuliko walivyokuwa chini licha ya kwamba taa zilimulika kwa mwanga haififu , bustani zilizopandwa kwa mpangilio pamoja na maua yaliokuwa kam fensi yalipendezesha mno.

“Ni mimi pekee na Ron ndio tunao uwezo wa kufungua huu mlango kwa kutumia macho”Aliongea

Edna alishangaa maana ni mara yake ya kwanza kuona mtu akifungua mlango kwa jicho na Roma alitaka pia Edna kuweza kufungua mlango huo kwa kutumia jicho na finger print hivyo alimsajili palepale kama mmiliki wa ngome.

“Kwasasa umekuwa mtu wa tatu ambaye unao uwezo wa kufungua huu mlango” Aliongea Roma na mpango palepale ulifunguka taratibu wenyewe na muda ule ule jengo lote liliwansha taa zote za eneo la nje na ndani na kumfanya Edna kushangaa huku akigeuka na sasa kuna mandhari ya nje hususani taa zilizotengenezwa kwenye bustani za maua.

Ni kama vile lilikuwa imelala na sasa limeamka kutoka usingizini na sasa Edna.

Roma hakutaka kumpa nafasi Edna ya kushangaa bali alimshika kiuno na kumwingiza ndani.

Eneo la ndani lilikuwa safi mno ni kama muda mchache tu lilifanyiwa usafi , taa za rangi ya njano ziliendana sawia na mtindo wa ubunifu wa upambaji wa eneo lote , mwonekano wa nje ulikuwa wa tofauti sana na wa ndani.

Eneo la sebuleni lilikua kubwa kama vile kiwanja cha basketi ball , madirisha yalikuwa na vioo flani vilivyotengenezwa kwa ajili ya kuingiza mwanga wa aina ya kipekee wakati wa mchana kupendezesha eneo lote , madirisha yote jengo liliangalilina na bahari upande wa kulia, Ceiling board ilikuwa ni ya kipekee huku ikiwa na taa zilizotengenezwa na kioo pamoja na madini ya dhahabu na kufanya kuvutia macho kuangalia , eneo hilo la sebuleni lilikaa kama duara huku likiwa limezungukwa na ngazi ambazo zinapandisha juu na kila kona ya sebule kulikuwa na vyumba vilivokuwa vimejipanga na milingo yake ilikuwa ni ya uhunzi wa aina yake.

Edna alijjikuta akizungusha macho kulia na kushoto kwake, sio sofa sio kapeti na sio meza sio vifaa vya umeme kila kitu kilitengenezwa ili kuleta radha sawia ya ubunifu , ilikuwa ni sahihi kwake kusema alikuwa ndani ya jumba la kifalme.

“Umesema kuna watu wawili tu wenye uwezo wa kufungua humu ndani?”

“Ndio, kwanini umeuliza hivyo?”

"Kuna vyumba vingi sana , itakuwa hasara kama hakuna wanaotumia " Aliongea Edna.

"Haiwezi kuwa hasara , siku moja vitajaa wote watu" Aliongea Roma. na Edna alimkata jicho na kugundua ameongea bila kufikiria.

Mawazo yake ya ndani kabisa ni kama yameshtukiwa sasa, Roma hakuwa na ndugu zaidi ya therathini wa kuweza kujaza vyumba vyote hivyo, Edna alijua kabisa Roma anazungumzia wanawake wake ndio wangevijaza.

"Malizia sentensi yako, unamaanisha kwamba niwarihusu waje wakae na sisi hapa?"

"Mpenzi sijamaanisha hivyo"Roma alijitetea lakini ukweli wa ndami kabisa ndio alichokuwa akikiwazia , kama hakupanga kuleta wanawake hao kwanini vyumba vyote vipo na vitanda ni lazima alishawaza jambo hilo , lakini wakati huo hakuwaza kuhusu warembo wake wengine ila alichokifikiria ni kufanya mapenzi na mke wake ili kitimiza kiu aliokaa nayo kwa muda mrefu.

"Kama hukua ukimaanisha hivyo ulikuwa ukimaanisha nini?”

"Ah..!, nilikuwa nikimaanisha kwamba naweza leta ndugu na marafiki na wakavijaza"Aliongea kwa kijibaraguza huku akijua sababu yake ni ya kipuuzi hasa mbele ya mwanamke kama Edna.

" Oh.!. vipi kuhusu vingine maana siamini unaweza kuvijaza vyote , wapo wakina Amina , Dorisi , Nasra , Rose na wengine naamini utawaleta wote hapa na ndio ulichomaanisha, na kama nikikumbuka vizuri wote walikuwa an shauku ya kuja kuutembelea ufalme wako na walikuwa sriasi katika hilo , nakuhakikishia kama vitajaa sitoshindwa kujenga Kota nyimgime upamde wa kule chini waishi kwa amani"

"Mke wangu Edna hili swala nadhani ni vizuri kama tukizungumza kesho, muda umeenda sana na tunatakiwa kuumaliza usiku wetu kwa kufanya tendo la ndoa , ni utamaduni kufanyika mara baada ya usiku wa ndoa"

Ndio Roma aliona kama mazingumzo hayo yakiendelea yatafikia hatua ambayo anaweza asipewe kitumbua, jambo ambalo alilisubiria kwa muda mrefu sana tokea aanze kuishi na Edna na sio hivyo tu naweza kusema alivumilia sana maana kwa urembo wa Edna ilikuwa ngumu kwa mwanaume rijali kutomgusa kabisa.

Edna mara baada ya kusikia kihusu tendo la ndoa ni kama sasa anaanza kukumbuka alishawekeana ahadi na Roma kufanya kitendo hicho mara baada ya harusi na kama ni ndoa ndio ishamalizika hivyo ahadi ilipaswa kutimizwa .

"Lakini si tulishafanya siku yetu ya kwanza kukutana , sidhani kama ni jambo la lazima kufanyika sasa hivi , kwanza nimechoka ninapaswa kupumzika"Aliongea Edna na kisha akashililia gauni lake na kuanza kupandisha ngazi kutafuta chumba chovhote cha kuweza kulala .Roma uso ulimshuka , alitaka kuongea neno lakini mdomo ulikuwa mzito.

"Edna hatuwezi kumaliza hii siku vibaya huenda tukajutia huko mbeleni , tumeanza vizuri tokea asubuhi itakuwa sahihi kumalizia vizuri"Aliongea Roma na kumfanya Edna kusimama na kumwangalia kwa chini .

"Siku ishaisha tayari na hata hivyo tumefurahi wote na sherehe imeenda vizuri na nimevaa gauni la harusi na kupokea zawadi na nimeridhika"

"Lakini hatujafanya bado.. na ni muhimu"Aliongea Roma kwa upole na huenda kwenye maisha yake hakuwahi kuwa hivyo.

" Nitapata ujauzito kama tutafanya sasa hivi ?”

" Uwezekano huo ni mdogo sana, mwili wangu ulivyo ni ngumu kwa miili yya kawaida kuweza kubeba ujauzito , labda utakapofikia levo ya Nafsi ninaweza kusema uwezekano utakuwa mkubwa"

" Kama siwezi kupata ujauzito basi haina haja ya mimi kufanya hiko kitendo"Aliongea Edna , ni kama alikuwa akimaansiaha kwamba tendo la ndoa ni kwa ajili ya kutafuta mtoto na kama hakuna uwezekano wa kupata mimba basi haina haja ya kufanya .

"Unasemaa..!” Roma hakuamini Edna angembadilikia ndani ya muda mfupi hivyo tena siku ya harusi , usiku ambao alikuwa akiusubiria kwa hamu zote.

"Edna tendo la ndoa halifanyiki kwa ajili ya ndoa tu na isitoshe uliniahidi mwenyewe"

"Mimi ni mwanamke na unapaswa kuelewa sisi wanawake ni vigeugeu"

"Uko serious?"

" Naonekana sipo siriasi? , hata hivyo naamini ukinifosi siwezi kukuzuia maana sio mara ya kwanza kunifanyia hivyo, lakini nakushauri usijekujaribu"Aliongea kibabe.

"Huna haja ya kuongea hivyo , unajua kabisa sitokulazimisha kama hutaki kufanya" Aliongea Roma , hakika ungemuona Mfalme Pluto ungemuonea huruma sana , Roma anaomba tunda kwa mke wake lakini anakataliwa.

"Najua unaweza kuona sikufanyii haki, lakini kila nikifikiria unakwenda kujaza wanawake kwenye hii ngome siwezi kujizuia kuchukia, Sitaki kugombana na wewe wala kukudharau lakini naomba unielewe leo siwezi kulala na wewe"

"Kwanini ulianzisha sasa hayo maongezi kama huyapendi , hata hivyo sio kama jambo hilo litatokea hivi karibuni"

"Kuna utofauti gani leo na siku zijazo, kila ninapoangalia msururu wa hivi vyumba nahisi kabisa kuna siku watakuwa wamevijaza, najua huwezi kuwaacha na pia nitakutana nao huko bnje lakini kuishi nao kabisa!? , siwezi vumilia"Aliongea.

Ukweli Roma alipanga siku moja kuja kuishi nao wote pamoja na hakuna namna mawazo yake Edna asingeshindwa kuyasoma mapema tu lakini alilaumu maana huo muda ulikuwa mbaya kwake.

"Edna siwezi kukufosi kama hutotaka kuishi nao, nitawakusanya wote na kuishi na wewe utakuwa na nyumba yako"

" Roma naomba uache maneno yako tafadhari , tushaishi pamoja muda mrefu na nilikuwa napanga mwanzoni kuwapuuzia . mimi na wewe tunajua huwezi kuwaacha, na pia siwezi kukuacha, kwa hivyo mimi na wewe tupige hatua moja nyuma. Nilipoona vyumba hivi, niligundua siwezi kabisa kukubali kuishi nao kwa namna yoyote matarajio yangu ni kinyume kabisa na uhalisia. Roma Akili yangu imechanganyikiwa niache nipumzike”

"Okey sitokusumbua tena , nitakupeleka chumbani upumzike"Aliongea Roma huku akilazimisha tabasamu

"Sawa"

Walipandisha wote ngazi na Roma aliweza kumuonyesha chumba kikubwa zaidi kuliko vyote , baada ya kuingiza Edna alianza kukichunguza , kilikuwa chumba kikubwa mno kilichopambwa na samani za kuvutia pamoja na mapambo , madirisha yake pia yalikuwa na upekee wake , kilikuwa Master bedroom , lakini licha ya uzuri haukunfurahisha Edna hata kidogo , macho yake yote yalikuwa kwenye kitanda , kilikuwa kikubwa mno kwa haraka haraka ni mita sita kwa sita ,godoro lake pamoja na kitanda vyote vilitengeneza kwa oda maalumu.

Haikueleweka kwanini alipata mabadiliko ya namna hio, alimgeukia Roma na kumwangalia na macho makali, akiangalia hicho kitanda ni kama anaona namna mwanamke zaidi ya mmoja akifanya mapenzi na Roma huku akijihisi na yeye kujumuishwa kutokana na ukubwa wa kitanda.

"Naona umewaza mbali sana kuandaa kitanda kikubwa namna hii" Aliongea Edna lakini ni dhahiri maneno yake yalikuwa ya kejeli na sio ya kusifia , Roma alitamani kupiga ukuta ngumi huku akijihisi aibu mbele ya mke wake.

Hiko kitanda alikiandaa maalumu kwa kulala na wanawake zaidi ya mmoja na hata malighafi zilizotumika kutengenezea zilitoka Myanmar, wakati ujenzi unamalizikia alimwambie Ron akiweke kwenye chumba kikubwa zaidi kabla ya kuanza safari ya kwenda Tanzania , mawazo ya kufanya hivyo ni pale alipojiambia kuna siku angekuja kula bata na wanawake zaidi ya mmoja.

Sasa alisahau kumwagiza Roma kukibadilisha na kuweka cha saizi ya kati kinachotosha watu wawili tu , yaani yeye na mke wake.

Hivyo Edna mara baada ya kukiona rayari alishafikiria mbali kwamba Roma anapanga kumlaza kwenye kitanda kimoja na wanawake wengine , lilikuwa kosa la kiufundi ambalo amesahau kulifanyia kazi , ukizingaria Edna ni mwanamke anaeweka heshima yake mbele.

Edna alijikuta akifungua mlango na kutoka kwenye hiko chumba na kisha akageuka na kumwangalia Roma.

“Naweza kuwa na madhaifu kama mwanamke , lakini mimi ni mwanamke ninaojali sana utu wangu , Roma you are wrong if you think I can let my husband have an orgy , ni kweli nakupenda lakini haimaanishi ninaweza kupuuzia mipango yako”Aliongea na kisha akaufunga mlango kwa nguvu kwa nje.

Roma alijikuta akishika kiuno hakuamini mambo yangefikia katika hatua hio , tena usiku wa ndoa yao.Aliijiuliza ni nanni mwenye makosa , yeye kwa kutokuwa makini au yeye kwa kuwa mbishi na mwenye kuchukia haraka.

Ilikuwa stori nyingine kama ashafanya hiko kitendo , lakini hata mchakato wenyewe haujaanza , alikaa huku akitafakari namna ya kumtuliza Edna na hatimae kula tunda lakini alikosa namna , ilikuwa habari mbaya sana kama usiku wao wa ndoa ukimalizika kwa ugomvi.

Edna baada ya kuingia kwenye chumba kingine alijikuta akikosa hata nguvu ya kukaa kitandani , alijua fika kwamba Roma hakufanya makusudi lakini wazo la kufikiria kwamba siku zijazo jumba lote hilo lingejazwa na wanawake , alikosa hamu na kuhisi maumivu makali.

Alijikuta akianza kulia kwa kwikwi na Roma aliesimama nje ya chumba aliweza kusikia kinachoendelea , Roma alijikuta akiwa kwenye mawazo na kuja kushituka mara baada ya simu yake kuita mfululizo.

Aliitoa na kuangalia jina la mpigaji , namba ilikuwa ilikuwa ni ya Omari Tozo na alikasirika mara baada ya kuona huyo mpuuzi anampigia wakati muhimu kama huo ambao anapaswa kuyamaliza na mke wake , lakini hata hivyo aliishia kupokea.

“Bro..!!”Sauti hafifu ilisikika kutoka upande wa pili na Roma aliweza kutambua ni ya Omari Tozo.

“Kuna nini wewe mtoto unapiga muda huu muhimu?”

“Goddamn! Roma nakufa,,, ni dharula njoo uniokoe nakufa ndugu yako…”Sauti upande wa pili ilisikika na anaongea alionekana kuwa kwenye maumivu makali na Roma alijikuta akibung’aa.
Naàaaaaam
 
SEHEMU YA 475.

Kutokea kwa Yan Buwen kulishangaza wengi na kuwafanya warudi wote nyuma kwa tahadhari kwani suti yake aliovaa lakini pia miale ya Godstone ilileta msuguano ambao haukuwa wa kawaida.

Raisi Kigombola mara baada ya kumuona mwokozi wake alitoa tabasamu la kejeli.

Ndio kitendo cha kurudi Tanzania ilikuwa ni kwa ajili ya kumuondoa kabisa Roma, hakupenda Roma akiendelea kuishi Tanzania kwani alikuwa akimkosesha amani.

Hivyo kushambuliwa kwa Omari ulikuwa ni mpango wa Yan Buwen na mstaafu Kigombola kumrudisha Roma Tanzania na kukutana na kifo chake.

Hata Roma mwenyewe aliweza kugundua hilo kutokana na watu waliomzunguka , wote walionyesha kutokuwa wanajeshi wa kawaida na kwa haraka haraka alijua watakuwa na miili ambayo imechakachuliwa hivyo kushindana na wanajeshi wa kawaida ingekuwa kama misheni ya kujitoa muhanga, mbaya zaidi walikuwa wengi.

“Damn it Roma hawa wote si miili yao imechakachuliwa?”Aliuliza Omari huku akiwaangalia.

Unajua nini wakati wote wa harusi hao watu waliokuwepo lakini walikuwa wamevalia mavazi ya kihudumu na ndio maana hata muda huo walikuwa wameshikilia siraha lakini wakiwa na mavavi yaleyale ya wahudumu , Raisi Kigombola aliwaweka maalumu kwa ajili ya vita vya kummaliza Roma.

Roma hakujisumbua nao kwanza aliwachukulia wa kawaida , lakini tatizo ni moja eneo hili kuna watu wake wa muhimu hivyo ingekuwa ngumu kudili na Yan Buwen na wakati huo huo kudili na hao wanajeshi.

“Mheshimiwa waziri mkuu , Meja Tobwe na Mkuu wa majeshi mnaonekana hamna wasiwasi kwasababu mnadhani Roma anaweza kumdhibiti Yan Buwen si ndio?”Aliuliza Raisi Kigombola huku akimwangalia mwanaume aliekaa kwenye kona.

Roma aligeuka na kugundua kumbe kuna waziri mkuu , alijikuta akitukana ndani kwa ndani , ilionyesha dhahiri raisi Kigombola alialika watu wake muhimu pamoja na maadui zake ili kufanya vita iwe rahisi , kwani alikuwepo Mage , Magdalena ,Neema Luwazo na wengine wote ambao kama Yan Buwen anapanga kuwadhuru basi itamchukua kazi ya ziada kufanikisha usalama wao.

“Ninapenda niwaeleze moja kwa moja , ujio wenu kwenye hii sherehe ni wa kupangwa nyie wote ndio maadui wakubwa wa Kigombola hivyo nitahakikisha hakuna ambaye anatoka hapa akiwa hai”Aliongea Yan Biuwen.

“Mara ya mwisho ulijigamba kwamba unataka kuniua lakini uliishia kukimbia au sio wewe?”Aliongea Roma.

“Lakini nilifanikisha kukuumiza kwa kiasi kikubwa , nadhani hapo upo na shauku nimeweza vipi kufanyia kazi jiwe la Kimungu kufikia hatua ambayo sikuogopi tena , usijali kabisa kijana nimefanikisha kuweza kutumia nguvu yake yote na leo nina kwenda kutumia uwezo zaidi ya mara mia niliotumia wakati tunapambana kule China”Aliongea kwa majigambo na kumfanya Roma kwanza kukagua mazingira na wale watu ambao wamemnyooshea makombora aina ya Bazooka.

“Unafikiri mimi ni mjinga , kilichopo ndani ya hayo makombora sio kitu cha kawaida , ngoja nikuonjeshe utamu wa siraha yangu mpya”Aliongea na palepale Kombola la mmoja wa wale watu lilipuka palepale lakini halikutoa mlipuko kama ilivyotengemewa bali lilitoa miale kama ya mionzi rangi ya samawati lakini ya kung’aa sana kuumiza macho.

Roma alichukua tahadhari na kuwakinga watu wote na ngao na ilikuwa rahisi kwani wote walikuwa upande mmoja lakini sasa kwa wale wanajeshi wa Yan Buwen baadhi yao walianza kubabuka ngozi kwa spidi kubwa na ndani ya dakika mbili tu walidondoka chini na kupoteza maisha huku miili yao ikiwa kama imeyeyuka na kuwa maji na kilichoweza kuonekana ni skeletoni tu , kwani nyama zote zilibadilika na kuwa uji uji.

“Thanatos!” Roma alibwabwaja ndani kwa ndani mara baada ya kugundua teknolojia iliotumika ndani ya makombora hayo ilikuwa ni Thanatos kwani ndio pekee ambayo ilikuwa ikiweza kuyeyusha miili ya kiupe hai na kuwa ujiuji.

Akili zake zilimrudisha ufaransa namna alivyoweza kukwapulia siraha hio mara baada tu ya kuweza kuipata kutoka kwa serikali ya Ufaransa, jambo la kutisha zaidi ni kwamba hii iliokuwa na uweze zaidi ya mara mbili (Enhanced) kuliko alivyokuwa akiijua uwezo wake.

Tukio lile liliwafanya watu kutoa ukulele na kuhema kwa shida na hata Roma mwenyewe alishangazwa, ilikuwa ni siraha ya hatari mno ikigusana na miili ya binadamu na mbaya zaidi Yan Buwen ashaigueza na kuwa mionzi isiokuwa ya kawaida.

Wakati anapambana na Yan Buwen nchini China aliweza kuhisi hio mionzi lakini hakugundua kama ilikuwa ni ya siraha ya Thanatos kutokana na kwamba ili uweze kuitambua teknolojia hio ni pale inapoleta athari.

Roma kitu kingine pia alichokigundua wale watu waliozingira hawakuwa binadamu , walikuwa misukule na haraka haraka alijua lazima ni maiti zilizofufuliwa na Yan Buwen kwa kutumia kimiminika cha ufufuo na hili lilikuwa pia hatari zaidi.

Hivyo kwa haraka haraka ni kwamba walikuwa wakiongozwa akili zao maana hawakuonyesha hata hofu licha ya Yan Buwen kuyeyusha wenzao.

Afande Tozo na wengine sasa walielewa hatari na mbaya zaidi hakuna kifaa chochote cha kiletroniki kinachofanya kazi muda huo hivyo wasingeweza kufanya mawasiliano ya kuomba msaada na kwa mpango wa Raisi kigombola wa kutaka kuwaangamiza kwa kuwachukulia kama maadui basi ni hakika alikuwa amehakikisha hakuna mianya ya kutoroka.

“Yan Buwen unaweza kufanya majaribio ya siraha yako, lakini hapa ndani kuna baadhi ya watu wangu muhimu sitaki wapoteze maisha”

“Usijali mzee watu wako muhimu hawawezi kuguswa kama tulivyokubaliana” Aliongea huku akitabasamu na kisha akamgeukia Roma.

“Hades what do you think, Beutifull isn’t it?”

“Roma unaonaje, inavutia si ndio?”

“Wewe ni mshenzi , Wewe ni binadamu kichaa”Aliongea Neema Luwazo kwa hasira.

“Haha…Miss Neema nasikia umemsaliti Mzee Kigombola na kwenda kutoka kimapenzi na Hades , Huenda umechangia zaidi katika hili na leo unakwenda kuona mpenzi wako nikimuua mbele yako”Aliongea.

“Yan Buwen nataka ufanye kazi , Neema hapaswi kuguswa ninachotaka nikuona huyu mpuuzi wake anaejivunia nae anakufa mbele yake”Aliongea Kigombola.

“Kigombola kwanini unafanya hivyo , kwanini umeamua kufanya kazi na huyo shetani sio kama nilivyokujua tokea mwanzo”

“Umeyataka mwenyewe Neema na sina chaguo zaidi ya kufanya maamuzi magumu, umeutesa moyo wangu sana kutoka na huyo mtoto sasa wajibika kwa matendo yako” Aliongea.

“Muda wa kuongea porojo ushaisha naingia kazini sasa, nitaanza na Afande Flamingo nasikia una mafunzo kutoka China, hebu tuone kama unaweza kuhimili pigo moja” Aliongea na palepale msukule wake mmoja uliachia bomu la Thanatos kutoka kwenye Bazooka.

“Magdalena kuwa makini” Aliongea Roma na uzuri Magdalena alikuwa mwepesi hivyo alipotea aliposimama na miale haikumpata.

Ilikuwa ikitisha sana, yaani misukule yake alikuwa akiwaongozakwa kutumia akili yake , kwanni akifikiria kufanya hiki na mmoja wapo angechukua hatua.

“Hahaha… nishasahau unasemekeana kidogo una spidi kubwa labda nianze kwanza na baba yako pamoja na pacha wako” Aliongea na palepale wanajeshi wake wanne waliinua kombola kulenga waliposimama Afande Tobwe na Mage lakini palepale ngao kama kioo ilijitengeneza mbele yao na kuwakinga na mlipuko wa mionzi ya Thanatos.

Uzuri ni kwamba miale ile ilikuwa na sifa moja ya pekee haikuwa na uwezo wa kusambaa , ilikuwa ni mionzi tofauti sana na iliozoeleka, hivyo athari zake zilikuwa za dakika moja tu na kuisha lakini hata hivyo zilikuwa na nguvu mno kwani ile ngao ilionekana mbele yao baada ya kugongana na bomu la mionzi la Thanatos ulitokea mtikisiko wa ardhi wa aina yake.

Afande Tobwe alimwangalia Roma kuona kama ndio yeye aliewakinga kwani alikuwa ashakata tamaa , lakini Roma alimwonyeshea ishara kwamba sio yeye lakini sasa muda huo huo walisikia sauti kutoka mbali kidogo angani lakini ikiongea kwa lugha isiokuwa ya kawaida lakini Roma alipata kuifahamu kilikuwa ni kihindu.

“Ninakwenda kukumaliza leo hii, wewe ni uzao wa shetanni kutoka familia ya Yan” Aliongea hivyo.

“Master!”

Omari ndio aliekuwa wa kwanza kuangalia hewani na kujikuta akitabasamu na kuita jina la Master.

Roma na yeye aliangalia hewani na palepale aliweza kuona mwanaume aliekuwa jamii ya wahindi hakuwa mchina licha ya kuweza kuongea kichina , alikuwa mhindi lakini alienyoa kipara huku akiwa na shanga kama Rozari alizokuwa amevalia shingoni , alikuwa pia amevalia mavazi ya kitamaduni maarufu kama Kisaya ambayo huvaliwa na Monk wale wanaosalia Budha.

Ni Monk lakini ni sahihi kusema alikuwa monk mwenye kutisha maana kwa dunia ya leo hakuna mtu ambaye anaweza kuwa na mwonekano mbaya wa sura kama mtu huyo alieweza kufika.

Roma alijikuta akishangaa, mara moja aliweza kutambua mtu aliefika hapo sio binadamu wa kawaida , licha ya kuonekana kama binadamu , alikuwa ni watu jamii ya Hongmeng kama hajakosea ambaye alikuwa anakaribia kuvuka Levo ya Nafsi na kuingia levo ya Dhiki.

Ilionyesha yeye ndio ambaye alihusika kuwakinga Afande Tobwe kwa kutumia dhana ya kimaajabu ambayo kwanza ilimshangaza sana Roma.

“Nilijua kabisa Hongmeng lazima mngekuja kabla sijawafuata huko huko, lakini nasikitishwa kuona umekuja peke yako” Aliongea Yan Buwen.

“Amitabhaa , hili tukio tusingeweza kukaa na kuangalia unafanya utakavyo kwani unaifanya nchi yetu kuwa na uadui na mataifa mengine , Mimi mjumbe kutoka Hongmeng leo nakwenda kukuadhibu kwa niaba ya dunia nzima, kutana na Dhana yangu ya kishetani”

Monk hakutaka kupoteza muda na palepale alianza kumsogelea Yan Buwen kwa kasi, ilionekana alikuja kwa kazi maalumu tu nchini Tanzania , kupambana na Yan Buwen na kisha kusepa maana hakumzingatia hata Roma.

Wakati anamsogelea Yan Buwen alikuwa ameshikilia kiutu kama kijichupa cha rangi nyeusi lakini ajabu ni kwamba palepale kilibadilika na kuwa kama mkuki wenye ncha kali kwa mbele ambao ulitoa msisimko wa ajabu mno.

Yan Buwen wala hakusogea zaidi ya kumwangalia kwa kebehi na ile Monk anapeleka mkuki wake akidhamiria kumchoma nao Yan Buwen eneo la kifuani , Yan Buwen palepale alibadilika na kuwa kama sanamu ya Chuma lakini rangi ya Silver na palepale mlio wa chuma kugongana na chuma ulisikika , lakini Monk alionyesha kuwa na akili zaidi kwani palepale alichia pigo lingine na Yan Buwen alirudi kwenye ubinadamu na Monk alimkata mkono na mkuki wake palepale.

“Yes,, Yes…!!”Omari alishangilia mara baada ya kuona lile pigo na kumfanya Roma kumwangalia.

“Roma huyu ndio Master wangu ndio anaesifika kuwa sehemu ya wazee watano wenye uwezo mkubwa ndani ya Hongmeng”Aliongea Omari na kuwafanya watu wote kupata ahueni.

Lakini upande wa Roma aliona ilikuwa mapema sana kushangilia ushindi kwani hakutegemea Yan Buwen kuja na uwezo mdogo kiasi cha kuweza kushindwa na Monk kama ni hivyo alijimbia asingeumiza kichwa.

Yan buwen alionyesha kutougulia maumivu na mkono wake ulipona palepale na kisha akamsogelea Monk kwa spidi na kumwachia wimbi la shoti ambayo ilimlipua na mlio wake ulikuwa kam Transfoma inapiga shoti.

BOOM!

Watu walijikuta wakichuchumaa chini kwa woga mara baada ya mlipuko ule kwani ni kama Roho zilitaka kuwatoka ni Roma , Magdalena na Omari ambao hawakuonyesha hofu na kuendelea kuangaia angani.

Monk alijitahidi kuhimiri mlipuko wa Shoti kwa kutumia nguvu za kijini lakini nguvu yake ilimzidi na kumfanya kutupwa mbali kalibu aiguse ardhi na palepale shoti ikapotea na Yan Buwen alirekebisha mkono wake uliojiponyesha kwa haraka na kucheka.

Monk alijikuta akimwangalia Yan Buwen huku akiwa kama haamini alijihisi mtiririko wa nguvu zake za kijini kwenye mwili wake zimepungua sana kwa kufonzwa na shoti.

Roma mpaka pale aliona kabisa Yan Buwen nguvu zake zilikuwa za viwango vikubwa mno na ilionyesha hakuna pigo la kawaida la kijini ambalo lingeweza kummaliza na mwenyewe alijiambia asingemsaidia Monk kwa namna yoyote ile aliacha kwanza aone mwisho wake alitaka kwanza atumie nafasi hio kuona Hongmeng wanavyopambana ili apate kujifuza.

Roma alianza kudili na wanajeshi misukule wa Yan Buwen maana asingefanya hivyo wakati wa kupambana na Yan buwen angeshindwa kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja na alishukuru sana kutokea kwa Monk maana huenda ingekuwa shida kwake.

Roma aliachia pigo moja ambalo liliambatana na upepo wa kisulisuli na kuwazoa wanajeshi watatu kwa wakati mmoja na walikwenda kujipigiza kwenye ukuta na kombola lao lilipuka palepale na walianza kuyeyuka nyama zao zote na kubakia maskeletoni.

Afande Tozo , Afande Tobwe waliona kabisa hapa uwepo wao ungekuwa mzigo kwa Roma hivyo wanapaswa kuondoka kwenye hilo eneo na watu wote , lakini Yan Buwen alionekana ameshayasoma mawazo yao mara baada ya kushuhudia Roma akiangamiza wanajeshi wake , palepale wanajeshi wawili waliachia bomu la Thanatos kuelekea upande wao , lakini Roma alikuwa fasta sana kwani ni kama alitegemea na kuwafunika na ngao ya kijini na kilichotokea ni mtikisiko.

“Msifanye chochote maana nawahakikishia hakuna ambaye anaweza kuondoka hapa akiwa hai , mpango ni mimi kuwamaliza maadui zangu wote na msifikiri uwepo wa Monk unaweza kuwasaidia , mpango wa Yan Buwen pia ni kumalizana na Hongmeng ili aitawale China”Aliongea Kigombola na kumfanya Roma aone kweli binadamu yoyote wa kawaida akipata uwezo wa ajabu kuzidi wengine basi uwezo wa kufikiria hupungua kwa kiasi kikubwa mno. Alimjua Kigombola alikuwa akisifika kwa mbinu lakini hakuamini angekuwa na uwezo mdogo wa kufikiria namna hio.

Ukweli Kigombbola alimwamini kwa asilimia zote Yan Buwen , ni kama aliamua kubetia maisha yake kwenye uwezo wa Yan Buwen aliamini kama Yan Buwen angeweza kumdhibiti Roma basi taifa lingekuwa la kwake milele na angefanya mpango na kumaliza na maadui zake ambao hawakuwa hapo ndani na kisha kumuweka raisi ambaye angefanya kile anachotaka yeye.

“Tianyin Dhamachakra!!”

Monk alionekana kurejewa na nguvu zake na kuanzisha upya mashambulizi kumlenga Yan Buwen.

Ghafla tu palepale monk alionekana mara ishirini zaidi na wote wakiongea ‘Mantra’ kwa nguvu na sauti ya Brahma ilisikika mara mbilimbili kama mwangwi.

Kumbuka hapa alikuwa ni Monk mmoja lakni alijitengeneza kuonekana zaidi ya mara hamsini na ndio maana sauti zao zilionekana kama vile ni watu waliopo kanisani au msikitini wakisali kwa kuongea na sauti zake kujaa mwangi , waliopo hapo ndani ni kama walihisi uchizi kutokana na makelele yasioeleweka.

Yan Buwen alikuwa katikati na Monk alionekana kufanya vile ili kumchanganya Yan Buwen asiweze kumshambulia kwani asingejua yeye halisi ni yupi kati ya ‘illusion’ aliotengeneza.

“Hahaha.. unachokifanya ni ujinga kwangu”Aliongea Yan Buwen na kuachia shoti ya aina yake kumlenga Monk aliekuwa kushoto kwake na alikuwa ndio origino lakini bahati nzuri alikuwa amejiwekea ngao na ile dhana yake ya kijini hivyo hakupata majeraha lakini alishangaa Yan Buwen amewezaje kumfahamu.

Monk alichokosea ni kuamini kwamba Yan Buwen alikuwa akipambana kwa kutumia sayansi na yeye alikuwa akipambana kwa kutumia uchawi hivyo kama angemuwekea Yan Buwen mtego ingekuwa rahisi kumdhibiti.

Roma aliweza kudhibiti baadhi ya wanajeshi , lakini hata hivyo walionekana kuwa wengi sana kwake kuwamaliza kwa muda mfupi huku pia akilinda watu wasidhurike.

Yan Buwen alionyesha kuwa mjanja sana kwani wanajeshi aliokuja nao kwa mahesabu ya haraka haraka ni therathinni, mwanzoni waliokuwa wamemzingira walikuwa wachache lakini baada ya muua waliongezeka.

Omari hakuweza kupambana pia kutokana na jeraha eneo la tumboni.

Donyi aliekuwa akitaka baba yake asiuliwe na Roma alikuwa kwenye wasiwasi kwa kile ambacho kingetokea muda huo.

Roma mbinu pekee ambayo aliona ingeweza kumaliza kazi ni kumshambulia Yan Buwen , kwani ilionyesha wale wanajeshi pasipo ya Yan buwen hawawezi kuchukua hatua kwasababu walitegemea akili yake.

Hivyo mara baada ya kuona Monk anapokea kichapo fasta alimsogelea Yan Buwen kwa kasi.

“Naona umekuja , lakini muda bado”Aliongea huku akiangalia chini na ilionekana Magdalena alifanya kosa kutaka kuwashambulia wale mazombie , ilikuwa sahihi kuwaita mazombie maana akili hazikuwa zao na walishakufa na kufufuliwa na kimiminika.

Sasa kumbe Yan Buwen aliona hilo , hivyo palespale aliruhusu wale mazombie kumshambulia Magdalana lakini hata hivyo alionyesha kuwa spidi kwani aliweza kukimbia kwa spidi na kuepuka shambulizi na ile miale iliwaua wahudumu wawili wa kike na nyama zao kuyeyuka palepale walibakia kuwa skeleton.

Neema Luwazo alikosa uvumilivu na alijikuta akianza kutapika palepale na ilibidi Donyi amshikilie mama yake kwani alianza kukosa pumzi.

“Unaweza kuwa na spidi lakiini haimaanishi kwamba unaweza kupona kama watashambulia wote”Aliongea Yan Buwen mara baada ya Magdalena kutudi aliposimama baba yake , lakini lilikuwa kosa kubwa.

“Shiti tupo karibu sana”

“Mshachelewa , Firee..!!”Aliongea Yan Buwen akiwaamrisha misukule yake kushambulia.



SEHEMU YA 476.

Roma alikuwa na spidi, mwanzoni alitaka atumie ile Dhana ya Ganyua alioipata kutoka kwa lile jini lililomteka Edna na kumpa laana ya minyoo lakini hakujua kama ingekuwa na nguvu kiasi gani hivyo hakutaka kubahatisha na aliita nguvu ya kimaandiko na kuwafunika na alifanya ndani ya muda kabla ya kuguswa na mionzi ya Thanatos.

Lakini sasa wakati Roma akiwalinda wengine yeye alipokea pigo kutoka kwa Yan Buwen na alihisi maumivu makali mno, ilikuwa ni kama viungo vyake vya ndani vinakamuliwa kama nguo inayotolewa maji.

Roma ilibidi kwanza arudi chini ili kushindana na maumivu na ilionekana mbinu ya Yan Buwen kumalizana kwanza na Monk na kisha ndio adili na Roma.

“Roma uko sawa?”Aliuliza Mage ambaye aliishia kutoa machozi pasipo ya kujua cha kufanya.

“Inabidi mjiwazie usalama wenu kabla ya wa kwangu , Babe Mage nikimaliza hapa hakikisha unanihudumia vizuri”Aliongea Roma huku akilazimisha tabasamu kuwaonyesha kwamba yupo sawa.

“Unapata wapi ujasiri wa kufanya utani wakati upo kwenye hatari” Aliongea Magdalena lakini maneno yake yalikuwa sahihi , ijapokuwa hakuwa na woga lakini aliamini kushindana na Yan Buwen inahitajika akili ya ziada kwani uwezo wake ulikuwa mkubwa huenda kumzidi hata Poseidon.

Wakati akiangalia namna ya kushinda pambano lililokuwa mbele yake , ghafla kuna wazo lilimjia na kuamini huenda linaweza kufanya kazi kumsaidia kumshinda Yan Buwen.

“Simameni wote hapa hakikisheni mnakaribiana na msiulize maswali kama mnataka kuishi” Aliongea Roma kwa kuamrisha na palepale Roma alipotea na ile anakuja kuibuka alikuwa nyuma ya wale wapiganaji wa Yan Buwen na alimvunja shingo mmoja na mwingine aligeuka kwa kuhamaki kujilinda kwa kufyatua bomu lakini aliishia kumdhuru mwenzake.

Upande wa juu Monk alikuwa akiendelea kupamaban na Yan Buwen , lakini ukweli Monk alikuwa amezidiwa alichokuwa akifanya ni kukinga mashambulizi tofauti ya kushambulia na Yan Buwen alionekana kutulia na alifanya kazi mbili kwa wakati mmoja , baada ya kuona Roma anashambulia wanajeshi wake , alianza kuwapa maelekezo ya kumshambulia.

Muda ule ule haikueleweka wanajeshi walitokea wapi lakini waliwaznguka Afande Tozo kwa kuwakinga huku wakiachia risasi mfululizo kuelewa kwa misukule , lakini licha ya risasi zile kuwapiga hazikuwaletea madhara makubwa.

“Kipaumbele ni ulinzi kwa Generali na waziri mkuu” Mmoja wapo wa wale wanajeshi alitoa amri walikuwa na sare za kikomandoo.

Roma aliendelea kuwashambulia wale wanajeshi wa Yan Buwen kwa spidi kubwa huku akiwakausha, alionekana alitaka kumaliza ndani ya dakika chache na kumfanya hata Omari kushangaza.

“Damn it huyu Roma ni zaidi ya shetani”Aliongea Omari.

“Tunatakiwa kujua namna ya kumsaidia na sio kumsifia”Aliongea Magdalena.

“Kwani naongea uongo , Magdalena hata wewe unaonekana kumpenda”Aliongea na kumfanya Magdalane kumwangalia kwa macho makali Omari na alianza na yeye kushambulia kwa kasi , ilionyesha tokea maarifa mapya ya kijifunza mbinu za kijini kwa kufundishwa na Roma aliimarika kwani aliachia mapigo kwa kasi mno na aliweza kuwamaliza wawili na kuwaua kabisa.

Omari na yeye alichana kitambaa na kisha akajifunga nacho eneo la tumboni kwa nguvu na kisha akaanza kushambulia kwa spidi.

Upande wa Queen yeye macho yake ni kwa Yan Buwen tu hakujali kilichokuwa kikiendelea kumzunguka bali alikuwa akimwangalia Yan Buwen huku akitoa machozi , alionyesha kama hakuwa akiamini ni yeye, alitamani Yan Buwen amwangalie lakini hakufanya hivyo zaidi ya kuendelea kupambana.

Afande Tozo hakutaka tena kukaa na yeye kwenye ngao , alichokifanya ni kuchukua bunduki na hivyo hivyo kwa Afande Tobwe walichokifanya ni kupambana wakiendelea kubaki nyuma ya ngao.

“Nimegundua kuhusu siraha zao , haziwezi kuachia mashambulizi mfululizo lazima watulie kwanza ndio waachie tena , tunaweza kutumia udhaifu kushambulia kabla hawajaachia na kurudi kwenye ngao”Aliongea Afande baada ya kupewa siraha na wanajeshi waliofika kumlinda.

Upande wa mstaafu Kigombola alikuwa hana wasiwasi kabisa alikuwa amesimama upande mwingine akiwa amesimama na watu wake wakiwaangalie wenzao wakitaabika.

Yan Buwen mara baada ya wanajeshi wake wawili kupasuliwa vichwa aliweza kugundua washajua udhaifu wa siraha yake. Aliangalia chini kwa kebehi.

“Inaonekana mshaanza kuzifahamu siraha zangu , lakini niwaambie tu hizo Ant-matteer Bazooka zipo kwenye majaribio tu nimezitegeneza kwa kuigizia nguvu ya nishati ya jiwe la Kimungu na kuchanganya na teknolojia ya Thanatos, hivyo hio ni ‘Prototype’ tu , lakini naona mnavyo hangaishwa , kama ningeamua kutumia ‘pure antimatter energy’ kutoka kwenye Godstone kutengeneza miozi ya Thanatos msingeweza hata kuwa levo ya kushindana na mimi”Aliongea

Antimatter energy?”Roma alijikuta akishangaa..

“Huna akili wewe, siku zote ulikuwa ukimiliki jiwe la kimungu lakini umeshindwa kufahamu ndani yake kulikuwa na Antimatter , tena mionzi hio ilitumika kukumulika lakini ulishindwa kung’amua”Aliongea Yan Buwen akimkebehi Roma.

“Kukutoa tongo tongo nishati ant- matter ndio ambayo inatumika kutengeneza usawa kati yake na maada na kufanya dunia iendelee kuwepo , hivyo usije ukajinadi na kujiona mwenye nguvu, nishati ya mbingu na ardhi ni upuuzi mtupi mbele ya Godstone na kadri itakayokuwa kwenye umiliki wangu nitakuwa mungu wa dunia yote na wewe lazima ufe”Aliongea.

Roma licha ya kuonyesha kutoathirika kwa muonekano wa nje , lakini ndani kwa ndani alikuwa akihofia matokeo.

Tokea kupatikana kwa jiwe la kimungu miaka mingi iliopita hakuna mwanasyansi ambaye alifanikisha kuweza kuvuna nguvu yake kwa asilimia mia moja, jambo pekee ambalo walifanikisha ni kumtengeneza Roma, hivyo Yan Buwen sio tu kugundua siri iliokuwa nyuma ya teknolojia ya jiwe la Kimgunu lakini ameweza pia kugeuza na kuwa siraha ya maangamizi.

Lakini ukweli ambacho hakuwa akifahamu Roma ni kwamba Yan Buwen sio ambaye alikamilisha kila kitu, walioweza kufanikisha ni Athena, Profesa Shelukindo na Naira na Yan Buwen alipewa tu baadhi ya kanunni na Athena lakini pia aliweza kugundua siri mara baada ya kuiba tafiti za Profesa Shelukindo baada ya kumuua.

Lakini Yan Buwen asingeweza kusema amepokea msaada kwasababu alitaka kuchukua sifa zote yeye.

“Mtoto mjinga sana wewe usie na aibu” Aliongea Monk kwa hasira huku akimsogelea Yan Buwen kwa kasi na kuanza kuongea Mantra tena.

“Isio na umbo ,yenye nguvu ya uharibifu ,kwako Asura Dharmakaya

Aliongea kwa nguvu Monk kuita nguvu za kichawi na palepale watu waliweza kushangaa kuona moshi mweusi ukijitengeneza angani ulikuwa ni moshi kama mtu kwani ulikuwa na kichwa na mikono pasipo ya kuwa na miguu na ulianza kumsogelea Yan Buwen kwa spidi , walikuwa juu angani lakini waliochini nywele ziliwasimama.

Alichokiita ndio kinafahamika kwa jina la Asura Dharmakaya ni sehemu ya miungo ya kipepo ya wahindu na ina nguvu kweli.

Monk hakutaka kuendeleza mapambano kwani huko alikotoka alikuwa na uhakika angemwangamiza Yan Buwen kwa pigo moja tu , lakini sasa ni zaidi ya lisaa bado anapambana nae bila mafanikio.

Lile pepo Asura mara baada ya kumsogelea Yan Buwen , ghafla upepo mkali ulimkumba Yan Buwen kiasi cha kusababisha suti yake eneo la kifuani kuchanika na palepale lilionekan jiwe la Kimgu kwenye kifue eneo la moyo.

Monk hakujali tena kuhusu lile jiwe alichotaka ni kuhitimisha pambano kwa kumdhibiti Yan Buwen , hivyo aliongezea nguvu lile pepo Asura kwa kutumia nguvu za kijini na nguvu iliokuwa kwenye dhana alioiita Tianyi na kisha kutengeneza pigo zito kama bomu kuelekea kwa Yan Buwen huku akiwa na uhakika anammaliza kutokana na kutumia nguvu zake zote.

Lakini sasa baada ya kuachia lile shambulizi zito kulitokea vinyuzi nyuzi vidogo kama kamba kutoka kwenye lile Godstone , havikuwa vinyuzi kabisa ni kama mstari wa vinyuzi lakini vingi na vilizingira kichwa cha pepo Asura na kukifanya kama mpira na palepale liliishiwa nguvu , lakini Monk akiwa amehamaki kwa tukio lile pepo lake lilimgeukia mwenyewe na Yan Buwen aliachia na bomu kama shoti kumpiga nalo, ijapokuwa aliwahi kujitengenezea ngao lakini alikuwa karibu hivyo aliweza kupata majeraha kwenye mwili wake na kurudi chini huku akimwangalia Yan Buwen kwa mshangao.

Katika maisha yake hakuamini kama Sayansi inaweza kudhibiti pepo au uchawi, aliamini uchawi unadhibitiwa kiroho lakini Jiwe la Kimugnu liliweza kumeza nguvu yote ya Asura.

Roma mwenyewe alishangazwa na tukio lile , ilikuwa mara yake ya kwanza kuona kitu kama kile.

“Hahaha… Vipi bwana Hades unaogopa mbona umetoa macho hivyo naamini unajihisi kukata tamaa , zamu yako bado , Firee.!!.”Aliongea baada ya kumwangalia Roma kwa jeuli.

Roma hakujalishwa na kejeli zake na hasira iliongezeka maradufu na alianza kuwashambulia wale wanajeshi kwa kushirikiana na Omari na Magdalena.

Yan Buwen alimwangalia Monk ambaye alikuwa akijiponyesha na kucheka , kwani ni kama alikuwa akiangalia kituko , hakujali hata wanajeshi wake chini walikuwa wakiangamia bali alichokuwa akijali ni uwezo wake.

“Hongmeng wamekuleta mpaka huku Tanzania, nani atapeleka taarifa ya kifo chako?”

“Wewe mtoto muda wako wa kufa umewadia”Aliongea Monk kwa kiburi na kuanza kuongea lugha isioeleweka kama vile ana mapepo na palepale mikono yake ilionekana ngao ya kichawi kwenye mikono yake pamoja na mkuki wake na alimsogelea Yan Buwen kwa kasi huku akidhamiria kumchoma tumboni , lakini Yan Bvuwen ni kama alikuwa akisubiria amfikie kwani palepae ulitokea miale mikali sana kuangalia kwa macho na kumfunika Monk kiasi cha kusababisha eneo lote kuwa na mwanga wa tofauti licha ya kwamba ilikuwa mchana na mpaka mwanga unapotea Monk hakuonekana tena zaidi ya mkuki wake kudondoka chini.

Na huo ndio ukawa mwisho wake , kwani Yan Buwen aliweza kumyeyusha mara moja.

“Nguvu ya mionzi ambayo ipo kwenye hizi Bazooka chanzo ni wewe mwenyewe si ndio?” Aliongea Roma.

“I guess there is no harm telling you this , I’m Godstone and Godstone is me”Aliongea Yan Buwen akimaanisha kwamba yeye jina lake ni Jiwe la kimungu na Jiwe la Kimungu ndio yeye, yaani yeye ndio chanzo cha nishati yote ya ant- matter.

Palepale kuthibitisha majigambo yake alishika eneo la kifua chake na kisha akaingiza mkono eneo la moyo na kuchomoa kitenesi kinachong’aa sana , lilikuwa jiwe la kimungu na Roma alishangazwa mno.

“You fused God’s stone into your body?”Aliuliza Roma kwa mshangoa kwa lugha ya kingereza , kwamba ameunganisha jiwe la kimungu na mwili wake.

“Hahaha…. Unaogopa? , Frequency za mfumo nishati wa mawimbi ya mwili wangu unafanana kabisa na Frequency za jiwe la kimungu, hivyo moyo kwangu hauna kazi kubwa kwani nishati safi inayotokana na anti- matter inafanya seli za mwili wangu kuwa ‘active’ , wewe si ulifanya jiwe hili kuwa kama kajiwe kakuchezea nako , mpuuzi mkubwa wewe ngoja wenye akili tukuonyeshe”Aliongea

“Only I , Yan Buwen deserve to own the world’s greatest creation”

Aliongea huku akinyanyua mikono hewani kama vile watu wa dunia nzima walikuwa wakimuona lakini baada ya kushusha mikono yake chini alichia na shoti ambazo zilikaa kama boriti na kuwashambulia Roma na watu wake.

Baadhi ya makomandoo wa kijeshi walipoteza maisha palepale na Misukule ya Yan Buwen ilibakia mitano tu na walinyanyua makombola yao ya Bazzoka na kuachia miale ya yenye mionzi ya Thanatos.

BOOM , BOOM , BOOM.

Ngao ya kichawi iliowafunika Neema Luwazo na wengine iliyumba na kuonyesha muda wowote ingeachia na Roma alitumia nguvu nyingi sana kuidhibiti na kila inapopokea mashambulizi maumivu aliyasikia yeye.

Sasa shoti alipiga Yan Buwen ilikua na nguvu mno na ilimfanya Roma kuhishi kama yupo Jehanamu, ni maumivu ambayo mara ya mwisho aliyahisi wakati akipambana na Poseidon kwenye bahari ya kusini ya China, Roma alijikuta akitapika damu lakini hata hivyo aliendelea kudhibiti ngao isiondoke kwani ingekuwa ndio vifo vya watu wake muhimu, yeye alijiambia ni kheri wafe wengine lakini sio Mage na Neema Luwazo.

“Romaa..!!”Mage na Magdalena na Donyi awamu hii walimlilia Roma mara baada ya kutapika damu.

Roma alijitahidi kuita nguvu ya kimaandiko kumponyesha haraka na alijihisi ahueni mara baada ya maumivu kupungua.

“Nipo sawa ni majeraha madogo tu “Aliongea kuwaondoa hofu maana Mage alitoa kilio , alikuwa akijilaumu kukosa uwezo wa kumsaidia Roma”

“Mhmh!.. nimetumia nishati ya ant- matter halafu unasema hujaumia sana , ngoja tuone kama unaweza kubwabwaja baada ya hili pigo”Aliongea Yan Buwen na kunyanyua mkono akitaka kumpiga tena Roma.

“Hapana , Yan Buwen naomba uache”Sauti ya kike ilisikika na alikuwa ni Queen alietoka kwenye ngao na kumpita Roma kwa mbele bila hofu.

“Yan Buwen naomba uache tafadhari , usifanye hivi jamani.. acha kuwa mkatili kiasi hicho unataka kumuua na mtoto wako?”alianza kuongea huku akilia

“Bitch” Aliongea Yan Buwen na kuanza kuandaa pigo la kumkausha Queen.

“Queen!!!”

“Wewe mpuuzi hujafa tu?”Aliongea Yan Buwen.

“Nini?”

“I am calling you a bitch , bitch , bitch …..Unafikiria nakuona kama binadamu, kwangu wewe mwili wako ulikuwa kama kipozeo tu usijifanyishe najali sana kuhusu huyo mdudu alieoko tumboni kwako”Aliongea Yan Buwen.

“Kaa kimya wewe mpuuzi, wewe ni chizi na huna akili ndio maana unataka kuua mtoto wako”Aliongea Omari

“Hahaha unajitekenya….naomba nitangaze hadharani , labda haieleweki , nasema hivi hakuna binadamu ambaye anavigezo vya kubeba mimba yangu, Shenzi labda nikifa na kufufuka ninaweza kufikiria upya”Aliongea kwa jeuri na maneno yalikuwa makali kiasi kwamba yalimnyong’onyesha Queen nakujikuta akikaa chini na kuanza kulia.

Siku zote aliishi kwa tumaini na kujiambia Yan Buwen anaweza kuwa kichaa lakini hawezi kumdhuru mtoto wake , lakini tumaini ambalo alikuwa nalo mpaka hapo alihisi lishafutika.

“Yan Buwen unapoteza muda , ushamuua tayari Monk malizana na hawa waliobaki , malizana na Roma na baada ya hapo tukaimalize na familia yake , hakuna wa kutuzuia kwa sasa”Aliongea Raisi Kigombola.

“Kigombola wewe msaliti usifikirie hilo linaweza kuwezekana kirahisi kama unavyodhani , jeshi letu lipo imara”Aliongea Afande Tozo lakini maneno yake yalipokelewa kama upuuzi na Kigombola na alimwangalia Neema na mtoto wake Donyi.

“Neema njoo huku upande wangu wewe na mtoto wetu, nitakusamehe kwa usaliti ulionifanyia na nitaendelea kukusapoti wewe na mtoto wangu pia”Aliongea kwa kubembeleza akimtaka Neema Luwazo na Donyi kwenda kusimama upande wao , lakini Neema alitingisha kichwa kukataa, hivyo hivyo na Donyi alikataa, aliekuwa mbele yake ni kama hakuwa baba yake , mwanzoni hakutaka kushuhudia akifa lakini kwa ushetani alioweza kuona kwa macho yake hakutaka kabisa kuungana nae hata kama ni baba yake.

“Wewe ni shetani tena zaidi ya shetani , huwezi kunitumia kwa ajili ya faida kama kweli ulikuwa ukinipenda , nakuchukia zaidi ya mara milioni moja, bora Yan Buwen aniue kuliko kuungana na wewe kwenye ushenzi wako”

“Hahaha. Mzee naona mwanamke wako na mtoto wako wamekukataa waziwazi, lakini usiwaze nitahakikisha vifo vyao sio vya maumivu” Aliongea Yan Buwen kwa kebehi.

“Mwanamke ni mwanamke tu na akishapata mwanaume mwingine anaekidhi haja zake anasahau kila kitu , sijali kama atakufa lakini naomba mtoto wangu awe hai”Aliongea na kisha akageukia kundi ambalo lilikuwa limemzuguka wakiwemo baadhi ya mawaziri ambao walikuwa ni mashushu wake serikalini.

“Ambaye haniungi mkono kwa misheni yangu anaweza kupita hapo katikati na kulifuata geti na kuondoka Waziri mkuu kama unataka kuungana na mimi njoo upande wangu , yoyote pia anaetaka kuja huku afanye hivyo na ataendelea kuishi”Aliongea lakini hakuna ambaye alikuwa na ujasiri huo , hawakuwa wajinga , ilimaanisha ambaye angeweza kuondoka hapo ndio ingekuwa kifo chake hivyo waliishia kuangalia chini kama kuku tetea , upande wa waziri mkuu na wengine hakuna ambaye alikuwa na mpango wa kusaliti nchi , waliamua kama ni kufa ngoja wafe kiume.

Kigombola mara baada ya kuona hakuna ambaye anataka kuondoka ,alitabasamu kwa kuridhika na kisha alimgeukia Yan Buwen.

“Tekeleza vifo vya wote ambao wanapaswa kufa leo hii tumalize kazi mapema”

“Haina haja ya kuniambia mara mbili mbili mzee”Aliongea Yan Buwen na palepale aliachia pigo.

“Omarii..!!!”Waliita kwa nguvu.

Roma alijikuta akibung’aa na kushindwa kuchukua hatua mara baada ya Omari kumkimbilia Queen na kuondoka nae , Omari alikuwa na spidi lakini hata hivyo miale ilikuwa na spidi zaidi yake na ile anampakua Queen alipigwa na shoti mgongoni kiasi cha kuchana shati lake ambalo amevaa.

Isingekuwa uwezo wake wa kijini huenda angeyeyuka kama wale wengine, Queen hakuamini kama Omari angemuokoa, hata hivyo alishajichokea na alitaka tu kufa ili kupunguza maiumivu ya moyo.

Alijikuta akimwangalia Omari ambaye alikuwa akiugulia maumivu , hakuamni licha ya kumkataa huyu mwanaume lakini alikuwa tayari kumuokoa kwa kumkinga na mwili wake.

“Omari….Omari kwanini unakuwa mjinga wewe mpumbavu”Alifoka Afande Tozo lakini Omari hakujali hata hivyo alikuwa akijihisi maumivu makali kiasi cha kutaka kupoteza fahamu.

Roma hata yeye alishangazwa na kitendo cha Omari na kukasirika kwa wakati mmoja lakini hakuwa na namna , alichokifanya ni kuita uwezo wake wa kijini na kisha akawakausha wanajeshi watatu wa Yan Buwen na kumuachia wawili wa mwisho Magdalena amalizane nao maana hawakuwa na siraha.

Roma aliamua kumfuata juu Yan Buwen , alijiambia ndio muda muafaka wa kumalizana nae , maana kama hatofanya hivyo kwa ukichaa wa Yan Buwen basi huenda hata taifa kutokuwa salama kama sio dunia nzima na hata hivyo yeye ndio mwenye makosa kupoteza jiwe la kimungu kwa hayawani.

“Hades unatakiwa kuelewa mpaka sasa huniwezi kwa chochote , nina kwenda kuwa mtu mwenye nguvu zaidi duniani mara baada ya kumaliza majini yote husuani Hongmeng, ninaweza kukusamehe leo hii kama tu utajisalimisha kwangu na kuwa mmoja ya watu wangu”Aliongea na kumfanya Roma kujawa na hasira na kukunja ngumi.

“Sina uhakika kama ninaweza kukuua , lakini nakuhakikishia wewe pia huwezi kuniua bila ya kufahamu nani anakupa nguvu , maana najua wewe ni mbwa ambaye unatumika tu kwa ajili ya bosi wako”Aliongea Roma

“Unasemaje?”Aliongea Yan Buwen huku akimwangalia kwa macho makali alionekana kukasirika.

“Nimekosea? , ninaweza kukusifia kwa kuweza kujificha lakini pia umeweza kuwa na uwezo mkubwa lakini naamini kabisa usingefikia hapo ulipo bila kupata msaada kutoka kwa mtu ambaye alinipokonya jiwe la kimungu , Thanatos na Hollygrail”Aliongea Roma , ijapokuwa hisia zake zilimwambia ni Athena lakinni alitaka Yan Buwen akiri wazi , kwanza alishindwa kuelewa kwanini Athena alikuwa akishirikiana na mpumbavu kama Yan Buwen ndio maana alitaka kujua zaidi nia yake.

“Sijui nia yako kwangu kunishambulia lakini naamini moja kwa moja wewe ni mbwa tu unaefanya kazi kwa malengo yao na hao ndio ambao ni maadui zangu ninaowalenga na ninaotaka kumalizana nao”Aliongea na kumfanya Yan Buwen kuanza kupandwa na hasira maradufu kwani alichosikia yalikuwa matusi kwake , ijapokuwa maneno ya Roma yalikuwa ya ukweli lakini yalikuwa yakiuma , aliguswa penyewe.

“Unajua nini wewe mpumbavu , kwanza sitaki hata kupoteza muda kwa kuongea na mpuuzi kama wewe nitakuonyesha leo ni kiasi gani nimekuzidi uwezo , nitakusambaratisha na kubakia vipande vipande na baada ya hapo wanawake wako wote nitawakusanya na kuwapeleka kwenye gereza la mateso kwa ajili ya kuchezewa na kila mwanaume, nadhani nikiyaona machozi yao nitafarijika”Aliongea na palepale jiwe la kimungu ambalo lipo kwenye kifua chake lilianza kutoa miale mingi ni kama lilikuwa likimpongea kwa kuwa na hasira

Roma aliamua sasa kuwa siriasi na aliiita kiwango cha juu cha nishati ya mbingu na ardhi kwa ajili y a kujiweka tayari kukumbana na Anti-matter, hata hivyo alihisi kani kubwa kutoka aliposimama kutokana na msunguano wa nguvu ya jiwe la kimungu.

Mawingu yalianza kujitengeneza na kuashiria mvua ilitaka kuanza kunyesha lakini sio hivyo tu ngurumo za radi hazikuwa kimya pia

Upande wa chini Magdalena aliweza kumaliza misukule yote ya Yan Buwen na sasa macho yake yalikuwa juu akiangalia pambano.

Hakuna ambaye alikuwa na ujasiri wa kukimbia kwa kuogopa Yan Buwen anaweza kuwashambulia hivyo waliishia kuangalia kile ambacho kinakwenda kutokea.

Yan Buwen alikuwa na hasira mno , muda ule ule mpira wa shoti ulijitengeneza kwenye mikono yake huku ukizunguka zunguka kana kwamba unaogopa kugusana na kiganja chake .

“Go to hell!”Aliongea kwa sauti na kisha alirusha ule mpira kuelekea aliposimama Roma na palepale ulibadilika kutoka kuwa mpila na kuwa kama miale ya shoti ya umeme , lakini Roma alikuwa na spidi kwani palepale aliweza kutengeneza ngao na kuizuia na kufanya atomu kusuguana angani na kutengeneza mwanga wa rangi tofauti wa kuvutia.

Lakini hata hivyo pigo la Yan Buwen lilimfanya kuhisi maumivu makali maana ilihitajika nguvu kubwa kuweza kudhibiti ngao yake , lakini wakati huo huo kudhibiti ngao iliowafunika Neema na wenzake.

Yan Buwen baada ya kuona Roma kakinga , aliachia pigo lingine na lingine na kudhidi kumsababishia Roma maumivu makali na kuishia kutema damu.

Yan Buwen alitabasamu kwa kebehi baada ya kuona mbinu sahihi ya kumuua Roma ni kushambulia kwa kasi ngao zote mbili , kwani Roma hakuwa na uwezo wa kushambulia zaidi ya kukinga mapigo yake kwasababu aikuwa akijilinda yeye na waliochini yake.

“Roma shambulia na wewe na usikinge tu mapigo yake”Aliongea Magdalena ambaye alianza kukosa uvumilivu na chozi kuanza kumtoka.

“Nimetumia robo tu ya nguvu zangu kushambuia lakini naona upo hoi taabani”Aliongea Yan Buwen na kuachia mapigo mawili kwa wakati mmoja kwa kutumia mikono yake yote , moja alilenga chini kwenye ngao iliowafunika Neema na nyingine alimlenga Roma.

Alishangundua kadri alivyokuwa akishambulia ngao ndio ambavyo Roma anapoteza nguvu na hivyo alitumia mbinu hio hio kuongezea dawa.

Roma alijihisi roho yake inataka kuacha na mwili wake kwa maumivu ambayo anayasikia, muda huo ambao alipaswa kuwa Honeymoon ndio muda ambao alikuwa akiugua , tena hata nguo za harusi hakuvua.

“Daah..Roma anateseka kwa ajili yetu , sijui kwanini tukaingia mkenge na kuja hapa”aliongea Afande Tobwe huku akijidharau kwa kutoweza kufanya chochote , kauli yake ilisikika na baadhi ya watu waliokuwa wakimsapoti Kgiombola na kuishia kucheka.

Roma alikuwa ashaita uwezo wake wote wa nguvu ya kijini katika levo ya kupita dhiki na alijiambia kadri ambavyo atakuwa anakinga mapigo ya Yan Buwen basi anaweza kushindwa kuendelea kuhimili na kupoteza uhai.

Kuna muda alitamani hata kupigwa na radi kama ilvyotokea wakati akipambana na Poseidon na huenda angejitoa muhanga kufa na Yan Buwen moja kwa moja , lakini hata hivyo dalili ya radi ilionyesha kuwa mbali sana licha ya kwamba wingu kubwa lilikuwa limetanda angani.

Tegemeo lake la mwisho ni kuchukua ile dhana ya Ganyua ili kujikinga nayo kama ngao halafu atumie nguvu ya kijini kuwakinga waliochini yake , aliamini ndio mbinu pekee ambayo ingepunguza nafasi ya kushindwa pambano lakini pia maumivu.

Roma aliita kwenye mikono yake , lakini muda ule na Yan Buwen aliachia pigo kubwa kuliko la mwanzo na ile dhana palepale ilitengeneza ngao yenyewe , lilikuwa kosa kubwa sana , kwani ngao aliotegneneza ilionyesha kutokuweza kuhimili vizuri na palepale ilijizima yenyewe na kulitokea mlipuko ambao haukuwa wa kawaida ni kama anga lilikuwa likitaka kudondoka na kufanya watu wote kuziba masikio.

“Romaa…!!!!!”Omari na Magdalena ndio walioweza kushuhhudia Roma akipigwa pigo takatifu na Yan Buwen na kupoteza balansi na kudondoka chini kama embe.

Roma alijitahidi kuiweka akili yake sawa asipoteze fahamu lakini mwili haukutaka kwani maumivu yalikuwa makali mno na palepale alianza kuona nyota nyota na hatimae ukungu na mwili wake ulipoa kabisa na akalegea na kutua chini kama furushi.

ITAENDELEA. IJUMAA - WATSAPP 0687151346
Hatariiii
 
hii series ifikapo august 10 itafikisha mwaka,......
natabiri itaisha 2025 kwa mwendo huu.....

nimekaa pale[emoji117][emoji117][emoji117]
 
Back
Top Bottom