Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

SEHEMU YA 477.
Roma alijihisi roho yake inataka kumtoka ni kama vile yupo kwenye uwanja mkubwa huku mbele yake kukiwa na giza totoro na kukosa uelekeo.
“Hey! unawezaje kukata tamaa kirahisi hivyo?” Sauti ilijipenyeza kwenye ubongo wake, ilikuwa ni sauti iliosikika vyema kiasi kwamba ni kama kuna mtu anamwongelesha kutoka nje.
Alijitahidi kunyanyua mdomo kuongea lakini mdomo ulikuwa mzito kutokana na kukosa nguvu kabisa , hakuweza hata kufumbua macho yake angewezaje kuongea.
“Nafsi ya binadamu ipo kati ya ulimwengu wa roho na ulimwengu unaonekana , muunganiko ambao hurahisisha mawasiliano , mtu yoyote anaejaribu kujifuza mbinu za uvunaji wa nishati za urejesho kati ya mbingu na ardhi anatakiwa kuwa na nguvu kubwa ambayo inemuwezesha kutimiza malengo yake, Dhana ni kichekesho na upuuzi kwani pia zinapata uwezo wake kwa kufyonza nishati ya mbingu na ardhi, kwanini wewe mwenyewe usijibadilishe na kuwa dhana? , nikuambie leo hii nguvu zinatofautiana, mbingu ina nguvu kubwa lakini ndio chanzo cha ukweli wa mambo yote….”Sauti iliendelea kumuongelesha kwenye ubongo wake , ilikuwa ni kama inamuelekeza na kumfanya Roma akili yake kuwa kwenye tafakari nzito.
Kwa kiasi flani kwa muda huo hakuweza kushangazwa na sauti hio lakini pia alishindwa kujali hali aliokuwa nayo , ilikuwa sio mara yake ya kwanza kuongeleshwa na sauti , mara ya mwisho ilikuwa ni China na sauti hio na ile zilikuwa zikifanana kwa kiasi kikubwa.
“Nishati na nguvu?”
Wazo lilipita kwenye akili yake lakini hata hivyo alishindwa kuelewa nini maana ya nyuma kati ya maneno ya Nishati na Nguvu.
“Ngoja nikusaidie maana hujiwezi kwa sasa , hayo mengine utayagundua kwa muda wako” Sauti iliendelea kumuongelesha.
Ni Magdalena ambaye alifanikisha kumdaka Roma na kisha kwenda kumlaza chini ya majani.
Kila mmoja alijawa na huzuni pamoja na kukata tamaa mara baada ya kuona hali aliokuwa nayo, ni kama sio Roma tena.
Mage na Neema Luwazo walishindwa kujizuia na kuanza kutoa vilio wakimlilia Roma .
Roma amepoteza pambano kwa Yan Buwen ndio mawazo ya wanajeshi wote akiwemo Afande Tozo na yeye alikisubiri kifo kutoka kwa Yan Buwen.
Mjumbe kutoka miliki ya kijini ya Hongmeng na Roma wote wamedhibitiwa na Yan Buwen.
Mstaafu Kigombola hakuamini mambo yamekuwa marahisi hivyo na hakuweza kuamini kama kweli Roma amekwisha kupoteza maisha.
“Pluto gani mdhaifu hivyo , mwanaume wa ukweli hatakiwi kujitengenezea udhiafu ,, nilichokifanya ni kukutishia tu kuhusu wanawake wako na kupandwa na jazba na sasa upo kwenye hali kama hio”Aliongea Yan Buwen kwa kejeli
“Wewe mjinga usijifanyishe umeshinda, hujapambana kama mwanaume bali umetutumia sisi kuweza kushinda”Aliongea Neema Luwazo kwa hasira , alitamani kumtukana Yan buwen kwa matusi yote anayoyafahamu lakini alishindwa kufanya hivyo.
“Foolish woman , ningekuacha uishi kama ungeamua kumfuata mzee pale , lakini sasa hivi nikueleze tu sitaki maneno yako hasi juu yangu”Aliongea Yan Buwen na palepale aliinua mkono na kutengeneza mpita mwingine wa nguvu ya ant-matter , huku akinuia kwenye akili yake hilo ndio pigo lake la mwisho kumaliza kazi kabisa.
Muda ule ule Roma ambaye alikuwa amelala usingizi wa pono kama maiti alishituka kama vile mtu ambaye alikuwa kwenye ndoto na kugundua alikuwa kwenye mapaja ya Magdalena ambaye alikuwa akimwangalia huku akitoa machozi.
Alijitoa kwake huku akionekana kutokuwa na nguvu na alijitahidi kusimama , alijikokota kama mlevi lakini alifanikiwa kusimama na kumwangalia Yan Buwen ambaye alikuwa akijiandaa kuachia pigo.
“Oh! You can still stand up? Interesting , I could always kill you again anyways”
“Oh naona umeweza kusimama tena , inavutia , ninakwenda hata hivyo kukua tena”Aliongea Yan Buwen kwa lugha ya kingereza na palepale aliachia pigo la nguvu ya ant-matter kuelekea aliposimama Rom.
“Hapanaa…!!”Magdalena alihamaki kwani aliamini kama pigo lile lingeweza kumpiga Roma na hali aliokuwa nayo angekufa moja kwa moja hivyo Magdalena hakujiuliza mara mbili mbili alienda kusimama mbele ya Roma kumkinga, hakujali kufa kwa wakati huo na akili yake ilimwambia amuokoe hata kama ingekuwa ni kifo chake baada ya hapo.
Alifumba macho yake kwa ajili ya kupokea pigo huku machozi yakiwa yanamtoka mfululizo.
Afande Tobwe alishangazwa na kitendo cha Magdalena baada ya kuona anataka kumuokoa Roma kwa kujitoa kafara , aliijikuta akili yake ikifanya kazi haraka na kuanza kugundua kitu ambacho siku nyingi alikuwa akikipotezea.
Wakati ule kila mtu aliamini pigo lile lingekwenda kumuua Magdalena lakini kitu cha kushangaza kilitokea.
Miale ile yenye mionzi ilipotea ghafla kabla haijamfikia Magdalena, ilikuwa ni kama kuna kitu ambacho hakionekani kimeimeza yote.
Magdalena alikuwa ashajiandaa kufa kwa ajili ya Roma lakini hakuna kilichomtokea , alijikuta akifumbua macho yake na kugeuka ili kuangalia ni nani ambaye amemuokoa.
Yan Buwen mwenyewe alijikuta akishangaa naada ya kuona mabadiliko ambayo ni kama hakuyategemea kwa wakati kama huo.
“Ant-matter energy?” Aliongea Roma huku akitoa tabasamu ambalo ilikuwa ni ngumu kujua ni nini anafikiria na ilikuwa kama sio yeye vile kwa namna ambavyo anaonekana.
“Njia zote ndani ya dunia hii zina mwisho unaofanana, hio nguvu unayotumia hata kama haitokei kwenye dunia hii lakini uhakika ni kwamba itakuwa ipo kwenye anga , unapata wapi uthubutu wa kujiona shujaa na mwenye kiburi kwasababu ya njia ulioichagua , Upuuzi kabisa?”Aliongea Roma kwa sauti nzito sana na kumfanya Yan Buwen kukunja sura.
“Acha kujiona kijogoo , unahisi ninaweza kukuogopa kwasababu ya hotuba yako , Kutana na ghadhabu yangu”Aliongea Yan Buwen kwa hasira na palepale aliita kiasi kikubwa cha mionzi ya ant-matter na mwanga uliokuwa kama kitenesi ulitokea kwenye mikono yake kwa zaidi ya mara tatu.
Upande wa Roma muda uleule aliita nguvu ya Kimaandiko ya urejesho na kisha akajiponyesha kwa haraka sana pasipo kujali watu waliokuwa wakimwangalia ka mshangao.
“Siwezi kukupa nafasi ya kujiponyesha tena , ninataka kukua moja kwa moja na kupotea kwenye uso huu wa dunia”Aliongea Yan Buwen huku misuli ikionekana kwenye uso wake uliokuwa mwekundu , ilionekana alitumia nguvu nyingi sana mpaka muda huo,
Roma hakujalishwa na maneno ya Yan Buwen kwanza kabisa alifumba macho yake kama mtu ambaye anausikilizia upepo wa baharini.Kitendo kile kilizidi kumuuzi Yan Buwen na kuona kama amedharauliwa pakubwa.
“Kufaa..!!”Aliongea na palepale mwanga kama wa kimondo ulimsogelea Roma kwa kasi kubwa.
Kila mmoja alikuwa na wasiwasi juu ya Roma lakini wasiwasi wao uligeuka kuwa mshituko baada ya matokeo.
Ule mwanga wa mionzi baada ya kumfikia Roma, baadala ya kumwathiri ulianza kumzunguka na kuanza kubadilika rangi kutoka kuwa nyeupe na kuwa kama rangi ya zambarau isiokolea , huku ukicheza cheza kama mwanga wa radi kwa kuangalia kwa ukaribu zaidi ni kama vile ulikuwa ukimuogopa Roma.
“Viumbe vyote kwenye ulimwengu huu vilitokana na chanzo , Unajisikiaje kuona mashambulizi yako yakigeuka na kuwa nyoka umeme”Aliongea Roma kwa sauti nzito.
BOOM.
Mwanga ule uliokuwa ukimzunguka Roma ulitoka na kumfuata Yan Buwen kwa spidi kubwa , ilikuwa ni kama nyoka wale wa baharini wanaozalisha umeme, ndio mwanga ulivyoonekana na Yan Buwen kabla hajachukua hatua alishachelewa kwani mlipuko wa shoti kubwa ulitokea na mwanga mkali kumfunika palepale mzimamzima.
Yan Buwen alifanikiwa kuzuia lakini kiasi kikubwa kilimjeruhi na kuanza kuungua na aliweza kuhisi harufu ya ngozi yake ikiungua kama vile nyama iliopo kwenye moto.
“Arrggh..!!”
Maumivu aliohisi ni jambo ambalo kwenye maisha yake hajawahi kupitia na kama sio nguvu ya anti matter kuponyesha mwili wake kwa haraka basi huenda angeshakufa palepale.
Kila mmoja alishangazwa maana sio tu kwamba alizuia pigo a Yan Buwen , lakini aligeuza pigo lake na kuwa siraha.
“Your ant- matter energy might be pure but it’s weak , let me show what I have prepared for you..”
“Nguvu yako ya Anti matter inaweza kuwa safi lakini bado ni dhaifu , ngoja nikuonyeshe kile nilichokuandalia..”Aliongea Roma.
Ghafla mawingu ambayo yalikuwa yametanda angani kuonyesha dalili ya mvua yalianza kuzunguka kwa kasi mno kama vile yalikuwa chini ya udhibiti wa Roma.
Kadri yalivyokuwa yakizunguka ndio yalianza kutengeneza radi kwani msuguano wa atomu za hewa ulikuwa ni mkubwa mno , ngurumo ziligonga kwa nguvu kiasi kwmaba ni kama anga lote linataka kushika chini.
Yan Buwen alijikuta akiangalia juu angani kwa wasiwasi asijue nini kinachokwenda kutokea .
“Wapi unaangalia huko?”Aliongea Roma na palepale Yan Buwen aligeuza macho yake na kuangalia aliposimama Roma na alijikuta akishangaa kuona moto kama lava, ukijitengeneza kwenye mkono wa Roma kwa umbo la nyoka, ulikuwa ni moto wa njano uliokuwa ukitoa cheche, ni sahihi kusema nyoka wa moto, licha ya kwamba ulikuwa ukiwaka kutoka kwenye kiganja cha Roma lakini hakuonyesha ishara yoyote ya maumivu kama alikuwa akiungua.
“Kila kitu ndani ya dunia hii kinafuata sheria kuu ya chanya na hasi , mchanga , maji , upepo ,ngurumo , radi na moto. Moto wa rangi nyekundu unaweza usiwe mkali zaidi ya moto wa bluu lakini moto wa njano unaweza kutosha kuyeyusha chuma na unatosha kabisa kukudhibiti”Aliongea Roma na palepale ule moto wa kichawi uliokuwa kwenye umbo la nyoka ulitoka kwenye kiganja chake na kumsogelea Yan Buwen kwa kasi na kadri ulivyokuwa ukisogea ulizidi kuwa mkubwa na kuwa na muundo kama wa dragoni.
Ya Buwen alitaka kukwepa lakini alikuwa akienda kulia unamfuata huko huko na kuona hakuna namna ya kuukwepa zaidi ya kuuzuia na palepale alijizingira na kiasi kikubwa cha nguvu ya ant-matter kama vile anajiwekea ngao lakini ajabu ni kwamba nguvu yake haikufua dafu kwa moto ule kwani wote uliweza kumfunika na kujihisi maumivu makali ya ngozi yake kuungua.
Kwa waliokuwa wakiangalia kwa mbali ni kama vile wanaona dhoruba ya radi , kwani muda ule ngurumo kubwa ilipiga kisawasawa na kwa mgonjwa wa presha huenda angepoteza fahamu au kupata shambulio la moyo kwani ilikuwa kama anga limechanika katikati.
“Argh!..”Yan Buwen alijikuta akitoa ukulele wa maumivu na alichoweza kugundua ni kwamba kilichokuwa kikimuunguza sio moto tu bali kuna zaidi ya nguvu ambayo ilikuwa ikimuunguza.
“Nguvu ya nishati kati ya mbingu na ardhi haina ukomo , unapata wapi uthubutu wa kulinganisha nguvu yako na ya kwangu”Aliongea Roma kwa sauti nzito, sauti yake ilikuwa imebadilika na ilionyesha huenda ni dhahiri hakuwa yeye.
“Usijifanye kijogoo, siwezi kupoteza hili pambano”Aliongea Yan Buwen kwa kiburi mara baada ya maumivu kupungua. Jiwe la kimungu ambalo lilikuwa kwenye kifua chake lilianza kutoa miale mingi ambayo ilizingira kipenyo kikubwa cha duara.
“Unapoteza nguvu zako bure”Aliongea Roma huku akitoa sonyo na palepale kwenye mkono wake wa kulia ulitengeneza kitenesi cha umeme rangi nyeupe na palepale kilitoka kwenye kiganja cha mikono yake kwa spidi na kupaa kwenda juu na kupotelea kwenye wingu sehemu iliokuwa na mzunguko mkubwa wa mawingu.
“BOOM!”
Kabla Yan Buwen hajapona vizuri mara baada tu ya kitenesi kile cha umeme kupotelea kwenye wingu ilipiga radi ya mwanga mweupe uliokuwa kwenye fungu kama vile mizizi ya mti na ilimpiga Yan Buwen mfululizo.
Ilikuwa kama vile Roma alivyonaswa na mapigo ya Radi kwenye bahari ya kusini ya China ndio kilichotokea kwa Yan Buwen na haikueleweka Roma aliwezaje kusababisha radi ile na isimfuate yeye zaidi ya kwenda kwa Yan Buwen , ni sahihi kusema Yan Buwen ameingia kwenye levo ya dhiki lakini ki uhalisia ni kwamba alikuwa akipata pigo.
Alijaribu kusogea kuikwepa lakini ilimfuata na alijikuta akikata tamaa baada ya kugundua ile radi ilichokuwa ikifuata ni lile jiwe la kimungu na hakuwa na uwezo wa kulitoa kwani angefanya hivyo kingekuwa ndio kifo chake, mbaya zaidi ile radi ilikuwa ni kama inameza nguvu yote ya anti- matter na kutengeneza ‘annihilation’ ni sahihi kusema Matter na Ant-matter zinavutana.
Huenda Christen na Poseidon angekuwepo angekuwa kwenye mshangao , kwani mara nyingi radi kama hizo hutokea pale wavunaji wa nishati ya mbingu na ardhi kukasirisha anga , ni hakika wangejiuliza imekuwaje Yan Buwen na yeye kupitia dhiki kama ilivyomtokea Roma kwani kanuni za Yan Buwen ni tofauti kabisa na nguvu za kijini.
Radi ilipiga kwa nguvu mno na ilikuwa kali mno kama ile iliogonga jengo la world trade centre jijini New York, iliweza kusababisha mwili wa Yan Buwen kuanza kugeuka na kuwa majivu na kilichoweza kubakia ni jiwe la kimungu tu ambalo lilimezwa lote na radi na palepale ilikoma mara moja.
Ukawa mwisho wa Yan Buwen baada ya kipitishwa kwenye Dhiki na Roma kwa kushushiwa radi.
Kwa Yan Buywen haikuhitajika mapigo tisa ya radi , lilikuwa pigo moja tu la mwanga mweupe wa radi ndio uliommaliza kabisa na kuyeyukia hewani na jiwe la kimungu lilivutwa angani na kupotea na palepale Radi zilikoma mara moja na wingu likanza kutawanyika.
Magdalena ambaye alijificha mbali kuangalia kile kinachotokea alijikuta akitoa kilio cha shangwe mara baada ya kushuhudia mwisho wa Yan Buwen , wengine wote walijikuta wakishangalia bila ya kupenda.
Hata Queen ambaye alikuwa na penzi nzito na Yan Buwen alijikuta akishangalia kwa matokeo yale.
Roma alirudi chini na ile anakanyanga tu ardhi alidondoka chini na kupoteza fahamu na kuwafanya watu wote kumkimbilia na kumzingira.
“Asante kwa kuniazimisha mwili wako Roma , naendelea kusubiria kwa hamu siku nitakayo weza kuutawala mwili wako kabisa na kuishi kama binadamu wa kawaida, naamini umejifunza kitu leo nini maana ya nguvu ya kimaandiko ya urejesho”Sauti kwa mara ya pili ilisikika kwenye akili ya Roma , ijapokuwa alikuwa kama amepoteza fahamu lakini akili yake ni kama ilikuwa ikiwasiliana na nafsi yake ya ndani.
“Romaa..”Sauti ilimwita kwa nguvu na alijikuta akishituka haraka kama vile alikuwa kwenye ndoto na kuangalia watu waliokuwa wamemzunguka , alisimama haraka.
“Nipo sawa”Aliongea na kuwafanya wote kuvuta pumzi za ahueni..
Mage, Magdalena na Neema waliangaliana na kujikuta wakiachia tabasamu zito.
Tukio la leo huenda limewafanya kuwa karibu zaidi na kutengeneza mazoea ni tukio ambalo pia lingedumu kwenye fikra zao , lakini hata hivyo kila mtu alipatwa na ahueni mara baada ya Yan Buwen kudhibitiwa.
“Heaven and Earth , Power….”Alibwabwaja Roma huku akiwa amesimama akifikiria na kuwafanya wasielewe anajaribu kuongea nini.
“Roma unaongea nini?”
“Huyu mpuuzi kwanini hajanielekeza kila kitu, ila sio mbaya lazima nielewe fumbo hili mimi mwenyewe…”Aliongea Roma ka mara ya pili, akili yake ilionekana kuwa mbali lakini ile anakuja kurudi katika uhalisia alishangaa Mage alikuwa amemkumbatia huku akitoa machozi, alimwangalia na kutabasamu.
“Mage unanukia vizuri”Aliongea Roma huku akito atabasamu ambalo limezoeleka na ucheshi wake kurudi, Mage alijihisi aibu maana watu wazima walikuwa wakimwangalia.
“Acha kuigiza ,unaonekana upo sawa nakuwa na wasiwasi bure”Aliongea Mage huku akimsukuma na kujitoa kwake.
“Njooni mnipe kumbatio la ushindi”Aliongea Roma akiwaongelesha kwa ishara huku akiwa amechanua mikono yake na wote waliangaliana na kuonyesha kusita sita lakini Neema alikuwa ndio wa kwanza kwenda , Mage kuona vile na yeye akaunga , Magdalena na yeye hakutaka kubakia nyuma alikumbatia upande wake , Donyi nae hivyo hivyo.
Warembo wote walimzingira Roma na kumkumbatia kwa furaha , Omari aliekuwa bado kwenye maumivu ya mionzi ya Thanatos alimwangalia Queen na kujikuta akitabasamu kwa furaha.
Afande Tozo na Afande Tobwe wote walijikuta wakitabasamu na kisha waligeukia wanajeshi waliobaki na kutoa ishara na palepale walimzingira raisi Kigombola ambaye alikuwa akiangalia namna ya kukimbia.
“Roma nadhani tumalize kabisa, tunasubiri maamuzi yako juu ya mstaafu” Aliongea Afande Tobwe na Afande Tozo na yeye alimwangalia.
Wote walimuachia Roma na kumpa nafasi ,Roma alimwangalia Raisi kigombola na wafuasi wake waliokuwa wakimwangalia kwa woga mno kama vile hawaamini ni yeye kwa kile walichoshuhudia kwa dakika kadhaa zilizopita.
“Yan Buwen ashakufa tayari na sipo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi , mnaweza kufanya mnachoona kinafaa kwa mstaafu na wafuasi wake”Aliongea Roma.
Hakutaka kumuua Kigombola kwani alikuwa baba yake Donyi na kama angefanya hivyo ingemuathiri sana , alijua damu ni nzito kuliko maji hivyo kama akichukua hatua basi huenda uhusiano wake na Neema pia ukayumba, hivyo alitaka sheria ichukue mkondo wake, hata hivyo ushahidi wa makosa ya Kigombola ulikuwa wazi.
Mstaafu kigombola sura ilimshhuka kwa kiasi kikubwa , hakuamini kama Roma angeweza kumshinda Yan Buwen na ni mpaka aliposhuhudia mwenyewe ndio alipomkubali.
“Baba..!!!”Donyi alisimama huku akimwangalia baba yake na machozi yakiwa yanamtoka na kumfanya Neema Luwazo kumuonea mtoto wake huruma na kumsogelea na kumkumbatia kwa nyuma.
“Usiniangalie kwa kunionea huruma Donyi mwanangu , kwenye maisha unatakiwa kuelewa kufeli na kufanikiwa ni matokeo ya aina mbili ambayo hayana budi kutokea , nimeishi kwa muda mrefu na nimegundua kufeli kwangu ndio mwanzo wa mafanikio yenu, hata kama nimefeli leo naamini nilichokianzisha hakiwezi kupotea”Aliongea na kisha akamgeukia Roma.
“Wewe mtoto , hata kama umefanikiwa kumshinda Yan Buwen bado hutoweza kumshinda bosi wake , siku moja utatambua kwamba juhudi zako zote hazikuwa na maana”Aliongea lakini Roma hakuwa na cha kuongea hivyo alipotezea maneno yake, hata hivo alikuwa akiishi kwasababu ya Donyi tu la sivyo angekuwa maiti muda huo.
Roma hakutaka kujihusisha nae kabisa na hakutaka kumsikiliza maana alijiambia akizidi kumsikiliza anaweza kukasirika na kumuua hapo hapo , hivyo alimsogelea Omari kwa ajili ya kumuondolea mionzi ya Thanatosi kwenye mwili wake.
“Bro ulivyodonoka nilijua tayari ndio mwisho wetu kabisa, ila ulichokifanya mpaka sasa nashindwa kuelewa ni nguvu ya aina gani unamiliki?”
“Aliefanya vile sio mimi” Aliongea Roma
“Sio wewe! , Unamaanisha nini?”
Roma alishindwa kujibu maana alikosa maelezo ya kutosha kueleweka kwa kila mmoja , ukweli kilichofanyika haikuwa akili yake , ni kama mwili wake ulikuwa ukitawaliwa na kiumbe wa ziada ambaye anaishi ndani yake , ilikuwa ni kama alikuwa na nafsi mbili , nafsi ya Roma na nafsi ambayo haikuwa akiifahamu.
Roma aliweza kumponyesha Omari kwa kufyonza ile mionzi na hatimae maumivu aliokuwa akiyasikia yalipungua kwa kiasi kikubwa na sasa ilibidi kidonda chake kipona kiasili lakini kwa spidi kutokana na nguvu zake za kijini.
“Queen naamini sasa huna sababu ya kunikataa tena, najua tayari unanipenda acha kuficha”Aliongea Omari mara baada ya kuhisi maumivu yake yashapona na Roma alijiambia kama angejua hayo ndio matokeo asingemponyesha.
Queen hakutegemea Omari angemchumbia hapo hapo mara baada ya tukio.
“Acha basi , huu sio muda mzuri na wewe”
“Nani anajali , hakuna ninachothamini kwenye maisha yangu zaidi yako”Aliongea kwa sauti na kufanya watu wote kumgeukia..
“Wewe mpuuzi , huu sio muda wa kufanya ujinga wako”Aliongea Afande Tozo akimkaripia
“Nakutafutia mkwe baba tulia uone , sijali muda na mahali kufanya ninaloona ni sahihi”Aliongea na kisha alimshika Queen mkono.
“Queen wewe ndio msichana ambaye nilipenda na nitaendelea kupenda kwa maisha yangu yote, Will you marry me?” Kauli ya Omari na kutokosa aibu iliwashangaza watu na kufanya wawaangalie, Queen alishindwa kujibu ukizingatia alikuwa na tumbo kubwa la mimba ya mwanaume mwingine.
“Mimi ni mwanamke mpumbavu ambaye nilijidanganya mwenyewe kwa kujiaminisha napendwa kumbe natumiwa , mimi sio mrembo na sina manufaa kuzidi wanawake wengine, Wewe ni mrithi wa mali za familia yako na una nguvu naamini wapo wasichana wazuri na warembo kuzidi mimi ambao watakupenda , usipoteze muda na nguvu zako kwa mtu asie na thamani kama mimi, maamuzi unayotaka kuyafanya muda huu ni ya haraka na utakapokaa chini na kutulia utaona maamuzi yako hayakuwa sahihi, Omari siwezi kukubalia , sitaki kuja kukuumiza huko mbeleni”Aliongea huku akitoa machozi.
Watu watu wote walihisi huzuni baada ya kusikiliza maneno ya Queen , ilikua ngumu kwake na alimuonea huruma Omari kwani angeenda kulea kiumbe ambacho sio cha kwake na huenda huko mbeleni mtoto wake kuja kuonekana mzigo na mbaya zaidi alijua mtoto ambaye anakwenda kuzaa atakuwa na mwonekano tofauti kabisa kwasababu baba yake alikuwa mchina.
Upande wa Roma hakuwa na huzuni ila alimuona Omari kama mtu jasiri sana ambaye hakujali mazingira kuweka hisia zake wazi, alipenda watu wa aina hio maana hata yeye yupo hivyo.
“Kila siku unasema hauna thamani ya kuolewa na mimi kama ni hivyo kwanini unanikataa kila mara , nimekuomba lakini umenikataa ,sawa mwanzo nilikubali lakini leo nimeyaokoa maisha yako , kwanini usinilipe kwa kuwa mke wangu”Aliongea Omari.
“Wewe…!,Kwanini unaongea hivyo?”Aliongea huku akikosa utulivu na kuhisi aibu kwasababu kila mtu alikuwa akimwangalia
“Queen sema ndio , kuwa wangu kwa maisha yako yote na naapia sitokusumbua tena kwenye maisha yako yote hata baada ya kifo , nakuahidi utaishi kwa kuoga mvua ya mahaba kwa maisha yako yote na nitaishi maisha marefu kuzidi wewe ili kutumiza ahadi yangu”
“Lakini .. Omari mimi tayari nina mimba?”
“Nasema sijali, nakupenda hivyo hivyo wewe pamoja na mimba yako hata kama sio yangu “Aliongea Omari akiwa siriasi.
“Huyu ni chizi , jamani huyu ni chizi , nina mtoto chizi..”Aliongea Afande Tozo akishindwa kuamini kile anachokiona lakini hata hivyo hakuwa na cha kufanya , alikuwa akielewa mapenzi ya mwanae kwa Queen yaikuwa ni ya muda mrefu sana.Lakini kilichokuwa kikimtekenya ni kwamba wanakwenda kulea mtoto wa Yan Buwen na watu wangewanyooshea vidole kwani mtoto ambaye angezaliwa angekuwa tofauti sana na Omari , yaani angekuwa mzungu.
“Queen nishafanya kila kitu kukuonyesha ni kiasi gani nakupenda na sasa sina namna tena ya kukushawishi na kama utanikataa ni bora nife tu”Aliongea huku akiinua kiganja cha mkono wake na kuanza kujipiga vibao mashavuni kama mwehu.
“Hapana “ Queen aishindwa kujizuia na kumshika mikono yake huku machozi yakimtoka.
“Ukifa nani anakwenda kunininulia Ice cream ..”Aliongea kwa sauti tamu huku akiweka tabasamu na kumfanya Omari kumwangalia na kisha kulipukwa na furaha, mapenzi yao walipokuwa watoto yalianza kwa Omarri kumnunulia ueen Ice cream za koni.
“Hahaha.. Queen natafsiri maneno yako kama ‘ndio’”Aliongea Omari na kisha akamvutia Queen kwake na kukumbatiana kwa furaha na ndio ikawa Queen alivyoweza kufungua moyo wake kwa Omari kwa mara nyingine.
NB: Wanaume tuwe na subira tule mbivu(Jokes).




SEHEMU YA 478.
NORTH POLE (NCHA YA KASKAZINI YA DUNIA)
Wakati wingu kubwa lililotanda angani jijini Dar es salaam likitawanyika mambo yalikuwa tofauti kabisa kaskazini mwa ncha ya dunia.
Hakukuwa na dalili yoyote ya maisha ndani ya eneo hilo kutokana na mazingira yake kutosapoti maisha kutokana na hari ya ubaridi sana wa barafu.
Chini ya mfuniko wa barafu kulikuwa na chombo kikubwa mno mfano wa manuari ya kijeshi iliojengwa kwa chuma , sasa ndani yake kulikuwepo na maabara ya kisasa mno ambayo imejaa vifaa vingi vya kieletorniki ambavyo vilikuwa vikitoa signal ambazo hazikuwa zikieleweka kwa uharaka, kwenye skrini zilizofungwa ukutani kulionekana maandishi na data ambazo pia hazikutafsrika lakini pia picha mbalimbali zilionekana kwenye skrini nyingine
Skrini zile zilionyesha kulikuwa na vyumba vingine , kwani zilionyesha upande mwingine wa chumba katikati kulikuwa na masanduku kama ‘tube’ ambayo yamejaa virutubisho vilivokuwa kwenye mfumo wa majimaji mazito ,masanduku yalikuwa yametengenezwa kwa kioo hivyo ilikuwa rahisi kuona kile kilichokuwepo ndani yake.
Moja wapo ya sanduku kimiminika chake kilianza kutikisika kwa nguvu na palepale alionekana mwanaume mwenye nywele ndefu akishituka kutoka kwenye usingizi wa pono na kufungua macho yake baada kutoa kichwa nje kimiminika kwani sanduku lile likuwa na uwazi usiojaa kwa juu.
Na pale pale ni kama vile kuna kitu kiliwashwa kwenye akili yake kwani macho yake yalianza kuonyesha hasira na chuki kubwa , alikunja ngumi ndani ya kimiminika kile na ndani ya dakika chache mbeleni alinyanyua mkono na kufikia kitufe kilichokuwa kimetenengezwa kwa ndani na kisha akakibonyeza, ilikuwa ni kama switch kwani palepale kile kimiminika kilianza kufonzwa na mirija iliounganishwa kwenye lile sanduku ambalo lilikuwa kama Tube na dakika nyingine mbele baada ya ule ujiuji wote kuisha mlango wa juu ulifunguka wenyewe na kisha akajinyanyua kivivu na kutoka nje kwa kudondokea chini sakafuni , alionekana alikuwa dhaifu mno.
Upande mwingine mbele yake kwenye meza ya chumba kulikuwa na boksi dogo la mraba la kioo ambalo ndani yake lilikuwa na kitu kama kitenesi cha kung’aa sana na kutoa mwanga mkali huku kikizunguka hewani kwa namna ya kuelea pasipo kugusana na kioo.
“Hades ulifikiria unaweza kuniua kirahisi , siku zote ninaishi nikiwa na mbinu mbadala , nitakuja kukuua tu kadri jiwe la kimungu litakavyoendelea kuwa chini ya umiliki wangu “Aliongea huku akiweka tabasamu la kifedhuli , alikuwa uchi wa mnyama.
Alikuwa ni Yan Buwen , alijitahidi kusimama lakini alikosa balansi na kudondoka chini na alijilaza chali kivivu huku akipumua kama mbwa aliekimbia maili nyingi.
Muda ule ule skrini zilionyesha mlango wa chumba wa kuingilia kwenye chumba kile ukifunguliwa kwa kuslide(kuteleza) kwenda pembeni kama lift huku ukitoa mlio kama wa kengele , vilevile kama lift inavyojifunga na kufunguka na palepale mwanamke alietangulizana na wanaume wawili aliingia.
Mwanamke alikuwa amevalia gauni fupi lililoishia juu ya magoti , lenye maua maua lakini ambalo lilichora vyema umbo lake na kuzidi kuwa mrembo , hakuwa mzungu wala mweupe bali ni sahihi kusema alikuwa ni ‘black Beuty’ na alikuwa akivutia haswa kingono(Sexy).
Mwanaume mwingine alikuwa amevalia kombati za jeshi la Tanzania na mwingine alikuwa amevaa gauni, mavazi maalumu ya wagonjwa na alionekana kuwa na mguu bandia wa chuma.
Licha ya kwamba ncha ya kaskazini ya dunia kuwepo kwa baridi ambalo binadamu hawezi kuvumilia lakini watu hao walionekana kuwa sawa kabisa bila shida yoyote.
Yan Buwen ambaye alikuwa amelala chali aliinua shingo yake kidogo na kuwaangalia watu waliongia hapo ndani na baada ya kuwafahamu alikunja sura na kuonyesha tabasamu la kejeli.
“Nyie watu kwanini mmerudi , si niliwaambia mkaishi kwanza nchini kwenu Tanzania mpaka nitakapowaita?”Aliuliza.
Naam watu watatu ambao waikuwa wakimwangalia walikuwa ni Kizwe , Lekcha na Denisi Senga na haikueleweka kwanini walikuwepo hapo au wamefika lini hususanni kwa Lekcha.
“Hakukua na sababu ya sisi kwenda Tanzania , tuliona tukusubirie hapa hapa na tuliweza kupokea taarifa kutoka Tanzania kwamba umeuliwa na yule mpuuzi, lakini mtu kama wewe kwa ukubwa wako ni sahihi kuona ulikuwa na mpango mbadala”Aliongea Denisi.
“Mhmh! Kwanini? Mbona kama mlikuwa mkiniombea kifo?”
“Hapana bwana”Aliongea Kizwe na kisha akamsogelea na kumnyanyua na kumkarisha kwenye kiti na kisha akamwambia.
“Tungekuwa tushakufa muda mrefu kama isingekuwa wewe kutusaidia , tunakutegemea sana wewe kuua maadui zetu”
“Watu weusi mna akili za kimasikini sana, kama sio mimi wote nyie mngekuwa mnaoza kwenye makabuli”Aliongea huku akitabasamu kwa jeuri , watu waliokuwa mbele yake ni kama walikuwa kituko.
“Master umewezaje kujifufua mwenyewe, unaweza angalau kunielewesha maana inashangaza sana na inanifanya niwe na shauku ya kufahamu japo kidogo”Aliongea Lekcha kwa kunyenyekea na Yan Buwen alimwangalia kwa kiburi.
“Mwili wako licha ya kwamba nimeanza kuutengeneza lakini upo kwenye hatua za mwanzo hivyo huwezi kuwa kama Denisi au Kizwe , kwangu wewe utaendelea kuwa kilema mwokota makopo, Hehe.. hayo ndio yatakuwa maisha yako milele”Aliongea na kumfanya Lekcha kutetemeka
“Ila sijali sana kukuelezea kile unachotaka kujua lakini unaweza usielewe , nilichokifanya ni ku ‘clone’ mwili wangu na nikakopi kumbukumbu zangu zote kwenye biochip”Aliongea harafu akaendelea.
“I sync it and set a password on it and if my original body was destroyed the biochip will be activated and my memories would be pasted over into the new body and so on , The so called scientists of this world would not be able to utilize this technology, I doubt they would be abe to achieve this even in the next century”
“Na kisha kuzilandanisha na kuziwekea nywira na kama mwili wangu wa mwanzo ungeharibika biochip ingejiwasha na kumbukumbu zangu zingejihamisha kwa kuingia kwenye mwili wangu mpya na kuendelea , hao wanaojiita wanasayansi wa ulimwengu huu hawawezi kutumia hii teknolokia , nina mashaka huenda wasiweze kufanikisha hata kwenye kare ijayo”Aliongea kwa majigambo ni kama alijiona yeye pekee ndani ya dunia ndio mwenye uwezo wa kutumia teknolojia ilioendelea.
Lakini muda huo bado alionekana kuwa na wasiwasi kwasababu siku zote alikuwa akimtumia Kigombola kama chanzo cha pesa kwenye kujiendesha lakini kwasababu muda huo kuwa chini ya sheria basi alifikiria anapaswa kutafuta mtu mwingine wa kumfadhili.
Lekcha alioneyaha kuwa kwenye mshangao mno baada ya kusikia maelezo ya Yan Buwen.
Sikujua kama ndio inavyofanya kazi , hakika Master Yan Buwen wewe ni jiniasi”Aliongea huku akijirahidi kuwa chawa
“Hahaha… upo vizuri kwenye uchawa , nimependa”Aliongea Yan Buwen.
“Hapana sio uchawa bali maneno yangu yanatoka kwenye uvungu wa moyo wangu kabisa”
“Sio mbaya . nimependa”Aliongea Yan Buwen na kuwafanya Denisi na Kizwe kuangaliana na kutoa tabasamu ambao lilikuwa na zaidi ya maana , ni kama walikuwa wakimkebehi Yan Buwen.
“Master unajisikia vibaya , mbona kama unaonekana kuwa mgonjwa hivi?”Aliuliza Lekcha ambaye ndie aliekuwa amevlia gauni la mavazi ya wagonjwa,
“Nipo sawa nitapona baada ya kutumia Jiwe la Kimungu kwenye huu mwili na baada ya hapo nitaenda tena kukiamsha Tanzania”Aliongea huku aking’ata meno yake kwa hasira na kumfanya Lecka kuangalia kiboksi ambacho ndani yake kulikuwa na kijiwe cha kung’aa.
“Kwahio hilo ndio jiwe la kimungu , ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia kwa macho?”
“Linaonekana kua dogo si ndio , linaweza kuwa kama kipande cha kajiwe lakini nina mbinu za kuweza kulikuza na kutoa nguvu isiokuwa ya kawaida , The anti-matter energy can be expanded through self absorption”Aliongea na kumfanya Lekcha kuwa kwenye shauku kubwa,
“Maste ngoja nikakuletee angalau mavazi ya kuvaa” Aliongea Lekcha na kumfanya Yan Buwen kuangalia mwili wake ambao ulikuwa uchi , ijapokuwa hakujali kuwa uchi lakini alitingisha kichwa kukubali.
“Yan Buwen inaonekana huyu kilema anakupenda sana na kukujali”Aliongea Kizwe huku akianza kumpapasa Yan Buwen kama wale makahaba wanaofanya kazi kwenye macasino.
Yan Buwen mwili wake ulianza kumsisimka kutokana na ulaini wa mikono ya Kizwe na alianza kuugulia utamu kwa kutoa sauti.Denisi aliangalia bila ya kuwa na wasiwasi.
Kizwe alimpuliza Yan Buwen kwenye masikio kwa staili ya kimahaba , alikuwa akifanya kazi kwa uzoefu mkubwa kama vile alikuwa emefanya kazi kwenye makasino.
“How’s this, am I still a bitch?”
“Unaonaje, bado unanichukulia kama kahaba?”
Yan Buwen aliishia kuguna kutokana na msisimko , ijapokuwa bado hakuwa na nguvu ya kutembea , lakini mikono yake ilikuwa na nguvu hivyo aliishia kumvuta Kizwe na kumuweka kwenye mapaja yake , ni kama alikuwa akimwambia afanye kazi.
Kizwe na yeye alielewa somo na kuinamisha uso wake na kuanza kunyonya koni na kuiingiza yote mdomoni kiasi cha kufikia kwenye koo.
Yan Buwen alijikuta akigugumia utamu alijikuta akitiginsha kichwa huku akifurahia huduma anayopewa.
Muda huio huo , Lecka alisharudi akiwa ameshikilia nguo mfano wa joho , macho yake yaliongezeka ukubwa mara baada ya kushuhudia Kizwe akipiga blow job lakini alijitahidi kujizuia na kujiweka sawa ili asishitukiwe.
“Master naomba uniruhusu nikuvalishe “Aliongea na Yan Buwen alikuwa kwenye ulimwengu mwingine kutokana na joto la mdomo wa Kizwe na aliishia kutingisha kichwa akimpa ishara ya kumvalisha.
Kizwe muda ule ule aliinua macho yake juu huku akiendelea kuitafuna mashine ya Yan Buwen na ulimi na Lekcha alimpa ishara flani na palepale Kizwe aling’ata dudu ya Yan Buwen kama kipande cha nyama
“Argh..!!!”
Yan Buwen alijihisi kama mnyama amefungua kifua chake kwa maumivu alioweza kusikia na yaliweza kufika kwenye ubongo wake , lakini kabla hajafanikisha kumsukuma Kizwe kuachia dudu yake, Lekcha alichomoa kisu palepale kutoka kwenye vazi alilokuja nalo na kumchinja kwenye shingo kwa kulengesha mshipa mkubwa wa damu.
Ali’chikita’ kwa nguvu kama anachinja kuku kiasi kwamba kisu kilikata misuli yote ya shingo na kikalemea upande mmoja na damu mfululizo ziliruka kama bomba la maji ya Dawasa na damu zilimrukia Lekcha na Kizwe.
Kizwe na yeye aling’ata kabisa dudu yake yote na kipande kilibakia mdomoni na alifanya kukitema chini baada ya Yan Buwen kudondoka chini na kuanza kutetema akikata roho kama Kuku alielekezwa Kibra.Denisi alipiga makofi ya shangwe.
“Vyema sana , vizuri sana , Welldone mmefanya kazi nzuri bila kuhiraji msaada wangu”Aliongea na Lekcha ambaye ameloana damu usoni alitupa kisu chini mara baada ya kumalizia kutenganisha shingo ya Yan Buwen na kiwiliwili kikatili mno na kulamba baadhi ya damu zilizokuwa kwenye lipsi ya midomo yake.
“Dumbass . how dare you to act so arrogant in front of us when you have not recoverd , everything you owned now belongs to me , Hahahaha… Hades wait fo me”
“Mpumbavu , Unapata wapi uthubutu wa kuleta kiburi mbele yetu wakati hujapona ,sasa kila kitu chako kimekuwa changu , Hahaa,, Hades nisubirie nakuja”Aliongea huku akianza kucheka na kutembea kulisogelea jiwe la Kimungu na baada ya kulifikia aliinua kile kiboksi kwa mikono yote miwili na kuanza kucheka tena zaidi ya sana huku akilikodolea macho na jiwe lile lilitoa mng’ao wa aina yake na kufanya chumba chote kubadilila rangi.
“Hatimae funguo ya kulipiza kisasi changu ipo mikononi , Hades ulinifanya kuwa kilema na bahati mbaya hukunikumbuka na nitakulipa zaidi ya mara mia maumivu ulionisababishia”Aliongea Lekcha kwa hasira.
Wakati Roma akijua ashamaliza kazi ndio kwanza inaanza.
Huku Kizwe katikati Lekcha kule Denisi wote wanachuki na Roma na wamepata jiwe la Kimungu , unadhani nini kitatokea.
Lekcha amefikaje North pole , Aliwezaje kufanywa kilema na Roma ,Athena yupo wapi Aisee ni motoo
Hatariiii
 
SEHEMU YA 479.
Uhai na kifo ni kitu kimoja kama ilivyo mto na bahari kuwa kitu kimoja , Yan Buwen licha ya kuwa na nguvu kwa kiasi kikubwa lakini hakuwahi kuwaza kifo chake ni baada ya kuhamisha kumbukumbu zake kwenye mwili mpya.
Upande mwingine nae Roma akijua kwamba amemuua Yan Buwen hakujua kwamba mwenzake alikuwa hai na aliweza kuuliwa na watu dhaifu kama Kizwe na Lekcha.
Lekcha alitemea mate maiti ya Yan buwena kana kwamba anautangazia ulimwengu mwanasayansi nguli kutoka taifa la China ameweza kufa kikatili.
“Una uhakika unaweza kutumia teknolojia zake?”Aliuliza Denisi.
“Ushasahau alichoongea , amesema kuna kitu ametumia ku syncronize memori zake kwenye mwili wake mpya”
“Lekcha unamaanisha Biochip?”Aliuliza Kizwe.
“Upo sahihi , tunachotakiwa kufanya ni kupasua ubongo wake na kuitoa na tunaweza kupata kila taarifa na baada ya hapo tutakuwa na uwezo wa kupata nguvu , nina uhakika kama hatutamshambulia Roma ana kwa ana kama huyu mjinga tunaweza kumshinda huku sisi tukiwa nyuma ya pazia”Aliongea Lekcha akimaanisha kwamba kwasababu Yan Buwen ameshindwa kumdhibiti Roma basi uwezekano wao wa kumshinda kwa kupigana nae ana kwa ana unaweza usifanikiwe , hivyo njia pekee ya kumzidi ni kumshambulia kwa njia isiokuwa ya moja kwa moja.
“Kama ni hivyo basi nipo tayari , nitahakikisha mahitaji yote unapata ya kiuendeshaji”Aiongea Denisi.
“Licha ya kwamba baba yako ni raisi lakini kupata kiasi kikubwa cha pesa kusapoti uendeshaji wa hili eneo sidhani kama utakuwa nao”Aliongea Kizwe.
“Hilo lisikupe shida , mimi ni mtoto pendwa kutoka kwa baba yangu hawezi kushindwa kunifanyia uchochoro wa kukwapua bilioni kadhaa za watanzania”Aliongea na Kizwe na Lekcha waliangaliana na kutabasamu.
*******
Upande wa Tanzania ilikuwa ni kizaa zaa mara baada ya raisi Kigombola kujipiga mwenyewe risasi ya kichwa , Roma kama angeamua kumuokoa angefanikisha lakini hakutaka kufanya hivyo.
Watu wote walishangazwa na maamuzi yake , lakini hakuna ambaye alimlaumu kwa maamuzi alioyachukua kutokana na makosa ambayo amefanya na kama sheria ingechukua mkondo wake huenda angehukumiwa jera miaka isiopungua therathini kisheria hivyo ingekuwa moja kwa moja maisha yake yote angeyamalizia gerezani na huenda ndio sababu alioona inafaa kujimaliza mwenyewe .
Neema licha ya kwamba alimchukia alijikuta akilia mno na sio yeye Donyi pia alimlilia baba yake , kila mmoja alieweza kushuhudia kile kilichotokea aliweza kulia na kushikwa na huzuni.
Licha ya kigombola kujiua , lakini huku nyuma alikuwa ameacha kiasi kikubwa cha utajiri na kutokana na mali zake alivyokuwa akizimiliki basi hata kama serikali itachukua hatua ya kuzifuatilia ingekuwa ngumu kuzitaifisha , kwani nyingi zilikuwa kwa majina bandia.
Athari kubwa ambayo inatarajiwa kutokea kwasababu ya kifo chake ni ile nguvu aliokuwa nayo serikalini kupotea , watoto wake ndio walikuwa wanasiasa lakini walikuwa na nguvu kutokana na kwamba baba yao ndio aliekuwa akiendesha usukani, sasa dereva amekufa gari halina budu kuyumba na hatimae kupoteza mwelekeo.
Kifo cha Kigombola watu ambao wanakwenda kunufaika kwa kiasi kikubwa ni familia ya Afande Kweka, mathalani kwa raisi mwenyewe Senga, kwani tokea ayachukue madaraka kuna maamuzi ambayo alikuwa akishindwa kuyachukua kutokana na namna ambavyo Kigombola alikuwa akiingilia uongozi wake , hivyo kifo chake ni kama angeenda sasa kuwa raisi kamili na mwenye ushawishi kwenye maeneo karibia yote ndani ya taifa.
Huenda baada ya habari kuzisikia kutoka Marekani alipokuwepo kikazi atakuwa anashangilia kwa shangwe.licha ya kwamba yeye sio aliefanikisha kifo chake bali msababishaji mkuu ni mtoto wake Roma ambaye siku zote hakutaka kumtambua.
Baada ya taratibu zote hapo ndani kumalizika za kuondoa mwili wa marehemu kwa ajili ya kupeleka hospitalini kuhifadhia , Roma alikadiria muda ambao Edna angefika Tanzania na kwa haraka haraka aliamini kama ni kufika Dar es salaam ingekuwa ni usiku sana , hivyo hakuwa na haja ya kurudi nyumbani kwani angeenda kuwa mwenyewe.
Alichokifanya ni kuondoka na Neema Luwazo pamoja na Donyi ambao wote walikuwa kwenye majonzi ya kifo cha Kigombola , aliona akae nao karibu kwa ajili ya kuwafariji.
Neema mara baada ya kurudi kwenye jumba lake wageni waliokuwa wakimpa salamu za pole walikuwa wengi mno , maana habari za kifo cha mheshimiwa zilikuwa zishawafikia watu wengi.
Roma aliwasiliana na Ron kuulizia kama Edna amekwisha kuondoka Visiwa vya wafu na Rona alimwambia Edna anatarajia kuondoka asubuhi ya saa tano mchana kwani na Blandina na Bi Wema wote hawakuona haja ya kuendelea kubakia kwenye hivyo visiwa ilihali hakuna ambae walikuwa wakiwafahamu.
Roma baada ya kusikia hivyo aliamini mpaka muda ambao watakuja kutua nchini Tanzania ni siku inayofuata sasa, muda wa asubuhi siku hivyo alimpigia simu Diego na kumtaarufu amerudi na Edna angerudi siku inayoafuata hivyo wanapaswa kuwa makini na usalama wake atakapofika.
*******
Ilikuwa ni siku nyingine kabisa , Roma aliamkia ndani ya nyumba ya Neema Luwazo kama vile yeye ndio mwenye nyumba, baada ya kupata kifungua kinywa aliamua kuwasindikiza mpaka msibani ambako alikaa kwa masaa kama matano hivi.
Baadhi ya watu walikuwa wakimwangalia kwa chuki lakini hakujali , kwanza sio yeye ambaye alimuua Kigombola bali alijiua mwenyewe, hakuhisi hatia ya kile kilichotokea.
Wakati Roma anatoka msibani kurejea mjini ilikuwa ni saa nane kwenda saa tisa , wakati alipokuwa kwenye gari alikuwa akijaribu kufanya mawasiliano kwa kumpigia Edna simu lakini ajabu ni kwamba simu yake haikuwa ikipatikana, alishangaa kwani kwa muda huo atakuwa tayari ashafika Tanzania kama kweli walitoka saa tano , sasa alijiuliza imekuwaje simu yake isiwe hewani, alijua Edna anaweza kuwa na hasira na yeye lakini hawezi kuzima simu ili asipatikane hewani kwa makusudi , alichokifanya ni kumpigia simu mama yake mzazi.
Na ndipo alipoambiwa Edna aliondoka nyumbani mara baada ya kurudi tu na kuaga anaelekea kazini.
“Roma nenda huko huko ofisini kwake ,mkayamalize maana alikuwa amenuna njia nzima mpaka tunafika Tanzania , msipo yamaliza mapema hali inaweza kuwa mbaya zaidi mbeleni , umekosea mwenyewe kumuacha mwenzio wakati ulikuwa usiku wake wa kwanza baada ya ndoa,Mnunulie na chakula umpelekee”Aliongea Blandina kwenye simu na Roma alimwambia anaelekea huko na asiwe na wasiwasi atayamaliza.
Ilionekana Blandina mara baada ya kutoka Visiwa vya wafu alikwenda kuishi tena nyumbani kwa mwanae .
Roma baada ya kufika Posta aliingia kwenye mgahawa wa vyakula vya haraka (Fastfood) na kununua chakula ambacho aliamini Edna atakipenda , aliotea kwamba muda huo Edna atakuwa hajala chochote kutokana na kuwa na hasira pamoja na mawazo ndio maana alichukua maamuzi ya kufanya hivyo
Dakika kumi na tano mbele aliweza kufika ndani ya jengo la kampuni ya Vexto na alishuka na kisha aliingia kwenye lift na kupandisha moja kwa moja mpaka kwenye floor ambayo ofisi ya Edna inapatikana.
Roma baada ya kufika kwenye meza ya sekretari aliweza kumuona Recho akutokea ndani ya ofisi ya Edna.
Alikuwa amevaa suti ya rangi nyeusi na viatu vya visigino virefu huku mkononi akiwa ameshikilia mafaili , Roma alijiambia Recho anazidi kupendeza siku hadi siku na hivi karibuni alionekana kuonesha mabadiliko makubwa zaidi , kwanza alionekana kuwa na furaha.
“Roma umerudi? Umechelewa kuja maana naona bosi hayupo kwenye mudi nzuri”Aliongea Recho kwa heshima huku akitabasamu.
“Ndio maana nimekuja kumuona , huenda naweza kumfanya kuwa na furaha”Aliongea Roma na kumfanya Recho kutabasamu.
“Yupo kwenye ofisi yake lakini ana mgeni”.
“Mgeni?”Roma alishangaa kwani kwa alivyokua akielewa taarifa za Edna kuwa likizo zilikuwa ni rasmi , hivyo ilikuwa ngumu kwa mgeni kuja ofisini kwake kwa siku kama hio ambayo ndio kwanza tu amerudi kutokea Mediterranian.
“Ni nani?, au ni mtu ambaye namfahamu?”
“Sina uhakika kama unamfahamu, kwa majina yake ni Hanson , ni mzungu na inaonekana wanafahamiana sana na bosi”Aliongea Recho na kumfanya Roma sura yake kujikunja .
“Asante , unaweza kuendelea na kazi zako”
Recho alitaka kuongea neno lakini alishindwa kuongea lolote , kwa namna ambavyo Edna alionekana tokea asubuhi , kama mwanamke alijua tu kulikuwa na tatizo kati yake na Roma , hata hivyo alikuwa na taarifa zote kwamba Edna alikuwa amesafairi kwa ajili ya kwenda kufanya sherehe ya harusi na hata yeye mwenyewe alishangazwa na kurudi kwake kwa ghafla.
Roma alivuta pumzi na kisha aligonga mlango.
“Come in”Sauti nyororo ya Edna kutokea ndani ilijibu na Roma alisukuma mlango na kisha akaingia ndani huku mkononi akiwa na mfuko wake wa vyakula.
Edna hakuwa amekaa kwenye kiti chake cha kufanyia kazi , bali alikuwa amekaa kwenye sofa , alionekana kupauka kidogo lakini kauzu zaidi , hisia mbalimbali zilipita kwenye moyo wake mara baada ya kumuona Roma.
Roma macho yake yote yalikuwa kwa mwanaume wa kizungu ambaye alikuwa amekaa upande wa kushoto kwenye sofa.
Alikuwa ni Hanson , yule yule wa miezi kadhaa iliopita baada ya kukutana nae mara ya kwanza kwenye kusanyiko la wahitimu wa chuo cha oxford ,wanadarasa wa Edna.
Hanson baada ya kumuona Roma ndio ameingia alisimama kwa haraka na kisha alimwinamia kwa ishara ya kumsalimia.
“Mr Roma nice to meet you again”Aliongea Hanson lakini Roma hakujibu salamu yake zaidi ya kwenda kuweka ule mfuko juu ya meza.
“Mama kanipigia simu na kuniambia nikuchukulie chakula kwa waswasi hujala chochote mchana”Aliongea Roma huku akitoa tabasamu hafifu akimpotezea Hanson mzungu.
Edna aliangalia ule mfuko kwa dakika kadhaa na kisha akarudisha macho yake chini.
“Haina haja, nishakula tayari”Aliongea Edna kwa sauti kavu
“Ndio usijali Mr Roma nilimshawishi muda wa mchana tukapate chakula mara baada ya kugundua hajakula chochote tokea asubuhi”Aliongea Hanson
“Kwahio unasema mlipata chakula cha mchana pamoja?”Aliuliza Roma huku akianza kupandwa na hasira pamoja na wivu.
Edna ambaye alikuwa akiangalia sakafu alihisi Roma kuwa katika hasira hivyo aliinua shingo yake na kumwangalia.
“Ndio tumekula pamoja, nimefahamiana nae kwa muda mrefu sikuona kuna tatizo kama nitakula nae chakula cha mchana”Aliongea na kumfanya Roma amwangalie Hanson kwa macho makali na alimfanya mwenzake kuhisi ubaridi wa woga kusambaa mgongoni.
“Kwanza kwanini upo hapa?”Aliuliza swali Roma kwenda kwa Hanson
“Mr Roma tafadhari usifikirie vibaya , nadhani unajua nimechaguliwa kuwa mwakilishi wa kampuni ya magari ya BMW ndani ya Afrika ili kupanua soko hivyo kampuni imeamua kufungua tawi ndani ya Afrika mashariki na nimeichagua Tanzania, nimeona nifanye ushirikiano wa kibiashara na Edna”Aliongea.
“Nenda kwenye idara husika sio hapa, halafu siku nyingine ukikutana na mke wangu sitaki umwite kwa jina lake unaweza kumuita kama Mrs Roma au CEO Edna”Aliongea kibabe na kumfanya mzungu wa watu kupauka uso kwa woga.
“Romaa!” Edna alikunja sura kwa hasira na kisha akasimama.
“Nani kakupa ruhusa ya kumkaripia mgenni wangu na kumpa maagizo utavyo?,Kwanini unaingilia kazi yangu?”Aliongea kwa kufoka.
“Mpaka sasa unatakiwa kuelewa nimejitahidi kuwa mpole la sivyo angekuwa marehemu tayari”Aliongea Roma huku akimwangalia Hanson kwa macho makali mno na kumfanya kutetemeka.
“Ndio kwanza umerudi nchini, tena kabla hata likizo yako haijaisha lakini ameweza kufahamu umerudi na kuja moja kwa moja ofisini kwako na kuanza kuzungumzia maswala ya kazi , nani mwenye akili timamu anaweza kuamini hakuna ajenda nyingine anapanga kwenye kichwa chake?,Unataka uniambie amekuja ofisini na kubahatika kukutana na wewe?”
“Unamaanisha nini wewe?”
“Unaniuliza namaanisha nini tena?”Aliongea Roma huku akicheka kwa kicheko cha hasira huku akimwangalia.
“Kama amekuja hapa akifahamu upo ofisini basi ninaweza kusema sio bahati mbaya bali kuna uwezekano nyie wawili mna mahusiano au mnawasiliana kwa siri, au nadanganya?”Aliuliza Roma.
“Mr Roma nadhani unanifikiria vibaya , niliweza kupata taarifa Edna asharudi hapa nchini na imetokea na mimi sijaondoka hivyo nikaona sio mbaya kuja kuonana nae ili kujadili kuhusu mipango yangu ya kibiashara”.
“Unafikiria ninaweza kukuamini?” Aliongea na kumfanya Hanson kukaa kimya huku akitetemeka.
Upande wa Edna alijikuta machozi yakianza kujitengeza kwenye macho yake , ilionyesha muda wowote angetoa kilio.
“Roma unanishuku...?”
“Nimeona kwa macho yangu na kusikia pia kwa masikio yangu, kwaninni useme nakushuku wakati ushahidi upo?”
“Tulikula chakula pamoja huku tukizungumzia maswala ya biashara , kwanini unakuwa na uwezo mdogo wa kufikiria?”
“Unaniambia nina uwezo mdogo wa kufikiria ?”Aliongea Roma huku akitingicha kichwa chake kwa hasira.
“Unajiona upo sahihi kumwambia ana uwezo mdogo wa kufikiria mbele ya huyu mwanaume , ujasiri huo unautoa wapi?”
“Bora hata yeye hawezi kuingia kwenye ofisi ya watu na kuanza kutoa vitisho bila kuelewa ukweli wote”Aliongea Edna huku akimwangalia Roma kwa macho makali.
Roma alijikuta kichwa chake kutaka kumpasuka kutokana na hasira alizokuwa nazo kwa Edna kumjibisha ujinga na kumlinganisha na Hanson.
Haikueleweka Hanson kawezaje kupata taarifa ya kurudi kwa Edna nchini , lakini ujio wake ndani ya ofisi ni kutaka kujenga ukaribu wa kibiashara na Edna, hakuwa na mawazo ya kumfanya mwanamke wake wala mchepuko bali alichokuwa akilenga ni kutaka kuwa na ukaribu na Roma pia kupitia kwake ili aweze kufanikisha maswala yake ya uwekezaji na wazo hilo alipewa na Tajiri Azizi kwamba ili arahisishe maswala yake ya uwekezaji nchini basi anapaswa kuwa na urafiki na Roma.
Lakini tatizo kwa mtu yoyote lazima angefikiria kama Roma kwa hali ilivyokuwa , Edna alikuwa amesafiri na likizo yake ilikuwa ikifahamika kiofisi na mara baada ya kukatisha likizo yake tu na kurudi ofisini Roma anamkuta yupo na Hanson , ukizingatia urembo wa Edna lakini pia umaarufu wake kama mwanamke tajiri ni sahihi kwa mwanaume huyo kuona anammendea au wana mawasiliano.
Hanson hakuelewa kama kuna ugomvi kati yao na mbaya zaidi ni kama alijiingiza na kuwa katikati ya ugomvi.
“Mr Roma and CEO Edna , I shall take my leave , Please calm down”Aliongea Hanson lakini kutokana na macho makali ya Roma alishindwa kujua aondoke au abaki.
“Mr Hanson unaweza kuondoka hatokufanya chochote”Aliongea Edna na kumfanya Hanson kujisikia ahueni na kisha aliondoka huku akiwa mwekundu na jasho kumtoka, alikuwa akizisikia habari za Roma ndio maana alikuwa akimhofia na mbaya zaidi alikuwa kwenye nchi ambayo sio yake.
Edna alimwangalia Roma usoni kwa dakika kadhaa na kisha akarudi kwenye meza yake ya kufanyia kazi.
“Ameondoka sasa, umeridhika?”
“Kwahio ulidhania nilishindwa kutomfanyia chochote?” Aliongea Roma huku bado akionekana kuwa na hasira na kumwangalia.
“Unataka kufanya nini tena, si yashaisha?”Aliongea na kumfanya Roma kulazimisha tabasamu.
“Tokea siku ambayo tumeweza kukutana nilifanya kila kitu ambacho ulitaka nifanye , nilikuacha pia ufanye vile utakavyo na nilijitahidi sana kukufarahisha, nakubali nimefanya mambo mengi ya kukukasirisha na kwa hilo naelewa sana na ndio maana sikutaka kukulazimisha kunifanyia chochote”Alivuta pumzi na kuendelea.
“Sikuweza kuwa makini kwenye usiku wa ndoa na kukukasirisha na hilo nakubali na najua nimefanya makosa kuondoka lakini nikuambie kwamba sijutii kabisa maamuzi yangu , sijutii kwani maamuzi nilioyafanya yalisaidia kuokoa maisha ya watu , Haijalishi una hasira kiasi gani lakini angalau jaribu kuelewa wapi natokea na mimi ni nani , najua wewe ni mgumu sana kujishusha mpaka kufanya maamuzi ya kurudi mapema nje ya makubaliano hilo pia kwangu ni sawa kwani nakufahamu ulivyo , lakini nimekuja hapa kwa ajili ya kuyamaliza..”Aliongea Roma na hasira zilianza kujitengeneza kwenye macho ya Edna.
“Kwahio hicho ndio kimekuleata hapa , kwamba nikushukuru kwa kipindi chote mabacho umenivumilia na kuniaacha nikifanye nikavyo?”
“Hapana, ninachokuelezea ni kwamba kuna baadhi ya mambo napaswa kufanya bila hata ya kukutaarifu, Unajua unanifanya muda mwingine niwe na shauku ya kujua nini kipo ndani ya moyo wako , Kwanini unakosa huruma?’Aliongea Roma huku akijitahidi kujiruliza.
“Unamaanisha nini mimi kukosa huruma?”Aliongea huku akionyesha kutoridhishwa na kauli yake.
“Edna hivi unafikiri ninaweza kuvumilia tabia yako, au niache kila kitu kinachonihusu kwa ajili yako , ninaweza kuvumilia kisirani chako, ninaweza kukuvumilia kwa kunikataa kwenye usiku wetu wa ndoa , ninaweza kukuvumilia kwa kurudi bila hata ya kutaka ruhusa yangu au kutotaka kunisikiliza ….Lakini swezi kukuvumilia kukutana na mwanaume yoyote yule bila mimi kufahamu, hususani mwanaume kama yule au unafikiri nina moyo mkubwa wa kukuruhusu unisaliti , unadhani ninaweza kukunyenyekea na kukuruhusu kukutana na mtu yoyote unavyojisikia kwasababu na mimi nina wanawake nje?”
“Naomba usiendelee kuongea” Aliongea Edna huku akitetemeka na machozi kumtoka.
“Huwezi kuniongelesha hivyo mimi”
“Hahaha,,, kwanini nisiweze , Edna hivi unajiona wewe ni keki au mungu mtu na kukuacha ufanye utakavyo , ngoja nikuambie kwangu wewe ni muhimu na nakiri nakupenda lakini ukithubutu kunikasirisha na kutaka kua juu yangu sishindwi kukutembeza uchi kwenye hio mitaa ya jiji huko nje , usitumie mapenzi yangu kama siraha ya kutaka kunipanda kichwani , huna thamani yoyote bila mimi wewe…”
“Wewe..”
Edna alishindwa kuongea lakini hakuwa tayari kusikia maneno yake tena , alijihisi kukosewa sana , alikuwa na hasira kiasi kwamba alinyanyua mkono wake kutaka kumpiga Roma kibao , lakini Roma hakutaka kumpa nafasi aliushika mkono wake kwa kuudaka.
“Unataka kunipiga, unafikiri kama nitaamua kupigana na wewe unaweza hata kunigusa.?”
“Wewe…wewe mwanaharamu nakuchukia..”Aliongea na kuanza kulia kwa kwikwi lakini machozi yake hayakumyumbisha Roma.
“Sasa hivi nimekuja kugundua kukujali kwangu sana imenifanya kuwa kipofu na unaanza kunichukulia poa..”Aliongea Roma na kisha alimsukumia kwenye meza.
Alibananishwa kwenye meza kiasi kwamba aliweza kuhisi pumzi za Roma kumpuliza usoni..
Walijikuta wakiangaliana usoni kama makondoo huku wakiachana nafasi kwa umbali wa sentimita moja, Edna alianza kupaniki lakini upande wa Roma aliachia tabasamu flani hivi kama vile aliekuwa mbele yake ni adui, lilikuwa tabasamu la kifedhuli.
“Edna siwezi kuwaacha wanawake wote ambao nawapenda , wanastahidili ulinzi wangu haijalishi ni Rose ,Amina au Nasra , kwanini niwaache wakati wapo tayari kufanya chochote kwa ajili yangu au unafikiri kwamba wao ni tofauti na sio warembo na wasingeweza kupata mwanaume bora zaidi yangu? , ngoja nikuambie Neema alikuwa tayari kufa na mimi licha ya kwamba alikuwa na nafasi ya kuachana na mimi na kuyaokoa maisha yake , kwanini unajiona kama wewe ndio pekee ambaye unaweza kuwa mke wangu na wao hawawezi?”
“Kama unawaona bora zaidi acha kupoteza muda wako na mimi na chukua mmoja wapo umuoe”Aliongea Edna kwa kiburi.
“Unaongea nini wewe, nikuache wakati hatujamalizana”Aliongea Roma na kisha alianza kuyalamba masikio ya Edna kwa spidi..
Edna damu zilianza kumchemka huku akishindwa kujua Roma anataka kufanya nini , lakini kwa jinsi Roma alivyomkaribia hakuwa mjinga kufahamu ni nini kinafuatia.
NB: kipande kinachofuatia kina mambo ya ki utu uzima kama wewe ni mtoto ishia hapa tukutane next season.




SEHEMU YA 480.
Roma macho yake yalichanua huku akijihisi msisimko usioelezeka, upande wa Edna alishindwa kufanya chochote.
“Nilijitahidi sana kuvumilia kwa zaidi ya miezi tisa, lakini sasa hivi tushafunga ndoa rasmi nadhani ni muda sahihi wa kukamilisha ndoa yetu”
“Roma …Romaa..”
“Nini .. au wewe sio mke wangu?”
“Roma najua haupo hivyo … subiri tusifanyie hapa ofisni”Edna alibembeleza lakini maneno yake hayakuwa na athari kwa mbogo ambayo ishaamua lake kichwani na alijihisi mwichi kugusana na mapaja yake.
Ijapokuwa lilikuwa ndani ya suruali lakini aliweza kuhisi joto lake na namna ambavyo limetuna alizidi kuona aibu za kike , Roma hakujali , alianza kumbusu kwenye paji la uso akaenda kwenye mashavu , mdomoni na kisha akanyanyua kidevu chake juu na kuanza kulamba shingo.Mtekenyo wa ulimi ulimfanya kuanza kuhema kwa shida
“Roma…”
“Unanukia vizuri sana mke wangu”
Harufu nzuri Roma aliokuwa akiinusa kwenye mwili wa mrembo Edna ilimfanya mashetani yake kucharuka maradufu na hakukuwa na uwezo wa kuyashusha kwa muda huo.
Alimwangalia usoni huku akitabasamu na kisha akapitisha mkono wake kwenye kiuno chake na kumminyia kwake na hakuishia hapo tu mkono mwingine aliupandisha mpaka kwenye nyonyo zake zilizosimama , mkono wa kushoto haukuishia kwenye kiuno tu bali uliendelea kusafiri mpaka kwenye makalio na kuyaminya minya kama embe.
Koti lake la suti alilovaa liliachia lenyewe na kumfanya iwe rahisi kuanza kufungua vifungo vya shati lake na kuchomoa nyonyo na kulipima na kiganja chake cha mkono na aliona linaenelea vyema na kuanza kuminya minya.Yalikuwa malaini kiasi cha kushindwa kufanannisha na kitu chochote.
Edna aliweza kuhisi mwili ukimtetemeka kila muda ambapo alikuwa akisungua chuchu zake, ilionyesha ndio eneo ambalo lilikuwa likiamsha muwasha washa na kumfanya kuanza kushindwa kuvumilia na kugugumia kwa kutoa kilio ambacho kilizidi kumfanya Roma kuchanganyikiwa , Macho ya Roma yalivyolegea ilionyesha kama mtu ambaye alikuwa na kiu na mbele yake ni mto na hakuna namna anaweza kuvuka upande wa pili pasipo kukata kiu yake.
Edna alijikuta akihisi kusisimkwa na mwili sana kila saa anayoguswa na alijikuta akiacha kukamaa mwili na kulegea mwenyewe ili kuruhusu utamu usambae kila kona ya mwili wake.
Alifumba macho kwa utamu huku machozi yakianza kumtirika, sio kwa kuchukia kile anachofanyiwa bali alishindwa kuyazuia kutokana na kiwango kikubwa cha hisia, ni msisimko ambao ndio mara yake ya kwanza kuhisi.
Alijikuta hata akiona aibu baada ya kuhisi mchuzi ukianza kutoka sehemu zake za siri na ilikuwa ni kama eneo limekuwa wazi na upepo kuingia hivyo kuhitaji kitu chochote cha kuongezea ili kuziba upepo usiingie.
Alijiambia huyu mwanaume alianza kumkasirisha na kumfokea lakini bado tu amefanikiwa kumnyegesha na sasa amejilegeza na kuacha afanye kile anachotaka.
Edna alikuwa na wasiwasi kwasababu wapo ndani ya ofisi lakini alishindwa hata kuinua mdomo na kusema Roma usiendelee, ni zaidi ya miezi nane tokea waishi pamoja na huenda alitakiwa kumruhusu kumfanyia hivyo mapema , lakini kwa muda huo ni kipi angeweza kufanya , hata hivyo ni mume wake.
Alijiambia labda maisha yake yote ataishi kwa kukasirishwa na kuchokozwa na huyu mwanaume lakini mwisho wa siku angejilegeza kwake.
Edna akili ilimtoka mara baada ya Roma kushusha suruali yake ya suti chini kwa kuikusanya na nguo ya ndani na kisha kupeleka mkono kwenye mbususu yake, alijikuta akikosa uvumilivu na kutoa mguno wa mahaba lakini Roma hakutaka apige kelele alimshika kidevu chake na kuanza kumpa kiss na aliweza kupokea kwa hiari yake kwa pupa huku miguu yake ikikosa balansi maana alianza kutetema kama Mayele lakini Roma alikuwa imara kumshikili.
Alijikuta akihisi kitu kama mkojo ukimtoka na alishindwa kujizuia na kuruhusu utoke , lakini aliishia kuona aibu na kuanza kulia, huku akishindwa kuelewa kwanini mwili wake unamwaibisha na kuanza kujikojolea.
“Sijategemea mke wangu kuwa hisia kali kiasi hichi , sio kwa maporomoko haya ya maji”Aliongea Roma kwa kutania lakini Edna alishindwa kuongea zaidi ya kuguna na Roma alimbusu shavuni kwa upole.
“Wakati tunafanya kwa mara yetu ya kwanza ulikuwa umelewa , lakini sasa hivi upo na akili yako timamu nataka ujue kwamba itakuwa inauma lakini tamu na ole wako siku nyingine unichokoze mwendo ni huu huu…”Aliongea Roma lakini Edna alishindwa kuelewa anamaanisha nini kwani alikuwa kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
Roma na yeye hakujali sana , alichokifanya ni kumalizia kutoa nguo zake zote zilizobakia mwilini na kumuacha akiwa mtupu kabisa na kisha akapeleka mdomo kwenye manyonyo na kuanza kunyonya na kumfanya Edna kuweka mkono yake mdomoni akijiuzia asitoe sauti kubwa kwa kuhofia huenda Recho yupo nje.
Roma hakujali aliendelea na kazi pasipo ya kujali mtetemo wa Edna na baada ya kuridhika alivua suruali yake na kuishusha chini na mtambo ukafyatujka kwa nje huku ukiwa na hasira.
Roma alimshika kiuno na kisha alimnyanyua na kumpandisha kwenye meza huku akiendelea kumpiga Denda kwa dakika kadhaa na huku chombo yake ikiisuguanisha karibu na mlango wa kuingilia ndani , Edna alizidi kutoa unyevu nyevu mtelezo kwa wingi.
“Hubby …naogopa” Aliongea Edna kwa sauti ndogo ya kubembeleza lakini ya kuvutia.
Roma muda huo alikuwa kama amechangayikiwa na hakuwa na mpango wa kuacha kile alichokipanga .
“Nishakuambia itakuwa inauma lakini muda huo huo itakuwa tamu”Aliongea Roma kwa sauti nzito lakini yenye kubembeleza na Edna kabla hajaitikia alishitukia tu mwichi ukizama ndani na kumsababishia ubaridi wa aina yake uliosafiri kuanzia kichwani kupitia mgongoni na kwenda kutua kwenye mbususu.
“Oh…”
“Ah.!”
Wakati Roma akihisi utamu , upande wa Edna alihisi maumivu na machozi yalianza kumtoka, ijapokuwa alikuwa ashawahi kufanya lakini kutokana na kukaa muda mrefu sehemu yake ni kama imerudi kuwa ya msichana tena.
Roma alifurahia mno mchezo maana alikuwa akibanwa vizuri mno na aliweza kuhisi hisia za aina yake , ni hisia ambazo zilikuwa za tofauti mno na zile alizokuwa akipata wakati akifanya mapenzi na wanawake wake wengine.
Mpaka hapo sasa tunaweza kusema ndoa yao imekamilika maana ndoa hukamilishwa na tendo la ndoa na hicho ndio ambacho kilikuwa kikifanyika , ijapokuwa ilikuwa ni ofisini lakini maana ni ileile tu kwamba hilo nalo ni tendo la ndoa linalofanyikia ofisini.
Zilipita kama dakika kumi na tano wakati Roma akiendelea kupeleka mbele na nyuma kama anacheza amapiano alijihisi naniliu yake uvutwa kwa ndani kwa staili ya kukabwa , alishindwa kuamini anachofanyiwa na Edna na aliishia kumwangalia usoni na kutabasamu.
“Edna mke wangu , sikujua kama una mbinu zako za siri, umefanya kwa kudhamiria nini , unaonekana kama mzoefu umewezaje kuifinyia kwa ndani”Aliongea Roma lakini Edna alishindwa kujibu chochote zaidi ya uangalia pembeni kwa kuona aibu kumwangalia usoni hata hivyo alishindwa kumuelewa anamaanisha nini kusema kufinyia kwa ndani.
Roma alijiua Edna hakuwa akifanya makusudi kuifinyia kwa ndani ila ni namna ya asili ya mwili wake ulivyo, hata hivyo licha ya kwamba Edna hakuwa na udhoefu lakini alitokea kumpagawisha na kumfanya ajihisi kama yupo juu kileleni mawinguni.
Alikuwa amekutana na wanawake wengi na kuwa mdhoefu lakini hisia alizokuwa akipata zilikuwa za aina yake, Edna na yeye ni kama alikuwa akianza kuishiwa na pumzi maana ni zaidi ya magori ambayo amefunga.
“Arrgh…Romaa …taratibu ..inauma ..oooh!”Alijikuta akilalamika lakini Roma alikuwa kama kiziwi na kuendelea kuongeza spidi na ilifikia muda akaona staili ya kimeza meza haimtoshi hivyo alimgeuza na kumshikisha mikono kwenye meza huku akiwa ameinama na kufanya msambwanda wote kurudi nyuma na Roma aliingiza tena na kuendelea kusukuma songombile yake.
Alihisi maumivu kidogo lakini kadri muda ulivyokuwa ukisogea alizidi kupata raha na sehemu zake ni kama sasa zishaanza kuzoea ukubwa wa mwichi wa mume wake na shoti za utamu alizokuwa akisikia zilimfanya kujihisi yupo mbingu ya saba.
Edna baada ya kuona dudu ya Roma ilikuwa ikiyasugua makalio yakekwakupita na kumwingia kwenye kitumbua chake alihisi aibu , lakini hata hivyo alishindwa kuacha kumuangalia Roma usoni.
Alijihisi utamu kwa jinsi Roma alivyokuwa akimwangalia kwa upole na kuridhika , hata hivyo ilikuwa ni kama mara yao ya kwanza kufanya mapenzi.
Edna alishindwa kuongea chochote na kuona aibu karibia muda wote tendo linafanyika na aliishia kutii maagizo kila staili ambayo alikuwa akiambiwa akae.
Mchezo uliendelea kwa zaidi ya lisaa limoja na walianzia kwenye meza na kisha wakahamia kwenye sofa, lakini Roma akaona haitoshi na kwenda kumshikisha mikono kwenye vioo vya madirisha na kumfanya Edna aliangalie jiji huku akiendelea kuhisi utamu usio na kipimo ambao ulianzia kwenye vidole vya miguu na kusambaa mwili mzima na kumwingia ubongoni.
Huenda kama kuna mtu angekuwa na darubini jengo la pili yake angeona kile ambacho kilikuwa kikifanyika , lakini Roma hakufanya mambo bila ya kuwa makini aliweza kutumia uwezo wake kuchunguza maeneo ya mbali ili isije ikatokea mtu anawaangalia.
Roma aliendelea na shughuli yake kwa muda mrefu na kufanya sauti kama za watu wanaopiga makofi kusikika ndani ya ofisi nzima.
Paah! ..Paah!!
Ilifikia kipindi Edna hakutaka kuendelea na kutaka kupumzika kwani alipiga magori mengi na kujikojolea kiasi kwamba alikosa idadi na sasa mwili wake ulikuwa umechoka mno.
“Huby inatosha .. tupumzike .. niche nipumzike kidog…”Aliongea Edna huku akihema kama mbwa ambaye amekimbia maili nyingi.
“Ni saa limoja tu lakini unaonyesha kuchoka , tufanye angalau yawe mawili , babe sikujua kumbe unatembea na Dhana ya kimaajabu kwenye mwili wako”Aliongea Roma lakini Edna alikuwa akielekea kwenye kuzimia kwani hakusikia tena utamu lakini ilionyesha kuzidi kumfurahisha Roma , huenda ni kwasababu alishaanza kuvimba sehemu zake kwa ndani hivyo eneo kuzidi kuwa dogo.
“Tafadhari Hubby … siwezi kuendelea ..naomba unionee huruma..”Aliongea na kuanza kulia kama mtoto na kumfanya Roma amwangalie namna ambavyo amelegea , hakuamini ndio yule mke wake aliekuwa akijifanyisha kauzu , muda huo alikuwa kama mtoto mchanga.
“Huwataki wanawake wangu wengine… lakini huwezi kudumu kwa zaidi hata ya lisaa kwa staili hii unakwenda kushindana nao vipi”?”
“Wewe…! kwanini uzungumzie wanawake wengine kwenye muda kama huu?” Aliongea na kumfanya Roma amlambe kibao cha kalio la kulia.
“Sihitaji ruhusa yako ninapotaka kuwazungumzia , nilichoongea ni kweli, sijatoa bao hata moja lakini bado unaonekana umechoka ,utawezaje kunizalia mtoto kwa namna hii?”Aliongea Roma na kumfanya Edna ashindwe kujibu , hakujua kama kosa lilikuwa lake kuchoka haraka au ni la mtu mwingine.
Roma ilibidi amuonee huruma na alimbeba na kumkalisha kwenye sofa ili apumzike.
“Hata hivyo mke wangu umefanya kazi nzuri angalau umenifanya nijisikie vizuri kuliko mwanamke yoyote yule”Aliongea Roma huku akimfinya mashavu lakini Edna alishia kutojibu kwani alikuwa akihema kwa tabu , alishukuru tu ameachiwa maana hakujua nini kingeendelea kama Roma angeng’ang’nia mpaka atakapotoa bao.
“Nisikilize kwa umakini siku nyingine usije ukanichokoza na kunikasirisha , wewe ni mwanamke wangu na siwezi kukuruhusu kukutana na wanaume waliokaa kihuni huni , ninaweza kuonekana sina sababu za msingi lakini unapaswa kunisikiliza mimi tu kwasababu wewe ni wa kwangu milele , unaweza usikubali lakini hakuna mtu yoyote anaweza akaja kukusaidia kama nitaamua kukuadhibu , hata hivyo kama utataka tena lazima uniombe…., Hahaa..Kaone sasa kanavyotia huruma, haina haja ya kuniangalia kwa macho lawama umeyataka mwenyewe…”Aliongea na kumfanya Edna atamani kulia.
“Mwanaume mdhalimu wewe”
“Hehe ..niiite vyovyote unavyotaka , nilifikira mambo mengi usiku wote wa jana na nimegundua hata kama nijizuie kutokufanyia chochote bado wewe ni mke wangu , hata nikiamua kukufosi pia wewe ni mke wangu ya nini kujiumiza wakati upo”Aliongea Roma na kisha alimshika kidevu na kupitisha kidole chake kwenye lipsi zake kwa kusugua sugua.
Edna alionekana kuwa na adabu sasa, hakuleta ubishi na alikuwa kama piritoni,ule ubosi kwisha habari yake.
“Pumzika bibi harusi wangu , tutaendelea tena angalau kwa lisaa lingine, unifanye agalau nimwage bao moja”Aliongea Roma.
“Lakini sitosikia chochote tukifanya tena, nahisi kumevimba..”Aliongea huku akionekana kutia huruma lakini Roma hakuwa kwenye nafasi ya kumuonea huruma maana bado hata dudu yake haijalala.
“Nitakuponyesha, kaa vizuri niingize na nitakuonyesha kwanini naitwa mfalme Pluto” Aliongea Roma na kabla Edna hajajibu alishangaa ashawekwa sawa na yote ikazama.
“Ah..!”Alijikuta akihisi damu kumcheka huku Roma akiwa amemuweka kifo pendwa cha yule mdudu msumbufu usiku anaeogpwa na wadada , wakati akidhania angehisi maumivu Roma alikusanya nguvu ya kimaandiko na kuipeleka kwenye dudu yake na Edna alihisi mtekenyo wa aina yake na aliishia kutoa mdomo kama kabanwa na mlango.
Lisaa lingine mbele alijihisi uji uji mzito ukimwagika ndani ya sehemu zake za uzazi , ulikuwa wa moto kiasi kwamba alihisi raha ya ajabu na alijikuta akikakamaaa mwili na yeye kufunga goli ambalo haikueleweka lilikuwa la ngapi na aliishia kuhema huku akimwangalia Roma usoni na alijikuta akiachia tabasamu huku akiwa amelembua na kuangalia pembeni kwa aibu.
Naam hivyo ndivyo ilivyokuwa……..
MWISHO WA SEASON 16.
WWTSAPP 0687151346 NICHEKI KUOATA MWENDELEZO , SIMULIZI NDIO INAANZA
Hatari sana
 
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA

MTUNZI:SINGANO JR

SEASON 17.



SEHEMU YA 481.

Edna ilionyesha hakulala tokea walivyotoka visiwa vya wafu maana alipitiwa na usingizi akiwa ndani ya ofisi kwanzia saa kumi na moja mara baada ya shughuli pevu.

Ilibidi Roma ampatie maagizo Recho aliekuwa akisubiria nje aende nyumbani na yeye angeondoka nae, Recho hakufikiria mara mbili mbili na kuondoka.

Recho tokea siku afanye mapenzi na Roma ile nuksi ilimpotea na kwa kipindi hicho wale wanaume wote ambao walimuomba namba na kisha kumpotezea walirudi kwa kasi , hata mume wake ambaye alimuacha na yeye alianza kumsumbua , lakini Recho hakutaka kurudi alikotoka.

Maisha yake yalishaimarika na hakutaka kufanya kosa tena na katika siku hizo chache aliweza kupata mwanaume ambaye ndio kwanza mapenzi yapo yanaanza , japo Recho hajampenda sana mwanaume huyo kutokana na muda mwingi kufikiria usiku ule akifanya na Roma , lakini hakuwa na namna Roma ni mume wa bosi na huenda akigundulika na Edna basi anaweza kufukuzwa kazi na maisha yake kuwa magumu , hivyo hakufikiria tena kutaka kutoka kimapenzi na Roma , alidharau hisia zake na kisha kusonga mbele na kilichobaki kwenye moyo wake ni ile shukrani kwa Roma kwa kumtolea nuksi na kuna muda akikaa chini anajiuliza ilikuwaje , kwanini mara baada tu ya kufanya mapenzi na Roma wanaume walianza kumuandama maana hakuwa akipumzika na jibu lilikuwa moja tu kwenye kichwa chake , Roma hakuwa mtu wa kawaida.

Edna alipotea usingizi akiwa uchi na ilibidi amvalishe nguo na kumuacha apumzike na alikuja kushituka muda wa saa mbili za usiku, alianza kuzungusha macho na aliweza kumuona Roma amekaa kwenye kiti chake cha ubosi huku akiwa bize na kompyuta yake.

Alijikuta akikumbuka tukio ambalo limetoka na kujihisi aibu nyingi na kuanza kujilaumu kwanini hakujizuia mpaka wakafanyia ndani ya ofisi yake , lakini baada ya kufikiria kwa muda aliona hata hivyo sio jambo baya, haijalishi kama alifanya kwa hiari yake au kwa kulazimishwa hata hivyo alishatoa ahadi ya kufanya tendo la ndoa na Roma baada ya harusi yao lakini yeye ndio alieivunja na hayo ndio matokeo yake.

Alijikuta akiwaza namna hasira zake zilivyompelekesha mpaka akakubari kujumuika kwa chakula cha mchana na Hanson , ilikuwa mara yake ya kwanza kwa hiari yake kumkubalia mwanaume kula nae lakini yote ni zile hasira zake na aliona alifanya ujinga kwani alikwisha kuolewa.

Edna alikaa kwenye sofa huku akimwangalia Roma aliekuwa bize huku mawazo mbalimbali yakipita kwenye kichwa chake na aligundua Roma ni kama anajifanyisha hajamuona licha ya kwamba ameamka , alivaa vizuri nguo zake pamoja na viatu na kisha akasogelea kuangalia ni kipi ambacho kinamfanya kuwa bize.

Alijikuta hasira zikianza kujikusanya baada ya kuona kinachofanyika kwenye tarakishi yake ya kazi.

“Nani kakuambia unaweza kuweka magemu na kucheza kwenye tarakishi yangu ya kazi”Aliongea lakini Roma hakumjibu maada alikuwa bize, maadui watano kwenye gemu walikuwa wakimshambulia na siraha hivyo aling’ata meno kwa hasira na kuanza kuwashushia makombora , kuna mmoja kwenye gemu alijifanya kujificha na alipaa hewani na kwenda kutua mbele yake na kubonyeza batan kwa nguvu na kumpiga ngumi nyingi mfululizo mpaka akafa misheni ikawa imekamilika lakini mshindani wake kwenye gemu alimtumia ujumbe wa kuomba tena mpambano na Roma alimrudishia jibu atulie ndani ya dakika moja anarudi hewani , alikuwa akicheza gemu mubashara na watu wengine.

“Mbona unashangaa wakati umenunua tarakishi yenye uwezo mkubwa kiasi hichi na unaitumia kwa kufanya kazi za ofisi tu, nimeona nikupunguzie hasara..”Aliongea Roma huku akicheka.

“Hey!” Roma alijikuta akipiga mkono kwenye meza mara baada ya Edna kuzima cable ya ukutani na tarakishi kuzima.

“Dear wataniona nimekimbia mchezo , wewe hujui tu hapa nilikuwa nikicheza online nitapigwa penati nikirudi tena hewani”

“Unaonyesha kujutia kisa gemu tu lakini sijawahi kuona ukijutia pale unapomuua mtu”

“Hayo ni mambo mawili tofauti , heshima yangu umeiweka rehani hapa,wataona nimekimbia misheni kwa kuogopa”

“Kama unapenda magemu sana , unaonaje nikikuanzishia kampuni huenda unaweza ukafanya vizuri zaidi na kuleta mafanikio kuliko kucheza kipoteza muda”

“Unajua nini mke wangu , hilo wazo pia sio baya”Aliongea Roma lakini Edna alionekana kama mtu ambaye alikuwa akitaka kusikia Roma akiongea yeye.

“Vipi huna chochote unataka kuniambia?”Aliuliza huku akikosa utulivu , bado alikuwa akiona aibu na kukwepesha macho Roma anapomuangalia usoni.

“Nikuambie nini?”

“Wewe...!” Alimnyooshea kidole huku akiangalia pembeni.

“Oh..! halafu nimejisahau , Muda umeenda na utakuwa na njaa , unaonaje tukienda hotelini kula kabisa , nishampigia simu Bi Wema na kumwambia asituhesabu”Aliongea Roma lakini Edna ni kama kitu ambacho hakupenda kusikia kutoka kwake.

“Mbona kama unanidhihaki”

“Hapana,unamaanisha nini?”

“Unafikiri… nime…nime “

“Umefanyaje..?”

“Uh..!”Edna alijikuta akivuta pumzi na kuzishusha haikueleweka alikuwa akitaka kuongea nini..

“Nadhani unaniona sina aibu kwasababu nilikukatalia sana lakini mwisho wa siku nikakubalia tena ndani ya ofisi”Aliongea kwa sauti ndogo ambayo haikuwa ya kawaida , ilikuwa mara yake ya kwanza kuongea hivyo huku akiwa anaangalia sakafu kama mtoto wa darasa la saba anaetongozwa.

“Huenda ikawa hivyo ila…..”Alijibu Roma huku akimshangaa na kumfanya Edna ainue uso wake na kumwangalia huku akipotezea aibu zake.

“Huwezi kuongea hivyo , wewe ndio sababu ulikuwa ukitisha mno na..na niliogopa kukukatalia”

“Umenikatisha mwenyewe na sijamaliza kuongea , halafu haijalishi kwasababu nimefurahi na hata hivyo hatujafanya kosa , sisi ni wanandoa na wote tumefurahi, Haina haja ya kuwaza sana sawa”

Edna aliona Roma ana pointi ,ni kweli wamefanyia ofisini lakini kuna haja gani ya kujutia kilichofanyika , kwani amefanya na mume wake hata hivyo alijiambia hio ni bahati mbaya tu kwa siku hio na hawezi kufanya tena ndani ya ofisi yake.

Alivyomuona Roma alivyotulia kuna hisia zilimwambia alionekana kama mtu mzoefu na huenda ashawahi kufanya na michepuko yake ndani ya ofisi za kampuni yake.

“Twende mgahawani tukapate chakula cha usiku tusichelewe kurudi nyumban…”Aliongea Roma huku akiangalia tarakishi iliozimika kwa kujutia hakumaliza misheni yake.

Kwa kiasi flani alijihisi aibu kumpotea kutokana na Roma kutoonyesha kuzingatia sana kile kilichotokea.

“Nywele zangu zimechanguka siwezi kutoka hivi subiri kidogo..”Aliongea na kuanza kuziweka sawa kwa kuzichana na kisha akatoa kibanio na kuzifunga kwa nyuma, ilikuwa siku ya kwanza Roma kumuona Edna akijiweka sawa mbele yake , ilimvutia mno kuangalia kwa macho hasa alivyokuwa siriasi, hakuwa akitumia vipodozi hivyo hakuwa na haja ya kujilemba muda mrefu.

“Mbona unaniangalia hivyo kama ndio mara yako ya kwanza kuniona?”

“Inashangaza sana baadhi ya wanawake wakiolewa wanazidi kupendeza , uzuri wako unanifanya nishindwe kuacha kukuangaliaa, Mrs Edna kama watu wakijua hujapaka chochote usoni watakata tamaa ya kununua vipodozi kwa ajili ya kujipamba kwani watakosa kujiamini”.

“Sweet talker”Aliongea Edna na kisha alichukua mkoba wake na kutangulia mbele.

Muda ulikuwa umeenda hivyo hawakukutana na mfanyakazi yoyote wakati wakitoka.

Waliingia kwenye gari, Roma akiwa dereva na kisha wakaondoka na Roma sehemu ambayo aliona inafaa kwa ajili ya kupata chakula cha usiku ni mikocheni kwaWarioba sehemu ambayo aliweza kufanya maongezi na Nadia, alipenda sehemu hio kwasababu siku ile alifurahia chakula chao.

Dakika chache tu kutokana na kutokuwepo kwa foleni waliweza kuingia ndani ya mgahawa huo wa kisasa na siku hio ilikuwa tofauti na siku ambayo Roma alikaa hapo na Nadia , sehemu ilikuwa haina watu wengi sana na wachache ambao walikuwepo walionekana kuwa wenza pamoja na familia ambazo asilimia kubwa zilikuwa ni wazungu ,wahidi na waarabu.

Edna alipenda mazingira kwasababu hayakuwa na watu wengi na alionekana kuvutia zaidi kwasababu hata zile stress ambazo zilikuwa zikimwendesha ni kama zimepotea na muda huo alikuwa kwenye mood nzuri kweli.

Roma mara baada ya kukaa aliweza kuona mtoto mmoja wa kizungu aliekuwa amebeba mdoli na kumfanya kukumbuka kitu.

“Edna ule mdoli niliokupatia kama zawadi bado upo nao?”

“Yeah..”Alijibu huku akitingisha kichwa na alijua kwanini Roma alimuuliza kwani hata yeye aliweza kuona mtoto wa kizungu alieshikilia mdoli mkubwa.

“Nilijua ungeutupa kwasababu ulikuwa na hasira na mimi , itakuwa kweli nina uwezo mdogo wa kufikiria”Aliongea Roma na Edna alimwangalia bila kujibu huku akijifikira mwenyewe.

Ndio nipo nao lakini niliupiga mateke usiku wa jana wote”.Aliwaza

Ukweli njia nzima Edna alikuwa akiwaza ni kwa namna gani angeweza kusafisha chumba chake na kupunguza baadhi ya vitu ili kuingiza vya Roma , kwani baada ya tukio la siku hio ni muda sahihi wa kulala pamoja lakini kila akikumbuka ana vitu vingi sana vimejaa makabati yote alishindwa kujua kipi angeacha na kipi angetoa.

“Mama…!!!”

Watu wote waliokuwa ndani ya mgahawa walijikuta wakiangalia mlangoni mara baada ya kusikia sauti ya mtoto kuita , hata Roma na Edna waligeuka haraka sana kwani sauti waliitambua.

Alikuwa ni Lanlan ambaye ameingia hapo ndani huku mkononi akiwa ameshikiliwa mfuko wa biscuit.

“Lanlan” Edna alisimama haraka mara baada ya kumuona ni Lanlan na alishangazwa na kuwepo hapo muda huo wa usiku.

Hata Roma mwenyewe alishangaa lakini alifurahi kwa wakati mmoja na hata muda ambao aliweza kusikia sauti yake alihisi mwili ukimsisimka.

Baadhi ya watu walitabasamu kwa jinsi Lanlan alivyom’cute’ na kupendeza na hata baada ya kuona aliekuwa akimwita mama ni Edna walijikuta wakitingisha kichwa na kusema hakika walikuwa wakifanana.

“Lanlan why are you here ? Mommy missed you a lot” Aliongea Edna huku akimbusu shavuni , alikuwa amemmisi kweli licha ya kwamba ni siku tatu tu ambazo hawakuonana kwani walimuacha Songea.

“Lanlan missed you too mommy”Aliongea huku akionyesha furaha kwenye macho yake.

Muda huo huo alionekana mdada mmoja akija mbio mbio na mifuko huku akihema , ilionekana alikuwa akimfukuza Lanlan kwa nyuma na baada ya kuingia kwenye huo mgahawa na kumuona Edna na Roma alijikuta akishika magoti huku akihema kwa tabu.

Edna baada ya kumuona aliweza kumfahamu , alikuwa ni mfanyakazi wa Madam Damasi , mke wa raisi Senga na alimwacha Songea kabla ya kusafiri, Lanlan alitokea kumzoea sana huyo mfanyakazi , hivyo haikushangaza kuwa pamoja.

“Miss Edna!, Lanlan alinizidi spidi ya kukimbia ndio tumefika muda huu kutoka Songea na kuna mzigo kaagiza ndio nimetoka kuuchukua hapo supermarket,Lanlan alivyosema mpo hapa sikuamini hivyo nilipatwa na wasiwasi wakati anakimbia”Aliongea huku akionyesha wasiwasi.

“Usijali Anna , najua Lanlan usingeweza kumzidi spidi”Aliongea Edna huku akitabasamu na Anna alionekana kupata ahueni.

“Umesema babu kasharudi , yupo wapi sasa hivi?”

“Keshatangulia nyumbani na tupo hapa na Frank”Frank alikuwa dereva wa Afande Kweka.

“Okey nimekuelewa , unaweza kujumuika na sisi kwa ajili ya chakula”

“Asante sana lakini Frank yupo anatusubiria..”Aliongea huku akimwangalia Lablan aliemg’ang’ania Edna kwa staili staili ya kuonyesha hakutaka kuondoka kurudi nae.

“Anna unaweza kwenda Lanlan ashafika nitampigia mzee simu”Aliongea Roma na Anna alitingisha kichwa kukubali.

“Goodbye Nanny Anna”Alipunga mkono

“Chubby unaweza kwenda na mlezi wako unamuachaje wakati umekuja nae”Aliongea Roma na kauli yake ilimfanya Edna amwangalie kwa ishara ya kumwambia kaa kimya..

“Mbona unaniangalia hivyo , sijakosea Lanlan kaja na mlezi wake kwanini amtelekeze mara baada tu ya kutuona, huo ni usaliti na isitoshe hata babu yake hajamuaga”

“Lakini Lanlan amemmisi mama yake”Aliongea kwa huruma huku akijificha nyuma ya Edna.

“Lanlan usijali, mama pia amekumisi na tunaenda wote nyumbani” Aliongea Edna na kumfanya Roma ashindwe kuongea chochote na kuchukua Menu, Alimjua Lanlan anapenda sana kulala na Edna hivyo angempeperushia jambo lake ambalo anapanga kichwani ndio maana akapendekeza aondoke na Anna.

Anna mlezi ilibidi kuondoka maana asingeweza kurudi na Lanlan kwani ashakutana na wazazi wake tayari na aliondoka huku akiwa kama ametelekezwa, ijapokuwa alijua Lanlan sio mtoto wa kawaida lakini alishindwa kujua kawezaje kunusa harufu za wazazi wake kutoka mbali.

Kwasababu mhudumu alikuwa amesimama akihitaji oda yao, ilibidi kwanza Edna aagize chakula , lakini mhudumu alijikuta akishangaa baada ya kuona Edna anaagiza chakula kingi.

“Samahani Madam, lakini naona umezidisha”.

“Leta kama nilivyoagiza” Aliongea Edna na mhudumu alishangaa lakini alifanya kama alivyoambiwa na kuondoka.

Edna aliagiza chakula kingi kwasababu ya uwepo wa Roma na Lanlan, kwa alivyokuwa akijua migahawa ya kisasa kuweka chakula cha wastani kisingewatosha kabisa ndio maana akaagiza oda tano , yaani mbili za Roma na mbili za Lanlan na yeye moja.

“Mama kesho nataka kwenda shule , Lanlan amemisi rafiki yake”Aliongea na kumfanya Roma amwangalie.

“Chubby umepata rafiki?”Aliuliza Roma na kumfanya Lanlan atingishe kichwa.

“Ni msichana au mvulana?”

“Unamuuliza mtoto maswali gani hayo?”

“Kwani vibaya kumjua rafiki wa Lanlan ni wa kike au wa kiume , Wife usiniambie ushaniwazia vibaya maana swali langu halina kasoro”.

“Wewe ndio umewaza vibaya na kama unataka kumfahamu rafiki yake kwanini usiende nae kabisa kesho ukashinde huko ili kumfahamu?”

“Mh!... wanaruhusu wazazi kujumuika na watoto wao shuleni?”

“Ah…!!, ni kila baada ya tarehe ya mwisho wa mwezi”Aliongea Edna.

Baada ya muda waliletewa oda ya vyakula walivyoagizwa na Lanlan mara baada ya kuona msosi misuli ilisimama na haikuwa kwake tu hata kwa Roma ilikuwa hivo hivyo.

Lanlan alimwangalia baba yake na Roma hivyo alimwangalia Lanlan na kumkonyeza , kitendo kile kilimuacha hoi Edna , katika siku zote alizoishi na Lanlan pamoja na Roma utofauti wao ilikuwa mwili tu yaani mmoja mtu mzima na mmoja mdogo.

Lanlan mara baada ya kukabidhiwa sahani yake na kuambiwa aendelee hakutaka kupoteza muda na alianza kupiga msosi kwa spidi zote , huku Roma na yeye akiwa hivyo hivyo.

Wakati mhudumu anawawekea jusi alijikuta akishangazwa na staili yao ya kula, ni mara chache sana kupata wageni wa aina ya Roma , lakini la kushangaza zaidi ni upande wa mtoto.

Edna alijua mhudumu anashangaa lakini alimrudishia tabasamu tu na yeye pia akatabasamu na kisha kuondoka.

“Dear huo ni uharibifu wa chakula sasa na ni dhambi”Aliongea Roma mara baada ya kumuona Edna kula kidogo na kuweka uma chini.

“Malizia chakula chako , kwanini unajali kikiharibika”Aliongea huku akisukumia sahani yake katikati ya meza na kumfanya Lanlan amwangalie.

“Mommny , you cant waste food , Grandfather said that every piece of food is made with the farmers hardwork”Aliongea Lanlan na kumfanya Edna kuona aibu maana ni kama Lanlan anamrekebisha.

“Lanlan lakini mama ameshiba”

“Hivyo ndio ulitakiwa kuongea”Aliongea Roma na kisha akaivuta ile sahani na steki ya nyama iliobakia ilipelekwa yote mdomoni na kutokomea tumboni na kisha akamalizia na kilichobaki.

“Lanlan , wewe ni mtoto mzuri”Aliongea Roma huku akimkonyeza na kumfanya Edna kubetua mdomo.

Muda ule ule wakati wanamalizia chakula mara waliingia wenza wawili , mmoja alikuwa ni mwanaume alievalia kanzu na kirembo kichwani , ambaye alikuwa kama msomali na mwingine alikuwa ni mwanamke lakinni alikuwa amevalia Nikabu hivyo hakuonekana sura.

Walikuwa wakinukia mno na kumfanya Roma kuguna na kusababisha Edna kumwangalia.

Kilichomfanya Roma kuguna ni kutokana na watu walioingia kutokuwa wa kawaida, walikuwa wakitoa Aura ambayo Roma aliweza kuitambua kwa haraka haraka ni majini, lakini sio hivyo tu mwanamke alikuwa na yupo k katika levo ya nafsi na kwa mwanaume alionekana pia alikuwa na mafunzo ya kijini lakini levo yake ilikuwa ni mwishoni mwa levo ya Mzunguko kamili.

Wale wenza walikaa kwenye meza na kutulia huku wakiangalia meza ya Roma, ilionyesha kuna uwezekano walikuwa wakimfatiia lakini muda huo waliona sio sahihi , Roma alijimbia kama wanamfatilia hawatoishia hapo mgahawani tu kama akiondoka watamfauta nyuma na alijihisi mwili wake kumsimsimka.

Muda ule ule na simu ya Edna ilianza kuita na kumfanya aipokee mara baada ya kuona anaepiga ni mama mkwe yaani Blandina.

“Hello , Mama”

“Edna upo na Roma?”

“Ndio , tumemaliza kupata chakula hapa”

“Sophia karudi tokea saa kumi na moja na anawasubiria , hayupo peke yake bali kuna mtu maarufu kaja nae pia anataka muonane kwani kuna kitu anataka muongee”Aliongea Blandina na kumfanyaEdna kuona sio jambo baya hivyo alikata simu na kumuelezea
 
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA

MTUNZI:SINGANOJR



SEHEMU YA 482.



Baada ya kupata taarifa wanasubiriwa nyumbani hawakutaka kuendelea kukaa , kwani hatahivyo walimaliza rayari kupata chakula , Roma alilipa na alimbeba Lanlan na kuingia kwenye gari.

“Mhh! nahisi wale wenza waliongia sio watu wazuri”Aliongea Edna mara baada ya kuingia kwenye gari.

“Kwanini unasema hivyo?”

“Roma unanitega sio?,nilikuona ukiwaangalia hata wewe kwa macho ya wasiwasi”Aliongea Edna na kumfanya Roma atabasamu kwa uchungu hakujua Edna angefahamu nia yake.

“Wanaonekana sio wazuri lakini huna haja ya kuwa na wasiwasi”Aliongea Roma na kumfanya Edna kukaa kimya na safari ya kurudi nyumbani ilianza.

Ulikuwa umbali mrefu lakini kwasababu hakukuwa na foleni muda huo haikuwachukua muda mrefu kufika.

Baada ya kutoka kwenye gari waliweza kupokelewa na Blandina aliekuwa akiwasubiria na alishangaa kumuona Lanlan.

“Grandmaa…”Lanlan alimkimbilia bibi yake na kwenda kumkumbaria miguuni.

“Oh! Lanlan Bibi alikumisi sana, Edna mmemtoa wapi nilijua bado yupo Songea”

“Lanlan alituona njiani , alikuwa na Anna na ndio wamefika leo mjini”Aliongea na kumfanya Blandina kuelewa.

“Sophia anawasubiria , mnapaswa kawenda kuonana na mgeni”Aliongea na Roma na Edna walitangulia na kuingia ndani huku Mama yao akimchukua Lanlan na kwenda kumkabidhi kwa Qiang Xi abadilishwe mavazi pamoja na kuogeshwa.

Baada ya kuingia eneo la sebuleni waliweza kukutana na mwanaume mtu mzima ambaye alikuwa amekaa akiangalia runinga akiwa pamoja na Sophia, alikuwa ni mzungu miaka kama arobaini hivi na Roma na Edna walisalimiana nae na kisha wakaketi.

“Sister huyu ni Director Fabby Lassay kutoka kampuni ya uzalishai wa filamu ya Penguin Production kutoka Afrika ya kusini”Alitambulisha Sophia kwa lugha ya kingereza.

“Mniwie radhi kwa kuwavamia hapa nyumbani , kama alivyosema Miss Sophia nafahamika kwa jina la Fabby Lassay ni Executive Director wa Penguin Production na nipo hapa kwa ajili ya maongezi juu ya ushirikiano wa uandaaji wa filamu:”

“Mr Fabby wewe ni mtu maarufu?”Aliuliza Roma na kumfanya Fabby kutabasamu.

“Mr Roma kama utakuwa mpenzi wa filamu basi jina langu halitokuwa geni , kabla ya kufanya kazi kama Directori katika kampuni ya Penguin nilifanya kazi na Paramaount kama Producer msaidizi na Screen Writer nina kazi nyingi ambazo naweza kusema zinanifanya kuwa mtu maarufu na nishawahi kufanya kazi na Christen atanifahamu pindi utakapomtajia jina langu”

“Okey Mr Fabby kwahio ujio wako hapa ni kutaka kumuhiisha Sophia kwenye filamu au unataka kampuni yetu kuwekeza?”

“Nipo hapa kwa ajili ya kuomba ruhusa kwenu ya kumuhusisha Sophia kwenye filamu kama mhusika mkuu wa kike , nilijaribu kuwasilisha ombi langu kupitia wakala wake lakini majibu nilioyapata ni Miss Sophia kuwa na ratiba ngumu, nilijaribu kuwasiliana na Sophia moja kwa moja na aliniambia kama nyie wawili mtampa ruhusa basi haina haja ya kupitia kwa menejimenti yake wala kampuni”

“Sophia unapenda kuigiza filamu?”Aliuliza Roma huku akmwangalia.

“Hata kama niseme napenda , nina wasiwasi naweza nisifanye vizuri kwanni sina mafunzo maalumu hivyo kuharibu kazi”

“Miss Sophia hilo lisikupe shida , nimeweza kuangalia matamasha yako na nimegundua unafaa kabisa na kwasababu tuna mwezi mzima wa matayarisho tunaweza kukuelekeza na ndani ya muda utakuwa umeelewa namna ya kuwa muhusika mkuu na kuzoea Script na isitoshe stori inaendana sana na mwonekano wako”

“Director kama unadhani Sophia anaweza kufiti kwenye nafasi ya uhusika wa stori basi hatuna haja ya kumzuia , lakini kama mambo yakienda vibaya kutokana na Sophia kukosa uzoefu nadhani hatuwezi kuhusika”

“Hilo lisiwape shida , hatujafanya makosa kumchagua Sophia katika nafasi ya uhusika mkuu na hakuna lawama yoyote kama atashindwa kuendelea”

“Kama ni hivyo nadhani hakuna haja ya kumzuia kwani itakuwa na faida kwake , Lakini Director kuhusu malipo nadhani yanapaswa kuwa ya kuridhisha”Aliongea Roma na kumfanya Edna amwangalie , yaani hata hawajafikia kwenye hitimisho lakini alishatanguliza maslahi.

“Mr Roma hilo halina shaka kabisa, bajeti ni kubwa hivyo malipo yatakuwa makubwa , lakini pia kwa kulinda heshima yangu katika ‘industry’ siwezi kutoa malipo kidogo”Aliongea na Roma aliridhika , hata hivyo alimuona Director Fabby kuwa mtu siriasi maana kuwasubiri kwa muda mrefu pasipo ya kuondoka sio jambo la kudharau, lakini pia aliwaamini sana Wazungu kwa kujali heshima yao , kama kweli Director amefanya kazi na Christen basi alijua malipo hayatakuwa haba na itamuongezea Sophia umaarufu.

Hakukuwa na maongezi ya ziada hivyo Director aliaga na kuondoka huku taratibu za mikataba zingefuata siku kadhaa zinazofuata kupitia kampuni ya Vexto Media pamoja na menejimenti, Sophia yeye hakuondoka kwasababu ishakuwa tayari usiku.

Baada ya kuongea kwa muda mfupi kama wanafamilia Bi Wema ndio aliekuwa wa kwanza kuaga kwenda kulala.

“Lanlan atalala na mama?”Aliongea Lanlan na kumfanya Roma kung’ata meno kwa kuona Lanlan anamchawia na mbaya zaidi alijitia huruma mbele ya Edna.

“Kibonge utalala na mlezi wako Qiang Xi , huwezi kunipokonya mke wangu”

“Lakini Lanlan hawezi kulala bila mama” Aliongea huku akimwangalia Edna kwa kutia huruma .

“Lanlan usiwe hivyo, utalala na Mama, Sawa mtoto mzuri”Aliongea Edna na kumfanya Lanlan kutabasamu huku akitingisha kichwa na kumwangalia baba yake kana kwamba anamwambia ameshinda.

“Wewe kibonge nyanya nisikilize mimi baba yako kama unataka zawadi”

“Mr Roma nadhani tumuache Lanlan afanye kama anavyotaka, usiku anatabia ya kushituka na kukaa macho nikilala nae na anapaswa kuamka mapema kwenda shule”

“Qiang Xi mbona hujawahi kusema” Aliongea Blandina kwa mshangao.

“Lanlan ndio alivyo tokea nilipoanza kumlea tena imekuwa afadhali tokea aishi na mama yake amekuwa akipata usingizi mapema”

“Ah…!!”Roma alijikuta akikosa neno la kusema na kumfanya Edna amwangalie na kufurahia mwonekano wake.

“Roma lakini kwanini unalazimisha Lanlan akalale na mlezi wake, si nyie mnalala vyumba tofauti au…”

“Mama ni kwamba mimi na Edna tume…”

“Wewe usije ukaongea” Edna alimkatisha huku akitamani amtie Roma ngumi , alishindwa kumuelewa Roma ni mtu wa aina gani anataka kuropoka bila aibu mbele ya mama yake, hakutaka siri ya wao kufanyia ofisini ifahamike.

Roma mara baada ya kuona amekatishwa na Edna alitabasamu na kuonyesha ishara ya kuziba mdomo.

Blandina alishaelewa kilichokuwa kikiendelea hivyo hakutaka kutia neno hata kwa Sophia hivyo hivyo waliishia kutabasamu.

“Sister Edna Hongera sana na kwako Shemeji nadhani unapaswa kutafuta namna ya kushindana na Lanlan”Aliongea Sophia huku akisimama na kumfanya Edna atamani kuwe na shimo atumbukie kwa aibu alizojisikia.

“Hahaha… nyie watoto mnanifurahisha, Roma nadhani uvumilie , Mjukuu wangi Lanlan anapaswa kupata usingizi mapema ili asijekwenda kusinzia shule”

“Grandma is so nice”.

“Lanlan umeelewa nilichoongea?”Aliuliza Blandina kwa mshangao na Lanlan alitingisha kichwa, alionekana ashaanza kukamata baadhi ya maneno ya kiswahili na kuanza kuyaelewa.

“Mjukuu wangu una akili nyingi , utakuja kuwa mtu mkubwa baadae”Aliongea huku akimshika shavu na Lanlan aliishia kutabasamu kwa kutoa meno yake machache nje.

Baada ya Roma kuona amepokonywa mke na mtoto wake , ilibidi kwanza akae sebuleni , hata hivyo kuna kitu alichokuwa akisubiria kwa hamu zote.

Baada ya watu wote kuondoka kwenda kulala, hatimae mwili wake ulianza kusisimka huku vinyweleo kusimama.

“Naona hatimae mmekuja?” Aliwaza kwenye akili yake na kuzima runinga na palepale alipotea na kutokezea nje ya geti , lakini ile anaibukia aliona vivuli vya watu wawili vikipotea kwenye upeo wa macho yake.

Walikuwa ni walewale aliokutana nao kule PalmVillage Restaurant, Roma alijua walikuwa wakitoka hapo ili wasionekane na aliwafuata kwa harufu yao na ndani ya sekunde alikuja kuibukia kwenye fukwe mita kadhaa kutoka nyumbani kwake na hatimae aliweza kukutana na watu wawili waliosimama wakiwa wamempa mgongo.

Roma alitabasamu mara baada ya kugundua wote wawili wamebadilika kimuonekano, walikuwa wamevaa mavazi ya kitamaduni maarufu kama Robes , walionekana kama vile ni wale waigizaji wa filami za kale za mataifa ya Asia, mfano Jumong.

Wote walikuwa wamefunga nywele zao kwa nyuma huku mkononi wakiwa wamshikilia upanga(sword) ambao upo ndani ya Ala kwa kila mmoja.

“Nyie ni wakina nani kwanini mnanifuatilia” Aliongea Roma na wale watu waligeuka na kumwangalia na hapo Roma ndipo alipowaona sasa , walikuwa sio wenye asili ya wasomali tena bali mmoja wa kiume alionekana kama Mchina na wa kike alionekana kama mkorea.

Kwa haraka haraka alijua mwanamke alikuwa mtu mzima kuliko wa kiume na huenda hio ndio ilifanya yeye kuwa na uwezo mkubwa kuliko mwenzake , kwani alikuwa kwenye levo ya Nafsi na mwanaume alikuwa mwishoni mwa levo ya Mzunguko kamili.

Kuna muda Roma alijiuliza Hongmeng ni majini kama majini au ni watu wanaoishi miliki za kijini maana miili yao haikuwa na utofauti na ya binadamu wa kawaida , jambo moja tu la kimaajabu ambalo lilimvutia ni namna ambavyo waliweza kutumia sura za watu ili wasitambulike, ijapokuwa uwezo huo hata Yamata walikuwa nao , lakini kwa jinsi walivyoonekana pale mgahawani walionekana kuwa na uzoefu mkubwa.

“Wewe ni Roma Ramoni?”Aliuliza yule mwanaume.

“Nadhani mpaka kuja nyumbani kwangu mshajua mimi ni nani , kuna haja gani ya kuthitisha?”

“Acha jeuri na jibu maswali yetu kama hutaki kuingia kwenye matatizo na sisi , tunataka kujua kuhusu Monk Tianyi alieuliwa na Yan Buwen”

“Monk Tianyi ndio nani?, sijawapata bado”

“Acha kujifanyisha humjui , tumepata taarifa wewe ndio umemuua Yan Buwen hivyo hutokosa kumfahamu Monk Tianyi”

“Kama ni hivyo kwanini msigemuuliza Omari na kja kwangu”Aliongea Roma, alishajua watu hao ni kutoka Hongmeng kutokana na medali zao za dhahabu walizoning’iniza kiunonni, zilikuwa zikifanana kwa kiasi kikubwa na ile aliochukua kwa monk mweusi aliemteka mke wake.

“Omari tushaongea nae na ndio alietuambia umemuua Yan Buwen kwa kumshushia Radi , je ni kweli unao uwezo wa kudhibiti Radi?”Aliuliza yule mwanaume huku wote wakionyesha shauku kwenye macho yao.

“Kwahio mmeshindwa kumuamini Omari ndio maana mkaja kunitafuta?”

“Tunataka kujua , sio jambo jepesi kwa binadamu wa kawaida kuweza kudhibiti radi kwa kutumia nishati ya mbingu na Ardhi na kama kweli ulikuwa na huo uwezo , kwanini ukamuacha Monk Tianyi akafariki kwa mikono ya Yan Buwen bila kumsadia”

“Kwahio hio mpo hapa kwa ajili ya kulalamika kwasababu Yan Buwen kamuua Monk ambaye alifanya maaamuzi ya kijinga kwa kujiona anao uwezo mkubwa kuliko wa Yan Buwen , mnachoongea ni upumbavu kwanza kwanini niwasaidie”Aliongea Roma.

“Kwahio unatuona sisi ni wapumbavu sio, nadhani kufanikisha kwako kuzijua tamaduni zetu kuna kufanya ujione uko juu sana”

“Kwahio mnasemaje sasa?”Aliongea Roma huku akianza kukosa uvumilivu na yule mwanaume alimzuia yule mwanamke asiendelee kuongea.

“Mr Roma nadhani Monk ndio mwenye makosa kwa kushindwa kukadiria uwezo wake na wa Yan Buwen , Monk Tianyi alikuwa mjumbe ambaye alitumwa kwenye ulimwengu wa kawaida kwa ajili ya kumuwinda Yan Buwen kwa kipindi cha mwezi mzima na juzi ndio tuliweza kugundua taa ya nafsi yake imezima kama ishara ya kifo chake , hivyo tumeagizwa kuja kufuatilia Dhana zake na tunaamini wewe umezichukua hivyo tunazihitaji”Aliongea na kumfanya Roma kutabasamu kwa uchungu , Rufi alimweleza katika miliki za kijini ukoo wa Hongmeng licha ya kuwa na nguvu ndani ya taifa la China lakini walikuwa ndio wanaongoza kwa umasikini wa Dhana na baadhi ya dawa za kuwasaidia katika kuvuna nishati za mbingu na Ardhi na hili linajidhihirisha, wamekuja mpaka Tanzania kwa ajili tu ya kutafuta dhana zao basi walionyesha kuwa na uhaba.

“Nadhani hata hilo swali mlipaswa kumuuliza Omari pia, kwanini mnataka kunisumbua?”

“Acha kujiona kijogoo , tunahitaji Dhana zetu, wewe ni mrithi wa Pluto na unao uwezo wa kutumia kanuni za anga hivyo kuna uwezekano ukawa umezificha kwenye parallel space na Omari ameshindwa kugundua”

“Kwahio mnanihisi mimi mwizi si ndio?”

“Tuna kila sababu ya kukuona wewe ni mwizi labda kama utarudisha Dhana zote na tukuache na amani,usije ukajifanya mjanja na kuona hatuwezi kukushughulikia”

“Okey! Yan Buwen aliharibu Dhana zote za Monk kwa kutumia Ant -matter hivyo sijachukua Dhana zenu, nadhani hilo jibu linawatosha”

“Sababu unayotueleza haina mashiko yoyote , zile ni dhana ambazo zimejaa uungu ndani yake na sio ngumu kuyeyuka”

“Kama hamuwezi kuniamini siwezi kuwaamisnisha , jibu langu ndio hilo”

“Inaonekana unaona hatuwezi kukuadabisha sio, nikutahadharishe tu tunatokea Hongmeng na ukishindana na sisi unashindana na jamii yetu yote.”Aliongea yule mwanamke , alionekana kuwa kiburi na aliamini Roma hawezi kuchukua hatua kwasababu wanatokea Hongmeng.

“Kwahio mnanitishia?”Aliongea Roma na kumfanya yule mwanamke kuchomoa upanga wake ambao haukuwa wa kawaida kutokana na Aura yake lakini yule mwenzake alimzuia.

“Senior Dong hatuwezi kupambana nae , anao uwezo mkubwa kuliko wa kwetu ndio maana hatuwezi kuona yupo hatua ipi kwenye mwili wake , tunapaswa kwenda kutoa taarifa kwa Master wafanye maamuzi”Alimtuliza.

“Mr Roma unapaswa kuelewa , bado hatujamalizana na wewe , tunaondoka na kwenda kutoa taarifa na Master mwenyewe atatoa maamuzi , usijione una nguvu huwezi kushindana na wazee wetu wakiamua kukuadabisha”Waliongea na kisha wakajiandaa kuondoka , lakini Roma aliwazuia.

“Sio kwa haraka hizo, mimi bado sitaki muondoke maana hata nyumbani sijawakaribisha kuweka hata baraka kwa kikombe cha chai?”

“Huna sifa ya kuweza kutukaribisha sisi , labda raisi wa taifa hili anaweza angalau kutushawishi”

“Oh! ,, Lakini nikiwaachia mkiondoka na sintofahamu huoni kwamba mnaweza kwenda na kuja na mtu hatari zaidi na ikawa shida kwangu?”

“Hilo lisikupe shida kama haujaiba Dhana zetu Wazee wetu hawawezi kuchukua maamuzi yasio ya busara , unatakiwa kuelewa zile Dhana hazikuwa za Monk bali aliazimishwa na ukoo”

“Okey , basi naomba niwaulize swali, Je kila mmoja ndani ya Hongmeng ana Taa ya uhai wa nafsi yake(Lantern of Soul)”

“Kwanini unatuuliza hivyo?”.

“Kwasababu kuna rafiki yangu mmoja ambaye nilikutana nae , alionekana kubeba medali kama hizo mlizoning’iniza na amesema ametokea Hongmeng , Oh.! tena anamiliki Kisu cha damu ya Joka”Aliongea Roma akimaanisha Blood Dragon Dagger , alikuwa akimzungumzia yule Monk mweusi aliemteka Edna na kumuua.

“Unamaanisha Msaliti Abeo unamfahamu?”Aliongea yule mwanamke huku akionyesha mshangao.

“Kumbe anaitwa Abeo , ndio namfahamu alikuja kwangu akihitaji niwe rafiki yake kwanini mnamuita msaliti”Aliongea Roma na kuwafanya wote kuangaliana.

“Haiwezekani , Abeo hawezi kufanya urafiki na mtu yoyote , ni msaliti kwa Hongmeng kwani aliasi kwa kuhamia kwenye miliki nyingine kutokana na tamaa zake , binadamu wote hamna shukrani , tulimkaribisha na kumuacha ajifunze tamaduni zetu lakini mwisho wa siku akatugeuka kwasababu ya tamaa ya utajiri na nguvu”

“Alikuja kwangu kwasababu nina Vidonge nilivyopatiwa na Master wangu , vinavyonisaidia kwenye kuvuna nishati za mingu na ardhi , hivyo alitaka nibadilishane nae kwa kunipa kisu cha damu ya Dragoni”

“Unamaanisha unavyo Vidonge ambavyo Abeo alikuwa tayari kukupatia dhana yake?”

“Unafikiri nadanganya, vidonge nilibyokuwa navyo vina uwezo wa hali ya juu sana , nadhani hata nyie wenyewe mnaona nipo na miaka ishirini na kitu lakini nimefikia levo za juu”Aliongea Roma , alikuwa akidanganya ili kuwaingiza kwenye mtego anao waandalia.

Dong anaongea ukweli , unaona sisi tuna miaka sabini mpaka saa lakini tupo kwenye levo ya nafsi , nadhani tunapaswa kuhakikisha kupata hivyo vidonge kutoka kwake hata kama ni kumuua”Waliongeleshana kwa kutumia hisia.

Roma hakuwaelewa walichokuwa wakiongea lakini alijua wanawasiliana kwani alihisi msisimko wa hali ya juu.

Naunga mkono hoja, hatuwezi kumruhusu binadamu mweusi kumiliki kitu cha thamani , tukivipata naamini ndani ya muda mfupi tutakuwa levo za juu na hakuna yoyote anaeweza kutuchukulia wa kawaida

Kwahio tunafanyaje?”

Wewe niachie mimi , huyu ni binadamu anawezaje kutushinda viumbe kama sisi ambao tunaweza kufanya chochote”

“Mr Roma vidonge unavyozungumzia ni vya aina gani unaweza kuvielezea?”

“Rangi yake ni njano kama vimeunguzwa na moto mkali ukubwa wake ni kama gororoli”

“Huateng nadhani anazungumzia Poya, vidonge namba moja wanavyomiliki wale wazee wa Kekexil hakika tukivipata lazima tuvunje levo za juu”Waliongeleshana tena kwa njia ya hisia.

“Mr Roma nadhani unazungumzia vidonge maarufu daraja la kwanza vya Poya?”

“Oh! …. Ndio jina lake hilo , Master alinipatia vya kutosha lakini hakuwahi kunielezea jina lake na niliweza kupanda levo bila hata ya usimamizi wake”Aliongea na kuwafanya waangaliane kwa kupeana ishara ya kuridhika.

Huateng kwahio tunafanyaje?”

“Senior Dong nadhani atuonyeshe vilipo, itakuwa rahisi kuvichukua”


Upo sahihi” Waliendelea kuwasiliana na kumfanya Roma azidi kuona mtego wake unafanya kazi.

“Mr Roma unaweza kutuonyesha japo hata kidonge kimoja ili tuweze kuvihakiki”

“Nipo tayari, ninaweza kuwapatia kila mmoja vitatu vitatu , kila kidonge kimoja kitakuwezesha kupanda levo moja”

Roma aliona tayari ndoano yake ishakamata samaki , kuhusu vinavyofanana hakuotea ni kweli alikuwa akijua kuhusu Vidonge na aliweza kujifunza uwepo wake mara baada ya kwenda China katika ngome za Tang kusoma nyaraka za mafunzo ya kijini na utamaduni wa kichina kwa ujumla.

“Tutashukuru sana Mr Roma kama utatupatia , hakika hatuwezi kusahau ukarimu wako?”Aliongea yule mwanamke ambaye mara ya mwisho alionyesha jeuri , lakini kwasababu ya kuwa na tamaa ya kutaka kupanda levo ya juu zaidi , alionyesha kuhiraji kwa hali na mali vidonge vinavyozungumziwa.

Roma katika mazungumzo hayo alikuwa ashaweza kupata mambo mawili , jambo la kwanza alijua kabisa kuhusu Taa ya uhai wa Nafsi na kama wameweza kujua mahali ambapo Monk amekufa ni hapa Tanzania basi ni hakika walitumia hizo Lantern kufatilia.

Alijiambia kama atawauwa wakiwa ndani ya mipaka ya Tanzania basi Hongmeng watafahamu , hivyo mpango wake wa kwanza ni kuwatoa Tanzania na kuwapeleka hata Kenya na kisha angewaua na kuchukua Dhana zao pamoja na vidonge ambavyo ameviona wameficha kifuani na kisha angempelekea Rufi na kuvithaminisha kama vingekuwa na uwezo na usalama na angewapa wanawake wake wameze ili iwarahisishie kupanda levo kwa haraka.

Hayo ndio aliojifunza katika nyaraka alizosoma China, aliamini kama angepata vidonge basi ingekuwa rahisi kwake kurahisisha mafunzo kwa warembo wake na mwisho wa siku wangeweza kufikia levo ya nafsi kwa haraka na angepata amani ya kupata mtoto.

Shida moja ni kwamba hakujua ni kwa namna gani angeweza kupata vidonge , hivyo mpango ulikuwa ni mmoja tu kila atakapokatama kiumbe chochote kutoka Hongmeng angeua na kisha kuiba Dhana pamoja na vidonge.

“Kama mnahitaji kuviona na niwapatie basi mnapaswa kunifuata, kutokana na ubora wake nilivificha mbali na hapa ili watu wenye tamaa wasije kuviiba”

“Tupo tayari kukusindikiza ili mradi utimize ahadi yako ya kutupatia vitatu vitatu”

“Kama mpo tayari nifuateni”Aliongea Roma na kuwafanya waangaliane

“Huateng , tunachukua vyote halafu tunamuua , tukirudi kwenye miliki lazima watunyenyekee”

“Senior , upo sahihi , safari yetu ya dunianni imeleta baraka
”Waliongeleshana tena na kisha walimfuata Roma.

Roma hakujua hata uelekeo , yeye alitambaa kwa spidi kubwa huku akitafua eneo zuri ambalo lingefaa kuwamaliza.

Nani kasema majini hayana tamaa licha ya kuwa na uwezo wa juu wa kufunuliwa mambo mengi, Tamaa ndio udhaifu mkubwa ambao sio binadamu aliewekewa bali kwa kila kiumbe chenye utashi wa akili , asilimia kubwa ya Dhambi zote zinazofanyika chanzo chake ni tamaa na watu hutofautiana viwango vya tamaa kutokana na mazingira , udhaifu wa tamaa unaweza ukalala ndani ya mtu lakini siku atakayopatwa na shida na njia ya haraka ya kutatua shida ikajitokeza basi tamaa huamka na kuzivaa akili , wachache walioweza kuzishinda tamaa ndio wameweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Roma alikuwa akiwaza hivyo kwenye akili yake huku akitafuta mahali , pazuri na baada ya kusafiri umbali mrefu kwa muda mfupi aliweza kuhisi wapo nje ya Tanzania na kwa haraka haraka akili yake ilimwambia yupo Kenya.

Hili eneo ndio sahihi , kuna mifupa mingi hili eneo yenye roho za chuki zilizolala , nadhani waliokufa hapa wengi sio kwa hiari yao”Aliwaza Roma mara baada ya kutua kwenye moja wapo ya shamba kubwa ndani ya Kenya.

Mchawi hahitaji macho kujua uwepo wa kaburi ,anahitaji uwezo wake wa kichawi kutambua roho za binadamu zilizolala.

Kwa mfano kundi la Takamagahara nido kundi la kichawi kutoka Japani ambalo hutumia roho za wafu waliokufa wakiwa na chuki na hukusanya ile mifupa na kuigeuza kuwa pepo na ndio hutengeneza siraha zao za kichawi.

Katika ulimwengu wa Roho binadamu akifa akiwa na chuki au akifa kifo cha kulazimishwa ni ‘Asset’ kwa wachawi kwasababu roho yake hupatikana kwa urahisi kupitia mifupa yake , ndio maana siku zote waganga wa kienyeji na wachawi hutumia makaburi ya wafu waliokufa kwa chuki katika kazi zao za ulozi au tiba.

“Mr Roma kweli umechagua eneo sahihi , hii sehemu inaonyesha kuwa na roho za binadamu waliokufa kwa kulazimishwa na naona nyingi zimeshikiliwa na mifupa naaminni hili eneo limetengenezwa kwa kazi maalumu”.

Ilikuwa kama Roma alivyofikiria , hili eneo lilionekana kutegenezwa kwani hakuna makaburi kwa juu bali kuna vifusi pekee vyya makaburi na Roma aliweza kuona ndani ya kaburi moja kuna zaidi ya miili ya watu wawili.

“Mr Roma nadhani unapaswa kutonyesha sasa na kutupatia ili kutimiza ahadi yako”.

“Sikuwa na mpango wa kuwaonyesha vidonge, kama mlivyosema hili shamba limetengenezwa kwa ajili ya ibada za kishetani basi sina budi kuongezea na roho zenu hapa?”Aliongea Roma.

“Kwahio ulikuwa ukitudanganya?”

“Pigia mstari , unafikiri mimi ni mjinga niweze kuweka ahadi na watu kama nyie ambao mnaongozwa na tamaa , leo ndio mwisho wenu, kosa kubwa ambalo mmefanya ni kujaribu kunitishia lakini pili kudharau juhudi zangu , mheshindwa kudhibiti raia wenu wanakumbwa na ukichaa halafu bado mnajiita ndio mnaolinda misingi ya Taifa la China , niliwasaidia kuwaondolea adui yenu lakini hamuonyeshi Shukrani , labda vifo vyenu vinaweza kuwa zawadi kwangu”Aliongea Roma na kabla hawajajua cha kufanya Roma alimsogelea Huateng kwa kasi na kuinua mkono wake huku akiita nguvu ya kimaandiko kuielekezea mkononi na kuisha akapiga kibao hewani akiwa amemlenga , Huateng alionekana mzoefu kwani aliweza kukwepa haraka na laiti kingempata kutokaa na levo yake ingekuwa kifo chake.

Na palepale bila ya kuchelewa alitoa upanga wake kwenye Ala na Aura ya upanga wake ilisababisha baadhi ya Roho zilizolala kwenye mifupa kuanza kuamka na Roma aliona hio ni hatari kwani Roho hizo zikitoka kwenye mifupa yake zinageuka kuwa mapepo na kwenda kuvamia watu wenye nguvu chache za ki ulinzi kiroho.

Alichokifanya ni kuachia nguvu ya kijini kulifunika eneo lote ili isitokee Roho hata moja kutoka kwenye mifupa yake.

Upanga wa Huateng uling’aa na kutoa mwanga uliombatana na ukungu kama moshi na mng’ao mithiri ya mwezi.

“Go Xuanshui” Aliongea maneno ya kichina ambayo Roma hakuyaelewa lakini alijua yanavyotamkwa na palepale upanga ulitoa mng’ao zaidi na kumuumiza macho kiasi cha kuyafumba na ile anafumbua aliweza kuona ukuta kama wa barafu mbele yake umejitengeneza kichawi.

Roma alishangaa uwezo huo wa kimajabu uliofanikishwa na siraha ya upanga tu , lakini hata hivyo kwake ukuta huo ulikuwa mwepesi sana kuubomoa. Haukuwa ukuta kama ukuta halisi wa barfu bali ni wa kichawi.

Huateng baada ya kutengeneza ukuta ule , alipata muda na palepale aliongea maneno mengine ya kichina yasioeleweka na palepale kwenye mikono yake iliweza kuonekana Gukini(Guqin), ni aina flanii hivi za gitaa au Zeze ambazo zilitumika sana kipindi cha enzi za kale katika tamaduni za China na mara nyingi huwa na nyuzi saba ambazo hutoa sauti zinazotofautiana, Huateng hakuishia hapo alitoa pia unyonya wa ndege maarufu wa kichawi Phoenix.

Roma alishangaa lakini aliweza kugundua kitu kimoja cha kufurahisha , alishawahi kusikia kuhusu lugha maalumu ambayo majini na watu wanaoabudu vitu vyenye asili ya ushetani hutumia lugha kuingia kwenye mzingo wa Sumeru , kilichomfurahisha Roma ni kwamba hakujua kama unaweza kuiiita Sumeru ukiwa ndani ya bara la Afrika , alijua iliwezekana tu kwa bara la Asia.

“Unapata wapi uthubutu wa kujifanya mjanja mbele yetu”Aliongea Huateng na kisha akajikalisha kwenye hewa kwa kukunja miguu kama vile amekaa chini kwenye mkeka au zulia na kisha akaweka lile gitaa huku akianza kurekebisha zile nyuzi akionyesha anataka kuanza kupiga mziki.

Roma alishindwa kuelewa ni nini anataka kufanya , kwani hakuwahi kufikiria uwepo wa Dhana ya aina hio lakini aliishia kujawa na msisimko wa kutaka kufahamu.

“Tii , Taaa, Tuu….!!” Huateng alidokoa nyuzi moja moja kwa namna ya kupiga akitumia ule unyoya na Roma ndipo alipoweza kujua nini kinatokea.
 
SEHEMU YA 483.

Gukini ilionekana kuwa na muunganiko wa moja kwa moja na nguvu za kijini za Huateng , alikuwa kila akidokoa uzi na ule unyoya mara tatu kulitokea mshale wa kichawi na ulinyooka mahali sawa na Roma aliposimama na mbaya zaidi uliweza kupita kwenye ule ukuta wa barafu bila ya kizuizi.

Roma alifurahishwa mno na hio Dhana alijiambia mwenyewe kwa mfano angempa Edna aimiliki hiyo haitampa shida hata ya kupambana kazi yake ni kucharaza gitaa tu na maadui wanadondoka.

Roma alijiambia Yes, Dhana zote hizo mpaka muda huo ni za kwake na anachotakiwa kufanya ni kuwaua na kuchukua, lakini kabla ya yote lazima aangalie kwanza zinavyotumika.

Roma hakujisumbua hata kukwepa ile mishale , kwani uwezo wake ulikuwa mdogo sana kumdhuru ,hivyo aliita nguvu ya Kimaandiko na kutengeneza ngao na mishale ilipogusana ngao tu ulipotea bila ya kumfikia , ukweli hata kama angeruhusu umchome isingemletea pia shida maana anao uwezo wa kujiponyesha.

Huateng alicharaza gitaa kama mwehu , alianza taratibu taratibu na kuanza kukoleza na alionekana mzoefu mno kwani alitengeneza mziki wa solo wa aina yake , lakini sauti yake ilikuwa ikiamsha siraha za kichawi na kumshambulia Roma , kila alipojitahidi hakuna kilichoonekana kuleta madhara kwa Roma kwani mishale yake ilipotea.

“Inawezekanaje Gukini na unyoya wa Phoenix ushindwe kukudhuru?”Aliongea Dong kwa mshangao kwani hakuamini Roma angekuwa na uwezo mkubwa wa kujikinga.

Dong yule mwanamke palepale alianza kuchezesha elemeti za anga na mkono wake ukatengeneza mpira wa barafu na kuurusha kwa nguvu zote kumlenga Roma.

Roma nae alikusanya nguvu zote kwenye kiganja na lile barafu kabla halijamfikia aliachia wimbi na vikakutana katikati kwenye ule ukuta na ukaporomoka wote.

Wakati Roma anapambana na Dong , Huateng aliendelea kucharaza Zeze lake kama kichaa lakini hata hivyo kila siraha iliomfikia Roma ilikuwa kwake kama upepo kwani haikumdhuru.

Sio kwasababu Dhana zao zilikuwa na uwezo mdogo , lakini ukweli ni kwmaba wao ndio ambao walikuwa na uwezo mdogo wa kuziendesha kwa kiwango chake cha mwisho, ni sawa na kusema kama Roma akaamua kuicharaza Gukini ya Huateng basi angeweza kuleta madhara makubwa kwasababu levo yake ilikuwa kubwa.

“Kimbia”Aliongea Dong akimwamrisha Huategn kukimbia , mpaka hapo alishaona wakiendelea kushindana na Roma wangeishia kupoteza maisha.

Huateng aliona atii kauli ya mwenzake na palepale alijikusanya na kuanza kukimbia kuelekea katikati ya nchi ya Kenya huku Dong akijaribu kupambana na Roma.

Roma aliona huo ni ujinga palepale alianza kufanya kitu cha ajabu ambacho ghafla tu kilitengeneza moto wa njano kama dhahabu kwenye mikono yake na ukawa kama vinyoka nyoka na aliviachia na kumfuata Huateng kwa kasi na vilionyesha kuwa na spidi kuliko ya kwake.

Dong alionyesha mshangao mara baada ya kushuhudia uwezo ule , ulikuwa ni uwezo wa juu kabisa ambao alijua mtu mwenye uwezo huo lazima afikie levo ya kuipita Dhiki na mpaka hapo alijua alikuwa akipambana na mtu wa levo ya juu kuliko yeye , ilikuwa ni kama anapambana na wazee wa miliki ya jamii yake.

Vile vinyoka vyoka vya moto vilianza kumzingira Huateng kwa spidi kali na kutengeneza kama dura huku yeye akiwa katikati , bado hakuwa ameachia zeze lake na alijitahidi kuzuia joto kwa kuendelea kulicharaza kisawa sawa na ule unyoya lakini moto wake ulikuwa mkali kama wa kuyeyushia chuma.

“Sikia nadhani muacha kukimbia kwani mtanifanya niharibu hizo Dhana wakati nazihiraji”Aliongea Roma huku akicheka.

“Mr Roma naomba utusamehe”Aliongea huku akianza kutetemeka ule ujasiri wa kupambana na mtu mwenye uwezo wa kudhibiti moto wa rangi ya njano aliogopa.

Ukweli Roma muda huo alitamani kutumia moto wa rangi nyeupe , lakini alishindwa kuelewa kilichofanyika kwani wakati anapambana na Yan Buwen mwili wake ulikuwa ukitumika tu na mtu anaeishi ndani yake ambaye ana mpango wa kutawala mwili wake.

Hivyo kama ni kujifunza ni machache aliopatia kama kudhibiti moto wa joto la hali ya juu.

Roma mara bada ya kuona ashawadhibiti na hakuna namna ya kukimbia alitengeneza upanga wa moto kwa kuchezesha viganja vya mikono yake huku akiongea maneno yasioeleweka na palepale mapanga mawili yalifyatuka na kuwasogelea kwa kasi na Huateng ndio aliekuwa wa kwanza kunaswa eneo la tumboni na akafuatia Dong.

Roma alijiambia ndio kazi nzuri , aliwasogela huku akiwangaalia kwa tabasasamu la dhihaka.

“Unaweza kutuambia kwanini unataka kutuua , hata kama tulikuonyeshea kiburi lakini hatukua na nia mbaya na wewe”Aliongea yule mwanamke Dong huku akitia huruma.

“Jibu ni rahisi kwanza kabisa mmedharau ukarimu wangu , pili mlianza kunitishia huku mkiamini siwezi kuwafanya chochote kwasababu mnatokea Hongmeng , ngoja niwaambie ukishanikasirisha mimi sina huruma na kuua mimi ni jambo jepesi kuliko kusamehe”

“Huoni kwamba unajiingiza kwenye matatizo , kama wazee watafahamu umehusika na vitu vyote lazima watalipiza kisasi na hutowaweza kwani wapo kwenye levo ya anga kati ya mbingu na Ardhi, nadhani shida yako ni Dhana zetu pamoja na vidonge lakini nakuhakikisha kinachokusubiria ni kikubwa zaidi ya vifo vyetu”’

“Hata kama ningewaacha watu kama nyie mkaondoka , lazima kuna wengine wangekuja kunichokoza tu na kutaka ugomvi na mimi , nitakuwa mjinga kama sitochukua hatua mapema”

“Nakuambia utajutia kitendo chako cha leo”Aliongea Dong.

“Asante kwa kujali , lakini usiwe na wasiwasi nitawatuma wenzako wengine ambao watajaribu kunichokoza ili usiwe mpweke sana”Aliongea Roma na palepale ule upanga uliomchoma eneo la tumboni ulianza kuongezeka ukubwa na alianza kuyeyuka palepale taratibu taratibu na kikawa kifo chake , hivyo hivyo kwa Huateng akapoteza maisha.

Roma alianza kuchukua Dhana zao , alichukua Gitaa na unyoya wake , Upanga ambao uliitwa Xuanshui na kisha aliweza pia kupata pete pamoja na chupa ya vidonge vinavyofanana kabisa na P2 na Roma alipoisoma ile pete aliweza kugundua sasa hio ndio aliotumia Huateng kufungua Sumeru, ilikuwa ni Sumeru Ring .

Roma mara baada ya kuona kazi yake imemalizika hakutaka kubakia hapo tena , hata hivyo halikuwa eneo zuri kutokana na roho za wafu , aliondoka na kurudi Tanzania , alijua fika kwamba muda si mrefu Hongmeng watafatilia vifo vyao , aliwaua Kenya ili wasije wakafahamu kwa haraka kama amehusika , lakini alijua muda si mrefu wataagiza mwingine kuja kwake kwa ajili ya mahojiano na alijisemea akija mwingine anaua tu na kuwaibia.

Mpango wake haukuwa kuwaibia tu , alipanga pia akipata Dhana sahihi basi angezamia ujinini kwenda kuiba vizuri.

Siku iliofuata asubuhi wote waliamkia Chapati za maji ambazo zilipikwa na Mama yake Roma.

“Lanlan hio chapati ya mwisho ni ya kwangu”Aliongea Roma akimwangalia Lanlan ambaye alikuwa kwenye mavazi ya shule na alishangaa siku hio kachelewa.

“Baba hashindani na mtoto kula”Aliongea Lanlan huku Roma akitaka kupeleka mkono kuchukua chapati , lakini Edna alimpiga kwenye kiganja cha mkono.

“Usishindane na mtoto kula , anahitaji kula ashibe ili akue , wewe hata usishibe sio kwamba utakufa”Aliongea Edna

“Haha… Shemeji inabidi ufanye juhudi kwa staili hii Lanlan anaweza kukufunika kabisa”Aliongea Sophia na kumfanya Roma amwangalie kwanza hajazoea Sophia kumuita Shemeji.

“Acha kunitania la sivyo siwezi kukusindikiza kwenda studio kama ulivyoomba”.Aliongea na kumfanya Edna awaangalie na akaanza kumnawisha mikono Lanlan .

“Halafu mbona kachelewa leo kwenda shule?”

“Nitaenda nae leo nataka nikaongee na mwalimu wake nijue maendeleo yake kwa ujumla anavyochangamana na wengine”.

“Sister unahofia kwasababu sio mtoto wa kawaida anaweza kushindwa kuchangamana vizuri?”

“Hilo sihofii kwani Lanlan ni msikivu , ila kuna tahadhari napasawa kuchukuwa”

“Wife usiwe na wasiwasi , haina haja ya kuchukua tahadhari , Lanlan uwezo wake inaonyesha ni kwa ajili ya kujilinda sidhani ni tatizo”.

“Kwahio unanishauri nisiwaambie kuhusu uwezo wake?”

“Haina haja, unapaswa kumuamini kama unavyoniamini, Lanlan ni mtoto wangu na hawezi kuwa wa kawaida”Aliongea Roma na kumfanya Edna kupata ahueni, ukweli kila muda ambao Lanlan anakuwa shuleni anakuwa na wasiwasi mno.

Baada ya Edna kuondoka na Lanlan na Roma na yeye aliondoka akiwa ameambatana na Sophia , mpango wake amfikishe Studio na baada ya hapo amtafute Rufi ampe maelezo kuhusu Dhana na Vidonge alivyoweza kupata.

Roma alikuwa na siku nyingi hajaenda ofisini lakini hata hakujali, siku hio alikuwa na ratiba nyingi alipanga kumtembelea Rose kujua maendeleo yake na baada ya hapo amtafute Amina.

Baada ya kumfikisha Sophia Studio moja kwa moja alianza safari ya kurudi Mikocheni na ilimchukua dakika chache tu aliweza kufika.

Wakati Roma anataka kuingia upande wa lift , aliweza kumuona Rufi akiingia upande wa Supermakert , alimfuata nyuma nyuma lakini mara baada ya kufika katikati akiwa hjamuona Roma , ghafla alisimama huku akionyesha wasiwasi.

Roma aliangalia mbele kwa mshangao na kuona nini tatizo na aliweza kumshuhudia msichana wa kichina alievalia begi akiwa ameshika trey , alikuwa rika la Rufi ki umri.

Kabla yule mwanadada hajageuka nyuma Rufi aligeuza alikotoka na kuanza kukimbia, alimuona Roma mbele yake lakini hakuongea nae na kumpita, kitendo kile kilimshangaza Roma na kumfanya amchunguze yule msichana na alugundua alikuwa binadamu wa kawaida lakini mwenye mafunzo ya kijini tena akiwa levo ya nusu mzunguko.

Alikuwa mrembo haswa na rangi yake nyeupe pamoja na nywele ndefu , ambacho Roma hajapenda ni shepu tu basi lakini sura ilivutia, alikuwa amevalia Haedphone masikioni.

Roma hakuona haja ya kuendelea kumwangalia na aligeuza kumfuata Rufi.Baada ya kupandisha juu kwa lift, mlango wa nje ulionyesha kufunguliwa hivyo aliingia bila ya hodi na kumkuta Rufi amekaa kwenye Sofa.

“Inaonyesha umenifuata , kuna unachotaka nikusaidie”Aliongea Rufi huku akionyesha kuwa siriasi na Roma hakumzoea hivyo ila hakutaka kuleta mbwembwe maana yupo hapo kwa ajili ya kuongea nae vitu vya msingi.

Alimtolea vile vitu vyote alivyowachukulia wale watu wa Hongmeng na kuweka mbele ya Rufi.

“Umevitoa wapi hivi?”Aliuliza Rufi huku akionyesha mshangao. Na Roma alimwelezea kila kitu.

“Umefanya vizuri kuwaua , wanajikuta wana dharau sana binadamu wa kawaida , ningekuwa na uwezo ningewaangamiza wote , Hongmeng sijuo Kekexil wote ni mashetani na hawajawahi kuwa na wema wowote kwa binadamu wanachowaza ni faida tu”Aliongea Rufi huku akionyesha chuki ya wazi wazi.

“Unapaswa kuiona dunia kwa uzuri wake wa nje na sio chuki ndani yake , ukiishi hivyo utaishia kuwa mwenye maumivu”

“Kwa upande wako sawa , kwasababu nao uwezo wa kuamua matokeo ya maisha yako lakini kwangu mimi ni tofauti kabisa , sijawahi kuwa na tumaini maisha yangu yote zaidi ya chuki na maumivu yalioujaza mwili wangu ,siku nitakayopata nafasi nitawarudishia mara mia moja”Aliongea kwa hasira mno na kwa jinsi mudi yake ilivyo Roma alijua mwananemke ambaye Rufi alikuwa akimkimbia huenda anamfahamu, ila hakutaka kuuliza kwa muda huo kwanza , alichokuwa akipanga baada ya hapo ni kumfatilia yule mwanamke na kumjua vizuri , Rufi ashakuwa jukumu lake la kumlinda hivyo alipaswa kuhakikisha anakuwa salama na hivyo kwa kipindi hicho Hongmeng walionyesha kutokuwa na wasiwasi kuvuka bara la Asia , basi aliona kama sio leo au kesho basi keshokutwa wanaweza kunyaka uwepo wa Rufi Tanzania na kutaka kumrudisha.

“Naomba unisamehe kwa kuonyesha hasira zangu mbele yako”Aliongea huku akiwa anaangalia vile vitu kwa namna ya kuvikagua.

“Nafikiri sasa unapendeza zaidi , kuliko kipindi ulivyokuwa ukinitega”Aliongea Roma na kumfanya Rufi atingiche mabega huku akikosa ujasiri wa kumwangalia machoni .

“Hizi zote ni dhana ambazo zipo daraja la pili , nafikiri wamepewa kuja navyo kwa namna ya kuazimwa huo upanga licha ya kutengenezwa kwa chuma kutoka ncha ya Kaskazini lakini pia umezindikwa na nguvu ya barafu ya kichawi , huu unyoya siwezi kuelezea sana ni wa ndege wa Phoenix ukiunganisha na Gukini ni dhana yenye uwezo mkubwa sana kukaribia za daraja la juu kabisa , inaonyesha aliekuwa akitumia uwezo wake wa kuudhibiti ulikuwa mdogo, kuhusu hii pete inatumika kufungulia anga la Sumeru lakini sidhani kama inaweza kufanya kazi kubwa zaidi kutokana na malighafi yake”

“Unamaanisha kuna yenye uwezo zaidi ya hii?”

“Ndio na haitumiki kufungulia anga tu lakini pia inafungua milango mingi ya kiroho”

“Vipi kuhusu hivyo vidonge?”

“Hivi naweza kusema una bahati kubwa kuvipata ,ijapokuwa ni vidongea daraja la mwisho lakini vinauwezo wa kubusti mtu anaeanza mafunzo na kuingia mzunguko kamili kwa urahisi hata pia kuweza kufikia levo ya nafsi , kwa mtu mwenye levo ya juu havina msaada mkubwa , kwa makadirio uwezo wake ni asilimia hamsini tu”

“Hamsini mbona ndogo sana”Aliongea Roma huku akionyesha hajapenda

“Unachukulia kawaida asilimia hamsini, Vidonge katika miliki za kijini ni muhimu zaidi kuliko hata Dhana , kwasababu mimea ambayo hutumika kutengenezea imeshapotea kwenye mazingira yao na mara nyingi huja huku duniani kuitafuta”

Roma aliona ni kweli , kama vidonge hivyo vilikuwa vikisaidia watu kuingia kwenye levo ya Nafsi , basi huko kwenye miliki watakuwa wengi ambao wapo kwenye levo hio na sio vya kudharauliwa hata kidogo.

“Vina athari yoyote?”

“Havina athari kwa ambaye amefikia levo ya nusu mzunguko na kutaka kuingia mzunguko kamili au levo ya Nafsi”Aliongea na kumfanya Roma kuona basi mtu sahihi anaepaswa kumeza ni Magdalena , maana mara ya mwisho wakati anapambana na Yan Buwen alikuwa ashaingia mzunguko kamili.

Wakati Roma anataka kuuliza swali lingine , simu yake ilianza kuita na alipoitoa kuangalia jina la anaepiga alishangaa kuona namba ni mpya , lakini pia haikuwa ya kitanzania kwa uzoefu wake wa kuishi mataifa mengi aliweza kujua ni kutoka Korea Kusini alipokea.

“Hello!”

“Hello”Sauti ilijibu ya kike lakini ilikuwa dhaifu mno.

“Yezi!”Aliita Roma mara baada ya kuifahamu lakini baada ya kuongea hivyo upande wa pili kulianza kusikika vilio na kumfanya Roma kuwa na wasiwasi , ni kweli hajawasiliana na Yezi tokea aondoke , lakini alishangaa amempigia na kuanza kulia.
 
SEHEMU YA 484.

Roma alishangaa mara baada ya simu ile kukatwa, alijaribu kupiga tena lakini haikuunganishwa wala kupokelewa na alijikuta akikata tamaa , lakini pia alipatwa na wasiwasi kwa kujiuliza ni nini kinaendelea.

Sio kwamba walikuwa wamemsahau Yezi , ukweli ni kwamba waliamini angekuwa salama kutokana na uwepo wa babu yake ambaye alimhitajji na mara ya mwisho Edna aliweza kupata taarifa ya babu yake Yezi kuendelea vizuri hivyo hakupata wasiwasi tena.

Roma mara baada ya kukata simu aliwaza kwanza namna ya kumlinda Rufi maana kama watu kutoka miliki zisizoonekana wakifika Tanzania na kumkwapua basi anaweza hata asipate nafasi ya kumsaidia.

“Kuna mtu nitamwagiza na atakuletea Panick Button ambayo ipo kama saa , utavaa mkononi na wakati utakapokuwa kwenye hatari na kuona huwezi nipigia simu hakikisha unabonyeza”Aliongea Roma.

“Una wasiwasi na mimi?”

“Ndio nina wasiwasi , mke wangu kaniambia nikulinde nisipomtii anaweza kuwa na huzuni akisikia umechukuliwa na kurudishwa, labda kama kuna kitu kingine unataka kuniambia”

“Nilidhani utaniuliza”

“Uliekuwa umkimbia ni nani haswa , yule msichana wa kichina ni nani?”Aliongea Roma na kumfanya Rufi kuwa kimya.

“Anafahamika kwa jina la Luo XiaoXiao nilikutana nae wakati nikiwa kwa wakwe zangu kabla ya kutoroshwa unaweza kusema ni shemejji yangu”Aliiongea na kumfanya Roma kushangaa.

“Kwahio unamaanisha washafahamu upo Tanzania?”

“Sidhani lakini nina waswasi na kuonekana kwake hapa Tanzani , Luo XiaoXiao ni wa tofauti sana , licha ya baba yake kuwa mkuu wa koo katika miliki zizizoonekana lakini alipenda sana kuishi kwenye ulimwengu wa kawaida”Aliongea na kumfanya Roma kuelewa.

“Kama ni hivyo hupaswi kuwa na wasiwasi nitaangalia kama yupo hapa Tanzania kwa sababu gani” Aliongea Roma na Rufi alitingisha kichwa na kukubali na kisha aliaga na kuondoka.

Roma mara baaada ya kusogelea gari alijikuta akitabasamu kifadhuli mara baada ya kuhisi kitu kisichokawaida , lakini hata hivyo hakugeuka nyuma zaidi ya kuingia ndani.

“Jielezee mwenyewe unafanya nini ndani ya gari yangu?” Aliongea Roma huku akivaa mkanda na palepale aliwekewa kisu eneo la shingoni.

Hakuhitaji kugeuka nyuma kufahamu aliekuwa nyuma ni nani , kutoka na na harufu ya marashi kufanana kabisa na ya kike.

Alikuwa ni yuleyule msichana ambaye Rufi alimkimbia na haikueleweka aliwezaje kuzama ndani ya gari pasipo ya kuonekana kwani maegesho ya muda mfupi yalikuwa wazi kiasi kwamba hata watu wa barabarani wanaona.

“Jielezee na wewe kwanini ulikuwa ukinikodotea macho”Sauti ya kike ya kichina iliongea na kumfanya Roma kutabasamu, hakujali kisu kilichowekwa kwenye shingo yake bali alianza kuendesha gari huku akiangalia kioo cha juu.

Alijiambia kazi imerahisishika lakini hata hivyo alipenda ujasiri wa mtoto huyo wa kike ,alijiuliza imekuwaje mpaka akafahamu hilo ni gari lake na kuingia kumsubiria.

“Usiendeshe gari yako kabla hujajibu maswali yangu la sivyo nitakata mshipa wa damu” Aliamrisha huku akizidi kumkandamiza Roma na kile kisu , lakini Roma hakujali aliendelea kuendesha kutoa gari na kuliingiza barabara kuu.

“Hunisikii, nitakuua kweli” Aliongea huku awamu hii akibadili lugha kwenda ya kingereza.

“Umejiteka mwenyewe kwanini nisimamishe gari , wewe ni halali yangu kuanzia sasa”Alitania Roma huku akicheka na aliendesha gari kuelekea Kawe na yule mwanadada aliendelea kumkandamiza na kile kisu kiasi kwamba damu zilianza kutoka , lakini Roma wala hakuogopa.

Baada ya kuendesha na kufika usawa wa Tanganyika Parkers kwenye eneo la bustani ya maua alikata kulia na kuingia Kawe Beach na alienda kusimamisha mita kadhaa kutoka kilipo kiwanda cha kuchakata mchanga na kisha akafungua mlango na kutoka.

Yule mwanaadada wa kichina alikuwa amekasirika mno , kwanza Roma alifurahi baada ya kujua ni aina ya wasichana ambao hajawahi kuua mtu.

“Wewe ni nani?” Kauliza tena na Roma alimwangalia , alikuwa vilevile na mavazi yake lakini awamu hii alikuwa hajaweka Headphone masikionni.

“Mimi ni mwanaume ambaye ulitaka kumteka mchana kweupe”

“Niambie wewe ni nani la sivyo nitakuadabisha , kwanini una nguvu isiokuwa ya kawaida kwenye mwili wako?”

“Na wewe kwanini una nguvu isiokuwa ya kwaida kwenye mwili wako?”

“Jibu swali langu wewe ni nani , kabla sijachukua hatua nyingine wewe binadamu”Aliongea na kumfanya Roma kuona utoto ndani yake.

Roma hakujali sana kuhusu maswali yake bali alitembea kuelekea kwenye fukwe na kwasababu ilikuwa muda wa mchana hapakuwa na watu wengi zaidi ya viti viti vilivyoinamizwa kwenye meza.

Luo XiaoXiao alijikuta akikasirika mno, hakuamini binadamu anaweza kumdharau na alimkimbilia Roma huku akipanga kwenda kumshambulia , lakini wakati anamfikia tu Roma alisongea pembeni na kumfanya kupita kwa kasi na alikosa balansi na kutua kwenye mchanga.

“Kama unataka nikujibu swali lako nieleze kwanini umeweza kugundua gari yangu na kuingia kunisubiria?”Aliongea Roma na kumfanya yule mwanadada kusimama tena huku akionekana kukasirika mno na kutamani kulia , kwani alichokuwa akifanyiwa ni nje ya mategemeo yake, mbaya zaidi mtu anaemchezea ni mtu mweusi ndio maana alikasirika zaidi.

Roma alimchunguza kuanzia chini mpaka juu na kuona namna alivyokabwa na suruali yake aliovaa , alikuwa mwembamba mno licha ya kuwa na sura nzuri.

“You Pervert…!”Aliongea kwa mara nyingine na awamu hii alimsoglea tena Roma na kutaka kumpiga na Roma hakumkwepa aliacha amfikie na kumruhusu kumpiga na kweli aliweza kumpiga na ngumi eneo la kifuani lakini baada ya kumpiga Roma alitoa kilio mwenyewe kwani mkono wake uliumia.

Asilimia kubwa ya watu ambao wapo kwenye levo ya nusu mzuguko hawana uwezo wowote wa kufanya maajabu, ila uwezo wao wa kimapigano wanategemea zaidi nguvu za mikono yao na miguu.

Kwa mfano ukawa na mafuzo ya Kung Fu au Tai Chi na ukawa pia na mafunzo ya kijini na kuifikika levo ya nusu mzunguko faida kubwa utakayopata ni utashi wa hali ya juu lakini kiwango chako cha kutabiri kinaongezeka au kwa lugha ya kimapigano wanaita Kan , kwamba mtu anakuwa na ‘intuition’ ya hali ya juu ya kutabiri adui angefanya nini na wewe unapaswa kufanya nini , lakini pili ni kwamba ngumi ya mtu ambaye yupo kwenye levo ya nusu mzunguko ikimpata binadamu wa kawaida basi inaweza kuwa ndio kifo chake kwani ina ujazo mkubwa sana na hicho ndio kilimwaminisha Luo XiaXiao kuamini angemdhibiti Roma kirahisi.

Jambo moja ambalo lilimchanganya Roma na kutomuuliza Rufi ni kwamba msichana aliekuwa mbele yake alijua kabisa hakuwa na damu halisi ya kijini alionyesha kuwa ni mchanganyiko na huenda anafanana kwa kiasi kikubwa sana na Rufi , lakini kilichomshangaza kama ni hivyo kwanini ?Rufi akadhaliwa na Yin Meridian kiasi cha kumpelekea kushindwa kujifunza mbinu za kijini lakini Luo XiaoXiao alikuwa tofauti.

“Hey niambie umewezaje kugundua gari yangu , huna uwezo wa kupigana na mimi?”

“Kama sina uwezo wa kupigana na wewe baba yangu mzazi huwezi kupigana nae”Aliongea kwa kiburi huku akishika kiganja chake kilichoumia , matendo yao yalifanya watu wawaangalie.

Yule msichana baada ya kuona hawezi kumzidi Roma aliingiza mkono kwenye mfuko wa kibegi chake na kisha akatoa bangiri na kumrushia Roma na aliidaka,Ilikuwa bangiri ya Edna na alishhindwa kuelewa kwanini alikuwa nayo.

“Ulifanya makusudi kuonyesha uwezo wako pale Supermarket ili nikutambue halafu ukapotea ulikuwa na maana gani?”Aliongea na kumfanya Roma kutabasamu, ni kweli alifanya hicho kitendo, ulikuwa mchezo wake , mara baada ya kuona Rufi anamkimbia na kumuona huyo mwanadada yupo kwenye levi ya nusu mzunguko aliachia Aura yake kwa kuisambaza ili yule msichana aweze kutambua uwepo wake na kisha akaifunika tena na nguvu ya kimaandiko.

Katika ulimwengu wa viumbe wanaotumia nguvu za ziada hupenda sana changamoto lakini pia wanaongoza kwa kiasi kikubwa kwa kuwa na shauku , Roma alijua kwa kufanya vile yule msichana asingeondoka na kujawa na shauku ya kumtafuta mpaka ampate na alijua shauku yake ingekuwa kubwa kwasababu kwanza hapa ni Tanzania na ni mara chache sana kuona watu wa kawaida wanaojifunza mbinu za kuvuna nishati ya mbingu na Ardhi.

“Kwahio unamaanisha uliweza kunitafuta kwa kufuara hii bangiri?”Aliuliza Roma.

“Unaonekana kushangaa, inaonekana hujui mambo mengi licha ya kuwa na vinguvu, nakuambie humuwezi baba yangu mzazi”Kaliongea na Roma aliangalia ile bangiri na kujua Edna atakuwa aliisahau kwenye gari , ilionekana ni sahihi maana kwenye harusi hakuwa ameivaaa lakini alijiuliza ilimtoka lini mkononi na kuwa kwenye gari yake.

Roma aliona ni sahihi kama kweli Luo XiaoXiao aliweza kuipata gari yake kwa kuona hio bangiri kwani yenyewe ilikuwa ya kijini.

“Hili taifa asilimia kubwa nimekutana na watanzania wenye Dhana za daraja la chini na asilimia kubwa nyingi sio za ulinzi bali ni za mvuto na utajiri lakini hio bangiri ndio tofauti kati ya zote , imetengenezwa kwa ajili ya ulinzi na ipo kundi la kati katika Dhana za ulinzi”Aliongea na kumfanya Roma kuona kweli ana hoja na anapaswa kusikilizwa.

“Nimekuelewa”

“Ni zamu yako kujibu maswali yangu , wewe ni nani?, unao uwezo wa kufunika nguvu zako hivyo naamini upo levo ya juu lakini kwanini ukanitega kwa kusambaza Aura yako nikutambue , inaonyesha una kitu unataka kujua kutoka kwangu?”

“Sio mbaya unaonekana una akili”

“Ni jibu”

“Nataka kujua kwanini msichana mrembo wa kichina mwenye mafunzo ya mbingu na Ardhi kuwa hapa Tanzania?”

“Kuwa mkweli acha kuzunguka , najua umevutiwa na mimi?”Aliongea na kumfanya Roma kushangaa.

“Unnaongea nini kuvutiwa na wewe?”

“Kama sio hivyo ni nini, Umevutiwa na mimi kuwa mkweli wewe sio wa kwanza wanaume wengi mnachanganyikiwa na uzuri wangu”

“Hahaha..nishasema nataka kujua kwanini upo Tanzania ukinijibu swali langu nitakuachia”

“Ninasababu mbili za kuwa Tanzania ya kwanza nimekuja kwenye nchi niliozaliwa sababu ya pili nitakujibu mpaka unipe mawasiliano yako”Aliongea na kumfanya Roma ashangae anamaanisha nini kuzaliwa Tanzania mbona hana dalili ya mchanganyiko wa mtu mweusi.

“Acha uongo kama umezaliwa Tanzania , rangi yako ingekuwa inamchanganyiko na kama mama yako ni Mtanzania basi sio wa asili na kama wazazi wako ni wapitaji tu na ukazaliwa Tanzania sidhani kuna haja ya kuwa hapa nchini kwani hili taifa halikuhusu”Aliongea Roma.

“Nadhani ninapaswa kukuomba vitu vingi kutoka kwako nina weza kuzaliwa na mama mweusi lakini nikawa sionyeshi dalili yoyote ya kuzaliwa na mama mweusi hilo litategemeana na nguvu ya baba yangu , una uwezo mkubwa lakini unaonekana kutokujua mambo mengi”Aliongea na kumfanya Roma kuwaza kweli inawezekana au huyo mtoto anamdanganya

“Nitalifuatilia”Aliwaza Roma kwenye akili yake.

“Niambie sababu ya pili”

“Nipe mawasiliano yako”Aliongea na kisha akatoa simu yake na kumnyooshea Roma aweke namba yake.

Roma alijifikira kwa dakika na kisha alichukua ile simu na kuiandika haraka haraka na kisha akamrudishia.

“Unaweza kunijibu sasa”

“Tulia bro tuihakiki isije ikawa plate number” Aliongea na kumfanya Roma kutabasamu kwa uchungu, ni mwanamke ambaye alionekana kuwa mjanja kuliko hata Rufi alivyokutana nae.

Baada ya kuipigia ile namba na kuona inaita alitabasamu.

Anaweza kuwa kwenye levo ya Nafsi au zaidi halafu anaonekana kuwa mjinga , ninaweza kutumia ujinga wake na kufikia levo ya Mzunguko kamili au nusu Mzunguko kwa kufanya nae mapenzi”Aliwaza kwenye akili yake huku akitoa tabasamu na kuisevu ile namba kwa mbwembwe zote.

“Nadhani unapaswa kunijibu wewe binti”Aliongea Roma.

“Kwanini unataka kujua sana sababu ya uwepo wangu hapa Tanzania”

“Sihitaji maswali mengine kutoka kwako nataka majibu”Aliongea Roma huku akiweka usiriasi na kumfanya yule msichana kumwangalia na kisha akatoa kijikadi kwenye mfuko wake na kumrushia Roma na kuanza kutembea kurudi alikotoka.

“Nitakutafuta upokee simu zangu”Aliongea huku akitembea kwa kurudi nyuma nyuma.

Roma alisoma ile kadi na alishangaa mara baada ya kugundua msichana mdogo kama huyo alikuwa ni Director wa kampuni ya kichina ifahamikao kwa jina la Sunda tawi la Tanzania.

Roma mpaka hapo aliamini kuna uwezekano hakuwa Tanzania kwa ajili ya Rufi bali ni kikazi ndio maana akampatia hio kadi.

Roma alisimama kwa dakika kadhaa akimkodolea macho kwa nyuma na alitembea bila ya kugeuka na kumfanya ajiulize maswali mengi , kwanza alisema yupo Tanzania kwasababu mbili , ya kwanza ni kwa ajili ya mama yake ni mtanzania ya pili ni mfanyakazi wa kampuni kama Director, swala la kuwa Director halikuwa na shida ila swala la mama yake kuwa Mtanzania lilifikirisha.

Roma palepale alimkumbuka Zenzhei aliamini angekuwa na majibu , alitoa simu yake na kumpigia Afande Kweka huku akiingia kwenye gari.

“Wewe mtukutu umenikumbuka baada ya kutibua hali ya hewa ya nchi”

“Unamaanisha nini wewe mzee ,nani kutibua hali ya hewa ya nchi?”Aliuliza Roma huku akijifanyisha haelewi Afande Kweka anachojaribu kuongea.

“Kama sio wewe nani anaweza kuyumbisha mifumo ya taifa, Nilijua upo Honeymoon na mke wako kumbe umerudi na kusababisha vifo”

“Mzee unanisingizia kama unamaanisha Mstaafu Kigombola sihusiki na hesabu za vifo nilivyosababisha tokea nirudi ni vitatu”

“Unamaanisha nini vifo vitatu , kuna wengine umeua bila sisi kujua?”

“Nimekupigia nataka kuongea na Bi Zenzhei nadhani upo nae karibu”Aliongea Roma huku akipotezea swali.

“Mr Roma nipo kwenye line”

“Nahitaji kujua kama kuna uwezekano wa….”Roma alijikuta akisita baada ya kuona hajapangilia swali.

“Wa nini Mr Roma”

“Tuseme ninapanga kuzaa mtoto na mwanamke wa Kizungu , je ninao uwezo wa kumfanya mtoto atakaezaliwa kuwa mwafrika bila ya kuonyesha dalili yoyote ya kuwa na mchanganyiko wa rangi kwa kutumia mbinu za kijini?”

“Mr Roma sijui kwanini unauliza hivyo , lakini inawezekana kama huyo mwanamke ni sahihi?”

“Unamaanisha nini kusema mwanamke ni sahihi?”

“Kila mwanamke anazaliwa na kiwango flani cha nishati ya Yin ambacho kinaweza hulandana na Yaksha ndio maana nasema mwanamke sahihi kwani sio wote”

“Yaksha!!, Sijakupata vizuri”

“Mr Roma Yaksha ni aina ya Dhana maalumu ambayo humchagua mwanamke au mwanaume kama tu Jini au binadamu mwenye uwezo mkubwa wa nishati za mbinguna Ardhi anataka kuzaa na binadamu wa kawaida, tuchukulie kwenye mfano wako mwenyewe unataka kuzaa na mwanamke wa Kizungu hivyo hatua ya kwanza unayotakiwa kuchukua ni kutafuta Dhana ya Yaksha na kuilandanisha na mwanamke wa Kizungtu na akipatikana unamvalisha na wakati wa tendo Yaksha itanyonya kiasi kikubwa cha Yang kutoka kwako na kuungana na Yin na kubust uwezo wa mwanamke kuweza kubeba mimba yako na kitakachotokea baada ya hapo mtoto atakaezaliwa atakuwa anafanana na wewe kwa asilimia mia moja kimwonekano, athari kubwa itakayotokea baada ya mwanamke kukuzalia mtoto anakuwa tasa , hivyo Mr Roma kama ndio mpango wako sikushauri”Aliongea Zenzhei na kumfanya Roma kukuna kichwa

“Sina mpango wa kufanya hivyo , nimeuliza kupata maarifa tu hakika kuna vitu vingi sivifahamu”Aliongea.

“Tamaduni za jamii za viumbe wasionekana ni pana kama ilivyo kwa binadamu tu na huwezi kufahamu kila kitu, usijiumize kichwa Mr Roma”

“Okey asante kwa maelezo”Aliogea Roma na kukata simu.

Mpaka hapo aliamini kidogo maneno ya XiaoXiao, aliona kweli kuna mambo mengi hayajui.

Roma aliendesha gari yake taratibu kulitoa upande wa fukwe kuingia barabara kuu , muda ulikuwa umeenda lakini aliona bora aende kazini mara moja , kwani tokea amwachie Tanya majukumu hajawasiliana nae hata mara moja.

Wakati akiwa njiani alipiga simu kwa Sauroni na kumpa maelekezo ya kuwashitua ‘Sleepers agent’ wao waliopo Korea kusini amsaidie kujua nini kinaendelea kwenye familia ya Park Juan, alitaka kuhakikisha kama kuna tatizo lolotea ambalo limempata Yezi.

Roma alijaribu kuendesha kuangalia kama angemuona yule msichana njiani , lakini hakuonekana kwenye upeo wa macho yake na aliamini huenda amepanda gari.

*******

“Zenzhei nadhani ni kama ulivyoongea jana?”

“Ndio Camillius kwa namna jinsi mambo yanavyoenda naamini sina haja ya kuwa na wasiwasi”

“Hahaha.. Zenzhei Roma ni jasiri sana , haogopi kuwachokoza Hongmeng kabisa?”

“Kachukua kila kitu kutoka kwako?”

“Unadhani ni kweli?”

“Nina uhakika Cammilius”

“Unaweza ukawa sahihi , Senga ni mwanangu lakini ni muoga kwenye mambo mengi lakini kwa mjukuu wangu Roma ni tofauti, ninachopenda anafanya kile anachokiamini”Aliongea Afande Kweka.

“Vipi kuhusu ulichoongea nae , nimesikia ukimtajia mambo ya uzazi”

“Camilius nimeshindwa kujua kwanini kauliza swali la namna hio lakini nadhani kuna kitu kimetokea leo”

“Unaamini hivyo?”

“Ndio”

“Hata mimi nadhani, kuna mambo mengi yanamfuata nyuma yake , kuwa na nguvu kubwa ni mzigo mzito”

“Nakubaliana na wewe, lakini kwanini usimwambie kuhusu Lanlan?”

“Hahaha…tena umenikumbusha Lanlan ndio anafanana na mimi babu yake lakini upande mwingine anafanana na mama yangu mzazi , ni mwepesi kushawishika”

“Hapana Camillius nadhani akishakuwa mkubwa atabadilika kwasasa ni mtoto”

“Hata mimi nadhani hivyo , Siwezi kumwambia Roma kuhusu Lanlan hata kama nife kesho , ukweli lazima agundue yeye mwenyewe kama Lanlan ni mtoto wake wa damu”

“Camillius lakini sidhani kama babu yake Lanlan anaweza kurudi?”

“Hilo lisikupe shida kama Lanlan ameweza kumpata baba yake mzazi basi lazima Roma na yeye atamfahamu mtoto wake mwenyewe, Zenzhei hebu fikiria kama tukimwambia Lanlan ni mtoto wake nini kinaweza kutokea?”

“Una busara sana Camillius , lazima atataka kujua mama yake Lanlan yupo wapi na hilo ndio litamchanganya zaidi na kumyumbisha na maadui wnaweza kulichulia kama udhaifu”

“Ndio maana anapaswa kutafuta ukweli yeye mwenyewe , na naamini siku atakayofahamu kuhusu Lanlan ndio atafahamu Seventeen hakufariki na atajue ni wapi alipo”

*******

Edna akiwa kazini kama kawaida mlango wake wa ofisini uligongwa na akaruhusu anaegonga kuingia na alikuwa ni Suzzane na Edna alitabasamu na kumpa ishara ya kuingia.

“Boss habari za harusi yako?”aliongea Suzzane huku akiweka tabasamu la urafiki.

“Nzuri Suzzane , harusi ilienda vizuri nitakuonyesha Vidio yake”.Aliongea Edna huku akitoka kwenye kiti chake na kukaa kwenye Sofa.

“Nitafurahi Madam , nina hamu ya kukuona unavyoonekana kwenye shera”Aliongea na kumfanya Edna kuona aibu kidogo .

“Vipi nadhani umekuja mpaka ofisini kwasababu una kitu muhimu cha kuniambia”

“Ndio boss nina mambo mawili yalionileta yanahusiana na Foundation”Aliongea na kisha alitoa karatasi kwenye mkoba wake na kumpatia Edna ambaye alianza kuzisoma na alijikuta akishangaa mno.

“Suzzane hii Donation mbona ni kiasi kikubwa hivi , nani muhusika?”Aliongea Edna, ijapokuwa Edna ndio mmiliki wa Edna Foundation lakini aliekuwa akiiongoza ni Suzzane , hivyo maswala yote ya taasisi hio ya msaada yalimfikia Suzzane na ndio huyaleta kwa Edna kuyafanyia maamuzi , hata Juma alitibiwa kupitia hio taasisi.

“Mwanzoni hata mimi nilishangaa baada ya mchango huo kuingia kwenye akaunti zetu , lakini wiki iliopita niliweza kupokea jina la muhusika , inaonekana ni Emaar Foundation kutoka Dubai”

“Emaar ..!!!! “Edna alijikuta akiwaza na alijikuta macho yake yakichanua.

“Unamaanisha kampuni inayomilikii jengo la Burj Khalifa?”

“Ndio Madam na huu ndio ujumbe wa barua pepe uliotufikia”aliongea na kisha akampatia kishikwambi na Edna kusoma na alijikuta akivuta pumzi na kuzishusha.

“Suzzane nadhani watakuwa na sababu , kama hapa wanataka kuonana na mimi sidhani ni tatizo na ndio tutafanya maamuzi tukishafahamu nia zao”Aliongea Edna.

Ilionekana taasisi ya misaada inayomilikiwa na familia ya kiarabu ya Khalifa kutoka Dubai ndio waliotoa Donation(Mchango) ya kiasi kikubwa cha pesa kwenda kwa taasisi ya misaada ya Edna Foundation lakini pia walionyesha walitaka kukutana na Edna kwa ajili ya kikao cha majadiliano na ndio maana Edna aliona mpaka watakapo kutana nao ndio wangejua nini nia yao ya kuchangia kiasi kikubwa cha pesa kwenye taasisi yake.

Edna Foundaton licha ya kwamba kiasi kikubwa cha pesa kilikuwa kikitoka kwa Edna mwenyewe mmiliki lakini watu wa nje waliruhusiwa kuchangia , kwasababu malengo yalikuwa ni kusaidia wale watu wenye uhitajji.

“Niambie na swala la pili”

“Ni kuhusu Najma Madam, mwanzo wa mwezi huu wa nne alituma maombi ya kufuta udhamini wa masomo yake”Aliongea Suzzane na kumfanya Edna kushangaa.

“Kwanini?”

“Hajatoa sababu lakini amekutumia ujumbe kukueleza sababu atakaporudi nchini , taarifa za awali alizoelezea ni kwamba ameacha masomo ndani ya chuo cha Harvard”Aliongea na Edna alijikuta akiwaza.

“Suzzane isije ikawa yupo kwenye matatizo”

“Hapana Madam nilijaribu kuchukua hatua ya kuwasiliana na mwenyeji wake na inasemekana alifanikisha kupata ufadhili mwingine na amehama chuo”Aliongea na kumfanya Edna kuguna.

“Suzzane shida yangu ni kujua kama yupo salama , kuhusu ufadhli kama kapata mwingine sio tatizo , jaribu kuwasiliana na kaka yake uone kama wana mawasiliano na kama yupo salama haina haja ya kuuliza zaidi”.

“Sawa madam” Alijibu suzzane.









SEHEMU YA 485,

Roma ndio aliekuwa wa kwanza kurudi nyumbani na usiku alipanga kumtafuta kwanza Rose na Dorisi kujua maendeleo yao , maana licha ya kwamba ni majirani lakini ni kama waliishi mitaa miwili tofauti.

Baada ya kupumzika kwa dakika kadhaa alitoka huku akipanga kuanza safari , lakini ile anafika nje tu aliweza kukutana na Edna ambaye anaingia kutokea kazini.

“Mbona kama upo kwenye mtoko mwenzangu” Aliongea Edna kinafiki.

“Mke wangu matendo kwanza na maneno ndio yafuatie” Aliongea Roma na kumsogelea Edna na kumkumbatia.

“Kama kuna sehemu unaenda usiondoke”

“Kwanini!, nilikuwa nikienda kumwangalia Dorisi na Rose mara moja, kuna sehemu unataka twende?”

“Kuna ndugu yako anafanya sherehe ya kuzaliwa leo na ametualika twende pamoja , nimeona sio jambo baya kama tutaenda kwani inakuweka karibu zaidi na ndugu”

“Ni ndugu yupi huyo unamzungumzia?”

“Fredi yule mjanja mjanja aliekuja na kundi la marafiki zake na kuondoka bila ya kushiriki mila kule Songea , nadhani unamkumbuka maana alikuwa wa tofauti familia nzima”Aliogea Edna na kumfanya Roma amkumbuka.

“Unamaanisha yule muuza magari?”

“Ndio huyo na kaniambia nisikose kwenda kwani kaniandalia zawadi ya harusi yangu, unaonaje tunaenda au unaenda kwa Rose na Dorisi?, naweza kwenda hata mwenyewe”Aliongea Edna kimtego na kumfanya Roma asugue pua yake kwanza.

“Sio mbaya kwasababu unataka kwenda lazima na mimi niende”Aliongea huku akiona safari ya kwenda kwa Dorisi imekwama ila alijiambia muda wowote angeweza kwenda.

Baada ya Edna kukubaliana nae aliingia ndani kwa ajili ya kujiandaa na saa kumi na mbili alikuwa ashamaliza na jioni hio alivalia gauni refu la kufunga na mkanda kiunoni , lilikuwa gauni la kawaida kimwonekano lakini lilimpendeza sana kutokana na yeye alivyo.

Roma alivaa jeans na koti la suti na tisheti ndani na ndio aliekuwa wa kwanza kutoka na kutoa gari.

“Mbona umechukua gari hio?”Aliongea Edna mara baada ya kumuona Roma katoa gari ambayo tokea siku aliopewa kama zawadi hakuwahi kuiendesha , ilikuwa ni Lamborgin Urus SUV rangi ya orange.

“Tunaenda kwenye sherehe ambayo imejaa watu wanaopenda show off , Dear we either go big or go home”Aliongea Roma akiwa siriasi na kumfungulia Edna mlango.

Edna alikuwa na magari ya kifahari, lakini hakupenda kuyatembelea sababu ni kutokana na uchache wake ndani ya Tanzania , hivyo kama akitumia wengi wangemwangalia na ndio kitu ambacho hapendi.

“Party inafanyikia wapi?”

“Sijui lakini amesema ni Maple Speed Resort”.

“Mbona mbali hivyo?”

“Unapafahamu?”

“Ndio ni Kisemvule huko kama unapita Kongowe”

“Mhmh!!.. kweli mbali , lakini umepafahamu vipi?”

“Nishawahi kufika kwa kuitwa na Neema..”Aliongea Roma huku akimwelezea namna ambavyo Msechu aliweka rehani gari ya kifahari ya Neema Luwazo na yeye kwenda kuikomboa.

“Mh..! Baba una harakati” Aliongea Edna na kumfanya Roma kutabasamu huku akiwasha chombo na ikanguruma na kumfanya atabasamu, alijiambia ni hivyo tu Tanzania barabara zake hazipo vizuri ila angekuwa anaendesha kwa spidi lakini aliona pia ni hasara sana kuwa na magari hayo kwa hapa Tanzania kwani hayatumiki ipasavyo.

Mama yake Roma na Bi Wema walishangaa kuona wametoka na gari ya aina hio, lakini hawakuuliza hata hivyo walifurahi wanatoka pamoja na alijiambia yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha Lanlan anakula anashiba maana ndio kazi ya bibi kwa wajukuu.

“Ni mbali lakini tunaweza kuchukulia kama muda mzuri wa kupoteza muda na kurelax”Aliongea Roma na Edna alitingisha kichwa na kushusha kioo kuangalia nje.

Giza lilikuwa lishaingia lakini watu hawakuacha kushangaa gari yao , Lamborgin Urus ni gari ghali, zaidi ya milioni mianne na nusu zilitumika kuliingiza nchini hivyo ilikuwa ni haki kukodolewa macho kwani yalikuwa machache sana.

“Vaa hii?”Aliongea Roma huku akimpatia Edna ile bangiri.

“Ah!… umeitoa wapi nilikuwa nikiitafuta sana bila mafanikio”

“Ilikuwa kwenye gari yangu”Aliongea Roma na kumfanya Edna kuvuta pumzi za ahueni.

“Nilikuwa na wasiwasi nimeipoteza , ni kitu cha thamani nilichopewa na familia yako”

“Ni ya thamani ndio na hata mimi sijui wameitoa wapi , ila kazi yake ni kukupa ulinzi kuwa makini usiipoteze”

“Kweli inaweza kunipa ulinzi!?” Aliongea Edna huku akionyesha mshangao.

“Ndio ina nguvu kubwa, ukifanikisha kupanda levo huenda itakuwa rahisi kuitumia na kujua uwezo wake kwasasa ni kama urembo tu lakini bado ni muhimu”Aliongea Roma na kumfanya Edna kuiangalia huku akiivaa.

“Halafu Yezi alipiga simu”Aliongea Roma na kumfanya Edna kumwangalia.

“Park Joghyun pia alinipigia leo asubuhi”

“Kweli!! , alikuwa akihitaji nini?”

“Aliniambia hali ya babu yake Yezi imeimarika kwa kiasi kikubwa na ashaanza kurejea kwenye majukumu yake na Yezi pia kashaanza kuendelea na masomo”

“Hajazungumzia kuhuru urithi ambao babu yake amemuahidi?”

“Hajatambulishwa bado kifamilia na hio ndio sababu ambayo amenipigia , wanasema mwisho wa mwezi wa sita katika Anniversary(Kumbukumbu) ya miaka arobaini ya Starmoon Group ndio angekaribishwa rasmi na sisi tunapaswa kuwepo ,.Tena bila kusahau ameniambia kuna kidani ambacho Yezi amekupatia”Aliongea Edna.

“Ndio nina kidani , mara ya kwanza nilipokutana na Yezi alikataa nikimsaidia pesa kuinua biashara yake hivyo nikamwambia anipatie kitu chenye thamani , ndio alinipatia Kidani flani hivi ambacho ndio kitu pekee alichoachiwa na wazazi wake kama utambulisho, kwanini ameulizia wakati tayari washamtambua?”

“Hajaniambia sababu lakini alionyesha ni kitu muhimu sana kwa familia, hivyo siku tukienda usije kukisahau”Aliongea Edna na kumfanya Roma kufikiria kidani kile kinamaana gani kwa familia ya Park Juan , alijua kilikuwa na thamani kutokana na namna kilivyotengenezwa lakini bado shauku yake ilikuwa juu.

Kisemvule ilikuwa mbali , uafadhali pekee ni ile adha ya foleni imeisha kutokana uwepo wa mwendokasi na barabara kupanuliwa.

Baada ya kama lisaa hatimae waliweza kuipita kisemvule na kuingia Maple Speed resorts.

Gari yao ilivutia macho ya watu wengi wakati wanaingia ndani ya eneo hilo, maana licha ya kuonekana mpya lakini ilikuwa ya bei kubwa mno.

Edna alishangazwa na uwepo wa hili eneo na kadri alivyokuwa akilichunguza ndio alijua kwanini liliitwa Maple Speed Resort, kwa jicho la kibiashara aliona ni uwekezaji mzuri kampuni ya Maple wamefanya lakini pia aliona jiji angalau linazidi kupiga hatua.

“Fredi kupenda kwake magari ndio kaamua kufanya Party huku mbali kote?”

“Nadhani pia amechagua kwasababu ni eneo ambalo limejitenga”Aliongea Roma huku akiingiza gari upande wa kulia yalipoegeshwa magari aina tofauti tofauti , ni kama alivyotegemea magari mengi yalionekana ya bei ghali , lakini Gari lao ndio kidogo lilionyesha kufunika karibia magari yote.

Watu walikuwa wamezagaa nje huku wakiongea na kupiga soga , wanawake kwa wanaume na baadhi pia ya wasanii walikuwepo lakini mara baada ya ujio wa Edna na Roma wote walinyamaza na kuwaangalia.

Edna hakupenda sana kukodolewa macho , lakini kama mwanamke alijisikia vizuri namna ya wadada walivyokuwa wakimwangalia kwa wivu.

Roma alijihisi kidume baada ya kupita mbele ya makundi ya watu wakimwangalia mke wake alivyokuwa mrembo, watembea kuelekea upande wa pili wa jengo huku akiwa amemshikilia Edna mkono.

“Nadhani nilipaswa kuvaa jacket kwa juu au kitu chochote kufunika mabega yangu”Aliongea Edna huku akijisikia vibaya maana wanaume walimwangalia kwa macho ya uchu kweli.

“Wife sikudhania wangekuwa wengi hivi ningekushauri kule kule”Aliongea Roma na kisha alivua Blazer yake na kumvalisha.

“Unafanya nini?”

“Vaa hili la kwangu siwezi kuvumilia wakikuangalia kwa matamanio , ushaolewa tayari unapaswa kuwa na aibu kuonyesha baadhi ya sehemu zako za mwili ambazo napaswa kuona mimi tu”Aliongea Roma kitemi.

Edna hakutaka kuvaa kwasababu angeonekana mshamba flani hivi , lakini Roma aliongea ki amri na alimjua tabia yake hashindwei kufanya kitu cha ajabu hivyo aliamua kutulia.

Roma haikuwa mara yake ya kwanza hivyo alimuongoza Edna na kuvuka upande wa pili wa jengo na ile wanaingia upande wa mgahawa wa kisasa kushoto kwao Edna macho yake yaliweza kutua kwa mtu ambaye hakumtegea kumuona hapo na sio kwa Edna tu hata Roma hakutegemea kumuona , alikuwa ni Desmond.,

Desmond alikuwa amesimama karibia na ngazi za kuingilia akiwa anaongea na baadhi ya watu huku akichekelea , alikuwa amevalia suti ya rangi ya bluu na shati bila tai huku mkononi akiwa ameshikilia glass yenye kimiminika cha rangi ya kahawia ndani yake.

Alionekana ni kama alikuwa ametarajia ujio wao , kwani mara tu baada ya kuwaona aliwasogelea na macho yake yalipotua kwa Edna alijihisi moyo wake kuuma ni kama urembo wa Edna kwake umeongezeka mara elfu moja.

“Karibu sana Mr Roma Ramoni , mtoto mpotevu wa Raisi Senga, nimefurahi kuwaona tena wewe na mkeo”Aliongea huku akiweka tabasamu la kinafiki , siku hio alionekana kuchangamka kuliko siku ya mwisho aliokutana na Roma eneo hilo hilo.

“Bro mmefika , karibu sana , Shemeji una meta meta”Aliongea Fred aliewasogelea kwa haraka mara baada ya kuwaona.

“Mbona umechagulia kufanyia sherehe mbali huku”

“Kwasababu hili eneo limetulia na ni pana zaidi lakini pia nadhani mnafahamu mimi ni mfanyabiashara wa magari “Aliongea huku akicheka.

“Desmond huyu ni Bro Roma na huyu ni Edna malkia wa biashara ndani ya Tanzania , Shemeji yangu wa ukweli unamuonaje”Aliongea Fredi na ilionyesha pombe haikuwa mbali na akili yake.

“Sina neno la kuongezea, Hongera kwa kupata Shemeji mzuri namna hii”

“Hizo hongera naomba nizielekeze kwa Bro Roma kwa juhudi kubwa kwani kama sio yeye nisingepata hata nafasi ya kusalimiana na mtu mzito kama Boss Edna , Shemeji karibu sana jisikie huru , huyu ni Desmond…”

“Fred hauna haja ya kututambulisha tunafahamiana nae” Aliongea Roma maana hakutaka kuendelea kusimama na Edna mbele ya Desmond ambaye anamwangalia dada yake kwa macho ya uchu.

Wageni walikuwa wengi na Fredi ilionekana ni mtu wa watu , maana eneo limejaa haswa.

“Mr Roma we meet again”Sauti kutoka nyuma yao ilisikika na kuwafanya wageuke.

“Tusiman!!”Aliongea Roma mara baada ya kumfahamu , alikuwa ni muindonesia alieshindana nae mbio za magari kuikomboa gari ya Neema Luwazo na alishangaa uwepo wake.

Alikuwa amevalia shati la mikono mirefu bila koti pamoja na kofia aina ya Hat na mkononi pia alikuwa ameshikilia kinywaji kwenye glasi.

“Nice to know you still remember me and this must be your lovely wife”

“Ni vizuri sana unanikumbbuka na huyu lazima atakuwa mkeo”Aliongea huku akionyesha kushangazwa na uzuri wa Edna huku akinyoosha mkono wake akimpatia kutaka kusalimiana nae , lakini Roma hakutaka ashikane na Edna kwani aliona kabisa nia yake ni kutaka kubusu kiganja chake na alimvuta Edna na kumrudisha nyuma.

“Niwie radhi Mr Roma nishajisahau tayari nikajua nipo nyumbani”

“Honey ,who is he”Aliuliza Edna na muda huo na Desmond alikuwa tayari ashasogea tena waliposimama na Fredi alikuwa upande mwingine akikaribisha wageni wake.

“Ni mwanachama wa Indonesia Redbull Racing ni dereva wa mbio za magari Formula one”Aliongea Roma na Edna alielewa.

“Mr Tusimani kwanini bado upo hapa , nilijua usharudi nchini kwenu”

“Kwasasa nipo likizo na nimeipenda sana Tanzania hivyo nimevuta muda wa kurudi nyumbani mpaka ligi itakapo anza”

“Mr Roma Tusiman bado hajaridhika na siku ile alivyopoteza pambano kutoka kwako na ameshiriki siku ya leo baada ya kufahamu ujio wako na anaomba umpatie nafasi ya mwisho ya kushindana”

“Ni kweli Mr Roma kama hutojali nitaomba mpambano mmoja tu na baada ya hapo sherehe inaweza kuanza Fredi pia ameridhia”Aliongea Tusimanni huku akionyesha kuwa na mchecheto mno.

“Usije ukaniacha hapa peke yangu” Aliongea Edna kwa tahadhari.

“Napaswa kumsikiliza na isitoshe pia nawakilisha taifa kwa kushindana na mtu mkubwa kama Tusimani”Aliongea Roma

“Mr Roma asante kukubali ombi langu , nadhani tunapaswa kuweka Zawadi atakayopata mshindi”

“Kwanini tusifanye hivi, kwasababu Tusiman wewe umeshinda mapambano mengi tokea ufike hapa Tanzania ,unaonaje ukazibetia hela zote ulizopata na isitoshe wewe ndio umeomba nafasi ya kushindana na Roma”Aliongea Desmond kwa kingerereza na kumfanya Tusimani kukosa ujasiri.

“Acha kuwa mbahili , wewe unafahamika duniani kote na unaheshima kubwa nadhani sio mbaya kama utatoa kiasi kidogo ulichopata hapa Tanzania na isitoshe unajiamini unakwenda kushinda , hupaswi kuwa mbahili namna hio bro”Aliongea na muda huo na Fredi na wageni wengine walikusanyika eneo moja baada ya kusikia Tusimani anataka kushidana na Roma kwenye mbio za magari.

Ilikuwa ni usiku lakini kwasababu eneo hilo limefungwa Spotlight uwezekano wa kufanya mashindano hata usiku wa giza inawezekana kabisa.

Baada ya majadiliano ya muda mfupi Tusimani alikubali kubetia kiasi cha Dola Elfu ishirini na Roma elfu ishirini na makubaliano mshindi ambaye angepatikana hela zote angezitoa kwenda kwa watu wenye uhitaji na Roma hilo hakuona tatizo.

Fredi alimfikishia taarifa Meneja wa Maple kuruhusu uwanja kutumika na Roma alimwangalia kwanza Edna kutaka ruhusa yake.

“Siwezi kushindana bila ruhusa , Unasemaje?”Aliuliza Roma.

‘Unaweza kushindana , pesa ambazo zitakazopatikana hata hivyo hazingii mfukoni mwenu bali ni kwa ajili ya kusaidia wahitaji”Aliongea Edna.

“Nilijua hukutaka nishindane?”

“Ni kabla ya mchango wa hela haujafanyika , kiasi tajwa ni kingi sana na kinaweza kujenga madarasa hata mawili”Aliongea Edna ukweli mara baada ya mwanzo kuona labda mashindano yalikuwa ni ya kuonyesha umwamba hakutaka Roma ashiriki halafu amuache mwenyewe , lakini baada ya kuona hela zinazopatikana zote zingetolewa kwa wahitaji aliona ni mashindano ya maana.

Kwasababu taa zilikuwa zimezimwa walisubiri nusu saa nzima kusubiria zikoleze mwanga kwani Spotlight hazikuwa zikiwaka moja kwa moja kwa mwanga wake wote, zilianza taratibu taratibu mpaka kukolea.

Na muda huo Tusiman na Roma walitumia kuchagua magari watakayotumia kuendesha ambayo yote yalikuwa mali ya kampuni ya Maple.

Tusimani alichagua Ferrari 458 rangi ya njano gari ya milango mwili ambayo injini yake ilikuwa na uwezo mkubwa kuliko gari Roma aliochagua Mc Laren.

Watu walishangilia mno na ilikuwa Party ya aina yake kwani hakuna ambaye alitegemea angeshuhudia mashindano hayo tena muda wa usiku.

Baada ya kila mmoja kukaa kwenye nafasi yake zilihesabiwa sekunde tano kurudi nyuma na ilivyofika sekunde ya sifuri tu.

VROOM!, VROOM!

Wote waliyaondoa magari yao kama mishale na kufanya kelele za kushangilia ziwe juu.

Muda huo huo wakati Roma anaondoka upande wa aliposimama Edna alisogelewa na muhudumu aliebeba Tray la glasi zilizojazwa vilevi pamoja na mvinyo.

Mwanzoni alipokuwa na Roma alionyesha kujiamini na sasa alikuwa peke yake aliona hana usalama na Fredi mwenyewe alionekana kuwa bize kuangalia mashindano na alikuwa ndio kinara wa kupiga makelele.

“Miss care for a glass of drink?”Aliongea yule mhudumu na Edna alitingisha kichwa kidogo kukubali na alimsogela , lakini sasa yule mhudumu alitereza na zile glasi zote kwenye trey kumponyoka na kumwagikia Edna kwani hakuweza kumkwepa kwa haraka.

“Dada samahani, I am sorry” Aliongea huku akiomba kusamehewa , watu wachache waliona hilo tukio lakini kutokana na kuwa bize kuangalia kile kinachoendelea hawakujali sana.

“Haina shida , nionyeshe maliwatoni nikajisafishe”Aliongea Edna maana alikuwa amechafuka na mirangi na alijua angetoa harufu kama asingejifuta na maji.

“Sawa Dada nisamehe sana, nikule nyuma nitakusindikiza”Aliongea na kumfanya Edna ajutie kwani asingeangalia Roma akishinda , aligeuza macho yake na kuangalia kwenye scren za Tv na ilionekana ndio Roma anamaliza mzunguko wa kwanza na kuanza wa pili , kwani jumla ilipaswa kuwa na Lap tatu mpaka mshindi kupatikana.

Aliona akajisafishe haraka haraka na atawahi kuendelea kuangalia , walipita baadhi ya wageni na kisha walizunguka kwa nyuma na kuingia upande wa vyoo na mabafu, eneo lilikuwa la kifahari hivyo kila kitu kilikuwa cha hadhi ya juu na usafi mzuri na ni harufu kwa mbali ya limao ndio alioweza kuhisi kwenye pua zake.

Edna aliingia kwenye korido yenye msururu wa sink nyingi zenye mabomba ya maji na alivuka la kwanza na kwenda kusimama la tatu na akafungua koki na kuanza kuloanisha kitambaa kwa haraka kujifuta rangi nyekundu iliokuwa imemchafua eneo la kifuani.

Wakati akiwa bize kuharakisha kumaliza ili arudi kuangalia shindano , mwanamke mwingine aliekuwa akinukia vizuri aliingia, alikuwa amevalia gauni la rangi nyekundu la mkato wa chini ambalo liliubana mwili wake na kudhihirisha uumbaji.

Yule mwanamke alitembea kimadaha huku akiwa na tabasamu kwenye uso wake na kwenda kusimama nyuma ya Edna na kumfanya amuone kupitia kioo.

“Your skin is so smooth” Aliongea akimaanisha kwamba ngozi ya Edna ni nyororo.

“Wewe ni nani?”Aliuliza Edna huku akimwangalia kwa mshangao , maana hakuzoea kusifiwa na mtu ambaye hamfahamu tena eneo la chooni.

“Yaani umeshindwa kunifahamu?”Aliuliza na Edna alitingicha kichwa kwamba hamfahamu.

“Mimi nakufahamu sana na pia namjua mume wako vizuri…”Edna alimwangalia vizuri yule mwanamke na sura yake ilikuwa inakuja na kupotea, lakini jambo lingine ambalo lilimtia wasiwasi ni jinsi alivyoingia hapo ndani ni kama amemfuata nyuma ila alijitahidi kujituliza na kujiambie na yeye amekuja toilet lakini mwanamke yule bado hakutoka nyuma ya Edna.

“Unataka nini kutoka kwangu, maana naona kama umenifuata” Aliongea Edna na palepale tabasamu la yule mwanamke lilibadilika na kuwa la kejeli

“Mtoto wangu wa kiume aliweka juhudi nyingi kukupata lakini bado tu ukamkatalia na mimi kama mama yake nikaona nimsaidie..”Aliongea na sasa palepale Edna akili yake ilikaa vizuri.

“Wewe ni madam Kizwe!” Aliongea Edna huku akirudi nyuma kwa mshangao

“Haha.. unaonekana kuwa na akili , nadhani ndio maana Desmond ametokea kukupenda”

“Haiwezekanni…. Nilichojua tayari umekwisha kufa”Aliongea Edna huku akianza kuhisi woga wa ajabu na kutetemeka , lakini Kizwe alianza kucheka.

ITAENDELEA 0687151346 watsapp only contact me
 
Back
Top Bottom