Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

SEHEMU YA 523.

Profesa Clark hakujali sana namna ambavyo watu wa nje ya chumba hicho cha upasuaji walivyokuwa na wasiwasi zaidi ya kuwaambia wasaidizi wake kuwa makini na upasuaji.

Mpaka anakuja kumaliza upasuaji hakuna ambaye aliamini kama amefanikiwa kwa asilimia mia moja kuokoa maisha ya Park Juan..

Dokta Lee ambaye aliangalia mchakato mzima wa upasuaji alihisi ni kama vile anaota kwani mambo ambayo alikuwa akifanya Dokta Clark hakuwahi kuyashuhudia na siku hio ilikuwa mara yake ya kwanza.

Kuna baadhi ya taratibu za kiupasuaji aliishia kuzisoma tu kwenye vitabu na hajawahi kuona zikifanyika kwa vitendo , lakini mbele ya Dokta Clark baadhi ya nadharia ambazo amezisoma katika safari yake ya kuwa daktari ameweza kuona mubashara kabisa zikifanyika.

Madaktari na manesi wasaidizi walimhusudu Dokta Clark pia kwa uwezo wake, ilionekana kwao ni kama vile alikuwa amezingatia kila changamoto ambayo ingeweza kujitokea katika upasuaji huo.

Madaktari wote waliofika kuangalia namna upasuaji unavyofanyika walijikuta wakisimamama na kuanza kupiga makofi.

Yezi alifurahi sana kuona babu yake ameweza kuhimili upasuuaji huo mzito kufanyika , upasuaji wa upandikizaji wa viungo viwili kwa wakati mmoja na mpaka hapo shukrani zake zote zilienda kwa Dokta Clark ambaye amemsaidia babu yake.

Katika watu ambao hawakupenda mafanikio ya upasuaji huo kufanikiwa alikuwa ni Park Jonghyun , lakini kwa kinafiki alitoa shukrani kwa madaktari wote waliohusika katika upasuajji.

Baada ya upasuaji kumalizika wanafamilia wote walikubaliana kutafuta mgahawa kwa ajili ya chakula cha usiku.

Kim Jip ambaye aliondoka kwenda kuchukua moyo aliweza kurudi akiwa ameongozana na baadhi ya mabodigadi wa familia ya Park , pamoja na baadhi ya polisi.

Alikuwa kauzu kama kawaida yake na alikuwa tayari ashapata taarifa ya Roma kurudi hospitalini akiwa amefanikisha kuupata moyo uliohitajika.

“Asante sana Mr Roma”aliongea Kim Jip mara baada ya kumsogelea Roma.

“Umeweza kumpata mtu alieigiza sura yako?”

“Hio ndio sababu ambayo imetufanya tuwe hapa Mr Roma , kwa majina naitwa Jang Yoon kiongozi wa idara ya uchugnzi ya kituo kikuu cha polisi Seoul , kulingana na uchunguzi wetu wa mwanzo dereva ambaye alipewa jukumu la kuendesha gari lililobeba moyo amesema wewe ni mtu pekee wa mwisho ambaye uliweza kukutana na mtuhumiwa , hivyo hili ni swali letu kwako , Mtuhumiwa yuko wapi?”

“Si alishakufa, hamkuweza kupata mwili wake? , alijiua yeye mwenyewe kwa sumu”Alijibu Roma huku akionyesha mshangao kidogo.

“Mr Roma tunataka majibu yako ya kweli , wewe ndio uliechukua moyo kutoka kwake hivyo lazima utakuwa umemuona , tafadhari tuambie yuko wapi mtuhumiwa?”

“Oh! Kwahio mnachojaribu kumaanisha ni kwamba hamjaweza kuona mwili wa mtuhumiwa?”

“Sisi ni polisi , unadhani tunaweza kudanganya juu ya hili , Bwana Kim Jip hapa na yeye atapenda kujua nani ambaye amehusika kuigiza sura yake”Aliongea yule polisi wa Kikorea na kumfanya Roma kujilaumu kwa maamuzi yake alioyafanya, mpaka hapo alijua kabisa waliokuwa nyuma ya Kim Jip feki watakuwa waliwahi eneo la tukio na kisha wakaondoa mwili na kwasababu ya kukosekana kwake kesi ni kama imemwangukia yeye.

“Dereva alithibitisha kama alimuona Kim Jip feki na sisi wakati tukiwa tunamuhoji ndio tulipoweza kusikia taarifa ya moyo umeweza kuufikisha hospitalini , kutokana na mlolongo wa matukio tunapata hisia za wewe kuhusika katika hilo, hivyo basi itakuwa vyema kama utakubali kwa hiari yako kuongozana na sisi mpaka kituo cha polisi ili kutoa maelezo yako rasmi”

“Hamuwezi kumchukua bila ya kuwa na ushahidi , Uncle Roma ndio ambaye ameokoa maisha ya babu yangu”Aliongea Yezi akimkingia Roma kifua.

Edna hakujua kinachoendelea kutokana na kwamba hakuwa akifahamu lugha ya Kikorea na ilibidi aombe kutafsriwa na Roma alimweleza kwa ufupi namna tukio lilivyotokea na kumfanya sasa kuelewa na kuwa na wasiwasi.

Jopo lote mpaka hapo waliweza sasa kujua kama ile ajali iliosababisha moyo kuchelewa haikuwa bahati mbaya bali ulikuwa ni mpango wa watu na hamu yao yote ya kwenda kula ilipotea.

“Mr Roma ni mgeni wa heshima wa ukoo wa Park bila kushahau mchango wake mkubwa aliofanya kwa babu yangu kwa matibabu yake yake ,kapteni Jang nakushauri ufikirie mara mbili unachotaka kufanya”Aliongea Park Jonghyun.

“Bila kuwa na ushahidi wa kueleweka mtu wa mwisho kumuona mtuhudmiwa atageuka kuwa mshukiwa mkubwa wa kile kilichotokea , hivyo naomba ushirikiano wenu kwa jeshi la polisi la jamhuri ya Korea”Aliongea Kapteni Jang.

“Okey hakuna shida , kama unataka kuchukua maelezo yangu basi nitaongozana na wewe , hata mimi pia ninashauku ya kujua mwili umeenda wapi , hivyo nyie endeleeni kwenda kupata chakula na msiwe na wasiwasi”Aliongea Roma na kufanya kundi lote kukubali na Roma aliondoka na polisi.

Upande wa Edna alijua kabisa Roma hakuwa mhusika lakini hakupenda Roma kupelekwa kituo cha polisi.

Roma mara baada ya kuingia kwenye gari la polisi , liliondoshwa na kuelekea upande wa kusini mwa jiji la Seoul na baada umbali kama wa kilomita tatu gari ile ilikunja kulia na ilichukua njia ya pembeni likiachana na barabara kuu na kuingia upande wa viwanda.

“Ofisa Jang inashangaza kituo cha polisi kuwa maeneo haya ya Viwanda?”Aliuliza Roma ambaye muda wote alikuwa ametulia lakini wale mapolisi watatu walipotezea swali lake na gari likaendelea kuserereka

Upande wa Roma aliishia kutabasamu kifedhuli na kisha akakaa kimya kijua mwisho wake ni nini.

Baada ya muda kama dakika tano gari iliingizwa ndani ya eneo lenye ukuta kwa nje, sehemu ambayo ilionekana kuna ujenzi wa kiwanda unaendelea kutokana na uwepo wa magreda ambayo yanaanza kusawazisha ardhi ili kuweka msingi.

“Shuka chini”Aliongea polisi mmoja kwa namna ya kufoka kwa lugha ya kikorea.

“Hatuendi kituo cha polisi?”Aliuliza Roma mara baada ya kukagua mazingira.

“Kituoni kufanya nini?”

“Unamaaisha nini?”

“Kwasababu hapa ndio unakwenda kufia”Alijibu mwanaume aliejitambulisha kwa jina la Jang.

Polisi wawili ambao walikuwa warefu walimsogelea Roma mara moja , kwa haraka haraka.

Roma aliweza kuona miili yao ilikuwa mikakamavu na kuhisia wanaweza kuwa na mafunzo ya kimapigano.

Lakini upande wa Roma hakuwa na hofu kabisa , kwanza kabisa alikubali kuondoka na polisi hao makusudi kwani alishaona nia yao ovu.

Walianza kumshambulia palepale, lakini kila pigo ambalo walijaribu kumpiga nalo Roma aliishia kukwepa na kumfanya yule polisi ambaye alikuwa kama kiongozi kujiunga pia kwenye kushambulia .

Mmoja wapo alileta teke la hewani la kitaekwondo akidhamiria kumpiga Roma shingoni lakini Roma kwa ustadi kabisa aliweza kukamata mguu wake wa kulia yule bwana na kisha akamzungusha hewani na kumtupia kwenye trekta.

Mwingine alijileta kizembe na Roma kwa kutumia mguu wake wa kushoto alimtegua goti pale na akadondoka chini huku akiugulia maumivu.

Jang Yoon alijawa na kiwewe na palepale alitoa bastora yake na kuikoki akitaka kumshambulia Roma kwani mpaka hapo aliona kabisa hakuna namna wanaweza kushinda kwa kupigana nae bila siraha.

Lakini kabla hata hajafyatua kiganja cha mikono yake kilifikiwa na kupindishwa na bastora ikadondoka chini na Roma akaipiga teke kwenda kutua mbali.

“Nyie watu najua mpo katika kundi moja na yule mwigizaji mwenzenu wa sura , si ndio?”Aliuliza Roma na kuwafanya wale mabwana kushindwa kutoa jibu lakini walikuwa wakikiona kifo chao usiku huo kipo karibu , kwani mtu aliekuwa mbele yao hakuwa wa kawaida.

“Nani kawatuma na mnatafuta nini? Nawapa nafasi ya kujibu la sivyo nitawanyonga mmmoja mmoja mpaka mniambie ukweli”Aliongea Roma lakini wale mapolisi walionekana kutotaka kujibu hivyo Roma alimsogelea mmoja ambaye alikuwa amejipigiza kwenye trekta na kumpiga karate ya uti wa mgongo na kilichosikika ni kuvunjika kwa uti wa mgongo na kufariki palepale.

Wale wawili waliobaki walijikuta wakijawa na hofu na kumuona Roma sio mtu wa kawaida kwa namna alivyommaliza mwenzao kikatili mno.

“Kwasabau wote nyie wawili mpaka muda huu hakuna ambaye amejiua kwa sumu hisia zangu zinaniambia nyie hamna mafunzo ya U’ninja, hivyo ni bora kujieleza mapema kabla sijatekeleza vifo vyenu kama mwenzenu”Aliongea na bado walionekana kusita sita na Roma alimsogelea mmoja kwa spidi na kumsukumia kwenye ukuta kwa nguvu akimnyonga shingo.

“Naomba uniache niondoke… sijui chochote tafadhari … sitaki kufa naomba usiniue”aliongea mwanaume yule kwa namna ya kujitetea.

“Nishakwambia nahitaji majibu ..”Aliongea Roma na palepale hakutaka kuendelea nae kwani alimvunja shingo na kumtupa chini.

Jang Yoon mara baada ya kushuhudia wenzake wote wakiwa wamepoteza maisha kirahisi aliangalia namna ya kukimbia na baada ya kupata upendo alitoka nduki , lakini Roma hakutaka kumpa nafasi na hakutumia uwezo wake wa kijini bali aliokota jiwe na kulivurumisha upande wake na kumpiga nalo mgongonni karibu na kiuno na kudondoka chini palepale huku akigulia maumivu na akamsogelea.

“Nitaongea , nitaongea tafadhari usiniue”Aliongea Jang Yoon huku kila akijaribu kusimama alikuwa akidondoka chini kwa mauamivu.




“Kwanini ulikuwa ukileta ugumu , pengine nisingechafua mikono yangu kwa kuuwa wenzako”Aliongea Roma kwa tabasamu lake la kuogopesha na kumfanya Jang Yoon kuanza kuinua mdomo wake kwa wasiwasi.

“Nime.. nimetokea katika umoja wa siri wa North Buyeo, yalikuwa ni maagizo tuliopewa kutoka kwa viongozi kukuleta hapa na kukuua kwani umeingilia mipango ya jamii yetu “Aliongea na kumfanya Roma kushangaa

“North Buyeo, unaongea ukweli?”

“Ndio , sisi ni Double agent ambao tumepandikizwa katika kituo cha polisi kufanya kazi kwa manufaa ya taasisi”

“Kwa maelezo yako unamaanisha mpo wengi zaidi , huenda kila nyanja ndani ya taifa, si ndiio? Kama ni hivyo wewe nafasi yako katika jamii hio ni ipi?”

“Nafasi yangu ni ya chini lakini sio chini kabisa”

“Nani mwingine anajua kuhusu hii taasisi ambaye yupo ndani ya kituo cha polisi?”

“Sina uhakika lakini mkuu wa kituo cha polisi ni mwanachama pia ambaye yupo ngazi ya kati”

Roma alishangazwa na ufunuo huo, mwanzoni alidhania labda ni kundi tu la maninja ndani ya Korea lakini mpaka hapo alijua kabisa sio kundi bali ni taasisi na kama ni hivyo mizizi yake ndani ya Korea itakuwa mikubwa mno.

Roma hakuwa na matamanio sana na taasisi hio kwasababu haipo nchini kwake na pia sheria hazikumruhusu kuingilia mambo ya binadamu wa kawaida , lakini kilichomfanya kutaka kuingilia ni kwasababu ya Yezi , kama moyo wa upandikizaji umechelewesha na taasisi hio moja kwa moja alijua kabisa hata Yezi pia anaweza kuwa katika hatari akiendelea kuishi Korea.

“Mr Roma ,, je naweza kuondoka?”

“Ndio unaweza kuondoka lakini nitakusindikiza”

“Hapana hapana , nitaenda mwenyewe”Aliongea huku akijikongoja kusimama na kuanza kusogea kuelekea getini , lakini Roma hakuwa na nia ya kumuacha aende hivyo alimsogelea na kummaliza palepale baada ya kumpiga ngumi ya utosini na kwasababu ngumi yake haikuwa ya kawaida kichwa chake kilichanguka paleplae na kumfanya nguo aliovaa kurukiwa na matone ya damu.

“Nilikwambia nitakusindikiza kuna haja gani ya kukimbia, haya umekufa sasa wasalimie kuzimu”Aliongea mwenyewe na kisha palepale akaita nguvu za kijini na kukausha miili yote kimazingara na sehemu ikawa safi bila ya kuacha ushahidi wowote kama kuna watu waliokufa katika hilo eneo,.

Baada ya kumalizana na maiti zao alifungua gari la polisi na kulichunguza na hakuona cha maana na palepale aliita moto wa kijini na gari lile lilipuka kama limetegeshewa bomu , lakini ulipukaji wake haukutoa sauti yoyote kutoka eneo hilo.

Baada ya kumalizana na tatizo hilo dogo alitoa simu yake na kumpigia Edna ,tokea wafike hapo Korea walisajili laini za mitandao ya nchi hio ili kurahisisha mawasiliano.

“Wife kazi imeisha , mpo wapi sasa hivi?”Aliongea Roma kwa kiswahili na Edna alishangazwa na maneno yake na kumwambia sehemu waliopo.

Roma mara baada ya kukata simu alitafuta namba ya simu ya Makedoni na kupiga palepale, aliamini swala kubwa kama hilo la jamii ya siri hawezi kulifanyia kazi yeye mwenyewe bila ya kuhusisha mtaalamu wa maswala ya ujasusi.

“Master Pluto nilikuwa nikipanga kwenda kuoga , unataka nikusaidie nini?”Aliuliza Sauroni upande wa pili mara baada ya simu kupokelewa.

“Nataka kujua kati ya watu wetu ambao wapo Korea kusini , mahsusi walipo ndani ya jiji la Seoul , naweza kuwapataje?”aliuliza Roma.

“Tuna wanajeshi wa kundi la Guerilla lakini wapo Korea ya Kaskazini,kuhusu Seoul sidhani kama kuna uwezekano wa watu wetu kuingia huko bila ya kushitukiwa kwani mipaka yao ina ulinzi wa viwango vya juu sana”Aliongea Makedon na kumfanya Roma kuona ni kweli Korea kaskazini ni mbali kuwaleta watu wake ndani ya Korea kusini.

“Pumbavu , kwanini hakuna watu wowote ambao mmewaweka Korea kusini?”

“Master Pluto nadhani unaelewa kwamba kuna mgogoro kati ya Korea kusini na Korea kaskazini , kama tutaweka watu wetu ndani ya Korea kusini hakuna faida yoyote kwani hakuna misheni ya kufanya , upande wa Korea kaskazini imekuwa rahisi kwani tunafanya na biashara ya siraha katika ukanda huo”Aliongea Roma na hakutaka hata kusikiliza zaidi ya kumpatia maelekezo ya kufatilia maswala ya North Buyeo halafu amtumie kwenye Email yake na kisha akatoweka katika eneo hilo.

Baada ya dakika chache aliweza kutokea katika mgahawa uliojengwa kitamaduni ambao familia ya Gong na ya Park walikuwa wakipata chakula cha usiku na baada ya kuona amerudi walimkaribisha kwa ukaribu na kumuonyesha sehemu kukaa chini kwani hakukuwa na viti.

Upande wa Park Jonghyun mara baada ya kumuona Roma alionyesha mshangao ulioambatana na mshituko na kumfanya Roma amwangalie na kisha kumuonyesha tabasamu la kejeli na kisha akaketi chini , ni kama alikuwa akimwambia kwamba anajua kile ambacho anafanya sirini.




“Mr Rom , unaonyesha haupo vizuri nadhani ni uchomvu wa wiki hii yote , lakini niseme asante sana kwa kumsaidia babu yangu kwani kama sio wewe hatujui nini kingetokea”

“Naamini maneno yako ni ya dhati bwana Jonghyun”aliongea Roma na kukaa katikati ya Edna na Clark,

Clark alikuwa ashabadili mavazi yake na yupo hapo kuungana na kila mmoja kusherehekea mafanikio yake ya kukamilisha upasuaji.

Chakula kiliendelea huku Roma akiwa bize kuongea na Clark ambaye muda wote alikuwa akimshukuru kwa kumsaidia kuokoa taswira yake kama daktari kwa kufanikisha kufikisha moyo ndani ya muda.

Upande wa Edna chakula hata hakikuwa kizuri kabisa kwake kutokana na namna ambavyo Clark anaongea kwa kujibebisha mbele ya mume wake na wivu ulimjaa mno.

Clark usiku huo huo alichukuwa nafasi ya kutoa taarifa anarudi Uingereza siku inayofuatia na jambo hilo lilimfanya Edna kupatwa na ahueni maana aliona kama akiendelea kubakia nchini hapo angeharibu furaha yake.

Baada ya chakula kila mmoja alirejea nyumbani na upande wa Roma na mke wake walirudi katika jumba la Park Juan.

Roma mara baada ya kuingia chumbani haraka alimwambia Edna ampatie Laptop kwanni kuna kitu anataka kufanya na Edna ambae alijinunisha njia nzima alimpatia bila ya kuongea neno.

Roma alielewa kinachomsumbua Edna ni wivu kutokana na namna alivyokuwa akiongea na Clark kwa kutaniana na kujibebisha.

Roma mara baada ya kuchukua laptop hio alifungua haraka haraka na kisha akaunganisha na mtandao kisha akafungua baadhi ya taarifa ambazo zimetumwa na Makedoni kwa njia ya barua pepe yake,alianza ku’scroll’ kwa kusoma kila kitu kwa umakini na alishangazwa mara baada ya kuona mawazo yake yalikuwa sahihi, North Buyeo halikuwa kundi la kawaida la sirii ndani ya Korea kusini.











SEHEMI YA 524.

Msingi wa jamii ya siri inayojiita North Buyeo ulianza zamani sana tokea kipindi cha utawala Goguryeo , wakati ambao Buyeo ilikuwa ipo upande wa Kaskazini mwa bara hilo la Asia.

Katika historia mara baada ya utawala wa Goguryeo kusimikwa rasmi, utawala wa kifalme wa Buyeo ulikufa na kubakia kama kundi la waumini tu ambao walikuwa na matamanio ya kurudisha nchi yao.

Sasa taarifa ambayo Roma alikuwa akisoma ni kwamba North Buyeo ni jamii ya watu ambao walikuwa wakibeba maono ya mababu na kutokana na mipango yao ndani ya taifa la Korea kusini na korea kaskazini walianza kujipenyeza katika nyanja zote za kitaifa.

Roma mara baada ya kusoma taarifa yote aliona ni mgumu sana kumaliza watu wote wanaohusika katika Buyeo licha ya kwamba ni tishio kwa usalama wa Yezi.

Muda huo wakati akiendeea kuwaza , Edna alikuwa ndio anatoka bafuni na kufanya eneo lote la chumba kuwa na harufu nzuri ya Shower gel huku akijifuta maji na taulo na Roma alimwangalia na kuishia kumeza mate kwani urembo wa Edna kwake ni kama unaongezeka kila saa anayomwangalia.

Edna baada ya kuona Roma yupo bize na tarakishi alisogea kuangalia ni kitu gani anasoma na alishangazwa na taarifa hio na kutaka Roma amwelezee kwanini anasoma hio taarifa.

“Norht Buyeo mbona ni kama mambo ya kihistoria kwannii unasoma?”Aliuliza

“Babe Edna , umejuaje ni mambo ya kihistoria?”

“Nakumbuka nishawahi kusoma kitabu kimoja ambacho kimeelezea hio historia , nadhamni unaelewa hobi yangu ya kusoma vitabu ”Aliongea na kumfanya Roma kweli aone inawezekana hata hivyo Edna kama CEO alikuwa akipenda sana kusoma ili kupanua ufahamu wake hususani katika maswala ya kibiashara.

Roma ilibidi mwelezee namna tukio lilivvyotokea masaa kadhaa yaliopita na hisia zake juu ya jamii hio kutishia usalama wa Yezi, Edna alishagaa na kuwa na wasiwasi kwa wakati mmoja.

“Ni malengo gani wanayo hio jamii? Ni kheri kama watakuwa adui yako lakini kama wanataka kumdhhuru Park Juan basi haitakuwa salama kwa Yezi kuendelea kuishi hapa”

“Ndio maana kabla hatujarudi Tanzania napaswa kujua kila kitu kinachoendelea kuhusu hii jamii na kitu ambacho nina uhakika nacho ni kwamba Park Jonghyun ni mwanachama pia”Aliongea Roma na Edna alikubaliana nae kwani hakuwa tayari kuona Yezi anapatwa na shida ili hali kwake alikuwa akimchukulia kama mdogo wake.

“Wife una akili nyingi sana , nilidhania huna uelewa wowote kuhusu maswala ya kiihistoria ya nchi za huku, umenizidi hata mimi ambaye leo hii ndio kwanza najua maswala ya Buyeo kuwa katika historia ya kikorea”

“Lakini ni dhahiri simfikii Clark , ana akili nyingi na ana kipaji kikubwa mno?”Aliongea Edna huku akionyesha kabisa bado alikuwa na kisirani..

“Edna mke wangu , kwanini mpaka sasa una wivu, Clark na mimi hakuna kinachoendelea zaidi ya kwamba alikuwa kama mdogo wangu ambaye nilimuona akikuwa mpaka kufikia utu uzima ndio maana anakua huru akiwa mbele yangu”

“Ulimuona?, kama ni hivyo wakati huo wewe ulikuwa na miaka mingapi na yeye alikuwa na mingapi?”

“Yeye alikuwa na miaka kama nane au tisa hivi na mimi nilikuwa na miaka kumi na nne kwenda kumi na tano”

“Kama ni hivyo kwanzia sasa nataka nikuwekeee mipaka , kumuona akikua haimaanishi kwamba ndio umfanye awe mpenzi wako wa utotoni”Aliongea kikauzu na kisha alichukua rimoti na kuwasha Tv.

Na Roma alishindwa kujielezea zaidi maana Edna maneno yake ni kama hayaamini kabisa kila anapomuambia hakuna mahusiano.

Hofu ya Edna ilikuwa ni kwamba Clark ukiachana na kwamba alikuwa mrembo karibia kumfikia yeye , lakini pia alikuwa na akili nyingi na huenda ana msaada mkubwa kwa Roma kuliko yeye mwenyewe hivyo hofu yake ni kupinduliwa .

Wanawake wengine hakuwa na hofu nao kutokana na kwamba walikuwa wa kawaida sana na siku zote wapo chini yake na anaweza kuwamudu lakini kwa Clark ilikuwa tofauti.

Mtu mwingine ambaye alikuwa akiogopa Roma kuanzisha nae mahusiano ni Sophia.

Sophia anaweza asiwe na kitu kikubwa kama yeye , lakini likija swala la uzuri walikuwa wakikaribiana sana na yeye na Edna alikuwa amenuia kwenye moyo wake hatokaa aone mahusiano kati ya Roma na Sophia yanatokea.

Muda huo huo wakati Roma na yeye akijiandaa kwenda kuoga , walisikia mtu akigonga mlangoni na kumfanya Edna amwangalie Roma kwani haikuwa kawaida kwa kugongewa muda huo.

Roma alisogelea mlango na kufungua na aliweza kukutana na mwanaume ambaye amevalia mavazi ya suti yenye nembo maalumu kumtambulisha ni mfanyakazi wa hapo ndani.

“Mr Roma ,Mrs Edna kila kitu kipo sawa?”Aliuliza kwa lugha Kikorea.

“Wewe ni nani?”Aliuliza Roma na kumfanya yule bwana kushangaa.

“Mimi ni mlinzi katika hii nyumba na dakika chache zilizopita niliweza kusikia purukushani ikitokea upande huu ndio maana nimewagongea kuona kama mpo sawa”Aliongea

“Kama ni hivo kwanini umeshikilia kisu mkononi na kukificha au upo hapa kwa ajili ya kutuua?”Aliuliza Roma na ku,fanya yule bwana kushangazwa na jambo hilo , kwani hakujua Roma ameonaje kisu aina ya daga alichoshikilia kwani aliificha vyema kwa kukibana na ukuta.

Lakini hata hivyo hakuwa na muda wa kupoteza baada ya kuona mpango wake ushagundulika hivyo alitoa mkono kwa haraka na kuipeleka ile Daga usawa wa kifua cha Roma , lakini Roma kutokana na wepesi wake aliwahi kushikilia mkono wake ulioshikilia kisu na kuupindisha na kumfanya yule bwana kutoa ukulele na kukidondosha chini.

Edna ambaye macho yake yalikuwa kwenye runinga alishangazwa na purukushani hizo na kusimama kwa wasiwasi

“Wewe ni nani? North Buyeo wamekutuma?”aliuliza Roma.

Yule mwanaume alionekana kuchezesha meno yake palepale mara baada ya kuona amekamatika , lakini Roma alitegemea hilo hivyo alimuwahi kwa kumpiga shingoni na kumfanya palepale kupoteza fahamu.

Dakika hio hio Roma aliweza kusikia purukushani zingine zikisikika kutoka juu na mpaka hapo alijua wapo wengi zaidi.

“Edna kuwa makini , ngoja nikamwagalie Yezi inaonekana wapo wengi”Aliongea Roma na kwa haraka alitoka hapo akihofia Yezi anaweza kuwa katika hatari.

Muda uleule aliweza kutokea mbele ya chumba cha Yezi sehemu ambayo ndio aliweza kusikia sauti.

Muda huo Roma aliweza kushuhudia kijakazi wa kike akipigana na kijakazi mwingine wa nyumba hio, alikuwa ni kijakazi afahamikae kwa jina la Eujung msaidizi wake Yezi.

Eujung alionekana kuwa vizuri kwenye mapigano na Roma palepale aliweza kugundua huenda alikuwa na mafunzo ya juu ya Taekweond kwani hata mpinzani wake hakuwa haba lakini alikuwa akionyesha kumdhibiti vizuri.

Eujung hakuwa mzembe baada ya kukwepa mapigo mawili , alipiga sarakasi mzunguzo ambayo ilimpiga yule adui mtama na akadondoka chini na kabla hajamka , Eujeong tayari amekwisha kupiga teke lingine la shingo na kumlegeza kabisa na kumuweka chini ya ulinzi.

Roma alishangazwa na jambo hilo kwani hakutegemea kuona msichana wa kikorea aliekuwa mpole na kijakazi wa familia hio alikuwa na uwezo mkubwa kama huo , aliona huenda yote hio ni mipango ya Park juan babu yake Yezi kuhakikisha mjukuu wake anakuwa chini ya ulinzi mkali.

Eunjung alikosa umakini na adui yake na ghafla tu yule Ninja aliamka kwa mara nyingine na kutaka kumchoma na kisu tumboni na Roma palepele kwa haraka sana alimkaribia kijini na kumzuia kwa kumpiga utosini na palepale alilegea na kudondoka chini na ukawa mwisho wa uhai wake.

“Asante sana Mr Roma kwa msaada wako”Aliongea Eunjung na muda uleule Yezi aliekuwa akitetemeka aliweza kufungua mlango.

“Oh asante umekuja , naogopa mimi”Aliongea Yezi kwa hofu kubwa.

“Upo na Eujung hapa kwanini unapatwa na hofu wakati yupo vizuri kwenye kukulinda?”

“Sikujua hata kama anajua kupigana , babu nilimwambia sitaki mabodigadi na akinniahidi hatoniwekea , lakini inaonekana alinidanganya”

“Usikarisike Miss , Master kafanya yote kwa ajili yako”

“Sio kama nakasirika, asante kwa kuweza kuyaokoa maisha yangu”Aliongea na Eunjung alitingisha kichwa kukubali shukrani yake.

“Kama hapa kumefanyika mashambulizi vipi kuhusu hospitalini?”Aliuliza Eunjung kwa wasiwasi.

Eunjung kuongea hivyo hata Roma aliona uwezekano wa kushambuliwa kwa wakati mmoja hapo nyumbani na hospitalini ni mkubwa , lakini hata hivyo asingeweza kuondoka na kuelekea huko kwani bado usalama wa Yezi na Edna ulikuwa juu yake.

Edna alikuwa katika levo ya mwanzoni katika nusu mzunguko hivyo aliona hata kama anaweza kuweza kujilinda lakini hana uzoefu na kama atakutana na adui ambaye ana siraha kama bastora basi moja kwa moja angemdhuru.

Muda huo huo Edna alitoka na kuja mahali walipo huku akiwa ameshikilia simu ya Roma.

“Hubby simu yako inaita?”Aliongea na Roma alimsogelea na kuichukua na kisha akpokea palepale.

“Mr Roma nimeshangazwa sana kuona mpaka sasa bado upo hai?”Sauti ilisikika kwa lugha ya kikotea.

“Wewe ni nani au ndio nyie North Buyeo?”

“Mhh.. umetisha sana Mr Roma , mbali kabisa na matarajio yangu”

“Unataka nini kutoka kwangu?”

“Labda hujagundua kitu bado lakini kabla hamjarudi hapo nyumbani tayari mpango ulikuwa ushaandaliwa na hospitalini pia kwa wakati mmoja , kwa ajili yako Roma tutahakikisha unaendelea kuburudika kile tulichokupangia”Aliongea mwanaume huyo kwa sauti yake ya besi huku akicheka kicheko cha dharau.

“Nadhani mpango wako ni kulipua hii nyumba si ndio?”

“Upo sahihi , nyumba yote tushatega mabomu ya ukubwa wa C4 yanayotosha kutengeneza wingu kubwa la mlipuko na kuharibu jumba lote”

“Pumbavu zenu nyie wakorea naona mnaona mambo yanaweza kufanikiwa kirahisi hivyo , mnafikiri mnaigiza muvi sio? Hamchoshwi na huo upuuzi wenu?””

“Kama kitu hakivunjiki kuna haja gani ya kukirekebisha, Mr Roma kama hutaki kuona hio nyumba ikilipuka na mkeo pamoja na mdogo wenu Yezi kuangamia basi hakikisha unafanya kama tunavyokuelekeza”ilisikika sauti.

Roma hakuwa na wasiwasi hata hivyo na vitisho vyao kwani alikuwa na uhakika wa kuwakoa Edna na Yezi kwa wakati , lakini bado jambo moja ambalo lilimpa mashaka ni upande wa hospitalini lazima na penyewe kuna mtego ambao umetegwa.

“Mnataka nifanye nini?”

“Ni rahisi sana unachotakiwa kufanya ni kutoka mpaka nje na utaona gari aina ya BMW sedani nyeusi , ingia kwenye hio gari na endesha mpaka hoteli ya Myeondong kuna watu watakupokea hapo”Aliongea mwanaume huyo upande wa pili na Roma alikubali.

“Nini kinaendelea, ni watu kutoka North Buyeo?”aliuliza Edna na kumfanya Roma kucheka na kisha alimsogelea sikioni na kumnong’oneza.

“Utafanya kazi?”Aliuliza Edna huku akikunja ndita.

“Hio itategemeana na wewe CEO Edna , una uwezo mkubwa wa kuigiza hata wa kunidanganya mimi kwanini tusifanikiwe”Aliongea Roma ilionyesha kuna mpango ambao walikuwa wakipanga na Edna ni sehemu ya kuukamilisha.

“Kuwa makini sasa , tutaendelea kufuata mpango wako”Aliongea Edna na kumfanya Roma amshike Edna mashavu kama mtoto na kisha alitoka hilo eneo na kuanza kushuka kwa ngazi kuelekea chini.

“Anaenda wapi?”aliuliza Yezi.

“Tumepewa maagizo kutoka kwa watu waliotuma wauaji hapa na wanataka Roma afuate maagizo yao la sivyo hii nyumba na jengo la hispitali alilolazwa babu yako litalipuka kwani kumetegewa mabomu”

“Kwanini wanataka kufanya kitu kama hicho?”Alilalamika Yezi na muda huo huo mabodigadi waliingia ndani ya nyumba hio na kuizingira huku wakimpa ulinzi Yezi.

Kwasababu walikuwa aneo la juu katika Lounge waliweza kumuona Roma akitokea nje ya geti na kuingia kwenye gari ambayo imegeegeshwa na baada ya kuiwasha kwa kutoa mwanga wa taa palepale ulitokea mlipuko wa aina yake.

“BOOM!!”

“Mama..!! ulikuwa ni mtego”Aliongea Eujung kwa kikorea huku akishindwa kuzuia mshituko wake mara baada ya kuona gari lililipukaRoma akiwa ndani na kuishia kushika mdomo

“Uncle Roma…!!Yezi alijikuta akitoa ukulele akiwa kama mtu ambaye haamini macho yake.

Muda huo huo magari yaliokuwa yapo karibu na hayo maeneo yalianza kulia alarm baada ya mlipuko huo kutokea,

Haikuchukua muda mrefu mara baada ya mlipuko gari nyingine nyeusi kampuni ya Honda ilifika katika hilo eneo na walitoka wanaume waliovalia suti na kuanza kuchunguza gari hio inayowaka moto.

Edna na yeye aliekuwa ameona tukio hilo aliishia kutoa machozi huku akiwa amesimama kama sanamu.
 
SEHEMU YA 525.

Yezi ndio aliekuwa wa kwanza kukurupuka kutoka juu na kukimbia kuelekea nje na walinzi walichelewa kumzuia lakini wakafannikiwa kumkamara akiwa tayari yupo getini na kumzingira.

Ziliongezeka gari nyingne tatu nyeusi aina ya Range na wakatoka wanaume ambao wamevalia suti huku mkononi wakiwa wameshikilia siraha na wakasogelea upande ambao wapo walinzi wa familia ya Park.

Edna na Eunjung na wao waliweza kufika katika eneo hilo na mpaka hapo waliweza kuona hatari inayotaka kutokea kwani maadui walikuwa washaingia ndani ya ukuta tayari.

Walikuwa ni kama kundi la Mafia Gang kutokana na wingi wao na namna walivyovalia na usiriasi uliokuwa kwenye macho yao.

Kiongozi wao,bwana mmoja mwembamba mwenye nywele nyeupe alievalia koti la Leather palepale aliwapa ishara ya kushambulia na ilikuwa ni kama wanaendeshwa kwani waliwasogelea walinzi na kuanza kushambulia kwa spidi , walipiga mateke virungu na wengine walikuwa wameshikilia visu.

Mpala dakika tano zinapita walibakia walinzi wanne tu ambao hawakuwa wamepata majeraha.

“Nyie ni wakina nani?”Aliuliza Eujung akimwangalia mwanaume ambaye nywele zake aliziweka dawa na kuwa za rangi nyeupe.

“Huna haja ya kufahamu sisi ni nani , nyoosheni mikono juu na mwangalie ukuta , tupo hapa kumchukua Yezi pekee”Aliongea na kumfanya Yezi kuwaangalia huku akiwa na machozi mengi yaliosababishwa na majonzi ya kuona Roma kalipukiwa na bomu.

“Huwezi kumchukua ikiwa nipo hai, wekeni umakini wenu wote kwa ulinzi wa Yezi na msiruhusu wamchukue”Aliongea Eujung kijasiri akiwapa maelekezo wale walinzi waliobaki lakini hawakufanya kama alivyoongea zaidi ya kuangaliana kwa sekunde kadhaa na kisha wakanyoosha mikono juu kujisalimisha na wakashikilia ukuta.

“Nyie wapuuzi , kwahio hivi ndio mnavyomlipa Mzee kwa mema yote aliowafanyia?”Aliongea Eujung kwa hasira huku aking’ata meno, mpaka hapo aliona hakuwa na msaada tena na watu waliokuwa mbele yake ni wengi kuweza kupambana nao wote.

Upande wa Yezi licha ya kwamba sasa walinzi wake washamgeuka na kujisalimisha yeye alisimama vilevile bila hofu akiwa kama sanamu, alikuwa kama mtu ambaye amepoteza tumaini la kuendelea kuishi.

Kitendo kile kilimfanya Edna ambaye alikuwa pembeni yake kushangazwa na kujiuliza je yote hayo ni kwasababu ya kushuhudia Roma akilipuka ndani ya gari, je Roma ni mtu muhimu kwake mpaka kuwa katika hali hio.

“Wewe mwanamke ni kichefu chefu , sheria yetu ni kutotaka kuumiza watu wengi zaidi lakini kwasababu unataka kutuzuia umeyataka mwenyewe , mshambulienni kwa risasi tuondoke hapa”aliongea na palepale wanaume wawili ambao walikuwa na bastora walisogea mbele na kuanza kuzirusha kuelekea sehemu aliposimama Eujung.

Eujung hakutaka kufa kizembe , alipiga sarakasi ya haraka kabla hawajavuta triga na aliweza kuwawahi wawili waliokaribu yake na kuwapiga mateke ya kifuani na kudondoka chini.

Kitendo kile kiliwafanya wale wengine kurudi nyuma na kujiunga kwa kumlenga kwa risasi , milio ya bunduki haikuwa mikubwa kutokana na siraha zao kufungwa viwambo vya kuzuia sauti.,

Sasa walichokuja kugundua ni kwamba hakuna risasi yoyote ambayo imeweza kumpata Eujung na yule bwana mwenye nywele nyeupe alishangazwa na jambo hilo lakini sio yeye tu ambaye alikuwa akishangaa hata Eujung hakuamini kama ni kwa uwezo wake ndio amefanikisha kuzikwepa risasi zote na isitokee hata moja kumpata, lakini hakutaka kuupa mshangao wake nafasi , watu waliokuwa mbele yake walikuwa wakijiamini kutokana na kwamba walikuwa na siraha za moto , lakini kwasababu siraha zao hakuna hata moja iliomdhuru aliona kabisa anaweza kuwamudu kuwadhibiti kwani walikuwa dhaifu kwenye mapigano ya bila siraha.

Yule kiongozi hakutaka kuamini kama msichana kijakazi ndio ambaye anawamaliza watu wake , ilikuwa ni ngumu kuamini na alianza kuingiwa na hofu na kuanza kulisogelea geti ili atoke , lakini palepale alijikuta akisimama huku akiingiwa na ubaridi wa uti wa mgongo.

“Nimerudi”Aliongea Roma na palepale alimbutua yule mwanaume kiongozi teke ambalo lilimpeleka chini , lakini licha ya kupigwa bado alikuwa akimwangalia Roma kama mzimu uliofufuka.

“Mzimu..!!!”Alipiga kelele huku akisogea kurudi nyuma.

Upande wa Yezi mara baada ya kumuona Roma alishindwa kujiuzuia na palepale alimkimbilia na kumkumbuatia na hakuishia hapo tu alimpiga mabusu ya shavuni akijisahau Edna yuko mbele yake.

Roma kitendo kile kilimfanya amwangalie Edna kwa wasiwasi , maana matendo ya Yezi ni kama vile ni ya kimapenzi.

“Wife amefanya mwenyewe, kwa kunishitukiza”Roma alijishuku.

Edna yeye alikuwa akijua Roma hajafa na wasiwasi aliokuwa akiuonyesha ni kuweka maigizo tu na hicho ndio ambacho aliambiwa na Roma afanye mara baada ya kunong’onezwa, hivyo kumuona Roma amerudi akiwa hajapata madhara alipata ahueni lakini kitendo cha Yezi kumbusu mume wake aliingiwa na hisia za kuchanganyikiwa.

“Sister Sijamaanisna vibaya , ni kwamba nimeshindwa kuzuia furaha yangu”Aliongea Yezi kwa aibu huku akijitoa kwa Roma na kusogea pembeni.

“Haina haja ya kuwa na aibu unaweza kumbusu utakavyo kwanza ananuka”

“Hey wife unanisemaje vibaya ilihali tunalala wote kitanda kimoja”

“Unanuka moshi ndio , unaonaje kwanza ukamalizana na hao watu maana mpaka sasa hatujui kama hospitalini kwenyewe kupo salama”

“Sidhani kama kuna chochote ambacho kimetokea hospitalini na siamini kama ni kweli wametega mabomu kwani kufanya hivyo sio kazi nyepesi ukilinganisha na ulinzi wa hospitali yenyewe na isitoshe wapo hapa kumchukua Yezi hivyo inamaanisha kwsamba babu yake bado yupo hai”Aliongea Roma

“Kwahio tunafanya nini baada ya hapa?”

“Kilichobaki ni mimi kutafuta bosi wao aliewaagiza kuondoa mzizi kabisa, wakati anatupigia si alisemaa niende Myeondong hoteli naamini hio ndio sehemu nzuri ya kuanzia”aliongea Roma na Edna alielelewa.

“Eujung utafanya maamuzi namna ya kuwafanyia hawa waliobaki hapa ndani, usiwaue kwani wanaweza kusaidia katika uchunguzi”Aliongea Roma na Eujung alitingisha kichwa kukubali.

“Asante sana Mr Roma kwa mara nyingine”Alishukuru Eujung alikuwa akijua kabisa kuna kitu ambacho Roma alifanya wakati akivurumishiwa risasi na Roma alitabasamu na kisha akamuaga Edna na kuondoka katika hilo eneo.

Dakika chache mbele Roma alikuja kutua katika hoteli ya Myeondong , ni hoteli ambayo haikuwa mbali kwani ilikuwa pia ndani ya wilaya ya Gangnam hivyo haikumsumbua Roma kuipata.,

Roma mara baada ya kutua nje ya bustani ya hoteli hii katika eneo la bwawa la kuogelea alianza kuchunguza jengo lote na kuamini kabisa kazi itakuwa ngumu kujua watu wote ambao ni wanachama wa North Buyeo kwasababu hoteli ilikuwa kubwa na ilikuwa na wageni wengine .

Jambo moja tu aliamini linaweza kurahisisha kazi yake ni kuingia kwenye Casino ndani ya hoteli hio.

Ndani ya hoteli hio upande wa vyumba vya chini kabisa ya ardhi ndio Casino kubwa ya kisasa ililikuwepo na ajabu ni kwamba licha ya giza kubwa nje lakini eneo hilo lilikuwa limechangamka sana na watu walikuwa bize wakicheza kamari.

Sera za kikorea zinaruhusu Kamari kuchezwa katika eneo la makasino tu na sio nje ya hapo kwani ni uvunjaji wa sheria huenda ndio maana kulikuwa na watu wengi sana.

Ulimwengu ambao pesa ni mfalme hakuna ambaye anasinsinzia katika hilo eneo na kwao ni kama ndio kwanza kumekucha , kila meza kulikuwa na watu wenye usiriasi wa uso huku macho yao yote yakiwa kwa wanawake warembo ambao ndio dealers(wachezesha kamari).

Ni eneo ambalo lilikuwa na mwanga hafifu , eneo la kisasa ambalo mziki wake ulisikika vizuri katika eneo zima na kutosababisha makelele zaidi ya kutoa burudani , wanawake waliovalia vinguo vifupi walipita huku na huko kufanya huduma, kuna waliokuwa wakitoa huduma ya vinywaji lakini kuna wale ambao walikuwa wakitoa huduma ya miili yao ilimradi kufurahisha wateja , kiasi kwamba hata kama mtu akipoteza kibunda katika kubahatisha asiwe mnyonge sana.

Upande wa kulia katikati ndio sehemu ambay kuna chuba maalumu ambacho kukaa kiongozi wa Kasino ambaye muda wote huangalia kila meza kwa kutumia Kamera zilizofungwa.

Ilikuwa ni kawaida sana kwa viongozi wa Kasino kujua kila mteja wao alieibuka mshindi na yule ambaye aliepoteza hivyo walijua kabisa kila mteja anaeingia na ambaye anatoka na yote hayo yalifanikishwa na teknolojia ya Camera za kisasa.

Sasa katika chumba hicho ambacho kilikuwa na ulinzi mkubwa na ambacho wateja wakawaida hawakupaswa kuingia , alikuwa ameketi bwana mmoja wa makamo kwenye masofa ya kisasa ya Leather akiwa ameshikilia glasi yenye kinywaji cha rangi ya dhahabu ndani yake .

Hakuwa peke yake bali kulikuwepo na wanaume wengine ambao walikuwa pembeni yake wanaofanana kimuonekano na macho yao yote walikuwa wameyaelekeza kwenye meza wakiwa wanacheza karata mchezo maarufu wa Poker.

Kila mmoja ambaye alikuwa ndani ya hiko chumba alikuwa ni mwenye kuashiria kumiliki ukwasi mkubwa , kwani kila kitu chao kilionekana cha thamani kubwa.

“Mr Go kuna simu yako hapa?”Waiter alimletea karibu bwana huyu wa makamo na kumkabidhi simu ambayo inaita.

“Nani anaingilia burudani yangu ya mchezo”Aliongea kwa Kikorea huku akionyesha amechukizwa na simu hio.

“Ni Park Jonghyun”Baada ya kijibiwa hivyo alighairisha kile ambacho anakifanya na kisha akachukua ile simu.

“Huyu mpuuzi mpaka sasa bado ananiamini”Aliongea kabla ya kupokea ile simu huku akitoa tabasamu ambalo liliashiria kutokujali na kujali kwa wakati mmoja.

“Msema sana , bwana Park mambo yanaendaje?”

“Unaniuliza mimi tena , Go Chak uliniambia kabisa mpango wako hakuna ambaye anaweza kuukwepa , vijana wako ni kipi wamefanya?”Sauti ya kufoka na kulalamika kwa wakati mmoja ilisikika upande wa pili na kumfanya bwana aliefahamika kwa jina la Go Chak kukaa vizuri kwenye Sofa.

“Unaongea nini? Vijana wangu ni kipi kimewakuta?”

“Wewe mpumbavu m unashindwaje kuelewa hali uliokuwa nayo , ngoja nikuambie watu wako wote wameweza kudhibitiwa na mpaka sasa umeshindwa kuweza kupata taarifa kutokana na kwamba hakuna aliesalia

Go Chak wewe mpuuzi , narudia watu wako wameweza kudhibitiwa na kijakazi wa familia na sasa wamepelekwa kituo cha polisi na muda sio mrefu naamini watataja makao makuu yako wapi , yaani sio tu umeshindwa kumpata Yezi lakini umeshindwa pia kumdhibiti yule nzi Roma Ramoni, unaniweka katika hatari”Aliongea Park Jonghyun alionekana mpaka muda huo amechafukwa sana.

“Inawezekana vipi?, nimetuma wanajeshi wastaafu wa kitengo cha operesheni maalumu kumaliza kazi , unataka kuniambia watu wote hao wamedhibitiwa?”

“Unauliza majibu sio maswali, nilikuambia usimpuuzie na Kim Jip haya umeshindwa hata kumuua yule mzee na sasa unaniambia hujui kinachoendelea , tokea uwe Chief wa Nothr Buyeo Kikanda huna chochote ambacho umefanya kikatimia , kwanzia sasa mimi na wewe hatukuwahi kuwa na ukaribu wowote”Aliongea na Park jonghyun alipigiza simu ukutani na ikajikata yenyewe

Go Chak na yeye mara baada ya kupewa taarifa hio alijikuta akibeba glasi iliokuwa kwenye meza na kuitupia kwenye ukuta

“Ondokeni hapa mbele yangu”Aliongea kwa kufoka na wale wanaume ambao alikuwa nao walisimama wote na kuondoka kwani walijua kabisa Go Chak akikasirika ni mtu mwingine kabisa.

“Wafanye kila mmoja kuondoka hapa ndani ya Casino , sio mahali salama tena na baada ya kila mmoja kuondoka kusanya nyaraka zote na zifiche , hakikisha huachi ushahidi wa aina yoyote”Aliongea Go Chak akimpa maelekezo Meneja.

“Lakini Mr Go hakuna muda wa kutosha kufanya hivyo”

“Unafikiri ufanisi wa polisi ni kiasi gani ?, kama nitawapa muda wa kufika hapa ni lisaa limoja kamili , hata hivyo tuna watu wetu ndani ya polisi hivyo tunaweza kuwaamini kuwachelewesha kufika hapa , ili mradi watu wetu wakubwa serikalini hakuna ushahidi unao wafunga tunaweza kuepuka lawama zote , fanya kama nilivyokuambia”

“Yes sir”

Dakika chache tu baadhi ya watu waliokuwa wakichezesha kamari palepale waligeuka na kuwa kama wanajeshi na kuanza kuwaondoa watu kutoka nje ya eneo hilo na wale ambao walikuwa wakilalamika kupewa Chip zao waliishia kupigwa mateke na ngumi na kukimbia.

Upande wa Go Chak katika ofisi yake alifungua boksi lake la usalama la kuhifadhia vitu na kisha akasukuma maburungutu yote ya hela kutoka nje na kisha akayakweka kwenye begi na hakuishia hapo tu alitoa na baadhi ya vito vya thamani na kuvikusanya pia.

Chini ya ulinzi wa vijana wake alitoka alianza safari ya kutoka Casino hio kuelekea nje na muda huo karibia watu wote walikuwa washatoka.

Walinzi waliotangulia mbele ya Go Chak kabla hawajatokea kwenye mlango walirudishwa ndani kwa kurushwa na kutua chini kama vile ni kiroba cha mchele.

Go Chak palepale aliinua kichwa chake kuangalia mbele na hapo ndipo alipojikuta akipatwa na ubaridi mara baada ya kumuona Roma.

“Roma Ramoni”Aliongea kwa mshituko.

“Hahaha…. Kuliita jina langu kumenirahisishia kukufahamu wewe ndio kiongozi”Aliongea Roma kwa Kikorea na kumfanya Go Chak kung’ata meno yake kwa hasira na palepale aliwapa ishara vijana wake walioshikilia siraha za moto kumshambulia Roma.

“BANG! BANG…!!”.

Milio ya risasi ililirindima eneo lote na kufanya lifuke moshi, hisia zao ziliwaambia kabisa mtu aliekuwa mbele yao ni hatari hivyo hakupaswa kupigwa na risasi moja ndio maana walishambulia kwa pamoja mfululizo.

Lakini sasa ile wanamaliza risasi zao na kusimamisha mashambulizi walishangaa mbele yao hakuna mtu, Go Chak kabla hata hajaelewa Roma yuko wapi alishangaa akivutwa kwa nyuma na kushikwa shingo na Roma na kuanzwa kukabwa.

“Niambie nani kaagiza mshambulie familia ya Park?”Aliuliza Roma lakini Go Chak aliishia kufurukuta huku akionyesha kabisa hayupo tayari kuongea chochote.

“Nitajie kiongozi wako?”Aliuliza Roma kwa mara ya pili.

Wale walinzi walishidnwa kufanya chochote kutokana na kwamba wenyewe walikuwa kwenye mshituko wakijiuliza imekuwaje mtu waliekuwa wakimshambulia mbele yao ghafla tu yupo nyuma yao.

Roma hakuwa na muda wa kuchelewesha na haraka haraka aliona angechelewa kumhoji Go Chak kwani hakuonyesha nia ya kuongea chochote na hakutaka kukutwa hapo na polisi hivyo alimvunja shingo palepale.

“Kamuua bosi wetu , tumshambulie”Aliongea mmoja wapo wa wale mabodigadi na kuanza kumshambulia Roma , lakini ilimchukua dakika tano tu kuwavunja wote shingo, kwasababu walikuwa wengi hakutaka kuwaacha hapo na kukutwa na polisi hivyo aliwayeyusha na kuwageuza majivu na mtu pekee ambaye hakutaka kumgusa ili kubakia kama ushahidi ni Go Chak.

Roma mara baada ya kukamilisha kazi yake alichukua mkoba alioshikilia Go Chak pamoja na wa meneja na kuangalia ndani na alijikuta akikutana na nyaraka mbalimbali kwenye mkoba wa meneja na alizotoa na kuanza kuzisoma , lakini kati ya nyaraka zote moja wapo ni nyaraka iliosainiwa na Park Jonghyun

Ni nyaraka ambao ilikuwa kama mkataba ambao umesainiwa na Park Jonghyun kwa niaba ya familia yote ambao ulikuwa ukiwapa haki ya uendeshaji wa baadhi ya mali za familia hio , ilikuwa ni rahisi kusema Park jonghyun ameuza sehemu ya mali za kampuni bila ya familia kufahamu.

Roma baada ya kupata ushahidi huo alitabasamu , hivyo alichukua begi lenye nyaraka huku akichana na lile lenye pesa, alijiambia kazi yake mpaka hapo imeisha na ushahidi aliokuwa akitafuta ameupata , hivyo moja kwa moja alipanga kwenda kumuonyesha babu yake Yezi ili kuchukua hatua zaidi juu ya Park Jonghyun.

Roma mara baada ya kusikia purukushani za watu kuingia katika hilo eneo palepale alipotea.

********

Upande mwingine katika makazi ya Park Jonghyun , bwana huyo alishindwa kabisa kukaa chini kwani alikuwa akizunguka huku na huko, kila saa akijifuta jasho , alionyesha kuwa na wasiwasi mno na ilikuwa ni kama kuna taarifa mbaya ambayo anaomba isimfikie.

Muda huo huo msaidzi wake aliingia katika hilo eneo huku akiwa ameshikilia simu.

“Boss tumeweza kupata taarifa kutoka hoteli ya Myeondong, inasemekana polisi baada ya kufika hakukuwa na ushahidi wowote zaidi ya kuonyesha kulikwa na mapigano makali ya kurushiana risasi na Go Chak amekutwa amefariki”Aliongea msaidiizi.

“Nini , amefariki?Wengine wote wako wapi , hususani meneja wake?”Aliuliza kwa kufoka.

“Huneda wakawa wamekufa Sir , kwani magari yapo parking na hawajaonekana kama walitoka”

“Sijali kama wamekufa , lakini vipi kuhusu nyaraka ya siri ya makubaliano yangu na North Buyeo , je wamezipata na zenyewe?”

‘”Mtu wetu ndani ya polisi amesema hakuna nyaraka za aina hio zimepatikana zaidi ya mkoba pekee ambao una pesa, kwa maana hio ni afadhali kwetu kwani uwezekano wa Go Chak kuzificha kabla ya kufa ni mkubwa”

“Sidhani kama inawezekana , hakuna namna Go Chak akaziweza sehemu nyingine tofauti na ndani ya Casino, vipi kuhusu kamera za ulinzi?”

“Hilo ndio tatizo bosi , Kamera za ulinzi zimeonyesha mtu alieingia ndani ya Casino ndani ya muda ni Roma Ramoni”Aliongea msaidizi na kumfanyaPark Jonghyun kupeleka mikono yake kichwani huku akitoa macho.

“Hahaha.. Roma! oh Roma Ramoni !!, ni yeye tena, si alikuwa nyumbani kwanini akawa ndani ya hio hoteli?”

“Ni ngumu kujua kwasasa bosi na tumechelewa , Bosi kama Roma ndio ambaye amezichukua nyaraka na akampelekea Mzee , itakuwa ndio..”

“Itakuwa ndio mwisho wetu , si ndio?”Aliuliza na kumfanya msaidizi wake kutingisha kichwa kwa huzuni kuonyesha kwamba mpaka hapo hawatakuwa na haki tena ya kusogelea kampuni ya Starmoon.

Tena itakuwa ni bahati kwao kama watafanikiwa kutoroka kabla ya kujikuta gerezni na sio hivyo tu hata kama wanaweza kupelekwa gerezani hakuna uhakika kama wanaweza kuendelea kuishi kwani North Buyeo wasingeweza kuwaacha hai na kutoa siri zao.







SEHEMU YA 526.

Baada ya Park Jonghyun kutafakari kidogo , alionekana kupata wazo na kisha akamgeukia msaidizi wake.

“Nenda kwenye ofisi yangu haraka sana , na fungua safebox kwa kutumia nywira za mwaka niliozaliwa na kuunganisha na mwaka wa kampuni ilipoanzishwa na kuna kiasi cha pesa ambacho kinaweza kukutosha wewe na wengine”Aliongea

“Bosi unamaanisha unataka ku..”

“Huu ndio mwisho wetu, mipango yetu yote mmoja baada ya mwingine imefeli , ninachoweza kusema yule mzee ana bahati sana kwa Roma kuweza kuwahi kuja Korea mapema …,Kwa muda mrefu umekuwa ukinifuaa na kutii maagizo yangu , nitakupa kile ambacho unastahili , lakini kwa namna ambavyo utaishi wewe na wengine hilo litakuwa juu yenu”

“Boss kwanini tusiende hadi hospitalini n kuomba msamaha , wewe ni mjukuu wake sidhani kama anaweza kukutupa kabisa bila ya msamaha”

“Unafikiri anaweza kunifanya nini mimi ambaye sina uhusiano wowote wa damu na familia yake? , kwenye macho yake Yezi peke yake ndio ambaye anaweza kuendeleza legacy ya familia , kama nitaenda sasa hivi itakuwa kama misheni ya kujitoa muhanga”

“Kama ni hivyo bosi kwanini usiungane na sisi , namfahamu mtu mmoja ambaye anaingiza vitu nchini kimagendo, anaweza kutusaidia kutorokea nje ya nchi, tunaweza kutafuta kisiwa chochote na kujificha huko , huenda siku moja tukarudi kwenye utukufu wetu”

“Unajidanganya , hivi unajua kwanini yule mzee amewezaje kutawala bara la Asia lote , haha,, biashara za magendo huko kote kuna mizizi yake na nitakamatika kirahisi , kwasasa jiokoe wewe mwenyewe na mimi nitajisaidia mwenyewe, hivyo nenda kabla mambo hayajanikuta kuna kitu kimoja lazima nikifanye”Aliongea na palepale alichukua funguo za gari.

Upande wa msadizi wake , alianza kusita sita lakini palepale alijipa ujasiri na kisha akakimbilai kwenye ngazi ili kuelekea juu kwenye ofisi ya Park jonghyun , lakini kabla hata hajapiga hatua nne kupanda , mlio wa risasi ulisikika palepale na yule msadizi alidondoka chini huku damu zikisambaa na alianza kufurukuta huku macho yake yakionyesha kama vile ni mtu ambaye anakufa kifo ambacho hakutarajia.

Park Jonghyun alieshikilia risasi alimwangalia namna msaidizi wake anavokufa na kisha alitoa tabasamu la kejeli.

“Sikutarajia utakuwa mtiifu namna hii , kama nazama na nyie mnapaswa kuzama “Aliongea huku akionyesha kutojutia kwa kile ambacho amefanya.

*******

Roma kwa haraka haraka alikadiria mpaka muda huo Park Juan atakuwa ameamka na ndio maana hakutaka kwanza kurudi kwa mke wake mpaka kuonana nae.

Roma alitaka kukamilisha kila kitu mapema kabla ya kurudi Tanzania na isitoshe siku zilikuwa zinaenda kwa kasi na nyumbani walimuacha Lanlan ambaye hakupaswa kuendelea kukaa bila ya kuwa na ukaribu wa mama yake na hata kwa Edna mwenyewe alishaona kabisa ashamkumbuka mtoto wake na alikubali kuendelea kubakia hapo nchini kwasababbu ya swala la Yezi tu na kama si vinginevyo heunda angekuwa Tanzania tayari.

Roma akiwa na mkoba wake aliweza kuruhusiwa kuingia katika wodi aliolazwa Park Juan na ilikuwa ni kama alivyotarajia kwani Park Juan aikuwa ashatoka kwenye usingizi wa Ganzi na muda huo hata dripu zishaondolewa na aliwekewa tu nasal prongs ambazo zilimsaidia kupata hawa safi.

Kim Jip kwa namna ambavyo alionekana ni kama vile dakika moja hakuwa akipigana kwa kudhibiti watu ambao walitaka kumdhuru bosi wake.

Mara baada ya Roma kufika hakuongea neno zaidi ya kumtingishia kichwa tu kumuonyesha ishara ya kumkaribisha.

Roma mara baada ya kusalimiana na Park Juan ambaye alionekana kuwa dhaifu mno hata kwenye kuongea, aliamua kutoa kidonge cha kijini kwenye kijimkebe alichokuwa nacho na kisha akamuwekea Park Juan Mdomoni na kisha akakimeza.

Roma aliona kisingeweza kumponyesha kwa haraka hivyo palepale alishika mkono wake na kuanza kumuingizia nguvu ya urejesho na Park Juan alijikuta akitoa macho kwani ni kama alihisi mwili wake ulikuwa ikiingiwa na chaji kwa haraka sana na hata mishono yote ilijifunga na maumivu yalianza kupotea.

Athari chanya za kidonge jumlisha nguvu ya urejesho vilimfanya Park Juan kurejewa na nguvu kabisa kama mtu ambaye amepona kabisa na alishangazwa sana na jambo hilo na haikuwa kwake tu hata kwa Kim Jip alionyesha kushngaaa licha ya kwamba hakuonyesha sana kwenye macho yake kama alikuwa kwenye mshangao.

“Mr Roma wewe ni nani haswa?”Aliuliza Park Juan mara baada ya kutoa mpira wa kupumulia lakini Roma aliishia kutabasamu huku akionyesha hayupo tayari kujielezea zaidi na kuweka siri zake zote hadharani.

“CEO Park kama nilivyokueleza hizi ni mbinu nilizorithishwa , kama unataka kuishi zaidi ya miaka mia ni juu yako kama upo tayari kulipia kwa hilo maana sio bure”

“Nipo tayari , una vidonge vingi zaidi kama hiki ulichonipatia?, kama vipo vingi nitanunua vyote”Aliongea huku akionyesha kuwa na tamaa.

Roma alishangazwa na kauli yake , ijapokuwa ilikuwa kweli kidonge alichompatia kilikuwa cha daraja la chini lakini asingemuuzia vyote .

“Hivi vidonge ni hadhina ya familia yangu , ninavyo vitatu pekee ambavyo vimebakia, unaweza kuwa tajiri dunia nzima lakini huwezi pata kirahisi hivi vidonge , nimeamua kukusaidia kwasababu wewe ni babu yake Yezi”

“Mr Roma nina uhitaji sana na hivyo vidonge angalau vinipe miaka miachache ya kuishi , mjukuu wangu Yezi kuna mambo mengi ambayo hayajui kuhusu kuongoza kampuni na isitoshe maadui hawawezi kumuacha salama. Unaonaje kuhusu hili, taja bei yoyote ambavyo ungependa kuuza na mimi nitanunua”Aliongea na kumfanya Roma kufikiria.

“Unaonaje kuhusu hili CEO Park , nitakuuzia kidonge kimoja kwa dolla milioni kumi(bilioni ishirini na tatu za kitanzania)?”.

“Kidonge jimoja tu?, kama vipi nipatie vyote kabisa , najua ni kitu cha thamani kubwa , unaonaje kama nitakuongezea milioni ishirini zaidi unipatie vyote?”Aliongea na kumfanya Roma kushikwa na tamaa ya pesa ya haraka namna hio , alijiambia kwa staili hii bora amwambie Sauroni aachane na biashara zake za kutengeneza na kuuza siraha na waanze kutengeneza vidonge na kusambaza dunia nzima.

Lakini mawazo hayo aliona hayawezi kukamilika kutokana na kwamba vidonge hivyo haviwezi kutengenezwa vingi kukidhi mahitaji.

Roma hakutaka kukataa ofa hio ya hela hivyo alitoa vile vilivyobakia na kisha akampatia Park Juan na bwana huyo alifurahi mno kuona Roma amekubali . siku zote ndoto ya tajiri ni kuishi muda mrefu ili kufurahia pesa zake lakini kwasababu hakuna binadamu ambaye anao uwezo wa kurefusha maisha ni jambo ambalo hubakia kama ndoto.

Hivyo kwa mtu kama Park Juan asingeshindwa kutoa kiasi hicho cha pesa ambacho hakifikii hata asilimia moja ya utajiri wake kwa ajili ya kidonge cha kurefusha maisha.

Alimpa ishara kim Jip kumpa cheque(cheki) na akasaini kwa kuandika kiasi cha pesa tajwa alichopaswa kulipa na kisha akampatia Roma , hivyo mpaka muda huo Roma akawa na milioni therathini za kimarekani sawa na zaidi ya bilioni sitini za kitanzania.

Roma mara baada ya kuona sasa mzee huyo hali yake ya afya imekuwa sawa alichukua mkoba aliokuja nao na kisha akatoa nyaraka ambazo Park Juan alipaswa kuziona.

“Hizi nyraka ni halisi na nimezithibitisha lakini naamini unapaswa kuziangalia wewe mwenyewe , siwezi kuongea chochote kwani mimi sio mwanafamilia”Aliongea Roma na akamkabidhi na baada ya Park Juan kupitisha macho sura yake ilikunjamana.

“Nilijua tu huyu mkorofi kuna mambo anafanya , lakini sikuwahi kuwaza kama anaweza kushirikiana na North Buyeo?”

“Unajua kuhusu hawa North Buyeo?”Aliuliza Roma.

“Kwanini nisiwajue , ukweli ni kwamba nimekuwa kwenye mashindano makali na wanachama wote ambao wapo chini ya huu umoja wa siri kwa zaidi ya miaka miwili sasa , lakini licha ya hivyo kutokana na ushawishi wangu hawakuweza kunifanya chochote , lakini bahari mbaya kutokana na afya yangu kudhorota sikuwa na mtu mwingine wa kumuamini zaidi ya park Jonghyun.”

“Unaweza usiwe na ufahamu wa hili Mr Roma , lakini North Buyeo malengo yao makuu ni kuunganisha Korea kusini na Korea kaskazini kuwa nchi moja, huu mwaka kwa hapa Korea ni wa uchaguzi na upande ambao nasapoti ni ambao una ukinzani mkubwa na serikali ya Korea kaskazini ,siku hizi teknolojoia imekuwa kubwa sana, hivyo ukifanya kosa kidogo tu linaweza kupelekea mamia ya watu kuwa hatarini, hawa North Bueyo hapa nchini wanachotaka ni kuchafua nchi na kuiingiza kwenye vita ya pili”Aliongea na kufanya Roma kushangaa na kuona kumbe mambo yote hayo yana muunganiko wa kisiasa ndani yake.

“Kwangu usalama wa Yezi ndio kitu ninachojali , hivyo nakuomba kwa haraka kushughulikia hili na kulimaliza mara moja ukishakuwa tayari”Aliongea na kumfanya Park Juan kutingisha kichwa na kisha palepale alimpa ishara Kim Jip kumpatia nguo zake abadili .

“Kim Jip weka gari tayari , waambie na wengine kwenda nyumbani kwa huyo mwanaharamu na wamlete kwangu”Aliongea

“Aye”

*********

Upande mwingine katika makazi anayo ishi Najma , gari nyeusi aina ya Bernz ilisimama kando ya jengo hilo na kwa haraka haraka aliekuwa akiendesha alitoka nje ya gari na kisha akatoa simu yake na kutafuta namba na kuipiga.

“Vivian , ninajisikia vibaya muda huu , kama hutojali naomba nije tuongee kwa dakika kadhaa”

“Muda umeenda ,najiandaa kulala”Aliongea Najma upande wa pili na kumfanya Park Jonghyun kukunja sura.

“Nipo tayari nje ya Apartment yako , nahitaji kweli kuongea na wewe leo leo , ninaondoka kwenda Ulaya wiki ijayo , hivyo hii inaweza kuwa mara ya mwisho tunaonana”Aliongea kwa kubembeleza na kumfanya Najma aliekuwa ndani akijisomea kufikiria kidogo na kutokana na sauti ya Park Jonghyun ilivyokuwa kinyonge alimuonea huruma hivyo akampa ruhusa ya kupandisha juu.

Dakika chache mbele Park Jonghyn aliweza kufika nje na kugonga mlango na Najma ambaye alivalia gauni la pinki la maua maua na visendo manyoya alifungua mlango na kumkaribisha ndani.

Park Jonghyun mara baada ya kuingia alimchunguza mrembo huyo wa kiafrika kwa macho ya uchu , ijapokuwa yeye alikuwa Mkorea na wanawake wa Kkorea hawakujaaliwa shepu lakini kwa Najma alipenda sana shepu yake.

“Mr Park je kuna kitu kinachokusumbbua , unaonekana kutokuwa vizuri?”aliongea Najma mara baada ya kumkaribisha mwanaume huyo kwenye sofa na kisha kwenda upande wa jiko kuandaa kikombe cha kawahawa ili kumchangamsha.

Upande wa Park Jonghyun alikuwa amekula bata sana na wanawake wa aina tofauti alipokuwa nje ya nchi na ndani ya nchi , lakini kwake ilikuwa mara ya kwanza kukutana na mwanamke ambaye alikuwa mpole na asie na mambo mengi kama Najma , hisia zake zilikuwa zikimwambia kabisa Najma alikuwa bikra na hio ilimuongezea shauku ya kutaka kuona kama mawazo yake yapo sahihi.

“Vivian vipi kama nisingeanza kukufukuzia , je ungeweza kunipenda wewe mwenyewe licha ya sisi kuwa wa rangi tofauti?””Aliuliza Park Jonghyun na kumfanya Najma kushitushwa na swali lake lakini aliishia kutingisha kichwa kukataa.

“Kwaini iwe hivyo… au ni kwasbabu sitamaniki ? hivi nachukiza sana?”Aliuliza huku akionyesha huzuni ya kukataliwa na mrembo kama Najma.

“Ukweli ni kwamba sio kama nakuchukia au huvutii, kama ni mwanamke yoyote wa rangi yetu angefurahi kupendwa na mwanaume kama wewe , lakini kwangu mimi ni vugumu kufanya hivyo kutokana na kwamba moyo wangu ushampenda mtu mwingine na ndio huyo ambaye ananifanya nishindwe kabisa kumpenda mtu mwingine , nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kupotezea mapenzi yangu kwake lakini nimeshindwa , huenda mtu yoyote anaweza kuniona kama mtu dhaifu lakini ndio hivyo nimeshindwa kumsahau kabisa”Park Jonghyun alijikuta akikunja ngumi na kung’ata meno kwa wakati mmoja.

“Je mtu huyo ni Roma Ramoni?”Aliuliza na Najma alitigisha kichwa kukubalia.

“Nafasi yake katika moyo wangu haiwezi kuzibwa na mtu yoyote”Aliongea na kumfanya Park Jonghyun kusimama na kuanza kucheka kicheko cha uchungu, ni kama lile jibu ambalo hakuwa ametegemea hatimae limewekwa hadharani.

“Roma Ramoni,,, muda wote ni Roma Ramoni , kila kitu ni Roma , nimemkosea nini mimi huyu Roma Ramoni ,mpaka kuharibu maisha yangu”Alianza kuongea kama kichaa na mpaka hapo Najma alijua kabisa amefanya kosa kumtaja.

“Mr Park kwanini .. upo..”

“Kaa Kimya”Aliongea kwa kufoka na palepale alitoka aliposimama na kumsogelea Najma na kisha akambana kwenye kabati la jiko.
 
SEHEMU YA 527.

Najma mpaka hapo alijua alifanya kosa kubwa sana kumruhusu Park Jonghyun kuingia ndani kwake na sio hivyo tu pia kumtaja Roma kama mwanaume anaempenda , lakini alifanya hivyo kwasababu ya kwamba hakuwa akija kama Park Jopnhyun na Roma wana ugomvi.

Kutokana na namna ambavyo ameshikiliwa alishindwa kabisa kujitoa katika mikono ya Park Jonghyun na alishia kuangalia pembeni akikwepa pumzi yake ya moto.

“Biashara zangu zimeharibika , hivyo hivyo maisha yangu yameharibika na kila kitu changu kimechukuliwa kwasababu ya yule mwanaharamu , hebu angalia nilivyo sasa , nimeachwa sina kitu na mwanamke ambaye kwa mara ya kwanza nimetokea kumpenda na yeye amechukuliwa kutoka kwangu na Roma Ramoni , kila saa ni Roma Ramoni kwanini , hebu niambie ana kitu gani cha ziada mnachokipenda?”Aliongea kwa hasira.

Machozi pekee ndio ambayo yalikuwa yakimtoka Najma hakuweza kuongea kuwakilisha kile ambacho anajisikia moyoni.

“Kwanni huongei?, Oh.. itakuwa naogopesha , itakuwa nakutisha si ndio ,, hahaha , sikupanga kuwa hivi , kama ungesema hata uongo huenda ningekuachia , lakini hata wewe mtu wa mwisho ambaye niliweka matumaini yangu unakuwa mkatili kwangu?”Aliongea na hasira zake zilianza kugeuka machozi , alionekana kabis ahakuwa hana tumaini tena.

“Mr Park tafadhari naomba usifanye hivi ,, nini kimetokea? Roma kakufanya nini?”

“Uthithubutu kutaja jina lake mbele yangu”Aliongea huku akionyesha kabisa muda huo ni kama akili haikuwa yake kabisa.

“Kwasababu Roma ameharibu kila kitu changu , nitakurudishia kila kitu , na wewe nakuharibia kama kulipiza”

“Mr Park .. unataka kufanya nini?”Najma ambaye sura yake ni ya kipole ilijawa na majonzi aliuliza kwa kujipa ujasiri , huku hofu ikiwa juu.

“Unafikiri mimi mjinga , inaonyesha kabisa Roma anakujali hivyo nitafanya mapenzi na wewe na kitakachotokea hapa kitamuumiza sana maisha yake yote”

Najma baada ya kusikia hivyo alizidi kuogopa , alizidi kukusanya nguvu zake zote ili kuweza kujitoa katika mikono ya Park Jonghyun lakini alikuwa ameshikiliwa vizuri sana kiasi kwamba hakuwa na namna ya kujiokoa.

Jasho lilianza kumtoka palepale , alishindwa hata kupiga kelele , Park Jonghyun aliongea kwa vitendo pia kwanni palepale alimchania gauni Najma na kumuacha na nguo za ndani pamoja na Bra tu.

Shepu yake ilionona ilikuwa wazi katika macho ya Park Jonghyun , jambo ambalo liliamsha mashetani yake zaidi ya kimatamanio .

“Naomba usinifanyie hivi… hapapna,, arhg tafadhari naomba uache ugh…”Hata kama alitoa kilio ilikuwa ngumu kusikika kwani nyumba hizo zimejengwa kwa mtindo wa soundproff.

Kilio chake kilimfanya Park Jongyun kuwa kama chizi na kuachia kicheko ambacho kilisambaa chumba kizima na kufanya hata sauti yake ya kilio isisikike.

****

Roma aliondoka hospitalini hapo akiwa ndani ya gari ya Park Juan akijiweka kuwa huru kwenye gari hilo mpaka kuanza kupiga miayo ya usingizi.

Upande wa Park Juan alikuwa na nguvu mpya , alikuwa ni kama amezaliwa upya hivyo hata usingizi hakuwa nao zaidi ya furaha ya kwamba anakwenda kuishi maisha marefu tofauti na alivyowaza siku kadhaa zilizopita, alijichukulia kama mzee mwenye bahati sana katika maisha yake.

Upande wa Kim Jip alionekana kuongea na simu kwa dakika kadhaa na kisha akageuka nyuma na kumwangalia bosi wake kumpatia taarifa.

“Sir Tumepotkea taarifa Park Jonghyun amemuua msaidizi wake na mlinzi wake na sasa yupo mafichoni , lakini kwa taarifa zinazoonyesha hajatoka nje ya Gangnam”Aliongea Kim Jip.

“Lazima atakuwa amejua hawezi kutoka bila ya kukamatika , endeleeni kumuwinda mpaka mumpate , nahitaji kujua kila kitu alichofanya bila ya mimi kujua”Aliongea Park Juan na Kim Jip alitingisha kichwa kukubali.

Upande wa Roma mara baada masikio yake kusikia maneno ya Kim Jip alikunja ndita , lakini kwa wakati mmoja kushangazwa na kitendo cha Park Jonghyun kumuua msaidizi wake mwenyewe pamoja na mlinzi wake.

Alijiuliza kama kweli alikuwa ana mpango wa kutoroka kwanini kaamua kumaliza watu wake wa karibu , ilihali huenda wangemsaidia kutoroka , au inamaanisha kwamba hakuwa na mpango wa kutoroka, Roma alijiuliza hayo maswali na palepale alamu ilipiga kwenya ubongo wake.

“Simamisha gari?”Aliongea Roma kwa kushituka na kumfanya dereva kushangazwa na kauli yake ya kibabe lakini alisogeza gari pembeni na kulisimamisha

“Mr Roma kuna tatizo?”Aliuliza Park Juan lakini Roma hakuwa na muda wa kujibu zaidi ya kufungua mlango haraka haraka na kutoka na alienda hadi nyuma ya bustani ambapo watu wa barabarani hawamuoni na kisha akapotea.

Roma alishajua kabisa kutokana na kitendo ambacho amefanya Park Jonghyun basi lazima agefanya zaidi ya hilo hivyo moja kwa moja alioa mtu ambae anaweza kuwa katika hatari ni Najma.

Ilikuwa bahati kwamba alikuwa akijua eneo ambalo anaishi Najma mpaka chumba chake baada ya kumsindikiza Edna kukutana nae na hilo ndio ambalo lilimsaidia kutopata tabu.

Roma mara tu ya kuibukia nje ya jengo la analoishi Najma alitumia uwezo wake wa kijini kuanza kuangalia mazingira ya jengo huku roho yake ikinuia kumtafuta Najma ili kuona kama yupo sawa.

Na palepale alipotea na ile anakuja kuibukia alikuwa juu kabisa ya balkoni ya apartment anayoishia Najma .

Park jonghyun alikuwa ashafanikisha kumlaza chini kwenye sakafu Najma na sasa alikuwa akimpiga mabusu kuanzia kwenye shingo kushuka chini huku akiwa ameshikilia mikono vizuri pamoja na kumbana kiwiliwili cha chini na miguu yake.

Baada ya kulizika na hatua ya kwanza alihamia chini na kisha akavuta Tight nyeupe aliokuwa amevaa na kuichana kabisa na kumfanya sasa kuwa mtupu .

“Hahaha..Vivian you are mine now”Aliongea kwa kingereza huku akizidi kupandishwa na mumkari mara baada ya kuona tunda ambalo halikuwa na dalili ya kumegwa kabisa.

Upande wa Roma aliweza kusikia maneno ya Park Jonghyun na yaliyamfanya kuwa katika hasira ya kiwango cha juu mno na Park Jonghyun aliweza kumuona kutokana na Roma kuingia kwa kufosi mlango.

“Hatimae umekuja wakati ambao sikukutegemea , nilikuwa nikijiandaa kuonja utamu hapa , lakini naona umekuja kuniharibia tena”Aliongea Park Jonghyun mara baada ya kumuona Roma.

Roma hakuwa na haja ya kuwa mpole tena kwa Park Jonghyun , alimsogelea kwa kasi na kisha akamwinua juu juu na kumshikilia shingo yake.

“Kumbuka haya macho , kama ikitokea ukawa mzimu na kurudi kwangu nitakuua tena zaidi ya mara elfu moja”Aliongea Roma na palepale akiwa ameng’ata meno yake kwa hasira alikaza kiganya chake cha mikono na kufanya mshipa mkubwa wa damu kupasuka palepale lakini hakuachia mpaka alipohakikisha Park Jonghyun alipopoteza maisha na alimtupia chini huku damu nyingi zikimtoka kama bomba la maji.

Roma bado ni kama hakuwa ameridhika na kifo chake , hivyo aliweka na mguu kwenye kifua chake na kisha akakanyaga kwa nguvu na kufanya mguu wake kutengeneza unyao kwenye kifua na kiasi flani hali yake ya utulivu ilirudi kawaida na kisha akamsogelea Najma ambaye amelala chini akiwa hana nguo.

Ijapokuwa Park Jonghyun hakufanikiwa kumbaka kutokana na yeye kufika ndani ya muda , lakini bado alikuwa na wasiwasi na hali yake.

Najma tokea aonane na Roma nchini hapo ni kama maisha yake yalibabadilika na hata ile furaha na hali ya kujiamini ilimpotea kabisa na kubakia kama Najma ambaye alikuwa wa miaka kadhaa iliopita.

“Najma…!!”Roma alijaribu kumuita mara baada ya kumkalisha na kumuegamiza kwenye mikono yake , lakini licha ya kwamba Najma alionekana kuwa na fahamu lakini hakuna kitu ambacho alijibu.

“Kila kitu kipo sawa Najma , nimekuja..”Aliogea Roma na kisha akavua jaketi lake na kumvalisha na baada ya kuona amejisitiri alimsimamisha lakini Najma alionekana kama kukosa nguvu na alianza kuzungusha kichwa taratibu huku akiwa na mwonekano usioelezeka.

Alimwangalia Roma kwa muda na palepale alianza kuongea maneno yasioeleweka kwa sekunde na ghafla tu palepale alipoteza fahamu kwenye mikono ya Roma.

“Najma”

Roma alijua huenda baada ya kumuokoa angesimama na kisha kumkumbatia na kuanza kulia , lakini ajabu ilikuwa tofauti na mategemeo yake , hakutegemea kama angepoteza fahamu muda huo huo.

Roma palepale alijikuta akipeleka mkono wake na kushika kiganya chake cha mikono na kumuingizia nguvu ya urejesho isio na kikomo ili kujaribu kuangalia kama kuna tatizo lolote ndani ya mwili wake , lakini alikuja kugundua Najma hakupata majeraha yoyote ya ndani.

“Inawezekanaje akapoteza fahamu..?”Aliwaza Roma na palepale aliona hilo ni swala ambalo hawezi kurekebisha kwa kutumia uwezo wake , Roma palepale alimlaza kwenye sofa na kutafuta gauni kwenye kabati na kisha akamvalisha na kumbeba na akapotea nae na alikuja kutokezea hospitalini na kupokelewa na manesi.

“Sir ana tatizo gani?”Aliuliza nesi wa kikorea huku akijua hajaeleweka kutokana na lugha.

“Alipatwa na mshituko na kupoteza fahamu , nimejaribu kumuamsha lakini meshindikana”Aliongea Roma kwa lugha ya kikorea na alipokelewa haraka na madaktari wa kitengo cha dharula na baada ya kufanyiwa vipimo vya awali walishauri afanyiwe CT scan.

Roma baada ya kuona Najma kashaingizwa kufanyiwa vipimo alitoa simu yake na kukuta kulikuwa na missed call kama tatu kutoka kwa Edna, na moja kwa moja alidhania kabisa mke wake atakuwa kwenye wasiwasi na palepale simu ilianza kuita upya na alipokea.

“Honey uko wapi , kwanini babu yake Yezi ndio amerudi wewe huonekani?”

“Najma amepoteza fahamu na nipo hospitalini saivi , usiwe na wasiwasi hakuna kibaya kinachoweza kunikuta”

“Usiniambie Najma ameba..”

“Hapana ,ilikuwa afadhali nilifika ndani ya muda”Aliongea Roma huku akitoa tabasamu la uchungu , aliona kama angechelewa hata dakika moja tu basi huenda Najma angenajisiwa na angejilaumu maisha yake yote maana yeye mwenyewe ndio ambaye alikuwa na makosa kwa kumuacha Park jonghyun akiendelea kuishi licha ya kufahamu uovu wake.

“Kama ni hivyo nitamwambia babu yake Yezi ili kusafisha hali , nitajiandaa kukufauta sasa hivi”Aliongea Edna na Roma alitaka kumzuia lakini aliona asifanye hivyo kwani Edna angefikiria mambo mengine .

Haikupita hata nusu saa Edna aliweza kufika hospitalini akiwa amevalia sweta kubwa la manyoya na kujifunga na scarf kwenye shingo kuzuia baridi, alikuwa ameshikilia kijimfuko.

“Njmenunua kahawa njiani, kunywa kidogo kupasha mwili joto”aliongea

Wakorea ni watu wa kahawa na mara nyingi huwa zinauzwa mpaka madukani tena zikiwa za moto kabisa.

Roma alijikuta akifurahishwa na harufu nzuri ya kahawa na baada ya kunywa kidogo iliweza kurudisha mudi yake.

“Ilikuwa siku ngumu kwako leo , rudi mapema ukapumzike”

“Mpaka nione hali ya Najma ikoje, nitakuwa popote ulipo”Aliongea Edna.

“Bado una wasiwasi nikiwa karibu na wanawake wengine?”Aliongea Roma huku akicheka kivivu.

“Nina wasiwasi na hali ya Najma , ni rafiki yangu licha ya yote yaliotokea , hivyo nitakaa hapa mpaka nione kinachoendelea”Aliongea na muda huo huo daktari aliwasogelea akiwa ameshikilia faili kwenye mikono yake.

“Wewe ndio Mr Roma , naitwa Zeng Guozhong mChief daktari wa hospitali , raisi Park alinipigia simu, nisameheni kwa kuchelewa kufika, ndio nimetoka nyumbani , tutafanya kila linawezekana kuhakikisha hali ya mgonjywa inatengemaa , kwasasa naomba mnifuate kwenda kwenye ofisi yangu”Aliongea na kumfanya Roma asitarajie kama Park Juan angechukua hatua ya kumpigia Chief daktari mkuu.

Kwa muda huo alijua kabisa angepaswa kushughulikia maswala ya Park Jonghyun pamoja na North Buyeo hivyo alijuwa yupo bize , lakini lichia ya hivyo aliweza kumuita daktari ambaye ashatoka hospitalini kurudi.

Ndio maana alikuwa mfanyabiashara mkubwa ndani ya bara la Asia kutokana na ushapu wake na uwezo wa kufanya maamuzi kwa haraka

“Dokta Zheng hali ya mgonjwa wetu ipo je , yupo kwenye hatari?”Aliuliza Roma mara baada ya kukaribishwa ndani ya ofisi.

“Hayupo kwenye hatari , lakini hali yake sio rahisi”Aliongea huku akilazimisha tabasamu.

“Nini tatizo?”

“Mr Roma je mgonjwa alifanyiwa kitendo cha ukatili , nesi amesema alikutwa na baadhi ya alama kwenye mwili wake”Aliuliza na Roma alitingisha kichwa.

“Kuna mtu alikuwa na nia yakumfanyia hivyo lakini niliweza kuzuia kabla haijatokea”

“Haishangazi , je aliweza kugonga kichwa chake kwa namna yoyote wakati wa tukio hilo?”Aliuliza na kumfanya Roma kushangaa lakini aliishia kukumbuka tukio zima namna ambavyo alilikuta.

“Nilimkuta akiwa amekandamizwa kwenye sakafu lakini sijui namna ambavyo aliweza kulazwa chini , inawekzekana akawa amejigonga ndio , hata mwonekano wake alioniangalia nao ni kama vile hanijui”Aliongea Roma kwa kikorea na Edna aliekuwa pembeni aliomba kutafsiriwa na alijikuta akishikwa na huzuni mara abaada ya kusikia kinachoendelea ,

“Mr Roma kwa heshima zote naomba niseme hali ya tatizo la mgonjwa linaweza kuwa nje ya matibabu ya kawaida ambayo sisi madaktari tunaweza kufanya?”

“Unamaanisha nini?”

“Miss Najma amegonga kichwa chake vibaya na kupata majeraha kwenye Cerebral Cortex , ingazwa jeraha sio kubwa sana lakini baadhi ya neva zake zimeharibika l wakati huo huo ufahamu wake umepitia mshituko mkubwa , hivyo utambuzi wake wa fahamu , na kujieleweza vyote havipo sawa,, kwasasa tumempa dawa ya usingizi mara baada ya kuamka.

Kabla ya kuchomwa sindano ya usingizi alikuwa akitetemeka sana huku akitaja neno ‘hapana’kwa nguvu na tulishindwa kuwasiliana nae , hivyo kwa uzoefu wangu naweza kusema amepatwa na ugonjwa wa akili kama PTSD (Post-traumatic stress disorder) au Phobia(Woga maalumu).

Roma alijikuta hata akisahau kumtafsiria Edna kutokana na taarifa hio mbaya na Edna aliona wasiwasi wa Roma na kumwambia amtafisirie na Roma alifanya hivyo kinyonge na kumfanya Edna Chozi kumtoka, hakuamini kama Najma anaweza kuchanganyikiwa kwa tukio la kutaka kubakwa.

“Kwanini iwe hivi?”

“Kwa kawaida ukatili peke yake hauwezi kumfanya mgonjwa kuwa katika hali kama hio , nina makisio Miss Najma alikuwa na msongo mkubwa wa mawazo , hali ambayo ni kama imempelekea kujikatia tamaa na inawezeana alikuwa kwenye uvumilivu wa hali ya juu sana, hivyo mara baada ya kuwa katika hali ya kubakwa alijikatia tamaa na kuruhusu utu wake wa ndani kumpotea na kujizima kabisa”Aliongea daktar Zheng na baada ya kuona Roma bado alikuwa katika hali ya mawazo aliendelea kuuliza swali.

“Mr Roma je mgonjwa alikuwa na matatizo hayo bainishi?”















SEHEMU YA 528.

Roma alijikuta kwanza akinywa kidogo kahawa ambayo ishaanza kupoa iliokuwa kwenye mkono yake , mwanzo ilikuwa tamu lakini wakati huo aliiona ni chungu.

Roma alijua kabisa kuhusu kumkataa Najma kusingemsababishia matatizo makubwa mpaka kujikatia tamaa ya kuishi.

“Dokta je tunamsaidieje sasa , atakuwa hivyo maisha yake yote?”

“Hatuwezi kusema kwa uhakika , labda mgonjwa anaweza kupona yeye mwenyewe lakini kuna uwezekano hali yake kuzidi kuwa mbaya”

Edna mara baada ya kusikia tafsiri alijikuta akikumbuka mazungumzo yake na Najma katika Apartment yake, maneno ya Najma baada ya kujirudi katika kichwa chake , alihihisi ni mwenye hatia na kujiona ni yeye pekee ambaye alikuwa kwenye nafasi ya kumsaidia lakini hakufanya hivyo na kumuacha afanye atakavyo.

Edna hata yeye mwenyewe alianza kujishangaa , kwanini moyo wake ulikuwa ukiuma , kwanini anajisikia huzuni kiasi cha kukosa raha kabisa.

Roma alimuona namna Edna alivyobadilika na aliamua kumshikilia mkono ili kumtuliza na alivyoinua macho yake aliona tayari Dokta Zheng alikwisha kuondoka bila kuelewa ameondoka hapo muda gani.

“Usifikirie sana , hili halijatokea kwasababu yako , sio wewe uliemuagiza Park Jonghyun , sio jambo zuri kujibebesha lawama kwa kitu ambacho hujafanya”

“Najihisi kuwa mwanamke mkatili…”Aliongea Edna huku machozi yakianza kumtoka , kilichomuuma Edna zaidi ni kuona kwamba yeye ni kama alinunua hisia za Najma , kule Tanzania yeye ndio ambaye alimshauri Najma kuondoka kwenye maisha ya Roma na kwenda kuishi Marekani kwa sababu ya kimasomo akiamini kwamba Najma angeweza kumsahau Roma kwa haraka,lakini mambo yaligeuka ndivyo sivyo Najma alionekana kupenda kweli na mapenzi yake kushindwa kumpotea mara moja, hivyo kuwa nchini Marekani ni kama hisia zake zilinunuliwa kwa pesa taslimu na ndio kilichompelekea kujitoa katika ufadhili na kuja kukimbilia mpaka Korea ambako ndio anakuja kupatwa na tatizo ambalo linampelekea uchizi.

“Kama wewe utakuwa mwanamke mkatili basi mimi nitakuwa mwanaume mkatili zaidi kuwahi kuishi katika uso wa dunia, hujafanya kosa lolote , kuna baadhi ya vitu sisi kama binadamu vipo nje ya uwezo wetu , niamini mimi Najma hajawahi kukuchukia”

“Kweli?”

“Ndio”Aliongea Roma na kumfuta machozi kwa kutumia kiganja cha mkono wake

“Twende tukamuangalie Najma anaendeleaje”Aliongea na kumfanya kusita sita lakini alitingisha kichwa kiukubali na akasimama.

Ilikuwa ni usiku bado , hivyo hospitali ilikuwa na ukimya wa hali ya juu sana, walitembea kwenye korido na hatimae kuweza kufika katika wodi ambayo amelazwa Najma , huku akiwa mkononi ametundikiwa dripu.

“Najma ataamka lini?”Aliuliza Edna.

“Sijui , ameishi mwenyewe kwa muda mrefu , hana rafiki wala familia , kama tungekuwa Tanzania angalau kaka yake angekuwa karibu yake na kumsaidia”

“Kama ni hivyo basi tusiondoke , tukae hapa hapa mpaka atakapo amka”Aliongea Edna na Roma alikuwa na mawazo sawa , alikuwa akiwaza kama hali yake ikiendelea hivyo huenda wamtoe hapo na kumpeleka nchi nyingine au kurudi nae Tanzania kabisa kama asingeweza kupona.

Masaa nayo yalipita kwa haraka na hata hivyo muda ulikuwa umeenda hivyo Edna alijikuta akisinzia kwenye bega la Roma huku Roma yeye akiwa macho muda wote , hakuwa na shida kukaa macho muda mrefu kutokana na uwezo wake.

Kulivokucha mtu wa kwanza kuwapigia simu alikuwa ni Park Juan akiulizia hali ya afya ya Najma na kuuliza kama kuna kitu chochote cha kusaidia , lakini kwa hali yake aliokuwa nayo Roma aliona kwamba mzee huyo asingeweza kufanya chochote kama yeye mwenyewe tu ameshindwa.

Saa moja kamili hatimae Najma aliweza kufumbua macho yake , lakini licha ya hivyo mwonekano wake ulikuwa kama wa mtu ambaye hana uelewa wowote kama yupo wapi.

“Najma umeamka , unajisikiaje?”Aliongea Edna lakini Najma aliishia kumwangalia bila ya kutoa jibu , ilikuwa ni kama vile hamjui.

“Kiu…”

“Una kiu , ngoja nikupe maji”Aliongea Edna na kisha akachukua maji ambayo yalipashwa moto kidogo kupunguza ubaridi na kisha akamsaidia kumnywesha.

“Najma vipi hali yako bado unajisikia vibaya?”

“Wewe ni nani?”Aliuliza Najma huku akionyesha kumshangaa Edna.

Edna baada kuulizwa swali hilo alijikuta kikombe kikimponyoka bila ya kujielewa na kudondoka chini huku akiwa ameshikwa na bumbuwazi akiwa kama mtu asieamini.

Upande wa Roma kidogo aliona ni ahueni baada ya kuona hali yake haikuwa mbaya kama alivyotegemea lakini mara baada ya kumuuliza Edna yeye ni nani kauli yake ilishitua moyo wake.

“Najma hautujui sisi?”Aliuliza Roma na kumfanya sasa Najma kuona kumbe kuna mtu mwingine ndani ya hiko chumba.

“Ah…Ondoka , Ondoka ..”alianza kufurukuta kwenye kitanda kama vile mtu ambae ameona kitu cha kutisha mara baada ya kumwangalia Roma.

Roma ilibidi amuwahi na kumshikilia mikono na miguu ili aisje akadondoka chini , lakini hakuacha kupiga makelele.

“Niache …Argg.. Niache mimi ,. Ondoka zako”

“Najma hebu tulia , mimi ni Roma , Roma Ramoni”

“Najma hutujui sisi , usilie”Aliongea Edna akiwa amemshikilai mkonno mwingine kwa namna ya kubembeleza , lakini bado Najma alianza kurusha rusha miguu.

“Roma inabidi uondoke , Inaonekana Najma anakuogopa”Aliongea Edna na kumkumbatia Najma akimshikilia kwa nguvu.

Roma alielewa na kumwangalia Najma kwa wasiwasi na kisha akatoka ndani ya hio wodi. Na ilionekana kuwa kweli , kwani Roma mara baada ya kutoka alitulia na kuishia kumkumbatia Edna na kuanza kuporomosha kilio kama mtoto mdogo.

Muda huo huo na manesi waliweza kufika kwa kukimbia kumsaidia Edna na walikuwa wakiongea kikorea tu jambo ambalo lilimfanya Edna asielewe , hivyo mwanamama mmoja alimshika Edna mkono na kumtoa nje,

“Sir, hali ya mgonjwa kwasasa haijatulia , je daktari hajawaambia msimsogelee kwani angefanyiwa uchunguzi tena , kwanzia sasa kaeni mbali na mgonjwa”Aliongea yule nesi huku akionyesha kuchukizwa kiaina lakini Roma alielewa nesi huyo alikuwa akijali zaidi kuhusu hali ya mgonjwa.

“Nesi kwanini mgonjwa ananiogopa mimi ilihali mke wangu yeye hamuogpi”

“Kutokana na kilichomtokea kusababishwa na wanaume hivyo woga wake anaelekezea kwenu , hivyo kumfanya kuzidi kuwa katika hali hatarishi”Aliongea yule nesi na kumfanya Roma kuhisi maumivu kwenye moyo wake.

Edna alishindwa kuvumilia kumwangalia Najma ambaye alikuwa akihudumiwa na manesi, kadri alivyokuwa akimwangalia alizidi kujibebesha lawama kwa kuona yeye ndio mhusika mkuu wa yote hayo , hata hivyo Najma alikuwa hana kosa , kama kuonana na Roma yeye ndio wa kwanza na hata kumpenda yeye ndio wa kwanza , lakini licha yote yeye ndio akawa mhanga mkubwa wa mapenzi,Roma alikosa hata nguvu za kumfariji Edna tena.

Nusu saa mbele daktari wa wagonjwa wa akili aliweza kufika hapo kwa ajili ya kumchunguza Najma , lakini ilishindikana kwni Najma alikuwa akileta vurugu na mwishowe daktari wa kike aliitwa.

Yezi na Park Juan pia waliweza kufika hapo lakini Najma hakuweza kuwatambua kabisa na Najma alimuogopa hata Park juan licha ya uzee wake.

Yezi kumuona mwalimu wake kuwa katika hali mbaya kama hio alijikuta akishindwa kujizuia na kutoa machozi.

“Vipi tuwataarifau familia yake , nadhani litakuwa jambo zuri kumpa taarifa kaka yake”

“Hapana , nyumbani inaonekana wanajua kabisa Najma anaendelea vizuri , unafikiri tukiwaambia yupo kwenye hali kama hii tutaeleza sababu iliosababisha ni nini”

“Tutafanyeje sasa yupo katika hali hii na kama ikiendelea kubakia hivyo?”

“Kwasababu hawa madaktari wamekusoa suluhu ya tiba yake , naamini Clark anaweza kusaidia katika hili”Aliongea Roma na ikawa imepita hio , Roma aliamini Clark asingekosa suluhisho.

Taarifa zilionyesha Clark tayari alikwisha kupanda ndege , hivyo Roma alikadiria muda ambao Clark angekuwa ashafika na kisha aende akamrudishe tena Korea.

Siku iliofatia mara baada ya hali ya Najma kuendelea vilevile na madaktari wa hospitali hio kubwa kukosa suluhu hakutaka kuendelea kumwangalia Najma akiwa kaenye hali yake hio , hivyo moja kwa moja alienda Uingereza.

Clark alishangazwa na uwezo wa Roma kusafiri anavyotaka ndani ya sekunde tu na alijikuta akianza kupatwa na tamaa na yeye kuutaka kujifunza mbinu za kijini , akijiambia kwamba angeweza kusafiri kwa muda mfupi sana kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Roma alimweleza Clark njiani juu ya tatizo la Najma hivyo mara baada ya kufika Korea kwasababu daktari mkuu wa hapo alikuwa akimfahamu alipewa ushiriano wa kutosha.

Na kwa upande wa Najma hata baada ya kuonana na Dokta Clark alionyesha pia kutokumfahamu.

Clark alitumia zaidi ya masaa mawii kuwa na mgonjwa kuongea nae na kumchunguza tatizo lake na kisha aliweza kutoka kumpatia majibu Roma.

“Hali yake kwasasa ni ngumu sana kuielewa ,ameamua kufunga baadhi ya kumbukumbu zake na kupatwa na tatizo la woga maalumu kwenda kwa wanaume , kama hali yake isiposhughulikiwa haraka basi moja kwa moja hali yake itakuwa mbaya zaidi”

“Kwahio tunamsaidiaje, madaktari wote wa hapa Korea wameshindwa kuwa na njia”

“Sio kama wameshindwa kuwa na njia , ila ni kwamba hawana uhakika njia ipi inaweza kumfaa , kikawaida kuna matibabu ya aina nyingi kwa mgonjwa kama huyu , kuna tiba ya hypnotherapy , tiba ya utambuzi, tiba ya ulazimishaji , tiba ya kimazingira na nyingine nyingi… ila nitajaribu na tiba ya hypnotherapy , kama nitaweza kugundua ni tatizo ganni linasababisha woga wake basi itakuwa rahisi kuamua matibabu mengine”Aliongea kwa kingereza.

“Ni hatari hio tiba?”Aliuliza Edna.

“Kama itafikia hatua mgonjwa ataonyesha kuwa katika hatari basi tutaghailisha , isitoshe nina uzoefu wa kutosha hivyo usiwe na wasiwasi’Aliongea Clark huku akitabasamu kumtoa Edna wasiwasi.

Baada ya hapo Najma alihamishiwa na kupelekwa katika chumba maalumu cha ukimya na kufayiwa taratibu za mwazo ili kuanza matibabu mengine.

Edna kwanini usirudi kwanza katika makazi ya Park, nadhani itakuwa sawa nikiendelea kubakia hapa , mwambie Yezi asiwe na wasiwasi lazima kutakuwa na njia ya kmsaidia”Aliongea Roma na Edna aliona afanye hivyo kwanza alikuwa akijihisi uchomvu wa aina yake.

“Honey , kama Najma asipopona , utafanya nini?”Aliuliza kabla ya kuondoka.

“Nahusika moja kwa moja kwa hali ambayo amepata , hivyo kama matibabu yatashindikana sina jinsi nitamrudisha Tanzania na kumweleza kaka yake kilichotokea , kama atanichukia sio mbaya , lakini nitaendelea kumhudumia”Aliongea na kumfanya Edna kutoa tabasamu la kulazimisha.

“Muda mwingine inaonekana sahihi kufanya hivyo lakini matokeo yake mzigo unaniegamia mimi”Aliongea Edna na Roma alijua Edna anachojaribu kumaanisha , lakini kwa muda huo hakuwa na cha kuongea zaidi ya kumwambia akapumzike.

Baada ya saa moja kupita Clark alirudi kwa Roma tena kumweleza hali inavoendelea.

“Umefanikiwa?”

“Imeshindikana kabisa , tumejaribu kumwambiea aingie ndani kabisa ya mawazo yake ili kukumbuka matukio yote , lakini alionekana kuwa katika taharuki ya hali ya juu na presha yake kupanda hivyo tukakatisha asije akapatwa na Stroke”

“Clark najua hili sio rahisi kufanya , lakini nakuomba sana umsaidie apone , yupo kwenye miaka ishirini tu na ameteseka sana , itakuwaje akaendelea kuwa hivyo bila ya kukamilisha ndoto zake”Aliongea Roma kwa wasiwasi huku akibembeleza kwa dhati kabisa.

“Kwanini upo na wasiwasi hivyo , lakini mimi hata hunionei huruma hata mara moja”Aliongea na kumfanya Roma kushangazwa na kauli yake kidogo.

“Wewe ni wa tofauti , sisi ni marafiki wazuri sana”

“Marafiki wazuri ,,, yaani baada ya miaka yote hio , na yote nilioyafanya bado to sisi ni marafiki wazuri”Alilalamika huku aking’ata lipsi zake.

“Roma kwanini unanikatili namna hio?”Aliendelea kuongea.

“Clark naomba tuache hii topiki , ni muda mrefu sana sijapata uchomvu na wasiwasi wa namna hii , naomba kwanza tafadhari unisaidie kumrudisha Najma kwenya hali yake ya kawaida”

“The only person in this world who can let the murderous His Majesty Pluto beg is probably me”Aliongea Clark akimaanisha kwamba mtu pakee ambaye anaweza kumfanya Mfalme Pluto muuaji kuomba basi ni yeye.

“Sioni tatizo kukuomba hata hivyo”Aliongea na kumfanya Clakr kutingisha kichwa kumsikitikia .

“Ukweli ni kwamba nishapata wazo la kutatua shida yake”

“Ni wazo gani hilo?”

“Vipi kwanza mkeo hayupo hapa si ndio?”

“Tatizo nini akiwepo , wazo hilo linamuhusu , nimemuambia aende akapumzike”Aliongea Roma na kumfanya Clark kutabasamu kidogo.

“Kumbuka nilichokuambiwa mwanzo , kwamba tunaweza kumtibu kwa njia ya hali ya kimazingira pamoja na tiba lazimishi(compulsive therapy)”

“Ndio nakumbuka , lakini inafanyika vipi?”Aliuliza Roma na Clark alimwonyesha Roma ishara ya kumsogelea karibu amnong’oneze.

“Ah.. ndio maana ukauliza kwanza kama Edna yupo hapa , kumbe tiba yenyewe ni hio”Aliongea Roma huku akionyesha mshangao.

“Hio ndio njia yenyewe ambayo inaweza kumsaidia , najua unaweza kuona haifai hivyo sikulazimishi kwani anaweza akapona mwenyewe siku yoyote , lakini kwa hali yake aliokuwa nayo naamini atazidi kudhorota kadri ziku zitakavyosogea , na isitoshe kama ataendelea kuogopa wanaume basi maisha yake yatakuwa magumu sana”Aliongea na kumfanya Roma kuelewa , lakini njia yenyewe ilikuwa na changamoto kwani ilibidi yeye ndio afanye kumponyesha Najma.

Unafikiri ni tiba gani hio ambayo Edna hatakiwi kuwepo?”

ITAENDELEA
 
SEHEMU YA 529.

Roma baada ya kutafakari huku akikosa maamuzi, aliwaza kama Edna angekuwepo hapo je angemruhusu kufanya kitendo ambacho ameambiwa na Clark kuwa ni tiba.

“Roma tukiendelea kupoteza muda hatujui ni nini kinaweza kumpata , ufahamu wake bado anao na kama tutautimia kama njia inaweza kuwa rahisi lakini tukichelewa na akabadilika zaidi hatuwezi kumsaidia, hii njia inonekana ya kikatili lakini ndio njia pekee , hata kama itafeli inaweza angalau kusaidia kwa kiasi chake , lakini unapaswa kuelewa ukishaanza hupaswi kuacha”Aliongea Clark.

“Unanishawishi kuwa mwanaume mkatili sasa”

“Angalau, kwani ninachoona ulikuwa ukijizuia ,hii chukulia kama fursa sasa kwako kukidhi haja zako?”

“Kama ndio hivyo basi sina namna , nadhani niingie kufanya tiba sasa”

“Unataka kwenda kufanyia humo ndani , hio ni ofisi ndani ya hospitali”

“Najua ni ofisi ndio , lakini si ndio sehemu salama zaidi ili tiba ifanye kazi vizuri”

“Mpaka wewe ni mnyama , umeweza kuoa lakini bado haujabadilika”

“Wewe ndio ambaye umechochea maamuzi yangu , kwasababu nimeamua kufanya lazima nifanye kwa usahihi mkubwa , sijawahi kuwa ‘husband material’ hata hivyo , ni bora kwenda kuchokozwa nyumbani na kununiwa kwa muda mfupi kuliko kuishi kwa hatia maisha yangu yote”

“Nilikuwa nawaza kama nitaamua kuwa uchi mbele yako , je unaweza pia kuruhusu unyama wako kwangu ,sijawahi kuwaza mambo yanaweza kuwa marahisi hivi”Aliongea na kumfanya Roma kushangazwa na kauli ya Clark.

Najma aliekuwa amekaa kwenye kiti cha sponji alisimama kwa hofu mara baada ya mgeni kuingia kwenye chumba hicho.

Roma alikaribishwa na picha ya mwanamke ambaye yupo katika mshango , lakini ambaye ni kama vile yupo katikati ya msitu na hajui njia ya kutokea, hivyo ndio ambavyo aliweza kumuona Najma aliekuwa mbele yake.

“Ah…!!!”Alianza kupiga kelele mara baada ya kumsogelea na kukimbilia nyuma ya kitanda cha kitabibu akijificha.

Roma aliweza kukumbuka maneno ya Clark , ukishaanza huwezi kuacha , hivyo ndio ambayvo aliweza kukumbuka na alijiambia kama ataondoka mara baada ya kumuogopesha hivyo kidogo , basi hali yake ingezidi kuwa mbaya hiyo alijiambia anapaswa kufanya vizuri.

Baada ya kufanya maamuzi na halmashauri yake ya kichwa aliona aweke kwanza ubinadamu pembeni na kisha akamsogelea Najma.

“Usinisogelee , Ondoka , ondoka”

Najma aliongea huku akianza kurudi kinyume nyume , lakini aliishia kudondoka chini huku akianza kurusha miguu kumuonyesha Roma asimsogelee lakini Roma hakutaka kuendelea kumpa nafasi ya kupiga kelele bali alimsogelea kwa haraka , akashika miguu yake na kuibana na mkono mmoja na kumzuia na mikono yake asirusherushe na akawa tayari hafurukuti , ilikuwa ni kama vilevile ambavyo Park Jonghyun alimuweka chini.

Najma alizidi kufurukuka kutoka kutoka kwenye mikono ya Roma , lakini alishindwa kabisa na aliishia kutoa machozi tu , huku akimwangalia kwa uwoga mkubwa.

“Najma , kweli umeshindwa kunijua mimi ni nani?”Aliuliza Roma ambaye amemkalia Najma kwa juu .

Najma hakuongea chochote licha ya Roma kuongea na aliishia kufumba macho yake akikwepa kumwangalia usoni.

“Mimi ni Roma , Roma rafiki wa kaka yako Juma, hukumbuki chochote, nilipanga pia katika nyumba yenu na tukaishi pamoja , bado tu hukumbuki chochote’

“Naomba uniachie na uondoke , sikujui mimi”Aliongea akitingisha kichwa kukataa na Roma alijikuta akilazimisha tabasamu ambalo limeambatana na huzuni.

“Naomba unisamehe , lakini siwezi kukuona ukiendelea kuwa hivi..”Baada ya kumaliza kauli yake alimwinamia Najma na kuzuia kichwa chake na mkono mmoja na kumlazimisha denda.

Najma aliekuwa chini kwenye sakafu aliishia kutoa macho kwa mshituko , huku machozi yakimtoka akionyesha kuwa katika hali ya hasira na mshituko kwa wakati mmoja.

Roma hakujali zaidi , alikuwa fundi huenda kama kufanya mapenzi kungekuwa luna kutunukiwa cheti , basi huenda yeye angeibuka kinara.

Uwezo wake wa kucheza midomo yake ulimfanya Najma kuanza kupatwa na shoti ambazo zilisafiri mwili mzima , huku tezi ya Adrenali ikiwa juu katika udhalishaji wa homoni.

“Mhmh…!!”

Mguno wa Najma uliweza kuzifikia ngoma za masikio yake na kumfanya sasa akili yake kuanza kuwehuka na hisia zake juu ya mrembo huyo zilizojificha kwa zaidi ya mwaka ziliibuka na kuuvaa mwili wake.

Shepu ya Najma sio kitu pekee tu ambacho kilikuwa kikivutia , lakini mguu wake wa bia pia ulikuwa ukikosha kwa kiasi kikubwa sana, ijapokuwa alikuwa akikosa ule ulegevu wa kujiachia na kuamsha mashetani ya mwanaume kama ilivyokuwa kwa Rufi na Amina lakini kuna vitu vingi alikuwa navyo ambavyo vilifidia kile ambacho alikosa.

Roma hakutaka kujua Najma alikuwa akifikiria kitu gani , lakini alichozingatia ni maelekezo ya daktari Clark , maelekezo ya kuamsha kila maumivu ambayo mwanamke huyo alisababishiwa mpaka kumpelekea uchizi.

Kwa kuzingatia maelekezo ya daktari bingwa palepale alianza kwa kuchana gauni la Najma kwa mikono yake na ulikuwa ni mlio tu wa ‘traaa’ uliosikika na palepale gauni likageuka tambara.

Hakuishia hapo tu , alitumia kila aina ya ukorofi katika kumalizia kila kizuizi kilichomsitiri mrembo huyo, huku akiendelea kufurahia harufu nzuri inayotoka kwake iliochanganyika na harufu ya hospitalini ya sanitaiza(sanitizer).

Ngozi laini kama pembe a ndovu iliofanyiwa maboresho kiwandani hatimae ilikuwa wazi mbele yake na kila anapogusa mtelezo wake ni kama mfanano wa kitambaa cha hariri.

Alitumia uwezo wake wote kumpagawisha mrembo huyo ambaye akili yake ilikuwa nusu utimamu nusu uchizi ili kuhakikisha anageuza nusu uchizi kuwa utimamu kamili.

Kadri alivyokuwa akiongeza utundu wake ndio ambavyo mrembo huyo alivozidi kuanza kupandwa na hisia na kuacha kuleta ukinzani.

Baada ya madakika kadhaa ya kuhakikisha hakuwa amekauka sana , Roma alishusha suruali yake chini.

“Nichukie vyovvyote utakavyo … nina stahili hata hivyo”Aliongea na palepale aling’ata meno yake na kuzamisha na aliweza kuhisi vitu vikiachiana ndani kwa ndani.

Najma alijikuta akikakamaa huku akito kilio kutokana na maumivu.

“Niache .,,Arghh,, naomba uniache”Mtoto wa watu alitoa ukulele, wakati majirani na ndugu zake huko Tanzania wakijua Najma yupo masomoni , wasichoelwa ni kwamba alikuwa akipatiwa tiba isiokuwa ya kawaida nchini Korea kusini.




Najma kutokana na maumivu aliokuwa akipata hakutaka kuishia kwenye kupiga kelele na katika hatua za kujitetea alimmmg’ata Roma kwenye bega, lakini licha ya shambulizi lake hilo Roma hakua tayari kuacha kufanikisha tiba.

Mtoto asiependa kumeza dawa anapaswa kulazimishwa kwa njia yoyote ile na ndio ambacho Roma alikuwa akifanya.

Roma baada ya kuona kama vile anamuumiza aliingiza nguvya upako ya urejesho ndani ya mwili wa mrembo huyo na kumponyesha na kitendo hicho kilipunguza maumivu ya mrembo huyo na sasa akaanza kutoa ushirikiano mkamilifu.

Roma sasa alishaanza kusahau kama alikuwa kwenye tiba zaidi ya kuhisi utamu ambao ulidumu kwa saa moja zima mpaka alipoweza kushusha mzigo wote moja kwa moja ndani ya mrembo huyo.

Upande waNajma tokea alivyoingiziwa nguvu ya urejesho ya upako ilimsaidia kupanda mlima kwa zaidi ya mara tatu mpaka Roma kumaliza..

Roma palepale alimsimamisha Najma juu kuona sasa kama tiba yake imefanya kazi.

“Paaa..h!!!”

Kilikuwa ni kibao kitakatifu kilichoweza kumfikia , sio kwamba hakuweza kukiona , bali aliamua kutokukwepa ili kimpate kisawa sawa maana aliamini alikuwa akistahili angalau kupigwa kibao kimoja kutokana na kuigeuza tiba kuwa starehe.

“Najma ..ume..“

“Wewe ni mnyama..”Aliongea Najma huku aking’ata meno yake kwa hasira.

Licha ya kwamba kauli yake ilimng’onyesha lakini alijikuta akijawa na ahueni kubwa, alijikuta palepale akilazimisha tabasamu .

“Hatimae umerejewa na kumbukumbu zako”Aliongea Roma na kumfanya Najma kumwangalia Roma aliegamia meza na machozi palepale yakaanza kumtoka.

“Roma ..!!”Aliita na palepale akaanza kuangua kilio ambacho hakikueleweka ni kwasababu ya kuingiliwa kimwili kupewa tiba au ni kwasababu hakutegemea kufanyiwa kitendo hicho na mwanaume ambaye amemsubiria kwa muda mrefu.

“Kwanzia leo mimi Najma nitashindwa kukuangalia wewe na mke wako , kwa kile ambacho umechukua kwenye mwili wangu”Baada ya kuongea kauli ile alichukua mkono wa Roma na kuuweka kwenye kifua chake upande wa eneo la moyo.

“Umeuchukua moyo wangu”Aliongea na kumfanya Roma kushangazwa na Najma kutokana na ujasiri wake.

Upande wa Najma aliishia kutabasamu huku machozi mepesi yakiendelea kutengeneza michirizi katika mashavu yake malaini.

“Ndio maana nakupenda sana”Aliongea.

*******

Kadri giza lilivyofunika anga , ndio mwanga wa taa ulivyozidi kuonekana ndani ya jumba la kifahari la tajiri Park hivyo kulifanya lipendeze zaidi.

Siku ya jana yake mara baada ya Park Juan kurudi nyumbani na kupewa taarifa ya yale yote yaliotokea na Eujung mfanyakazi , aliweza kumpa pongezi za ujasiri wake na kuamua kumpandisha cheo na mshahara juu licha ya kwamba kazi yake ya kumlinda Yezi haikuwa imebadilika.

Siku iliofuatia Park Juan alikuwa na kazi kubwa ya kubadilisha walinzi wake kwa kutoa wale waliokuwepo na kuweka wapya ambao walikuwa majasiri zaidi, mpaka giza linaingia alikuwa amefanya kazi kubwa sana.

Ijapokuwa mjukuu wake Park Jonghyun kupoteza maisha lakini hakuomboleza kwani aliamini kilichomtokea ni kile alichostahili hivyo hakuwa na haja ya kupoteza hisia zake kwa mtoto ambaye alimsaliti.

Mapema tu ilikuwa ni wakati wa chakula cha usiku na siku hio tofauti na siku nyingine Park Juan alikuwa ameketi kwenye meza ya chakula, hamu yake ya kula ilikuwa imeongezeka maradufu huenda ni kutokana na kupungukiwa na mawazo na ndio maana usiku huo aliona itafaa zaidi kujumuika na mjukuu wake Yezi na wengine mezani.

“Yezi kula hii miguu ya Kaa , vitoeo vya baharini sio tu kwamba faida yake ni kutokuwa na mafuta mengi lakini pia vina virutubisho yote muhimu yanayohitajika mwilini , angalia vimashavu vyako vidogo , unaonekana kutokuwa katika hali nzuri siku hizi mbili”Aliongea na kumfanya Yezi kuangalia mlima wa chakula uliotengenezwa na babu yake kwenye sahahi.

“Babu siwezi kula kila kitu hapa, wewe ndio kwanza umepona , unahitajika kula vizuri ili kurudisha nguvu"

“Hahah.. angalia mwili wa babu yako , sifa ziende kwa Mr Roma kwa mbinu yake iliotukuka ya kimatibabu , kwasasa sina ukosefu wa virutubisho vyovyote mwilini , Tanzania hakika ni kubwa na ina ustaaarabu wa aina yake”Aliongea kwa furaha kubwa na kisha kugeuza macho yake upande wa kulia akimwangalia Edna ambaye alikuwa amejumuika pia.

“Miss Edna , hakuna taarifa zozote kutoka kwa Mr Roma , je bado yupo hospitalini?”

“Ndio , lakini naamini atarudi muda si mrefu”Aliongea.

Licha ya kwamba wapishi walipika vyakula ambavo vingeweza kumtamanisha kwa kuzingatia kanuni za kimataifa za upishi, lakini bado alikosa hamu ya kula kabisa.

Ilikuwa ni masaa kadhaa yaliopita , Edna aliweza kupigiwa simu na Clark na kumuelezea juu ya matibabu ya Najma ambayo alitakiwa kufanyiwa , matibabu ambayo Roma alitakiwa kutoa msaada , baada ya kusikiliza maelezo yote alijikuta akishangazwa na jambo hilo.

Ingawa Roma hakuwa sio mwaminifu , lakini alikuwa muwazi wa matendo yake na hakuhitaji mtu mwingine kumsaidia kujielezea , lakini aliona inaleta maana kwa Clark kuanza yeye kumpigia simu na kumwelezea kile ambacho kimetokea.

Ijapokuwa Clark alimwelezea Roma anachokifanya ni kwa ajili ya kumsaidia Najma , lakini kwa upande wake ni kama alisikia akiambiwa ajiandae kumkaribisha Najma katika kundi la wanawake wa Roma.

Ukweli ni kwamba Edna alikuwa akijua kabisa Roma angeweza kufanya maamuzi yoyote kwa ajili ya Najma na asingeweza kuzuia wakati akiwa anatoka hapo hospitalini, lakini alishindwa kuzuia hisia zake zilizokuwa zikipingana katika moyo wake.

Kama Compulsive therapy ilikuwa ikifanya kazi , hakuwa na haja ya kumlaumu tena Najma katika hilo wala kumlaumu Roma katika hilo na alipaswa kuelewa, lakini aliumia kwani yote hayo yanafanyika kwa gharama ya mahusiano yake na mume wake.

Lakini licha ya hivyo hakuwa akimchukia Roma kabisa , ilikuwa ni kama jambo ambalo alizoea na hata hivyo sio kwamba jambo kama hilo ndio kwanza linatokea , walikuwa na migogoro ya kila siku ya Roma kuwa na wanawake wengine , lakini kadri alivyokuwa akizidi kumtegemea Roma alizidi kumuelewa mume wake alivyo na wapi anatokea mpaka kuja kuwa nae yeye.

Muda huo huo wakati wakiendelea kupata chakula , hatimae Roma aliweza kufika hapo nyumbani akiwa ametangulizana na Najma.

“Mr Roma umerudi … Oh ..Mwalimu Vivian umepona”Aliongea Park Juan akiwa ni mwenye hamaki , kwani hakutarajia kumuona Najma akiingia hapo ndani.

“Mwalimu Vivian , nilijua tu Uncle hakosi mbinu ya kukusaidia , Unanikumbuka sasa hivi?”Aliongea Yezi mara baada ya kutoka kwenye meza na kumkimbilia Najma kumlaki.

“Nakukumbuka ndio , Wewe ni Yezi ambaye unapenda sana utoro kwenye masomo”Aliongea huku akishika nywele zake kuzichezea na kumfanya Yezi kutabasamu huku akitingisha kichwa kuonyesha kuridhika sasa na hata ule wasiwasi wake kuisha mara moja.

“Honey , hujanimiss”Aliongea Roma mara baada ya kusalimiana na Park Juan

Edna alikuwa akimwangalia Roma kwa macho kama vile anamwambia ‘anza kujindaa kuomba huruma yangu’ lakini alikuwa akijitahidi kujizuia ili asionyeshe tabia yake mbele ya wafanyakazi na babu yake Yezi.

“Si tumeaonana masaa machache yaliopita?”

“Ni kweli lakini nimekumiss sana mke wagu , ni mara yangu ya kwanza kuachana na wewe muda mrefu sana , kila saa nilikuwa nikiuwazia uzuri wa mke wangu na kujikuta hata kichaa kikianza kunipanda , Honey nimeweza kumponyesha Najma kwanini usinipongeze kwa hilo, Clark alitumia akili yake lakini mwisho wa siku tiba yote ikaniangukia mimi”Aliongea Roma kwa lugha ya kiswahili.

“Acha kujifanyisha mbele yangu , Clark ashaniambia kila kitu kuhusu tiba yenu sijui ‘Compulsive therapy’ na mambo mengine “Aliongea na kumfanya Roma kupigwa na mshangao kwani hakudhania kama Edna alikuwa akijua.

“Clark amekuambia kila kitu?”

“Neno kwa neno na maelezo yalikuwa yakutosha”Aliongea huku sauti yake ikiwa katika hali ya ukauzu na kumsababisha Roma ubaridi lakini palepale katika hali ambayo haikuwa ya kutegemewa na kila mmoja Roma alipiga magoti chini.

“Wewe.. unafanya nini?”Aliongea Edna kwa kupaniki. Kilikuwa kitendo cha aibu kutokea mbele ya kila mmoja

“Mke wangu najua nimekosea na sasa umekasirika , lakini sikuweza kupata kisingizio chochote cha kuepuka kile ambacho nimefanya , siwezi kusema pia nimelazimishwa kufanya mapenzi na Najma, lakini iwe ni kwa matamanio yangu binafsi au kwa ajili ya ugonjwa wake bado nafikiria nimefanya maamuzi sahihi na sijutii, siwezi kubisha najua inakuumiza , unaweza kuniona kama mwanaume ambaye sina aibu lakini sijali kuwa hivi mbele yako , hata hivyo mke wangu kama utaamua kunikasirikia milele nitakubali kwa moyo wangu wote , lakini mpenzi wangu Edna naomba usije ukanipotezea , kama hutoongea na mimi na kunichunia itakuwa ni zaidi ya kuchomwa kisu kwenye moyo …”

“Wewe Roma acha ujinga, huna chembe yoyote ya kujithamini , amka haraka”Matendo ya Roma yalimfanya kukosa uvumilivu kwani kila mmoja alikuwa akiona.

“Ni kama ambavyo umezoea kukasirishwa na matendo yangu , hivyo hivyo ni sawa kwangu kukosa aibu mbele yako , hata kama utanipiga mateke mara kadhaa bado nahisi nastahili kabisa…, Edna mke wangu niambie namna yoyote ambayo naweza kukupoza , ninaweza kwenda kukununulia keki unazopenda kula , ninaweza kukupa chochote ili mrad ufurahi”Aliongea Roma akipasha viganja na kumfanya hata PArk Juan na wengine ambao hawakuwa wakielewa lugha ya kiswahili kujua tu lazima bwana huyo amefanya kosa kubwa.

Lakini hata hivyo watu wote walishindwa kujizuia kucheka kutokana na namna Roma alivyokuwa akimuogopa mke wake.

“Mwalimu , mpenzi wako ndio huyo amempigia magoti Sister Edna , huna chochote cha kuongea?”Aliuliza Yezi lakini Najma alishindwa kujjibu kutokana hata yeye alikuwa kwenye mshituko kwani hakutegemea kama Roma anaweza kumpigia magoti Edna.

Mwanaume hapaswi kupiga magoti kirahisi mbele ya mwanamke na kwasababu hio hisia zake nzuri kwenda kwa Roma zilisambaratika , lakini licha ya hivyo aliona Roma ni binadamu pia.

Najma aliona kabisa nafasi yake katika moyo wa Roma kwa kujilinganisha na Edna ni mbingu na ardhi , kwani ni uwekezaji mkubwa wa kihisia ambao unaweza kuondoa uthamani wa mwanaume mpaka kujishusha na kupiga magoti mbele ya mwanamke.

“Edna najua unaweza kunichukia kwa kilichotokea lakini naahidi nitakuwa mtiifu kwako katika maisha yangu yote ….”Aliongea Najma mara baada ya kuona mpaka hapo hana namna , ijapokuwa nafasi ya Edna kwenye moyo wa Roma ni kubwa lakini asingeweza kumuacha kwanni alikuwa akimpenda sana huenza zaidi ya Edna anavyompenda mume wake.















SEHEMU YA 530.

Edna mara baada ya kusikia maneno ya Najma moyo wake ulisuuzika , hata hivyo Najma ndio ambaye alikuwa wa kwanza kukutana na Roma , ndio aliokuwa wa kwanza kumpenda na huenda kama sio yeye kumfosi Roma kumuoa kipindi kile huenda wangekuwa wanandoa.

Lakini licha ya hivyo Edna mpaka wakati huo alishakuwa na cheo cha kuwa mke wa Roma , cheo ambacho kinamuweka kuwa juu ya kila mchepuko wake.

Edna baada ya kukosa uvumilivu wa kumuona mume wake akiendelea kukaa chini, alisimama na kumwambia asimame na kisha akampa ishara Najma kumfuata kwenda juu.

Roma mara baada ya Edna kuondoka hapo ndani , alikaa kwenye kiti cha Edna bila wasiwasi na kisha alichukua uma na kisu na kukata pande la steki ya nyama na kupeleka lote mdomoni na kumfanya atingishe kichwa akisikilizia utamu , bila hata ya kuonyesha hali yoyote ya wasiwasi au aibu kwa kile ambacho alikifanya.

Park Juan na wengine wote walimwangalia kwa mshangao na wote kwa pamoja waliweza kuwa na mawazo sawa kwa kumuona Roma ni mtu ambaye amekosa aibu.

“Mbona wote mmeacha kula na mnaniangalia , endeleeni kula naamini mke wangu atapoa mara baada ya kutulia kidogo , nitatumia vijiko vyake kwa sasa hata msiwe na wasiwasi kunipatia vingine”

Park Juan alijitahidi kuzuia kicheko na kufanya lipsi za midomo yake kucheza kidogo.

“Mr Roma hakika wewe ni mwingi wa Surprise”Aliongea huku akitabasamu.

“Nitafanyaje sasa , mke anapaswa kufurahishwa na hakuna mantiki ya kushindana na mwanamke , vyovyote vile mnavyoita mambo ya sijui thamani ya mwanaume kwangu haina maana kwani ipo kwa ajili ya wengine kuona , lakini kwa mtu kama mimi ambaye licha ya kwamba nina wanawake wa kutosha lakini bado tamaa haziishi napaswa kuwa na jitihada zaidi ya kumbembeleza mke wangu , huu ndio mpango wa muda mfupi na muda mrefu kwa wakati mmoja na ndio ukweli na uzoefu mchungu ambao nimeweza kupitia katika maisha yangu , vipi kuna mwingine kati yenu ambaye anaweza kuchangia uzoefu wake na wanawakehapa ndani?”Aliongea Roma na kugeukia baadhi ya wafanyakazi wa kiume waliokuwa hapo ndani.

“Bro kadri siku zinavyozidi kusogea ndio unavyozidi kukosa aibu , huna wasiwasi na Mwalimu Vivian anaongea nini na Sister Edna?, anaweza akamfokea na kumfanya alie”

“Haiwezekani, najua Edna amekasirika lakini siku zote hasisra zake atanitolea mimi na si vinginevyo na kwa ajili hio nitapokea adhabu yoyote mke wangu atakayo nipatia”Aliongea kwa Kikorea .

“Mr Roma nadhani unakosea , mwanaume mwenye uwezo kuwa na wanawake wengi sio mzigo , katika nyakati za nyuma ndoa hazikutokea kirahisi , lakini bila kusahau kipindi hiko watu walioa wanawake wengi kwa wakati mmoja , mwanaume ambaye hana uwezo hawezi kumjali hata mke wake mmoja , lakini kwa mwanaume mwenye uwezo anaweza kuishi maisha mazuri tu hata kama atakuwa na wanawake wengi na isitoshe mwelekeo wa dunia wanaume wa aina yako mnazidi kuhesabika , hivyo Mr Roma usiwaze sana kuhusu hilo”

“Kwa maneno yako Mzee nadhani hata wewe ulikuwa na makando kando yako yako ya kutosha wakati wa ujana”Aliongea na kumfanya Park Juan kukohoa akijaribu kupotezea swala hilo na kumwangalia Yezi.

“Mimi ni mzee wa kawaida tu , tafadhari Mr Roma endelea kufurahia chakula”

“Babu inaonekana kabisa hupingani na tabia ya Uncle Roma”Aliongea na kumfanya Park Juan kutotegemea Yezi kuongea hivyo.

“Ni kawaida kwa mwanaume mwenye uwezo na nguvu kama Mr Roma kuepuka kupendwa na wanawake wengi”

Licha ya kwamba Park Juan hakujua uwezo halisi wa Roma lakini kitendo cha kumpatia Vidonge vyenye uwezo wa kurefusha maisha alijua kabisa sio tu kwamba asili yake ni Tanzania ambayo imemfanya kuwa na hadhina hio ya thamani , alijua kuna zaidi ya taarifa zinazomuhusu Mr Roma lakini hakutaka kufatilia zaidi.

“Babu kweli?”

“Yezi kwanini swali la ghafla hivyo?”Aliuliza park Juan kwani alimuonaYezi ni kama vile alikuwa akitafuta kuungwa mkono.

“Hakuna kitu babu , nilitaka tu kujua msimamo wako”Aliongea lakini wasiwasi ulimwingia na kumfanya amwangalie Yezi na Roma kwa wakati mmoja.

Kukosha mshipa wa aibu kwa bwana Roma ilikuwa ni tofauti na mwonekano wake kabisa.

Baada ya Roma kumaliza na kuona Edna harudi chini na Najma aliamua kupandisha juu kuona nini kinaendelea na baada ya kufika na kuona hakuna dalili yoyote ya machozi wala huzuni kwa upande wa Najma alijikuta akipata ahueni.

“Acha kuwa na mshangao , sina tabia ya kufanya vitu vinavyowakasirisha wengine”Aliongea Edna baada ya kuona wasiwasi wa Roma.

“Najua mke wangu umejaaliwa rehema na upendo usiopimika”Aliongea Edna na kumfanya Edna kutoa pumzi ya pumziko.

“Nimeongea na Najma hapa na amenniambia amemisi sana nyumbani , hivyo maamuzi yake ni kuacha kusomea Masters na kurudi nyumbani , lakini sipo kwenye nafasi nzuri ya kumsaidia kupata kazi akirudi nchini , lakini nadhanni mama hawezi kukosa namna kwani ana koneksheni nyingi kuliko mimi, huenda anaweza hata kumuingiza katika wizara ya elimu au kumtafutia kazi inayoendana na taaluma yake.

“Hapana Edna , naweza tu hata kufundisha Sekondari A level”

“Usiwe na wasiwasi Najma unafikiri huko shuleni ukikitana na wanafunzi watukutu na jinsi ulivyo, huyu mwanaume hapa atapata utulivu”

“Mke wangu umewaza vyema , mama anaweza kusaidia lakini hata babu pia anaweza kukamilisha hilo , si mtoto wake ni raisi wa nchi bwana”Aliongea

“Unasema hivyo kama vile sio baba yako mzazi”Aliongea.

Hawakutaka Najma kufanya kazi ambayo inaweza kumfanya kuchoka sana , lakini pia kuwa katika mazingira hatarishi, hivyo kutokana na ukubwa wa familia ya Roma nchini Tanzania , ilikuwa rahisi kuweza kumtafutia nafasi yoyote ndani ya serikali katika Wizara ya Elimu,

Edna pia hakutaka Najma kufundisha shule za kawaida , kwanza alikuwa na mwonekano mdogo , hivyo asingekosa watu wa kumsumbua na hivyo kuongea hatari ya watu kama Park Jonghyun kujitokeza na kuongeza idadi ya watu wakatouliwa na mume wake.

“Sister Edna asante sana”

“Usijali Najma ukisharudi Tanzania kumbuka bado sisi ni marafiki hivyo nitataka uendelee kunifundisha namna ya kupika , maana mama mkwe kila siku ananinga sijui kupika vizuri”Aliongea Edna na Najma alitingisha kichwa kukubali.

Akiangalia kwa pembeni Yezi alionekana kuwa katika hali ya huzuni , kwani kila ambacho amesikia kilimfanya kukumbuka Taifa la Tanzania ambalo amekulia.

“Sister Edna nitafanya nini kama ndio hivyo mnamuondoa mwalimu Vivian?”

“Unaweza kutafuta mwalimu mwingine na kama hutaki basi endelea na masomo katika chuo chuo cha Ehwa”Aliongea Edna huku akitania.

Baada ya muda mfupi , Najma na Edna walishuka chini na kukutana na Park Juan.

“Asante sana Sir kwa ukarimu mzuri ulionionyeshea kwa kipindi chote, nimeamua kurudi nyumbani , ndugu zangu wapo kule na ninahitaji kuwa nao karibu , naomba uniwie radhi kwa kutokamilisha masomo ya Yezi”

“Hakuna shida kabisa , unaweza kuondoa wasiwasi wako na nitawasiliana na Profesa Jung kumuelezea maamuzi yako , nadhamni ataelewa, nikukumbushe kwamba unakaribishwa hapa muda wowote utakaojisikia kumtembelea Yezi”Aliongea Park Juan na mpaka hapo maamuzi yalifanyika.

Siku iliofuata hatimae Najma alisindikizwa na Roma mpaka uwanja wa ndege wa incheon na kupaa kurudi Tanzania.

Roma mara baada ya Najma kuondoka alimpigia simu mama yake kwa ajili ya kuanza mchakato wa kumsaidia Najma kuweza kupata nafasi nzuri katika maswala ya elimu lakini pia mahali pa kuishi kwanni aliona Najma asingeenda kuishi na kaka yake ambaye aliamini muda huo atakuwa ameoa .

******

Upande wa Tanzania wakati ikiwa ni asubuhi nchini Korea kusini katika jiji la Seoul upande wa Tanzania katika bara la Afrika ni saa kumi kwenda kumi na moja za jioni.

Wakati Roma anapiga simu Tanzania , nyumbani kwa Roma kulikuwa ni kama vile kuna sherehe kutokana na uwepo wa watu wengi.

Blandina mara baada ya mwanae kwenda Korea na Edna alichukua nafasi hio kuhakikisha warembo waliobaki hawakai kinyonge, hivyo kwasababu ilikuwa ni wikiend aliwaalika wote nyumbani na kuanza kucheza nao karata na kuwapeti peti kama mama mkwe ili wajione wanathaminiwa.

Hivyo muda ambao Roma anapiga simu eneo la sebuleni alikuwepo Amina, Dorisi na Rufi huku Nasra , Rose na Neema na Mage wakikosekana.

Blandina mara baada ya kumaliza kuongea na Roma alitabasamu na kisha akaweka simu chini maana ilikuwa zamu yake ya kushusha karata.

“Blandina Mr Roma alikuwa anasemaje, nimeona ulikuwa ukiongea nae?”Aliuliza Bi wema ambaye alikosa uvumilivu.

“Kaniambia kuna mke mwana mwingine anakuja kutoka Korea anafahamika kwa jina la Najma , nimsaidie namna ya kuanza maisha lakini pia kupata ajira wizara ya elimu”Aliongea .

‘Oh! .. namjua alikuw ani rafiki yake Edna , si alikuwa Marekani lakini Korea anafanya nini?”Aliuliza Bi Wema na Blandina alikosa jibu kwani hakuwa akielewa chochote.

“Kumbe alikuwa rafiki yake na Edna sikujua hilo , lakini nimeshanga maana Roma mwenyewe kasema na Edna anajua hilo hivyo nisiwe na wasiwasi wa kumsaidia”Aliongea na kumfanya Bi Wema kuguna na wanawake wengine walisikia lakini hakuna ambaye alichangia neno.

“Kwahio utamsaidiaje?”

“Wema ushasahau nilichokuelezea juzi , itakuwa rahisi kumuingiza katika mfumo wa serikali , kwasasa ninachoweza kumsaidia akifika ni mahali pa kuishi kwani ni ombi ambalo nimeambiwa nilifanyia kazi pia”Aliongea na kumfanya Bi Wema kutabasamu.

Alikuwa ashaelewa Blandina alichokuwa akimaanisha , katika kipindi hiko mahusiano ya Blandina na Raisi Senga yalikuwa yameimarika kwa kiasi kikubwa tokea mara ya mwisho kukutana katika hoteli ndani ya bagamoyo,

Kitendo cha Senga kuwa na picha yake kwa muda mrefu, Blandina alijua nafasi yake katika moyo wa Senga bado haikuwa imeziba na siku ile wakati alipokuwa akitaka kuondoka mara baada ya kuongea na Senga katika ile hoteli na Raisi Senga kumwambia asubiri basi alikabidhiwa picha ya zamani sana , picha ambazo yeye hakuwa hata na moja ya kumbukumbu kulingana na kile kilichotokea.

Hivyo Blandina na Senga licha ya kwamba hawakupiga hatua kubwa lakini Senga alifanya maamuzi ya kumsamehe Blandina na alimwambie amsaidie ili kumfanya aanze kumuona Roma ndio Denisi mtoto wake.

Sasa Roma mara baada ya kuwasilisha ombi kwa mama yake kumsaidia Najma kupata nafasi katika wizara basi moja kwa moja aliamini angemwambia Senga akamilishe hilo ili kumfanya kuwa karibu zaidi na Roma, lakini hata hivyo alikuwa na njia nyingine pia ya kumfanya Najma kupata nafasi.

“Dorisi hivi Nasra na Rose wako wapi?, naelewa Mage ana kazi kubwa ya kukamaa wahalifu , lakini wao si leo ni wikiend?”Aliuliza Blandina.

“Nasra kasafiri kwenda Paris Ufaransa kikazi, kuhusu Rose yeye amejikita zaidi katika kuvuna nishati ya mbingu na ardhi na amesema leo anatafuta kilele chochote cha mlima , kwani ameanza kupata ufunuo wa levo ya Nafsi”Alijibu Dorisi.

“Wow! Inaonekana sister Rose kweli amepiga hatua”Aliongea Rufi baada ya kutafsiriwa.

“Ndio , Roma amesema uwezo wa Rose wa kujifunza ni wa kasi mno na hata Mage na Magdalena hawamkuti kwa spidi yake”Alijibu.

“Mama wewe kwanini haufanyi mafunzo na sisi , kama tutazidi kubakia vijana na wewe kuzeeka halitokuwa jambo zuri, na isioshe umejaaliwa uzuri mama yangu”Aliongea Amina na kumfanya Blandina kutabasamu.

“Yaani wewe mtoto kila unapoongea unanifanya nifurahi , unapaswa kubadili jina lako kiutoka kuitwa Amina na kuitwa Happy, ni kweli Roma ashawahi kuongea kuhusu hilo lakini alisema kwasababu umri wetu umeenda tunaweza tusihimili hivyo kasema atatupatia vidonge ili angalau kurefusha maisha yetu huku tukichukua mazoezi madogo madogo”Aliongea na kuwafanya kuelewa.

Walicheza karata mpaka muda wa usiku na hata chakula walikula hapo hapo.

Saa tatu za usiku ndio muda ambao Qiang Xi alitoka juu kushuka chini baada ya kwenda kumlaza Lanlan.

“Qiang Xi Lanlan amepata usingizi?”

“Ndio , lakini amegoma kulala katika kitanda changu na kutaka kulala kwa mama yake”

“Nashindwa kumuelewa Lanlan , kila ninavyomwangalia naona kabisa kama kazaliwa na Edna , kama hatujui historia ya maisha ya Edna tungesema woteni mtoto wake na alimficha mahali”Aliongea na kisha akawageukia wakwe zake.

“Na nyie mjitahidi , Roma anaweza kutokuwa wa kawaida, hivyo nafasi ya kuwapa mimba kuwa ndogo , lakini uwezekano huo upo , hivyo tofauti na kuota ndoto jitahidini kuongeza utundu na ubunifu ohoo,nahitaji wajukuu mie”Aliongea na kuwafanya warembo hao kuangaliana na kuona aibu.



















SEHEMU YA 531.

Nchini Korea siku hazikuganda kabisa , wiki moja ilikatika na Roma na Edna walifuahia mno kuwa pamoja na Edna alikuwa hata amesahau kabisa kile ambacho kimetokea kati ya mume wake na Najma .

Hata hivyo Roma alifanya kazi kubwa ya kumfurahisha mke wake na kumfanya aweze kurudi katika hali yake ya kawaida , na Edna jinsi ambavyo Roma alikuwa akimjali alijihisi kuwa malkia na kusahau shida zote.

Ilikuwa mara ya kwanza kwa Edna kuwa katika mapumziko ya muda mrefu kama hayo tokea apokee kampuni kutoka kwa mama yake, ile kauli ya Nasra kumwambia kwamba hakuwa akijua maana ya maisha ni nini hatimae alielewa alichokuwa akimaanisha.

Baada ya siku kumi na moja kupita tokea kuondoka kwa Najma nchini Korea , hatimae ilikuwa siku ya jumamosi , ambayo Park Juan alipanga upya kuwa siku ya kurudi kazini kutokana na afya yake kutengemaa lakini pia aliandaa hafla ya kumtangaza Yezi kuwa CEO wa kampuni ya Starmoon.

Ilikuwa ni maamuzi yasiokuwa ya kawaida kwa mtoto mdogo ambaye ndio kwanza anatimiza miaka ishirini kupewa nafasi kubwa katika kampuni , lakini Park Juan licha ya kusemwa sana hakujali , yeye alitaka kutimiza haja yake , kwanza kampuni ilikuwa ya kwake na hakutaka watu wa kumpangia maamuzi yake.

Na isitoshe aliona ni busara kufanya mambo mapema ili kufanya watu waache mawazo ya kufikiria nani ni mrithi ili kuimarisha utendaji katika kampuni , Yezi alikuwa mdogo sawa , lakini kwasababu alikuwa na afya ya kuweza kudumu hata miaka kumi mbeleni , aliona atamsaidia kumuelekeza majukumu taratibu ili mpaka atakapostaafu moja kwa moja basi Yezi awe ameiva.

Hafla ya kufanyika kwa tukio hilo ilipangwa kufanyika kwanzia saa kumi na mbili kamili za jioni katika hoteli maarufu ya Shilla iliokuwa katikati ya jiji ambayo ni sehemu ya mali za kampuni ya Starmoon.

Moja ya wageni rasmi walioalikwa katika hserehe hio ni Edna na Roma , huenda Edna na Roma wangesharudi lakini Park Juan aliwaambia wabaki baki kidogo na wachukulie Korea wapo likizo na Roma hakutaka kupinga , alijua hio ndio nafasi pekee ya kuwa na ukaribu zaidi na mke wake , hivyo hakutaka kuharakisha kurudi Tanzania.

Edna alikuwa amemkumbuka mtoto wake Lanlan lakini hakuwa na haraka ya kurudi kwani alikuwa bado yupo likizo ya mwezi wa sita, hivyo alijitahidi kuongea nae kila siku usiku kwa njia ya Vidio call na Lanan hakuwa na shida alipokuwa akihidiwa na mama yake kuletewa zawadi alifurahi na Edna alimbembeleza mpaka anapopotelea usingizini.

Waandishi wa habari waliokusanyika nje ya hoteli ya Shila ni wengi mno kiasi cha kumshangaza Edna na Roma , wote walikuwa hapo kusubiria tu kumhojji Park Juan juu ya maamuzi yake ya kumkabidhi Yezi uongozi wa kampuni hio kubwa ambayo ilikuwa chanzo cha uchumi wa Korea kutokana na kuajiri watu wengi.

Saa moja kamili baada ya Park Juan kutokezea katika hoteli hio alizongwa zongwa na waandishi wa habari huku akiulizwa maswali mengi juu ya maamuzi yake na Park Juan hakumung’unya maneno alitoa taarifa ya waziwazi kwamba Yezi ndio mrithi wake na kwanzia siku hio na kuendelea atakuwa ndio raisi wa makampuni ya Starmoon huku yeye akibakia kama mwenyekiti wa bodi, licha ya kusema hiyo aliwatoa wasiwasi wananchi na wadau wote kwamba hakuna kitu chochote kibaya ambacho kinaweza kuikumba kampuni kwani atakuwa na anampatia msaada wa karibu Yezi katika kuongoza.

Waandishi mara baada ya kutaka kujua kuhusu kifo cha Park Jonghyun hakutaka kuongea lolote na aliweza kuingia ndani ya ukumbi na kuendela na sherehe.

Yezi nae siku hio alikuwa akiangaliwa kama malkia, kurithi kampuni na mali za Park Juan moja kwa moja inamfanya kuwa msichana mdogo ambaye ni tajiri zaidi ndani ya bara la Asia , huenda dunia nzima kwa ujumla.

Sherehe iliendelea na baadhi ya matajiri wengi walitaka kujua siri ya afya yake kuimarika kwa muda mfupi na kuonekana kama kijana ni ipi, lakini Park Juan hakutoa siri hio zaidi ya kumwangaliaRoma kwa macho ya shukrani.

Kukutana na Roma aliamini ni baraka ambazo amefika nazo mjukiuu wake Yezi na ndio maana alizidi kumpenda zaidi na zaidi na kuwa tayari kumpatia kila kitu.

Sherehe iliendelea na Edna alifurahi kwani tofauti na siku ya mwanzo wakati anahudhuria sherehe , hakuonana na watu wengi , lakini awamu hio aliweza kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao alitengeneza koneksheni nao za kibiashara zaidi na zaidi.

Na wazo la Edna kujipanua kibiashara katika ukanda wa bara hilo ulikuwa mkubwa zaidi kutokana na koneksheni nyingi ambazo ameweza kutengeneza.

Upande wa Roma alikuwa mtulivu tu , mara nyingi kinachompeleka kwenye sherehe ni kuangalia tu aina ya misosi , hivyo hakujali maswali ya Koneksheni , isitoshe ndani ya taifa hilo ni wachache sana ambao walimfahamu kama mfalme Pluto.

Jambo moja ambalo liliwashitua kila mmoja katika sherehe hio ni mara baada ya Park juan kutangaza kwamba anakwenda kumuozesha mjukuu wake Yezi kwani ashapata mchumba anaefaa kumuoa ili kumsaidia katika usimamizi wa kampuni..

Wakati wengine wakiwa katika mshangao uliojaa shangwe ndani yake , upande wa Edna alishangazwa na maamuzi hayo.

“Babu kwanini..”Alitaka kuongea lakini Park Juan alimzuia.

“Tutaongea tukifika nyumbani”Aliongea kwani alijua Yezi yupo kwenye mshituko kutokana na kwamba hakumuelezea mapema kuhusu hilo.

“Honey , Yezi kuolewa , je ni ndoa ya mkataba na familia ya Gong?”Aliuliza Edna ambaye na yeye alishangazwa na taarifa hio.

“Nadhani sio familia ya Gong , Lakini sikudhania ataweza kutangaza ghafla hivi”Alijibu Roma.

Upande wa chini katikati alikuwepo Gong Gyechung ambaye ameambaana na mtoto wake wa kiume Gong Woo na mara baada ya kusikia taarifa hio sura zao zilijikunja huku wakionyesha hali ya kutoridhishwa na taarifa hio.

“Kama wengi wenu mnavyojua , Wakili Kim kutoka katika familia ya Kim amekuwa mshauri mkuu wa kampuni ya Starmoon katika maswala ya kisheria , Wakili Kim anae mtoto wake wa kiume afahamikae kwa jina la Kim Jip ambaye ni mlinzi wangu binafsi , jambo la kufurahisha Kim jip na Yezi wanakaribiana ki umri licha ya Kim Jip kuwa mkubwa kidogo , hivyo kutokana urafiki wetu wa muda mrefu, Wakili Kim nimefanya maamuzi ya kuunganisha familia zetu kupitia ndoa na mtoto wako Kim Jip”Aliongea na kufanya watu wote kuanza kuongea wao kwa wao kwani ni swala ambalo lilikuwa nje ya mategemeo.

Mara nyingi ndoa za matajiri hufanyika baina ya matajiri , lakini Familia ya Kim ilikuwa ya kawaida ambayo ilijikita zaidi katika maswala ya sheria, hivyo kitendo cha Kim Jip ambaye ni mwanajeshi mstaafu wa kitengo cha ukomandoo kuoana na Yezi licha ya kuwa jambo la kushangaza , lakini ni maamuzi ya busara zaidi.

Kwanza familia hio ni moja ya familia ambazo kazi yake kubwa ilikuwa ni kuisaidia nchi na hawakuwa na makando kando kama familia zingine na hata Wakili Kim hakuwahi hata siku moja kuwaza kufilisi mali za familia ya Park na jambo kubwa zaidi hawakuwa na ile hali ya kufungamana na wanasiasa kabisa na sio kufungamana nazo tu hawakujihusisha.

Yezi alijikuta akiwa mwekundu kama yai la kisasa kwani hakutegemea hilo , Yezi hakuwa na ugomvi kabisa na Kim Jip , lakini tokea afike hajawahi kuongea kabisa hata na Kim Jip mwenyewe sasa alijiuliza kwanini babu yake kumtafutia mwanaume kauzu kamaKim Jip , ijapokuwa alikuwa akielewa ni tamaduni kuolewa kwa kutafutiwa mchumba na kuolewa kimkataba kwa ajili ya familia , lakini hakuwahi kumuwaza Kim Jip kabisa.

“Lakini kwanini iwe hivi , naona sio jambo zuri”Aliongea Edna.

“Ni tamaduni ndani ya Korea hususani katika familia za kitajiri , malengo ya kifamilia mara nyingi ni kipaumbele kuliko hisia za mtu binafsi , Ki Jip ni chaguo zuri sana kwa Yezi kuliko yule bwana pale Gong Woo”aliongea Roma.

“Ni rahisi kusema hivyo , nadhani una hasira kwenye moyo wako”

“Unamaanisha nini , kwanini ndoa ya Yezi inifanye niwe mwenye hasira?”

“Acha kujifanyisha , nakujua vizuri tu, unaonekana kama vile umemeza mende aliekufa”

“Mke wangu , huwezi kuniona muda wote kama mtu mchafu hata wakati kama huu , sikatati naweza kuwa mchafu wa tabia , lakini Yezi kwangu ni kama mdogo wangu”

“Mimi hata sijamaanisha unachofikiria , lakini kwa maneno yako nadhani maneno yangu yanaleta maana”

“Inaonekana nilikuwa nategwa sasa..”Aliongea Roma huku akitingisha mabga.

“Kama utashindwa kumvumilia hata Yezi .. nita . nita..”Aliongea na kushindwa kumalizia sentensi yake , huku akishindwa kujua alitaka kuongea nini , huenda alitaka kumwambia nitaachana na wewe.

“Okey , mke wangu usijali kuhusu hili , mimi na Yezi haiwezekani kabisa , ni kwasababu tu nimetokea kumjali ndio maana unaona labda kuna uwezekano”

“Wasiwasi wangu sio kwako , bali ni matendo ya Yezi mwenyewe”Aliongea na Roma alishindwa kuongezea neno.

Baada ya sherehe kuisha , hatimae kila mmoja aliweza kurudi nyumbani na upande wa Roma na familia yote iliweza kurudi katika makazi ya Park Juan.

Yezi katika gari alikuwa akijitahidi kumbembeleza babu yake asimfanye kuolewa na Kim Jip , lakini Park Juan aliweka msimamo na hakutaka maongezi mengine.

“Braza Roma tafadhari naomba uongee na babu, wewe anakusikiliza zaidi”

“Siwezi kuingilia maswala ya kifamilia na isitoshe Kim Jip hana tatizo namuona ni mwanaume anaekufaa”Aliongea Roma na kumwangalia Kim Jip mabaye hakuongea chochote na mwonekano wake haukubadilika hata kidogo licha ya taarifa hio kubwa.

“Hey Kim jip ongea chochote basi , je unafikiri sisi tunaweza kuwa mke na mume ilihali hatujawahi hata kuongeleshana, acha basi kujifanyisha kama hujasikia chochote”Aliongea Yezi na wakati huo walikuwa eneo la sebuleni na Park Juan alikuwepo.

“Yezi unawezaje kuongea na Kim Jip hivyo wakati ni mumeo mtarajiwa?”Aliongea babu yake kwa kufoka na kumfanya Yezi amwangalie babu yake na kisha akapiga piga miguu chini.

“Babu unanichokoza mwenyewe , sikuongeleshi tena kwanzia leo”Aliongea na kisha alikimbilia juu na kumfanya Kim Jip kuinua uso wake na kumwangalia.

Miss Edna , Mr Roma msimjali sana , najua ni swala jipya kwake ndio maana anashindwa kukubali , lakini ni jambo zuri ambalo nimefanya na nimefikiria mara mbili mbili”

“CEO Park , Yezi bado mdogo kwanini usimpe muda , huenda baadae anaweza kuwa tayari”

“Kwa tamaduni zetu ni jambo la maana kufanya hivyo kwasasa , ukishapata mrithi tayari anaefahamika unaepusha migogoro mingi”

“Lakini Yezi anaonyesha kutokumpenda Kim Jip si itawafanya wote wawili kutokuwa na furaha katika maisha yao?”Aliongea na kumfanya Park Juan kugeuza macho yake na kumwangalia Kim Jip.

“Kim jip , unampenda Yezi?”Aliuliza.

“Kwa oda yako Sir , nipo tayari kwa lolote”aliongea. Na kumfanya Park Juan kucheka , kwani ni kama alivyotarajia jibu lake.

“Wewe mtoto , baba yako anaweza kuwa na mitazamo ya kizamani lakini wewe ni tofauti kabisa na yeye”Aliongea na kisha akamgeukia Roma.

“Mr Roma unakumbuka yule mtu ambaye alijifanyisha kuwa Kim Jip kutoka umoja wa North Buyeo?”

“Ndio nakumbuka “

“Ukweli ni kwamba kitendo kile hakikufanyika kumsingizia tu Kim Jip , lakini walikuwa na malengo zaidi , Baba yake Kim jip ni mwanasheria wangu na mwanasheria wa kampuni hivyo ana taarifa nyingi zinazohusiana na biashara zangu nje ndani , hivyo kama taarifa hizo zingewafikia basi wangeweza kutufanya lolote kwani ni za siri kwetu na hatutotaka ziwe hadharani , hivyo kwanza walitaka kumfanya Kim Jip kuwa na hatia ya kuniua mimi na baada ya hapo wangetumia hatia yake kumfanya baba yake kutoa hizo taarifa”Aliongea

“Wakili Kim ana mtoto wa kiume wa pekee na nampenda sana kutoana na ukomavu wake wa kifikra , hivyo Mr Roma nakushukuru sana kwani kama sio wewe huenda Kim Jip angekuwa kwenye matatizo muda huu , hivyo kwangu kumpa Yezi kama mke sioni tatizo”Aliongea na kisha alimuonyeshea ishara ya shukrani kwa kuinama na Kim Jip alifanya hivyo hivyo.

Baada ya muda mfupi ikiwa imekaribia kama saa nne za usiku hivi, wakati Roma na Edna wakiwa eneo la sebuleni wakipiga soga Park Juan alitoka juu kwenye chumba chake na kuja mpaka eneo hilo akiwa amevalia mavazi ambayo ilionyesha dhahiri alikuwa akitoka.

Na baada ya kuona Yezi hayupo hapo , alimpa maagizo kijakazi kwenda kumuita kuja chini.

“Raisi Park , Yezi atakuwa kalala kwasasa”Aliongea Edna kwani alimhurumia.

“Hapana , anaweza kuwa hasira na mimi lakini hapaswi kutotimiza majukumu yake kama mrithi wangu , nishaweka miadi kukamilisha kabisa kumrithisha kila kitu usiku wa leo”Aliongea na kumfanya Roma na Edna kuangaliana wakishindwa kuelewa anamaanisha nini.

Lakini Roma hapo hapo alijua lazima ni jambo ambalo linahusiana na kidani cha mwezi ambacho kilikuwa muhimu sana kwa familia hio na kwa kampuni ya Starmoon.

Baaada ya muda mfupi Eujung alishuka akiwa ameambatana na Yezi ambaye amevalia koti la rangi ya brown na raba miguuni akioneana yupo tayari kwa safari.

“Eujung wewe unaweza kubaki , Yezi wewe mfuate babu yako kuna sehemu tunapaswa kwenda usiku huu”Aliongea na Yezi alienuna alitingisha kichwa kidogo na kuongoza njia.

“Mr Roma na Mrs Edna nyie mpumzike mapema”Aliongea na kisha alimwangalia Kim Jip na kumpa ishara ya kuondoka.

Nje ya maegesho gari mbili zilikuwa tayari zimekwisha kuandaliwa moja ikiwa ni Mercedenz Benz G550 na nyingine ilikuwa pia ni Mercedez Benz GL series aina ya SUV.

Park Juan na mjukuu wake pamoja na Kim Jip waliingia kwenye gari ndogo ya G550 na mabodigadi wake waliokuwa kama watano hivi waliingia kwenye gari kubwa ya SUV na wakaondoka hapo ndani.

Roma alikuwa na shauku ya kutaka kujua ni urithi gani ambao Yezi alikuwa akitaka kupewa na babu yake , lakini kwa jinsi ambavyo wameondoka hapo ndani , alijua kabisa huenda ni jambo la siri sana la kifamilia, hivyo alipotezea shauku yake..

Lisaa limoja mbeleni magari yalikuja kutokezea upande wa kaskazini mwa jiji la Seoul eneo ambalo ni karibu zaidi na Bukhansan national park.

Gari zote zilikwenda kusimama kwenye jengo refu la kisasa ambalo limeenda hewani lenye vioo ambavyo usiku huo vilionekana kuwa na rangi ya ugoro.

Kutokana na taa zake hafifu ilifanya jengo hilo kupendeza zaidi na ilikuwa ni kama vile limejengwa mbele ya muda kutokana na usanifu wake.

“Babu hapa ni wapi?”

“Tupo kwenye tawi la Korea tawi la benki ya Swiss”Alijibu

“Tawi juu ya tawi , sijaelewa”

“Upo sahihi kusema tawi juu ya tawi, Benki ya Swiss wakati wa kuanzisha tawi lake hapa nchini hili lilikuwa jengo lao , lakini walikuja kuhama baada ya kujenga jengo lingine katikati ya jiji kule kupakana na benki kuu ya taifa , sasa hivi hili jengo hutumika kama Vault sehemu ya tawi lake ambayo ni sehemu ya kuhifadhia vitu vya thamani na hutumiwa na baadhi ya wateja maalumu tu”Wakati akiendelea kusikiliza walikuwa tayari washafika ndani kabisa katika eneo la mapokezi.

Na walinzi waliwakagua kwa kuwapitishia kifaa maalumu na pia Park Juan akaombwa kutoa kadi ya utambulisho na kisha waliruhusiwa kuelekea ndani zaidi lakini walinzi wake walizuiwa.

“Mr Park na MissYezi asanteni kwa ushirikiano wenu , lakini hatuwezi kuwaruhusu wengine kuingia ndani zaidi kwasababu za kiusalama”Aliongea mlinzi ambaye alionekana kama kiongozi.

“Kim Jip chukua vijana wako na fanyeni ulinzi eneo la nje”Aliongea na Kim Jip alikubali na kuwapa ishara vijana wake na wakatoka.

Baada ya kuingia ndani zaidi wakiwa wawili tu , waliweza kupokelewa na mwanaume mzungu ambaye umri wake kimakadirio ni kama miaka hamsini hivi, alikuwa amevalia sare maalumu ambazo kwenye shati lake kulikuwana bango lililohifadhi jina lake.

Donald ,Deputy CEO of the Swiss Bank Korea Branch, Huo ndio ulikuwa utambulisho wake.

“President Park it’s nice to see you ,Lady Yezi good evening”Aliongea huku akiinama kwa heshima.

“Mr Donald please lead the way , we’d like to see item number one”(Mr Donald tafadhari ongoza njia, tungependa kuona kitu namba moja)

“Sure this way please”(Hakika njia hii tafadhari)Aliongea huku akionyesha kwa ishara ya mkono .

Kama ilivyo kwa bank za Swiss ambazo hutumika kuhifadhi vitu vya thamani sana usalama wake haukuwa tofauti , mwonekano wa nje ulikuwa tofauti sana na ndani , kwani ujenzi wake uliendana na usalama.

Kuta za jengo hizo zilikuwa nene ambazo hazikujengwa kwa nondo na Zege tu bali zilijengwa kwa chuma kigumu mno ambacho kimechanganywa na madini magumu sana kuzuia watu kutoboa.

Kila hatua mbili kulikuwa na Kamera za kiulinzi ambazo zilikuwa zikifanya kazi na hata Yezi aliweza kuelewa nini maana ya usalama mara baada ya kufika kwenye hilo eneo.

Baada ya kutembea katika korido ndefu wakiongozwa na mzungu Donald,walikuja kufika mpaka kwenye lift maalumu ambayo ilikuwa imejificha , ikiwa tofauti na lift nyingine na waliweza kukutana na Mzungu mwingine ambaye alikuwa mapokezi karibu na lift hizo akiwa na tabasamu kwenye uso wake kuwakaribisha.

Baada ya wote kwa pamoja kuingia kwenye Lift , Yezi aliweza kuona utofauti wa Lift hizo na zile ambazo amezoea kuingia , hii haikuwa na vibonyezeo kabisa , zaidi ya kwamba kulikuwa na skrini inayotosha kiganja cha mkono huku juu yake kukiwa na kitu kama kitochi cha laser kilichokuwa kikitoa mwanga wa njano.

Donald alianza kutoa kitambulisho chake cha kieletroniki kama vile kadi ya benki na kugusanisha na kile kitaa na palepale ile Skrini ilitoa mwanga na sauti ya mwanamke ilisikika ikimtaka kuweka kiganja chake na alifanya hivyo na palepale kile kijitaa kilibadilika rangi na kuwa ya Bluu bahari na sauti tena ilisikika akaambiwa aweke jicho ili kuchukua alama za Retina ya jicho lake na akaweka na palepale namba za lift zilionekana kwenye ile skrini na akabonyeza G20.

Yezi alikuwa kwenye mshangao wa taratibu zote hizo za kiusalama , lakini alishangaa zaidi kuona namba iliobonyezwa ni G20, wakati akisubiria kuoan Lift ingewapeleka juu , tofauti na mategemeo yake ilianza kushuka chini na hapo ndipo aliposhangaa zaidi kwani alikuwa kama ni G20 inamaanisha jengo hilo lilikuwa likienda ardhini kwa Floor ishirini.

Alijikuta akipatwa na muwashawasha wa kujua nini kimehifadhiwa chini huko kwenye ardhi, lakini Park Juan alionekana kuwa wa kawaida tu na ilikuwa ni kama vile alikuwa amefika hapo mara nyingi.

Baada ya Lift kufunguka hatimae waliweza kupokelewa na floor ambayo kuta zake zilionekana kuwa za chuma kwanzia juu mpaka chini na hata milango yake haikuwa ya kawaida kama ilivyokuwa upande wa juu.

“Raisi Park ,kifaa kipo tayari katika Vault namba saba , itakuhitaji macho yako na Fingerprint kufungua mlango na kuingia ndani , nitakuwa nawasubiri katika Lift, tafadhari chukueni muda wenu wa kutosha”Aliongea Donald na Park Juan alimwonyeshea ishara ya kukubaliana nae.

Park Juan baada ya kuhesabu vyumba hatimae walikuja kufikia chumba namba saba na alitumia utaratibu wa kiusalama wa kuweka jicho sehemu husika pamoja na kiganya cha mkono na palepale mlango ulislide na kufunguka.

“Leo baada ya kuangalia hadhina ya mababu zetu ya familia , mimi babu yako nitakuandikisha rasmi kuwa na uwezo wa kufika hapa muda wowote na utakuwa mrithi wa hadhina hio”Aliongea na Yezi alitingisha kichwa na kuingia ndani huku akiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua kitu hicho ni nini.

Mbele yao kulikuwa na boksi la chuma ambalo limewekwa juu ya meza yenye urefu kama mita moja hivi, ambalo pia lilionekena ilihitajika nywira kulifungua.

“Nywira ni siku yangu niliozaliwa kwa kuunganisha tarehe siku na mwezi , lakini baada ya leo nitaibadilisha na kuwa siku yako ya kuzaliwa”Aliongea na palepale alisogelea boksi lile na kisha lilitoa mwanga wa sehemu ya kuingiza nywira na baada ya kuziingiza hatimae boksi lilifunguka na Yezi alijikuta akitoa macho kuona kitu kilichokuwa mbele yake, alijikuta akiziba hata mdomo kwa mshangao.

Kilikuwa kama vile ni boksi chenye ukubwa wa viganja viwili vya mikono upana wake na urefu wake . chakushanganya zaidi kiboksi hiko kilikuwa kiking’aa sana na konyesha kama vile kimetengenezwa na mawe ambayo hayakueleweka.

Park Juan aliona namna ambavyo Yezi alikuwa kwenye mshangao , lakini aliishia kutabasamu kwani miaka mingi iliopita baada ya kukabidhiwa kama mrithi alikuwa mwenye mshangao kama huo.

“Acha kuwa kama mtoto mjinga , hii ni hadhina ambayo familia yetu imeilinda vizazi na vizazi na wewe leo hii unakwenda kuwa Master na kuilinda , weka mkono uweze kupata hisia yake kamili”Aliongea na Yezi kiwoga woga alipeleka mkono na kugusa.

“Oh..ni ya baridi mno ,ni kama vile ni jiwe lakini bado naona sio jiwe”Aliongea

“Tulia babu yako nifungue uone kilichopo ndani”Aliongea na kisha alitoa kidani cha mwezi ambacho ni chenye kung’aa na kisha alisogelea kile kijiboksi kwa juu na palepale baada ya kusogelewa na kidani cha nyota kilipoteza ule mng’ao wake na kutengeneza kitu kama ramani ya nyota na Park Juan alipachika kile kidani chake katika nafasi na akachukua na cha Yezi cha mwezi akaweka na chenyewe katika sehemu ambayo kulikuwa na nafasi yake na palepale kile kiboksi kilianza kutengeneza michirizi flani katika kuta zake kama vile nyufa lakini haikuwa haikuwa dalili ya kupasuka kupasuka , kwani kilikuwa kikifunguka.

“Yezi angalia kwa umakini ndani yake kuna kitu chenye Utukufu”Aliongea Park Juan na Yezi alisongea kwa karibu zaidi kwani mwanzo alijawa na hofu na palepale Park Juan alishikilia kile kiboksi na kwa kutetemeka alikifungua na pale pale chumba chote kilibadilika rangi na kuwa na mwanga ambao ulimfanya Yezi kuwa katika taharuki kutokana na mshangao na aliishia kuziba macho.

Laiti angejua asingefungua hilo boksi…

ITAENDELEA. WIKIEND NICHEKI WATSAPP KUPATA MWENDELEZO 0687151346
Shukuran sana mkuu
Tuliisubir kwa hamu sana [emoji120]
 
Every man for himself!!! Kaketu kachoshwa na huduma za bure!!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema nini bro sijapenda umem character roma kama mlugaluga sana hapo hapo ana mwil wa mazoez.nakumbuka nilivokua korea tulikua tunasoma sana stori na mwalimu wetu wa fasihi alikuwa anasema umfanye main character kuwa handsome bhana
 
mkuu hatimaye nimemaliza kusoma kuanzia mwanzo mpaka todate shukhran sana mkuu pia nimeamua kuwafuatilia The greek gods ikiwemo:
Zeus*
Poseidon*
Hermes
Hera
Hades*
Dionysus
Demeter
Apollo*
Ares
Artemis
Athena*
na Aphrodite*
nikagundua hii story bado ni ndefu na na ninashauku ya kuisikia miungu isiyotajwa.
miongo iliyokuwa na nyota hapo juu mkuu singanojr umeshaitaja ninashauku ya kuisikia iliyobakia
 
Mkuu nilipofuatilia kindakindaki nikagundua kwamba
Demeter ni mama wa persephone yaani Edina hvyo basi kuna siri nyingi zimejificha humu.
 
Vilevile moja kati ya siri tusiyoijua uyo anayejiita apollo na huyo the don yaani Athena ni mapacha
 
Kwakusema hayo machache, twasubiri muendelezo wa simulizi yako mkuu singanojr shukhran.
 
Back
Top Bottom