Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

Mkuu Hamza singanojr
Kwanza kabsa tunashukuru kwa simulizi tamu na unavyokonga nyoyo zetu
Lakini nilikuwa na ombi/ushauri mmoja kwako
Nimekua ni moja ya wa watu wanaosoma nyuzi nyingi za story hapa jukwaani, nilichokiona na nilichotaman na ww ingekua unafanya ni kwamba unatupia hata episode moja Kwan siku. Hii inampatia msomaji continuation ya matukio na anaelewa simulizi vzur kabsa
Hii ya kutupia vipande 5 baada ya wiki moja, unakuta simulizi imeshaanza kusahaulika Hadi urudie kusoma vipande vya nyuma ndo upate link
Lakini pia, inakua ni rahisi kumaliza simulizi mapema na kwa wakati
Ref: Mimi na Mimi by Elton Tonny
Naomba kuwasilisha mkuu 🙏🙏
 
Mkuu Hamza singanojr
Kwanza kabsa tunashukuru kwa simulizi tamu na unavyokonga nyoyo zetu
Lakini nilikuwa na ombi/ushauri mmoja kwako
Nimekua ni moja ya wa watu wanaosoma nyuzi nyingi za story hapa jukwaani, nilichokiona na nilichotaman na ww ingekua unafanya ni kwamba unatupia hata episode moja Kwan siku. Hii inampatia msomaji continuation ya matukio na anaelewa simulizi vzur kabsa
Hii ya kutupia vipande 5 baada ya wiki moja, unakuta simulizi imeshaanza kusahaulika Hadi urudie kusoma vipande vya nyuma ndo upate link
Lakini pia, inakua ni rahisi kumaliza simulizi mapema na kwa wakati
Ref: Mimi na Mimi by Elton Tonny
Naomba kuwasilisha mkuu [emoji120][emoji120]
Sawa mkuu nimekusikai , ngoja tutafanya hivyo
 
Mkuu Hamza singanojr
Kwanza kabsa tunashukuru kwa simulizi tamu na unavyokonga nyoyo zetu
Lakini nilikuwa na ombi/ushauri mmoja kwako
Nimekua ni moja ya wa watu wanaosoma nyuzi nyingi za story hapa jukwaani, nilichokiona na nilichotaman na ww ingekua unafanya ni kwamba unatupia hata episode moja Kwan siku. Hii inampatia msomaji continuation ya matukio na anaelewa simulizi vzur kabsa
Hii ya kutupia vipande 5 baada ya wiki moja, unakuta simulizi imeshaanza kusahaulika Hadi urudie kusoma vipande vya nyuma ndo upate link
Lakini pia, inakua ni rahisi kumaliza simulizi mapema na kwa wakati
Ref: Mimi na Mimi by Elton Tonny
Naomba kuwasilisha mkuu 🙏🙏
Kweli2man
 
Ningoja sana siku ya Regina kutafunwa. Shukrani mwamba ktika ubora wako
 
Back
Top Bottom