Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

Daaah
Singano asante sana
 
Unavyomshukuru leo last ametuma last week ujue anajua ametuma ndefu sana na itatosha na week hii, ebu fanya maarifa yako ya la dada shunie sta boy atupie ma jambo leo aseee
Daaah
Singano asante sana
 
Unavyomshukuru leo last ametuma last week ujue anajua ametuma ndefu sana na itatosha na week hii, ebu fanya maarifa yako ya la dada shunie sta boy atupie ma jambo leo aseee
Unajua sisi wengne tupenguza Kasi ya kuja mara kwa mara mana si kwa arosto hizo
 
Hizi Hadithi za kupima bwana taabu kweli kweli,mwanza kuna bahari Au ziwa.
 
Mkuu hata mwakani Sawa tu kikubwa goma liendelee, wewe pia binadamu Una mambo yako mengi tu ya kufanya sio tu kuleta story hapa. Unapopata muda tupia mwendelezo ukikosa muda fanya yako
 
Mkuu hata mwakani Sawa tu kikubwa goma liendelee, wewe pia binadamu Una mambo yako mengi tu ya kufanya sio tu kuleta story hapa. Unapopata muda tupia mwendelezo ukikosa muda fanya yako
eeh waaah!!! ila asiwe anapotea sana..maana simulizi zake n zaid ya darasa..kuna vitu tunajifunza kupitia yeye, ndio maana tunamind pale anapotusahau...
 
eeh waaah!!! ila asiwe anapotea sana..maana simulizi zake n zaid ya darasa..kuna vitu tunajifunza kupitia yeye, ndio maana tunamind pale anapotusahau...
MNASHINDWAJE KUMSUPORT KWA KUSUBSCRIBE GRUP LAKE KWA KUMCHANGIA ILE 3000NA AKUKUPA EPSD ZOTE MPAKA NAE ANATAKIWA AKIKAA KUUMIZA KICHWA RESEARCH UJUE ANAHITAJI MUDA.no no wonder africa tunakua maskin sana
 
MNASHINDWAJE KUMSUPORT KWA KUSUBSCRIBE GRUP LAKE KWA KUMCHANGIA ILE 3000NA AKUKUPA EPSD ZOTE MPAKA NAE ANATAKIWA AKIKAA KUUMIZA KICHWA RESEARCH UJUE ANAHITAJI MUDA.no no wonder africa tunakua maskin sana
it's due to the lack of money..ndio maana tunasubilia huruma yake2..tungekuwanazo tungemfuata hukohuko kwenye magroup yake..
 
it's due to the lack of money..ndio maana tunasubilia huruma yake2..tungekuwanazo tungemfuata hukohuko kwenye magroup yake..
ila kwenye viti virefu aaa na kuwapiga watoto ofa . kumsuport mwana 3000 anaumiza kichwa. ku andika fiction based on realities. au unafikiri hao kina athena ni uongo? wapo kweli kwenye ukimwengu wa history athena, ares sijui hermes ingawa napinga kwamba wao ni miungu ila majina hayo yapo huko kwneye greek. anyway nilichotaka kusema support ni muhim
 
MNASHINDWAJE KUMSUPORT KWA KUSUBSCRIBE GRUP LAKE KWA KUMCHANGIA ILE 3000NA AKUKUPA EPSD ZOTE MPAKA NAE ANATAKIWA AKIKAA KUUMIZA KICHWA RESEARCH UJUE ANAHITAJI MUDA.no no wonder africa tunakua maskin sana
Kuna vitu viko nje ya uwezo wetu mkuu ndo maana tunasubiria hapa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…