Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

Mwandishi umetisha unapaswa kupewa tuzo ya noble prize kwa kuleta riwaya Kali sana za kijasusi bongo land
Hahahaha umenipa heshima kubwa sana ambayo sistahili mkuu ila niseme asante sana [emoji122]
 
Hivi GEREZA LA HAZWA naweza kuisoma wapi yotee? Maana nimeishia ukurasa wa sitini na sita kule Facebook, huku JF naona kuna vipande vinamiss, msaada please
Nicheki WhatsApp au kawaida kwa hii namba

0621567672
 
asante sana mkuu na hongera sana kwa muda na nguvu zako nyingi kwenye hii story ya kusisimua, nimeumia sana mke wa max kufa ange enjoy maisha mapya na familia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…