Simulizi ya kweli: Niliolewa na Jini bila kutarajia

Simulizi ya kweli: Niliolewa na Jini bila kutarajia

Stor imenikumbusha secondary school ambako mwenzetu yalimpata kama haya ila mimi alinisihi nisimsimulie mtu. Dunia Ina mengi mno.
 
mojawapo ya story au movie nnazo achaga kuziangalia/kuzisoma badala ya kumpenda adui kuliko Star.
adui akiwaga na kutu ambacho ni Extraordinary namkubali najikuta nimeharibu maaana nzima ya simulizi
 
[emoji23][emoji23] finally nimemaliza leo,mama Sbrina kiboko sio kwa maneno yale ya kumwambia Sam[emoji4][emoji4]
Hy mwishimiwa ubarikiwe japo sk mbili nimesoma usk na nikakesha kwa uoga[emoji30][emoji30]
 
Wenye uwezo wa kusoma hadithi ndefu endeleeni mie nimeishia paragraph ya kwanza sehemu ya kwanza. Napendaga kuangalia picha
 
Wenye uwezo wa kusoma hadithi ndefu endeleeni mie nimeishia paragraph ya kwanza sehemu ya kwanza. Napendaga kuangalia picha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa story hii,ukionyweshwa picha zake lzm tupoteane ndani [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Story nzuri sana. Nimesoma mwanzo mpaka mwisho sijaacha hata nukta.
Ila hizi part za mwisho zilikuwa zinanisikitisha na kunichekesha kwa wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom