Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Asante Sana ,kwa heshima hiyo hiyo nakuomba Sana uunganishe story yoote uweke mwanzo wa post maana nawasomea watoto wangu Sasa wanapata taabu kunielewa pls ma

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono wazo hili la kuichanganya iwe story moja ndefu.
Nipo hapa Njiapanda ya Himo nautazama mlima Kilimanjaro kisha naendelea kusoma story na Heaven on Earth . Hakika ni simulizi inayojenga sana. Nimeianza jana Jumatatu December 31, 2018 na naendelea kupekua post zingine nikamilishe story leo Jumanne January 1, 2019.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kimoja ambacho nadhani watu wote ambao washapanda mlima kilimanjaro na kufika uhuru height lazima tukubaliane.Huu mlima unakupa sense of accomplishment kiasi kwamba unahisi hamna kitu kinachoweza kua kigumu kwako maishani.katika vitu ambavyo proud ni hiki cheti nlichopata aisee..ndo maana mwezi wa 5 nataka panda tena
Nimewahi kukitazama cheti nione cmoney jina lako halisi nani. Kumbe nawe ni mjanja ukaweka saa kimtindo. Sawa mkuu endelea kupost anonymously

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We msukuma mvivu hivi wa Dar wewe haki tenaa

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂mm ni kutembea tu ndo sijui mamiguu mazito..ila ww hustle zangu shost huez ht kidg😂yaan huwez ht kidg...ht men mvivu mie hustlr zangu haziwez😂usinichukulir poa kbs hahahha ninautumikisha sana mwili mm sikai bure...mwenzako nalala masaa machache sana sana ...kwanza leo ngoja nilale
 
sina ht mia... ila nautumikisha sana..ila tu kutembea mm sujui..au siwez..au sijui nn
Hahahaaaa...wewe hunifai hata kidogooo maana miye nna mwendo plus kasi balaa...kutembea kwa mguu hakunishindi haswaa nikiwa na stress...naweza toka Posta mpk buguruni kwa mguu!!

Kipindi Niko Dodoma ndo nilikua natoka huku Kisasa mpk meriwa au kule kama unaelekea Udom kwa ngoko!!!

Jifunze kutembea best!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]mm ni kutembea tu ndo sijui mamiguu mazito..ila ww hustle zangu shost huez ht kidg[emoji23]yaan huwez ht kidg...ht men mvivu mie hustlr zangu haziwez[emoji23]usinichukulir poa kbs hahahha ninautumikisha sana mwili mm sikai bure...mwenzako nalala masaa machache sana sana ...kwanza leo ngoja nilale
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]una vurugu mene unatumia sana akili weye!!! Lala kwanza maana toka Jana umekesha ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]una vurugu mene unatumia sana akili weye!!! Lala kwanza maana toka Jana umekesha ujue

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂jana nilikua 🔥...hahahhaa ..nitakuja kukupa ratiba yangu ya siku utanionea huruma..sijaugua malaria zaid ya mwaka sasa...yan mwili ukiushughulisha ht vimagua vinapishana na ww round abt...ila kwenye kutembea tu🙌..mie ht vocha na🚗
 
Back
Top Bottom