Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
mji kasoro bahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mji kasoro bahari
mji kasoro bahari
sina ht mia... ila nautumikisha sana..ila tu kutembea mm sujui..au siwez..au sijui nnDah mwanangu embu uwe unapiga zoezi aisee. Hata kama unapesa sawa.. lakin ukiulemaza mwili ni rahisi sana kuchapwa na magonjwa. Jiwekee utaratib wa mazoez
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ina vivutio vingi sana vya kitalii sijui kwanini mamlaka haiijishughulishi kuvitangazaLipo sehem gani hilo ziwa aisee
Naunga mkono wazo hili la kuichanganya iwe story moja ndefu.Asante Sana ,kwa heshima hiyo hiyo nakuomba Sana uunganishe story yoote uweke mwanzo wa post maana nawasomea watoto wangu Sasa wanapata taabu kunielewa pls ma
Sent using Jamii Forums mobile app
sina ht mia... ila nautumikisha sana..ila tu kutembea mm sujui..au siwez..au sijui nn
Nimewahi kukitazama cheti nione cmoney jina lako halisi nani. Kumbe nawe ni mjanja ukaweka saa kimtindo. Sawa mkuu endelea kupost anonymouslyKuna kitu kimoja ambacho nadhani watu wote ambao washapanda mlima kilimanjaro na kufika uhuru height lazima tukubaliane.Huu mlima unakupa sense of accomplishment kiasi kwamba unahisi hamna kitu kinachoweza kua kigumu kwako maishani.katika vitu ambavyo proud ni hiki cheti nlichopata aisee..ndo maana mwezi wa 5 nataka panda tena
Nimewahi kukitazama cheti nione cmoney jina lako halisi nani. Kumbe nawe ni mjanja ukaweka saa kimtindo. Sawa mkuu endelea kupost anonymously
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza bana...hujaweka lengo tu...hujui game moja ni kama kutembea km 7 na mr mnaenda ngapi ah ah
katika kitu ambacho sijawaj fikiria na kupanda mlima wowote ule!maana mie ht kutmbea nusu km siwez..aku!
Idadi ya wanaokufa ipo lakini ni siri kamwe haitawekwa hadharani ili tusikatishe wengine tamaa ya kupanda na kuharibu utalii wetu
Hahahaaaa...wewe hunifai hata kidogooo maana miye nna mwendo plus kasi balaa...kutembea kwa mguu hakunishindi haswaa nikiwa na stress...naweza toka Posta mpk buguruni kwa mguu!!sina ht mia... ila nautumikisha sana..ila tu kutembea mm sujui..au siwez..au sijui nn
Mavi yako wee[emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38] hebu hukoooumeona eh[emoji23][emoji23][emoji23]bas tupo sàwa na mnaotembea[emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]una vurugu mene unatumia sana akili weye!!! Lala kwanza maana toka Jana umekesha ujue[emoji23][emoji23]mm ni kutembea tu ndo sijui mamiguu mazito..ila ww hustle zangu shost huez ht kidg[emoji23]yaan huwez ht kidg...ht men mvivu mie hustlr zangu haziwez[emoji23]usinichukulir poa kbs hahahha ninautumikisha sana mwili mm sikai bure...mwenzako nalala masaa machache sana sana ...kwanza leo ngoja nilale
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]una vurugu mene unatumia sana akili weye!!! Lala kwanza maana toka Jana umekesha ujue
Sent using Jamii Forums mobile app