Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Pole sana, mimi nilipitia Umbwe route ila nilipofika Barranco Camp uzalendo ukanishinda na nilibakiza vituo viwil tu yaani Karanga camp na Barafu Hut.... [emoji1482][emoji1482]
Hii ndo toughest ukifika karanga camp unachota maji lita 20 unabeba plus mixigo yako unatembea kwenda barafu camp. Waulize porters(mburuta )watakuambia mziki wa hio route unahc kufakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo toughest ukifika karanga camp unachota maji lita 20 unabeba plus mixigo yako unatembea kwenda barafu camp. Waulize porters(mburuta )watakuambia mziki wa hio route unahc kufakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tulijikusanya majamaa kadhaa hahaha mpaka tukahisi hatukuwa na maandilizi ya kutosha ila ule mziki wake ni shida bora hata njia ya Tarakea japo ni mbali.
 
Yaani Kuna mahali unafika huko juu njia imebana na unapita sehemu ambayo unapiga mgongo korongo na unakumbatia jiwe au mwamba ili uweze kupita hiyo sehemu ....hii nilihadisiwa na guide japo sijapanda huo mdude

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jiwe la kubusu na jiwe la mku........ hili la kubusu inabd upite kati ya mawe mawili yamebanana sana kwa lile la mbele linakua juu sana kuanzia chini kwa hio unakuwa kama vile unalibusu japo si lazima ni utaratibu tu. Then jiwe la mku....u lenyewe unapopita hio sehem hilo jiwe lazma likuguse makalio kwa sababu njia ni nyembamba sana hope nimeeleweka. ( Im not a good writer)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe la kubusu ni hivi, ili kutoka pale barango kwenda karanga lazima mpite mlimani, na mkiwa pale barango mlima unauona uleeeee, mkifika pale mlimani njia ni nyembamba sana, sasa kuna sehemu kuna jiwe kubwa ili kupita hapo lazima ulikumbatie hilo jiwe na unapita upande upande lakini mbaya zaidi chini kuna korongo so ukikosea step kidogo tu unaweza kujikuta uko korongoni, so mnapita mmoja mmoja na kwa uangalifu mkubwa. Nakumbuka kundi letu tulikuwa zaidi ya watu 30 tulitumia almost 2hrs kuvuka hapo....na slogan ya mlimani ni Pole Pole....no hurry

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanisimulia inatosha kwa kweli!!![emoji56][emoji28][emoji28][emoji28]kupanda hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ndugu coz kulala tu kwenye huwezi kujinyoosha, unajikunja ili upate joto, halafu nguo za kulalia zinabana fulani hivi mfano zetu zilikuwa zinaitwa thermos, ukivaa hizo nguo then shuka ni kama mfuko hivi, unaingia zako kwenye hilo shuka....unajikunja kuutafuta usingizi

Salute to those porters.....niliwashangaa wale watu lkn pia nilimshangaa Mungu..... kwenye jiwe la kubusu sisi tunawaza tutapitaje manake ukiteleza kidogo tu wanakusahau lakini wao wanapita utadhani wanapita kwenye barabara tena na mizigo kichwani au mgongoni na mkifika kituoni mnakuta wameshafunga matent, kila mtu bag lake limeshawekwa kwenye tent lake, wameshaivisha chakula, meza zimeshaandaliwa and they are so kind and humble. Nilisikitikaga sana kusikia zile kampuni zinawalipa ujira mdogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Last time nimepanda as porter ilikua 2015 just imagine pprter ndo mtu wa mwisho kuondoka camp kwa sababu zile tents wanazolalia wageni inabd azianue azipack azibebe then aondoke nazo lakini tena anatakiwa afike next camp wa kwanza ili wageni wakute tents zimesimama tena plus food iwe iko tayari. Huwa nawaza how did i manage???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa ni few mita kabla ya barafu camp,kuna view nzuri sana watu wanapiga picha,nilipanda mwaka jana na ile geita kili challenge,sikufanikiwa kufika uhuru,muda wa kwenda summit,oxgen yangu ilienda low to 47% mzungu 1 akaniambia haitakiwi kuwa below 80% nikajishukia sikutaka kurisk but i was there ningekomaa 6 hrs tu
IMG_20180804_214027_752.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana watanzania tupende kutembelea vivutio katika nchi yetu.wengi tumeishi na kukaa katika mazingira ya karibu na mlima Kilimanjaro lakini hatujawahi kuupanda.umenishawishi sana kuanza matayarisho ya kupanda mlimani ikiwezekana Kuanzia julai na Agosti 2019 nitimize lengo langu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Big Up...

Sent using Iphone mobile
 
Wazungu wengine wakifika kileleni wanatupa gold pete vitu vya thamani kwa upandee ule wa kenya
Niliuliza pia nikaambiwa kuna ki imani zaidi watu wameweka.. So anapanga mawe then anakua na prayers zake anafanya.... kama una wishes zako ndio muda mzuri kufanya.

Nyingine ni kumbukumbu kwamba I was here.. So unaweza kurudi baada hata ya miaka kadhaa ukakuta mawe uliyopanga yapo hapo.. wajukuu wakipanda ukawaambia pia..kumbukumbu kwa vizazi vingine pia.

Anaejua zaidi anaweza kuongezea


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAFARI YA MOSHI

Tunaingia Moshi usiku saa 2... Tunapokelewa na wenyeji.. wakarim kishenzi.. wale ma guide sijui walidhani tumetoka nchi gani hatuju kiswahili kumbe ni wabongo tu.. Nimesahau jina la hotel kiwatengu anaweza kunikumbusha. Pale hotelini kulikua na wazungu kibao.. wengi wakiwa wametoka mlimani wakipongezana dinner.. wines na kupeana vyeti... Nikawa nawatizama kwamba can I do this?? unaona watu wanachechemea miguu, sura hazitamaniki wamebabuka, hapo ni bonge la mtu wengi wako hoi.ile usiku tukafanyiwa training na rescue team ya ile kampuni.. tukapewa maelekezo yote muhim.. Asubuhi Safari ya Mlimani.


SAFARI YA MARANGU.

Alfajiri tunaamka.. Mimi pamoja na kununua vifaa vya mlimani lakini still nilikua nahitaji kodi baadhi ya vifaa kama Hiking boot, balaclava, walking stick.. sleeping bag.. na hizi ni zile zenye joooto maana huko juu tushaambiwa kuna baridi la kufa mtu.

Saa 3 asubuhi tunaanza safari ya Marangu. Si umbali mrefu. usajili getini tunamaliza saa 9. miezi ni High season kuna watu kutoka nchi mbali mbali wanakua wamekuja kupanda mlima.!kulikua na nyomi la kufa mtu. Jambo nililopenda Marangu getini kuna ramani ya njia unayotimia kufika kileleni na pia kuna picha za record za watu mbali mbali walifanikiwa kupanda mlima kwa muda mchache, kuna mmoja alipanda kwa 5hrs.. huyu najiuliza hadi leo alifanyaje fanyaje .. Masaa 5 hadi kileleni its not a joke

Marangu Getini hapo.

3e60d5fda7033b8ca1a8b1013a96d1f3.jpg
96e92c82d02ef15bdf21e69ee621c59f.jpg


Fuatilia next post.. huko ndio kwenye mziki


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kumbe hauna chura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom