Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Nimempenda hata Mimi japo Mimi muoga wa baridi mnooooo!!naona kabisaa ntakavoishia mandara kwa kweli!!

Ila HOE amenifurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Baridi haiui bana...so usiogope sana. Binafsi baridi hainitishi...especially when the highest ni -27 degrees tu na mimi nshakaa sehemu ambayo ilishawahi kufika -32.

Wasiwasi wangu ni hewa tu ikianza kuwa nzito...I hope I won't give up when the breathing gets tough.
 
Heaven Sent

Naomba nikiri kwa mara ya kwanza kuwa huu kwangu ndio umekua uzi bora kabisa wa kufungia mwaka,tangu jana sibanduki hapa na umeniinspire kiasi cha kuweka dhamira kuwa mwaka huu 2019 lazima nianze tizi nitapanda mlima loleza na mlima mbeya kama maandalizi ya kupanda kilimanjaro kabla ya mwaka huu kuisha,nimekupenda sana dada yangu.

Ubarikiwe sana Heaven Sent.

Kwenye maisha ukiwa na dhamira hakuna kinachoshindikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpendwa, I wish ndo ningekuwa mimi sasa nimefika huko keleleni, bahati mbaya sio mimi. Huyu ni HOE na mimi ni HS, majina ya kwanza yamefanana.

Heaven on Earth congrats namesake, I envy you kwa kweli. It was worth everything.....

Btw nimependa hako kamwili and you didn't forget to climb in style, slaying all the way up lol.. kudos doll
 
Watanzania utaratibu wa kutalii hatuna kabisa, ukiuliza watu wanakwambia pesa hakuna wakati kila simu wanashinda bar, nakumbuka maana juzi jamaa yetu mmoja alipata kazi tanapa akawa mlima Kilimanjaro akatoa ofa kwa yeyote anaetaka kupanda mlima free hakuna aliyejitokeza
 
Heaven Sent

Naomba nikiri kwa mara ya kwanza kuwa huu kwangu ndio umekua uzi bora kabisa wa kufungia mwaka,tangu jana sibanduki hapa na umeniinspire kiasi cha kuweka dhamira kuwa mwaka huu 2019 lazima nianze tizi nitapanda mlima loleza na mlima mbeya kama maandalizi ya kupanda kilimanjaro kabla ya mwaka huu kuisha,nimekupenda sana dada yangu.

Ubarikiwe sana Heaven Sent.

Kwenye maisha ukiwa na dhamira hakuna kinachoshindikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Heaven on Earth... Kama vile umechanganya watu hapo...
 
Mpendwa, I wish ndo ningekuwa mimi sasa nimefika huko keleleni, bahati mbaya sio mimi. Huyu ni HOE na mimi ni HS, majina ya kwanza yamefanana.

Heaven on Earth congrats namesake, I envy you kwa kweli. It was worth everything.....

Btw nimependa hako kamwili and you didn't forget to climb in style, slaying all the way up lol.. kudos doll
Hujawahi kupanda kileleni? I cant believe!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom