Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaweza mbona...
Mwenyewe ni kibonge na nina mpango wa kupanda! Ila watu tuloko nao wanakata tamaa kila leo!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚jitahidini mfike
 

LOL... Umenifanya nicheke saana, Thank you kwa kunifatilia na kusoma mwanzo hadi mwisho
Nitamalizia safari ya kurudi chini muda si mrefu.
 
Niwe tu mkweli, story hii nimeisoma kwa ajili tu ya kutaka kuona picha mbalimbali za msimuliaji, hasa baada ya hii picha hapa chini.



Muda wote nilitaka kuona picha picha picha, then story ikawa tamu nikajikuta navutiwa na masimulizi.

Heaven on Earth asante sana, nimeona kuna mahali umesema 2020 una plan ya kwenda, please am making my own arrangements kuhakikisha naungana na ninyi kwenye hiyo safari.

I know how to reach you.

Happy New Year.
 
Jamani Jamii Forums kumbe tuna warembo wazuri hivi,nashukuru siku hiyo ulipokuwa unapanda nilikufanyia usaili pale main ofisi,kumbe ndio wewe Heaven on Earth,japo umeficha sura nimekufahamu,uko too blessed
 


MKUU umeuliza maswali ya msingi sana. Najua Heaven on Earth atakuja kujibu hapa, lakini kwa uelewa wangu, ile hali ya kule juu haiwezi kufanana na nchi yeyote kwa sababu moja kubwa. Hali ya mwinuko juu ya usawa wa bahari. Hiyo peke yake, inafanya kiwango cha Oxygen kuwa kidogo na kuleta hali ya kupumua kwa shida. Baridi la kule maji mnayobeba mgongoni yanaganda, inafika wakati ni nyuzi hasi 15 na kushuka chini Zaidi. Kuna nchi zinaweza kuwa na hali ya baridi Zaidi kuliko huko Uhuru Peak lakini mwinuko wake hauleti shida kwenye mfumo wa upumuaji. Hiyo ndio tofauti kubwa.

Kumbuka mnafika mahali ambapo mvua ikinyesha haiwahusu, inashughulika na walio chini yenu, nyie mpo juu yake.
Mengine wataongezea wataalam na mainjinia watakapokuja kusoma hii unayotaka kusikia hii hahahahahahaaa.
 
Jamani Jamii Forums kumbe tuna warembo wazuri hivi,nashukuru siku hiyo ulipokuwa unapanda nilikufanyia usaili pale main ofisi,kumbe ndio wewe Heaven on Earth,japo umeficha sura nimekufahamu,uko too blessed
Siku hizi urembo sio kitu kwenye uhalisia wa maisha yetu hapa. Mwanamke akikosa akili huku akiwa mrembo ni sawa na nguruwe aliyevishwa hereni. Akili zinazotakiwa sio za darasani hata kuweza kumshawishi mwanaume akakuoa ni akili pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiishia Kibo maana yake ni kwamba utakuwa umeishia njiani,Kibo ni kituo cha miwsho kabla ya kuanza safari ya kuelekea Uhuru Peak kwa Njia ya Marangu na huwezi kupata cheti kutoka Tanapa.

Mgeni ananza kupata cheti kuanzia Gillmans Point,Stella Point na baadaye Uhuru Peak
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚madame mie naon wanaOpanda wengi ni maportable..hv wanene wanaweza kweli?yaan bado sijashawishika ..maana nikama safari ya jehanum jaman
Yaani we acha tu.
Ila Heaven on Earth kaniambia wanene tunapanda tu...kikubwa ni kufanya medical check up na Dr. atakwambia kama upande au lah!!
Hv ndio ghafla nafika katikati, lile baridi mafuta yanaganda kwenye moyo, nashindwa kuendelea na safari....wale wagumu wataweza kunibeba kweli....
Dahh!!!
 
Coldril sio dawa nzuri kwa mazingira ya kule ina mchanganyiko wa dawa ambao unaweza ukakuletea usingizi ukawa kama umelewa itakuwa ni hatari kwako na zaidi unaweza ukashindwa kupumua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap.
Hiyo inaleta usingizi ndio....ila naweza fanya njia gani mbadala ili nami niwe katika hali nzuri bila mafua?
Maana mimi nina allergy na baridi vibaya sana.
Yaani mvua tu ikinidondokea....napata mafua.
Maji ya baridi yakigusa tu ngozi...ni balaa
 
Angeulizwa akiwa mlimani angesema siwezi thubutu kufanya huu upuuzi tena. Ni majibu niliyoyatoa mimi
Ila kwa sasa natamani hata kesho niambiwe anza maandalizi ya Kilimanjaro hiking
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…