Ni kweli kabisaaa!Ni kweli, changamoto ya ratiba ndo penye utata! Ila acha tuone. Mimi kufikia 2020 lazma niwe nimeukwea huo mlima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza sana, kujipanga tu physically, mengine yanawezekana! Maana kama ni mabadiliko ya hali ya hewa kila mtu yanampata awe kibonge au mwembamba.Heaven on Earth
Hongera sana my dear, umenifanya nizidi kuamini na mimi naweza kuukwea mlima! Kama wewe mwembamba umeweza hata mie kibonge nitaweza zaidi!
Yaani hongera mnoo!
Hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]jitahidini mfike
Mimi huu mwaka ratiba hainiruhusu... Labda itokee tu bahati mbayaNi kweli kabisaaa!
Mie nilipanga huu mwaka, wacha nione venye itakuwa
Ooooh...Mimi huu mwaka ratiba hainiruhusu... Labda itokee tu bahati mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee si mchezo kweli mlipata tabu sana yaani BARAFU/SNOW kama YOTE VILE,Picha nyingi hiko kibao kinaonekana vizuri ila kwa nyie hadi nguo zimeganda.
View attachment 983213
Ungepiga picha hapo Heaven.....It was a dead cold weather..............
Deadly cold weather....ilikufanya jasiri Sana ...bado nauliza hivi kwanini uliamua kupanda mlima KilimanjaroIt was a dead cold weather..............
Gharama zinatofautiana mkuu, kuanzia Idadi, route na siku utakazotumia...
Kwa mfano tukiwa wana JF 30 wanaotaka kupanda mlima, hiyo hata kwa 350k kwa Route ya marangu unapanda.
Kuna jamaa mkongwe wa siku nyingi aliniambia hiyo njia ina mauzauza ya kutosha unaweza kutana na mazombie yamekaa juu ya majabali... hahaaaaaIle njia ya rau unatokea kileleni one way.
Ila serikali imeificha ili tusipoteze mapato.ile njia ni shida ya materuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Pasikutishe mkuu hamna hatari kubwa sana ya kutisha, porter hapo zinapita na mzigo mnene bila tatizo sembuse we mwenye ka backpack kako tu na fimbo pakushinde? Kikubwa wakati mwingine ni kuwa makini na porter aliyeko mbele yako kwani ikitokea bahati mbaya mzigo wake ukateleza ukuguse kuna uwezekano nawe ukaenda korongoni...Nimesoma baadhi ya comments wamesema kuna sehemu route ya Machame pamekaa vibaya njia nyembamba sana halafu kuna steep slope na njia nyembamba,kwahiyo kupita hiyo sehemu inabidi ulikumbatie jiwe halafu unapita polepole sasa hapo ndio kupita kuna kasheshe mda mwingi unapotea hapo.
Yaani umenikera nimekuwa mwekundu story hujaimalizia hadi mwisho.niko kama mwanamke ambaye kakatishiwa utamu kati,hizo hasira zake ni bora umalizie tu kuandikaNdio mkuu.. kwanini???
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha hii ya mvua imenifanya nicheke mkuu, mnakua juu ya mvuaMKUU umeuliza maswali ya msingi sana. Najua Heaven on Earth atakuja kujibu hapa, lakini kwa uelewa wangu, ile hali ya kule juu haiwezi kufanana na nchi yeyote kwa sababu moja kubwa. Hali ya mwinuko juu ya usawa wa bahari. Hiyo peke yake, inafanya kiwango cha Oxygen kuwa kidogo na kuleta hali ya kupumua kwa shida. Baridi la kule maji yana mnayobeba mgongoni yanaganda, inafika wakati ni nyuzi hasi 15 na kushuka chini Zaidi. Kuna nchi zinaweza kuwa na hali ya baridi Zaidi kuliko huko Uhuru Peak lakini mwinuko wake hauleti shida kwenye mfumo wa upumuaji. Hiyo ndio tofauti kubwa.
Kumbuka mnafika mahali ambapo mvua ikinyesha haiwahusu, inashughulika na walio chini yenu, nyie mpo juu yake.
Mengine wataongezea wataalam na mainjinia watakapokuja kusoma hii unayotaka kusikia hii hahahahahahaaa.