Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Heaven on Earth
Hongera sana my dear, umenifanya nizidi kuamini na mimi naweza kuukwea mlima! Kama wewe mwembamba umeweza hata mie kibonge nitaweza zaidi!
Yaani hongera mnoo!
Unaweza sana, kujipanga tu physically, mengine yanawezekana! Maana kama ni mabadiliko ya hali ya hewa kila mtu yanampata awe kibonge au mwembamba.

Huu lazma tuukwee[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamenifurahisha walivyoweka utaratibu wa kutoa vyeti.

Kwamba huo ni mtihani,unatakiwa uufaulu kwa namna yoyote ile,vinginevyo personally hata wewe unajihisi kuwa disapointed kabisa.ndio maana dada yetu alikuwa analia na kuona walioshindwa au kufariki kabisa lakini yumo tu[emoji23][emoji23][emoji23].

Kwakweli tz inapendesha na kushangaza,kwa kupitia hii journey to the top.kazi kwao hao tz safari wa tbc wanatakiwa wachukue documentary basement mpaka huko juu na kueleza uhalisia,but kama kawaida yetu subiri vituko.
 
Utamu wa huu uzi balaah!!

hapa sijamaliza kuusoma,nimeishia hapo getini marangu ulipokuwa unaangalia picha za watu mbali mbali walipanda mlima na kuweka rekodi

Natafakari kidogo uyo aliepanda kwa 5hrs only,daaah!! huyu alikua na mapafu gani aisee? au alikua anapanda kwa kukimbia?, au ndo alipanda non stop mpaka kileleni? hahahahaa bila shaka uyu atakua alipanda kwa kutumia Toyo.....very interesting
 
Pasikutishe mkuu hamna hatari kubwa sana ya kutisha, porter hapo zinapita na mzigo mnene bila tatizo sembuse we mwenye ka backpack kako tu na fimbo pakushinde? Kikubwa wakati mwingine ni kuwa makini na porter aliyeko mbele yako kwani ikitokea bahati mbaya mzigo wake ukateleza ukuguse kuna uwezekano nawe ukaenda korongoni...
 
Ha ha hii ya mvua imenifanya nicheke mkuu, mnakua juu ya mvua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…