Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,428
Narudia tena kwa jinsi story ilivyo nisisimua wallah nahisi nimesha panda na mie ule mlima hivyo basi sihitaji kwenda kupanda maana najua hata gilman sifiki nitakata upepo nikufe bure hapa tuu kutembea km 3 nahisi kunya akuu mkwende wenyewe
mlima wa mungu ni Oldonyo lengai siyo Mlima Kilimanjaro 😂😂😂😂😂
Wooow!!! Utaongeza CV yako sana.Aisee
Kuna mtu ati aliniona akasema kuwa sitaweza kufika juu.
Mazoezi huwa napiga sana.
Asante kwa kunipa moyo.
Mwaka hui 2019 lazima nikwee
😂😂😂😂😂😂nimecheka kifala sana,eti dhambi duh.Unafanyiwa checkup ya mammbo mengi sana kuona kama utahimili hali ya hewa inayobadilika badilika kadri mnavyosogea juu.
Cha kushangaza, watoto wadogo wa umri kati ya 12-14 wanapanda bila kupata dhoruba kama ilivyo kwa watu wazima,...
Dhambi nazo zinatuongezea mizigo hahahahahahhaha
😂😂😂😂😂😂nimecheka kifala,eti dhambi duh.
MaseratiiiiiCongratulations kwako Heaven on Earth ujasiri mkubwa sana,despite machache uliyopitia yaliyokuweka katika wakati ngumu remember"we never promised good way,always rough" Niko inspired kitambo sana,mpaka nikapata fursa ya kwenda bure kabisa but majukumu was on my toe,I couldn't take a step to anywhere. But I will,mwakani,naanza kutunza kububu cha MT.KLM. Thank you strong lady
Nadhani watu wazima tumekwepa mishale mingi😂😂😂watoto bado sana tena 12-14 bado sana hao.Inshallah mwakani nitapanda,nimeanza kutunza kibubu leo.sasa inakuaje watoto wapande bila miili yao kusumbua sana? Au sie viungo na miili tumeshaifanyisha sana majukumu na kazi mileage zimeenda sana? Unataka kwenda kupanda?
Oooh. Dear,I will contact you mwakani am in,mwezi wa 7 nikasherehekee birthday yangu huko😀😀😀😀Maseratiiiii
Why???mnakuwa mshayapita mawingu😂😂😂Sitanii MKUU, kwa njia ya Machame, mnaweza kupata usumbufu wa mvua hadi siku ya tatu, baada ya hapo, mvua sio tishio tena kwenu. Ikinyesha inawanyeshea wa chini sio nyie wa majuu.
Salute, kwa summary uko vizuri sana...Nakupongeza tena Heaven On Earth, kupitia uzi huu:
Nimefanya mazoezi ya maandalizi na wewe,
Nimepanda na wewe,
Nimeona jamaa aliyefariki akishushwa sambamba na mkewe katika majonzi,
Nimechoka na wewe,
Nimelia na wewe,
Nimekata tamaa na wewe lakini nikajifariji na wewe na nikasonga mbele na wewe,
Nikawaona wavuta bangi wakitupita kwa kasi na badae mmoja wao akathibitisha kutangulia si kufika, akarudishwa duniani,
Kila ulipochoka, akili yangu ilikupa moyo, "twende HOE bila wewe siwezifika kileleni" ulikubali kwa machozi ya uchovu,
Nilisonga na wewe,
Simu yako iliishia chaji, nilihuzunika kwa kuwa hata kama tukisonga pamoja sitaona tena taswira nzuri ya safari yetu,
Nikawasikia ma-guide wakishauriana juu ya kuendelea ama kutoendelea na safari, nikaiona hatari ya kifo mbele yetu, nikasikitika.
Ukungu ulipozidi kule juu kiasi cha kutomuona aliyeko mbele yako, nilipatwa na hofu labda utapotea na kuporomokea upande wa Kenya,
Lakini nilikuwa na wewe,
Picha ya mwisho ambayo barafu imeziba maandishi ya kibao cha Uhuru Peak, ilinitia simanzi kubwa kwa hali ya hewa, nikajaribu kujifananisha na wewe kwa kujidumbukiza kwenye freezer ya butcher, lakini ukasema barafu niiwazayo mimi ni "cha mtoto"...
Hata hivyo, kwa jinsi ulivyotiririka kwa ustadi mkubwa, sikutamani muishie hapo na safari ya kurudi duniani ianze...
Nilitamani safari iendelee, mzuka wa simulizi yako uliniaminisha kuwa baada ya Uhuru Peak, Heaven on Earth would be taking me to the next peak... And probably it could be real Heaven like her name... Can't wait for the next episode.
Pongezi kwa guide wako Fredy kwa kukufikisha kileleni, iwe funzo kwa wanawake wengine wote kuwa, mwanaume kumfikisha mwanamke kileleni haijawai kuwa kazi rahisi, yaitaji uvumilivu na kushikamana.
Hongera sana HOE.
Ngoja nielekee You tube kujazilizia elimu hii tamu.
sasa inakuaje watoto wapande bila miili yao kusumbua sana? Au sie viungo na miili tumeshaifanyisha sana majukumu na kazi mileage zimeenda sana? Unataka kwenda kupanda?
Stella Points...Hayo majina Gilmans na stelle yamepandaje huko mlimani?
Sent from my TECNO CF7 using Tapatalk
Duuh... Inamaana unamafua kwa mwaka mzima?Natamani kupanda sema mafua na joints za miguu.
Kama baridi la kwetu Magamba Lushoto linanilaza kitandani wiki na mafua juu, je nitaweza kwea Mlima Kilimanjaro?
kiwatengu naweza beba coldril kwa ajili ya kukata ukali wa mafua au siruhusiwi kunywa dawa nikiwa katikati ya safari?
Warmly warmly Welcome....Oooh. Dear,I will contact you mwakani am in,mwezi wa 7 nikasherehekee birthday yangu huko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tupande wote tuwe tunapenana moyoAisee
Kuna mtu ati aliniona akasema kuwa sitaweza kufika juu.
Mazoezi huwa napiga sana.
Asante kwa kunipa moyo.
Mwaka hui 2019 lazima nikwee