Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Ha ahaa ahaaaa ...

Wewe endelea kukojolea sufuria la msosi tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Narudia tena kwa jinsi story ilivyo nisisimua wallah nahisi nimesha panda na mie ule mlima hivyo basi sihitaji kwenda kupanda maana najua hata gilman sifiki nitakata upepo nikufe bure hapa tuu kutembea km 3 nahisi kunya akuu mkwende wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂nimecheka kifala sana,eti dhambi duh.
 
Maseratiiiii
 
sasa inakuaje watoto wapande bila miili yao kusumbua sana? Au sie viungo na miili tumeshaifanyisha sana majukumu na kazi mileage zimeenda sana? Unataka kwenda kupanda?
Nadhani watu wazima tumekwepa mishale mingi😂😂😂watoto bado sana tena 12-14 bado sana hao.Inshallah mwakani nitapanda,nimeanza kutunza kibubu leo.
 
Salute, kwa summary uko vizuri sana...
Karibu sana Kilimanjaro
 
Mkuu Monk, kinachowasaidia watoto ni wastani wa kiwango cha haemoglobin zao ni nyingi ukilinganisha na wastani kwa watu wazima.

Haemoglobin inahusika sana hasa katika upumuaji uchukuaji wa hewa ya oksijen. Kwa hiyo mtu mwenye kiwango kidogo cha haemoglobin mfano mwenye upungufu wa damu atapata shida sana kule ndio maana HOE amesema lazima ufanyiwe check up, so watoto kiwango chao haemoglobin kinachopatikana katika chembe nyekundu za damu kinawasaidia sana.
sasa inakuaje watoto wapande bila miili yao kusumbua sana? Au sie viungo na miili tumeshaifanyisha sana majukumu na kazi mileage zimeenda sana? Unataka kwenda kupanda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh... Inamaana unamafua kwa mwaka mzima?
Ukiwa na mafua hutaweza kupanda.
 
Sijajua hawa wanaodaiwa kuvunja rekodi ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa kutumia saa 5 ni nani anahakiki huo muda?

Kwa uzoefu wangu wa kupanda mlima Kilimanjaro hapa tunadanganyana mchana peupeeee.

hebu jiulize ambaye hujapanda mlima huo,inawezekanaje mtu atumie saa 5 katika safari ambayo tunatumia siku sita hadi saba kuupanda mlima?


Niia ya Marangu ni siku 6


1.Marangu Gate to Mandara Hut,day one

2.Mandara Hut to Horombo Hut,day two,hapa Horombo ukifika unapumzika siku mbili na utaenda eneo la Zebra Rock umbali wa KM3 kwa ajili ya kuzoea hali ya hewa kabla ya siku ya tatu kuanza safari ya Kutoka Horombo Hut kwenda Kibo Hut.

Safari ya kwenda Uhuru inaanza usiku pale Kibo Hut,muda wa kuondoka unategemeana na maelekezo ya waongozaji wageni ambao bila hawa jamaa kwa kweli huwezi hata kufika Horombo,jamaa ni wazuri sana kwa hamasa hata kama unataka kuishia njiani wanauwezo wa kukupeleka Uhuru kutokana na hamasa yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…