Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro


Google Mount Kilimanjaro record climbing
 
Swali langu huko Mlimani hakuna wanyama wakali au nyoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salute, kwa summary uko vizuri sana...
Karibu sana Kilimanjaro

Asante mkuu, sio mgeni sana hapo ila mara yangu ya kwanza kuuona mlima huo kwa kutokea Moshi mjini nilishangaa sana kwa nini dude hilo liliitwa "mlima" kama ilivyo kwa milima mingine tuionayo sehemu nyinginezo za nchi,lile ni dude lisiloelezeka kirahisi kwa mtu ambaye hajawahi kuliona, ni zaidi ya mlima. Na kwa uzi huu, lazima niupande mwaka huu.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Big up. Karibu sana
 
Wakuu naomba maelezo kidogo ,wadau wanasema kipindi kizuri kupanda huo Mlima ni kuanzia Julai .
Hiyo Julai huku kwetu bonde la Kilombero ndiyo kuna baridi kali usiku.
Sasa huko kwenye uwanda wa juu si unalifuata hukohuko ?


Kiwatengu na Wazoefu wengine , ni kwanini hicho kipindi Julai hadi Desemba ni kizuri?
 

[emoji23][emoji23][emoji23]kwa wageni ile kofia inazingua sana,huoni mlima chini umeanzia wapi bali unaona tu uko juu ya mawingu,na kofia nyeupe juu zaidi.

Unaweza dhani unaelea juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…