Hiyo clip imenikata stim. Nilitaka kwenda na mamsap, hapana. Atanisubiri mweka tu.Hahaaa naona hapo kinachokupeleka mbele si nguvu tena bali ni nia ya kufika kileleni,mtu kachoka mpaka viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amehuzunisha sana. Sipendi kumuona mwanamke at that state.Daaaah!! Nimeangalia hiyo clip hadi nimekuonea huruma!! Ila mwisho wa siku wewe ni jembe!!! Hongera sana kwa mara nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi imenitouch!!
Sawa panga tarehe.Sawa plat km uko nondo!!utanibeba mpk kileleni sawa!
Tuandae safari sasa!!
Yes! Nimepitia stories nyingine nyingi baada ya kuhamasika na hii.Nimeshindwa niandike nini ..
This is very big
What made you walk...just walk and walk ..kuna jambo nimejifunza ulipofika stella point ..and uhuru peak
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah ndio ulikuwa umetepeta hivi mama [emoji23][emoji23]Maeneo haya ndio Jerrymsigwa alitaka “kukata moto” kuna hali ya hewa fulani hivi unaona hata kuhema ilikua shida.
Kilima kinachoonekana pembeni ni Mawenzi huko watu huwa hawapandi mlima na hapo tunaelekea Kibo.
Hyu binti ana kishuzi cha kispora,yaani kishuzi kimekaa kimpangilio sana asee. Hapo anaonekana amekaa chini lkn kishuzi kimekuja juu kitaalam mnoNiwe tu mkweli, story hii nimeisoma kwa ajili tu ya kutaka kuona picha mbalimbali za msimuliaji, hasa baada ya hii picha hapa chini.
View attachment 983464
Muda wote nilitaka kuona picha picha picha, then story ikawa tamu nikajikuta navutiwa na masimulizi.
Heaven on Earth asante sana, nimeona kuna mahali umesema 2020 una plan ya kwenda, please am making my own arrangements kuhakikisha naungana na ninyi kwenye hiyo safari.
I know how to reach you.
Happy New Year.
Kucha zinaharibika ukiwa unashuka maana ni slope so vidole vinakimbilia mbele
Sawa panga tarehe.
Niko fiti fizikale labda kakitambi nipunguze kidogo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kucha kama ni ndefu hasa wadada zinaharibika kipindi cha kushuka maana vidole vinakimbilia mbele zaidi vinakutana na kingo za viatuMkuu kucha za vidole vya miguu ziling'ookaje? ulikuwa umevaa kandambili au? manake kabla ya kupanda mlima Kilimanjaro ni lazima ufanye preparation ya vitu vifuatavyo:
1.Viatu vigumu (Boots) lakini viwe vyepesi ili kukusaidia kutembea bila kuchoka.
2.Soksi pair 4 ndefu safi na nzito.
3.Mycotta powder.
4 Gloves safi zenye sufi ndani.
5.Jacket au pullover zito.
6.Boshori lile kofia la sweta linalofunika kichwa na kuacha sehemu ya macho tu.
7.Miwani nyeusi kupunguza mng'ao wa theluji.
7.Climbing stick
8.Kibuyu au chupa ya maji.
9.Back pack kwa ajili ya kuhifadhi vitu vidogo vidogo kama glucose,biscuits,juice n.k.
Hayo ndio mahitajio ya msingi unayotakiwa kuconsider kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuambie tuu hizo nguvu za kutaka kugegeda hutakuwa nazo hata ukiwekewa hapo haugusi, si ajabu ukawa umeanza kulia ukifika mandara, wata wanagegedana makishuka mlimani kulipana fadhila ya yaliyotokea huko juuInachukua siku ngapi kutoka hapo kinapa hadi uhuru peak..
Hayo mabweni mnatenganishwa wanaume na wanawake??
Nikitaka kugegeda hiyo nafasi ipo?
Naruhusiwa kutembea na pombe?
Kule juu karibia uhuru peak nimeona kundi zima mmevaa mabuti na makoti sare na torch mnapewa au inatakiwa ununue kabla?
Gharama halisi ni shi ngapi kutokea mwanzo wa kupanda mlima hadi mwisho?
Hao ambao afya zao zilisumbua hawakupewa certificate?
Je ukishindwa kufika kilele ukaishia njiani pesa yako inarudishwa kidogo?
Mazingira ya pale uhuru peak hakuna mtu mwenye pesa zake anaweza kutengeneza hotel ndogo ya kifahari akaweka club na lounge iki tukienda huko angalau tukae hata week2 kileleni..
Nikichukua private jet inishushe hadi hapo uhuru peak nipige picha niondoke zangu inawezekana?
Nimewahi kuona mwanajeshi mlemavu anasifiwa kwa kupanda mlima akiwa na baiskel ya walemavu je kuna ukweli na hayo mawe aliwezaje?
Nikuambie tuu hizo nguvu za kutaka kugegeda hutakuwa nazo hata ukiwekewa hapo haugusi, si ajabu ukawa umeanza kulia ukifika mandara, wata wanagegedana makishuka mlimani kulipana fadhila ya yaliyotokea huko juu
Sent using Jamii Forums mobile app
AaaminKakitambi katapungua tu na tizi!!halafu HOE kasema hakina athari mwezi August utapendeza zaidi
Nilivyoanza kusoma nimeona HOE kaeka budget yake $1500, ninavyojua inaweza kuwa cheap zaidi ya hapo ukitumia makampuni ambayo ni cheap mengi yapo moshi mjini na pia unaangalia high season utatoboka mzee, low season ndio deal ila ndio ujiandae kwa hali ngumu huko mlimani, kingine badala ya kutumia gharama kubwa za kuishi (hotel ya kitalii) zaidi ya wiki kuzoea hali ya hewa ya mosh unaweza kuwahi (na kuish logde za mtaami) na kuanza ku 'trot' mpaka mweka na kurudi nakuambia ukifika kule kilimakyraro na kurudi mara sita utakuwa uko vizuriGharama halisi za kupanda ni sh ngap mkuu..
Umejibu swali la kugegeda tu inaonekana nawewe ni mdau sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa mimi guider wetu alikua anatueleza hili baridi ni kali mpk akutupa mfano kuna baadhi ya wageni wake washashindwa kufungua zip wajisaidie haja ndogo walikua njiani so yeye ndo ikambidi amfungulie na amshushie nguo ajisaidie na ukizingatia anakwambia alikua ni mdada huyo sema ckuweza kumuulizia uyo mzungu alikua wa nchi ganiHeaven on Earth ,
..HONGERA sana.
..umezungumzia BARIDI kali kadiri mlivyokuwa mkipanda mlima.
..Je, hiyo ni mara yako ya kwanza kukutana na baridi kali.
..Umewahi kuishi ktk nchi zenye baridi kama Canada, Usa, au nchi yoyote ya bara ulaya?
..Je, kuna tofauti kubwa kati ya baridi ya majira ya winter na baridi ya wakati wa kupanda mlima Kilimanjaro?