Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,364
- 12,456
abunuwas nyumba yake
iliungua moto,akifikiria atafanyaje na
yale majivu ya nyumba yake akapata jibu,akayapakia magunia kibao ya
majivu kwenye punda akafanya safari
ya kwenda nchi ya mbali, kufika kule
alikuwa na gunia moja lililokuwa na
sugari.Akatangazia mji ule kuwa
amekuja na biashara ya sukari nzuri sana...wakuu wa mji ule wakapikiwa
chai yenye sukari wakaipenda
sana.Abunuwas akafanya biashara
nzuri ya kuuza na yale magunia yote
ya majivu nakurejea kijiji kwake
akiwa na ukwasi mkubwa wa fedha.... Wanakijiji wakajiuliza huyu bwana
imekuwaje kaondoka na yale majivu
ya nyumba yake iliyoungua na kurejea
na mihela mingi?!...wakajiongeza
wenyewe kwa kuchoma majumba yao
na miti ili wapate majivu mengi kwenda kufanya biashara alipotokea
Abunuwasi...
kilichotokea huko nitamalizia baadae!
iliungua moto,akifikiria atafanyaje na
yale majivu ya nyumba yake akapata jibu,akayapakia magunia kibao ya
majivu kwenye punda akafanya safari
ya kwenda nchi ya mbali, kufika kule
alikuwa na gunia moja lililokuwa na
sugari.Akatangazia mji ule kuwa
amekuja na biashara ya sukari nzuri sana...wakuu wa mji ule wakapikiwa
chai yenye sukari wakaipenda
sana.Abunuwas akafanya biashara
nzuri ya kuuza na yale magunia yote
ya majivu nakurejea kijiji kwake
akiwa na ukwasi mkubwa wa fedha.... Wanakijiji wakajiuliza huyu bwana
imekuwaje kaondoka na yale majivu
ya nyumba yake iliyoungua na kurejea
na mihela mingi?!...wakajiongeza
wenyewe kwa kuchoma majumba yao
na miti ili wapate majivu mengi kwenda kufanya biashara alipotokea
Abunuwasi...
kilichotokea huko nitamalizia baadae!