Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni saa ngapi mnafanya family plan na wenza wenu?Jamani leo hakuna mwendelezo??
Ngoja nilale nikisubiria part 4!Goonite mumyHehehe....OaO mbona unanipaisha hivyo mtu wangu??!!part 3 kesho Mungu akinijalia nguvu na hali nzuri!
Nimemuona Mchungaji kapita hapa na Bible yake, ngoja nimuangalie kwanza kama hayupo hapa,.......Kuna mtu namsubiria nimfungulie mlango!!
Enhe nieleze...
Nimemuona Mchungaji kapita hapa na Bible yake, ngoja nimuangalie kwanza kama hayupo hapa,.......
Maana ni very strange leo kutwa nzima Mchungaji hajaonekana mitaa hii nashangaa anaibuka saa hizi.
Sijajuwa leo ni wapi kuna mkesha wa maombi.
Mwe, Osama style. Takbir.Nimepata motomoto kwamba alikua kwenye mazishi ya MS...eti kazikwa baharini!!
Alafu kashaenda kulala!!!
.........mwanya banaEnhe... karibu jino litaota kwenye lile pengo!!
Najipulizia pafume kwanza, ninukie utuli.Mwanya unakuwepo muda wote...pengo linafunga!!!
Lizzy naomba muongozi wako tafadhali, kwa nini part 3 imekuwa fupi sana? nasubiri tena mwendelezoMwendelezo......