Sina chuki na uislam ila ukitaka kuwakaribisha kwako ni lazima ufikiri Mara 10000

Sina chuki na uislam ila ukitaka kuwakaribisha kwako ni lazima ufikiri Mara 10000

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Dini ya kislam ni dini nzuri saana napenda wanavyomtii Mungu wao allah

Na mtume wao napenda wanavyoheshimu mila na desturi zao Ila nachukia sana kwa tabia zao
Tabia Za kujiona bora kuliko wengine. Na tabia Za kutaka kutawala wengine. Hizi tabia sio nzuri katika dunia ya sasa.

Mwaka 2017 kipindi tunafika uku Canada. Kulitokea matukio mbali mbali ya ajabu

Kuna kundi Fulani la ndugu zetu waislam walitaka kuanzisha msikiti wao katika Eneo la staint Foy Quebec City kukatokea wazungu wenye Chuki na uislam wakaenda kupiga watu risasi msikitini umo wakaua waislam kadhaa.

Swala ilo Likawapa serekali nguvu ya kutengeneza kitengo cha kulinda haki Za waislam kitengo icho kinaitwa anti Islamophobia apa Quebec City kikiongozwa na mwanamke ambaye anaitwa Amira Elghawaby

Wakapewa na uhuru wa kuabudu na kufanya mambo Yao mengine kama dini zingine hapa Canada
ila kwasasa sio viongozi au wananchi wote wanajuta kuwapa ndugu zetu waislam uhuru wamekuwa watu wa matukio tu kila kikucha

Katika mitaa ya Montreal ( Quebec) toronto ( ontario) na Vancouver( British colobia ) na calgary ( aliberta) wamekuwa watu wa matukio tu wanafanya ibada zao katika njia Za kupitia magari na watu wanajazana katika barabara wanaandamana kila kukicha na kuaribu Baathi ya vitu Fulani

Juzi juzi uyo. Amira Elghawaby. Alisema ni lazima shule Za Quebec zihanze juajiri wanafanyakazi waislam na waarabu.Ukikuta wao ndo wako mbele ndugu yangu kama Wewe ni wa Imani nyingine hupati kazi. Wazungu wanajuta.


View: https://youtu.be/mJhWfqVbCDk?feature=shared


View: https://youtu.be/S1YSxMUPBNw?feature=shared
 
maostaz wameyageuza madrasa kuwa gestii mle hapafai tenaaa
FB_IMG_1730500986169.jpg
 
Wewe mswahili wa Mpitimbi unaandika habari za Waislamu na Jews wa Canada!

Ulipotoka hujaacha Uislam hapa Bongo!

Sidhani kama upo Canada huu muandiko ni wa kwenye vibanda vya mabati vya kupigia makelele Jumapili!
 
Dini ni ushabiki tu, kila mtu anamshabikia mungu wake.

Muislamu anaona mkristo ni muasi na mkristo hivyo hivyo kwa muislamu.

Hawataki kuwatawala wanataka kuwasilimu kama nyie mnavyotaka waokoke mnawapeleka kwa mwamposa.
Kila mtu anavutia kwake.
 
Kufanya ibada huwa siyo kila siku huwa kwa tukio either eid au swala ya ijumaa bas sasa hapo chuki inakuwa wap
Uislam hawchukiwi kwasababu ya ibada zao no kwa sababu ya tabia zao
Unaweza Vipi kwenda kufanya ibada njiani ambako kunapita watu na magari
Munaweza Vipi kuanza ku impose matamshi ya kibaguzi zidi ya dini zingine
Mnaweza Vipi kujitawala kwa wenzetu this is not fear huu ni uchokozi
 
Dini ni ushabiki tu, kila mtu anamshabikia mungu wake.

Muislamu anaona mkristo ni muasi na mkristo hivyo hivyo kwa muislamu.

Hawataki kuwatawala wanataka kuwasilimu kama nyie mnavyotaka waokoke mnawapeleka kwa mwamposa.
Kila mtu anavutia kwake.
Ukristo hujawahi kuwa na tabia hizo labda ukristo wawakoloni
 
Sasa unaachana na marafiki wa kikristo, Wayahud wenye akili nzuri wajanja wanyenyekevu unafuata marafiki gani sasa
 
Dini ni ushabiki tu, kila mtu anamshabikia mungu wake.

Muislamu anaona mkristo ni muasi na mkristo hivyo hivyo kwa muislamu.

Hawataki kuwatawala wanataka kuwasilimu kama nyie mnavyotaka waokoke mnawapeleka kwa mwamposa.
Kila mtu anavutia kwake.

Hata manyani ni hivyo hivyo na ma nanihii yao.

Pumzika kwa amani JKN ulijua namna ya kuyananga madini na makabila!

Dini ipi kwake ilifurukuta?
 
Maajabu hayawezi kuisha...
Kuna wadau humu Tangu utotoni wanaishi na majirani na marafiki waislamu.
Ukimuuliza ni lini muislam aliwahi kukunyanyasa au kukudhuru hana jibu.

Kuna waislamu marafiki zao wakubwa ni wakristo na kuna wakristo marafiki zao wakubwa ni waislamu na hawajawahi kukwaruzana kwa utofauti wa dini zao.

HIZI DINI NI MZIGO.
Huyu anaiona Dunia ni ya Mungu wake, na yule anaiona Dunia ni ya Mungu wake pia.

Kwanza huyo Mungu hayupo...Mnajisumbua tu.
 
Dini ya kislam ni dini nzuri saana napenda wanavyomtii Mungu wao allah
Na mtume wao napenda wanavyoheshimu mila na desturi zao
Ila nachukia sana kwa tabia zao
Tabia Za kujiona bora kuliko wengine
Na tabia Za kutaka kutawala wengine
Hizi tabia sio nzuri katika dunia ya sasa
mwaka 2017 kipindi tunafika uku Canada
Kulitokea matukio mbali mbali ya ajabu
Kuna kundi Fulani la ndugu zetu waislam walitaka kuanzisha msikiti wao katika Eneo la staint Foy Quebec City kukatokea wazungu wenye Chuki na uislam wakaenda kupiga watu risasi msikitini umo wakaua waislam kadhaa
Swala ilo Likawapa serekali nguvu ya kutengeneza kitengo cha kulinda haki Za waislam kitengo icho kinaitwa anti Islamophobia apa Quebec City kikiongozwa na mwanamke ambaye anaitwa Amira Elghawaby
Wakapewa na uhuru wa kuabudu na kufanya mambo Yao mengine kama dini zingine hapa Canada
ila kwasasa sio viongozi au wananchi wote wanajuta kuwapa ndugu zetu waislam uhuru wamekuwa watu wa matukio tu kila kikucha
Katika mitaa ya Montreal ( Quebec) toronto ( ontario) na Vancouver( British colobia ) na calgary ( aliberta) wamekuwa watu wa matukio tu wanafanya ibada zao katika njia Za kupitia magari na watu wanajazana katika barabara wanaandamana kila kukicha na kuaribu Baathi ya vitu Fulani
Juzi juzi uyo. Amira Elghawaby
Alisema ni lazima shule Za Quebec zihanze juajiri wanafanyakazi waislam na waarabu
Ukikuta wao ndo wako mbele ndugu yangu kama Wewe ni wa Imani nyingine hupati kazi
Wazungu wanajuta

View: https://youtu.be/mJhWfqVbCDk?feature=shared


View: https://youtu.be/S1YSxMUPBNw?feature=shared

Pole sanaa, kumbe hamkujuaaa?
 
Wewe mswahili wa Mpitimbi unaandika habari za Waislamu na Jews wa Canada!

Ulipotoka hujaacha Uislam hapa Bongo!

Sidhani kama upo Canada huu muandiko ni wa kwenye vibanda vya mabati vya kupigia makelele Jumapili!
Punguza jazba kama kawaida yenu, zingatia hoja (Logic) ya mleta mada
 
Kuna uzi niliuanzisha humu , ila sikuumalizia kuhusu hili swala, ila ktuna muungwana akanisihi ni stop kwanza.
 
Back
Top Bottom