Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Fanya maamuzi leo Kataa ndoa au chaputa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpeleke JKT akafundishwe ukakamavu na uzalendoWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Hii kidogo itamuamsha akili zinduka kijana👍Pole sana ndugu, huyu mkeo ulimjua kwa muda gani kabla ya kufunga ndoa? Nini kilikuvutia kwake hadi ukamuoa, ni chaguo lako au ulichaguliwa na wazazi? Kabla hujamuoa alikua anajishughulisha na nini na sasa anajishughulisha na nini
Makubaliano yenu na amalengo yenu kabla ya ndoa yalikua ni yapi?
Umewahi kukaa nae chini ukazungumza nae kuhusu hizo kero unaziona kwake?responce yake ilikua ipi?
Miezi minne ni michache sana kuanza kusema umemchoka mke ambae umemuoa, nafasi yako kama mume na kauli yako(we call it voice of authority) inaweza badilisha kila kitu ndani ya nyumba, simama kama mwanaume kemea yasiyo sahihi na utoe mwongozo wa maisha kwa huyo mkeo
unajua sikuhizi wavulana wanaingia kwenye ndoa wakiwa na expectations, mtu anavyomlalamikia mkewe utadhani amechagulia na kuozeshwa kumbe kaamua mwenyewe tena akiwa timamuHii kidogo itamuamsha akili zinduka kijana👍
Hii mihemko Hatari sana itaua vijana🤣🤣🤣unajua sikuhizi wavulana wanaingia kwenye ndoa wakiwa na expectations, mtu anavyomlalamikia mkewe utadhani amechagulia na kuozeshwa kumbe kaamua mwenyewe tena akiwa timamu
Hawa vijana wanatakiwa wapelekwe jandoni wakafunzwe namna ya kuwa mwanaumeHii mihemko Hatari sana itaua vijana🤣🤣🤣
Hizi Hatua za ukuaji ukuaji kunanyakati tunazipita zinaenda kusumbua utuuzima🤣🤣🤣patam apo jando zenyew hazielewekiHawa vijana wanatakiwa wapelekwe jandoni wakafunzwe namna ya kuwa mwanaume
Kosea Kuoa/Kuolewa Maana Mnaweza Kuachana Muda WowoteWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
🤣🤣🤣🙌Kosea Kuoa Maana Mnaweza Kuachana Muda Wowote
Lakini Ukikosea Kuchagua Rais, Mbunge, Diwani Ujue Mpaka Miaka Mitano Iishe
Ama Kutokee Kifo Ama Kujiuzuru
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mnatuchanganya mlisema mnataka golikipa
Sasa hivi mnaelemewa..
🤣🤣Ukiona muda wa breakfast mwanaume unawazia ndoa yako kweli umekamatika..
Pole mkuu ila jaribu kuongea nae kama ni muelewa maana naamini, hadi unafikia kumuoa, lazma ulikuwa na strong reasons za kufanya hivyo. Kwa hiyo katika sehemu uliyofikia ambayo unaliona dhaifu moja la mtu, usijisahaulishe mengine yote uliyoyaona kwa kulinganisha na ndoa za wengine au matarajio yako
Naamini bado unaweza kuongea nae mkuu maana mti usiokupa matunda unaweza usiukate kwa sababu unakupa kimvuli.. Msemo wa zamani nilipewa 😁
Pole mkuu
Nyansh***🤣🤣🤣Bora uoe mwanamke anayefanana sura na fid q lakini mpambanaji lakini wewe umeoa kutazama sura na big nyashi kutwa yupo TikTok na insta.
Mpende Ivo Ivo alivyo hakuna namna
Ingekua hakuna nyege tungetoboa bila wasi😃😃One of the effects of NYEGE