Pre GE2025 Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inawalazimu kuwaingiza na wao barabarani maana hayo mapendekezo ya kutaka kila jimbo liwe na wabunge wawili yanalengo kuwaingiza bungeni baba zao na mama zao.

Watanzania wa kawaida wamegoma kuingizwa barabarani kwa faida ya wajanja wachache ndani ya chama.
Wewe ni mpotoshaji na mtetezi wa uovu usiyestahili kuheshimiwa hata kidogo..!

Na watu wa dizaini yako si makosa kabisa kukuita mjinga, mpumbavu, limbukeni, muuaji na mpenda uonevu..

Sikiliza bwana ili utoe ujinga wako.

Ni kwamba mapendekezo ya CHADEMA ya Kila Jimbo kuwa na mbunge mmoja wa kiume na wa kike wa kuchaguliwa yanatoka ktk rasimu ya katiba ya Jaji Warioba na Tume yake. Soma👇👇
Screenshot_20240114_123922_Adobe Acrobat.jpg

Ukisoma hapo utagundua kuwa kama pendekezo la CHADEMA litakubalika, idadi ya wabunge itapungua kutoka ya sasa ya 390+ hadi wabunge wasiozidi 155..

Katika hili, baba na mama zako wataingilia wapi maana kwa pendekezo hili hakuna mbunge wa kuteuliwa atakayeingia bungeni. Kila mbunge atachaguliwa na wananchi moja Kwa moja toka majimboni..

Wewe unaelewa hili? Au unaandika uliyorishwa tu na mabwana zako huko bila wewe mwenyewe kutumia akili na ufahamu wako kusoma na kuelewa??

Ma - CCM sijui mna akili gani tu!!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.

Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Panyabuku, yale maandamano yaliyomuua mwanafunzi watoto wa Mbowe na Lissu walikuwepo, yale maandamano ya Arusha ambayo Slaa na mkewe walijeruhiwa huyo Slaa na mkewe walikuwa kwa mkeo! Wewe badala ya kuhoji teuzi za mabwana zako wanazowapa watoto wao unaleta ujinga wa kipumbavu.
 
Panyabuku, yale maandamano yaliyomuua mwanafunzi watoto wa Mbowe na Lissu walikuwepo, yale maandamano ya Arusha ambayo Slaa na mkewe walijeruhiwa huyo Slaa na mkewe walikuwa kwa mkeo! Wewe badala ya kuhoji teuzi za mabwana zako wanazowapa watoto wao unaleta ujinga wa kipumbavu.
Inaonekana wewe ni mke wa mwenyekiti, maana povu limekutoka baada ya kuambiwa kuwa mtaandamana na waume zenu siku hiyo.
Pole dada ndo hasara ya kuolewa na mwanasiasa wa Africa.
 
Kwa vile wananchi wameonekana kuogopa kuingia barabarani kuandamana, na kwa vile viongozi wa Chadema hawataki kuona siku hiyo inapita bila maandamano. Ndo wameamua kuja na mpango huo ambao utaonesha kuwa kweli watu wameandamana japo kwa uchache wao.
Wananchi wa wapi hao uliowatembelea ukawakuta na hiyo hofu?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.

Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Nani alikudanganya Kuna watoto Merikani!!
 
Marehemu Mawazo alikuwa mstari wa mbele kukipigania chadema ,aliuawa kikatili mno!. Familia yake iliambulia pole na mfuko wa sukari kilo mbili. Nyumba aliyoiacha marehemu imebaki vile vile pasipo muendelezo wowote (maana ilikuwa haijamalizika).
 
Watoto wa Mbowe na Lissu ambao ni walamba asali ni raia wa nchi za nje halafu anatokea mnyonge mmoja ambaye hata hajawahi kupanda gari la mkoani anakuja kupambana kwenye maandamano ili hizo familia ziendelee kuishi vizuri, hii haipo sawa.

Unakuta wanawake kama akina Erythrocyte wanapambana hapa kila siku na kushindwa kulinda waume zao ili tuu familia za walamba asali waishi vizuri.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.

Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Upuuzi
 
Inaonekana wewe ni mke wa mwenyekiti, maana povu limekutoka baada ya kuambiwa kuwa mtaandamana na waume zenu siku hiyo.
Pole dada ndo hasara ya kuolewa na mwanasiasa wa Africa.
Tutakutafuta tukupeleke Mloganzila wakakuongeze bando la makalio.
 
Ccm itatawala milele vijana wa Tanzania ni kama wamelala usingizi wa mauti.
Kizazi cha chuma cha 1995 na 2000 kilishapita saasa taifa halina vijana lina mzigo wa misumari.
CCM HOYEEEEE
 
Nani alikudanganya Kuna watoto Merikani!!
Baba zao washasema serikali ya Tanzania imekuwa inakataa kutoa visa kwa watoto wao ambao tayari ni raia wa Marekani. Hivyo wanataka uraia pacha.
 
Marehemu Mawazo alikuwa mstari wa mbele kukipigania chadema ,aliuawa kikatili mno!. Familia yake iliambulia pole na mfuko wa sukari kilo mbili. Nyumba aliyoiacha marehemu imebaki vile vile pasipo muendelezo wowote (maana ilikuwa haijamalizika).
Wenye akili timamu wajifunze kupitia marehemu Mawazo, Ben nk
Maana kuna watu mpaka leo ni vilema kupitia bomu la soweto kule Arusha na bado hakuna anaewajali.
 
Yaani
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.

Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Chalamila anataka kuwapa kiki Chadema, chadema iko hoi, inatafuta sababu ya kususia uchaguzi wa serikali za mita 2024, mimi nashauri, serikali itoe ulinzi, wafanye maandamano halafu waziri wa sheria aende kuwasikiliza na kuchukua maoni yao na kuwaambia tutayapitia na kuyatolea ufafanuzi, katika maandamano hayo kazi ya polisi iwe kufanya uchunguzi nani ataonyesha viasharia vya kuvunja amani iwe kwa kutenda au kuongea, huyo ndo ashughulikiwe.
 
Kwa vichekesho kama hivi tupige ngapi[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] ulete umarekani wako kwa masrahi ya fisihemu dadekii. una nyolewa nje ya ubalozi wa US
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chade kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Wakiitwa watu wenye akili timamu, na wewe utaenda?

Mods, jukwaa hili lilikusudiwa kwa watu wenye utimamu wa akili kwaajili ya kujadiliana, kupeana habari na kufanya analyses mbalimbali. Nina hakika jukwaa halikuwa kwaajili ya umbea. Mnapozidi kuzilea tabia hizi, mbashusha hadi ya jukwaa.
 
Back
Top Bottom