Pre GE2025 Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo ni Chai, mbowe mnafiki sana.
Maandamano yasipofanikiwa itakuwa busara Mbowe ajiuzuru na Chadema ichague kiongozi mwingine!! Huku nyuma anafanya Mipango na ccm halafu akija hadharani anawakashifu!!
Hakuna Uhuru wa kweli unaokuja kwa watawala kuachia ngazi kwa hiari yao! Hayo maridhiano ni ishara ya woga; ccm hawawezi kuachia madaraka mpaka watu wafe ili waende ahera!
 
Hukumuelewa mleta uzi na swali ambalo ni muhimu sana
Ukitumia akili ya kuzaliwa na kuacha kutumia akili ya kuwekewa na wanasiasa wachovu watanzania. Utagundua alichoandika jamaa kina ukweli na kinafikirisha.

Ila ndo hivyo wanasiasa wanatumia pesa kusomesha watoto zao Ulaya, na kuwatumia watoto wa wenzao Afrika. Just fikiria kikubwa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240116-062853.jpg
    Screenshot_20240116-062853.jpg
    81.4 KB · Views: 1
Maandamano yasipofanikiwa itakuwa busara Mbowe ajiuzuru na Chadema ichague kiongozi mwingine!! Huku nyuma anafanya Mipango na ccm halafu akija hadharani anawakashifu!!
Hakuna Uhuru wa kweli unaokuja kwa watawala kuachia ngazi kwa hiari yao! Hayo maridhiano ni ishara ya woga; ccm hawawezi kuachia madaraka mpaka watu wafe ili waende ahera!
Mbowe he's there to stay. Chama ni cha kwake na mkwe wake, wanachadema wote wapo mfukoni kwake. Hakuna chawa wala kiongozi uchwara yeyote atakaempangia nini cha kufanya.

Anavuta mpunga kutoka serikalini, na hakuna mjinga yoyote wa kumzuia yeye kufanya hivyo. Anaeona anaumia akaanzishe chama chake na yeye.
 
Wewe ni mpotoshaji na mtetezi wa uovu usiyestahili kuheshimiwa hata kidogo..!

Na watu wa dizaini yako si makosa kabisa kukuita mjinga, mpumbavu, limbukeni, muuaji na mpenda uonevu..

Sikiliza bwana ili utoe ujinga wako.

Ni kwamba mapendekezo ya CHADEMA ya Kila Jimbo kuwa na mbunge mmoja wa kiume na wa kike wa kuchaguliwa yanatoka ktk rasimu ya katiba ya Jaji Warioba na Tume yake. Soma👇👇
View attachment 2871400
Ukisoma hapo utagundua kuwa kama pendekezo la CHADEMA litakubalika, idadi ya wabunge itapungua kutoka ya sasa ya 390+ hadi wabunge wasiozidi 155..

Katika hili, baba na mama zako wataingilia wapi maana kwa pendekezo hili hakuna mbunge wa kuteuliwa atakayeingia bungeni. Kila mbunge atachaguliwa na wananchi moja Kwa moja toka majimboni..

Wewe unaelewa hili? Au unaandika uliyorishwa tu na mabwana zako huko bila wewe mwenyewe kutumia akili na ufahamu wako kusoma na kuelewa??

Ma - CCM sijui mna akili gani tu!!
Kasema wabunge 70 wa kuchaguliwa, ina maana Tz nzima tutakuwa na majimbo 35? Hapana aisee, hio mm nakataa
 
Wewe ni mpotoshaji na mtetezi wa uovu usiyestahili kuheshimiwa hata kidogo..!

Na watu wa dizaini yako si makosa kabisa kukuita mjinga, mpumbavu, limbukeni, muuaji na mpenda uonevu..

Sikiliza bwana ili utoe ujinga wako.

Ni kwamba mapendekezo ya CHADEMA ya Kila Jimbo kuwa na mbunge mmoja wa kiume na wa kike wa kuchaguliwa yanatoka ktk rasimu ya katiba ya Jaji Warioba na Tume yake. Soma👇👇
View attachment 2871400
Ukisoma hapo utagundua kuwa kama pendekezo la CHADEMA litakubalika, idadi ya wabunge itapungua kutoka ya sasa ya 390+ hadi wabunge wasiozidi 155..

Katika hili, baba na mama zako wataingilia wapi maana kwa pendekezo hili hakuna mbunge wa kuteuliwa atakayeingia bungeni. Kila mbunge atachaguliwa na wananchi moja Kwa moja toka majimboni..

Wewe unaelewa hili? Au unaandika uliyorishwa tu na mabwana zako huko bila wewe mwenyewe kutumia akili na ufahamu wako kusoma na kuelewa??

Ma - CCM sijui mna akili gani tu!!
Tena anasema wabunge 50 bara, ina maana bara tutabaki na majimbo 25, ina maana kila mkoa utakuwa jimbo ? Hapana aisee hio mbaya
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.

Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Kwaiyo mmarekani aje kuandamana bongo?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.

Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.

Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.

Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.

Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.

Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.

Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, atawezakuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?

Mwenye jibu aje ajibu.

Karibuni.
Takataka..
Kwa hiyo kila anayesoma nje anakuwa raia wa huko?

Ridhiwani Kikwete aliyesoma Uingereza amekuwa mwingereza? Acha upimbi.
Uvccm mnateseka sana!
 
Takataka..
Uvccm mnateseka sana!
Siku hizi ni kama watanzania washashtuka aisee. Kila wapinzani wakipanga maandamano, waandamanaji wanaomba kwanza familia za wanaopanga maandamano ziwe frontline alafu na wao ndio waingie barabarani.

Hii imesababisha maandamano yote yanayopangwa na wapinzani yadode.. maana familia za wanaopanga maandamano hazitokei maandamanoni na waandamanaji nao wanakwepa kuingia barabarani 🤣🤣🤣
 
Maandamano yasipofanikiwa itakuwa busara Mbowe ajiuzuru na Chadema ichague kiongozi mwingine!! Huku nyuma anafanya Mipango na ccm halafu akija hadharani anawakashifu!!
Hakuna Uhuru wa kweli unaokuja kwa watawala kuachia ngazi kwa hiari yao! Hayo maridhiano ni ishara ya woga; ccm hawawezi kuachia madaraka mpaka watu wafe ili waende ahera!
Hakika huu ndo ukweli.
 
Kasema wabunge 70 wa kuchaguliwa, ina maana Tz nzima tutakuwa na majimbo 35? Hapana aisee, hio mm nakataa
Umesoma vizuri na kwa umakini Kwa lengo la kuelewa pendekezo la CHADEMA vs Rasimu ya katiba ya Tume ya mabadiliko ya katiba ya Jaji warioba?

Nadhani ndugu Beberu hujasoma. Sasa rudi Tena ukasome, uelewe na Kisha njoo tena tujadiliane...

Hata hivyo;

👉Kama ni 70 maana yake ni majimbo 70 na Kila Jimbo kutakuwa na mwakilishi mmoja wa wanaume na mmoja wa wanawake. Jumla itakuwa wabunge 140 direct toka majimboni..

👉Wapo wa kutoka Zanzibar na wale wa kuteuliwa na Rais. Jumla hawatazidi wabunge 250!!
 
Back
Top Bottom