Maandamano yasipofanikiwa itakuwa busara Mbowe ajiuzuru na Chadema ichague kiongozi mwingine!! Huku nyuma anafanya Mipango na ccm halafu akija hadharani anawakashifu!!Hiyo ni Chai, mbowe mnafiki sana.
Chalamila ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mkuu, sio Kagera.Bukoba ndio iko Kipundua waende huko wakafanye usafi pia.
Ukitumia akili ya kuzaliwa na kuacha kutumia akili ya kuwekewa na wanasiasa wachovu watanzania. Utagundua alichoandika jamaa kina ukweli na kinafikirisha.Hukumuelewa mleta uzi na swali ambalo ni muhimu sana
Mbowe he's there to stay. Chama ni cha kwake na mkwe wake, wanachadema wote wapo mfukoni kwake. Hakuna chawa wala kiongozi uchwara yeyote atakaempangia nini cha kufanya.Maandamano yasipofanikiwa itakuwa busara Mbowe ajiuzuru na Chadema ichague kiongozi mwingine!! Huku nyuma anafanya Mipango na ccm halafu akija hadharani anawakashifu!!
Hakuna Uhuru wa kweli unaokuja kwa watawala kuachia ngazi kwa hiari yao! Hayo maridhiano ni ishara ya woga; ccm hawawezi kuachia madaraka mpaka watu wafe ili waende ahera!
Joyce mukya ushafika dada?Rubbish, ndiyo mumekubaliana na hivyo na mumeo?
Kasema wabunge 70 wa kuchaguliwa, ina maana Tz nzima tutakuwa na majimbo 35? Hapana aisee, hio mm nakataaWewe ni mpotoshaji na mtetezi wa uovu usiyestahili kuheshimiwa hata kidogo..!
Na watu wa dizaini yako si makosa kabisa kukuita mjinga, mpumbavu, limbukeni, muuaji na mpenda uonevu..
Sikiliza bwana ili utoe ujinga wako.
Ni kwamba mapendekezo ya CHADEMA ya Kila Jimbo kuwa na mbunge mmoja wa kiume na wa kike wa kuchaguliwa yanatoka ktk rasimu ya katiba ya Jaji Warioba na Tume yake. Soma👇👇
View attachment 2871400
Ukisoma hapo utagundua kuwa kama pendekezo la CHADEMA litakubalika, idadi ya wabunge itapungua kutoka ya sasa ya 390+ hadi wabunge wasiozidi 155..
Katika hili, baba na mama zako wataingilia wapi maana kwa pendekezo hili hakuna mbunge wa kuteuliwa atakayeingia bungeni. Kila mbunge atachaguliwa na wananchi moja Kwa moja toka majimboni..
Wewe unaelewa hili? Au unaandika uliyorishwa tu na mabwana zako huko bila wewe mwenyewe kutumia akili na ufahamu wako kusoma na kuelewa??
Ma - CCM sijui mna akili gani tu!!
Tena anasema wabunge 50 bara, ina maana bara tutabaki na majimbo 25, ina maana kila mkoa utakuwa jimbo ? Hapana aisee hio mbayaWewe ni mpotoshaji na mtetezi wa uovu usiyestahili kuheshimiwa hata kidogo..!
Na watu wa dizaini yako si makosa kabisa kukuita mjinga, mpumbavu, limbukeni, muuaji na mpenda uonevu..
Sikiliza bwana ili utoe ujinga wako.
Ni kwamba mapendekezo ya CHADEMA ya Kila Jimbo kuwa na mbunge mmoja wa kiume na wa kike wa kuchaguliwa yanatoka ktk rasimu ya katiba ya Jaji Warioba na Tume yake. Soma👇👇
View attachment 2871400
Ukisoma hapo utagundua kuwa kama pendekezo la CHADEMA litakubalika, idadi ya wabunge itapungua kutoka ya sasa ya 390+ hadi wabunge wasiozidi 155..
Katika hili, baba na mama zako wataingilia wapi maana kwa pendekezo hili hakuna mbunge wa kuteuliwa atakayeingia bungeni. Kila mbunge atachaguliwa na wananchi moja Kwa moja toka majimboni..
Wewe unaelewa hili? Au unaandika uliyorishwa tu na mabwana zako huko bila wewe mwenyewe kutumia akili na ufahamu wako kusoma na kuelewa??
Ma - CCM sijui mna akili gani tu!!
Kwaiyo mmarekani aje kuandamana bongo?Habari zenu wanaJF wenzangu,
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.
Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.
Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.
Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.
Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.
Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.
Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, ataweza kuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?
Mwenye jibu aje ajibu.
Karibuni.
Takataka..Habari zenu wanaJF wenzangu,
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam RC Albert Chalamila, jana alitangaza kuwa mkoa wa Dar es salaam utakuwa katika operation ya kufanya usafi siku ya tar 24/01/2024, siku ambayo pia ilipangwa kufanyika maandamano ya chama cha upinzani nchini Chadema.
Watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa huenda ratiba hiyo ya kufanya usafi imepangwa ili kuzima maandamano hayo ya Chadema yaliotangazwa kufanyika tarehe hiyo hiyo ya 24, mwezi wa kwanza na mwenyekiti wao taifa mh Freeman Mbowe. Kwa kawaida kwa vile vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitashiriki katika operation hiyo ya usafi basi itakuwa ngumu chama hicho kuingia barabarani kuandamana, na ikitokea watu wakaingia kuandamana basi kila mtu anajua nini kitachotokea.
Sasa kutokana na swala hilo la maandamano kuingiliana na ratiba za dola, inasemekana viongozi wa Chadema ambao ndio walioandaa maandamano hayo wameamua kuja na plan B ili kumtoa mh Chalamila mtegoni.
Taarifa nilizopata kupitia kwa mtu wa ndani, na wa karibu wa chama hicho ambae hakutaka kutaja jina lake, ni kwamba mwenyekiti wa chama hicho taifa amepanga kuwaita watoto wake wote waliopo Marekani warudi mara moja nchini kuja kuungana na wazazi wao, pamoja na ndugu zao (wadogo zao na kaka zao) katika maandamano hayo, halikadhalika M/mwenyekiti mh Lisu nae amepanga kufanya hivyo kama Mbowe. Na yeye amepanga kuwaambia watoto wake warudi mara moja kidharura ili kuungana nao katika maandamano hayo kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na wazazi wao.
Ikumbukwe kuwa watoto hao baadhi ni raia wa Marekani, lkn pia ikumbukwe kuwa maandamano hayo yamepangwa kuwa ni ya amani, hivyo kushiriki kwao hakutakuwa na athari yoyote kwa uraia wao.
Hii ni baada ya kuona watu wengi kuhofia kushiriki katika maandamano hayo ambayo wanasema yatakumbana na balaa lisilotabirika. Hivyo wao kama viongozi walioandaa maandamano, wameamua kuwa mbele ya maandamano hayo na familia zao hata kama raia wa kawaida hawatojitokeza.
Swali je hivi RC Chalamila akitaka kutumia nguvu siku hiyo, atawezakuwagusa vigogo hao na familia zao, special wale ambao tayari ni raia wa Marekani?
Mwenye jibu aje ajibu.
Karibuni.
Siku hizi ni kama watanzania washashtuka aisee. Kila wapinzani wakipanga maandamano, waandamanaji wanaomba kwanza familia za wanaopanga maandamano ziwe frontline alafu na wao ndio waingie barabarani.Takataka..
Uvccm mnateseka sana!
Hakika huu ndo ukweli.Maandamano yasipofanikiwa itakuwa busara Mbowe ajiuzuru na Chadema ichague kiongozi mwingine!! Huku nyuma anafanya Mipango na ccm halafu akija hadharani anawakashifu!!
Hakuna Uhuru wa kweli unaokuja kwa watawala kuachia ngazi kwa hiari yao! Hayo maridhiano ni ishara ya woga; ccm hawawezi kuachia madaraka mpaka watu wafe ili waende ahera!
yaani umeambiwa na wamarekani watashiriki maandamano
Umesoma vizuri na kwa umakini Kwa lengo la kuelewa pendekezo la CHADEMA vs Rasimu ya katiba ya Tume ya mabadiliko ya katiba ya Jaji warioba?Kasema wabunge 70 wa kuchaguliwa, ina maana Tz nzima tutakuwa na majimbo 35? Hapana aisee, hio mm nakataa