Sina hamu kabisa ya kuoa na umri unazidi kwenda

Sina hamu kabisa ya kuoa na umri unazidi kwenda

Nimewaza tu,vipi kama kuna chemistry mmeshindwa kuijenga na mkeo/mzazi mwenzako?na huo mwanya unaukimbia na kwenda kujificha kwenye 'kichaka' cha kutafuta pesa?
Ni kweli kabisa unaambiwa kila mtu ni mvivu katika Jambo flani,huyu jamaa ni mvivu ktk kuishi na mwenza kwahiyo anatafuta sababu ktk kutafuta pesa,huo ndio ukweli, wangapi wanatafuta pesa na wanaishi na wenza wao, jitafakari Mzee unafeli Sana, unapoteza mapenzi na wanao.
 
Zama zetu hizi kuoa ni kujitafutia matatizo ya kujitakia

Tafuta naman ya kusuuza moyo na mwili. fanya kazi zako ndoa acha nayo........
 
Hofu tu mkuu unayo.Tupo wengi wenye 35 na kuendelea but hatuna wasiwasi.Hata hivyo zama hizi kupata na kuishi na hawa wenzetu imekuwa ni changamoto sn.

Ukiwa kwenye ndoa miaka hii ni hatariiii sn,kwani kuua ama kufa wewe ni possible sn
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we jamaa bhn
 
Umeoungukiwa nguvu za kiume ni kawaida ila bora umekubali kutooa maana mke angekutangaza kwa mwanaume anayelala nae kuwa humgongi kabisa na ingekuwa fedhea
 
Kuja mambo mengi

1.Una trauma ambayo hutaki ku admit una historia mbaya na wanawake au mwanamke uliyezaa nae ni km hatoshi kuwa mkeo au una soma taarifa mbaya mbaya kuhusu mahusiano.

2.Una jini mahaba
Mke wangu ameshawahi kuwa na jini mahaba ni balaa sana ni vile tu mimi nina nguvu ya asili kwenye ulimwengu wa roho ila hilo nalo lipo na limewapoteza wengi

3.Wewe unapenda space flani hivi privacy
Binafsi wakati sijaoa nilikuwa na hofu moja kubwa,nitawezaje kukaa na mtu ndani mda mrefu maana mimi nilivyo siwezi kukaa na yeyote yule mda mrefu bila kujitenga mwenyewe kwa mda.Sasa nikawa nawaza itakuwaje hii tabia yangu ya kupenda kukaa mwenyewe tena nyumbani!!!Huwezi amini nilikuwa Nina kila kitu na uwezo wa kuishi na mke ila hofu yangu ilikuwa privacy,itakuwaje nitawezaje??nilivyotoa mali nilikaa na mke wangu chini nikamwambia pamoja na wewe kuniona mi ni charming,social ila siwezi kukaa na mtu mda mrefu hivyo nikikuoa ukiona nipo chumbani mwenyewe au nipo nje na kiti mwenyewe ujue kabisa ndo nilivyo na sijabadilika.

Nikaoa!!!cha ajabu nikajikuta tena siwezi kukaa mbali na mke wangu mda mrefu na hata nikiwa kimya ila nataka yeye awe pembeni tu na ukimya huo huo.

Kuna vitu unaweza kuhisi huviwezi ila ni kwasababu haujawahi jaribu,ukijaribu ni vyepesi sana.

Mke ana raha yake hasa km hukukurupuka kwenye kuoa siku hizi wanaume hatujui kuchagua wanawake tupo busy sana na kuwaza ngono tuna miss wanawake wazuri wa kufanya nao maisha.Utakuwa binti wa Miaka 33 unamuona kabisa mbona huyu binti hana shida ila mume hana sasa hao tunaowaoa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]mmmmh
 
Nachoweza kukushauri ni tafuta msaada wa kiroho, kwa dini yako. Tafuta watu wa kiroho na wakusaidie kwenye dua na maombi. Kidunia hali yako inaweza chukuliwa poa tu na ni kawaida, lakini usijidanganyie hapo, siyo kawaida kuishi hivyo. Zingatia hili, mtafute Mungu sana. Sema naye na fungua roho yako kwake. Kupoteza hamu kama hivyo uanzaga taratibu na uendelea hata kwenye maswala mengine, vitu, kazi, watu, hisia yani taratibu utajikuta hamu ya kuishi nayo huna, inaweza kuwa tatizo liko akilini...lakini bado msaada wa haraka hapo ni Mungu maana sidhani kama kibongo bongo unaweza pata cancelling itakayokufaa. Sijui kama tuna wataalamu wa pyschology. Kama wapo basi unaweza pia waona. Hili si jambo la kuzoea ama kupuuza....maisha matamu wewe, ukipoteza hamu sa utafanyaje? Tumeumbwa tuishi....mengineyo anajua muumba.
 
Mwisho wa mwaka huu, nitakuwa na miaka 35, umri wa uzee, kinachonichanganya sihisi wito kabisa wa kuoa na kuishi na mwanamke, huko nyuma atleast nilikuwa na hiyo hali ya kutamani kuishi na mwanamke kiasi kwamba niliifanikiwa kupata watoto wawili kwa mwanamke mmoja, na nilitoa hadi mahari

Cha ajabu hamu ya kuishi na mwanamke inazidi kupotea huku umri unaenda, na kinachonitisha ni mwili kukata hamu kabisa kwa wanawake, hivi nandika hapa nina miezi miwili sijui uchi wa mwanamke, ratiba yangu imekuwa ni hivi asubuhi nakwenda shule, mchana nikitoka naenda kwenye biashara zangu au mashambani kwangu kuhudumia mimea na mifugo, najikuta tayari ni usiku nikirudi kwangu ni kulala tu

Sikumbuki kuhusu wanawake kabisa, huko nyuma afadhali kila juma tatu nilikuwa nazifumua mbususu lakini saizi hamna hiyo, hata tu kutongoza siwezi, hata hamu mama kwa mama watoto imepotea kabisa , nilipanga niishi naye kuanzia mwaka huu, ila naona akili haisemi chochote, ninachowaza ni pesa pesa basi

Niliamini sana huko nyuma pesa ikiongezeka na shughuli zikiwa kubwa ntaishi na family kwa furaha, yes pesa kibongo bongo ipo kiasi chake yaani zile ndoto za kuwa mtanzania nimetimiza (nyumba, gari n miradi flani ninayo tayar🙂 ada ya wanangu nalipa na take care kwa kumpatia mama yao pesa ya matumizi kila mwezi, mahali nilitoa, shida ni kuishi na mwanamke tu

Nawaza kazi zangu tu, kinachonitesa sana ni wanangu kuwa siishi nao (ni kitu ambacho kinaniumiza sana) imefika wakati naweza toka shule ninapofundisha na kwenda kuwasalimia na huwa natoa hadi machozi nikifikiri why siishi nao, ila linapokuja suala la kuishi na mama yao inaKuwa mtihani, msaada wenu napokea ushauri , napokea pia matusi na kejeli, i'm old enough na maisha ya mtandaoni nayafahamu
Kaombewe wewe sio mzima
 
Kuja mambo mengi

1.Una trauma ambayo hutaki ku admit una historia mbaya na wanawake au mwanamke uliyezaa nae ni km hatoshi kuwa mkeo au una soma taarifa mbaya mbaya kuhusu mahusiano.

2.Una jini mahaba
Mke wangu ameshawahi kuwa na jini mahaba ni balaa sana ni vile tu mimi nina nguvu ya asili kwenye ulimwengu wa roho ila hilo nalo lipo na limewapoteza wengi

3.Wewe unapenda space flani hivi privacy
Binafsi wakati sijaoa nilikuwa na hofu moja kubwa,nitawezaje kukaa na mtu ndani mda mrefu maana mimi nilivyo siwezi kukaa na yeyote yule mda mrefu bila kujitenga mwenyewe kwa mda.Sasa nikawa nawaza itakuwaje hii tabia yangu ya kupenda kukaa mwenyewe tena nyumbani!!!Huwezi amini nilikuwa Nina kila kitu na uwezo wa kuishi na mke ila hofu yangu ilikuwa privacy,itakuwaje nitawezaje??nilivyotoa mali nilikaa na mke wangu chini nikamwambia pamoja na wewe kuniona mi ni charming,social ila siwezi kukaa na mtu mda mrefu hivyo nikikuoa ukiona nipo chumbani mwenyewe au nipo nje na kiti mwenyewe ujue kabisa ndo nilivyo na sijabadilika.

Nikaoa!!!cha ajabu nikajikuta tena siwezi kukaa mbali na mke wangu mda mrefu na hata nikiwa kimya ila nataka yeye awe pembeni tu na ukimya huo huo.

Kuna vitu unaweza kuhisi huviwezi ila ni kwasababu haujawahi jaribu,ukijaribu ni vyepesi sana.

Mke ana raha yake hasa km hukukurupuka kwenye kuoa siku hizi wanaume hatujui kuchagua wanawake tupo busy sana na kuwaza ngono tuna miss wanawake wazuri wa kufanya nao maisha.Utakuwa binti wa Miaka 33 unamuona kabisa mbona huyu binti hana shida ila mume hana sasa hao tunaowaoa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]mmmmh
I'm in love with this comment [emoji120]
 
Mwisho wa mwaka huu, nitakuwa na miaka 35, umri wa uzee, kinachonichanganya sihisi wito kabisa wa kuoa na kuishi na mwanamke, huko nyuma atleast nilikuwa na hiyo hali ya kutamani kuishi na mwanamke kiasi kwamba niliifanikiwa kupata watoto wawili kwa mwanamke mmoja, na nilitoa hadi mahari

Cha ajabu hamu ya kuishi na mwanamke inazidi kupotea huku umri unaenda, na kinachonitisha ni mwili kukata hamu kabisa kwa wanawake, hivi nandika hapa nina miezi miwili sijui uchi wa mwanamke, ratiba yangu imekuwa ni hivi asubuhi nakwenda shule, mchana nikitoka naenda kwenye biashara zangu au mashambani kwangu kuhudumia mimea na mifugo, najikuta tayari ni usiku nikirudi kwangu ni kulala tu

Sikumbuki kuhusu wanawake kabisa, huko nyuma afadhali kila juma tatu nilikuwa nazifumua mbususu lakini saizi hamna hiyo, hata tu kutongoza siwezi, hata hamu mama kwa mama watoto imepotea kabisa , nilipanga niishi naye kuanzia mwaka huu, ila naona akili haisemi chochote, ninachowaza ni pesa pesa basi

Niliamini sana huko nyuma pesa ikiongezeka na shughuli zikiwa kubwa ntaishi na family kwa furaha, yes pesa kibongo bongo ipo kiasi chake yaani zile ndoto za kuwa mtanzania nimetimiza (nyumba, gari n miradi flani ninayo tayar🙂 ada ya wanangu nalipa na take care kwa kumpatia mama yao pesa ya matumizi kila mwezi, mahali nilitoa, shida ni kuishi na mwanamke tu

Nawaza kazi zangu tu, kinachonitesa sana ni wanangu kuwa siishi nao (ni kitu ambacho kinaniumiza sana) imefika wakati naweza toka shule ninapofundisha na kwenda kuwasalimia na huwa natoa hadi machozi nikifikiri why siishi nao, ila linapokuja suala la kuishi na mama yao inaKuwa mtihani, msaada wenu napokea ushauri , napokea pia matusi na kejeli, i'm old enough na maisha ya mtandaoni nayafahamu
Chukua mke wako na watoto wako walete nyumbani kwako, imarisha eneo lako la kiroho, nikiwa nina maana rejesha uhusiano wako na Mungu.
 
Hofu tu mkuu unayo.Tupo wengi wenye 35 na kuendelea but hatuna wasiwasi.Hata hivyo zama hizi kupata na kuishi na hawa wenzetu imekuwa ni changamoto sn.

Ukiwa kwenye ndoa miaka hii ni hatariiii sn,kwani kuua ama kufa wewe ni possible sn
Aiseee vijana mmekata tamaa sana, sijui tatizo nini

Serikali iweke kipengele kwenye Katiba cha kulazimisha vijana waoe.
 
Kuja mambo mengi

1.Una trauma ambayo hutaki ku admit una historia mbaya na wanawake au mwanamke uliyezaa nae ni km hatoshi kuwa mkeo au una soma taarifa mbaya mbaya kuhusu mahusiano.

2.Una jini mahaba
Mke wangu ameshawahi kuwa na jini mahaba ni balaa sana ni vile tu mimi nina nguvu ya asili kwenye ulimwengu wa roho ila hilo nalo lipo na limewapoteza wengi

3.Wewe unapenda space flani hivi privacy
Binafsi wakati sijaoa nilikuwa na hofu moja kubwa,nitawezaje kukaa na mtu ndani mda mrefu maana mimi nilivyo siwezi kukaa na yeyote yule mda mrefu bila kujitenga mwenyewe kwa mda.Sasa nikawa nawaza itakuwaje hii tabia yangu ya kupenda kukaa mwenyewe tena nyumbani!!!Huwezi amini nilikuwa Nina kila kitu na uwezo wa kuishi na mke ila hofu yangu ilikuwa privacy,itakuwaje nitawezaje??nilivyotoa mali nilikaa na mke wangu chini nikamwambia pamoja na wewe kuniona mi ni charming,social ila siwezi kukaa na mtu mda mrefu hivyo nikikuoa ukiona nipo chumbani mwenyewe au nipo nje na kiti mwenyewe ujue kabisa ndo nilivyo na sijabadilika.

Nikaoa!!!cha ajabu nikajikuta tena siwezi kukaa mbali na mke wangu mda mrefu na hata nikiwa kimya ila nataka yeye awe pembeni tu na ukimya huo huo.

Kuna vitu unaweza kuhisi huviwezi ila ni kwasababu haujawahi jaribu,ukijaribu ni vyepesi sana.

Mke ana raha yake hasa km hukukurupuka kwenye kuoa siku hizi wanaume hatujui kuchagua wanawake tupo busy sana na kuwaza ngono tuna miss wanawake wazuri wa kufanya nao maisha.Utakuwa binti wa Miaka 33 unamuona kabisa mbona huyu binti hana shida ila mume hana sasa hao tunaowaoa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]mmmmh
Dalili za mwanamke mwenye jini mahaba ni zipi ?
 
Back
Top Bottom