Sina hamu kabisa ya kuoa na umri unazidi kwenda

Hyo maisha uliyoyachagua ni kawaida sana chakuongeza hakikisha unakuwa na mwanamke wa kukupa mbususu tu inatosh
 
Yaani wanawake tunavyo jua kutongoza vile hata kukulipia mahali ruko tayri! ! wewe hata hao huna?? basi utakuwa na kikwapa sugu! au mjisura wa Remmy kuzidi!...na huyu kakuzidi mbali sana!

tena una gari usafiri km zote kwa nini! una mikosi au umenyewa me wanatongozwa siku hizi!
 
Yaani we kila siku comment zako ni za makasiriko itakuwa upo kwenye ndoa ambayo haina amani na furaha unakuja huku kujipa moyo au single maza aliyekubuhu sio kwa aina ya comment zako hizi
 
Aisee
 
Watoto unahitaji ila mke humtaki

And u expect watt waje wakupende?

I can imagine the loneliness ya mkeo
Bt atleast watt wanamkeep busy

Siku akipata mwanaume mwingine maji utaita mma
 
Ongea na mama watoto, jaribu kuwa muwazi kwake kuhusu hiyo hali. Kama atakubaliana nayo, basi mrasimishe uhusiano wenu kwa maslahi ya watoto. Na pia iwe nafasi yake ya kuendelea na maisha yake kama hatakubaliana na hiyo hali yako.

Ndoa, ikiheshimiwa, lengo lake kuu ni kuendeleza jamii, sasa inapotokea unaendeleza jamii nje ya ndoa, umuhimu wa ndoa ndio unapopotea.
 
Kwani uongo ndoa zina matatizo sana, mimi hapa kila nikimuomba penzi mke wa mtu napewa bila wasiwasi sasa kuna haja gani ya kuoa.
Na hakuna wanawake zaidi ya walioolewa?
 
Pole sana ndugu.Nimesoma kitabu cha kiingereza kinaitwa CHANGES,chapter Iv kinaelezea hali hiyo ni dalili za wazi za wewe kuelekea kwenye USHOGA.Msiba huo.
 
Kwani umewahi kumfumania au kuna kasoro umeziona kwake?
 
Unyumba ni mapatano, na mwenzi wako mnawasikiana, mnaelewana, mnachukuliana na kuvumiliana jinsi mlivyo!
 
Mwenyewe naona kuishi na mwanamke nitachoka
 
Yaani we kila siku comment zako ni za makasiriko itakuwa upo kwenye ndoa ambayo haina amani na furaha unakuja huku kujipa moyo au single maza aliyekubuhu sio kwa aina ya comment zako hizi
Yaani hapa nimekasirkaaa?? weye utakuwa mtoto wa Mama sana km siyo wa Bibi!! ...sikia sasa mie mtoto wa kiumeni!!! si ajabu mtu /watu huwa wanadhania mie dume!! kwa mambo zangu

watoto wa single maza mara nyingi ni wa kiume!! wa kike sie ungetuita singo faza!....unasikia weye naniliu.......mie niko ivi kidume akiwa bwege bwege namchapa makofi akili imkae sawa km weye ivo!

weye una mali zooote hizo bado hutongozwi tu........huoni una mikosi??? hakuna asiye penda Mali.....njoo tukupe dawa ukaogee mtoni! hutaki tukufanyeje sasa??? km siyo mburula nini sasa!

yaani ulalamishi tu unaonekana bwege mtozeni!...wacha wakukate ukome! nyau kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…